Kipindi hiki Cha Wekeza Tanzania kinakupeleka site ukajionee uhalisia wa kituo Cha kupokea umeme wa megawati 2115 wa Bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere Mtangazaji - Vumilia Mwasha Mwongozaji - Neligwa Muggitu Mdhamini - AZANIA BANK
Mojawapo ya lengo la kujenga bwawa la umeme la mwalimu nyerere ilikuwa ni kupata umeme kwa bei nafuu ili kuchochea sekta ya viwanda. Serikali isimamie hilo.
huyu dada yuko vizur sana anahoji on point kana kwamba yuko vichwani mwetu watazamaji. Big up 💪🏾
VIVAA...TZ..VIVAA!!
🇹🇿🇹🇿🌹👏
Mojawapo ya lengo la kujenga bwawa la umeme la mwalimu nyerere ilikuwa ni kupata umeme kwa bei nafuu ili kuchochea sekta ya viwanda. Serikali isimamie hilo.
Hiyo mtambo mbona kinyelezi ilikuwa ipo Sawa na hiyo
Fensi siioni. Ni muhimu pawe Well fenced maana ni muundombinu muhimu sana huu.
Huna macho