Wanaume Wanaokimbiwa na Wanawake - Joel Nanauka

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ก.ค. 2021
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

ความคิดเห็น • 263

  • @meryanmwailakale670
    @meryanmwailakale670 2 ปีที่แล้ว +12

    MUNGU akupe maisha marefu kaka joel, najifunza mengi sanaaaaaaaaa na masomo yako

  • @shamimually1484
    @shamimually1484 2 ปีที่แล้ว +20

    Ni Kweli kabisa mwalimu, ila kuna wanaume wengine ambao hawana maamuzi na misimamo yao

  • @glorianyambua1348
    @glorianyambua1348 หลายเดือนก่อน

    MUNGU akubariki sana,, tangu njue channel yako nmesaidika sana na kujua aina za watu na category zao

  • @mariahungwi6352
    @mariahungwi6352 ปีที่แล้ว +2

    Halafu kuna wazembe na wasiotambua nafasi zao kwenye maisha ya mwanamke na familia

  • @faridaaloyce7672
    @faridaaloyce7672 2 ปีที่แล้ว +1

    Hapo kwa badboy...uwiii nimeamua kumuepuka watoto watano kila mtu na mama yake...mmi hapana.

  • @patrickkomu3198
    @patrickkomu3198 2 ปีที่แล้ว +14

    Yaan mume wangu ni wa Mama's boy, Mr right, egonomic, controlling ni matatizo kwa kweli, inabidi unamfanya mtu mwanaume wa mbegu tu hakuna lingine

  • @josephsimpamba8528
    @josephsimpamba8528 2 ปีที่แล้ว +9

    I now know where I stand time for change

  • @josephkashalu4173
    @josephkashalu4173 2 ปีที่แล้ว +2

    Daaaah ahsante Sana kwa mafundisho pia mm ni mmoja wa wanaume niliepoteza mwanamke nmpendae kwa tabia zangu na mifumo yangu ya maisha

  • @ladymarry
    @ladymarry 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante saana kaka Joel Nanauka kwa Elimu nzuri.wapo saana na wengne tunapata taabu kuwarudisha kwenye mstari kwan wameshikiria wanavyomin wao kuwa ndio viko sahihi na wasijue ht kama wanaumiza wenza wao ht jamii iliyowazunguka pia..na wanajichelewesha hata bila kujua, ni neema ya Mungu tuu ndo huwafanya waelewe baadae na wengne hufungwq ufahamu kabisa mpk wanazingua kaburini.🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽shukran kwako na Mungu akubariki hujawahi niboa kwenye mafundisho yako..

  • @mwalimudismasherman
    @mwalimudismasherman 2 ปีที่แล้ว +4

    Mpaka mnasherekea Anniversary ya miaka23 ni lazima atakuwa ameshatambulisha watoto 14, Bad boys wote wakimbiwe tu😂😂😂

  • @matrugnawangaeli4815
    @matrugnawangaeli4815 2 ปีที่แล้ว +2

    Asante Joe, katika mafunzo inepata fundisho tosha. kwani uuhusiano sio kitu rahisi. Ikiwa ina deal na ndungu, jamaa na marafiki. hakika uuhusiano wa ndoa una changamoto nyingi. Hawa wanaume wa aina hii tukonao katka safari. Je una ushauri gani. Naomba uelezee tu kijumla.

  • @rosemarygelas1473
    @rosemarygelas1473 หลายเดือนก่อน

    Asante kwa elimu nzuri , wakwangu ni no 4 na tano uwii ni mtihani sana

  • @glorianyambua1348
    @glorianyambua1348 หลายเดือนก่อน

    Kweli kuna watu wana tabia hizo, mimi nlikuwa na mume Ana tabia hizo zote ilibidii nmtoroke

  • @akshots_tz
    @akshots_tz 2 ปีที่แล้ว +2

    hahaha hawa bad boy nimecheka sana, asante kwa somo mwalimu..

  • @estherndola4900
    @estherndola4900 ปีที่แล้ว

    Kuna mwamba mmoja yeye ni controlling type of a person, Mr right na egocentric Harafu ndo mume sasa.. hali inakuwa ngumu sana.. 🙌🏼🙌🏼🙌🏼

  • @kumekuchaonlinetv
    @kumekuchaonlinetv 2 ปีที่แล้ว +5

    Haaaa! Haaa! Mada nzuri sana hii,saluti kwako aisee!

  • @sarahjackson8755
    @sarahjackson8755 2 ปีที่แล้ว +1

    Yaani hizo sifa zoote ulizodadavua hapo zinamuhusu Mr right wangu😭zoote jamanii

  • @meshackevance9959
    @meshackevance9959 2 ปีที่แล้ว +7

    Iv hii clip ulilekodi mwanzo mwisho 🤣🤣🤣 maana penye bad boy nimecheka kwa saut 🤣🤣
    Ahsante mwalimu 🙏🙏👏👏👏

  • @sweetbertmligo9637
    @sweetbertmligo9637 2 ปีที่แล้ว +1

    Wambie na wadada hao,nao wapo wanaosumbua balaa!

  • @farajhassan1775
    @farajhassan1775 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa ujumbe mzuri Mungu akubariki kaka Joel 🙏

  • @nursechunga4470
    @nursechunga4470 2 ปีที่แล้ว

    Asante Kaka Joel, wanaume Hawa wapo kaka

  • @rachellyeme3097
    @rachellyeme3097 2 ปีที่แล้ว +1

    Yaani ni aliyekua mume wangu kabisa na nimemkimbia kweli si utani japo hatujadivoce bado na sitegemei kurudiana kabisaaa

  • @claramrosso2566
    @claramrosso2566 ปีที่แล้ว

    Jamoni imebidi nicheke manake kila aina ilotajwa yupo Mungu akubariki brother

  • @mcnyoka6420
    @mcnyoka6420 2 ปีที่แล้ว +2

    First Joel nijibu nivimbe

  • @hawanamanga9097
    @hawanamanga9097 ปีที่แล้ว

    Asante sana kaka Joel nami pia ni mhanga wa hapo kwenye bad boy na egomatic kweli ni shida sana nimevumilia sasa nimechoka namwache aendelee na maisha yake

  • @khadijajuma7142
    @khadijajuma7142 2 ปีที่แล้ว +4

    Aisee hawa Perfect ni shidaaa. Nishakutana nae aisee na juzi tu nimeamua kunyanyua mikono aende japo Nampenda sana. Ila kila ukizoom huko mbele itakuaje ni mtihani. Maana kila kitu utakua ww ndo chanzo,simu unapiga ww hapokei, ukiuchuna unakuja kuambiwa Una kiburi kisa hujamcheki 😁😁😁na atakuambia nakupigia simu hupokei wakati hakuna simu yake iliyoingia kha 🤣🤣🤣Akiwa na tatizo ww uwe bize nae, na usipokua bize nae anaona humjali, ila ww ukiwa na tatizo hata ukiumwa hana mda wakukucheki hata kukujulia hali mpk akijisikia. Jamani mahusiano na hawa viumbe ni magumu mweeeh. Na ukilalamika kwa kutokujali kwake kibao kinarudishwa kwako unajikuta ww ndo unaomba msamaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ubinafsi mwingi mno kwa hawa viumbe. Hadi unajiuliza kama ww tu hakujali ndo atajali ndugu zako, jibu unapata hakuna. Mwee
    Haya maisha stress tupu,bora niendelee kupata stress yakutafuta pesa. Watoto wa mama mkwe ni ugonjwa wa moyo.

    • @salehsaleh548
      @salehsaleh548 2 ปีที่แล้ว

      Hehehe aisee hii hatariii

    • @khadijajuma7142
      @khadijajuma7142 2 ปีที่แล้ว +2

      @@salehsaleh548 😂😂😂😂😂Hatari kweli, unaweza kufa huku umesimama. Yaani mpenzi wa hivi ni kwikwiii, hawatakagi kuambiwa wamekosea, afu wasiri waliopitiliza, hawapendi kuulizwa sana 🤣🤣🤣ugomvi tu ndo hawawezi ila kununa mtashindana hata kama kosa lake. Hawajui kubembeleza, wanachojua wao ni wao tu wabembelezwe, aidha umemkosea au kakukosea utarudi ujishushe ww, ktk wanaume hawajui kuomba msamaha ni hawa!!! Yaani akili yake inamtuma yuko Perfect kila kitu kukuomba msamaha kwake dhambi. Na kusamehe kwa dhati ile nimekusamehe yaishe kweli huo ni mtiti mwengine 😂😂😂😂😂Anaorodhesha makosa balaaa, unakuja kushangaa kitu cha miaka ulishasahau yeye kipo stoo kipyaaaa,unakumbushwa hadi unashangaa afu eti mlishaongea akadai yameisha 🤣🤣🤣afu wanakuaga na fake smile.Yaani nilimsoma tabia zake kama kitabu, afu nikimuangalia nacheka.

    • @salehsaleh548
      @salehsaleh548 2 ปีที่แล้ว

      @@khadijajuma7142 nimekueelwaa sasa kwa sasa umeamuwa kuwa peke yako au umrpata mwingine😀😀😀

    • @khadijajuma7142
      @khadijajuma7142 2 ปีที่แล้ว +1

      @@salehsaleh548 😅😅😅saa hizi nirudie tena stress. Acha tu niangalie maisha yangu kwakweli nisijekufa kabla ya mda loh.

    • @salehsaleh548
      @salehsaleh548 2 ปีที่แล้ว

      @@khadijajuma7142 ukipata kama mm utafurahi na maisha yako😊😊😊

  • @vicentndiholeye1067
    @vicentndiholeye1067 2 ปีที่แล้ว +1

    kweli kaka tutajilekebisha asnte sana kwaushauli

  • @daniekasenga4678
    @daniekasenga4678 2 ปีที่แล้ว

    Aiseee ndiooo maaana ,
    No: 3 Self Righteous & No:4 ,
    Sasa namba 2 huyu tunamsaidiaje sababu namjua jamaa yangu mmoja yupo hivi .

  • @saikolojiaonline8403
    @saikolojiaonline8403 2 ปีที่แล้ว

    Kongole kwako brother kazi nzuri barikiwa sana

  • @furahairene1829
    @furahairene1829 2 ปีที่แล้ว

    Hawa watu kweli n wanaume wabaya Sana,lakn wenye wako tyr kubadilika Basi hudumu katika ndoa pia

  • @CKMO
    @CKMO 2 ปีที่แล้ว +1

    Yaaaah sijui nisemeje ili nifahamike yani mimi mume wangu ni gubu yani ni lawama tuu 24/7

    • @fhyubhhh2881
      @fhyubhhh2881 2 ปีที่แล้ว +1

      Pole mtu asieridhika ujue pia hana huruma

  • @MariamBahat
    @MariamBahat 2 หลายเดือนก่อน

    Mimi ni huyo no5 nifanyeje hayuko care katika mambo yangu lakini yako anataka yawe no1 kwangu mm hataki kujua

  • @hamidaa3886
    @hamidaa3886 2 ปีที่แล้ว

    Yes no 4 na no 5 imeshanifikiya Ma Shaa Allah Asante sana Nashkuru nimepata faida sana

  • @dianahonge8512
    @dianahonge8512 2 ปีที่แล้ว

    Mwanang hilo neno man kuna wanaume wanakeraaaaaaaaa uuuwiiiii

  • @mndambacomedian4127
    @mndambacomedian4127 2 ปีที่แล้ว +2

    joel master of life me sipo kati ya haina hizo ila nimeona watu wa namna ya aina ya mwisho na asante mungu akubalik

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  2 ปีที่แล้ว

      Nashukuru kwa Kujifunza

    • @godfreymkilindi2022
      @godfreymkilindi2022 2 ปีที่แล้ว

      Tuish nao kwa akili tuu ,Mungu akubariki kwa message unazo fundisha

  • @neemamsaki1111
    @neemamsaki1111 ปีที่แล้ว

    My coach Mungu akubariki

  • @ggvv9970
    @ggvv9970 ปีที่แล้ว

    Minajipata kila nimpataye nimoja waapo sijui nifanyenje 😂😂😂😂 ndio uwa nakufatilia ili nijiliwaze❤

  • @ashaally5883
    @ashaally5883 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante kaka mume wangu alikua na sifa ya kwanza na ya pili sana nashukur mungu nilishajitoa kwake now niko napambana na hali yangu natafuta kuliishi kusudio langu 😊😊😊😊😊

    • @kumekuchaonlinetv
      @kumekuchaonlinetv 2 ปีที่แล้ว

      Asha Alli kwa nn usimsamehe ili maisha yaendelee?

  • @enockshayo9688
    @enockshayo9688 2 ปีที่แล้ว

    Vijana ambao hawajaoa basi wajifunze kwa hili ndio wajitoe kwa miguu ya mama zao na wasimamie nyumba zao wenyewe.

  • @rahmahrr4471
    @rahmahrr4471 25 วันที่ผ่านมา

    Aise kaka wankumbusha nlvyo mpiga vibao vya uso mme wangu alvyo ni chit akaenda kusema na mamake😅😅😅 wafanya mchezo na asira

  • @keniajama3631
    @keniajama3631 ปีที่แล้ว

    Asante Sana kaka kwa mafunzo mazuri mimi nilikimbia kulingana na tabia kama izo.

  • @mwakalukwafredy3720
    @mwakalukwafredy3720 2 ปีที่แล้ว

    Nakushukuru sana kwa elimu hii nzuri ila nami nimecheka hapo kwa badboy

  • @heno10brown99
    @heno10brown99 2 ปีที่แล้ว

    Daa Safi sana bro uko sawa udanganyi mana mi nilimpoteza mwanamke niliye kuwa nampenda saaana mpakaleo kwa tabia zangu za kipuzi wape soma na wanawake wawe wanatukweka wazi mapema siyo mtu mmeisha achana kaisha olewa ndipo ana kwambia ulikuwa una nimela 123 inauza sana

  • @magdalenacharles5615
    @magdalenacharles5615 2 ปีที่แล้ว +1

    Aisee ....

  • @johnsonkibadeni5053
    @johnsonkibadeni5053 2 ปีที่แล้ว +1

    Bad boy balaa aiseee😂😂

  • @PiusJusta
    @PiusJusta 2 ปีที่แล้ว

    Jamani me ninae uyu mwenye tabia ya mwisho nikishindwa nitaleta majibu

  • @kizymussa6202
    @kizymussa6202 2 ปีที่แล้ว

    Kaka me nimetokea kupenda Sana masomo yako Kaka nakuombea maisha malef

  • @rayansaldivar2796
    @rayansaldivar2796 ปีที่แล้ว

    Mimi nikutana na number 5. Aise ............ Nipo karibu ya kukimbia

  • @anthonywilliam3977
    @anthonywilliam3977 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana

  • @user-dk3ss9ts7n
    @user-dk3ss9ts7n 3 หลายเดือนก่อน

    Njoo.chukue huyu wakwang anamsikiliza mama yk

  • @pendojeremiah9111
    @pendojeremiah9111 2 ปีที่แล้ว

    Me nilishawahi kukutana na Mama's boy kiukweli nilimwacha ndani y mwezi mmoja,for sure wanakera🤣🤣

  • @Alama_Tv_online
    @Alama_Tv_online 2 ปีที่แล้ว +8

    Hao bad boys jamani.🤣🤣🤣🤣 jamaa anarudi kwa miguu wakati nyumbani alitoka na gari

  • @revolutionfilmsproduction9643
    @revolutionfilmsproduction9643 ปีที่แล้ว

    😅 umenifurahisha Sana kaka, kweli hayo yapo. Mimi nilijionea hao watoto wa Mama

  • @asmaalhabsiya9652
    @asmaalhabsiya9652 2 ปีที่แล้ว

    Shukran sana kaka joel mungu akubariki maneno yako mazur sana

    • @njekutyleyan
      @njekutyleyan ปีที่แล้ว

      😂😂😂bad boy ni watu wa kuogopa Sana 🤣

  • @langatkipkikrui2047
    @langatkipkikrui2047 2 ปีที่แล้ว

    Eee!!wapo kabisaa kaka,hasa hapo pa egomaniac mam😁😁😁😁

  • @ashudahiza7871
    @ashudahiza7871 2 ปีที่แล้ว

    Nimefanyiwa hayo mengi sana na huyo yote nashukur nimetoka

  • @user-wk1ix1gm1p
    @user-wk1ix1gm1p 2 ปีที่แล้ว +1

    Mmoja anayote hayo kaka Joel , nimekutana nae vyote hivyo anavyo

    • @ambrose_vevo137
      @ambrose_vevo137 2 ปีที่แล้ว +1

      we moto ulikuwakia hakii 😂😂😂

    • @user-wk1ix1gm1p
      @user-wk1ix1gm1p 2 ปีที่แล้ว

      @@ambrose_vevo137 😆😆😆

  • @emmymo2683
    @emmymo2683 2 ปีที่แล้ว +2

    Mimi ndoa yangu ndoivoivo Yani Kama ulikuwepo nyumbani kwangu

  • @jonaskahatano7249
    @jonaskahatano7249 2 ปีที่แล้ว

    No.4 ya kwangu kabisaa.

  • @SonySony-hx5yd
    @SonySony-hx5yd ปีที่แล้ว

    Yeah nlikutan namwanaume ,anokufanya mtumwa,anauza viwanja nammbo kibao hkushrikishi ,taarifa unaziskia kwa mama ake au dada zake,au rafiki yake,nliona haina haja tulimwagikana

  • @rahmahalhaithamiy2432
    @rahmahalhaithamiy2432 2 ปีที่แล้ว

    Ni kwel kabisa

  • @sarahcharles2473
    @sarahcharles2473 ปีที่แล้ว

    Asant kwa somo zr

  • @pacyntirampeba4620
    @pacyntirampeba4620 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana mwalimu

  • @emeraldmaeda6792
    @emeraldmaeda6792 2 ปีที่แล้ว +1

    JOEL am married to the last on the list and its a nightmare najaribu kuwaeleza ndugu ninacho pitia ina kuwa ngumu nime shukuru ume fafanuwa kwa kiswahili kizuri ili niki share waelewe halafu hawa shauriki watu wa namna hiyo ni ngumu sana

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 2 ปีที่แล้ว +1

    No 4&5 ndiye niyenae Sasa ! Keeeero

  • @lydiaedwin3998
    @lydiaedwin3998 2 ปีที่แล้ว

    Huyo mume wangu kabisaa, anajali yakwako tuu, hata misiba ikitokea kwetu atakama amepokea mshahara. Hawezi kusapot chochote Ila itokee jiran wa Kijijin kwao kaumwa ata kukopa atakopa

  • @isayamaswayaga5914
    @isayamaswayaga5914 ปีที่แล้ว

    Bro umetisha Mungu aendelee kukusaidia

  • @teklakibamtura2534
    @teklakibamtura2534 ปีที่แล้ว

    Perfect man kama Adam hawa wapo wengi.

  • @kitengealmas4085
    @kitengealmas4085 ปีที่แล้ว

    Hiyo ya mwisho yamenikuta mimi nilivumilia kwa miaka 17 nimeshindwa nimeondoka asante mtumishi

  • @annajohn1978
    @annajohn1978 2 ปีที่แล้ว

    Hizo zote anazo mume wangu nasasa hivi nimemkimbia Mana inakufanya ujione mfu.

  • @salmanoorhashim5450
    @salmanoorhashim5450 2 หลายเดือนก่อน

    Kweli kabisa

  • @janethjames6514
    @janethjames6514 ปีที่แล้ว

    jaman mme wangu iyo nne na tano jaman nateseka san 😢😢😢

  • @stephenthuranira5619
    @stephenthuranira5619 ปีที่แล้ว

    Nina chembèchembe za 3 and 4 wooi mungu saidia

  • @mwanashahussein6829
    @mwanashahussein6829 ปีที่แล้ว

    Hi yaani nilipitia nanishakimbia tayari nasasa naongopa kudeti tena maana sijui nitapata waaina ngani tena

  • @gracejonh4022
    @gracejonh4022 2 ปีที่แล้ว

    Hapo kwa akina bad boy ni kituko mh bora na mama 's boy 😄😄😄😄

  • @erikalutevele8362
    @erikalutevele8362 2 ปีที่แล้ว

    Mmh Mungu tu ndo anajua maana ni shida

  • @magrethjohn4929
    @magrethjohn4929 ปีที่แล้ว +1

    Duuuh uncle joel huyo Mr perfect ni hatar sana siyo uongo sikujal km nlmpeleka kwe2 kudadeki yaliponishinda nikasepa na tulikaa kwenye relationship kwa 6 years tangu chuo lakin sikujal

  • @jaccquelinemakungu1777
    @jaccquelinemakungu1777 11 หลายเดือนก่อน

    Kuna wanaodharau wanawake na kuwapa maneno mabaya

  • @emmamoshi855
    @emmamoshi855 2 ปีที่แล้ว +1

    Umenigusa nimemkimbia mume wangu kwa tabia ya Mama's boy

    • @kumekuchaonlinetv
      @kumekuchaonlinetv 2 ปีที่แล้ว

      Emma msamehe bana ili maisha yaendelee!! 😁😁😋😋

  • @fridahk96
    @fridahk96 ปีที่แล้ว

    Sidhaani Kama wanajiona kuwa wako hivyo Ila ni wengi sana

  • @akidasalim3859
    @akidasalim3859 2 ปีที่แล้ว

    Kwa hiyo kosa ni karibu na mama yk

  • @geraldmilanzi9048
    @geraldmilanzi9048 ปีที่แล้ว

    Kaka mm humanga namna moja sijui yaan hayo yote anaya sijui nilitoe moja la kuto chukuliwa na polisi tu lkn mengi yapo.

  • @ninjaisma7983
    @ninjaisma7983 2 ปีที่แล้ว

    Ongelea kuhusu wanawake sasa wanaokimbiwa na wanaume..utakuwa umefanya haki

  • @magrethmushi9731
    @magrethmushi9731 2 ปีที่แล้ว

    Nimejifunza kitu mwalimu

  • @hadijahamza8567
    @hadijahamza8567 2 ปีที่แล้ว

    Yaani kweli kabisa kaka

  • @gracejonh4022
    @gracejonh4022 2 ปีที่แล้ว

    Sifa ulizotaja Kuna wanaume wengine wamebeba sifa mbili au tatu mtu unakuta ni mbinafs kupita kias pia yeye si mkosaji pia unakuta ajui kujisimamia mpaka asimamiwe na mama yake kaka zake au wengine ata marafiki yaan ni kero mwanzo mwisho

  • @shazilishaibu8480
    @shazilishaibu8480 2 ปีที่แล้ว

    Oya endelea kuelimisha na utoe familia ya mwanamke ambae unatakiwa kuoa au kuolewa juu ya sifa zake

  • @samsonjoel3349
    @samsonjoel3349 9 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe He chanzo Cha tabia hizi ni Nini na huweza kubadirika?

  • @great-african903
    @great-african903 ปีที่แล้ว

    Hapo hapo kwa badest boy

  • @naomimwahosi8177
    @naomimwahosi8177 2 ปีที่แล้ว

    ☹️☹️☹️ aiseeee kuna watu wavumilivu jamani.....kwa haya nimesikia mh

  • @titonimu4291
    @titonimu4291 2 ปีที่แล้ว +3

    That's 100% truth. Thanks big man

  • @mhizavinyangaza624
    @mhizavinyangaza624 2 ปีที่แล้ว +6

    Bro, ukitoa hao mum’s boy hizo tabia zingine hata wanawake pia wanazo, au siyo kweli?

    • @khadijaal6548
      @khadijaal6548 2 ปีที่แล้ว

      Ahaha wanaume mmezid mnatukatisha tamaa saana wapenzi wenu 😒😔

  • @neemangali8674
    @neemangali8674 2 ปีที่แล้ว

    Uwiii, he has all five

  • @kitengealmas4085
    @kitengealmas4085 ปีที่แล้ว

    Iyo ya mwisho ni majanga nimemuacha nimeshindwa

  • @moudmgomo5742
    @moudmgomo5742 2 ปีที่แล้ว

    mamas boy. najiona hapo

  • @ahz6907
    @ahz6907 2 ปีที่แล้ว +1

    Ututumie na ya aina ya wanawake wanaokimbiwa na wanaume

  • @amissasifa3826
    @amissasifa3826 2 ปีที่แล้ว

    Nikweli kabsa mwalimu

  • @user-vo8go4zj6t
    @user-vo8go4zj6t 3 หลายเดือนก่อน

    Yaani huyo wa2 ni alie kua mme wangu kabisa 😂😂Yani kama naMuona 😂😂

  • @galbeana2499
    @galbeana2499 2 ปีที่แล้ว

    Wangu niuyo bad boy hakosi matokeo pia anaiyo yakuuza vitu bt niliamua niachane nae

  • @masoudsuleiman2012
    @masoudsuleiman2012 2 ปีที่แล้ว

    Mimi mke wangu anatabia izzo kwaio inakuwaje hapo kaka