Pro: KABUDI anajua aise! hotuba yake konki akimzungumzia hayati Mwalimu Nyerere yashangaza wengi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 เม.ย. 2022
  • Karibu Gilly Bonny Online Tv Channel ambayo imesajiliwa TCRA kwa ajili ya kukuletea habari kubwa za kisiasa, kijamii, kiuchumi na matukio yote muhimu yanazojiri Tanzania na nje ya Nchi kwa wakati sahihi kila siku:
    Kama bado huja-Subscribe tafadhali hakikisha unafanya hivyo muda huu kisha bofya kengele ya Notification ili kuwa wa kwanza kupata taarifa na habari zote tunazoziweka kila wakati.
    Ku-Subscribe bofya hapa- / @gillybonnytv
    Instagram tunapatikana @ / gillybonny_gilbert
    Facebook page tunapatikana @ Gilly Bonny Online Tv
    Wasiliana nasi kwa email -gillybonny1991@gmail.com
    unaweza pia kutuma habari yako kwa email- gillybonny1991@gmail.com
    Karibu sana Gilly Bonny Online Tv

ความคิดเห็น • 220

  • @abrahammtongole2747
    @abrahammtongole2747 2 ปีที่แล้ว +11

    Huyu mzee akili nyingi Sana. A true definition of a Professor

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 2 ปีที่แล้ว +10

    Siku zote Kabudi siwezi kusikiliza hotuba yako chini ya mara tano 🇹🇿🤝👍

  • @samuelnoah3572
    @samuelnoah3572 2 ปีที่แล้ว +12

    The Illest piece advise I got from this Peruvian Brother, " Bro write down your story, if you don't write down your story someone will write it down for you, and you won't be the person in that story". Prof Kabudi need to do us this service.

  • @georgekipunga1174
    @georgekipunga1174 2 ปีที่แล้ว +33

    Prof Palamagamba Kabudi ni hazina kubwa kwa nchi yetu. Mtu na nusu kabisa.
    Respect🙌🏽 I just wish I could be his student in class. Daah

    • @kedyjohn1848
      @kedyjohn1848 2 ปีที่แล้ว

      Noooope, I disagree - may be he's just a good historian

    • @emmanuelmsoffe933
      @emmanuelmsoffe933 2 ปีที่แล้ว +1

      Kwa kweli Prof Kabudi ni Profesa

    • @georgenyakerenge1576
      @georgenyakerenge1576 2 ปีที่แล้ว

      Prof. Kabudi he's a good story teller but not a good leader. That's what I know.

  • @saidbarawa9096
    @saidbarawa9096 6 หลายเดือนก่อน +2

    Three great leaders produced by tanzania,late Nyerere,late maghufuli, and prof.kabudi,my three heroes

  • @mkemia_magege5816
    @mkemia_magege5816 2 ปีที่แล้ว +10

    Mama Karume amefurahi sana. Prof KABUDI upo vizuri sana na wewe ni azina ya Taifa kabis hata Uraisi unakufaa sana

    • @dickchambilo9138
      @dickchambilo9138 2 ปีที่แล้ว +1

      Yaani wanao ijua nchi hii vzr hawapewi urais, na ndo wangetufaa kucontrol mfumko wa Bei na sio kutwambia Vita ya ukraine

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 2 ปีที่แล้ว +8

    Asante sana mzee wetu kabudi. Ila mungu alitupa NYERERE +JPM.

  • @levidavid1156
    @levidavid1156 2 ปีที่แล้ว +10

    hakika kwenye historia. upo vyema sana. m alendo sana wwnaomba saana. MUNGU akupe maisha marefu saana

  • @wilsonkaseha2034
    @wilsonkaseha2034 2 ปีที่แล้ว +3

    Wow! "Tanganyika ni jina la kimanyema...halina uhisiano na Tanga na Nyika kama ambavyo wengi wameaminishwa..." Huhuuuu safi

  • @deusdebitkowa9657
    @deusdebitkowa9657 2 ปีที่แล้ว +8

    Mmh! Nimegundua ni jinsi gani nafahamu mambo machache mno duniani,hatarii,kuna haja ya kujifunza zaidi.

  • @stephenstephen21
    @stephenstephen21 2 ปีที่แล้ว +9

    Binafsi nakukubali Sana Professor Kabudi hope one day utaongoza hii nchi unadeserve hilo

    • @flavianwilliams2888
      @flavianwilliams2888 2 ปีที่แล้ว

      Hahahaha kwa mtazamo wako ila akiongoza familia yenu inatosha

  • @shabanimnondwa6094
    @shabanimnondwa6094 2 ปีที่แล้ว +3

    Mh,Kabudi ni hazina kubwa ya Taifa ,naomba spewe fulsa ya kufanya mihadhara katika mashule na vyuo ili vijana wetu wajue historia ya nchi hii ambayo itafanya viongozi wetu wa leo na kesho kuwa na uchungu na nchi hii. Mungu mbariki Mh.Kabudi naomba siku moja nikutane naye

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 2 ปีที่แล้ว +7

    Professor kabudi asante sana. Kwa elimu yako,wewe ni kiboko yao

  • @thomaskwibonelwa9240
    @thomaskwibonelwa9240 2 ปีที่แล้ว +4

    Presidential material. He was once thought Maguful's Successor! He is true Patriot. Makanjanja haya mpendi kabisa.

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 2 ปีที่แล้ว +5

    Palamanga ni kiboko sana aisee... Yamkini hata siku moja tungemfanya kua Rais wa nchi.

  • @whimsymaverick3057
    @whimsymaverick3057 2 ปีที่แล้ว +9

    Gosh.! Hazina hiyo.Unaweza usimpende lkn kutambua ujuzi wake ni muhim.

  • @shamterehani2161
    @shamterehani2161 2 ปีที่แล้ว +10

    Hongera sanaa Professor Kabudi, wewe ni nguli wa historia ya nchi hii ya Tanzania na Africa kwa ujumla, Natama uanzishe (usajili) online Tv kwa ajili ya kuelimisha na kutujuza historia halisi ya nchi zetu za Africa ili tupate ufahamu halisi wa historia yetu pasipo chembe za upotoshaji unaofanywa na nchi za magharibi kwa kutuandikia historia yetu kwa mitazamo yao.

    • @peterbayo4677
      @peterbayo4677 2 ปีที่แล้ว +2

      Alipaswa aandike hii habari kwa kitabu ntanunua haraka sana

  • @faniahassani2238
    @faniahassani2238 2 ปีที่แล้ว +12

    Nakuombea siku moja uke kuongoza nchi yetu ya tanzania

  • @peteroduor1018
    @peteroduor1018 2 ปีที่แล้ว +4

    The next magufuli , don't loose track u the hope of future Tanzania !!!

  • @pelegrinmwamba1594
    @pelegrinmwamba1594 2 ปีที่แล้ว +4

    Mzee nakukubari sana Nakuombea siku moja uwe Raisi wangu. Nakuombea sana

  • @deusdebitkowa9657
    @deusdebitkowa9657 2 ปีที่แล้ว +16

    A fountain of knowledge,you are Prof.

    • @peterbayo4677
      @peterbayo4677 2 ปีที่แล้ว

      He is the pride of history teller of himself for others!

  • @isacklema5822
    @isacklema5822 14 วันที่ผ่านมา

    This man is real talented. Bila shaka naona hekima kubwa sana ndani yako.

  • @salvatormselle2393
    @salvatormselle2393 4 หลายเดือนก่อน +1

    Thank you for the excellent speech Prof. Kabudi. 👏😇😊🏃‍♂🦒🦒🦒

  • @josephkatabarwa9862
    @josephkatabarwa9862 หลายเดือนก่อน

    Tanzania be proud of your leadership.
    You are the luckiest of of all E African countries.
    God bless you.

  • @b.m.gmedia9141
    @b.m.gmedia9141 2 ปีที่แล้ว +3

    Kiukwel Mheshimiwa aminiongezea maarifa mengi sana juu ya historia yetu ya tanzania lakini elimu kama mwanafunzi wa masomo ya historia (A-level). Kipekee namshukuru mno na kulitakia taifa letu la Tanzania miaka 100 mema ya Mwl.Julius.K.Nyerere🙏🙏

  • @dismusobondo3990
    @dismusobondo3990 2 ปีที่แล้ว +7

    Am witnessing one of the few African professors who demonstrate in 3D what they profess. The other one I know is Prof. PLO Lumumba of Kenya.

    • @peterbayo4677
      @peterbayo4677 2 ปีที่แล้ว

      We have great talents in Africa. The challenge we have wrong politicians in the position who have no idea at all. And those have good idea have no power at all!!
      ☹️☹️☹️

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 2 ปีที่แล้ว

      Julius Malema South African

  • @angelsgabriely3575
    @angelsgabriely3575 2 ปีที่แล้ว +3

    Yani Prof.Kabud nakukubali sana,..unafaa kuwa rais wa Tz,..

  • @boniphacejonh5372
    @boniphacejonh5372 2 ปีที่แล้ว +1

    Nakpenda Sana PR kabudi Nimtu mahiri Sana nchini na unasitahiri kutuongoza

  • @anyitikepm413
    @anyitikepm413 3 หลายเดือนก่อน

    World Class Presentation. This is the true definition of a Professor. A statesman! Hongera sana sana.

  • @juliussilvestar8988
    @juliussilvestar8988 2 ปีที่แล้ว +7

    Very informative.Mrajisi wangu na Mua Anglikana mwenzangu.I like how you deliver

    • @vianmarcel818
      @vianmarcel818 2 ปีที่แล้ว

      Dini inahusika vipi hapa mzee au ndio ufinyu wako wa fikra??Mtu anaongea mambo ta Taifa badala useme mtanzania mwenzako unataja dini hapa, acha kubomoa. STOP

    • @abhambomihambo6754
      @abhambomihambo6754 2 ปีที่แล้ว

      Huyo anayeongelea dini naomba mumsamehe na hata Mwalimu alishawasema"ukiona watu wanaongelea udini,ukabila na rangi juwa wamefilisika kifikra"na hapo ndio mwisho wao wa kufikiria msameheni.

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 2 ปีที่แล้ว +1

    Professor Paramagamba KABUDI n mzalendo wa kweli hapa TANZANIA

  • @butungo1
    @butungo1 2 ปีที่แล้ว +16

    Tanzania hatuko vizuri sana katika kutunza historia ya nchi yetu..
    1.Haijulikani Tanganyika ikitoka wapi
    2. Nani alitengeneza neno Tanzania
    3. Wimbo wa Taifa alitunga nani pamoja na zile nyimbo nyingine za taifa
    4. Nani alitengeneza rangi za bendera na nembo ya taifa
    5. Mwenge wa Uhuru uliasisiwa na nani na Kwanini? Historia ya mwenge ni ipi?
    6. Mwalimu alitaka kupinduliwa kama marra tatu...ilikuwaje na sababu zilikuuwa zipi.
    Kwanini historia hii ifie vichwani mwa akina Kabudi? Tunapoadhimisha siku kama hizi, historia zingekuwazinasimuliwa. Ni urithi wa nchi sio Siri za watawala

    • @andersonmahavile6056
      @andersonmahavile6056 2 ปีที่แล้ว +2

      Sawasawa

    • @BONGOINMOTION
      @BONGOINMOTION 2 ปีที่แล้ว +1

      Kweli ila wimbo wa taifa tulichukua wa Afrika kusini kulingana na maelewano mazuri yaliyokuwepo

    • @thomaskatwila7461
      @thomaskatwila7461 2 ปีที่แล้ว +5

      Mambo hayo chadema hawyajui wao wanajua historia ya ulaya na marekani

    • @shazyahya4121
      @shazyahya4121 2 ปีที่แล้ว +3

      Tatizo viongozi tuliokua nao kwa sasa ni wamichongo

    • @missangela6720
      @missangela6720 2 ปีที่แล้ว

      Because you guys are lazy- indolent to read and indolent to write anything. May be gossiping, backbiting, backbiting and tweaking 😷

  • @reginaldmassawe3705
    @reginaldmassawe3705 2 ปีที่แล้ว +2

    Historia nzuri sana

  • @alirattansi5040
    @alirattansi5040 2 ปีที่แล้ว

    Very Informative and Knowledgeable speech! Mzee wetu Mheshiwa Prof.Kabudi you Saluting you with your Usomi,Busara na Hekima! Stay Blessed!

  • @alanlugano3322
    @alanlugano3322 2 ปีที่แล้ว +3

    Uko vizuri, ila utakuwa vizuri zaidi endapo utaandika kitabu cha historia ili vizazi viijue kweli

  • @saidbarawa9096
    @saidbarawa9096 6 หลายเดือนก่อน

    Iam kenyan,but I admire this great leader for his insight,ipray one day he will become the president of Tanzania

  • @jkass757
    @jkass757 2 ปีที่แล้ว +2

    Uko vizuri sana mzee Kabudi

  • @nurdinngwegwe2943
    @nurdinngwegwe2943 2 ปีที่แล้ว +5

    Watanzanzania tunajivunia viongozi wetu wenye upendo wa dhati kwa Nchi yetu. TUTHAMINIANE NA MZIDI KUTUKUMBUSHA YALE TUPASWAYO KUYASHIKA KWA UZALENDO. UMOJA NI NGUVU. They tried to hopeless Us...

    • @nurdinngwegwe2943
      @nurdinngwegwe2943 2 ปีที่แล้ว

      OMBI MTANZANIA. NAOMBA KAMA KUNA VICHWA HADIMU VYA NGHI VIAMBUKIZWE TABIA YA KUHIFADHI YALIOASISIWA KWA FAIDA YETU NA VIZAZI ViJAVYO. Ramadhani Kareem. Mungu atuongoze njia njema Amina!

  • @juliussilvestar8988
    @juliussilvestar8988 2 ปีที่แล้ว +1

    Kabudi I admire you my mentor.

  • @revokachira119
    @revokachira119 2 ปีที่แล้ว +5

    Professor wewe ni TUNU Kwa TAIFA letu la Tanzania

    • @bahatidamiani561
      @bahatidamiani561 2 ปีที่แล้ว

      Professiona ni tunu ya Taifa lakini walioshikilia rungu sijui kama wanajua na Kama wanajua basi hawamtumii vizur

    • @revokachira119
      @revokachira119 2 ปีที่แล้ว

      @@bahatidamiani561 they know it very well, but one other thing they know for sure is that he'll never fit to their agendas

    • @reginaldmassawe3705
      @reginaldmassawe3705 2 ปีที่แล้ว +1

      Kweli ni Magufuli ajae

  • @dicksonjonas1799
    @dicksonjonas1799 หลายเดือนก่อน

    Kiongoz mahili kabisa,,God bless you mheshimiwa Kabudi

  • @saidbarawa9096
    @saidbarawa9096 6 หลายเดือนก่อน

    Learned professor,may God reward you for your good leadership, Kenya politicians are you watching and learning from this great historian and great leader,bravo professor

  • @samwelshepa8443
    @samwelshepa8443 2 ปีที่แล้ว +1

    Ningeshauri watawala wetu wa sasa wangesikiliza hotuba kama hizi kuangalia mwelekeo wao kwa wananchi na maendeleo.

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 2 ปีที่แล้ว +7

    Huyu ndiye professor wa kutuwekea historia yetu na unaelewa. Akiingia yule traitor mwenye kujipiga kifuwa akitupatia historia za kijinga za kusema wazungu wametusaidia zaidi ya miaka 70. Watu kama hawo wasipewe nafasi ya uongozi, wastupitisha misituni. Watanzania wenye kupenda haki kwa wote tusikubali kubululwa.

    • @flavianwilliams2888
      @flavianwilliams2888 2 ปีที่แล้ว

      Unaumia ukiwa wapi

    • @fix799
      @fix799 2 ปีที่แล้ว

      Uyu kabudi uyu Unaemuona mtaalamu wa kuzungumza na msomi apa, aligeuka takataka kipindi fulani hapa nyuma mpk sisimizi walimshangaa🙁Njaa zinaharibu wasomi wetu

    • @jamesjahasa3348
      @jamesjahasa3348 2 ปีที่แล้ว

      @@fix799 achaulongo wewe huyu bwana kafanya mapatano ya kurekebisha mikataba mibovu ya madini wazarendo tunamkumbuka wahuni wamemtoa ili wafanye michongo yao

  • @saidimkurago6893
    @saidimkurago6893 2 ปีที่แล้ว +2

    Nimmoja WA wasomi ninaowakubali sana mana anaijua anaiheshimu nakujivunia Utanzania wake lazima niwe mkweli Nawachukia wasomi wetu Ila ninayo sababu mana ndio waliotufikisha hapa tulipo wengi wao nivibaraka pili hawajivunii Utanzania wao Ila huyu ni profesa kweli

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 2 ปีที่แล้ว +5

    Tunahitaji kiongozi anaye ielewa historia ya nchi. Sio tu kutuongoza kama ng’ombe

    • @emmamatemu8225
      @emmamatemu8225 2 ปีที่แล้ว

      Hapo umemlenga nani
      Hahaha ha

  • @ndamezerevocatus1078
    @ndamezerevocatus1078 2 ปีที่แล้ว

    Tunashukuru Sana kwa historia nzr prof

  • @danielyohana4196
    @danielyohana4196 2 ปีที่แล้ว +3

    Tafuta nafasi nyingine tukusikie wewe NI hazina kubwa

  • @KelvinMtavangu-ow8yo
    @KelvinMtavangu-ow8yo 4 หลายเดือนก่อน

    KATIKA VIZAZI VYETU HIVI NYERERE AMEFANYA MAMBO MAKUBWA TANGU KABLA YA UHURU WA TANGANYIKA NA BAADAE TANZANIA. ASANTE Mh. Prof. Kabudi. Wewe ni hazina yetu.

  • @henrystanley4077
    @henrystanley4077 3 หลายเดือนก่อน

    Ahsante mwalimu wangu❤

  • @andreafransisi5833
    @andreafransisi5833 2 ปีที่แล้ว

    Asante kwa kutuelimisha vizuri kabudi

  • @JosephKapanga
    @JosephKapanga 4 หลายเดือนก่อน

    Good speech let now together build our nation.

  • @danieltungira3837
    @danieltungira3837 2 ปีที่แล้ว +3

    Ndo maana makufuli alimchagua,ni professor kwel

  • @muhuradedan
    @muhuradedan 2 ปีที่แล้ว +1

    Wow a walking history book

  • @sylvestrengwelu2012
    @sylvestrengwelu2012 2 ปีที่แล้ว

    Mungu akutunze Professor

  • @williamkabesse1989
    @williamkabesse1989 2 ปีที่แล้ว

    Huyu ndiye my full package Professor

  • @deusdebitkowa9657
    @deusdebitkowa9657 2 ปีที่แล้ว +2

    Kweli Magu hakuwahi kosea ktk uteuzi wako Prof.

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 2 ปีที่แล้ว +3

    Mwalimu alihujumiwa kama alivyohujumiwa Hayati Magufuli na baadhi ya Watanzania wenyewe. Africa lazima iwe masikini kutumia njia yeyote ile.

    • @flavianwilliams2888
      @flavianwilliams2888 2 ปีที่แล้ว

      Magufuri alijihujumu mwenyewe na usimfananishe na magufuri mana mwalimu hakujipa cheo cha Umungu na kutukuzwa koma

    • @mosimba467
      @mosimba467 2 ปีที่แล้ว +4

      @@flavianwilliams2888 kizazi cha Watumbuliwaji wanachuki na Magu

  • @diethelmflorin1839
    @diethelmflorin1839 2 ปีที่แล้ว

    Pro K umenifadhi vizuri history yetu. Endelea siku kwa siku kuelimisha watanzania.

  • @mkemia_magege5816
    @mkemia_magege5816 2 ปีที่แล้ว +1

    Hapo kwenye uchumi umemgusa Samia na akina Kikwete na wenzake. Maana kila kitu kihusu uchumi wa viwanda ameviua kabisa. Magufuli alikuwa na malengo makubwa sana kama ya Nyerere.

  • @kelvinwambura8083
    @kelvinwambura8083 2 ปีที่แล้ว +2

    Walemavu waliitwa Brayson

  • @user-ui1qs9yl1n
    @user-ui1qs9yl1n 2 หลายเดือนก่อน

    nakumbuka neno braison watu vilema waliwaita braison huyu mzee kabudi ananikumbusha long time huyu mzee ni computer i core anakumbuka mambo mengi sana

  • @gervaslukaya1637
    @gervaslukaya1637 2 ปีที่แล้ว

    Namkubali sana mzee ana hotuba nzuri

  • @daudisaid6198
    @daudisaid6198 2 ปีที่แล้ว +1

    Kabudi noma nakuheshim sana

  • @jamaa2760
    @jamaa2760 2 ปีที่แล้ว

    Kabudi, nakukubali Kwa historia,

  • @sdeshnjwetr6707
    @sdeshnjwetr6707 2 ปีที่แล้ว +3

    VIVA TANZANIA 🇹🇿💪🇹🇿VIVA AFRIKA 💚💚💚💚💚 VIVA WAZALENDO 👍

  • @MrJumaLOkal
    @MrJumaLOkal 7 หลายเดือนก่อน

    Hatuhitaji ushahidi wa mwengine zahidi ya ushahidi wake huyu mahiri. Taib❤

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 2 ปีที่แล้ว +3

    Mama samia tunakushangaa kuwatoa watu wa muhimu km hawa ,na kutuetea genge la wahuni. Mungu anawaona.

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 2 ปีที่แล้ว +1

      Mama hataki intellectuals...akisikiliza hotuba ya kabudi...yeye atasema nini..

    • @emmanuelshayo4703
      @emmanuelshayo4703 2 ปีที่แล้ว +1

      Unatoa viongozi wenye akili kama hawa unaweka wauza madawa yakulevya...... Pamoja na Slaa kuongea lakini bado hujachanuka akili...... Ila katiba Mungu anakuona...... Rais akipatwa na shida makamu ndio anashika kiti..... Katiba

    • @missangela6720
      @missangela6720 2 ปีที่แล้ว

      @@josephlorri431 😂😂😂

    • @missangela6720
      @missangela6720 2 ปีที่แล้ว +1

      @@emmanuelshayo4703 🤣

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 2 ปีที่แล้ว

      @@missangela6720 acha kunichulia. Hahaha, natania, but we need to be careful

  • @fatumachagudadui3138
    @fatumachagudadui3138 2 ปีที่แล้ว

    First world war was 1914_1918, nice professor

  • @jeanmusamba8906
    @jeanmusamba8906 2 ปีที่แล้ว

    yote haya makubwa hivi hatuyajui,tunajua fisadi ni nani tu,hakika kabudi anafaa kuwa Rais,wa nchi hii ingeenda mbali sana.Ogopa sana chaguo la magufuli yote ni majembe,good job prof.

  • @yakobomaganga6557
    @yakobomaganga6557 2 ปีที่แล้ว

    Am,,
    Respect fedher 🇹🇿🇹🇿✍️✍️

  • @bahatidamiani561
    @bahatidamiani561 2 ปีที่แล้ว

    Siku Moja uwe Rai's Wa Tanzania , una busara Sana professor Kabudi

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 2 ปีที่แล้ว

      Urais sio kuongea urais unataka creativity

  • @saidbarawa9096
    @saidbarawa9096 6 หลายเดือนก่อน

    Ruto are you watching and listening, big brain at work

  • @dr.peterofficial6390
    @dr.peterofficial6390 2 ปีที่แล้ว

    Huyu jamaa ni really professor

  • @Ambagaye
    @Ambagaye 6 หลายเดือนก่อน

    Dereck Bryceson ndiye alisimamia ujenzi wa Magomeni Mapipa mitaa ikwa mizuri sana wakti ule.

  • @abubakarkarsan31
    @abubakarkarsan31 2 ปีที่แล้ว +1

    Wamanyema walikuwa wanaiita kigoma,changa cha nyika na wakoloni walivyokuja walishindwa kutamka changa cha nyika wakatamka tanganyika

  • @johnmbugani6532
    @johnmbugani6532 2 ปีที่แล้ว

    Sisi WaTanzania wengi hatupendi kusoma na kufuatilia habari kwa kina ambapo inapelekea kutokuwa na taarifa anuai na nyingi. Matokeo yake wengi wanaongea ujinga na upumbafu mwingi. Wengine wanaongea na kupotosha ukweli ili wafanikishe mipango yao ya kihuni. Tutafute maarifa sahihi na kujihabarisha ili tuifanyie makubwa Nchi yetu

  • @safhe-mpungi6075
    @safhe-mpungi6075 2 ปีที่แล้ว

    Wewe Pro. Kabudi ni hazina inabidi kama taifa tukulinde kwa gharama yoyote ile. Kama watu wakifa wanaona kinacho endelea humu duniani Mwalimu Nyerere anafurahia huko aliko.

  • @fransisigulu9761
    @fransisigulu9761 2 ปีที่แล้ว

    Kabudi namkubali Sana ipi siku utakaa juu Sana

  • @janethshem5782
    @janethshem5782 2 ปีที่แล้ว +1

    Sikujua information zote hizi

  • @mds5293
    @mds5293 2 ปีที่แล้ว

    I wish you could be our president

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 2 ปีที่แล้ว

    Kabudi for president

  • @drkalokola5861
    @drkalokola5861 2 หลายเดือนก่อน

    Edinburgh alisoma masters in economics.

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 2 ปีที่แล้ว +1

    Chukuwa urais mzalendo na nyingi history kutokana uzalendo hutokubali kuendeshwa utaendeleza utanzania

  • @abhambomihambo6754
    @abhambomihambo6754 2 ปีที่แล้ว

    Unatufaa kuwa lecturer wa kuhamasisha uzalendo ktk nchi,maana viongozi wetu wengi hawayajuwi hayo,wapowapo tuu kwa maslahi yao.

  • @omariamiri3348
    @omariamiri3348 2 ปีที่แล้ว +1

    Mzee huyu anaifahamu historia yetu vyema

  • @emmanuelmalongoza1496
    @emmanuelmalongoza1496 2 ปีที่แล้ว

    Prof. Kabudi ni hazina ya historia ya taifa letu. Nimenufaika na maelezo yake kuhusu historia ya Baba wa Taifa Mwl. Julius Nyerere.

  • @charlesmpemba9387
    @charlesmpemba9387 2 ปีที่แล้ว

    Kabudi we ni kioo Cha jamiii

  • @octavian54
    @octavian54 2 ปีที่แล้ว

    U deserve professor

  • @robsonlotyloy5678
    @robsonlotyloy5678 ปีที่แล้ว

    Nikweli baba

  • @nicksonngogo7904
    @nicksonngogo7904 8 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉🎉

  • @user-zl3le1wz2u
    @user-zl3le1wz2u 4 หลายเดือนก่อน

    Makufuri ( Rais)na Kikwete waliogo kwa kujihami kuwa anayemzidi umri hawezi kumuachia Urais hata darasani inaonyesha walikuwa na matatizo.Busara haipatikani Kwa wenye umri chini ya miaka sitani vinginevyo ni kwa nadra sana., Tunahitaji rais anayejitambua tuachane na akina Samia

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 2 ปีที่แล้ว +2

    kabudi kesho yako iwe njema...

    • @missangela6720
      @missangela6720 2 ปีที่แล้ว

      Tayar hapo yupo kwenye kesho yake mwenzio. Labda keshokutwa yake tusemee

  • @pastoryalphonce9024
    @pastoryalphonce9024 ปีที่แล้ว

    The same good,🤗

  • @bahatikokoro5610
    @bahatikokoro5610 2 ปีที่แล้ว

    Yap,hapo kwn kitabu Cha False start in Africa,nimekubali

  • @georgemwakalindile687
    @georgemwakalindile687 หลายเดือนก่อน

    Hizi hazina sijui zinatumika wapi? Anyway,mimi nitapenda sana kwenda kwake kuongea nae tu,na sio mara moja kama vile nadadisi,ningependa sana niwe naenda kwake kuongea.nae kila wakati.......kama ninavyo tamani sasa kwenda kwa J.K kupiga nae story kila nikipata nafasi yake......

  • @jonathanmlinda2580
    @jonathanmlinda2580 2 ปีที่แล้ว

    Huyu ndo prof Tz ambaye naeza kaa kimya kwa utulivu na umakin wote kumsikiliza, ila nmegundua kitu..., akili kubwa haiwez kaa karb na akili ndogo, sishangai kwann walikuondoa kua waziri ingawa nliumia sana lakn mapnz ya Mungu yatimizwe

  • @samwelshepa8443
    @samwelshepa8443 2 ปีที่แล้ว

    Ni JPM tu ndio alijua kuwa na hazina ya viongozi andamizi kama hawa na sasa hayupo nao wanaishia kubezwa kushitakiwa na kupotezwa

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 2 ปีที่แล้ว +1

    Mzee Wasira haaminiki. Anayumba, naye amekuwa kama Kambale. Anawezaje kuunga mukono serikali ya Sasa ambayo wezi wote wamerudi.

    • @flavianwilliams2888
      @flavianwilliams2888 2 ปีที่แล้ว

      Walikuibia Nini, makonda na Sabaya walikuwa majangiri na majambazi

    • @mapambanotv19
      @mapambanotv19 2 ปีที่แล้ว

      acha chuki wewe.
      tunaifahamu shida yenu ila mungu anawahukumu

  • @stevenmengo8356
    @stevenmengo8356 2 ปีที่แล้ว +1

    Uko wapi Prof Kabudi?? Taifa linakuhitaji sana

    • @missangela6720
      @missangela6720 2 ปีที่แล้ว +1

      Wahuni wamemficha ili Watanzania wasiujue ukweli