#TBC1
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 มี.ค. 2024
- Kipindi Hiki Cha Wekeza Tanzania kinakupeleka Mlandizi mkoani Pwani, ukashuhudie kongani ya kisasa ya Viwanda 202, ambapo ni uwekezaji uliofanywa na Watanzania
Mtangazaji - Vumilia Mwasha
Mwongozaji - Neligwa Muggitu
Mdhamini - AZANIA BANK
Mnatuharibia bando,, mnachokisema hatukioni hapo ,,tunaona vichaka vimejengewa geti la ulinzi
Hongereni sana kwa huu udalali 'unaojiweza kipesa'. Lakini naona Mzaramo wa Disunyala hayumo katika dhana ya "local content". Mkoa wa viwanda ambao wakazi wake hawanufaiki na mitaji iliyowekezwa zaidi ya Serikali kuu ukusanyaji mapato. Mkuu wa Mkoa andaa utaratibu wa kuratibu CRS na Service Levy kwa halmashauri husika, jumuiya zilizopo na wanajamii wa mkoa Pwani.
Mie naona uharibifu wa ardhi hapa mmeparua mabarabara viwanda havionekani.Hii biashara ya kumshikia mtu wa nje kiwanja tunakosa maeneo ya kupanda minazi na matunda yakulisha watanzania sijapenda.
😅😅
Hivyo viwanda viko wapi au hivyo vichaka ndo viwanda?
Serikali zote hutenga maeneo ya viwanda ili kuondoa usumbufu kwa wawekezaj na viwanda kutochangamana na makazi baada ya mda utaona mwenyewe hapo patakuwa ndo ajira kuu kwa wenyeji na wala hapata tosha