Asanteni Sana Katoliki online Moshi TV na uongozi mzima wa Parokia na Jimbo letu Katoliki Moshi kwa kuthamini Hija yetu na kuhakikisha tunafanikiwa Walezi wetu Mungu awabariki na kuwainua kwa viwango vya juu zaidi. Mbarikiwe Sana wote
Nampenda sana marehemu mwalimu Nyerere. Yeye alikua kiongozi wa kipekee aliyependa Tanzania na watu wa Tanzania. Aliunganisha taifa na akamaliza ukabila. Pia alikataa na kupinga utajiri wa haramu na alikataa kuzitumia nguvu zake za kiserikali ili kuwanyonya Watanzania wenzake. Mungu amuweke mahali pema. Atazidi kukumbukwa na kujeshimiwa milele na milele.
Namkubali mno Baba wa Taifa, kwa ujasri wake mkuu wa kuamua kuacha kazi ya Ualimu na kuanza pilika za Siasa kpindi cha Ukoloni c mchezo, matokeo akawa Rais japo mwenyewe alimependa kuitwa mwl na c mtu wa kujikweza.
Nakupenda Sana Baba YETU kipenzi. Pumzika kwa Amani MBINGUNI. Ombea Taifa letu pendwa Tanzania. Waombee Viongozi wa nchi YETU waendeleze uzalendo uliotuachia Baba yetu mpendwa.Amina
Nampenda saana baba wetu wa taifa retu yaani kutoka kwa baba mungu katupa raisi mwema ambae ni baba jonh pombe magufuli Hawa ndio walibeba dhamana yetu kwakuwa mungu nimwingi waneema nakuomba uwabariki milele Amina mwalimu bado tunakupenda saana
Shujaa Nyerere. Huku kwetu Kisii 🇰🇪 kuna wengi sana walioitwa Nyerere. Kuna wengi katika familia yetu walizaliwa Musoma, Bunda, na Mwanza. Wasomi wengi pia walienda TZ 🇹🇿 kuchapa kazi. Ndugu zetu Wakurya wakimtimua Amin Dada. Asante sana kwa kutuonyesha. Ninapanga kutalii hapo. Nitakubaliwa kuingia?! Sina shida na kulipia.
Nyerere alikuwa kiongozi wa kikweli na wa dhati.Hakuingia kwa uongozi kujitajirisha kama huyo muuwaji, mwizi mkuu , fisadi wa kupindukia , tapeli, msema urongo 24/7rais wa bandia Ruto hapa kenya. Mwizi na pepo mweusi
Nimefarijika sana na kumbukumbu mlizotunza kwa ajili ya maisha ya baba wa Taifa.Nakumbuka kuwa alipostaafu wananchi walimpa vitu vingi alipokuwa anawaaga kila mkoa. Pamoja na zawadi alizopewa na Jeshi baada ya kushinda vita ya kumng'oa nduli Idd Amin, inathibitisha kuwa hakujilimbikizia mali za raia wengine kwake na familia yake.Alikuwa na heshima sana kwa kila mtu.Mimi binafsi,nilipata kuwa moja ya watumishi wa umma niliyepata kumtembelea mara kwa mara na kusafiri naye kwenhe ndege yake,ninashuhudia upendo aliokuwa nao kwa ajili ya kila mtu aliyekuwa mwema.
RIP jk nyerere japo umeiacha family yako gizani pia tunajua.haukufa bado upo uwasalimie wazee wetu huko na mtulinde kwa mabaya japo ulipingana na asili yako ila najua ulifanya hivyo kwa sababu ya kimamlaka ya hapa duniani tunakuombea uwe mtakatifu wa Afrika yetu tunaimani huta fanya kosa.amen
Hakika Mungu anatupenda Sana wa Africa .hyo ni mwafirika kweli na mzaledo kweli . Ndugu mmoja kutoka Kenya asante Sana kwa huo moyo wa wanawaafrica. Inatambua kweli tunu za kwetu..asante Mungu kwa zawadi ya julius Nyerere mwana wa Africa na mtanzania kweli. Daima nashindwa kusema maisha yake na Hali inayo tunzunguka Sasa watu wa Africa. waliyokuwa uzalendo hawapo tena zaidi tumekuwa makapi tu. Wapo wengine pia tuombe Mungu.
Mwalimu was a true patriot. His Socialist ideology will be missed . Apart from him Kwame Nkurma, Nelson Mandela Kenneth Kaunda Samora Machel Oginga Odinga Jomo Kenyatta were indeed pan Africanists .
" RIP! RIP ! GALLANT SON OF AFRICA! YOU GAVE MORE AND TOOK LESS! VIONGOZI WA AFRICA NZIMA HASA KENYA; IGIZENI/ CHUKUENI MFANO WA UTU NA UONGOZI, SIO KUJITAJIRISHA KWA MALI/ KODI ZA UMMA! ACHENI ULAFI KWANI PESA NA MALI MNAZOMILIKI ZINA DAMU NA NIHARAMU!!! LONG LIVE TANZANIA!!
I Think(When young), was ahead of my time.I loved the way Mwalimu Nyerere was uniting his country by preaching to his people about siasa safi na uongozi mwema.
Baba Nyerere mungu akupe pumziko la amani milele yote. Mioyo yetu daima historian yoko matendo yako Roha nzuri na uzalendo wa dhati baba moyo wangu unkulilia maana nilikuwa kija mzalendo ulietpeleka msmbiji Kwa ajili ukombozi. Wa ndugu zetu. Natamani siku Moja mungu akinips neema nije kuziru ziara lako naamini nitapokea baraka. Asante.
Baba pumzika kwa amani ulikuwa jembe kwelilweli ukatuletea uhuru bila damu kumwagika. Afrika tutakukumbuka sana lala upumzike salama baba ndani ya nchi yako.Amina!!
Ni kweli kabisa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ni BABA WA AFRICA, na wala si kwa ndugu zetu wa Tanzania peke yao. Hata na sisi tunajivunia sera na uongozi safi alioachia bara nzima la Africa. Mungu airehemu roho mahali pema peponi.
Pumzka Kwa amani, mwenye kheri, Mwalimu J. K Nyerere. Mungu Baba atamkumbuka mtumishi wake katika patakatifu pake. Amina.
Tunashukuru sana katoliki moshi online TV kwa uenjilishaji wenu mwema Mungu awabariki
Asante Sana Dada uko vizuri big up Sana.
Asanteni Sana Katoliki online Moshi TV na uongozi mzima wa Parokia na Jimbo letu Katoliki Moshi kwa kuthamini Hija yetu na kuhakikisha tunafanikiwa Walezi wetu Mungu awabariki na kuwainua kwa viwango vya juu zaidi. Mbarikiwe Sana wote
Mungu amlaze mahali pema.peponi,kazi kubwa alifanya,alie shka nyayo zake ni magufuli nae hayupo,mungu atulinde tanzania imebaki historian tu
Hongereni sana Katoliki Moshi Katoliki Online kwa habari na historia nzuri tena huyu dada is very smart anahaditha vizuri mno
Umeelezea vzr dada chukua mauayako🎉🎉🎉
😂😂😂
Uko sahihi ameelezea vizuri sana,anastahili kupewa maua
❤❤🎉🎉 barikiwa sana
Nampenda sana marehemu mwalimu Nyerere. Yeye alikua kiongozi wa kipekee aliyependa Tanzania na watu wa Tanzania. Aliunganisha taifa na akamaliza ukabila. Pia alikataa na kupinga utajiri wa haramu na alikataa kuzitumia nguvu zake za kiserikali ili kuwanyonya Watanzania wenzake. Mungu amuweke mahali pema. Atazidi kukumbukwa na kujeshimiwa milele na milele.
Namkubali mno Baba wa Taifa, kwa ujasri wake mkuu wa kuamua kuacha kazi ya Ualimu na kuanza pilika za Siasa kpindi cha Ukoloni c mchezo, matokeo akawa Rais japo mwenyewe alimependa kuitwa mwl na c mtu wa kujikweza.
Africa's best! One of the most remarkable human beings who ever lived on earth!
Hongera kwa katoliki on line TV kurusha matangazo ya kumbukizi ya mwalimu Julius kambarage Nyerere
Ahxante dad Kwa maelekezo Yako historia ni nzr mungu ampumzixhe Baba ye2 wa Taifa mahali pema pepon amina
Ahsanteni sana sikuwa nafahamu yote hayo 😢 mbarikiwe katoliki moshi online tv 🎉🎉🎉
Amina
Safii sanaaa mungu awabarii wotee mnaozidi kuendelez utamaduni wetuu
RIP JK Nyerere hukuwa na makuu na wala hukujilimbikizia mali kama hawa chawa wa sasa. Mungu akupe pumziko la milele
Kabisa
Kazi nzuri kwa baba wa bara la Africa kwa ujumla,kweli alikuwa na utu wa watu wake,pongezi pia dada kwa umakini na uwelezaji wako wa umakini sana
hongera sana kwa tv yetu pendwa ya jimbo la moshi...
Ahsante Mwl Nyerere.
.oh;
Mungu ibariki afrika,umpokee mwalimu Nyerere ktk makao yako mbinguni. Amina
From Kenya & I'm enjoying the history thank you
Baba aliheshimika sana ❤,,in school they used to refer me as kabarange 🎉🎉 since of leadership capabilities,,rip Nyerere 😢
Ahsante Kwa kuendelea kudumisha utamaduni wetu mungu awabariki sana
Hongera dada upo vizuri sana
Dada yupo vizuri sana Kwa kweli
Hongeraa sana dada kwa maelezo yako mazuri, Nimekupenda sana
kabisa utazani alikuwepo anavyosimulia vizuri
Huyu dada anatunza kumbukumbu nyingi big up my sister
Asante tuli kuwa hatuyajui haya yote Mungu awabariki sana
Asanteni sana kwa kutufamisha hayo ya kumhusu hayati wetu tumuombeee ili mchakato ufanikiwe.
Yeeess Asante sana ddke
Asante sana kwa taarifa hizi na picha makumbusho
Ila hujatuonyesha mawe yaliyopo ndani kwenye jengo jamani
Mwenyezi mungu awalaze pahala pema peponi marehemu wote waliotangulia mbele ya haki, Ameen
Mungu hamkubali mtu asio silimu
Asante you tube kutuletea moja ya tunu za kiafrika na ulimwengu kwa ujumla
Tutambue kuwa Tanzania ndiyo bustani ya Eden penginepo ni uzushi tu
Nakupenda Sana Baba YETU kipenzi. Pumzika kwa Amani MBINGUNI. Ombea Taifa letu pendwa Tanzania. Waombee Viongozi wa nchi YETU waendeleze uzalendo uliotuachia Baba yetu mpendwa.Amina
Julius Nyerere a living legend of Africa
Very clean and very close to Tanzania, you seem to be very patriotic, congratulations
Nampenda saana baba wetu wa taifa retu yaani kutoka kwa baba mungu katupa raisi mwema ambae ni baba jonh pombe magufuli Hawa ndio walibeba dhamana yetu kwakuwa mungu nimwingi waneema nakuomba uwabariki milele Amina mwalimu bado tunakupenda saana
😁😁😁eti Siku moja moja unampisha mwenzako,kazi nzuri dada.Mungu amlaze mahala pema baba nyerere.
Amina kama Amina
...Hujawahi kuniangusha
yaan unazagamliwa Kisha unapisha daah Raha kinomaa
Asio kuwa katika dini ya kislaam hamkubali mungu
Uko vizuri nakupa honger🎉🎉🎉🎉🎉
Yeah he was the great leader,,I named my son Nyerere as respect for kambarage Nyerere.
Kweli????
Umetisha
The lady guide is very knowledgeable of her work
mzee Nyerere sii baba wa watanzania peke yenye ni baba wa afrika, mimi ni mkenya lakini naheshimu viongozi wa Tanzania sana.
Karibu Tanzania
Rip
Umenena vyema
Safi sana karibu sana Tanzania 🇹🇿 inaonekana wewe ni mzalendo sana hongera
Karibu sana
Asante kwa kumbukumbu hii .
Hongera Sana Bint umetupa maelezo mazuri na kwa ufasaha mkubwa
Yani one of the best presidents from Africa
Ana mke mmoja 0,+0 hakuna tena chifu
Asante Kwa historia
Hongera kwa video timaam, love from Nairobi, ke
❤❤Mwl JK Nyerere utakumbukwa daima, wewe ulikuwa Baba wa Taifa letu la Tanzania. Starehe kwa Amani 💪💪💪🙏
Amina ❤❤❤
@@adelinelyaruu3036😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Alogudanganya ana starehe ni nani😂😂😂
Hana starehe hata moja
Dada upo vizuri mno❤❤
Aise umeelezea vizuri jamani❤❤
Shujaa Nyerere. Huku kwetu Kisii 🇰🇪 kuna wengi sana walioitwa Nyerere. Kuna wengi katika familia yetu walizaliwa Musoma, Bunda, na Mwanza. Wasomi wengi pia walienda TZ 🇹🇿 kuchapa kazi. Ndugu zetu Wakurya wakimtimua Amin Dada. Asante sana kwa kutuonyesha. Ninapanga kutalii hapo. Nitakubaliwa kuingia?! Sina shida na kulipia.
Asante kwa history
Good 👍
Asante kwa ujumbe
Nafulahi sana kuona na kuskia story ya baba yetu afrca ,j.k .nyerere .asante sana mungu akubalki ukouliko
Baba yetu Nyerere daima utaishi kweny mioyo yetu. Pumzik kwa aman Baba 🙏
Napenda watazania
Namkumbuka sana nyerere
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi amini lala salama babayetu wa taifa letu
Uk vzr dada hongera sanaa🎉
🎉🎉🎉 Aminaa
Nyerere alikuwa kiongozi wa kikweli na wa dhati.Hakuingia kwa uongozi kujitajirisha kama huyo muuwaji, mwizi mkuu , fisadi wa kupindukia , tapeli, msema urongo 24/7rais wa bandia Ruto hapa kenya. Mwizi na pepo mweusi
Baba. Wa. Tarifa. Mungu. Amkumbuke. Sana. Amina
Baraka za mungu baba mwenyezi ziwe nawe. Za baba mwana na roho mtakatifu, ziwe nawe baba mtumishi wa mungu;utuombee.Tyk na mbm..
Amina
Hongera sana dada ujakosea napajua vizzuli sana
Amina
Dada umeelezea vzr sana hongera sana
Baba wa uwongozi wa hekima na uwazi. Hukuwaibia watu wako wala kuruhusu familia yako waibe. Pumzika Kwa Amani Baba.
Mungu akuweke pema peponi
Hongera mpo vizuri
Hongeren kwa kutufahamisha mengi kutoka kwenye familia ya baba yetu kigogo
Kabisa tumejua tuliokuwa hatuyajui
In Africa only two legends Mwalimu Nyerere Tanzania and Nelson Mandela South Africa
Yeah true
If you don't mention Kwame Nkrumah I may say you are biased. He too falls in that list.
Add Kwame Nkrumah, Samora Machel, Emperor Haille Sellasie,
Don't forget sedar senghor of Senegal
In Kenya things are really different 😢
Mungu awalinde sana nyerere nawengine wote 😢😢😢
Baba wa Taifa letu tutakukumbuka daima uliacha alama isiyofutika katika Nchi yetu ya Tanzania na Dunia yote kwa ujumla.
Mungu awenaye Daima
Pongezi Sana kwako dada,kifurushi kiliisha nikaamua kwenda kununua vocha,umeinjilisha vizur
Asanteni sana 🥰🥰🥰
Ubarikiwe kaka, kazi nzuri.
Salaam kutoka Zanzibar.
Nimefarijika sana na kumbukumbu mlizotunza kwa ajili ya maisha ya baba wa Taifa.Nakumbuka kuwa alipostaafu wananchi walimpa vitu vingi alipokuwa anawaaga kila mkoa. Pamoja na zawadi alizopewa na Jeshi baada ya kushinda vita ya kumng'oa nduli Idd Amin, inathibitisha kuwa hakujilimbikizia mali za raia wengine kwake na familia yake.Alikuwa na heshima sana kwa kila mtu.Mimi binafsi,nilipata kuwa moja ya watumishi wa umma niliyepata kumtembelea mara kwa mara na kusafiri naye kwenhe ndege yake,ninashuhudia upendo aliokuwa nao kwa ajili ya kila mtu aliyekuwa mwema.
Historya nzuri
Tutakukumbuka daima milele
Asante.dada upo vizuri sana.
Nyerere aliwapenda sana watanzania hukupora Mali
Mdada mpole pia anasauti nzuri
Wao nimefurahi kumuona Gaudensia tumecheza wote utotoni
Tumefurahia historia ya Mwl
From Kenya, listen the kiswahili sanifu
Karibu sana
Asante tutalitambelea kabuli la baba wa taif
RIP jk nyerere japo umeiacha family yako gizani pia tunajua.haukufa bado upo uwasalimie wazee wetu huko na mtulinde kwa mabaya japo ulipingana na asili yako ila najua ulifanya hivyo kwa sababu ya kimamlaka ya hapa duniani tunakuombea uwe mtakatifu wa Afrika yetu tunaimani huta fanya kosa.amen
Acheni ushamba,utakatifu hauji baada yakufa biblia gani mliyo Soma kwamba utakatifu wa mtu huonekana akifa?mmelishwa matangopori,Soma,zaburi 16:3
Hakika Mungu anatupenda Sana wa Africa .hyo ni mwafirika kweli na mzaledo kweli . Ndugu mmoja kutoka Kenya asante Sana kwa huo moyo wa wanawaafrica. Inatambua kweli tunu za kwetu..asante Mungu kwa zawadi ya julius Nyerere mwana wa Africa na mtanzania kweli. Daima nashindwa kusema maisha yake na Hali inayo tunzunguka Sasa watu wa Africa. waliyokuwa uzalendo hawapo tena zaidi tumekuwa makapi tu. Wapo wengine pia tuombe Mungu.
That's great
Mwalimu was a true patriot. His Socialist ideology will be missed . Apart from him Kwame Nkurma, Nelson Mandela Kenneth Kaunda Samora Machel Oginga Odinga Jomo Kenyatta were indeed pan Africanists .
Nilikuwa mwitongo 2022,nilitembezwa mahali hapa na huyu dada,Ndio eneo sahihi la kuona maisha ya kawaida sana kizalendo ya Jk Nyerere.
Nyerere alikua anaishi maisha ya kawaida
" RIP! RIP ! GALLANT SON OF AFRICA! YOU GAVE MORE AND TOOK LESS! VIONGOZI WA AFRICA NZIMA HASA KENYA; IGIZENI/ CHUKUENI MFANO WA UTU NA UONGOZI, SIO KUJITAJIRISHA KWA MALI/ KODI ZA UMMA! ACHENI ULAFI KWANI PESA NA MALI MNAZOMILIKI ZINA DAMU NA NIHARAMU!!! LONG LIVE TANZANIA!!
I Think(When young), was ahead of my time.I loved the way Mwalimu Nyerere was uniting his country by preaching to his people about siasa safi na uongozi mwema.
Ndo penyewe kabisaaaa
Baba Nyerere mungu akupe pumziko la amani milele yote. Mioyo yetu daima historian yoko matendo yako Roha nzuri na uzalendo wa dhati baba moyo wangu unkulilia maana nilikuwa kija mzalendo ulietpeleka msmbiji Kwa ajili ukombozi. Wa ndugu zetu. Natamani siku Moja mungu akinips neema nije kuziru ziara lako naamini nitapokea baraka. Asante.
Baba pumzika kwa amani ulikuwa jembe kwelilweli ukatuletea uhuru bila damu kumwagika. Afrika tutakukumbuka sana lala upumzike salama baba ndani ya nchi yako.Amina!!
Amina 🎉🎉🎉
Agradeço
Uma boa história
Safi sana
Tunashukuru Kwa kumbukumbu ya baba wa taifa na tunamuombea siku moja awe mtakatifu wa wote Amina
Ni kweli kabisa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ni BABA WA AFRICA, na wala si kwa ndugu zetu wa Tanzania peke yao. Hata na sisi tunajivunia sera na uongozi safi alioachia bara nzima la Africa. Mungu airehemu roho mahali pema peponi.
Kweli ni baba yetu
Pumzika kwa amani utukomboa kutoka wakoloni🎉🎉🎉🙏
Hasnte sana kwa hiyo Historia fupi ya Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere,Shujaa wa Ukombozi wa AFRIKA..
Sema kweli mm mwalim nyelele japo kuwa sjamkuta ila raisi ambae nafatilia sana istoria yake
Nisome kama mispeles nipo pande hizi huku za chato