Baba hapo kazi unayo aise mafisadi hawaishi wanapenda Kitonga baraaaaaa bila kujali wanainji wao wanachangamoto gani jaman hawa viongozi Mungu anawaona
Kwahiyo katika billion 600 au 500 gawanya kwa visima 56...unapata kila kisima ni Billion na ushenzi.. Au wapigaji.. Kisima cha million 5 au 10..mnachimba kama billion.. Rais waoji awa watu.. Wezi
Pamoja na yote,ila huyo dada yupo smart kwenye maelezo.
Huyu dada jamn ni zaid ya ayo majanaime . Dada Yuko smart sana isee
Ml 600 icho kisima kinatoa mafuta nini au gesi
Baba hapo kazi unayo aise mafisadi hawaishi wanapenda Kitonga baraaaaaa bila kujali wanainji wao wanachangamoto gani jaman hawa viongozi Mungu anawaona
Apo kwenye ""wanainji"" apo ndo kunayo shida
Nikweli kabisa
Kwahiyo katika billion 600 au 500 gawanya kwa visima 56...unapata kila kisima ni Billion na ushenzi.. Au wapigaji.. Kisima cha million 5 au 10..mnachimba kama billion.. Rais waoji awa watu.. Wezi
Mheshimiwa Makonda una kazi kubwa hapo Arusha. Jitahidi piga kazi. Wabadhilifu wa mali ya umma wawajibishwe kwa kufuata sheria zote.
Jamani kisima.kimoja mi 600
Wakati mie changu nimechima mil1
E
😂