YESU KRISTO ATUREHEMU HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO WATEULE TUWE MACHO MWENYE KUJITAKASA AZIDI KUJITAKASA MWENYE KUDHULUMU AZIDI KUDHULUMU KUDHULUMU HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO
Masanja, geuka haraka! umepotea mdogo wangu! Huyo siyo nabii ni mchawi kama wachawi wengine, ni vizuri umuombe Yesu akufungue macho! ila nilichogundua watu wanakupenda. Hebu angalia coments za watu.
Masanja usidanganyike ,we binafsi Mtafute Mungu ataonekana ,achana na watu ,kama uliitwa kweli nadhani ulikua peke yako na siku ya hukumu utasimama peke yako na YESU Ili akuhukumu na hao huta waona ,Mungu hanaga wengi wape Bali ni jitahidi uingie ,nakushauri mtumikie Mungu kwa utakatifu, haki ,na unyenyekevu utavuka tuu, manabii wa uongo ni wengi Sana na kuwatambua ni vigumu Matayo 24 yote utaona ,Acha kuwasifu watu waache Mungu ndio ataamua hatima Yao kama ni wa kweli au usanii ,( ukitaka kujua maisha ya mitume we soma Biblia tuu utaona walivyoishi na walivyofanya na walivyo enenda kama kweli maisha Yao yanalinganishwa na mitume wa kweli ,) Kristo ni yeye yule Jana Leo na hata Milele hakuna wokovu wa kisasa Wala mwenendo wa kisasa Wala utakatifu wa kisasa ,jihadhari Sana nafsi yako , wengi watapoteza wengi .
@@eliasselemani1963 ha ha haaaaaa! Unamaanisha kjjn ndy kukosalamaaa!!!!??? Hkuna bhana sasahv vyombo vya hbr vmefny dunia iwe mtaa nenda kjjn sasahv mchngj wa hapohapo kjjn wat hawamjui jina ila nabii wa uongo wa Dar wanamjua na vikorokoro vyke wanavyo had chumban kwao
Bible verse,, ,, hivyo husema, Amka wewe usinziaye ufufuke katika wafu na kristo atakuangazia,,,,,,waefeso 5:14,,,,,,, wapendwa tuamke wewe unayeona haya matukio amka hizi ni nyakati za hatari San
Wanasema wameitwa kumbe ndo wapuuzi kwanini mnalitumia jina la YESU kupoteza watu na kujitwalia heshima wewe ni nan watu wakupigie magoti acheni upuuzi jaman 😭😭😭😭😭😭😭😭
Huyo aliyevaa shera nae ni nabii au macho yangu😢😢😢…dah ngoja nimuachie Mungu ndio wa kuhukumu ila nawashauri watu wabaki na wadhehebu zao maana Mungu yupo kwa kila aaminie
1 Lakini ufahamu neno hili, ya kuwa siku za mwisho kutakuwako nyakati za hatari. 16 Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki; '2 Timotheo 3:1-16'
Sasahv Mungu c kawa k.m anko tuu tna ht kw anko mdada haend na visuruali ila madhabahuni bnt anasogelea na mavaz ya uchi bila haibu, jamaniii" M/ KE KUVAA SURUALI HT KM N Y SUT NI KUWA UCHI, ni roho ya yezeberi makanisani!
Mungu wangu mpka mi sielewi wanatu changanya kuna niliokua mawaamini pia naanza kupoteza imani kwao sasa Mungu tusaidie tu hiz ni zama za mwisho kwa kweli
Yaani hapa kuna kitu cha kujifunza,hili ni kundi la wachumia tumbo ambao wanaongea lugha moja....nahisi wanajuana na kuwacheka mazuzu kwamba wajinga ndio waliwaooo
YESU KRISTO ATUREHEMU HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO WATEULE TUWE MACHO MWENYE KUJITAKASA AZIDI KUJITAKASA MWENYE KUDHULUMU AZIDI KUDHULUMU KUDHULUMU HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO
kwelimpendwa nichangamoto. MUNGU anisaidie atusaidie maigizo kama. haya
Daaah pesa inatutenganisha na mungu kabisaaa😢😢😢😢
ndiyohivyo ilawapo. watakao. Simama tu namungu atatushidia
Nasikitika nahisi uchungu usioelekeza,,, Mungu turehemu
Yaani we achatu nasikia hasra ya Bwana nikuwa saga wote hawa
Kabisa.Mungu anachezewa kiasinhiki??inatia uchungu sana
naumia Sana mungu wamemfanya. kama babuyao
Yaan Mungu aturehemu
Masanja, geuka haraka! umepotea mdogo wangu! Huyo siyo nabii ni mchawi kama wachawi wengine, ni vizuri umuombe Yesu akufungue macho! ila nilichogundua watu wanakupenda. Hebu angalia coments za watu.
Mazingaombwe
Nilidhani Masanja yuko upande Wa Nuru,kumbe na yeye ni walewale yuko upande wa giza😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 Ni ha ta lii sana,
Kwishaa iyo
I LOVE JESUS SO MUCH.❤..AMENITOA MBALI SANA🙏
Masanja usidanganyike ,we binafsi Mtafute Mungu ataonekana ,achana na watu ,kama uliitwa kweli nadhani ulikua peke yako na siku ya hukumu utasimama peke yako na YESU Ili akuhukumu na hao huta waona ,Mungu hanaga wengi wape Bali ni jitahidi uingie ,nakushauri mtumikie Mungu kwa utakatifu, haki ,na unyenyekevu utavuka tuu, manabii wa uongo ni wengi Sana na kuwatambua ni vigumu Matayo 24 yote utaona ,Acha kuwasifu watu waache Mungu ndio ataamua hatima Yao kama ni wa kweli au usanii ,( ukitaka kujua maisha ya mitume we soma Biblia tuu utaona walivyoishi na walivyofanya na walivyo enenda kama kweli maisha Yao yanalinganishwa na mitume wa kweli ,) Kristo ni yeye yule Jana Leo na hata Milele hakuna wokovu wa kisasa Wala mwenendo wa kisasa Wala utakatifu wa kisasa ,jihadhari Sana nafsi yako , wengi watapoteza wengi .
Dunia imekwisha Kazi mnayo ngoja Mbarikiwa awajibu Mapepo ni mengi kwenye iyo ya Mazaba
Hakika YESU yupo mlangoni tuweni macho
Wana wa Ibilisi wamejikusanya
Mihuni ya dunia hii , utani wa wahuni wajitambia mapesa ya uchawi wao , katskela anawajua wote
AFADHALI KUISHI TU HUKU KIJIJINI
MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMA
@@eliasselemani1963 ha ha haaaaaa! Unamaanisha kjjn ndy kukosalamaaa!!!!??? Hkuna bhana sasahv vyombo vya hbr vmefny dunia iwe mtaa nenda kjjn sasahv mchngj wa hapohapo kjjn wat hawamjui jina ila nabii wa uongo wa Dar wanamjua na vikorokoro vyke wanavyo had chumban kwao
Kabisa kaka angu huku dar ni hatar mweee ni hurumaa
Umeona eeeh,Mjini Mambo mengi mno
Hahahahaha ndugu yangu umifurahisha sana... Afadhali kuishi tu kijijini !!! Umewaza nn kamanda wangu?
Yaan mmeona Kwa Yesu ndo pakufichia ushetani wenu
@@user-qg5sc7ie3q yaàan acha tu!
kweli namtafuta MUNGU kibinasfi
Pole sana masanja
Bible verse,, ,, hivyo husema, Amka wewe usinziaye ufufuke katika wafu na kristo atakuangazia,,,,,,waefeso 5:14,,,,,,, wapendwa tuamke wewe unayeona haya matukio amka hizi ni nyakati za hatari San
Wanasema wameitwa kumbe ndo wapuuzi kwanini mnalitumia jina la YESU kupoteza watu na kujitwalia heshima wewe ni nan watu wakupigie magoti acheni upuuzi jaman 😭😭😭😭😭😭😭😭
Matapeli wamekutana jmn hii dunia tunaenda wap 🙏
MUNGU anadharirishwa hivi, jamani. Dunia iko pabaya wamemfanya Mungu kama mjomba
Hahaha 😂😂😂😂😂
Masanjaaaaaaaaaa
Eti Jana ulikuwa wapi?
Nimecheka Hadi basi
OLE WA NCHI NA BAHARI POLENI KUMBE YESU ALISHATUAMBIA KAMA SIKU HAZITAFUPISHWA HAKUNA MTU ATASALIA
Huyo aliyevaa shera nae ni nabii au macho yangu😢😢😢…dah ngoja nimuachie Mungu ndio wa kuhukumu ila nawashauri watu wabaki na wadhehebu zao maana Mungu yupo kwa kila aaminie
1 Lakini ufahamu neno hili, ya kuwa siku za mwisho kutakuwako nyakati za hatari.
16 Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki;
'2 Timotheo 3:1-16'
Usanii mpaka kwa kutumia Jina la Mungu,mmmmm Mungu tuhurume
Sasahv Mungu c kawa k.m anko tuu tna ht kw anko mdada haend na visuruali ila madhabahuni bnt anasogelea na mavaz ya uchi bila haibu, jamaniii" M/ KE KUVAA SURUALI HT KM N Y SUT NI KUWA UCHI, ni roho ya yezeberi makanisani!
Ninaona wahuni watupu tu.
Uhuni sio dhambi mbona,, kwani uhuni mining?
Mtatubu kwa lazima
Hapo kakosekana baba yao Geor devie 😂
Pole myawe kweugenda
Milioni 40 inamuhamisha kwa yesu kbs mi sikujuwa kama muunganiko ni mkubwa hivi kt ma masanja na hawa pesa bibilia itamtenga mtu na mungu nimeamini.
Hana kosa masanja hawez kukataa wageni lzm awapokee
Haaa vituko ,Masanja rudi kwa yesu
Jana ulikuwa wapi afu ukapotezea nimefrahi sana😂😂😂
Vipofu wana wa majoka
TIMU IMEKAMILIKA MKUU, UKITOKA KWA KIBOKO YA WACHAWI UNAKUTANA NA NABII MUUWAJI, MADHABAHUNI HAPAPANDISHWAGI KILA MTU
@@manaseliberatus1347 kaz tunayo!
Jamani pitieni mlango ulio mwembamba
Mungu wangu nin hiki jamani duuh Dunia shuka nisimame
Kuna mwizi anaetumia silaha anaitwa jambazi..kuna mwizi anaetumia siasa anaitwa fisadi..halafu kuna wezi wanotumia jina la mungu....
Dunia imeisha
Nini hiki YESU😢😢
Itatufaa nn kupatata yote Kisha tukose mbingu
Masanja anajua kucheza na akili za wa2
Kweli mbinguni ni mbali
Kumbe masanja ni wale wale
Ulikuwa ujui ni wale wale
Hakika ni walewale
Ngoja ninyamaze maana na imagine kina Paulo huko mbinguni wanatamani washuke
Kwani ma wewe masanja umekuwa mtu wa swaga namna hiyo hee mbona kuzimu mtajaa sana
Mmmmhhh hivi ni vipande 30 tuuuuu
Yaani Masanja umeweka Ukomedi wako hadi knsn,
Umeambiwa nyumba ya Bwana itakuwa nyumba ya Sala, si nyumba ya kufanyia comed
Bodyguard sasa 😂
Acheni mizaha ni Mungu gani huyo mnamwabudu?mbwembwe tupu
Stendi ya kuzimu.
Hatari sana
Kweli Mungu anazihakiwa sana
@@Kelvinchristopher072 duuuu
Mbona makondeko umezeeka hivyo tubu kabula haijawa jioni
Mbona mmeweke kakipande kadogo jamani
Makundi ya wachawi Tanzania ndugu zanguni watanzania ndio hawa tuweni makini
Can i prophesey 😢😅😅😅 Go deeper Papaaa😂😂😂😂 Haki Mungu wangu weq Tuhurumie
Mbarikiwa ndo ameitiwa kazi ya kuwanyoosha hawa watu
Ha ha haaaaaaaaaaaa!
Ngojeni MBARIKIWA awaone mi simo.
May God open Ur children's eyes....the church of God is lost
😂😂😂😂😂 kwahiyo ukigusa viatu vya Masanja umemgusa Nabii
Mukusanyiko ya ma nabii wa uongo
Wahuni mmejikusanya kutapeli watu , serikali tuache kuwatafuta vibaka wengine tofauti na hawa waliojitokeza
wazee wa kazi kazi
Mungu hadhihakiwi jamani muwe makini
Hovyoooooooooooooooooooooooo.upumbavu gani huoooo. YESU GANI HUYO UNAYEMWINGELEA.?
Yan masanja nae,,atapotea anaanza kuweka ujinga nae
@@user-go9ec5jn6l sio atapotea!!!!
Nuru yako imezimaje ghafula kihivo wazazi wako wakiroho bado wanailinda imani
Masanja mpka hapo hakuna kitu hapo
Nimeamini yesu yupo mlangoni.halafu nimejifunza kwamba usiamini mtuyoyote
Amen
Rehema ipite..
Jokers of the gospel
Masanjanlichawi ili
Hii Jina ya yesu yatumika kila Mahali......yesu tusamehe
Mungu awape nguvu wachungaji wote mungu awalinde Sana
@@IssaPara-bt9hg mh
Waganga walio vua kaniki wakavaa suti
Haaaaaa ndugu yangu umenichekesha sana
Yesu anahubiriwa kwa kila njia
@@janengaga2928 mh!
😂😂😂😂😂
Duuuh 🙄
Nimeduwaaaaa
Umeona ee shida
Mungu wangu mpka mi sielewi wanatu changanya kuna niliokua mawaamini pia naanza kupoteza imani kwao sasa Mungu tusaidie tu hiz ni zama za mwisho kwa kweli
Achana nao ucje ukafa kabisa tukakukosa.
@@deborahmchona5584mbona Kama Kuna Rolinga tenaa aiseee nimejikuta naumia sana
Utajua tu.Wamejipanga na wapo vizuri.Mungu hatajwi ila sifa za watu.😂😂😂
Mungu atusamehe sana
Mtatubu kwa lazima huyu mrili alitaka kuniteka ati nimtumie laki saba aniombe hm sina hata dululu
Mmh
kumbe na wewe masanja ni mshenzi tu....MUNGU NA AKUPePERUSHIE MBALI KATIKA JINA LA YESU!!!
Kudadadeki
Yaani hapa kuna kitu cha kujifunza,hili ni kundi la wachumia tumbo ambao wanaongea lugha moja....nahisi wanajuana na kuwacheka mazuzu kwamba wajinga ndio waliwaooo
IPM tabili juu yahiyo fimbo ya kiboko
th-cam.com/video/IOGx-yjgNVM/w-d-xo.html
Akifufuoa Mtume Paulo, ama laana iwale kwa kibadili injili ya Kristo kwa ajili ya njaa yenu.
Ukitaka kujua manabii wa kweli na wauongo angalia kwenye mikussnyiko yao utajua tu ni wale wale kazi ipo ila tz mmejaa sana
Mabii wa uongo nyote