Mungu tunakuomba ututendee Jambo mbona wamemsaliti mnoo baba yetu hivi haya mama hayakumbuki kwelii😭😭😭 hajui km mwili llkn nafsi ipo yarabi wahukumu wasiotenda haki mambo yamerudi km zamani
@@dickikahese9681Wewe wanakupumulia nn sasa swala la uislam limeingiaje au unadhan ni nchi za kiarabu hizi pumbavu mkubwa 🚮 mtu anapimwa kwa matokeo anayoyaleta sio udini Kama inakuuma sana kaishi nchi za kidini hutoona uislam unasemwa pumba 🚮
Baada ya,mwaka mmoja...Magufuli amelala naamin wabaya watasema waliyomfanyia lbda kama sio Jiroma...pumzika kwa aman my school mate chato shule ya msingii😭😭😭😭
Hii clip ni fundisho tosha Sana kwa viongozi wetu wa Sasa wanaotuongoza, wakuu wa mikoa, wabunge, na wenye viti, fanyeni maagizo ya hayati Baba Magufuli.
Hapo utajua nini ambacho ibilisi anawaza juu ya maana wa mungu jipm sisi mamilioni ya watanzania tutakuombea usiku Na mchana kila Delila kamwe atakaa akaye Na amani
Am a Kenyan 🇰🇪 ; there is no President I loved in Africa like Dr. Magufuli.....Infact I used to tune to TBC Channel just to hear something from Dr. Magufuli... I was heart broken when he died.... R.I.P. Dr....
I'M from Kenya since the death of president sir teacher professor pastor JPM loosed the Hope of AFRICAN,RIP loved him from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪✝️✝️✝️✝️✝️🙆🙆🙆🙆🙆
Jamani jamani aliyemuua ni nani? Basi huyu baba damu yake iwarukie wahusika wote ikiwa ni pamoja na waliofurahia kifo chakee Hakika alijitoa kwa ajili ya Watanzania Maskini.Tutakukumbuka daima JPM.
Huku Kenya kuna tayari makundi ya watu,,kuna wenye Wanaskizwa saaana,kuna wenye wakishkwa wanafungwa miaka ,lakini kunao wakishikwa wanatolewa hapo hapo baada ya kuiba mabilioni ya hela . Raila must be the Magufuli of Kenya
Mhhhhh sitaki kusema Mie wali muua wapo wanajulika sema t Domo koma baba Rudi always wanawake wanakuag wajanja hat chumbani hata kwenye kuongoza wananchiii😭😭😭😭
LEGENDARY umeenda lala salama Magufuli wetu..... Wanafki walikua wanakusikiliza na wanasema nenda mwana kwenda tuwakomesha hao wanyonge wako ...... Nasikia mguno kana kwamba wako pamoja na mzungumzaji...daaahhhhh inaniuma sana
I don’t understand the language but I am pretty sure he is one of the best presidents in Africa…. Because of hol I want to go live in Tanzania after my studies in Europe.!
Samia anayakubali yote ya Hayati Magufuli. Sasa hatunaye mama kavaa viatu vya Kikwete., kavivuwa viatu vya Magufuli.,Huyu ndiye kiongozi aliye wathamini Watanzania. Na alikuwa akisema kweli bila unafiki wala kuogopa mtu. Ameacha kumbu kumbu nyingi sana kwa Watanzania. Legacy hamuwezi kamwe kuizika naye. Watanzania watamuemzi daima
Huyu mkara co yeye uongozi wa juu unaagiza kufukuzwa wamachinga watafanyaje ndo yie wajinga mnasifia huyu Bibi anaendesha nchi vzri yni mkimchagua huyu Bibi tena mnataka mgawanyike mkitakakuona huyu rais hafai saiv kla ktu kinasuasua . Miradi ya magufuri yote ss inasuasua .watu wanafanya kazi wanavyo taka kla mtu hapa anavimba kivyake wanaume jipangeni kunusuru hii nchi amesha jua ulaya
Machozi yananitoka, huyu Baba Mungu amuweke pema peponi, lkn kama tulivyompatia Mwl. Nyerere hadhi ya Baba wa Taifa ipo haja ya kumtafutia jina zuri la kumuenzi
I'm Kenyan who truly Loves ❤ President Joseph John pombe Magufuli, he was such big help to us all in Africa.May the Almighty God Give him eternal life.
MB zangu zimetumika kihalali. This is the president of Africa. Kwa Umri wang sijawahi kuona Raisi mwenye uchungu na upendo kwa wanainchi wake hasa wanyonge kama jpm
RIP magufuli umeondoka mapema ,,wangenyooka HAWA wote uliowaacha mungu,,tuangalie,,,tulinde MANENO YAKO yote magufuli..yametimia your the greatest we love you
@@happymrema7723 Watakuja wazuri...wengi tu...na huyo alokuwepo pia ni mzuri kwa time yake...Mungu amsaidie..Hujuwi labda wewe utakuja kuwa Rais siku zitakazokuja...Tulijuwa kama Magufuli atakufa??? Siku yake ilifika. Ilisikitisha sana....
Jamani me naomba mmoja anieleze ubaya wa Magufuli ulikuwa wapi!!? Mbona me sioni Kuna wapumbavu huwa wanamponda Sana huyu mzee!! Magufuli daaaaaah alikuwa bonge la rahisi!!
@@livingstonekabantega me nashangaa Sana ndugu yangu unakuta watu wanasema Timu Magufuli et tunapata shida et Mama anaupiga mwingi.. wanashindwa kusema wazalendo tunapata shida jins Mambo yanavoenda kombo!!
No no noo God doesnt hate any human being but we africans we dont love each other, we are selfish, hated and Evil. Tunashirikiana na wazungu kuwaua wenzetu ili wazungu waje wachume watuwekee pesa ulaya migogoro haiwezi kuisha madini hayatusaidii wala viongozi waadilifu hawatakiwi afrika anauwawa na sisi wenyewe kuwatumikia weupe. Tazama Rais wa Burundi 🇧🇮, Tanzania 🇹🇿, Rais Sankara, Patrice Lumumba, Gaddafi, Nkuruma nk wako wa wapi maana umasikini wetu ji kero kwa western kama china 🇨🇳, Korea, Turkey, Iraq, Iran nk ona walivyokero kwa western.
I'm a Kenyan but I really loved this president,it still hurts me that he is no more,just because of those who thinks they will never die ,may they the killers never never know peace,may they never go unpunished ,you kill with a sword you die with the sword,may sorrow never leave your homes you wicked people
Kindly, Would you please arrange for English subtitle so that we may all understand these Great speach of our beloved African Great president Dr. Magufuli!? 🙏
Uncle Magufuli was indeed a true stateman, am a Kenyan but your like our food in my family, a day was never end without searching your steps on TH-cam, one day God willing will pay visit to your grave for prayers with family. Mola akurehemu.
.,magufùli baba tutaķulilia sana MZEE wet kwauliotufanyia mungu ataķulipa Pepo kwa ulichotutendea ww hutuoni lkn tunataabika na maisha yetu ķwani hatuelewi hatima ya maisha yetu itakuaje ķwani ni tete hail zetu tuombee kwa mungu baba
Every time when I'm listening to Dr John Pombe Magufuli i feel like crying he was tru leader who's been sent by God to rescue Tanzania & open eyes of African leaders. Rest in peace my only president we will always miss you 😭😭😭
Tunapenda sana kunyamaza lkn tunashindwa. Unapokuwa unaona nuru ghafla giza huelewi dira lazima sauti itoke ili uone uko salama au lah! Fikiria mko gerezani mnatangaziwa kuwa huru mnajiandaa kutoka ghafla anatokea mtu asiyejulikana anawaamuru hakuna kutoka mnarudi sero. Itafakari picha hiyo. Kwa vyovyote mtakesha kuitafakari sana amri hiyo!
Baba yetu MAGUFULI tunakukumbuka umetuacha MAYATIMA tunatendewa Kama kondoo anayeoelekwa machinjioni. Pumzika kwa amani mwana wa Afrika na mzalendo wa kweli. Forever ina our hearts dady!
In vizuri viongoz waamin kuwa Makufuli alikuwa jembe na wafuate maagizo yake watu hatulingan Mwenye uwezo muige mambo mema take mabaya yaachen huyu tulipewa na Mungu maisha hayako vizuri KWA sasa Raid Samia asiamin kuwa maisha yako powa vitu viko juu saana bidhaa kuliko miez michache aliyokuwapo mtetez wa. Wanyonge asiwaulize watu WA juu maisha awaulize wanyonge maisha yamezid ugumu amuombe Mungu amsaidie
Wabadirishe katiba, wangekua wamebadilisha leo hii tusinge fikia hapa tulipo, mwenzenu kaokota Embe Hana shida, tusiumie Sana kwasababu hatukumchagu Mungu wetu yupo atatutetea
yaan msiwatafutie mbali na sehemu zao kama.wao WA manzese watafutien sehemu hizohizo sehemu kubwa sio waende mbali kama.WA magomen wapate sehemu.maalum magomen kama Wa banana itafutwe hukohuko sio wawekwe.mbali ambapo mteja hawez kwenda mfano Niko bugurun nifate mitumba mbesi sio saw a mazingira mazuri sehemu walizokuwapo patafutwe sehemu ya pamoja hikohuko Amina
Baba ulikuwa na maono ya kuona mbali yameishatokea kuvunjiwa vibanda na mali zao kuibwa ee Mungu tusaidie sisi wa machinga na sisi tuna haki ya kufanya biashara jamani inauma sana Mungu akupumzishi kwa amani kipenzi chetu Ameen
Ni kweli lakini walionyanganywa mali zao waliokufa ndgu zao ktk utawala wake huyu ndio wanajua zaidi kua Magu alikua mtu wa aina gani. Sio mm na ww ambae tunamsifu kwa kujenga barabara na kununua ndege
@@AhmedMohammed-de4ke mweee hayo unayajua wewe kama aliua lakini nimekuelewa mafumbo yako mimi siwezi hukumu ila Mungu amweke pema siyo barabara na ndege tu wewe ndo uliviona mimi alinitoa mbali sana nikiwa kama machinga lakini wewe uliyezoea kupinga hata mazuri aliyoyafanya sawa niuelewa wako pole na ww ndugu zako wangapi aliwaua?jitambue
Daaah!!!!! Yaani kiukweli nilikuwa nakukubali sana Rais wangu ila naamini mungu alikupenda zaidi na ndo maana amekutanguliza ili ukaongoze malaika wake
Maneno yako yayarndelea kuishi baba,duuuu!!!tumepoteza Jembe hasaaa🌹
Maneno ya baba nimazuri sana jaman tufate nyendo zake? Puzika baba malipema popon Amen
Henriguebernabena
Mungu tunakuomba ututendee Jambo mbona wamemsaliti mnoo baba yetu hivi haya mama hayakumbuki kwelii😭😭😭 hajui km mwili llkn nafsi ipo yarabi wahukumu wasiotenda haki mambo yamerudi km zamani
Na anavyoitikia kinafki sasa!!
Huyu mama anavyo hitikia sasa kama mtu mwema vile watanzania tunapata shida we kazi kuzurula nchini kwa watu 😭😭R.I.P JPM
Kampangua .vitambulisho kavitoa
Wapumbavu nyie waislamu wakiongoza nchi mnakuwa na maneno ya chokochoko sana kwanini
@@dickikahese9681Wewe wanakupumulia nn sasa swala la uislam limeingiaje au unadhan ni nchi za kiarabu hizi pumbavu mkubwa 🚮 mtu anapimwa kwa matokeo anayoyaleta sio udini Kama inakuuma sana kaishi nchi za kidini hutoona uislam unasemwa pumba 🚮
We miss 😢 you so much. Am a Kenyan but loved this guy. A true leader he was chosen by God.
rest in peace magufuli tunakupenda sana mi ni mkenya
I am a Kenya but I really miss this gentleman. A wise leader indeed 😭😭
asee huju Jamaaa Asio Urahisi tu Alikua Ana akili Yakipekee na Utu. Kwa mimi kama nikifanikiwa kuwa mzee ninacho chakusimulia waijukuu wangu.
Well said ndugu, huyu mtu alikua hazina kubwa ya taifa letu
Yes
Yes huyu mtu ni kama alikusudiwa na MUNGU jamanii 😭😭😭😭
Baada ya,mwaka mmoja...Magufuli amelala naamin wabaya watasema waliyomfanyia lbda kama sio Jiroma...pumzika kwa aman my school mate chato shule ya msingii😭😭😭😭
Pumzika kwa Amani baba. 😭😭😭
Komenti yako inanitowa machozi.Magufuli atakumbukwa daima si kwa mabaya.
Alikuwa ni mtu mwenye utu ndani yake.
Wenye akili tutamuenzi.
😔😔😔😔
😭😭😭
Hii clip ni fundisho tosha Sana kwa viongozi wetu wa Sasa wanaotuongoza, wakuu wa mikoa, wabunge, na wenye viti, fanyeni maagizo ya hayati Baba Magufuli.
As a Kenyan and African, I greatly miss the dedication of this man.
History will never fail to recognize your effort. RIP JPM
Pia NAMI ndugu. Kenyatta na Raila waache kuteit wakenya mbaya. Watu walifukuzwa mau
Has
Hapo utajua nini ambacho ibilisi anawaza juu ya maana wa mungu jipm sisi mamilioni ya watanzania tutakuombea usiku Na mchana kila Delila kamwe atakaa akaye Na amani
As Africans - we will never move on if we do not get this kind. Mtu anaetaka kufanya maendeleo kwa ajili ya watu na sio vikundi vya watu.
Am a Kenyan 🇰🇪 ; there is no President I loved in Africa like Dr. Magufuli.....Infact I used to tune to TBC Channel just to hear something from Dr. Magufuli... I was heart broken when he died.... R.I.P. Dr....
Uko sawa broker angu
Mama kimbo
Asante
@@pilimohamedi794 😄😄
Now tunakiona cha moto the late president and the present presdnt are very different ppl. Huwa hata sisikilizi tena taarifa ya habari
Pumzika kwa Amani baba yetu, Lala mzalendo lala
Tutakukumbuka daima mzalendo wa kweli shujaa wetu
Wako
So sad
Yaani kikulacho kinguoni mwako.
Umeonae🤭🤭😭
Ewe Mungu wangu tusaidie asa machinga
Hii itakuwa history isio futika milele mungu ailaze mahal pema pepon roho ya marehem John pombe magufuli
Ukumbukwe sana baba wawanyonge rohoyako Mungu ailaze mahali pema peboni
Rais wa awamu ya Tano hakuwa mtu wa kawaida.He should be made a Saint
Sad mungu jamani
He is already a Saint Magufuli
Hapa tumepigw duu r.i p magu haitatokea
Kitamu hakidumu
Nikweli!! Ukitak watu wakuchukie sema kweli simamia haki za watu wa chini!!
Mungu akusameh mapungufu yako, hakun binadam aliekamilika.
Ukweli na kutaka haki ni uhalisia wa Mungu. Uongo, unafiki na hila ni uhalisia wa shetani. Wewe unapenda uhalisia upi?
Mungu yupo!
Mm had Leo naona nidoto kama kweli hayupo duniani Jamaica mungu jinalako lihimidiwe
I'M from Kenya since the death of president sir teacher professor pastor JPM loosed the Hope of AFRICAN,RIP loved him from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪✝️✝️✝️✝️✝️🙆🙆🙆🙆🙆
Jamani jamani aliyemuua ni nani? Basi huyu baba damu yake iwarukie wahusika wote ikiwa ni pamoja na waliofurahia kifo chakee Hakika alijitoa kwa ajili ya Watanzania Maskini.Tutakukumbuka daima JPM.
Aliemuua aliemleta dunian kisha akampa roho
Samia leo kamgeukia
Unafiki sio mzuri . Ila wajue kuna kuulizwa kesho kesho kwa mungu baada ya kifo ila punzi ndio zina waadaa
Kwelikabisa yaani huyu mama anaitikia kama sio alikua sasahivi amani huumsiba hautoisha molele kumbe aliaona mapema 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@@neemayusuphu4266 kamgeuka kvp? Kila rais na mbinu zake kulingana na sheria za nchi....
MKUU WA MKOA DAR, JIUZULU MWENYEWE HATUKUTAKI.
Ww wasema
@@hamisijuma3276 WEE HUONI WANAKIUKA KABISA MAAGIZO YA RAIS,AU KWASABU KASHAKUFA NDIO ASIHESHIMIKE???.
HUYU MKUU WA MKOA HAFAI KABISA.
Nikweli ajiuzuru
Aya afe tu,ananyanyasa watu hawana Raha KBS
Kweli
Mama samia mbona makufuri ulimsikia vizuri sana mama waonee huruma wamachinga wanateseka sana eemungu sikia kilio chetu
Miss u Bb JPM nimejikuta nalia Tena sanaaaaa Mungu akurehemu Rais wangu magufuli
"ni lini watanzania maskini watakuwa wawekezaji katika nchi Yao" Magufuli. ..😭😭😭moyo wakizalendo sana,
So hurting wallah
Dah it’s sad 😞
Kabisa hujakoseya inahitaji sana kuwa na moyo wakizalendo
,,
..
Machozi ya watanzania masikini ikawe faraja kwako upate pumziko la milele baba! Hotuba zako siku zte hukuacha kututetea watanzania masikini, hakika tutakukumbuka daima umeweka alama ndani ya mioyo ytu JPM! Allah akulipe kwa wema wako baba, AMEEN.
Ccm vitendo mnavyo tufanyia nailihali tuliwajiri sisi wenyewe kwakura zetu atupigi tena kura.
MUNGU amuondolee Adhabu ya kaburi
@@zenasimango6801 Duh!
Amen..Amen kizuri hakikai R.L.P. Kamanda
Etisamia anaitikia tu mmmmm ovyoooo
Hongera baba mtetezi wa wanjonge MUNGU akuweke mahali pema peponi asante
Huku Kenya kuna tayari makundi ya watu,,kuna wenye Wanaskizwa saaana,kuna wenye wakishkwa wanafungwa miaka ,lakini kunao wakishikwa wanatolewa hapo hapo baada ya kuiba mabilioni ya hela .
Raila must be the Magufuli of Kenya
Mzee tutakukumbuka
R.i.p
R.i.p
Uwiiiiii hii kali ya mwaka. UPASUAJI WA JIPU HILI LINAHITAJI HEKIMA
Mungu azidi kuilazaa roho yakoo mahali pema peponi🙏🙏🙏
Mhhhhh sitaki kusema Mie wali muua wapo wanajulika sema t Domo koma baba Rudi always wanawake wanakuag wajanja hat chumbani hata kwenye kuongoza wananchiii😭😭😭😭
Uyu ndiyo alikuwa alikuwa kiongozi wa wanyonge katika nchi hii
LEGENDARY umeenda lala salama Magufuli wetu.....
Wanafki walikua wanakusikiliza na wanasema nenda mwana kwenda tuwakomesha hao wanyonge wako ......
Nasikia mguno kana kwamba wako pamoja na mzungumzaji...daaahhhhh inaniuma sana
Hatamimi inaniumasana jamani jamani hatuta sahau
Mungu atawachoma na radi hao wanaouza nchi yetu. Mungu akulaze mahali pema peponi. 😭😭😭😭😭😭
Nikweli kabisa baba ila mungu atakulipa uko ulipo
He is the gallant, a legendary not only in east Africa but in also in all Africa..... R. I. P Dr
R.I.P Rais wa wanyonge! Mungu akusamee mapungufu yako akupokee kwake mbinguni!! Amin.
Amina
Mbona uyo mama Amekugeka mzee
@@elizafumbuka9377 ipoxku
Unxemje
I don’t understand the language but I am pretty sure he is one of the best presidents in Africa…. Because of hol I want to go live in Tanzania after my studies in Europe.!
Samia anayakubali yote ya Hayati Magufuli. Sasa hatunaye mama kavaa viatu vya Kikwete., kavivuwa viatu vya Magufuli.,Huyu ndiye kiongozi aliye wathamini Watanzania. Na alikuwa akisema kweli bila unafiki wala kuogopa mtu. Ameacha kumbu kumbu nyingi sana kwa Watanzania. Legacy hamuwezi kamwe kuizika naye. Watanzania watamuemzi daima
Huyu mkara co yeye uongozi wa juu unaagiza kufukuzwa wamachinga watafanyaje ndo yie wajinga mnasifia huyu Bibi anaendesha nchi vzri yni mkimchagua huyu Bibi tena mnataka mgawanyike mkitakakuona huyu rais hafai saiv kla ktu kinasuasua . Miradi ya magufuri yote ss inasuasua .watu wanafanya kazi wanavyo taka kla mtu hapa anavimba kivyake wanaume jipangeni kunusuru hii nchi amesha jua ulaya
Machozi yananitoka, huyu Baba Mungu amuweke pema peponi, lkn kama tulivyompatia Mwl. Nyerere hadhi ya Baba wa Taifa ipo haja ya kumtafutia jina zuri la kumuenzi
Samia haez kazi ya Magu,atapokea ruswa na awafukuze
Ukute tunaongonzwa na kikwete bila kujua
@@rozaliarwezaula6924 Hahaha nimecheka kama mazuri kwakweli nch imepatwa
I'm Kenyan who truly Loves ❤ President Joseph John pombe Magufuli, he was such big help to us all in Africa.May the Almighty God Give him eternal life.
unαkutα wαkєnчα wєngí wαlímpєndα вαвα чєtu kulíkσ ѕѕ wєnчєwє😥😥r.í.p
SIWEZI KUMALIZA hotuba BILA machozi kunitoka KWA haya yaliopo KWA Sasa Alla akulehem.
Safii sn hayati Dk.John Pombe Magufuli tutaendelea Kukupenda Daima Rais wa Wanyonge 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏...R.I.P
MB zangu zimetumika kihalali.
This is the president of Africa.
Kwa Umri wang sijawahi kuona Raisi mwenye uchungu na upendo kwa wanainchi wake hasa wanyonge kama jpm
Hakika😭😭😭
Will never happen a such president
Hakika
Rlp dady tunakukumbuka Sanaa Mungu akupokee umefanya kazi Sanaa .
Yani weacha tu
RIP magufuli umeondoka mapema ,,wangenyooka HAWA wote uliowaacha mungu,,tuangalie,,,tulinde MANENO YAKO yote magufuli..yametimia your the greatest we love you
Magufuli am a Kenyan yes but forever yu will remain in my heart
Magufuli atabaki mioyoni mwa wanyonge kwa muda mrefu sana.R.I.P JPM.
Hakuna tena rais kama Magufuli
Kabisa
Yani kira nikiona hizi naumia san
@@adamsaid6217 Usiumiye yeye yake yashamuishiya. Sasa jifikiriye wewe bado uko Duniani. Mungu amlipe kwa mazuri yake aliyo yafanya hapa DUNIANI.
@@happymrema7723 Watakuja wazuri...wengi tu...na huyo alokuwepo pia ni mzuri kwa time yake...Mungu amsaidie..Hujuwi labda wewe utakuja kuwa Rais siku zitakazokuja...Tulijuwa kama Magufuli atakufa??? Siku yake ilifika. Ilisikitisha sana....
Shunjaaa wetu pumuzika kwa Aman 😭😭😭😭
Africa would be a heaven if it had leaders like Magufuli in every country
Magufugi was really an advocate of the less fortunate
Tunakukumbuka kwa mazuribaba uliotufanyiaaa ilasasa joto la jiwe tunalionaa
Kiongozi mzalendo huleta maendeleo kirahisi kwenye nchi kwa kutumia rasilimali chache tu.
YOU NAIL IT SIR
Laaana ziwashukiye wale wote walio support kifo chako 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 Mwenyezimungu akufanyie wepesi Mzee wetu
Jamani me naomba mmoja anieleze ubaya wa Magufuli ulikuwa wapi!!? Mbona me sioni Kuna wapumbavu huwa wanamponda Sana huyu mzee!! Magufuli daaaaaah alikuwa bonge la rahisi!!
Hata sijui
Huyu mtu alikuwa shujaa na wakipekee sana, mimi nilimuelewa sana tena mapema mno alipoingia madarakani kwani nyota njema uonekana asubuhi!!.
Kweliii vizury havidumuuu
Nimetafakali ubaya wake siuoni
@@livingstonekabantega me nashangaa Sana ndugu yangu unakuta watu wanasema Timu Magufuli et tunapata shida et Mama anaupiga mwingi.. wanashindwa kusema wazalendo tunapata shida jins Mambo yanavoenda kombo!!
😭😭😭😭😭😭😭,,, daaaah aiseeee machozi yamenitoka,,, Eeeee Mungu tukumbuke.
Pole Sana Emanuel
Yupo Mungu alietupa Magufuli na akamchukua, ndiye atakae tugaiya Watanzania Raisi mwingine wa kufanana na hayati Magufuli Amin🙏
tutakukumbuka sana baba yetu rais wawanyonge lala salam
Ni lini watanzania masikini watakuwa wawekezaji ktk nchi yao...??
Yaani mwekezaji anakuwa na nguvu kuliko wananchi tunaowaongoza!!!....🙏🙏🙏
So sad
Kweli magufuri alikua miongoni mwa mitume wa mungu
Siwezi kumlaum jafo agizo ni la boss wake yy atafanya nini, tatizo ni huyu mama ndio afai kabisaaa
Mama aliambiwa ukwer tunafukuzwa km wanyama wapolini bna unazani dunia yakwao wenyew mali yangu tuitumie wote
huyu mama ulikua unafanya nae kaz ila alikua msalit wako
Naomba mungu snaaa ajee Rais mwingine kama uyuu magufuliii
Whenever we get something good in Africa, it doesn’t last long. RIP in peace baba. 💔💔💔
I you vii
We sell our own in Africa
I think God hate us too
But why
No no noo God doesnt hate any human being but we africans we dont love each other, we are selfish, hated and Evil.
Tunashirikiana na wazungu kuwaua wenzetu ili wazungu waje wachume watuwekee pesa ulaya migogoro haiwezi kuisha madini hayatusaidii wala viongozi waadilifu hawatakiwi afrika anauwawa na sisi wenyewe kuwatumikia weupe. Tazama Rais wa Burundi 🇧🇮, Tanzania 🇹🇿, Rais Sankara, Patrice Lumumba, Gaddafi, Nkuruma nk wako wa wapi maana umasikini wetu ji kero kwa western kama china 🇨🇳, Korea, Turkey, Iraq, Iran nk ona walivyokero kwa western.
Pumzika baba JPM !!Nyota ya ulimwengu ,shujaa tuta kukumbuka milele 😭😭😭😭😭
Jamn kila nikiziangalia clip za magufu najikuta nalia siwezi kujizuia kabisa😭😭😭
Kwel mwamba pumzika kwa Aman
yaan huyu baba 😭😭sauti yako kama upo
😭😭😭hii laana itatembea na kila msaliti
Kabisa mama ni msaliti sana hata lisu kasema jana
Jamani huyu mama hajawahi kuwa kiongozi wa kuchaguliwa yeye alikuwa ni was kuteuliwa tuu
Hapo ndo kuna umuhimu wa kuwa na katiba mpya ili kuwekwe scope ya taifa ili kila kiongozi awe anaifuata,, sio kila kiongozi aje na mambo yake..
@@gamc773 🥰
Laana itamgusa kila msalati mungu hulipa kwa matendo uyayendayo malipo yapo tena yapo watalipwa
I'm a Kenyan but I really loved this president,it still hurts me that he is no more,just because of those who thinks they will never die ,may they the killers never never know peace,may they never go unpunished ,you kill with a sword you die with the sword,may sorrow never leave your homes you wicked people
Absolutely!
Kindly, Would you please arrange for English subtitle so that we may all understand these Great speach of our beloved African Great president Dr. Magufuli!? 🙏
Enrollment for Kiswahili classes recommended
We c msukuma inakuaje hujui kiswahili. Wabongo bhn
Baba was Rehem mungu Wa I man I umemchukua MTU muhimu tutakukumbuk daima uliongea utazn nabii ndio kinatokea sasa
Mungu anisamehe kwa hili huyu baba walimuondoa ili wafanye mambo yao kabisa eti mtu alikuwa anaitikia kumbe ni snitch tu anayoyafanya sasa tofauti
apo sasa
Bhana wee mjinga huyu mama twawaonea huruma tukiwa Kenya
Anaitikia mh mh mh🤣
Tunajjitaji MUNGU
Njoo DM tafadhal shujaa mwenzang
Hakuna kama ww tena popote duniani, Mapungufu kila mtu anayo.
Ninge kuwa nauwezo nigekufufua ukamariza mwendo salama
Hakika wewe Mungu alikuleta kwa kusudi la watanzania. Mungu alikutumia kwa kila jambo.
Uncle Magufuli was indeed a true stateman, am a Kenyan but your like our food in my family, a day was never end without searching your steps on TH-cam, one day God willing will pay visit to your grave for prayers with family. Mola akurehemu.
.,magufùli baba tutaķulilia sana MZEE wet kwauliotufanyia mungu ataķulipa Pepo kwa ulichotutendea ww hutuoni lkn tunataabika na maisha yetu ķwani hatuelewi hatima ya maisha yetu itakuaje ķwani ni tete hail zetu tuombee kwa mungu baba
We love you and people of Tanzania we really need and miss you Sir
Kumbe ulikua waitikia unafk tu Samia ila Mungu anakuona
2025 hiyooooooo lnakuja
Tutamtoa ndukiiiiiiiii
@@jumongjr5837 nataman ningekua na kura ya Tanzanian nisinge mpigia kura samia
Eti anaongezea na hizo ndiyo ajira zenyewe, Jamani Dunia ngumu hii, Ngoja tuishi tuondoke tu.
He was a thorn to the mighty. Kenya, they have grouped and calling themselves Mt. Kenya Foundation
Good relationship between the President and the Dp
Magufuli Mungu akulaze Mahala pema
Continue Resting in peace JPM,we really miss you Baba.
Return if Possible Magufuli Wetu 😭😭😭😭
Mbona mmesahau kirais mama jitahid kukumbuka haya,,,🖐️🖐️👍
Samia alikuwa akisikiliza lakini kalewa madaraka, 😥😥😥😥
Jpm you'll always remain a hero
Ww boy unasemaj
Tunaishinao
.kamsaliti leo alivo kufa kageuka
yes..kalewa tilalila. nchi inaelekea wapi sijui..hatujulishwi
Ukimtaja huyu malaya naumia achana nae mpuuzi yule
Kama mungu angekupa dk chache tu urud dunian Allah akupe kaul thabit nas atupe mwsho mwema inshallah pumzika kwa aman mtetez wa wanyonge
Ongera sana baba Kwa hotuba yako nzuri
Mungu akupe pumziko la amani,Naumia mno lakini Mungu yupo,
Rais amesahau Mara hii muongozo wa maneno ya Rais hayati magufuri Mara hii mbona Mambo yanaeleweka Hapo shida ninini? si angesimamia hata huo mwongozo
Waafrika wengi ni wanafiki tu
Tutakukumbuka
😭😭
Dar mtihani sana jamani
He was a man of the people,,, Kenyans president aigize magufuli. Utamwona Mumba Kwa kazi Yako mzuri
Natumai mama samia anaukumbuka wasia huu kwa machozi mengi. Ayatimize kwa heshima ya hayati MAGUFULI
R.I.P MZEE WETU JPM TUTAENDELEA KUMKUMBUKA DAIMA 😭
Hakika huyu,,,,ni mtu muhim,
Mama kakusaliti utawara wa huyu mama hauna huruma na wanyonge Mambo ya kikwete yamerudi
Kila kitu na utaratibu wake sio kupanga vitu barabarani
R.i.p
Every time when I'm listening to Dr John Pombe Magufuli i feel like crying he was tru leader who's been sent by God to rescue Tanzania & open eyes of African leaders. Rest in peace my only president we will always miss you 😭😭😭
Kikulacho ki nguoni mwako😥😥😥😥 Dah! Pumzika kwa Amani Baba, vizuri kweli havidumu
Duu mungu nifundishe kunyamaza, pumzika kwa amani mzalendo wetu.
Ongea tu kaka, mi mwenyewe sijafurahixhwa na awamu hii kiukweli, mic my president 😢.
Tunapenda sana kunyamaza lkn tunashindwa. Unapokuwa unaona nuru ghafla giza huelewi dira lazima sauti itoke ili uone uko salama au lah! Fikiria mko gerezani mnatangaziwa kuwa huru mnajiandaa kutoka ghafla anatokea mtu asiyejulikana anawaamuru hakuna kutoka mnarudi sero. Itafakari picha hiyo. Kwa vyovyote mtakesha kuitafakari sana amri hiyo!
@@epafrangweshemi4014 Well Said 🙌🏿
Kukaakimya kazisana kwenye awamuhii.yani unajitahid kukaa kimya lakini unashindwa.mama unatuangusha.itikiaitikia nyiingi kumbe hamnakitu
Nimeshangaa toka huyu kiongozi atoke Kwa Dunia madini ya tanzanite tunayapata yakisafishwa inchi zingine
Ulitaka yasisafirishwe
Anamaanisha kusafirishwa..sio kusafishwa
Mungu atasikia kilio chetu,Mungu halali tutampata mwingine ninaamini
@@trillhappybeautypoint9874 inabidi tuombe sana maana huyu kikwete na mtandao wake si mchezo
Mwenyezi mungu ailaze roho yake mahali pema peponi mtetezi wetu wanyonge amina
Dar iviii kwel au mzee ushakufaaa mungu akupe pumziko la milele
Baba yetu MAGUFULI tunakukumbuka umetuacha MAYATIMA tunatendewa Kama kondoo anayeoelekwa machinjioni. Pumzika kwa amani mwana wa Afrika na mzalendo wa kweli. Forever ina our hearts dady!
Nyie sindio mlio kuwa mnampinga au...
We lost an able bodied leader, a down to earth president. Continue resting in peace
In vizuri viongoz waamin kuwa Makufuli alikuwa jembe na wafuate maagizo yake watu hatulingan Mwenye uwezo muige mambo mema take mabaya yaachen huyu tulipewa na Mungu maisha hayako vizuri KWA sasa Raid Samia asiamin kuwa maisha yako powa vitu viko juu saana bidhaa kuliko miez michache aliyokuwapo mtetez wa. Wanyonge asiwaulize watu WA juu maisha awaulize wanyonge maisha yamezid ugumu amuombe Mungu amsaidie
HUYU NDIO ALIKUWA RAISI,ANAMAAMUZI YAKE NA HAPELEKESHWI.
TUTAKUKUMBUKA SANA,YA ALLAH TUTOLEE ALIOPO TELETEE MWENGINE KM JOHN
Asante sana JPM.wewe uko mbinguni
2025 naona mbali kabisa yani ambao tunaisubiri 2025 tupieni like
U are forever missed and loved JPM. U are 1 in a million.
Huyu uliyemwamini baba,kasha kusaliti.
Hata sisi ameenda kutuuza UN.Ameomba chanjo ya uviko.
Je hizo chanjo ndo ilani muliotuahidi?
The best ever African president
Huyu Mama mnafiki kweli kweli, ndo maana hamjui Mungu wake, anatusalimia kwa jina la jamhuli ya Muungano
Wabadirishe katiba, wangekua wamebadilisha leo hii tusinge fikia hapa tulipo, mwenzenu kaokota Embe Hana shida, tusiumie Sana kwasababu hatukumchagu Mungu wetu yupo atatutetea
Ila mama tukiacha yote chakula kishuke beii angalia watu wako daaa
Ungefufuka baba ukaja kuona ubabe ulotumika kuwaondoa machinga ungelia ila tumekukumbuka Sana BABA
OMG! LEGENDS REMAIN FOREVER. RIP OUR DEAR PRESIDENT. THIS VIDEO AND MANY OTHER WILL REMIND US YOUR PRECIOUS SERMONS.
yaan msiwatafutie mbali na sehemu zao kama.wao WA manzese watafutien sehemu hizohizo sehemu kubwa sio waende mbali kama.WA magomen wapate sehemu.maalum magomen kama Wa banana itafutwe hukohuko sio wawekwe.mbali ambapo mteja hawez kwenda mfano Niko bugurun nifate mitumba mbesi sio saw a mazingira mazuri sehemu walizokuwapo patafutwe sehemu ya pamoja hikohuko Amina
Pumzika baba uwezi saulika mzee wetu🙏🏽🙏🏽ata🌏ilikutambua vyema baba
Wamemsaliti JPM ila inauma kweli yamerudi ya zamani, Sasa hivi ni chukua chako mapema baba pumzika Kwa amani baba yetu
Pole
Utadhani alikuwa anamwelewa vile
Yan huyu mama Hadi afanani na huu uchafu anaoufanya
😭😭 tutakukumbuka daima baba yetu
@@chipegwakuselya1742 hata ukiwa na nguvu kiasi gani wakikuwahi kabali huwezi kufurukuta. Yajayo yatawafundisha. Mungu sio Mrisho. Yeye ni Mungu tu!
Mungu akurehemu na akuondolee adhabu ya kabri mwamba uliyoyasema ni tofauti kabisaaa mbele nyuma nyuma mbele
Machozi yetu 😭😭😭😭 yakawe faraja kwako mzee wetu pumzika kwa amani
Sikiliza vizuri hanavyo chomekea .Samia. Bongo hatari.
Hana hata haya huyu kikongwe nahana dini ndiomaana kakata hata salamu yamungu
Msikilize anavyo jibi kumbe ni unafki mtupu
@@omanabcd9249 Salaam ya MUNGU ni ipi hiyo wakati kila mtu ana MUNGU yake.
Linaguna tuu mmmh,mmh kama nguruwe
@@ntibashimamathiasidicksony1409 kama bundi vile hovyoooooo!
Ulikuwa vizuri sana baba yetu mwenyezi mungu akulaze mahari pema peponi mtetezi wetu
Mungu amlaze mahala pema peponi Dr John Pombe Magufuli
Mimi na magufuli ni kitu kimoja, kumbe ilikuwa sio kweli
Samia ni mnafiki waziwazi. Hivi sasa amejionesha dhahiri ni msaliti. Laana za Mwenyezi Mungu zimshukie
Huyu mama ni mnafiki sana, ila Mungu yupo hatasahau watuwake.
Baba ulikuwa na maono ya kuona mbali yameishatokea kuvunjiwa vibanda na mali zao kuibwa ee Mungu tusaidie sisi wa machinga na sisi tuna haki ya kufanya biashara jamani inauma sana Mungu akupumzishi kwa amani kipenzi chetu Ameen
Ni kweli lakini walionyanganywa mali zao waliokufa ndgu zao ktk utawala wake huyu ndio wanajua zaidi kua Magu alikua mtu wa aina gani. Sio mm na ww ambae tunamsifu kwa kujenga barabara na kununua ndege
@@AhmedMohammed-de4ke mweee hayo unayajua wewe kama aliua lakini nimekuelewa mafumbo yako mimi siwezi hukumu ila Mungu amweke pema siyo barabara na ndege tu wewe ndo uliviona mimi alinitoa mbali sana nikiwa kama machinga lakini wewe uliyezoea kupinga hata mazuri aliyoyafanya sawa niuelewa wako pole na ww ndugu zako wangapi aliwaua?jitambue
@@AhmedMohammed-de4ke wewe ulivyoaminishwa ni tofauti na sisi tuliyoyaona itoshe kusema ivyo
Daaah!!!!! Yaani kiukweli nilikuwa nakukubali sana Rais wangu ila naamini mungu alikupenda zaidi na ndo maana amekutanguliza ili ukaongoze malaika wake
Tunakukumbuka sana jpm kweli ulikuwa mzarendo wa kweli hao unaowaelekeza ni nyoka tu
The real president of low level p,ple
Hakika tutakukumbuka daima baba mungu akulaze mahali pema. Akuondoshee azabu😭😭😭😭😭