USIOYAJUA KUHUSU EBRAHIM RAISI WA IRAN “MCHINJAJI WA TEHRAN” MISIMAMO MIKALI DHIDI YA 'USHOGA'

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 19 พ.ค. 2024

ความคิดเห็น • 418

  • @Rukaiya-lt3hm
    @Rukaiya-lt3hm 24 วันที่ผ่านมา +22

    Hawa ndio viongozi wanaofaa kupambana na marekani allah akulipe kheir mzee wetu

    • @sarahmuhammed6872
      @sarahmuhammed6872 20 วันที่ผ่านมา

      AMEEN

    • @abdulsalum9698
      @abdulsalum9698 20 วันที่ผ่านมา

      Wajinga nyie mkasome dini alipwe kher gan Shia huyo

    • @Rukaiya-lt3hm
      @Rukaiya-lt3hm 20 วันที่ผ่านมา

      @@abdulsalum9698 huyu mtu kwanza sio kibaraka wa marekani pia amekataa ndoa za jinsia moja

  • @SaidiMiraji-lk3vm
    @SaidiMiraji-lk3vm 25 วันที่ผ่านมา +20

    Mungu akuhifadhi kamanda dunia hii wote tunapita hakuna atakae bakia

    • @AndreaHango
      @AndreaHango 24 วันที่ผ่านมา

      Shida sio wote tutapita shida ni kwamba baada ya kupita hayo matrilioni na mazilioni ya miaka tutakaa wapi?

  • @NanaBaby-qc9uf
    @NanaBaby-qc9uf 25 วันที่ผ่านมา +17

    Innalilah wainnalilah raniuni.Aliyekufa ni mwanadamu MUNGU yupo atamwinua mwingine Amin

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 25 วันที่ผ่านมา +16

    Jembe Mzee,Rais, Iranian Allah akuhifadhi,

    • @kelvinpeter5666
      @kelvinpeter5666 24 วันที่ผ่านมา +1

      Kwasasa ndipo anaend kukutana na adhabu kutoka kwa Yesu Kristo

    • @muhammadmbaraka4515
      @muhammadmbaraka4515 24 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@kelvinpeter5666Fala wewe

    • @user-bw6cd7ml1i
      @user-bw6cd7ml1i 24 วันที่ผ่านมา +1

      Yesu anadhabu gani sio Mungu mwenye mamlaka ya hii dunia Udini unakusumbua hii dunia hakuna ataye pona kila mtu anakosa mbele za mungu

    • @HassanJaphari-rx7jy
      @HassanJaphari-rx7jy 24 วันที่ผ่านมา +2

      ​@@kelvinpeter5666 we kafiri embu Kaa kimya

    • @mussakarata6650
      @mussakarata6650 24 วันที่ผ่านมา +2

      ​@@kelvinpeter5666wew aliyekuambia yesu anatoa adhabu ni nani?

  • @EmmanuelIbrahim-wo8gm
    @EmmanuelIbrahim-wo8gm 25 วันที่ผ่านมา +29

    mwamba imara utakao kumbukwa milele

    • @personpeter2221
      @personpeter2221 24 วันที่ผ่านมา

      Akumbukwe kwa maovu yake daima

    • @user-hd7vt8fk5t
      @user-hd7vt8fk5t 24 วันที่ผ่านมา

      K wewe

    • @Worldunite
      @Worldunite 23 วันที่ผ่านมา

      Maovu yako jee?​@@personpeter2221

    • @masweto
      @masweto 22 วันที่ผ่านมา

      kinyago

    • @Worldunite
      @Worldunite 22 วันที่ผ่านมา

      @@masweto kama wewe?

  • @user-st1zs1ng2x
    @user-st1zs1ng2x 25 วันที่ผ่านมา +17

    INALILLAH WAINAILAIH RAJIUN 🇮🇷💔🤲😭😭😭😭

  • @samrysamry9812
    @samrysamry9812 25 วันที่ผ่านมา +11

    Wallah nimeumia 💔💔💔💔💔 Allah akupe kauli thabiti kila nafsi itaonja umauti

    • @abdulsalum9698
      @abdulsalum9698 20 วันที่ผ่านมา

      Kauli yake thabiti kafa akimlilia Ali bin khatwab amuokoe kafa mushirik kaafir.kwa mujibu wa quraan na sunna

  • @suleimanmuhammad-bu7pe
    @suleimanmuhammad-bu7pe 25 วันที่ผ่านมา +11

    Allah mlaze mahali pema peponi

  • @mohamedaley5632
    @mohamedaley5632 25 วันที่ผ่านมา +18

    Jembe... utaishi kwny kumbukumbu zetu nzur 😢😢❤

    • @user-qb4cv7hs1o
      @user-qb4cv7hs1o 25 วันที่ผ่านมา +2

      Milele Allah ampe pepo Insha Allah

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 25 วันที่ผ่านมา

      ​@@user-qb4cv7hs1ohiyo pepo kama ni yako, sawa.

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 25 วันที่ผ่านมา

      Amiin 🤲🤲😥😥​@@user-qb4cv7hs1o

    • @mohamedaley5632
      @mohamedaley5632 25 วันที่ผ่านมา +1

      @@user-qb4cv7hs1o Allahumma amin

    • @abdillahiharuna0029
      @abdillahiharuna0029 25 วันที่ผ่านมา +3

      ​@@martinisadru9899 hapo pote2 Kisa hawaungi mkono mashoga ndomn unamakasiliko

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche 24 วันที่ผ่านมา +5

    Kafanya vizur kupinga ushoga tena angekata vichwa vya beiden.

  • @fatmakhalid6637
    @fatmakhalid6637 25 วันที่ผ่านมา +8

    Innalilah wainnalilah rajiun

  • @papaamularfins599
    @papaamularfins599 25 วันที่ผ่านมา +9

    Kwake tulitoka na kwa hakika kwake Mola tutarejea.

  • @J4UPro
    @J4UPro 25 วันที่ผ่านมา +8

    R. I. P Mr president

  • @hamidashakhbot2557
    @hamidashakhbot2557 24 วันที่ผ่านมา +1

    Allah akupe pepo ya frdausi

  • @user-lq4cm4rq6z
    @user-lq4cm4rq6z 24 วันที่ผ่านมา +2

    Allah akupumzishe mahali pema peponi Amiin

  • @kitaaofficial4119
    @kitaaofficial4119 25 วันที่ผ่านมา +2

    RIP Master❤ Allah ampe wepec ktk safar yke😢😢

  • @nassibkhamis3650
    @nassibkhamis3650 24 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu ampe kauli thabit amlaze mahali pema peponi amin

  • @suleimanmuhammad-bu7pe
    @suleimanmuhammad-bu7pe 25 วันที่ผ่านมา +5

    Innalillahi wainna ilayhi rajiuna

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 25 วันที่ผ่านมา +11

    Mashoga wamefurahi iliwaendelee na ndoa za jinsia moja.

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 24 วันที่ผ่านมา +1

      Kwani yeye alizuia Nini kwenye ushoga?? Ushoga unatokana na taratibu za nchi yenyewe na misimamo katika nchi ikiwa nchi imeruhusu😢 basi itawapa watu uhuru na ikiwa inamisimamo kama Magufuli na Ibrahim Rais ( Hayati) hapatatokea labda kwa kujificha Sana.. Magufuli& Ibrahim Raisi hawakuyumbishwa na wazungu kabisa na ninaamini hii miamba imeuliwa😢😢 Mungu anisamehe..

    • @michaelmisana650
      @michaelmisana650 24 วันที่ผ่านมา

      Mbona yeye aliuwa name afe tu

    • @MzeeMkuu-qs9wp
      @MzeeMkuu-qs9wp 23 วันที่ผ่านมา

      lanatitulayi Mungu anusulu

  • @yusramwinjuma4721
    @yusramwinjuma4721 25 วันที่ผ่านมา +3

    Innalilah waina illah rajiun 😢😢😢

  • @saidmtenda1628
    @saidmtenda1628 25 วันที่ผ่านมา +18

    Nawakubali sn Iran kwa kupigania maslahi ya nchi dhidi ya Manyang'au wa Magharibi

  • @khadijanjama8721
    @khadijanjama8721 19 วันที่ผ่านมา

    Allah awalaze pema peponi

  • @sainabhassan6885
    @sainabhassan6885 19 วันที่ผ่านมา

    Innalillah waina ileyhir raajiun

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 24 วันที่ผ่านมา +2

    Dah asee imeniuma mnoo Innalilah wainaillah rajiun😢😢😢

  • @cclaudeshilling957
    @cclaudeshilling957 24 วันที่ผ่านมา +1

    Innalillah wainnalillah rajiuun..

  • @StephanoDaniel-es5tv
    @StephanoDaniel-es5tv 25 วันที่ผ่านมา +12

    Nasitupo nyuma Yako shujaa wetu mwanamapinduzi wa kweli daima tutakukumbuka

  • @youssefsanje8743
    @youssefsanje8743 25 วันที่ผ่านมา +2

    May Allah bless their souls

  • @superhemed7590
    @superhemed7590 25 วันที่ผ่านมา +4

    Daaah bonge la makala mzee! Hongera kwa timu zima iliyoandaa❤

  • @habibnjowele7751
    @habibnjowele7751 24 วันที่ผ่านมา +1

    MASTER! INNALLILLAH

  • @LuqmanKawela-qf8ny
    @LuqmanKawela-qf8ny 25 วันที่ผ่านมา +8

    Millad ayo apo katika uchinjaji mtoe huyu rais,wachinjaji wanajulikana biden,na nyetanyahu au satannyahu, au milad ayo unjitoa ufahamu

    • @Siasia209
      @Siasia209 23 วันที่ผ่านมา

      Anajitoa ufaham uyo kijana

    • @Worldunite
      @Worldunite 21 วันที่ผ่านมา

      @@Siasia209 na sio kujitoa ufahamu tu, bali ataharibu sifa aliyojijengea

    • @sarahmuhammed6872
      @sarahmuhammed6872 20 วันที่ผ่านมา

      Ndo hapo asa wachinjaji hawaataji

  • @user-bl7ji7dk6x
    @user-bl7ji7dk6x 24 วันที่ผ่านมา

    INNALILLAH WAINNA ILAYH RAJIUN 😭😭😭😭😭😭😭

  • @SalumJuma-iz2gj
    @SalumJuma-iz2gj 25 วันที่ผ่านมา +4

    Jembe limeondoka alla akubarik

  • @ErickMgaya-kv2wl
    @ErickMgaya-kv2wl 25 วันที่ผ่านมา +5

    Rest in peace 😢🎉😢

  • @waleedbinali3211
    @waleedbinali3211 24 วันที่ผ่านมา +1

    Inna lillahi wainna illahi raj'uun

  • @BabaFah-lx6lx
    @BabaFah-lx6lx 25 วันที่ผ่านมา +1

    Innalilah waina ilah rajiun

  • @Abdulrahmaniluhumba-kf6sd
    @Abdulrahmaniluhumba-kf6sd 24 วันที่ผ่านมา

    INNALILLAHI WA INNA ILAYHI RAJIUUN

  • @Luganoamos-jv5in
    @Luganoamos-jv5in 24 วันที่ผ่านมา +1

    Rais imara kama mangufuli,mwenye msimamo wa kutetea nchi yake,lala salaama baba mungu akupokee ,tutakukuta huko

  • @MAILAGUN
    @MAILAGUN 24 วันที่ผ่านมา +1

    Innalillah wainnailaih raajiun

  • @AminaaJoseph
    @AminaaJoseph 23 วันที่ผ่านมา

    Innalilah wainailah rajuun

  • @SaidJangoli-hr7ww
    @SaidJangoli-hr7ww 25 วันที่ผ่านมา +1

    Allah awape Kila kheri ktk safari yao

  • @HalimaSalym-jl2ui
    @HalimaSalym-jl2ui 24 วันที่ผ่านมา +2

    Allah, haondoi ikiwa hajaweka. Wa Iran mtapat kiongozi aliyekua Bora zaidi ya Ibrahim Raisi

    • @isayashayo4777
      @isayashayo4777 24 วันที่ผ่านมา +2

      Tanzania alikufa magu tukitegemea kupta jembe lakini tulipigwa na kitu kizito 😂😂

    • @HassanJaphari-rx7jy
      @HassanJaphari-rx7jy 24 วันที่ผ่านมา

      ​@@isayashayo4777 atari sana 😅😅😅

    • @kutailass6671
      @kutailass6671 24 วันที่ผ่านมา

      Tanzania ccm mbele kwa mbele

    • @hatibumohamedi3471
      @hatibumohamedi3471 24 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@kutailass6671Namzee akua ccm alikua na misimamo yake

  • @athumanimvula3718
    @athumanimvula3718 25 วันที่ผ่านมา +2

    Innaa lillahi wa innaa ilayhi raajiuun

  • @Likes_comment_share
    @Likes_comment_share 23 วันที่ผ่านมา +1

    Kwaio hakukua na Parachute 🎉

  • @user-yf4qu5ob3f
    @user-yf4qu5ob3f 25 วันที่ผ่านมา +8

    Mungu akuweke mahala pema peponi inshaallah

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 24 วันที่ผ่านมา +1

      Atamuweka panapostahili sawsawa na Matendo yake

    • @HassanJaphari-rx7jy
      @HassanJaphari-rx7jy 24 วันที่ผ่านมา

      Ameen

  • @AllyAbdallh-mx2zv
    @AllyAbdallh-mx2zv 24 วันที่ผ่านมา

    Innalilah wainna ilaih raajiuun

  • @thetruth8979
    @thetruth8979 24 วันที่ผ่านมา

    innalilahii wainnaa ilayhi rajiuun

  • @user-qe8xp6ii1u
    @user-qe8xp6ii1u 22 วันที่ผ่านมา +1

    Huu ni msiba wa Mashia.
    Sisi wengine Hautuhusu.

  • @haidomussa7847
    @haidomussa7847 24 วันที่ผ่านมา

    Innalilah wainalilah rajiun

  • @kashiririrkaasongwisye9487
    @kashiririrkaasongwisye9487 25 วันที่ผ่านมา +10

    Kumbe alikuwa muuwaji basi Mungu amelipa kwa stahili ya kifo chake

    • @yohana1242
      @yohana1242 24 วันที่ผ่านมา +1

      Mashoga munafurahia

    • @rukiaiddyyahaya9506
      @rukiaiddyyahaya9506 24 วันที่ผ่านมา

      Unawapenda mashoga

    • @Worldunite
      @Worldunite 21 วันที่ผ่านมา

      Km atakavyokulipa na wewe kwa stahili yako

  • @jumabuckary7698
    @jumabuckary7698 24 วันที่ผ่านมา +1

    Viongozi wema na watu wema awaishi miaka mingi mungu msamehe makosa yake na umtetee mazuri yake baba yetu mzee wetu ameen Rip Mr president Raisi Ibrahim we love you 🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷💪💪💪💪💪💪

    • @IbrahimKussaga
      @IbrahimKussaga 23 วันที่ผ่านมา

      Huyo ni muuwaji naye MUNGU kammaliza.

    • @Worldunite
      @Worldunite 21 วันที่ผ่านมา

      @@IbrahimKussaga km atakvyokumaliza wewe,si ndiyo??

  • @BushiraAbubakari
    @BushiraAbubakari 25 วันที่ผ่านมา

    Innalilah waina ilaih lajiuun

  • @maryamsuleiman6340
    @maryamsuleiman6340 19 วันที่ผ่านมา

    Kila roho itatoka tu kwakila kilichoumbwa na Allah ,kazi yakujua dhambi zamja nikazi ya Mungu pekeake ,tusihukumiane kupelekana Peponi au motoni ,tuombeane Maghfira hakuna ajijuaye 😢

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 24 วันที่ผ่านมา

    Innalillah wainna illaihi Raajiun 😭😭🤲🤲

  • @kibulajumakibulajuma3448
    @kibulajumakibulajuma3448 23 วันที่ผ่านมา

    ALLAAHUMMA GHFIRLAHU WA-RhAMHU WA-SKINHU FIL JANNAH (Seyyid Shaheed Ibrahim Rais El- Saddat, 1961- 2024)🇵🇸🤝🇮🇷.

  • @omanmct135
    @omanmct135 23 วันที่ผ่านมา

    Kweli kabisa

  • @AJSPAREPARTS-dq4jp
    @AJSPAREPARTS-dq4jp 25 วันที่ผ่านมา +3

    Rip The president

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi 25 วันที่ผ่านมา +3

    Daa inauma sana 😢😢😢

  • @Jumaamsagaty
    @Jumaamsagaty 24 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu jamaa imeniuma Sana

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 25 วันที่ผ่านมา +3

    Wazee wetu walijua wanakwenda kufa. Mambo ya Mungu ndo anajua sio kweli. Wagonjwa wengi wanaweza kukwambia na kukuaga kua wanakwenda kufa sasahivi na kweli wanakufa.

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 25 วันที่ผ่านมา

    Innan lillahi waina ilehi rajiun 😢😢

  • @mwikalijosephine5178
    @mwikalijosephine5178 25 วันที่ผ่านมา +12

    Glory be to God for fighting for Israel

    • @criminalminds7723
      @criminalminds7723 25 วันที่ผ่านมา

      Ni Kua hutambui kinachoendelea, Israel ni inchi ambayo haina dini

    • @azizaj776
      @azizaj776 25 วันที่ผ่านมา

      Israel is the country of gays so what glory

    • @cholowao
      @cholowao 25 วันที่ผ่านมา +4

      Hivi God amesema hadi muuwe watoto elfu ngapi ndio Mpango wake utakamilika 😥😥😭😭😭😭😭😭 watoto wanaangamia. Taifa la Palestine linaangamia. Tunaomba huo mpango wa Mungu utimie watoto, wanawake na vikongwe wanusurike... Tuombe Huo Mpango uishie huko usije huku Africa hatuna Hasam wala nani wa kututetea, tutauliwa mpaka tumalizwe. Ehh Mungu tunaomba tanzania isiwe nchi waliyoahidiwa wauaji ambao watakuja kutuchinja kama kuku

    • @mwikalijosephine5178
      @mwikalijosephine5178 25 วันที่ผ่านมา

      @@cholowao stop reasoning like a fool use common sense .

    • @user-hp6gz6ln4k
      @user-hp6gz6ln4k 24 วันที่ผ่านมา +2

      ​@@cholowao:nyamaza Mungu ataendelea kufanya vyote apendavyo.. Point ni msichokozane

  • @user-je1rq2wi9s
    @user-je1rq2wi9s 23 วันที่ผ่านมา +1

    Siku ya kufa haina maarifa safari yetu ni moja

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 25 วันที่ผ่านมา +1

    Bwana ametwaa

  • @eliasmaika2620
    @eliasmaika2620 25 วันที่ผ่านมา +2

    R.I.P Raisi

  • @mohammedgulamali8849
    @mohammedgulamali8849 24 วันที่ผ่านมา +2

    Hii Duneia wako waislaam wengi lakini Raisi wa Iran ali kwa moja tu ambayo alikwa hapendi Marekani. Sababu marekani ni wauwaji ku uwa watu waseio na hateya. Hapo ndeio marekani alikwa hataki Iran. Marekani wanataka wanacho sema wawo ndeio ukubali. Na Iran walikwa hawataki hilo. Hawo ndeio waislaam kamili. Hawa pendi ku uwa watu waseio na hateya jinsi israel na nchi za magaribi wanavyo fanya.

  • @SaleIddi
    @SaleIddi 24 วันที่ผ่านมา

    Inna Lillah waina ilaih rajiun

  • @kelvinmboya5846
    @kelvinmboya5846 23 วันที่ผ่านมา

    Mchinjaji 😢 mnazingua sana

  • @shakila3982
    @shakila3982 24 วันที่ผ่านมา

    Inna Lillahi wa Inna ilayhi Raji'un

  • @goldmansun5859
    @goldmansun5859 23 วันที่ผ่านมา

    nilijua hatoboi huu mwaka

  • @AMIDURAJABU
    @AMIDURAJABU 25 วันที่ผ่านมา +2

    😭😭😭😭🤲

  • @AllyAbdallh-mx2zv
    @AllyAbdallh-mx2zv 24 วันที่ผ่านมา

    Mungu ampe kauli thabit

  • @user-tf3vf8rj8n
    @user-tf3vf8rj8n 23 วันที่ผ่านมา

    Allah amfnyie wepec😭 hakik hatuwez kumsamh jembe km yy
    Hakik kwake tumetok na kwake tutarejea

  • @user-br1cd1tf6y
    @user-br1cd1tf6y 24 วันที่ผ่านมา

    Tumueshimu mungu

  • @abdoumadiousseni4835
    @abdoumadiousseni4835 24 วันที่ผ่านมา

    Nishule yamashiaa

  • @user-hv4px1dh4l
    @user-hv4px1dh4l 25 วันที่ผ่านมา +3

    Bora amekufa huyo mbwa😮😮😮😮😮😮

    • @BabaFah-lx6lx
      @BabaFah-lx6lx 25 วันที่ผ่านมา

      Kumbuka ukimuita mtu kwa tusi bs ww utatukanwa zaidi yake

    • @SaidiMiraji-lk3vm
      @SaidiMiraji-lk3vm 25 วันที่ผ่านมา

      Wanna ww utaishi milele

  • @OmanOman-vb4uj
    @OmanOman-vb4uj 24 วันที่ผ่านมา

    Inallillah wainailaih rajiuniii 😢

  • @aproniamasatu5810
    @aproniamasatu5810 25 วันที่ผ่านมา +2

    R.I.P hericopter

  • @PatrickMwamba289
    @PatrickMwamba289 24 วันที่ผ่านมา +1

    Harmonize is abusing Diamond Platnumz na uchawi...na viongozi pamoja na Basata KIMYA ?????⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @user-kq8dg5sd2n
    @user-kq8dg5sd2n 23 วันที่ผ่านมา

    Mwanadiplomasia Nguli Kabisa Huyu. Amefanikisha Iran kujiunga BRICS na STO, amerejesha mahusiano mazuri baina ya Iran na Saudia na vilevile Pakistan. Amesapoti pia Harakati za Ukombozi Palestine na Kwingineko

  • @sayeedmsct4255
    @sayeedmsct4255 25 วันที่ผ่านมา +1

    😭😭😭😭

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 24 วันที่ผ่านมา

    Israel juu daima ukienda vibaya na taifa la mungu auwezi baki salama

    • @sandejacob623
      @sandejacob623 24 วันที่ผ่านมา

      Pumbafu wewe, taifa gani la Mungu linaua watu hovyo na kuruhusu ushoga ?

    • @omarylukindo5306
      @omarylukindo5306 23 วันที่ผ่านมา

      Taifa gan linategemea msaada wa mabwana zao marekan.

  • @mohammedkhimji7505
    @mohammedkhimji7505 24 วันที่ผ่านมา

    Jembe! Dunia itakumiss 😢

  • @mwanaidally2924
    @mwanaidally2924 25 วันที่ผ่านมา

    Ww milard ayo nishakutoa kwenye list ya watu Bora ni mbaguzi sana

  • @user-cd2mf2vf8r
    @user-cd2mf2vf8r 23 วันที่ผ่านมา

    AYO TV SIO KICHWA CHAHABARI ULIVO KIANDIKA UMEKWAZA WENGI ILA MIMI NIMEONA NIKUELEZE HILI MMEZINGUA SANA

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 25 วันที่ผ่านมา +13

    Mathayo 26:52-53 Hapo Yesu akamwambia, “Rudisha upanga wako alani, maana yeyote anayeutumia upanga, atakufa kwa upanga

    • @superhemed7590
      @superhemed7590 25 วันที่ผ่านมา +2

      Pole sana km bado mpaka leo unajua waisrael ni wakristo wenzako

    • @IbniAbbas-yz3kt
      @IbniAbbas-yz3kt 25 วันที่ผ่านมา +3

      Wapenda kufilana lazima wafurahie kifo chake

    • @azizaj776
      @azizaj776 25 วันที่ผ่านมา +2

      Hivyo NATANYAU NAYE ANATUMIA UPANGA TENA KWA WATOTO NAYE ATAUWAWA KWA UPANGA SHOGA HUYO

    • @jacksonngusi4122
      @jacksonngusi4122 25 วันที่ผ่านมา

      @@superhemed7590 ukweli ubaki hivyo amshikiae kisu na kuuwa naye atakufa Bwana wetu mwenye upendo na Rehema nyingi hapendi mtu auwe wenzie

    • @jacksonngusi4122
      @jacksonngusi4122 25 วันที่ผ่านมา

      @@IbniAbbas-yz3kt mbna unandandia gari la mwanaharamu ninan kasema ushoga hapo!! Acha ujinga

  • @raymrash
    @raymrash 24 วันที่ผ่านมา

    Ukiishi kwa upanga utauawa kwa upanga!

  • @AMIDURAJABU
    @AMIDURAJABU 25 วันที่ผ่านมา +3

    😭😭😭😭😭😭🇮🇷🇮🇷🇮🇷⭐⭐⭐

  • @idinado-wk3lx
    @idinado-wk3lx 25 วันที่ผ่านมา +1

    RIP😢😢

  • @omanmct135
    @omanmct135 23 วันที่ผ่านมา

    💔💔💔

  • @dennischarles8524
    @dennischarles8524 24 วันที่ผ่านมา

    Yupo mbele ya haki,atajibu

  • @user-mm9qr7em8k
    @user-mm9qr7em8k 24 วันที่ผ่านมา

    Wallah amsamekhe .sote tumekuja nasote .tutarudi.. kwake .nimuda tuu.

  • @user-hv4px1dh4l
    @user-hv4px1dh4l 25 วันที่ผ่านมา +4

    Wayahud wako dunia nzima /Mungu amejibu

    • @azizaj776
      @azizaj776 25 วันที่ผ่านมา

      Alichojibu nini ???! KIFO NI LAZIMA , Israel nchi ya MASHOGA nini ibarikiwe ?????? Labda imarikiwe kwa ushoga na usahaji

    • @user-hp6gz6ln4k
      @user-hp6gz6ln4k 24 วันที่ผ่านมา

      ​@@azizaj776:chokoza Israel uone allah wako kaishindwa wewe ndio utaweza.. Daudi pia kapiga nakuchukuwa sehemu Mungu amempa, allah wako ndiye ataweza

    • @user-hp6gz6ln4k
      @user-hp6gz6ln4k 24 วันที่ผ่านมา

      MUNGU Ni muweza always hapo mpaka miisho ya Dunia Israel hitobanduka Mkono Wa Mungu upo juu yake

  • @mustardseedlivepunjeyahara5292
    @mustardseedlivepunjeyahara5292 25 วันที่ผ่านมา +7

    Kufa kwake ni faida kwa familia nyingi alikwaza

    • @saidimwanyiro5147
      @saidimwanyiro5147 24 วันที่ผ่านมา

      Ikiwemo ya kwenu

    • @mussakarata6650
      @mussakarata6650 24 วันที่ผ่านมา

      ​@@saidimwanyiro5147cwez shangaa dunian kitu akifany mmagharib hiko ni chema na kinaridhiw na hata Kam ni kiovu na akipingaye anakuwa yeye mkosaji na hubadilishiwa majina mara gaidi mara muuaji na mengineyo.

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 24 วันที่ผ่านมา +1

      Hata ww utakufa utaishi milele au ww ni jabali hufii??

    • @user-io8hn1jb4d
      @user-io8hn1jb4d 24 วันที่ผ่านมา +1

      Sasa hapo kakosea nini, hao alioamuru wanyongwe familia zao zilifurahi ata mtoto wao alikua shoga unafikiri familia zilishangilia pindi ananyongwa

    • @michaelmisana650
      @michaelmisana650 24 วันที่ผ่านมา

      Tena kifo chake ni flaaa sanaa

  • @magogomagogo9544
    @magogomagogo9544 24 วันที่ผ่านมา

    Wanauwa sana wacha nae afe kifo kibaya

  • @SaleIddi
    @SaleIddi 24 วันที่ผ่านมา

    Uyu Raisi alikua akijiamini

  • @user-mp3fb9gu8g
    @user-mp3fb9gu8g 23 วันที่ผ่านมา

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 25 วันที่ผ่านมา +4

    nimeona aibu kubwa kwa Raisi wa Nchi ya Iran eti helkopta iliyochukua uhai wake ilitengenezwa miaka 40 iliyopita yaani mwaka 1971??!!

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 25 วันที่ผ่านมา

      Sasa umeona aibu gani? Wewe ndiye uliyepewa kazi ya kununulia usafiri? Au hujui maana ya kuona aibu!

    • @fatmakhanii1676
      @fatmakhanii1676 24 วันที่ผ่านมา

      @@sylvestercameo6263😂😂😂😂😂

    • @MrA24G
      @MrA24G 24 วันที่ผ่านมา

      Halafu Leo eti wakabishane na wamarekani waanze kurekebisha vyombo vyao vya kusafiria viongozi helicopter yenyewe ni Aina ya bell 212 imetengenezwa marekani.Na marekani walitumia aina hyooo ya helicopter mwaka 1968.Miaka 45 imetumika Iran.Lini umemuona raisi wa marekani na ndege zilizochoka marine one Cadillac one na airforce one mtu aniambie zimewahi kuchoka za zamani.Wale wanajitengenezea ndege zao.Tukubali mzungu atabaki kuwa mzungu tuu.

    • @damkaliclassic7944
      @damkaliclassic7944 23 วันที่ผ่านมา

      Ni kweli ni aibu kwa mtu asie na ufaham kama wew,ila ungekuw na ufaham ungetambua chanzo cha yote ni nini

  • @AMIDURAJABU
    @AMIDURAJABU 25 วันที่ผ่านมา +2

    🇹🇿🇹🇿😭😭😭🤲🤲🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @Hussein-gx4qu
    @Hussein-gx4qu 25 วันที่ผ่านมา +3

    Kwa hiyo we ulitaka awache mashoga jinga kweli

    • @mwikalijosephine5178
      @mwikalijosephine5178 25 วันที่ผ่านมา

      There is away out than killing way out is deliverance killing does not the anything

    • @mwikalijosephine5178
      @mwikalijosephine5178 25 วันที่ผ่านมา

      Use ur holy understand stop using satanic thoughts to solve issues

    • @user-hp6gz6ln4k
      @user-hp6gz6ln4k 24 วันที่ผ่านมา

      Ongea kama mtu, kwa nini auwe unaweza kukataza siyo kuuwa, ushoga ni mapepo na ni Wana wa mtu.. Pia ni jaribu kwa wazazi, hata wewe unaweza ukazaa mtoto wako mmoja akawa shoga iyo ni jaribu apana kuwa kama mjinga, cha kufanya ni kuwaombea na sio kuuwa,

    • @Hussein-gx4qu
      @Hussein-gx4qu 23 วันที่ผ่านมา

      @@user-hp6gz6ln4k kuwaombea vip hao wataambukiza wengine waharibu nchi unawaletea watu umagharibi Huko huko

    • @Hussein-gx4qu
      @Hussein-gx4qu 23 วันที่ผ่านมา

      @@mwikalijosephine5178 hao dawa Yao ni kuwakata vichwa ili wakotombaniane matakoni makaburini mwao bila hivo Kuna wajinga wajinga TU wanaiharibu Dunia huku tukishuhudia.

  • @user-td3ss6nk2d
    @user-td3ss6nk2d 24 วันที่ผ่านมา

    Magufuli wa IRAN!😥😥😥😥