Mambo 4 ya kufanya ili utanikiwe. 1. Displine - Nidhamu binafsi 2. Commitment - Kujitoa kwenye jambo fulani. All in. 3. Sacrifice - Kuachilia mambo ambayo unayapenda eg Entertainment udaku uhunzi nk 4. Ditamination - Kuamua haswa kufanya hilo jambo regardless kuna changamoto gani. Nice one JOEL NANAUKA. SEE ME AT THE TOP 🔝
Naitwa Elikins Mussa ni mwalimu niliyekosa ajira serikalini kwa sasa mm ni msanii wa bongofleve na stendup comedy kutoka mkoa wa songwe napenda sana masomo yako kwa sababu yananiimalisha natamani nifanikiwe kukuza sanaa yangu
NASEMAJE... JOEL.. miaka 10 kutoka sasa kuna jambo Tanzania na DUNIA nzima litathibitika... it's ABDULHALIM FROM ZANZIBAR.. wengine tumepanda MIANZI YA KICHINA...
Brother Joel umenijenga Sana katika mafundisho yako, tangu niaze kukusikiza nimekuwa mtu tifauti Sana na vile nilikuwa mwanzoni Mwenyezi Mungu akuzidishie bro
Vitu vya kufanya ili ufanikiwe 1. Discipline / Nidhamu Binafsi 2. Commitment / kujitoa kwa kile unachokifanya bila kujali chochote 3. Sacrifices /kujitoa dhabihu kuacha na vitu ili ufanikiwe ie kuna vitu unabidi uache 4. Determination / hata kitokee nini lakini ni lazima nipambane
Asante kaka nanauka naelewa sana mwanzo mwisho unacho sema 🤝🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏wewe ni super man nakukubali kaka elimu yako iko juu zaidi 💪 sijapata kuona baraka nyingi kwako mungu awe mtetezi wako kwa kila jambo 👏👏👏
Asante mungu aendeley kukuabariki ila kusema kweli vitu vyote ivo ulivyo vitaja mimi ninavyo tatizo sasa changamoto ni nyingi ila napambana kukata tamaa siwezi na kuna vitu vingi nimeacha ili nifanikiwe ila kila najitaidi kujaribu kabisa kupiga hatua panatokea changamoto za hapa na pale ila bado napambana na Amini ipo siku ntafikia malengo yangu juu ni nakiwii kabisa 💪💪na Mungu anitangulie kukataa tamaa siwezi wala kurudi nyuma nilazima nizifikie ndoto zangu
Ahsante kwa kunipa hamasa ya kuendelea kusonga mbele, haijalishi itatokea nini lakini lazima nifanikiwe katika nifanyacho. WEWE ni MTEULE #You HERO# 🥋🥊👉🏆
Nakukubali sana brooo mungu akupe miaka mingiii sana ushauri wako kwe2 ni manufaa makubwa sana broo
Mambo 4 ya kufanya ili utanikiwe.
1. Displine - Nidhamu binafsi
2. Commitment - Kujitoa kwenye jambo fulani. All in.
3. Sacrifice - Kuachilia mambo ambayo unayapenda eg Entertainment udaku uhunzi nk
4. Ditamination - Kuamua haswa kufanya hilo jambo regardless kuna changamoto gani.
Nice one JOEL NANAUKA.
SEE ME AT THE TOP 🔝
Naitwa Elikins Mussa ni mwalimu niliyekosa ajira serikalini kwa sasa mm ni msanii wa bongofleve na stendup comedy kutoka mkoa wa songwe napenda sana masomo yako kwa sababu yananiimalisha natamani nifanikiwe kukuza sanaa yangu
Good bro ...even Thom is a professional teacher!
NASEMAJE... JOEL.. miaka 10 kutoka sasa kuna jambo Tanzania na DUNIA nzima litathibitika... it's ABDULHALIM FROM ZANZIBAR.. wengine tumepanda MIANZI YA KICHINA...
Ahsante
Ni lipi Hilo ndugu
Kumbe shida kwangu kuna vitu vya kuacha tu mambo yawe sàwa, Asante
Asante sana MUNGU Baba wa Mbinguni Akubariki
Ubarikiwe kaka somo zuri sana
Kaka hii ya leo umeua zaid sana
Bwana Joel unanijenga tu sana Kwa mawaidha hayo
Upo sahii sana..Kuna vitu vingi vya kuacha
Kama wewe unazijua hizi njia Mbuna wewe hujafanikiwa
Asee Joel Nakukubaki Mpaka basi yaaaaani
Fact! brother nanauka ,,,endelea kituelimisha
Nakuelewa sana bro joel mungu akupe miaka 100000
Yaaaaaniiii Aishi miaka 900000000000000
Dah umekuwa taa yangu bro ni mwaka wa Tano huu Assse we Mtu noma
Nasoma pharmacy natamani kufanya kwa kiwango Cha juu Sana naomba endelea kunisaidia maana Kuna mahaali nimetoka leo Mungu akubariki
Brother Joel umenijenga Sana katika mafundisho yako, tangu niaze kukusikiza nimekuwa mtu tifauti Sana na vile nilikuwa mwanzoni Mwenyezi Mungu akuzidishie bro
Asante sana kaka uko mwalimu wetu
Ubarikiwe
Nijambo jema mno
Kujitambua
asante kaka ubarikiwe mara elf moja
Aisee mabadiliko ni muhimu hapa
Vitu vya kufanya ili ufanikiwe
1. Discipline / Nidhamu Binafsi
2. Commitment / kujitoa kwa kile unachokifanya bila kujali chochote
3. Sacrifices /kujitoa dhabihu kuacha na vitu ili ufanikiwe ie kuna vitu unabidi uache
4. Determination / hata kitokee nini lakini ni lazima nipambane
Asante kakaa
Me naitwa elinaice Asante umenifunza meng San na npo mbal
Aisee brother napenda Sana mafundisho yako nakuombea mungu azid kukupa mafunuo mbalmbal naamin Kuna siku nitakualika kwenye kilele Cha mafanikio yangu
Asante kaka nahitaji kitabu chako cha timiza malengo yako
MUNGU akubariki kaka mkubwa
Pamoja Broo...
Jinsi tunavyobarikiwa kupitia maarifa haya nawe Mungu Akuzidishie kwenye mahitaji yako na Yale yaliyo magumu
Ukweli mtupuu bro 💯
New star
Somo zuri
Ahsante sana mwalimu kwa somo lako ubarikiwe 🤞🤞
Unachokisema its exactly I used to practice always in my life .... Thanks for strenghten me to still doing the same
Asante kaka nanauka naelewa sana mwanzo mwisho unacho sema 🤝🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏wewe ni super man nakukubali kaka elimu yako iko juu zaidi 💪 sijapata kuona baraka nyingi kwako mungu awe mtetezi wako kwa kila jambo 👏👏👏
Hata mimi
Hongera sana comrade!!! Karibu Monduli
Asante bro nazidi kuimarika kiakili na kubadilika baadhi ya mienendo yangu
Asante mungu aendeley kukuabariki ila kusema kweli vitu vyote ivo ulivyo vitaja mimi ninavyo tatizo sasa changamoto ni nyingi ila napambana kukata tamaa siwezi na kuna vitu vingi nimeacha ili nifanikiwe ila kila najitaidi kujaribu kabisa kupiga hatua panatokea changamoto za hapa na pale ila bado napambana na Amini ipo siku ntafikia malengo yangu juu ni nakiwii kabisa 💪💪na Mungu anitangulie kukataa tamaa siwezi wala kurudi nyuma nilazima nizifikie ndoto zangu
Asante Sana nimekuelewa kabisa Muumbaji anisaidie kuweka kwenye MATENDO.
Ahsante kwa kunipa hamasa ya kuendelea kusonga mbele, haijalishi itatokea nini lakini lazima nifanikiwe katika nifanyacho. WEWE ni MTEULE #You HERO# 🥋🥊👉🏆
Asante sana
Nashukuru sana kaka
Exactly my brother
Ahsante Joel ubalikiwe saana
You're so genius
Kwa kweli nangoja kuwa mtu mkubwa, kupitia ushauri wako,big up. Brother
Shukran Sanaa #JoelNanauka kwa ushauri wako Mungu akubariki.
Shukrani Joel.May Almight God keep sharpening your brain.Kiukweli masomo yako yamebadili fikra potovu nilizokuwa nazo hapo awali.
Teacher of my life god bless you🙏🙏🙏🙏
Thank you joel
Asante kwa ujumbe kaka
Kaka Joel ahsante sana 🙏🙏
Thank you Brother
role model 🎆
Nashukuru kwa mafundisho yako .Ubarikiwe
Nangoja kua hamu na gamu
Joel let me add consistency ! Ni muhimu sana!
Thanks MUNGU azidi kukutumia kuinua akili zetu
Kaka u r blessed, endelea kutufunza na tukuwa sehemu ya ushuhuda kwa mfanikio tutakayopata kupitia mafundisho yako
Asante sana
Thank you Joel. GOD bless you. Keep lightening our minds.
Ameen
Thank you so much
Hakika bro you are talking the totally truth
Nice Mr Joel Nanauka
Genius 🔥
Nitapataje kitabu chako mm niko burundi
Thanks Bro
Ahsante sana
Be blessed @JoelNanauka
Joel. Thank you for education
Thanks
Awesome thank
That point is true!
Thank you teacher
So nice
Kaka nataka kujua lini una kuja mwanza nina zawadi yako
Joel,uko vizuri,Mungu azidi kukuwezesha,kwani masomo yako yanaponya wengi,ni DAWA.
Kaka hapo mwisho nikama unatuombea ila tunakupenda asaenteh🤣🤣
Amen
Kwetu. Ni. Neema
Mm nataka kitabu chamafanyikiyo plz
Nyumbayaudongo
Sorry
Naomba namba zako za simu kuna mawazo nahitaji msaada kutoka kwako
Hi bro napenda san mafunzo yako ila nhataj msaada wako juu ya ushaur wa kibiashara
Sijapata number yako ya kweli naitaji kuongea nawewe binafsi
Niache kufanya nini?ili nifanikiwe.
Bado tu
Kaongea ukweli kbx Joel upo frsh snaa kweny advice yko th-cam.com/video/J9yS48Prnfg/w-d-xo.html
Nashukuru sana kaka
Asante sana
Thank you brother
Shukrani