MUNGU ALIKUWA ANAISHI WAPI KABLA YA KUUMBA MBINGU?
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024
- #specialthanks to my spritual father H.E HON. DR. GEORDAVIE PEACE AMBASSADOR.
Je una swali lolote gumu kutoka ndani ya biblia linakusumbua na umekosa majibu kabisa? basi usisite kuuliza Mwalimu Isaya Benson yupo kwa ajili ya kujibu maswali yako yote yanayokusumbua. Andika swali lako kwenye comment nalo litajibiwa bila shaka yoyote.
Nimependa mafunzo yako mwalimu, iko kiwango cha juu sana MUNGU akubariki sana
Barikiwa sana mtumishi kwa ujumbe huu mzito wa kujifunza kwa namna ya kipekee kabisa kuhusu makao ya Mungu mwenyezi 🙏🙏❤️
Mungu hachunguziki, tusitake kufasilj juu ya uungu wake.
Leo ndo nimeelewa kwa nini malaika Mikaeli alimwambia lucifa "Mungu na akukemee" Barikiwa Mtu wa Mungu
Asante sana mtumishi wa Mungu Kwa kweli nimeelewa sana
Una NEEMA kubwa mtumishi wa MUNGU UBARIKIWE SANA
Je jua ni sayari na kama ni sayari kwanini sayari zote zinategemea jua,nafikiri Mungu anakaa kwenye jua
Ubarikiwe sana mtumishi
Mimi nazani Mungu na shetan ni mapacha yaani marafiki walio pishana mwingine ni jua na mwingine ni giza yaani usiku na mchicha Usiku niwa Shetan na mchana niwa Mungu wamegawana mamlaka sawa kwa Sawa akuna mbabe kati Yao
Asante Sana mwl Isaya nimejifunza vitu barikiwa
Ujazwe Roho Mtakatifu utamfaa Kristo si vinginevyo.Amen
1Timetheo 6:16 “ambaye yeye peke yake hapatikani na mauti, AMEKAA KATIKA NURU ISIYOWEZA KUKARIBIWA; wala hakuna mwanadamu aliyemwona, wala awezaye kumwona. Heshima na uweza una yeye hata milele. Amina”
vizuri sana uko elim nzuri ukita kuboresha elim yako nenda kasome quran utakua zaidi ya mwalimu na utakuja nikumbuka kwa hilo
Quran haina ukweli kuhusu uumbaji sababu mtume hakuwa na Elimu hiyo alibabaisha tuu,mara aseme Dunia imeumbwa kwa siku6 mara 7,mara mungu alikuwa Macca mara hewani mara Mbinguni yaani nawaonea imani waislamu manaake wanafuata mtu anaewapeleka machinjioni ndio maana mkisali mnaangalia Kwenye Sanamu ya jiwe Jeusi ndio aliko mnaemwabudu
@@myself4128 hata unachokisema sikuelewi naona ww ndio ulie babaishwa maana uongeayo hayaeleweki leta hoja yenye elimu mjomba nenda lasome huakuna kitabu chenye ufafanuz duniani.zaidi qur an nendakasome usisililize maneno na propaganda zamashoga hao ndio waharibifu wakubwa duniani
Elim ya mambo haya bado inahitaji mwongozo wa kiroho barikiwa sana
Una elimu ya kujuwa kufafanua mambo upo vizuri sana
Asante Sana mtu wa Mungu nashukuru sana
Haswaa amebarikiwa sana
I love your teachings
Unajitahidi mwalimu. Ubarikiwe
Umefafanua vizuri sana nimebarikiwa na mafundisho
Asante ndugu yangu zephania shukrani sana
Ukifikiria mambo ya mwenywe mngu kupitiliza hio inaitwa kufuru, mungu akusaidie
Kweli unaweza kukufuru kabisa
Katika mafundisho yako iko karibu na kweli kwa mtu mwenye asomi maandiko katika Roho na kweli ,ila katika Roho wa Mungu naona kwa fundisho yako sana sana unatetea shetani,sasa swali yangu ni Mungu wako ni Nani? Kwa sababu ninajua kwamba ata shetani anajua kusoma maandiko, ndio maana alijaripu kudanganya Yesu kwa neno, akitaka amsuhudie
Hakika huyu anaejiita mwalimu amefikia hatua mbaya anakufuru Sasa Mungu amusamehe maana hajui alitendalo.
Inastahili tuwe makini sana kwa watumishi wa siku izi, ni heri Mtu uombe Mungu akusaidie wakati unapo soma maandiko, nakumbuka vizuri Yesu alisema ninaenda na sitawaacha kama yatima, nitaomba Baba awape msaidizi mwingine atakaye kaa pamoja nanyi ata Milele, ndiye Roho mtakatifu ili atukumbushe yote aliyosema Yesu, ni vizuri tutambue kwamba ni nyakati za mwisho na waongo wamejaa kila mahali, kueni makini sana
Mwalimu Benson HAKIKA MUNGU ANATISHA SANA NA TUMWACHE MUNGU AITWE MUNGU...Amina
Asante sn kwa elimu na ufafanuzi huu mzuri
Umeniongezea kitu Mwl Asante sana.
Asante sana baba mungu akubariki ata Mimi nilikua na maswali kuusu uumbaji
Yaliowazi ni yetu na vizazi vyetu.
Yaliosirini na ya Mungu mwenyewe
Mwache aendelee kuchimba mambo ambayo hayamsaidii na atachanganyikiwa sana tu
Nakuelewa
Ninyakati zamwisho kweli acha kupotosha watu
Shukrani 😘😘😘
Yesu Kristo alitaja baba wa mbinguni kutofautisha na baba wa duniani. Na Mungu ni roho, hashikiki wala haonekani kwa macho ya kawaida
Mwalimu please eleza tofauti ya heaven na paradise
Mungu akubaliki sana
Lakini mungu ni jua
Asante Isaya Benson mwakilembe
Mungu ni Neno na yesu ni Neno kavineti ya binguni haropapeti Mungu M N ni neeema 12 + 12 = ( 26) Mungu ni ❤
How many heaven to we have.... Genesis indicates separate of water above and below
Nyie acheni kumtafiti mungu fuata tu utaratibu aliowapa acha mambo hayo msitende maovu
Safi sana
Mungu achunguziki
11-7 Quruani ameziumba mbigu kwa siku 6 na kiti chake chaenzi kilikuwa juu ya maji
Kweli twasoma
God is Universe it self
Mwalimu kimafupi mungu ni roho maana roho hanina mupaka kwenda marekani ni visa rakini saa hi unaweza kuwa mhapa Burundi 🇧🇮 maramoja roho yako inakuwa 🇺🇸 mana mungu ni roho aliku maharishi popote natena ujuwe kunamvingu 3
Ni kweli Shetani Yupo na Nguvu nyingi but Wakati ule wa Daniel na Wakati huu ambao Damu ya Yesu imemwagika Msalabani nitofauti kwani ipo nguvu kuu katika chembe ndogo sana ya imani kwa mtu yoyote yule anae amini katika Yesu Kristo. Mtu anaitaji imani ndogo sana kama punje ya haradari aweze kufanya jambo kubwa ivyo baada ya kifo cha Yesu ipo nguvu kuu inayomsaidia yeyote yule atakae amini .
siyo imani ndogo tu MUNGU ALIMAANISHA KUWA PUNJE YA HARADALI HUWA INAKUWA KUBWA MTI MKUBWA SANA,KO KAMA WAKKRISTO INABIDI IMANI YETU IWE INAKUA KAMA VILE PUNJE YA HARADALI INAVYOWEZA KUKUA NA KUWA MTI MKUBWA.
Amen
Yani wwe kama kuna mtu hakuelewi basi atakua hajielewi mwenyewe pia, yani unaeleweka vizuri kabisa 🙌🙌😂😂😂
Hueze toa refalens ya sayans kujubu ya mungu,
Je nyota,jua na sayari ni mbinguni.lakini dunia nayo iko binguni
ukijadili sana utakufuru
unajibu maswali yanayonisumbua
Ufafanuzi wako ni mrefu sana unachosha
Umelazimishwa?
Anzaaa kuipendaa Israel Kwanzaa
Unakwenda kuchangajikiwa unako enda kwa kujifanya unamchunguza Mungu, Mtakatifu. Kwa alikili zako fupi
😂😂😂😂😂😂
Aliyechora ile circle ya sayar mbona wanasayansi wapya hawajawahi kuiapdate? Alikuwa nani
Dah... Inabidi... Utowee.. Na.. Ya cm....tuwe.. Tunatowa sadaka. Wew Mwl kwel
Mtumishi ubarikiwe sana ila ninaswali je mti wa matunda waliokula adamu na eva uko wapi?
Mungu alioko juu mbiguni yan yupo juu ya mbinguu sijuii kama unaelew yan yupo juu ya mbingu mbgu iko chin yake na hii ni lugha ya kutukuza ama kumuinua Mungu
Suala bovu kabisa na mchungaji hayo si masuali itakusaidia nn katika maisha yako
MWAKILEMBE MUNGU HANA MAKAZI ,MAAMA MAKAO NI KWA AJILI YA VIUMBE PEKEE
Mimi Nina yangu katika fikra zangu japo sinta kuwa sahihi najua hutakubaliana na Mimi wengi wanaamini shetani aliumbwa na MUNGU Mimi naamini shetani hakuumbwa mwalimu utalisahihisha kisomi zaidi niatataja sababu mbalimbali zinazonifanya niamini kuwa shetani hakuumbwa mpaka hapa mwalimu umeelewa namaanisha Nini ,
SHETANI ALIKUWA MALAIKA KO ALIUMBWA KWA MOTO KAMA MALAIKA WENGINE
Bro Bible na sayansi ya anga ni kitu kimoja. Big up to you kaka
Mungu hakai gizani,ila kabla ya kuumba ndiyo alikuwa anakaa gizani (lower party of darkness)lakini sio sasa hv
1,Adam na mke wake wa kwanza walizaa watoto? na kama walizaa ni nani hao.
2,Kweli kuna mbigu 7? na kama ni 7 ni nani hao wanaokaa kwenye hizo mbingu?
Watoto waliozaliwa kwa mke wa kwanza wa Adam ni Abel na Kain
Haaaa,, Amen
Binadamu ni wavivu katika kujifunza mazoea ya kukaririshwa mambo bila kuchimbua kea kupata maarifa
Mwalim ningependa kupata namba yko
Vizuli sana Mwalimu mimi naomba unambie wakina nani wanayoona Mungu face 2 face ?je ni Yesu Kristo anaomuona Mungu vipi kuusu ma angels? Asante Mwalimu
Ukiwa katika Roho,manake Ukimuona katika macho ya nyama huwezi ishi, hakika unakufa Kwa sababu ya Utukufu na utakatifu,mwanga Wake.
Na yule kiboko ya wachawi naye asile majani siyo.Wako wanaofaakula majani ndugu
Kishetani kishindwe asante teacher we need your number tukiwish merry xmas
Naomba ufafanuzi zaidi.Seraphim wako na mabawa 6. katika kila mabawa 2 ziko na kazi yake.Kati ya manawa mbili nizakujifunika uso.Je wamejifinika uso wasione nini wakati umesema makaazi ya Mungu kuna giza?
Bado hamna jibu kama unasema Mungu aliishi gizan na ilo giza lilikua linakaa wapi
Noooo!!!
Jodev amekomaa ndio maana amejua kuwa badhii ya maandiko Ya biblia yamewaingiza chaka
Kama ni chaka limeingiza wengi
Ila imani ndio imetupeleka huko
Labda wewe unaushahidi zaidi au nawe umebase kwenye imani lete hoja zako basi
Kwaiyo manabii wanaotwambia walikutana na Mungu wana tudanganya et eehh....!!
Dunia ilipofikia tunahitaji mafundisho ya kibabe namna hii
Anga inamaana nyingine kioo
Waliotaka kujenga mnara wa babeli walifarakanishwa na Mungu ili wasije waka kufuru , na ni kitu ambacho kwao hakikua cha muhimu , sasa kusema Mungu anakaa gizani hiyo sasa si ndio kufuru yenyewe, maana yeye ni nuru na malaika wake wanaitwa malaika wa nuru , acha kupeleleza mambo ambayao hayataokoa Roho yako , uliambiwa mwamini Yesu utaokoka sasa swala la Mungu anakaa wapi linakupa faida gani
Hapo umenipea ufunuo mwalimu
Ukisema inaonekana alikua aki kaa katika mbingu nyegine inama huna uakika Sasa unatufundisha nini na huna uakika
Mungu hamjaribu mtu Bali mtu hujaribiwa na tamaa zake Yak 1:13 je Mwanzo 22:1 Abrahamu alijaribiwa na nani ikiwa Abrahamu naye ni mtu?
Wewe usha changajikiwa na hujui unacho sema. Kumbukumbu la torati 29:29. Mambo ya siri ni ya Mungu. Yaliyo funuliwa ni yetu sasa mahali biblia ilipo kaa kimya nawe usijifanye unauwezo wa kumchunguza Mungu, Mtakatifu. Na akili zako za maandazi Mungu, Mtakatifu. Usimfananishe na kichwa chako
Mtumishi mimi swali langu ni je ni kweli kuna pepo wachafu au wabaya na mapepo wazuri ? Kama waumin wa dini nyengine wanavyohubir
umesema ilo andiko linalosema tumepewa mamlaka ya kukunyaga nge na nyoka si ya watu wote waliookoka bali ni ya watu flani ambao ndio wamekusudiwa sasa tunaposoma biblia tunaamini kile kilichoandikwa kiko hai na kwa imani itatimia kwetu sasa iweje ilo andiko moja lisiwe la kwetu wote tuliokoka basi biblia pia itakua imeandikwa kwa ajili ya watu flani waliokusudiwa sio watu wote
Kunawatu waajabu hakuna aliyefika kwa Mungu lkini anaweza Sema mwalim anapotosha je wewe unajua kweupi? Sisitunajifunza basi tusaidie ukweli halisi niupi
Mwalimu,Isaya:nauliza,"je Yesu ni kiumbe kimoja na au malaika mukuu Mikael?
Hizii ni njaa tupo😂
Huyu jamaa ni ufunuo hasa
Wewenimekuku bali
Mimi naitwa Mohammed nataka kujuwa eti yule mtoto wa Adam Alie ASI Kaabili.nikwwli NDIE MASIHI DAJAL na yupo wapi huyu mtoto kwani maamdiko haya mzungumzia aliishia wapi
Kuna shekh anaitwa ibnu abbas mtafute
Next time teach about rapture
Tukiondokaa kumlaki mungu miaka Saba wale wataachwa kaburini watatoka kaburi nakuanza kurura duiani manyumba yetu itakua nanani tukienda kwa anga miaka Saba tukieudi duniani baada ya miaka Saba tutarudi kwamanyumba zetu ama tutakaa wapi kwa Ile 1000years
Mtumishi baada ya shida zote Yesu atarudi kutuchukua tutakaa miaka 1000 mbinguni pamoja na kristo na baada ya Ile miaka 1000 mji wa yerusalemu ya mbinguni utashuka duniani pamoja na watakatifu wote walioshinda dhambi
Nyumba zenu zitabomoka siku Yesu atakaporudi kwa utisho Wake
Kwani Sasa mbingu ipo na nchi ipo unaeza sema anakaa wapi
Mafundisho yako mazuri, kanisa unako abudu nasi tukaabudu
Wewe utapotosha sana,kwa sababu Kuna injili mbili ya waliotahiriwa na ya wasio tahiriwa, Galatia 2:7, wewe unafundi ipi?
Huyu ni agent wa shetani mpendwa, hawa wako wengi sana Sasa hivi. I pray for the people of God
Chambua mambo ya Ukraine mambo ya dini bado hujaiva
😂
Tuchambulie wewe mtaalam
Huyo ni mtumishi was shetani
Msitudanganye hakuna yoyote anae jua story ya mungu zaidi ya yesu krsto alie hai
Ndugu yamgu wewe unahitaji msaada. Sasa mapepo si no jesho la shetani! Wanapokea orders toka kwa shetani, yeye ndo anawatuma, kumbuka wako chini yake, mapepo na shetani ni kambi moja ndugu.. Sasa watumishi wanaposema wanapigana na shetani inamaana hiyo kwamba kweli wanapigana naye.
Kum 29:29 SUV
[29] Mambo ya siri ni ya BWANA, Mungu wetu; lakini mambo yaliyofunuliwa ni yetu sisi na watoto wetu milele, ili t
Ufu 19:19 SUV
[19] Kisha nikamwona huyo mnyama, na wafalme wa nchi, na majeshi yao, wamekutana kufanya vita na yeye aketiye juu ya farasi yule, tena na majeshi yake.
Amen Mtumishi Niko Maputo Msumbiki Nakufatilia Sana Nabarikiwa.
we subiri ufundishwe ujengwe na mwalimu...ubish wa nn
Ndugu hebu soma hii
1 Wafalme 22:3,20-23
[3]Mfalme wa Israeli akawaambia watumishi wake, Je! Hamjui ya kuwa Ramoth-Gileadi ni yetu? Nasi tumenyamaza tusiitwae mkononi mwa mfalme wa Shamu?
And the king of Israel said unto his servants, Know ye that Ramoth in Gilead is ours, and we be still, and take it not out of the hand of the king of Syria?
[20]BWANA akasema, Ni nani atakayemdanganya Ahabu, ili akwee Ramoth-Gileadi akaanguke? Basi huyu akasema hivi; na huyu hivi.
And the LORD said, Who shall persuade Ahab, that he may go up and fall at Ramothgilead? And one said on this manner, and another said on that manner.
[21]Akatoka pepo, akasimama mbele za BWANA, akasema, Mimi nitamdanganya.
And there came forth a spirit, and stood before the LORD, and said, I will persuade him.
[22]BWANA akamwambia, Jinsi gani? Akasema, Nitaondoka, na kuwa pepo wa uongo kinywani mwa manabii wake wote. Akasema, Utamdanganya, na kudiriki pia; ondoka ukafanye hivyo.
And the LORD said unto him, Wherewith? And he said, I will go forth, and I will be a lying spirit in the mouth of all his prophets. And he said, Thou shalt persuade him, and prevail also: go forth, and do so.
[23]Basi angalia, BWANA ametia pepo wa uongo kinywani mwa manabii wako hawa wote; naye BWANA amenena mabaya juu yako.
Now therefore, behold, the LORD hath put a lying spirit in the mouth of all these thy prophets, and the LORD hath spoken evil concerning thee.
Mungu hachunguziki, tusitake kufasilj juu ya uungu wake.
Mungu hachunguziki, tusitake kufasilj juu ya uungu wake.