Hongereni sana, inawezekana leo watu baadhi wasiwaelewe ila ipo siku watawakumbuka. Hakika ninyi ni wazalendo. Ni dua yangu mbele za Mungu aliye hai awatunze na kuwafanikisha katika malengo yenu kwa Taifa la TZ. Mungu ibariki TZ na Mungu wabariki watu wako hawa.
Ongereni na pongezi nyingi sana kwenu kwa wachache ni ngumu kuwaelewa kwa kile mnachofanya lkn kwa kina maana kubwa sana maana hkn serekali yoyote Duniani itakayofanya mipango yake ya maendeleo pasipo kujua idadi ya wananchi wake,M/MUNGU awasimamie........Amina.
Acheni kudanganya watu hakuna uzalendo wa kipuuzi Kama huo kwanza kutembea nchi nzima ni uongo na kutembea mme na mke sio mke wako inakuaje na Kwa Nini msitafute shamba shamba mkalime.
Kuna kila sababu ya kutoa elimu kuhusu UZALENDO. Uzalendo sio kujitesa! Uzalendo sio kubeba mabango au kutembea kwa miguu, baiskeli nk. UZALENDO ni dhana pana sana.
Mimi naweza kujiita mzalendo pale naisema serikali iliopo madarakani ikikosea na ikipatia kuipongeza lakini nchi yetu daima vyombo vya habari na wasani wanapongeza serikali iliyopo madarakani at kama inakosea ety kisa wapate kula na kusifiwa wapo pamoja huo ni unafki sema ukweli ukuweke huru
😂😂😂😂😂 Eti wanatembea kwa Miguu nchi nzima hahhahaahhaaaaaaa Ni nchi ipi iyo ! Tanzania imekua uwanja wa mpira nini ! Pelekeni ujinga wenu uko Na wapongeza kwa uzalendo ila pelekeni ujinga wenu kwa kunidanganya eti Tanzania nzima kwa miguu Nyoooooooooooooooooooooo
Tatzo sio uzalendo bali vjana wamekosa Kaz za kufanya mngekuwa nakaz za kufanya msinge pata mda wakuzunguka hvyo vijana tufanye Kaz kwa bidii tusipende kutegemea mafungu bro
Serikali nayo imelala unaangalia watu vitu azina Kochwa kwani technology yenu mpaka Leo iko Nyuma hivyo nashangaa hawa watu tangazeni Kwa station za radio Na runingaa,mtaamka lini lakini Aki acheni hizo
Mh by foot huo siyo uzalendo ni matumizi mabaya ya muda na icho ndo kinatumiza watu weusi me ningewaona wazalendo kama mngeisemea serika ukweli pale wanapo kosea na pale wanapopatia kuwapongeza acheni kupoteza mda mwisho mtapata maradhi muanze kuomba msaada wa kurejea mlipotoka
Vijana nendeni shambani Mkajiajiri kwenye kilimo Naamini kwa Tanzania hii huwezi kukosa kabisa eneo la kulima Naamini kinachowasumbua Ni ukosefu wa ajira na njaa Na si uzalendo !
Mbwa nyie hamna kazi za kufanya uzalendo gani upuuzi unailinda nchi ww mnalala wapi 🤣🤣msipotumia akili vzr ujanani na kujishughulisha mtaitesa Sana miili yenu baadae uzeeni endeleeni kupoteza mda usije ikamtia mimba dada wa watu mjinga we🏃🏃🏃
Bora mtangaze hayo mwingine lakini kuhusu CHANJO siwaungi mkono SEMA tu hamjui kilichomo NDANI yake hizo CHANJO Ila ipo siku mtàkuja kujua system inapoanza kufanya kazi
😁😁😁😁😁 Eti kitembea nchi nzima ivi mnatuona sisi wajinga Jambo mnalofanya nizuri sana tena sana lakini kitembea kwa miguu hapo mmetupiga kitu kizito kichwan
Mnapoteza MDA mkizeeka mtakuwa hoi Sana tembea bila kujiengeneza maisha yako
Ukisema ivo unakosea kwasababu sio wonte Nimatajili umemanisha wanapoteza Munda kutafuta maisha ety wanatembea naomba uteguwe kauli
Njaa sio nzuri
Oooh allah hakika kila penye mwanzo pana mwisho hara wanadamu wafanyaje kama riziki ni ya mtu itabaki kuwa yake tu
Hongereni sana, inawezekana leo watu baadhi wasiwaelewe ila ipo siku watawakumbuka. Hakika ninyi ni wazalendo. Ni dua yangu mbele za Mungu aliye hai awatunze na kuwafanikisha katika malengo yenu kwa Taifa la TZ. Mungu ibariki TZ na Mungu wabariki watu wako hawa.
Ongereni na pongezi nyingi sana kwenu kwa wachache ni ngumu kuwaelewa kwa kile mnachofanya lkn kwa kina maana kubwa sana maana hkn serekali yoyote Duniani itakayofanya mipango yake ya maendeleo pasipo kujua idadi ya wananchi wake,M/MUNGU awasimamie........Amina.
Heee njaa hizi lazma tuseme nazo jmn
SUPER MTANGAZAJI,SIMPLE AND SHORT QUATIONS.... HONGERA
Hatakama iwekwe kipingamizi namna gani itarudi kuwa haki tu
Mashaallah nguvu moja💪🔥🔥🔥🔥
Kwa mabango hayo, lazima serikali iwape fungu la maana na huwenda wakawa mabalozi wa sensa na chanjo ya uviko- 19
Hasa dude lenyewe mmetengeneza naona kama ni zito mnatumia nguvu mtamaliza mikoa yotee kweli
Safi sana mungu awabariki mbona hujamhoji dd
Mpaka mmalize hiyo safari huyo Dada atakuwa tayali ana mimba ya miezi mitatu, jiandae kutoa mahali kabisa.
Nchi yenye wapuuzi watupu wanasahau majukum yao wakiwa vijana
Acheni kudanganya watu hakuna uzalendo wa kipuuzi Kama huo kwanza kutembea nchi nzima ni uongo na kutembea mme na mke sio mke wako inakuaje na Kwa Nini msitafute shamba shamba mkalime.
Huyo Dada kanuna au kachoka?
Anajikaza tuu
HAO HATEMBEI KWA MIGUU NCHI NZIMA WASITUDANGANYE
Hii Ni Sanaa
😄😄😄😄 mtakuja kuvimba miguu ukienda hospitali ndio mtajua kua hii nchi ngumu
Awana kz yakufanya Bangi mbaya sana
Mmmmmmh mimi huo uzalendo sina kwakweli
Mnalala wapi
Kuna kila sababu ya kutoa elimu kuhusu UZALENDO. Uzalendo sio kujitesa! Uzalendo sio kubeba mabango au kutembea kwa miguu, baiskeli nk. UZALENDO ni dhana pana sana.
Madhara ya kutoajiri kwa mda mrefu ndo haya matokeo
Mimi naweza kujiita mzalendo pale naisema serikali iliopo madarakani ikikosea na ikipatia kuipongeza lakini nchi yetu daima vyombo vya habari na wasani wanapongeza serikali iliyopo madarakani at kama inakosea ety kisa wapate kula na kusifiwa wapo pamoja huo ni unafki sema ukweli ukuweke huru
Hakika we jembe nimebkukubali 🙏🙏🙏💕💕🇹🇿🇹🇿🇹🇿
We unafikiri mda wanaozunguka wanakula nn? Na wanafaidika nn wanatuongopea ni mchongo huo
huko maporini ngoja mkutane na MAJAMBAZI muuwawe, mna dhalilisha wasukuma
Dada atafikia labor moja kwa moja ili azae tu ....dada mwenyewe kanuna kama kala ukwaju
Hapo hakuna kazi. Hapo ni ngoswe, penzi kituvo cha uzembe. Hakuna chochote kitakachotokea hapo.
Hamna kaz mbwa nyinyi kalimeni mnajitesa tu hafu hamaambulii kitu shika jembe kalime
Kwanza nicheke mie😅😅😅😅
Hapo sawa
😂😂😂😂😂 Eti wanatembea kwa Miguu nchi nzima hahhahaahhaaaaaaa Ni nchi ipi iyo ! Tanzania imekua uwanja wa mpira nini ! Pelekeni ujinga wenu uko Na wapongeza kwa uzalendo ila pelekeni ujinga wenu kwa kunidanganya eti Tanzania nzima kwa miguu Nyoooooooooooooooooooooo
Tatzo sio uzalendo bali vjana wamekosa Kaz za kufanya mngekuwa nakaz za kufanya msinge pata mda wakuzunguka hvyo vijana tufanye Kaz kwa bidii tusipende kutegemea mafungu bro
Mtafia njiani, watu wanakula hela nyie mnajitesa tu
Vichaa nyinyi madishi yanayumba
Serikali nayo imelala unaangalia watu vitu azina Kochwa kwani technology yenu mpaka Leo iko Nyuma hivyo nashangaa hawa watu tangazeni Kwa station za radio Na runingaa,mtaamka lini lakini Aki acheni hizo
Mmhhj,🤣🤣ety kwa mguuu. C wangebaki vipara kama tairi za gari... wazarendo wa michongo haoooo
Kwa mwendo huo ni miaka5
mnatumalizia bandoo milard
Hawana kazi hawa
Safi sana kila kitu kinawezekana
wanatafuta rawama2 ili bdae waseme serikari haitujali haitupi chochote kwani mlitumwa
Wako vzr
Washezi hawa hawanakazii 😏😏
Daaaa
Mmekosa kazi
basi ndyo maana hauchoki, mnalala wapi mkichoka 😂
Akili wameishiwa hao!
Si wakachunge ng'ombe jaman🤣🤣🤣 desi shaur yako
Hawawezi tembea kw mguu nchi nzima
Uzalendo gani nawakati sisi teali ni Mali ya mzungu
mzalendo alikua Nyerere na maguli hakuna tenaa.
Hao waache umbea hawatopata kitu chochote wanajichosha tu kutembea waache ujinga warudi wakafanye kazi hatuna cofid hap
Kazi zenyewe akuna hichi ndio tulicho kiacha ni kubeba mabango ndio tumekiacha
Kubwa tuu mtt wa watu asije akabebea mimba brbrni hiyo safari itakuwa ngumu sana
Kuchanja ndio mkome kabisaa tangazani mengine
Wamefika wapi Hadi sasa jamani 🤣
Waongo
Mhhhhhh
Daaaa sio poa
Duh
Hakika nyinyi ni wazalendo wa kweli
Jamani hivi vitu si vinatangazwa kwenye vyombo vya Habari huu muda si mngefanya kazi km kweli ni wazalendo 😒
Wastage of time uzalendo ni maisha sio tukio
Njaa tu Dada yangu!
Mpaka unamalizia hiyo safar nadhan tutapata na kachanga
Bangiiiii
Kazi mnayo
Hawana kazi ya kufanya wanakula nini wanalipwaje hawana family😂😂😂😂
Kwaiyo wapo mtu na mke wake 😂 wajanja Sana hawa
Hahahaha 😆🤣🤣
Duu nimejikuta nacheka tu kwa sauti
Mmeshakuwa wapenzi
Sasa kutembea kite huko
Mnakula kwenye vichaka Yale mambo yetu
Niwashaurii mpige pichaa na mikoa. Yote muweze kushut na kutoa move ya history
Alafu mbona host kawa mmbaguzi jamni...
Hajamuhoji dada mbona ama me ndo sijaelewa?
Kutembea wa mguu nchi mzima unafikir ni utani musitufanye sio mabwege,tena kwa mwendo huo..😳
😂
Na sutii
Mh by foot huo siyo uzalendo ni matumizi mabaya ya muda na icho ndo kinatumiza watu weusi me ningewaona wazalendo kama mngeisemea serika ukweli pale wanapo kosea na pale wanapopatia kuwapongeza acheni kupoteza mda mwisho mtapata maradhi muanze kuomba msaada wa kurejea mlipotoka
mafala hawa yani wamekosa kazi kwa kweli
Hahahaaaa kule raisi alisema awape zawadi eti kanga karamu na tisheti hahaaaa
LENGO kikuamsha hamasatu kwa vijana kuipenda nchi yao
Kutembea dar nzima muhimbil utapumua kidg
Niliwaona na mlikuwa nao na sio mmekitana
Bongo kwa kutafuta umaarufu na mwishowe jitu kitakwenda kimya barabarani
Wanatfta kiki awa kw mama Samia ili wagange njaa
Ww unampango wako na uyo dem
Pesa za matumiz mnatoa wap Kula kunywa na n k
Upuuzi huo
Vijana nendeni shambani
Mkajiajiri kwenye kilimo
Naamini kwa Tanzania hii huwezi kukosa kabisa eneo la kulima
Naamini kinachowasumbua
Ni ukosefu wa ajira na njaa
Na si uzalendo !
😂😂kweli hawana kz
😄😄😄😄😄😄 wamechanja wakachanganyikiwa😁😁😁😁🤒🤒🤒
Dah
Kwa hiyo na hapo bado unaota?
@@patrickmsekwa7773 nikujibu nn
Hakuna Tanzania visiwani
kwaiyoo zanzibar mnapasua bahari kama musa
😂😂
Wanajikuta vasco dagama
Mbwa nyie hamna kazi za kufanya uzalendo gani upuuzi unailinda nchi ww mnalala wapi 🤣🤣msipotumia akili vzr ujanani na kujishughulisha mtaitesa Sana miili yenu baadae uzeeni endeleeni kupoteza mda usije ikamtia mimba dada wa watu mjinga we🏃🏃🏃
Nyie mmechanja
Jamani jamani muda wa kufanya kazi mnazunguka muda mnaopoteza ungekuwa labda mmepewa fungu
Bangi hizi
Mkamwambie mwiguru
Acheni uongo
Inahitaji moyo kusukuma damu kweli. Hamfiki hata mikoa 15mshazalishana, uzalendo shughuli pevu mjue. Ohooo
😄😄😄😄😄😄
Pumbavu wee uzalendo sio kuchanja uviko 19, unajua hayo madawa ya uviko 19 yamewekwa nini ndani yake? mabebelu sio wajomba zetu watuletee chanjo.
Wameisha anza kuvimba mikono na miguu
Bora mtangaze hayo mwingine lakini kuhusu CHANJO siwaungi mkono SEMA tu hamjui kilichomo NDANI yake hizo CHANJO Ila ipo siku mtàkuja kujua system inapoanza kufanya kazi
Uongo tu nyie
Watu wanapiga hela wewe unaburuza mkokoten eti uzalendo.Uzalendo? Nenda ukae na familia yako pumbvu zako!!!!
😁😁😁😁😁
Eti kitembea nchi nzima ivi mnatuona sisi wajinga
Jambo mnalofanya nizuri sana tena sana lakini kitembea kwa miguu hapo mmetupiga kitu kizito kichwan
🙊🙊🙊🙊😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 waongo
AWA YA KULIPWA MADENI YAKO m.th-cam.com/video/NzCJvpVkxHI/w-d-xo.html