USIYOYAJUA KWA WANAOIZUNGUKA TANZANIA NZIMA KWA MGUU "HATUVUNJI SHERIA YA NCHI"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ก.พ. 2022

ความคิดเห็น • 129

  • @ivangeorge1578
    @ivangeorge1578 2 ปีที่แล้ว +4

    Mnapoteza MDA mkizeeka mtakuwa hoi Sana tembea bila kujiengeneza maisha yako

    • @amosjuma4536
      @amosjuma4536 2 ปีที่แล้ว

      Ukisema ivo unakosea kwasababu sio wonte Nimatajili umemanisha wanapoteza Munda kutafuta maisha ety wanatembea naomba uteguwe kauli

  • @africankidsnegebumamlemale9176
    @africankidsnegebumamlemale9176 2 ปีที่แล้ว +1

    Njaa sio nzuri

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Oooh allah hakika kila penye mwanzo pana mwisho hara wanadamu wafanyaje kama riziki ni ya mtu itabaki kuwa yake tu

  • @rafikiwildlife4263
    @rafikiwildlife4263 2 ปีที่แล้ว

    Hongereni sana, inawezekana leo watu baadhi wasiwaelewe ila ipo siku watawakumbuka. Hakika ninyi ni wazalendo. Ni dua yangu mbele za Mungu aliye hai awatunze na kuwafanikisha katika malengo yenu kwa Taifa la TZ. Mungu ibariki TZ na Mungu wabariki watu wako hawa.

  • @alexsalum7824
    @alexsalum7824 2 ปีที่แล้ว +3

    Ongereni na pongezi nyingi sana kwenu kwa wachache ni ngumu kuwaelewa kwa kile mnachofanya lkn kwa kina maana kubwa sana maana hkn serekali yoyote Duniani itakayofanya mipango yake ya maendeleo pasipo kujua idadi ya wananchi wake,M/MUNGU awasimamie........Amina.

  • @hamidmweusiii35
    @hamidmweusiii35 2 ปีที่แล้ว +2

    Heee njaa hizi lazma tuseme nazo jmn

  • @songweairport7602
    @songweairport7602 2 ปีที่แล้ว

    SUPER MTANGAZAJI,SIMPLE AND SHORT QUATIONS.... HONGERA

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hatakama iwekwe kipingamizi namna gani itarudi kuwa haki tu

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah nguvu moja💪🔥🔥🔥🔥

  • @chiefchacha2992
    @chiefchacha2992 2 ปีที่แล้ว +2

    Kwa mabango hayo, lazima serikali iwape fungu la maana na huwenda wakawa mabalozi wa sensa na chanjo ya uviko- 19

  • @rehemaa597
    @rehemaa597 2 ปีที่แล้ว +1

    Hasa dude lenyewe mmetengeneza naona kama ni zito mnatumia nguvu mtamaliza mikoa yotee kweli

  • @hadiaali5517
    @hadiaali5517 2 ปีที่แล้ว

    Safi sana mungu awabariki mbona hujamhoji dd

  • @menikojohn2782
    @menikojohn2782 16 วันที่ผ่านมา

    Mpaka mmalize hiyo safari huyo Dada atakuwa tayali ana mimba ya miezi mitatu, jiandae kutoa mahali kabisa.

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 2 ปีที่แล้ว +2

    Nchi yenye wapuuzi watupu wanasahau majukum yao wakiwa vijana

  • @uthmanmaluja7005
    @uthmanmaluja7005 5 หลายเดือนก่อน

    Acheni kudanganya watu hakuna uzalendo wa kipuuzi Kama huo kwanza kutembea nchi nzima ni uongo na kutembea mme na mke sio mke wako inakuaje na Kwa Nini msitafute shamba shamba mkalime.

  • @adamambangile7819
    @adamambangile7819 2 ปีที่แล้ว +2

    Huyo Dada kanuna au kachoka?

  • @mohamedalirachidi380
    @mohamedalirachidi380 2 ปีที่แล้ว +3

    HAO HATEMBEI KWA MIGUU NCHI NZIMA WASITUDANGANYE

  • @luckygmdegela8477
    @luckygmdegela8477 2 ปีที่แล้ว

    Hii Ni Sanaa

  • @rashidyally8715
    @rashidyally8715 ปีที่แล้ว

    😄😄😄😄 mtakuja kuvimba miguu ukienda hospitali ndio mtajua kua hii nchi ngumu

  • @timamusulemani7306
    @timamusulemani7306 2 ปีที่แล้ว +1

    Awana kz yakufanya Bangi mbaya sana

  • @mariasalumu474
    @mariasalumu474 2 ปีที่แล้ว

    Mmmmmmh mimi huo uzalendo sina kwakweli

  • @aishambondo8923
    @aishambondo8923 2 ปีที่แล้ว

    Mnalala wapi

  • @lanlady2504
    @lanlady2504 2 ปีที่แล้ว +1

    Kuna kila sababu ya kutoa elimu kuhusu UZALENDO. Uzalendo sio kujitesa! Uzalendo sio kubeba mabango au kutembea kwa miguu, baiskeli nk. UZALENDO ni dhana pana sana.

  • @elibarikikivuyo5946
    @elibarikikivuyo5946 2 ปีที่แล้ว +1

    Madhara ya kutoajiri kwa mda mrefu ndo haya matokeo

  • @allytv1714
    @allytv1714 2 ปีที่แล้ว +3

    Mimi naweza kujiita mzalendo pale naisema serikali iliopo madarakani ikikosea na ikipatia kuipongeza lakini nchi yetu daima vyombo vya habari na wasani wanapongeza serikali iliyopo madarakani at kama inakosea ety kisa wapate kula na kusifiwa wapo pamoja huo ni unafki sema ukweli ukuweke huru

    • @mosesmwailenge5192
      @mosesmwailenge5192 ปีที่แล้ว

      Hakika we jembe nimebkukubali 🙏🙏🙏💕💕🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 2 ปีที่แล้ว

    We unafikiri mda wanaozunguka wanakula nn? Na wanafaidika nn wanatuongopea ni mchongo huo

  • @valentinetesha8536
    @valentinetesha8536 2 ปีที่แล้ว +1

    huko maporini ngoja mkutane na MAJAMBAZI muuwawe, mna dhalilisha wasukuma

  • @dintazdintaz7311
    @dintazdintaz7311 2 ปีที่แล้ว +2

    Dada atafikia labor moja kwa moja ili azae tu ....dada mwenyewe kanuna kama kala ukwaju

    • @HelbethMlelwa
      @HelbethMlelwa ปีที่แล้ว

      Hapo hakuna kazi. Hapo ni ngoswe, penzi kituvo cha uzembe. Hakuna chochote kitakachotokea hapo.

  • @charlesmyamba8531
    @charlesmyamba8531 2 ปีที่แล้ว

    Hamna kaz mbwa nyinyi kalimeni mnajitesa tu hafu hamaambulii kitu shika jembe kalime

  • @zihinjishinifa7573
    @zihinjishinifa7573 ปีที่แล้ว

    Kwanza nicheke mie😅😅😅😅

  • @theprovitionofnature9188
    @theprovitionofnature9188 2 ปีที่แล้ว

    Hapo sawa

  • @azizymachadeson3577
    @azizymachadeson3577 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂😂 Eti wanatembea kwa Miguu nchi nzima hahhahaahhaaaaaaa Ni nchi ipi iyo ! Tanzania imekua uwanja wa mpira nini ! Pelekeni ujinga wenu uko Na wapongeza kwa uzalendo ila pelekeni ujinga wenu kwa kunidanganya eti Tanzania nzima kwa miguu Nyoooooooooooooooooooooo

  • @saidasanga3233
    @saidasanga3233 ปีที่แล้ว

    Tatzo sio uzalendo bali vjana wamekosa Kaz za kufanya mngekuwa nakaz za kufanya msinge pata mda wakuzunguka hvyo vijana tufanye Kaz kwa bidii tusipende kutegemea mafungu bro

  • @shaameshaame9721
    @shaameshaame9721 ปีที่แล้ว

    Mtafia njiani, watu wanakula hela nyie mnajitesa tu

  • @manchalijob9600
    @manchalijob9600 2 ปีที่แล้ว

    Vichaa nyinyi madishi yanayumba

  • @evancymassawekenya7521
    @evancymassawekenya7521 2 ปีที่แล้ว +1

    Serikali nayo imelala unaangalia watu vitu azina Kochwa kwani technology yenu mpaka Leo iko Nyuma hivyo nashangaa hawa watu tangazeni Kwa station za radio Na runingaa,mtaamka lini lakini Aki acheni hizo

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 ปีที่แล้ว

    Mmhhj,🤣🤣ety kwa mguuu. C wangebaki vipara kama tairi za gari... wazarendo wa michongo haoooo

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 2 ปีที่แล้ว

    Kwa mwendo huo ni miaka5

  • @amourmunga8356
    @amourmunga8356 2 ปีที่แล้ว +1

    mnatumalizia bandoo milard

  • @calvinmramba8087
    @calvinmramba8087 2 ปีที่แล้ว +1

    Hawana kazi hawa

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 ปีที่แล้ว

    Safi sana kila kitu kinawezekana

  • @jumannerajabu6324
    @jumannerajabu6324 2 ปีที่แล้ว

    wanatafuta rawama2 ili bdae waseme serikari haitujali haitupi chochote kwani mlitumwa

  • @bashiruhassani1017
    @bashiruhassani1017 2 ปีที่แล้ว

    Wako vzr

  • @annrobin9291
    @annrobin9291 2 ปีที่แล้ว +1

    Washezi hawa hawanakazii 😏😏

  • @KaskasTHEfinderCLIP
    @KaskasTHEfinderCLIP 2 ปีที่แล้ว

    Daaaa

  • @charlesmyamba8531
    @charlesmyamba8531 2 ปีที่แล้ว

    Mmekosa kazi

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 ปีที่แล้ว

    basi ndyo maana hauchoki, mnalala wapi mkichoka 😂

  • @mkushiandikayakoachananaya7944
    @mkushiandikayakoachananaya7944 2 ปีที่แล้ว +1

    Akili wameishiwa hao!

  • @jafarimruke9111
    @jafarimruke9111 ปีที่แล้ว

    Si wakachunge ng'ombe jaman🤣🤣🤣 desi shaur yako

  • @kauyegeorge3335
    @kauyegeorge3335 2 ปีที่แล้ว +1

    Hawawezi tembea kw mguu nchi nzima

  • @salomeyuvenali3700
    @salomeyuvenali3700 ปีที่แล้ว

    Uzalendo gani nawakati sisi teali ni Mali ya mzungu
    mzalendo alikua Nyerere na maguli hakuna tenaa.

  • @jacobjoel3804
    @jacobjoel3804 ปีที่แล้ว

    Hao waache umbea hawatopata kitu chochote wanajichosha tu kutembea waache ujinga warudi wakafanye kazi hatuna cofid hap

  • @hagarbills4023
    @hagarbills4023 2 ปีที่แล้ว

    Kazi zenyewe akuna hichi ndio tulicho kiacha ni kubeba mabango ndio tumekiacha

  • @geraldlyimo2859
    @geraldlyimo2859 2 ปีที่แล้ว

    Kubwa tuu mtt wa watu asije akabebea mimba brbrni hiyo safari itakuwa ngumu sana

  • @rehemaa597
    @rehemaa597 2 ปีที่แล้ว

    Kuchanja ndio mkome kabisaa tangazani mengine

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 2 ปีที่แล้ว

    Wamefika wapi Hadi sasa jamani 🤣

  • @adamrenatus4235
    @adamrenatus4235 2 ปีที่แล้ว

    Waongo

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 2 ปีที่แล้ว

    Mhhhhhh

  • @KaskasTHEfinderCLIP
    @KaskasTHEfinderCLIP 2 ปีที่แล้ว

    Daaaa sio poa

  • @alexbenedict5378
    @alexbenedict5378 2 ปีที่แล้ว

    Duh

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal4191 ปีที่แล้ว

    Hakika nyinyi ni wazalendo wa kweli

  • @neemalema5312
    @neemalema5312 2 ปีที่แล้ว +3

    Jamani hivi vitu si vinatangazwa kwenye vyombo vya Habari huu muda si mngefanya kazi km kweli ni wazalendo 😒

  • @collinmhema5443
    @collinmhema5443 2 ปีที่แล้ว

    Mpaka unamalizia hiyo safar nadhan tutapata na kachanga

  • @HelbethMlelwa
    @HelbethMlelwa ปีที่แล้ว

    Bangiiiii

  • @saididodi3988
    @saididodi3988 2 ปีที่แล้ว

    Kazi mnayo

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 2 ปีที่แล้ว

    Hawana kazi ya kufanya wanakula nini wanalipwaje hawana family😂😂😂😂

  • @suzanfelix7703
    @suzanfelix7703 2 ปีที่แล้ว +1

    Kwaiyo wapo mtu na mke wake 😂 wajanja Sana hawa

  • @anahna6788
    @anahna6788 2 ปีที่แล้ว

    Duu nimejikuta nacheka tu kwa sauti
    Mmeshakuwa wapenzi
    Sasa kutembea kite huko
    Mnakula kwenye vichaka Yale mambo yetu

  • @aishambondo8923
    @aishambondo8923 2 ปีที่แล้ว

    Niwashaurii mpige pichaa na mikoa. Yote muweze kushut na kutoa move ya history

  • @chiefchacha2992
    @chiefchacha2992 2 ปีที่แล้ว

    Alafu mbona host kawa mmbaguzi jamni...
    Hajamuhoji dada mbona ama me ndo sijaelewa?

  • @mustafaalli4698
    @mustafaalli4698 2 ปีที่แล้ว +1

    Kutembea wa mguu nchi mzima unafikir ni utani musitufanye sio mabwege,tena kwa mwendo huo..😳

  • @allytv1714
    @allytv1714 2 ปีที่แล้ว

    Mh by foot huo siyo uzalendo ni matumizi mabaya ya muda na icho ndo kinatumiza watu weusi me ningewaona wazalendo kama mngeisemea serika ukweli pale wanapo kosea na pale wanapopatia kuwapongeza acheni kupoteza mda mwisho mtapata maradhi muanze kuomba msaada wa kurejea mlipotoka

  • @valentinetesha8536
    @valentinetesha8536 2 ปีที่แล้ว +1

    mafala hawa yani wamekosa kazi kwa kweli

    • @zumbeshauri8114
      @zumbeshauri8114 2 ปีที่แล้ว

      Hahahaaaa kule raisi alisema awape zawadi eti kanga karamu na tisheti hahaaaa

  • @mwanahawarajabu9253
    @mwanahawarajabu9253 2 ปีที่แล้ว

    LENGO kikuamsha hamasatu kwa vijana kuipenda nchi yao

  • @evaristimramba9047
    @evaristimramba9047 2 ปีที่แล้ว

    Kutembea dar nzima muhimbil utapumua kidg

  • @nemesjosephat5612
    @nemesjosephat5612 2 ปีที่แล้ว

    Niliwaona na mlikuwa nao na sio mmekitana

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 2 ปีที่แล้ว

    Bongo kwa kutafuta umaarufu na mwishowe jitu kitakwenda kimya barabarani

  • @hamidmweusiii35
    @hamidmweusiii35 2 ปีที่แล้ว

    Wanatfta kiki awa kw mama Samia ili wagange njaa

  • @hemedchuma9603
    @hemedchuma9603 ปีที่แล้ว

    Ww unampango wako na uyo dem

  • @sofiyabakari9730
    @sofiyabakari9730 ปีที่แล้ว

    Pesa za matumiz mnatoa wap Kula kunywa na n k

  • @veronikamkuwele9072
    @veronikamkuwele9072 2 ปีที่แล้ว

    Upuuzi huo

  • @josephinelyimo2467
    @josephinelyimo2467 2 ปีที่แล้ว

    Vijana nendeni shambani
    Mkajiajiri kwenye kilimo
    Naamini kwa Tanzania hii huwezi kukosa kabisa eneo la kulima
    Naamini kinachowasumbua
    Ni ukosefu wa ajira na njaa
    Na si uzalendo !

  • @noelmmari8570
    @noelmmari8570 2 ปีที่แล้ว

    😄😄😄😄😄😄 wamechanja wakachanganyikiwa😁😁😁😁🤒🤒🤒

  • @FakihiNapunda
    @FakihiNapunda 2 ปีที่แล้ว

    Dah

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 2 ปีที่แล้ว

    Hakuna Tanzania visiwani

  • @amourmunga8356
    @amourmunga8356 2 ปีที่แล้ว

    kwaiyoo zanzibar mnapasua bahari kama musa

  • @shivobs4485
    @shivobs4485 2 ปีที่แล้ว

    Wanajikuta vasco dagama

  • @sagilododomamedelipeter1893
    @sagilododomamedelipeter1893 2 ปีที่แล้ว

    Mbwa nyie hamna kazi za kufanya uzalendo gani upuuzi unailinda nchi ww mnalala wapi 🤣🤣msipotumia akili vzr ujanani na kujishughulisha mtaitesa Sana miili yenu baadae uzeeni endeleeni kupoteza mda usije ikamtia mimba dada wa watu mjinga we🏃🏃🏃

  • @winterkasela9033
    @winterkasela9033 2 ปีที่แล้ว

    Nyie mmechanja

  • @patrinussanga3081
    @patrinussanga3081 ปีที่แล้ว

    Jamani jamani muda wa kufanya kazi mnazunguka muda mnaopoteza ungekuwa labda mmepewa fungu

  • @nardhismhagama6266
    @nardhismhagama6266 ปีที่แล้ว

    Mkamwambie mwiguru

  • @gambathegreat8997
    @gambathegreat8997 2 ปีที่แล้ว

    Acheni uongo

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 2 ปีที่แล้ว

    Inahitaji moyo kusukuma damu kweli. Hamfiki hata mikoa 15mshazalishana, uzalendo shughuli pevu mjue. Ohooo

  • @misomisomisoji7722
    @misomisomisoji7722 2 ปีที่แล้ว

    Pumbavu wee uzalendo sio kuchanja uviko 19, unajua hayo madawa ya uviko 19 yamewekwa nini ndani yake? mabebelu sio wajomba zetu watuletee chanjo.

  • @doreenkaiza9930
    @doreenkaiza9930 2 ปีที่แล้ว +1

    Wameisha anza kuvimba mikono na miguu

  • @newschannel1558
    @newschannel1558 2 ปีที่แล้ว +1

    Bora mtangaze hayo mwingine lakini kuhusu CHANJO siwaungi mkono SEMA tu hamjui kilichomo NDANI yake hizo CHANJO Ila ipo siku mtàkuja kujua system inapoanza kufanya kazi

  • @victormashauri3374
    @victormashauri3374 2 ปีที่แล้ว

    Uongo tu nyie

  • @shaameshaame9721
    @shaameshaame9721 ปีที่แล้ว

    Watu wanapiga hela wewe unaburuza mkokoten eti uzalendo.Uzalendo? Nenda ukae na familia yako pumbvu zako!!!!

  • @boniphacewambura1427
    @boniphacewambura1427 2 ปีที่แล้ว +2

    😁😁😁😁😁
    Eti kitembea nchi nzima ivi mnatuona sisi wajinga
    Jambo mnalofanya nizuri sana tena sana lakini kitembea kwa miguu hapo mmetupiga kitu kizito kichwan

  • @drmussa1220
    @drmussa1220 2 ปีที่แล้ว

    AWA YA KULIPWA MADENI YAKO m.th-cam.com/video/NzCJvpVkxHI/w-d-xo.html