NYUMBANI KWA MWALIMU NYERERE, KABURI ALIPOZIKWA NA MAENEO MUHIMU ALIPOISHI KIPINDI CHA UHAI WAKE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 360

  • @MAKOYEJOHN-wp8jo
    @MAKOYEJOHN-wp8jo 11 หลายเดือนก่อน +12

    Pumzka Kwa amani, mwenye kheri, Mwalimu J. K Nyerere. Mungu Baba atamkumbuka mtumishi wake katika patakatifu pake. Amina.

  • @EdmundKiozya-ce2bn
    @EdmundKiozya-ce2bn ปีที่แล้ว +16

    Tunashukuru sana katoliki moshi online TV kwa uenjilishaji wenu mwema Mungu awabariki

  • @baybeshayo18
    @baybeshayo18 ปีที่แล้ว +17

    Asante Sana Dada uko vizuri big up Sana.

  • @winnieavit5985
    @winnieavit5985 ปีที่แล้ว +14

    Asanteni Sana Katoliki online Moshi TV na uongozi mzima wa Parokia na Jimbo letu Katoliki Moshi kwa kuthamini Hija yetu na kuhakikisha tunafanikiwa Walezi wetu Mungu awabariki na kuwainua kwa viwango vya juu zaidi. Mbarikiwe Sana wote

  • @masumbukomambasa5161
    @masumbukomambasa5161 8 วันที่ผ่านมา

    Mungu amlaze mahali pema.peponi,kazi kubwa alifanya,alie shka nyayo zake ni magufuli nae hayupo,mungu atulinde tanzania imebaki historian tu

  • @francismkenda
    @francismkenda ปีที่แล้ว +4

    Hongereni sana Katoliki Moshi Katoliki Online kwa habari na historia nzuri tena huyu dada is very smart anahaditha vizuri mno

  • @frontoffice8676
    @frontoffice8676 ปีที่แล้ว +33

    Umeelezea vzr dada chukua mauayako🎉🎉🎉

    • @jerryshow5595
      @jerryshow5595 ปีที่แล้ว

      😂😂😂

    • @salomeshongola1697
      @salomeshongola1697 ปีที่แล้ว +1

      Uko sahihi ameelezea vizuri sana,anastahili kupewa maua
      ❤❤🎉🎉 barikiwa sana

  • @mutuuramwangi1913
    @mutuuramwangi1913 8 หลายเดือนก่อน +6

    Nampenda sana marehemu mwalimu Nyerere. Yeye alikua kiongozi wa kipekee aliyependa Tanzania na watu wa Tanzania. Aliunganisha taifa na akamaliza ukabila. Pia alikataa na kupinga utajiri wa haramu na alikataa kuzitumia nguvu zake za kiserikali ili kuwanyonya Watanzania wenzake. Mungu amuweke mahali pema. Atazidi kukumbukwa na kujeshimiwa milele na milele.

    • @ReubenRaymond-zh4yw
      @ReubenRaymond-zh4yw 6 หลายเดือนก่อน +1

      Namkubali mno Baba wa Taifa, kwa ujasri wake mkuu wa kuamua kuacha kazi ya Ualimu na kuanza pilika za Siasa kpindi cha Ukoloni c mchezo, matokeo akawa Rais japo mwenyewe alimependa kuitwa mwl na c mtu wa kujikweza.

  • @abeloriri8030
    @abeloriri8030 28 วันที่ผ่านมา +2

    Africa's best! One of the most remarkable human beings who ever lived on earth!

  • @ThedyKanje
    @ThedyKanje ปีที่แล้ว +9

    Hongera kwa katoliki on line TV kurusha matangazo ya kumbukizi ya mwalimu Julius kambarage Nyerere

  • @RedemthaMaganga
    @RedemthaMaganga ปีที่แล้ว +2

    Ahxante dad Kwa maelekezo Yako historia ni nzr mungu ampumzixhe Baba ye2 wa Taifa mahali pema pepon amina

  • @jerryshow5595
    @jerryshow5595 ปีที่แล้ว +10

    Ahsanteni sana sikuwa nafahamu yote hayo 😢 mbarikiwe katoliki moshi online tv 🎉🎉🎉

  • @CecyMasayi
    @CecyMasayi ปีที่แล้ว +3

    Safii sanaaa mungu awabarii wotee mnaozidi kuendelez utamaduni wetuu

  • @MaryStambuli-r4p
    @MaryStambuli-r4p ปีที่แล้ว +16

    RIP JK Nyerere hukuwa na makuu na wala hukujilimbikizia mali kama hawa chawa wa sasa. Mungu akupe pumziko la milele

  • @davidlemooli4011
    @davidlemooli4011 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kazi nzuri kwa baba wa bara la Africa kwa ujumla,kweli alikuwa na utu wa watu wake,pongezi pia dada kwa umakini na uwelezaji wako wa umakini sana

  • @pmp-255
    @pmp-255 ปีที่แล้ว +10

    hongera sana kwa tv yetu pendwa ya jimbo la moshi...

  • @clementhiddi1486
    @clementhiddi1486 ปีที่แล้ว +7

    Ahsante Mwl Nyerere.

  • @SamuelSaito-p7y
    @SamuelSaito-p7y 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu ibariki afrika,umpokee mwalimu Nyerere ktk makao yako mbinguni. Amina

  • @Davistoto1949
    @Davistoto1949 ปีที่แล้ว +7

    From Kenya & I'm enjoying the history thank you

  • @julliuzzkyallo-mf9db
    @julliuzzkyallo-mf9db 14 วันที่ผ่านมา +1

    Baba aliheshimika sana ❤,,in school they used to refer me as kabarange 🎉🎉 since of leadership capabilities,,rip Nyerere 😢

  • @CharlesMunge-fo1wv
    @CharlesMunge-fo1wv ปีที่แล้ว +4

    Ahsante Kwa kuendelea kudumisha utamaduni wetu mungu awabariki sana

  • @aberemanwer2939
    @aberemanwer2939 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera dada upo vizuri sana

    • @EricMhongole
      @EricMhongole 3 หลายเดือนก่อน

      Dada yupo vizuri sana Kwa kweli

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 ปีที่แล้ว +3

    Hongeraa sana dada kwa maelezo yako mazuri, Nimekupenda sana

    • @elinamethod9298
      @elinamethod9298 ปีที่แล้ว

      kabisa utazani alikuwepo anavyosimulia vizuri

  • @RonnieBertin
    @RonnieBertin 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu dada anatunza kumbukumbu nyingi big up my sister

  • @mustorytellermullah2737
    @mustorytellermullah2737 ปีที่แล้ว +2

    Asante tuli kuwa hatuyajui haya yote Mungu awabariki sana

  • @sophiamhaiki2485
    @sophiamhaiki2485 ปีที่แล้ว +3

    Asanteni sana kwa kutufamisha hayo ya kumhusu hayati wetu tumuombeee ili mchakato ufanikiwe.

  • @PeruziYusto
    @PeruziYusto 11 หลายเดือนก่อน

    Yeeess Asante sana ddke

  • @MichaelaPhilip-q9k
    @MichaelaPhilip-q9k 20 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Asante sana kwa taarifa hizi na picha makumbusho
    Ila hujatuonyesha mawe yaliyopo ndani kwenye jengo jamani

  • @ZainaJuma-t5g
    @ZainaJuma-t5g 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mwenyezi mungu awalaze pahala pema peponi marehemu wote waliotangulia mbele ya haki, Ameen

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 วันที่ผ่านมา

      Mungu hamkubali mtu asio silimu

  • @RevocatusSeverine
    @RevocatusSeverine 3 หลายเดือนก่อน

    Asante you tube kutuletea moja ya tunu za kiafrika na ulimwengu kwa ujumla
    Tutambue kuwa Tanzania ndiyo bustani ya Eden penginepo ni uzushi tu

  • @salalagonzales5203
    @salalagonzales5203 5 หลายเดือนก่อน

    Nakupenda Sana Baba YETU kipenzi. Pumzika kwa Amani MBINGUNI. Ombea Taifa letu pendwa Tanzania. Waombee Viongozi wa nchi YETU waendeleze uzalendo uliotuachia Baba yetu mpendwa.Amina

  • @wybzokizzy4416
    @wybzokizzy4416 ปีที่แล้ว +4

    Julius Nyerere a living legend of Africa

    • @PascalChales-r7o
      @PascalChales-r7o ปีที่แล้ว

      Very clean and very close to Tanzania, you seem to be very patriotic, congratulations

  • @BenjaminMangombe
    @BenjaminMangombe 6 หลายเดือนก่อน

    Nampenda saana baba wetu wa taifa retu yaani kutoka kwa baba mungu katupa raisi mwema ambae ni baba jonh pombe magufuli Hawa ndio walibeba dhamana yetu kwakuwa mungu nimwingi waneema nakuomba uwabariki milele Amina mwalimu bado tunakupenda saana

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 ปีที่แล้ว +3

    😁😁😁eti Siku moja moja unampisha mwenzako,kazi nzuri dada.Mungu amlaze mahala pema baba nyerere.

    • @timothympandagoya6338
      @timothympandagoya6338 10 หลายเดือนก่อน

      Amina kama Amina
      ...Hujawahi kuniangusha

    • @MeshackLukanda
      @MeshackLukanda 3 หลายเดือนก่อน

      yaan unazagamliwa Kisha unapisha daah Raha kinomaa

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 วันที่ผ่านมา

      Asio kuwa katika dini ya kislaam hamkubali mungu

  • @HappyJoel-g1z
    @HappyJoel-g1z 4 หลายเดือนก่อน

    Uko vizuri nakupa honger🎉🎉🎉🎉🎉

  • @raymondjohn3798
    @raymondjohn3798 ปีที่แล้ว +2

    Yeah he was the great leader,,I named my son Nyerere as respect for kambarage Nyerere.

  • @ChausikuThobias
    @ChausikuThobias 3 หลายเดือนก่อน

    Umetisha

  • @ElijahOmollo-v9y
    @ElijahOmollo-v9y 27 วันที่ผ่านมา

    The lady guide is very knowledgeable of her work

  • @jamessitati7396
    @jamessitati7396 ปีที่แล้ว +119

    mzee Nyerere sii baba wa watanzania peke yenye ni baba wa afrika, mimi ni mkenya lakini naheshimu viongozi wa Tanzania sana.

  • @JosephTherathini
    @JosephTherathini 5 หลายเดือนก่อน

    Asante kwa kumbukumbu hii .

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera Sana Bint umetupa maelezo mazuri na kwa ufasaha mkubwa

  • @PatrickMaina-u9l
    @PatrickMaina-u9l 11 หลายเดือนก่อน +8

    Yani one of the best presidents from Africa

    • @josephjulio6112
      @josephjulio6112 3 หลายเดือนก่อน

      Ana mke mmoja 0,+0 hakuna tena chifu

  • @YastarJuma
    @YastarJuma 11 หลายเดือนก่อน

    Asante Kwa historia

  • @jullyborn81
    @jullyborn81 ปีที่แล้ว +2

    Hongera kwa video timaam, love from Nairobi, ke

  • @batistamngullu9235
    @batistamngullu9235 ปีที่แล้ว +11

    ❤❤Mwl JK Nyerere utakumbukwa daima, wewe ulikuwa Baba wa Taifa letu la Tanzania. Starehe kwa Amani 💪💪💪🙏

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 ปีที่แล้ว

      Amina ❤❤❤

    • @AndreaMwasavala
      @AndreaMwasavala ปีที่แล้ว

      ​@@adelinelyaruu3036😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

    • @AndreaMwasavala
      @AndreaMwasavala ปีที่แล้ว

      ​😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

    • @ramahkesh9360
      @ramahkesh9360 2 หลายเดือนก่อน

      Alogudanganya ana starehe ni nani😂😂😂

    • @abdillahjuma4489
      @abdillahjuma4489 2 หลายเดือนก่อน

      Hana starehe hata moja

  • @hilderndosi1333
    @hilderndosi1333 11 หลายเดือนก่อน

    Dada upo vizuri mno❤❤

  • @WitnessShamba-wm4tq
    @WitnessShamba-wm4tq ปีที่แล้ว +1

    Aise umeelezea vizuri jamani❤❤

  • @felixmakinda7689
    @felixmakinda7689 หลายเดือนก่อน

    Shujaa Nyerere. Huku kwetu Kisii 🇰🇪 kuna wengi sana walioitwa Nyerere. Kuna wengi katika familia yetu walizaliwa Musoma, Bunda, na Mwanza. Wasomi wengi pia walienda TZ 🇹🇿 kuchapa kazi. Ndugu zetu Wakurya wakimtimua Amin Dada. Asante sana kwa kutuonyesha. Ninapanga kutalii hapo. Nitakubaliwa kuingia?! Sina shida na kulipia.

  • @DaudKayuni
    @DaudKayuni ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa history

  • @LeepaKaleya-z1s
    @LeepaKaleya-z1s ปีที่แล้ว +1

    Good 👍

  • @JustusMuunda-q7s
    @JustusMuunda-q7s ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa ujumbe

  • @Deusgaudens
    @Deusgaudens 4 หลายเดือนก่อน

    Nafulahi sana kuona na kuskia story ya baba yetu afrca ,j.k .nyerere .asante sana mungu akubalki ukouliko

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 ปีที่แล้ว +1

    Baba yetu Nyerere daima utaishi kweny mioyo yetu. Pumzik kwa aman Baba 🙏

  • @KINGKIBASimiyu
    @KINGKIBASimiyu ปีที่แล้ว +1

    Napenda watazania

  • @rosemichael5268
    @rosemichael5268 5 หลายเดือนก่อน

    Namkumbuka sana nyerere

  • @kwayaviwawaparokiayabashne9281
    @kwayaviwawaparokiayabashne9281 11 หลายเดือนก่อน

    Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi amini lala salama babayetu wa taifa letu

  • @Abdulaziz-tb1gd
    @Abdulaziz-tb1gd 11 หลายเดือนก่อน

    Uk vzr dada hongera sanaa🎉

  • @lytonmakoi
    @lytonmakoi ปีที่แล้ว +3

    🎉🎉🎉 Aminaa

  • @mohamedsolomonkuma
    @mohamedsolomonkuma หลายเดือนก่อน +1

    Nyerere alikuwa kiongozi wa kikweli na wa dhati.Hakuingia kwa uongozi kujitajirisha kama huyo muuwaji, mwizi mkuu , fisadi wa kupindukia , tapeli, msema urongo 24/7rais wa bandia Ruto hapa kenya. Mwizi na pepo mweusi

  • @magdalenadeusi760
    @magdalenadeusi760 4 หลายเดือนก่อน

    Baba. Wa. Tarifa. Mungu. Amkumbuke. Sana. Amina

  • @tinoisuzu
    @tinoisuzu ปีที่แล้ว +1

    Baraka za mungu baba mwenyezi ziwe nawe. Za baba mwana na roho mtakatifu, ziwe nawe baba mtumishi wa mungu;utuombee.Tyk na mbm..

  • @NeemaSanga-r7z
    @NeemaSanga-r7z หลายเดือนก่อน

    Hongera sana dada ujakosea napajua vizzuli sana

  • @WillBat-gc9ex
    @WillBat-gc9ex ปีที่แล้ว +1

    Amina

  • @Allyhujjat
    @Allyhujjat 5 หลายเดือนก่อน

    Dada umeelezea vzr sana hongera sana

  • @alfredolaba9532
    @alfredolaba9532 ปีที่แล้ว +4

    Baba wa uwongozi wa hekima na uwazi. Hukuwaibia watu wako wala kuruhusu familia yako waibe. Pumzika Kwa Amani Baba.

  • @EmilyLaitigo
    @EmilyLaitigo 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu akuweke pema peponi

  • @HildagardaFransice
    @HildagardaFransice ปีที่แล้ว +3

    Hongera mpo vizuri

  • @AvelinaMwanyilu
    @AvelinaMwanyilu ปีที่แล้ว +2

    Hongeren kwa kutufahamisha mengi kutoka kwenye familia ya baba yetu kigogo

  • @HadijaFakhi-ss3bu
    @HadijaFakhi-ss3bu ปีที่แล้ว +9

    In Africa only two legends Mwalimu Nyerere Tanzania and Nelson Mandela South Africa

    • @videoallstream
      @videoallstream ปีที่แล้ว +1

      Yeah true

    • @simulizitamumedia
      @simulizitamumedia 7 หลายเดือนก่อน

      If you don't mention Kwame Nkrumah I may say you are biased. He too falls in that list.

    • @chuoldhuorjr9556
      @chuoldhuorjr9556 4 หลายเดือนก่อน

      Add Kwame Nkrumah, Samora Machel, Emperor Haille Sellasie,

    • @shadrackkamosobin7515
      @shadrackkamosobin7515 3 หลายเดือนก่อน

      Don't forget sedar senghor of Senegal

    • @alber6431
      @alber6431 หลายเดือนก่อน

      In Kenya things are really different 😢

  • @AnithaStiven
    @AnithaStiven 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu awalinde sana nyerere nawengine wote 😢😢😢

  • @RyanModas-pl8ps
    @RyanModas-pl8ps ปีที่แล้ว +13

    Baba wa Taifa letu tutakukumbuka daima uliacha alama isiyofutika katika Nchi yetu ya Tanzania na Dunia yote kwa ujumla.

  • @PhelisterTei-ok4wj
    @PhelisterTei-ok4wj ปีที่แล้ว +1

    Mungu awenaye Daima

  • @yasintakiluswa6053
    @yasintakiluswa6053 3 หลายเดือนก่อน

    Pongezi Sana kwako dada,kifurushi kiliisha nikaamua kwenda kununua vocha,umeinjilisha vizur

  • @dianakalimba
    @dianakalimba ปีที่แล้ว +1

    Asanteni sana 🥰🥰🥰

  • @SaidIssa-tq3yv
    @SaidIssa-tq3yv 5 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe kaka, kazi nzuri.
    Salaam kutoka Zanzibar.

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri 2 หลายเดือนก่อน

    Nimefarijika sana na kumbukumbu mlizotunza kwa ajili ya maisha ya baba wa Taifa.Nakumbuka kuwa alipostaafu wananchi walimpa vitu vingi alipokuwa anawaaga kila mkoa. Pamoja na zawadi alizopewa na Jeshi baada ya kushinda vita ya kumng'oa nduli Idd Amin, inathibitisha kuwa hakujilimbikizia mali za raia wengine kwake na familia yake.Alikuwa na heshima sana kwa kila mtu.Mimi binafsi,nilipata kuwa moja ya watumishi wa umma niliyepata kumtembelea mara kwa mara na kusafiri naye kwenhe ndege yake,ninashuhudia upendo aliokuwa nao kwa ajili ya kila mtu aliyekuwa mwema.

  • @EliasMwita-q3x
    @EliasMwita-q3x 3 หลายเดือนก่อน

    Historya nzuri

  • @MajunMsouth
    @MajunMsouth 4 หลายเดือนก่อน

    Tutakukumbuka daima milele

  • @gililwise
    @gililwise 3 หลายเดือนก่อน

    Asante.dada upo vizuri sana.

  • @lugwetunje3896
    @lugwetunje3896 7 หลายเดือนก่อน +1

    Nyerere aliwapenda sana watanzania hukupora Mali

  • @dinachiwaligo
    @dinachiwaligo 9 หลายเดือนก่อน

    Mdada mpole pia anasauti nzuri

  • @godfreymuroba7973
    @godfreymuroba7973 ปีที่แล้ว +5

    Wao nimefurahi kumuona Gaudensia tumecheza wote utotoni

  • @pastorytety3935
    @pastorytety3935 ปีที่แล้ว +2

    Tumefurahia historia ya Mwl

  • @franciskatona4252
    @franciskatona4252 ปีที่แล้ว +1

    From Kenya, listen the kiswahili sanifu

  • @IsayaMsigwa-qv3ol
    @IsayaMsigwa-qv3ol 8 หลายเดือนก่อน

    Asante tutalitambelea kabuli la baba wa taif

  • @OmontoOg
    @OmontoOg 9 หลายเดือนก่อน +1

    RIP jk nyerere japo umeiacha family yako gizani pia tunajua.haukufa bado upo uwasalimie wazee wetu huko na mtulinde kwa mabaya japo ulipingana na asili yako ila najua ulifanya hivyo kwa sababu ya kimamlaka ya hapa duniani tunakuombea uwe mtakatifu wa Afrika yetu tunaimani huta fanya kosa.amen

    • @Isaya-xy2bl
      @Isaya-xy2bl 8 หลายเดือนก่อน

      Acheni ushamba,utakatifu hauji baada yakufa biblia gani mliyo Soma kwamba utakatifu wa mtu huonekana akifa?mmelishwa matangopori,Soma,zaburi 16:3

  • @SofiaSofi-q6r
    @SofiaSofi-q6r 3 หลายเดือนก่อน

    Hakika Mungu anatupenda Sana wa Africa .hyo ni mwafirika kweli na mzaledo kweli . Ndugu mmoja kutoka Kenya asante Sana kwa huo moyo wa wanawaafrica. Inatambua kweli tunu za kwetu..asante Mungu kwa zawadi ya julius Nyerere mwana wa Africa na mtanzania kweli. Daima nashindwa kusema maisha yake na Hali inayo tunzunguka Sasa watu wa Africa. waliyokuwa uzalendo hawapo tena zaidi tumekuwa makapi tu. Wapo wengine pia tuombe Mungu.

  • @fredrickkevogo
    @fredrickkevogo 5 หลายเดือนก่อน

    That's great

  • @ojangootieno7842
    @ojangootieno7842 ปีที่แล้ว +6

    Mwalimu was a true patriot. His Socialist ideology will be missed . Apart from him Kwame Nkurma, Nelson Mandela Kenneth Kaunda Samora Machel Oginga Odinga Jomo Kenyatta were indeed pan Africanists .

  • @charleschinguile-c7b
    @charleschinguile-c7b 7 หลายเดือนก่อน +1

    Nilikuwa mwitongo 2022,nilitembezwa mahali hapa na huyu dada,Ndio eneo sahihi la kuona maisha ya kawaida sana kizalendo ya Jk Nyerere.

  • @ramadhanchenga4606
    @ramadhanchenga4606 ปีที่แล้ว +6

    Nyerere alikua anaishi maisha ya kawaida

  • @kuschprince3216
    @kuschprince3216 ปีที่แล้ว +1

    " RIP! RIP ! GALLANT SON OF AFRICA! YOU GAVE MORE AND TOOK LESS! VIONGOZI WA AFRICA NZIMA HASA KENYA; IGIZENI/ CHUKUENI MFANO WA UTU NA UONGOZI, SIO KUJITAJIRISHA KWA MALI/ KODI ZA UMMA! ACHENI ULAFI KWANI PESA NA MALI MNAZOMILIKI ZINA DAMU NA NIHARAMU!!! LONG LIVE TANZANIA!!

  • @haggairaywer7002
    @haggairaywer7002 ปีที่แล้ว +6

    I Think(When young), was ahead of my time.I loved the way Mwalimu Nyerere was uniting his country by preaching to his people about siasa safi na uongozi mwema.

    • @voronicashaban3478
      @voronicashaban3478 ปีที่แล้ว +1

      Ndo penyewe kabisaaaa

    • @reubeinmmary
      @reubeinmmary ปีที่แล้ว

      Baba Nyerere mungu akupe pumziko la amani milele yote. Mioyo yetu daima historian yoko matendo yako Roha nzuri na uzalendo wa dhati baba moyo wangu unkulilia maana nilikuwa kija mzalendo ulietpeleka msmbiji Kwa ajili ukombozi. Wa ndugu zetu. Natamani siku Moja mungu akinips neema nije kuziru ziara lako naamini nitapokea baraka. Asante.

  • @helenarhobi1250
    @helenarhobi1250 ปีที่แล้ว +2

    Baba pumzika kwa amani ulikuwa jembe kwelilweli ukatuletea uhuru bila damu kumwagika. Afrika tutakukumbuka sana lala upumzike salama baba ndani ya nchi yako.Amina!!

  • @salesiomweda1747
    @salesiomweda1747 ปีที่แล้ว +4

    Agradeço
    Uma boa história

  • @EdgaLiko
    @EdgaLiko 11 หลายเดือนก่อน

    Safi sana

  • @YustaHilly
    @YustaHilly 5 หลายเดือนก่อน

    Tunashukuru Kwa kumbukumbu ya baba wa taifa na tunamuombea siku moja awe mtakatifu wa wote Amina

  • @MWARUNGUKALIMBOMWANDOE
    @MWARUNGUKALIMBOMWANDOE ปีที่แล้ว +1

    Ni kweli kabisa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ni BABA WA AFRICA, na wala si kwa ndugu zetu wa Tanzania peke yao. Hata na sisi tunajivunia sera na uongozi safi alioachia bara nzima la Africa. Mungu airehemu roho mahali pema peponi.

  • @halimalachpat1927
    @halimalachpat1927 ปีที่แล้ว +2

    Pumzika kwa amani utukomboa kutoka wakoloni🎉🎉🎉🙏

  • @osodowilberforce2321
    @osodowilberforce2321 ปีที่แล้ว +8

    Hasnte sana kwa hiyo Historia fupi ya Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere,Shujaa wa Ukombozi wa AFRIKA..

    • @pereseKing
      @pereseKing 8 หลายเดือนก่อน

      Sema kweli mm mwalim nyelele japo kuwa sjamkuta ila raisi ambae nafatilia sana istoria yake

    • @pereseKing
      @pereseKing 8 หลายเดือนก่อน

      Nisome kama mispeles nipo pande hizi huku za chato