Mungu hajalala amesikia atatenda kwa wakati wake kila mwenye Nia ya dhati kutoka kwenye janga Hilo na atamuinua kwa ukubwa.. Mungu ilinde Tanzania 🇹🇿 iondoe kwenye majanga haya na mengineyo yanayoitesa Dunia. AMEN
Uwiiiiiiiiiiiiiiiii wimbo unagusa sanaaaa .......MAMA YANGU SAMIA NAKUPENDA MAMA NAKUOMBEA UFANIKIWE KUWALEA WATOTO HAWA WA MTAANI WATOTO WETU HAWA NAWAOMBEA SANAA .....
Inachoma moyoni inaniumiza mpaka natokwa na machozi imenifanya nimkumbukue rafiki yangu ambae kaka yake aliuwawa kwa kumchomwa kisu na producer nakabaki yeye na mama yake tu nae alifariki na kuzikwa pembeni ya nyumba yake karibu na gate ili mwanae asije uza nyumba lakini kwa akili ya unga akauza hakujali hata kaburi ya mama yake nyumba ilikuwa ya ghorofa na ukubwa wa eneo zaidi 5000sqm kwa mlioni Mia na 20 tu, inahuzunisha sana namuombea kill kukicha asirudie tena maana aliacha.
Hakika hii ni zaidi ya sanaa. Nawapongeza saaana kwa mlichokifanya, mmefikisha ujumbe kwa njia rahisi na yenye kuvuta hisia. Mungu aliponye taifa letu dhidi ya janga hili.
Mama Samia wewe ni mama nakupenda mnoo MAOMBI YANGU NA DUA ZANGU MUNGU ASIKUACHE ASIKUPUNGUKIE MAMA WEWE NI MAMA MAMA HAWEZI BADILIKA AKAACHA WATOTO WAKE MAMA NAKUOMBEA SANAAA UTUFIKISHE MAHALI SAHIHI MAMA NAKUOMBEA SANAAA
Naomba hii nyimbo ipigwe kwenye azam tv two kabla ya kuanza pambano la yanga tarehe 8 mwezi ujao ili maelfu ya wengi itaonekana na wengi maana hao wateja wengi hawana cm ya whtsup naona watajipata na wataokoka 80 cio Tanzania na nchi jirani pia watapata tiba ! Na pia iwe inapigwa kila cku kwenye tv Amun
Daàaa kiukweli naomba wimbohuu uluxhwe kwenye tv tarehe 8/8/2024 ilimaelfu ya watu waweze kusikiliza angalau kazi ya MUNGU nanguvu yake ikawaponye vijana Amina
Wameu design vzuri huu wimbo na hatta jinsi ya ku ACT uhalisia saafi saana kwa ajili ya kuokoa ambao wanataka kuingia au wameshaingia lakin wanashida ya kutoka.... MADAWA YA KULEVYA HUANZIA KWA KUSHAWISHIWA NA WATU WA KARIBU EITHER MARAFIKI AU WANAFUNZI WENZAKO WENGI WAO HUANZIA MASHULEN...
Hakika mmefanya wanders sanaaaa... Hapa kilichobaki in KUOKOKA TU, MUMPE YESU MAISHA YENU...!!! Maana kuacha dhambi Ba kumwamini YESU na kuokoka ni vena zaidi ya kuacha madawa ya mulevya na kula ngada...!!! YESU ANAWAPENDA BY JESTUS MHELELA
Nimeipenda hii jamani tumewapoteza vjana wetu mi niko kjjni zamani vjana wa kiume na kike walikuwa na umoja wao asub na mapema saa 11 waliwahi mashambani zamu kwa zamu kulima na kupalilia leo watoto wetu wanawahi kwenye magenge ya dawa za kulevye jamani tufanye je tuwanusuru watoto.
Kuna watu wakubwa na wafanyabiashara wa hayo madawa unakuta wapo hapo, watoto wa wenzao wanaangamia wao wanaingiza vipato kwa ajili ya watoto wao, dah Mungu tusaidie
Nimeipenda sana njia hii ya risala, hakuna anayeponyoka kuisikiliza hii, very touching. Tupeni elimu namna ya kuwasaidia hawa tulionao huku mtaani. Tunawasaidia kuwalisha lakini wanahitaji kazi tufanyeje?
nyimbo zilizomtaja JK zote haziimbwi. nyimbo zilizomtaja JPM haziimbwi tena wasanii mjifunze jambo. acha kutaja majina taja vyeo nyimbo zenu zidumu tawala baada ya tawala
Serikari naomba mjenge Simba house nyingi nchini nazitoe huduma bure upite msako mtaan kuwakama waraibu wote WA madawa wakatibiwe jaman yanawatesa watu
JAMANI ombi watengeneze cinema isambae mijini na vijiji Tanzania nzima vijana hawatadhubutu tena tajiri atanue wao waangamie haikubariki waongeze na vikolombozo vingi mfano awepo mtoto wa mchungaji yeye ni mwalimu kaungana na mateja kisha kafukuzwa kazi mama yake naye bp baada ya kuona dada yake kusikia hayo vidonda tumbo baba kisukar then kaka ni advocate anapoteza maisha kwa kuona janga hilo watu wote kupoteza ndoto zao hayo ni mawazo yangu tu naandika ujumbe huu huku Ninalia ni ombi tu
Mungu hajalala amesikia atatenda kwa wakati wake kila mwenye Nia ya dhati kutoka kwenye janga Hilo na atamuinua kwa ukubwa.. Mungu ilinde Tanzania 🇹🇿 iondoe kwenye majanga haya na mengineyo yanayoitesa Dunia. AMEN
Mungu kumbuka watoto wetu ooh yesu asaidieeee matumbo mengi ya wamama yanaliaaaa kwa watoto kutumizaaa oooooh Yesuuuuuu
Ujumbe mzuri ila hapohapo watu wa selikali ndo wanayofanya hayo.inasikitika mnno😢😢😢😢
Najuta kuusikiliza mbele za watu,,bora ningeusikiliza nyumbani nikalia vzr,,maana naona aibu nalia mbele za watu😢😢😢
We lia tu sio shida wakikuuliza ndo useme kinachokuliz
Jaman
Pole my dear
Polee unaumiza hakika
Hii Part 2
Uwiiiiiiiiiiiiiiiii wimbo unagusa sanaaaa .......MAMA YANGU SAMIA NAKUPENDA MAMA NAKUOMBEA UFANIKIWE KUWALEA WATOTO HAWA WA MTAANI WATOTO WETU HAWA NAWAOMBEA SANAA .....
BWANA YESU ULIE KETI MBNGUNI KONE KITI CHA ENZI NAKUOMBA UWASAIDIE WATOTO WETU
AMINA NA ITAKUWA HIVYO TANZANIA NA ULIMWENGUNI KOTE
@@juliethmagezi3104 AMINA KWA JINA LA YESU KRISTO ALIE HAI
Amen
Amina
Hiii ni zuri mno and so emotional hongera sana Mrisho Mpoto
Inachoma moyoni inaniumiza mpaka natokwa na machozi imenifanya nimkumbukue rafiki yangu ambae kaka yake aliuwawa kwa kumchomwa kisu na producer nakabaki yeye na mama yake tu nae alifariki na kuzikwa pembeni ya nyumba yake karibu na gate ili mwanae asije uza nyumba lakini kwa akili ya unga akauza hakujali hata kaburi ya mama yake nyumba ilikuwa ya ghorofa na ukubwa wa eneo zaidi 5000sqm kwa mlioni Mia na 20 tu, inahuzunisha sana namuombea kill kukicha asirudie tena maana aliacha.
Kama nawew umeludia malambili kama Mimi ngonga like😢
Mtoto wa nyoka ni nyoka wallah, Mrisho hongera
Hakika hii ni zaidi ya sanaa. Nawapongeza saaana kwa mlichokifanya, mmefikisha ujumbe kwa njia rahisi na yenye kuvuta hisia. Mungu aliponye taifa letu dhidi ya janga hili.
Wimbo huu uibwe angalau kwa kila chombo cha habari walau mara moja kwa wiki jioni maana unaelimisha sana. Mungu ibariki Tanzania.
Ipo NGUVU YA MUNGU mahali apo....I can feel it
Bwana wa Majeshi Mungu Mkuu uishiye Milele tunakuomba uwashe taa yako isiyozimika ndani ya mioyo ya watoto wetu wakujue wewe kuwa unatosha🙏🙏🙏
Wauza. Unga wamo humo wametulia kwenda kuziandaa hawapendi watoto wa wenzenu mnataka wafe wo te ili watot wenu wabaki
Mama Samia wewe ni mama nakupenda mnoo MAOMBI YANGU NA DUA ZANGU MUNGU ASIKUACHE ASIKUPUNGUKIE MAMA WEWE NI MAMA MAMA HAWEZI BADILIKA AKAACHA WATOTO WAKE MAMA NAKUOMBEA SANAAA UTUFIKISHE MAHALI SAHIHI MAMA NAKUOMBEA SANAAA
Ntaonyesha vijana wanaonizunguka wengi ni walevi hawatadhubutu Mungu ibariki na kuirehemu Tanzania
I was thinking that am strong ....i find myself very weak while listening this song😭😭
Hongereni sana ujumbe mzuri na umefika, mbalikiwe sana mwenyezi MUNGU awalinde.
Kwakweli inaumaa.sana madawa.ya.kulevyaa imeangamiza watu wengi🇹🇿🇹🇿🇹🇿🤲😭😭😭😭😭😭
Asante mungu mkwakulitetea taifa la Tz mungu ibariki tanzania bariki viongozi waTz
Naomba hii nyimbo ipigwe kwenye azam tv two kabla ya kuanza pambano la yanga tarehe 8 mwezi ujao ili maelfu ya wengi itaonekana na wengi maana hao wateja wengi hawana cm ya whtsup naona watajipata na wataokoka 80 cio Tanzania na nchi jirani pia watapata tiba ! Na pia iwe inapigwa kila cku kwenye tv Amun
🎉🎉.
🎉🎉🎉
Daàaa kiukweli naomba wimbohuu uluxhwe kwenye tv tarehe 8/8/2024 ilimaelfu ya watu waweze kusikiliza angalau kazi ya MUNGU nanguvu yake ikawaponye vijana Amina
Mungu waponye watoto wetu wakike na wakiume
Amin
Amina tukeshe tukiomba.
Ameeeeeeeen Mungu awanusuru
Kwa yo yote aliesikiliza ujumbe huu Ana nafasi ya kusemezana na kijana wa jinsia yote juu ya janga hili
Kweli haramu ni tamu .mmmmmh..china Wa. Tanzania..wakishikwa wanadungwa .sindano ya.sumu .na kuchomwa .kwenye .pipa . Lakini wao.wakikatwa..hatusikui.chochote..😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😭😭😭😭
Wameu design vzuri huu wimbo na hatta jinsi ya ku ACT uhalisia saafi saana kwa ajili ya kuokoa ambao wanataka kuingia au wameshaingia lakin wanashida ya kutoka....
MADAWA YA KULEVYA HUANZIA KWA KUSHAWISHIWA NA WATU WA KARIBU EITHER MARAFIKI AU WANAFUNZI WENZAKO WENGI WAO HUANZIA MASHULEN...
Mungu isaidie Tanzania
Hongera sana kazi nzuri
Nimeipenda hii mungu akupe hekma zaidi
Naumia mm hili janga linaniumiza mm malengo yake yote yameisha kwenye madawa angalau kidogo afya ni nzuri 😭😭😭😭
It's very good song for the society god help us to mantain our life
God bless Tanzania God bless Africa
Very touching message
Party two hii,hongera kaka mrsho mpoto,hii ni zaid ya sanaa
Hakika mmefanya wanders sanaaaa...
Hapa kilichobaki in KUOKOKA TU, MUMPE YESU MAISHA YENU...!!!
Maana kuacha dhambi Ba kumwamini YESU na kuokoka ni vena zaidi ya kuacha madawa ya mulevya na kula ngada...!!!
YESU ANAWAPENDA
BY
JESTUS MHELELA
JESTUS
Mbegu bora iliyopandwa juu ya mtoto huyu yapaswa kulindwa kwa gharama kubwa.
Ni kweli madawa ya kulevya ni hatari Kwa taifa letu
Ujumbe mzur sana
Ni dhana njema kuangalia chanzo cha tatizo, uwajibikaji dhaifu wa wazazi. Hongera sana kwa ujumbe mzito wenye kuleta athari pia.
Nimeipenda hii jamani tumewapoteza vjana wetu mi niko kjjni zamani vjana wa kiume na kike walikuwa na umoja wao asub na mapema saa 11 waliwahi mashambani zamu kwa zamu kulima na kupalilia leo watoto wetu wanawahi kwenye magenge ya dawa za kulevye jamani tufanye je tuwanusuru watoto.
Wimbo mzuri ila najiuliza serikali haijui madawa yanapitia wapi
Touching song, moyo unatetemeka
Kubwaa sanaaa my g
Mamangu kipenzi chetu pambana mama tembo hashindwi na mkonga wake pambana mm big up mungu akutunze kwa ajiri yetu!!
Ujumbe unasikitisha na ufahmuka na najikuta naliaaaa
Bwana Yesu Kristo naomba waponye watoto wetu walio kwenye makundi mabaya
Mashallah kwa kufikiaha ujumbe mzuri kwakeeli dunia imearibika
Kuna watu wakubwa na wafanyabiashara wa hayo madawa unakuta wapo hapo, watoto wa wenzao wanaangamia wao wanaingiza vipato kwa ajili ya watoto wao, dah Mungu tusaidie
Bonge la movie leny ujumbe mzito
Mungu bariki watoto wetu
Mara nyingi Mtoto hufanya kazi ya babaye, Mrisho ndagukunda
Nimeipenda sana njia hii ya risala, hakuna anayeponyoka kuisikiliza hii, very touching. Tupeni elimu namna ya kuwasaidia hawa tulionao huku mtaani. Tunawasaidia kuwalisha lakini wanahitaji kazi tufanyeje?
mungu ibariki Tanzania mung u walinde watotowetu
Mungu lbariki Tanzania 🇹🇿
We ino jowakunifanya nilie mimi kisa kusikiliza nyimbo hii😢😢😢😊
Duuu.upo.vizuri.dogo
Wapi stive nyerere .aje asikie..kizungu au kingereza.😂😂😂😂😂
Mungu akubariki kipaji chako
Kwaiyo mjomba kashaanza kumuwela mtoto kwenye system 😅😅😅
nyimbo zilizomtaja JK zote haziimbwi. nyimbo zilizomtaja JPM haziimbwi tena wasanii mjifunze jambo. acha kutaja majina taja vyeo nyimbo zenu zidumu tawala baada ya tawala
Simba hazai paka
Mungu akubariki Rais wetu
Mungu akuinue katika kipaji chako chauimbaji
Mmetisha kinomanoma❤❤❤❤
🌹🌹🌹 Dogo ameua
Bado utumiaji na uuzaji wa dawa za kulevya ni mwingi mno serikali iongeze nguvu kuokoa taifa letu
Aaa jamaniii this is too emotional
Nakupenda mrisho hii ni zaid ya move
Well organized
Hongereni kwa ujumbe murua
Aminii
Mpoto kapata mrithi
Ukwel watoto wetu watakua kwa usalama zaidi endepo madawa yakitokomea
Inaumiza lakini ndoomaishahalisi ila mungupekee nisuluhisho yahayamamboyote. Naitwa Benedict kutokakibaha mailimoja.
Wimbo mzuri sana
Mungu uwaponye watoto wetu
Jamani inaumiza
Serikari naomba mjenge Simba house nyingi nchini nazitoe huduma bure upite msako mtaan kuwakama waraibu wote WA madawa wakatibiwe jaman yanawatesa watu
Kazi nzuli kaka
Chawa na2
bado moshi na arusha bangi pombe mirungi
❤❤❤❤❤ amina
😂😂😂safi sanaaaa
Amina alla aepushie ili janga
Meizi wa cm mwizi wa kuku wananpigwa na wanauawa
Lakn cha ajabu wanaoingiza dawa za kulevya wanaachwa
Manaake..nin..??
Huu wimbo baada ya Pusha kuomba radhi hapo ilitakiwa iingie sauti ya mtu kama Masele Mlevi, ingenoga sana
😂daaah wimbowauchungusana ukikaa kwamakini Italian sana wengine wasiojua watakushangaa
Hadi machozi yamenitoka ,Mungu saidia watoto wetu
Nice❤
Hapa ndo sanaa🎉
Aisee huu wimboooo umeniumiza
ujumbe🎉
❤❤ kwa woteeee
Ok😊
Hili janga kuisha ni pale mtu mmoja mmoja aamue kutotumia
Huku bado zinatumiwa mbona ehee
MUNGU atusaidie sana
Nimeipenda hii😭😭
Sjui kwanini nalia
na mimi sijuhi kwa nini 😢
JAMANI ombi watengeneze cinema isambae mijini na vijiji Tanzania nzima vijana hawatadhubutu tena tajiri atanue wao waangamie haikubariki waongeze na vikolombozo vingi mfano awepo mtoto wa mchungaji yeye ni mwalimu kaungana na mateja kisha kafukuzwa kazi mama yake naye bp baada ya kuona dada yake kusikia hayo vidonda tumbo baba kisukar then kaka ni advocate anapoteza maisha kwa kuona janga hilo watu wote kupoteza ndoto zao hayo ni mawazo yangu tu naandika ujumbe huu huku Ninalia ni ombi tu
Nikajua na mwanae havai viatu kumbe anavaaa😢😢😢
Mama ndo havai
Unazingua www
Be blessed