MEDI COUNTER: Una tatizo la kusikia kengele masikioni? Daktari anauelezea ugonjwa huo

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 120

  • @nivaleonard4733
    @nivaleonard4733 3 ปีที่แล้ว +5

    Doctor please nimetafuta Sana hii kitu inayoitwa epglotitis kwa kiswahili sijapata naomba msaada wako

  • @magdarenananyiewa6815
    @magdarenananyiewa6815 3 ปีที่แล้ว +4

    Asante sana kwa Maelezo haya ila nataka kujua unapatikana wapi

  • @kheriathuman2598
    @kheriathuman2598 4 ปีที่แล้ว +5

    Mimi ni mmoja wa ugonjwa huo naitaji namba za doctar plz

  • @neemasuleiman7130
    @neemasuleiman7130 2 ปีที่แล้ว

    Asantee Sanaa kwamaelezo yako

  • @ernestmhinauttah232
    @ernestmhinauttah232 2 ปีที่แล้ว +3

    Shukran san mi hyo kengele ndo inanhusu ila tuamby gharama kabsaa tujipange tuje

  • @abduljuma2147
    @abduljuma2147 3 ปีที่แล้ว +6

    Kweli sikio Ni sehemu sana najuta nimepoteza sikio langu la shoto nilipigwa ngumi kizembe tu Sasa nalihisi liko unormal naitaji usaidizi

    • @yonasjonas3495
      @yonasjonas3495 ปีที่แล้ว

      Thamahan Naomba unisaidie Namba za huy daktar

  • @rizikisimai5140
    @rizikisimai5140 3 ปีที่แล้ว +3

    Naomba no ya doctor

  • @gracetweve8485
    @gracetweve8485 4 ปีที่แล้ว +4

    Mngetupa namba Za dk jamani

  • @eliasifiwekileo8150
    @eliasifiwekileo8150 3 ปีที่แล้ว +3

    Naomba no za Dr jamani

  • @aimeebusime5849
    @aimeebusime5849 ปีที่แล้ว

    Merci bcq

  • @hellenbarnaba9069
    @hellenbarnaba9069 11 วันที่ผ่านมา

    Dkt. Mimi ninatatizo Hilo pia naomba namba yako Dokta. Unipe ushauri. ubarikiwe Sana.

  • @zephaniazacharia519
    @zephaniazacharia519 4 ปีที่แล้ว +3

    Nice topic

  • @haseanatnsanya2079
    @haseanatnsanya2079 3 ปีที่แล้ว +2

    Mm sikio moja lauma mpaka kimeo chauma sana

  • @doriceurassa5621
    @doriceurassa5621 2 ปีที่แล้ว +2

    Mimi hzo kengel zmeanz mud huu Yan dokt napat shda Sana naomba no zake mwenye nazo Mana dawa nmetumia lakin bado naskia hzo mingurumo Yan mpk nakereka

  • @user-xq3xp2tj9b
    @user-xq3xp2tj9b 5 วันที่ผ่านมา

    Mm ilinianza baada ya kusikiliza mziki kwa muda mrefu

  • @Denis_prudence
    @Denis_prudence 4 หลายเดือนก่อน +1

    Namkubali sana huyu daktari

  • @prospermzee7918
    @prospermzee7918 3 ปีที่แล้ว +9

    Namba nnayo, ila siwezi kuweka hapa.ila huyu dr yupo hospital ya muhimbili ya mloganzila floor ya kwanza.omba kuonana na dr mfuko

    • @sakinahamza5325
      @sakinahamza5325 2 ปีที่แล้ว

      Mm naitaj kk

    • @goodluckgabriel2763
      @goodluckgabriel2763 2 ปีที่แล้ว

      Habar kaka naomba unisaidie no ya huyu dk nipo mkoani nina mgonjwa I'll niwasiliane niende

    • @enterenter7798
      @enterenter7798 ปีที่แล้ว

      Minaomba niandikie hizo dawa za kutibu sikio linolopiga kengele please

    • @phinajohn3559
      @phinajohn3559 ปีที่แล้ว

      nitakuja dar kwaajil yake

    • @FadhilaAbrahman
      @FadhilaAbrahman 11 หลายเดือนก่อน

      Mm nko zanzbr naitaji no yke uyo doktr pleas

  • @JOSEPHINE724
    @JOSEPHINE724 5 หลายเดือนก่อน

    How can I get in touch with you coz am suffering

  • @rosemkama6629
    @rosemkama6629 4 หลายเดือนก่อน

    Naomba number doctor

  • @fareedatrash665
    @fareedatrash665 3 ปีที่แล้ว +2

    mueke number za hawa dr hawa wa vipindi

  • @heriethchristopher7663
    @heriethchristopher7663 2 ปีที่แล้ว

    Dr mm masiko yananguluma je nn shida?

  • @florianpango4487
    @florianpango4487 2 ปีที่แล้ว

    Mpo wapi muhimbili

  • @angelpelkoneni2624
    @angelpelkoneni2624 2 ปีที่แล้ว

    Naomba namba za dokta au utuelekeze mnapopatikana plz

  • @EsterMkama-ni1rq
    @EsterMkama-ni1rq 18 วันที่ผ่านมา

    NaitwA esta hiyo Hali napitia

  • @seifseif681
    @seifseif681 2 ปีที่แล้ว

    Dokt mm nimetok kujifunguwa ila hichi kichwa chang mbona nakihis hivi kwanza naogopa mno ,nikisikiy mtu amekuf hofu naogop huyu mtoto wangu huwa namuogop halafu inanijiy nimpije na chini yaani hichi kichwa changu kama hakiko sawa

  • @sophiahalfani1870
    @sophiahalfani1870 ปีที่แล้ว

    Namba zako nazipataje

  • @magrethparsalau2198
    @magrethparsalau2198 2 ปีที่แล้ว +2

    Mimi ni mjamzito miezii sita lakini napata hilo tatiz la mvumo maskioni kichwa kinauma sana mpaka shingo inashindwa kugeuka

    • @MwanaOg
      @MwanaOg หลายเดือนก่อน

      Vp ndugu ulipona tatzo la maskio

  • @gracejackson8810
    @gracejackson8810 ปีที่แล้ว +1

    Doctor naomba namba yako nateseka sana na kelele za silio nahitaj Tiba

    • @festominani3621
      @festominani3621 11 หลายเดือนก่อน

      Hello ulishapata tiba?nateseka sana na kelele masikioni

  • @rehmahamishamismkande4348
    @rehmahamishamismkande4348 ปีที่แล้ว

    Doctor mimi hilo tatizo ni mara kwa mara naenda hospital wanasafisha baada ya muda mfupi inarudi tena

  • @fareedatrash665
    @fareedatrash665 3 ปีที่แล้ว +2

    dr wa masikio nahitaji number yake

  • @manxuleemikui3809
    @manxuleemikui3809 4 ปีที่แล้ว +4

    ahsant kwa elmu

    • @mesopallangyo3520
      @mesopallangyo3520 3 ปีที่แล้ว

      Dr.mimi sikio la upande mmoja ndio linapuliza napata shida mno

  • @ummyshee1310
    @ummyshee1310 ปีที่แล้ว

    Naomba na doctor

  • @abdulalmas3050
    @abdulalmas3050 3 ปีที่แล้ว

    Jamani me ni miongoni meao

  • @mwanaishachonya6246
    @mwanaishachonya6246 หลายเดือนก่อน

    Kuziba jino ndo chanzo cha ili tatizo

  • @bahatimtenya4014
    @bahatimtenya4014 2 ปีที่แล้ว

    Huyo dr bado yupo mpaka sasa

  • @phinajohn3559
    @phinajohn3559 ปีที่แล้ว +1

    Yan mim nilishapewa dawa bugando Kila mwez lak na zaidi lakn hakuna kitu hata unafuu robo hakuna nimechoka balaa

    • @festominani3621
      @festominani3621 11 หลายเดือนก่อน

      Hello! Ulishapata tiba? Niambie aise nateseka sana na hili tatizo

  • @joycesaguda575
    @joycesaguda575 10 หลายเดือนก่อน

    Sikio langu moja lina maumivu makali Sana likichachamaa hata dawa za maumivu znadunda naambulia kulia tu😢, na hasa likipulizwa na upepo au nikiwa kwenye sehemu ya baridi naumia Sana😢naomba msaada

  • @KelvinSadick-lc4qs
    @KelvinSadick-lc4qs 11 หลายเดือนก่อน

    unapatikana wapi

  • @florianpango4487
    @florianpango4487 2 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante nimeelewa Mimi nasikia mvumo flani hivi vuuu

  • @zakiamohamed7611
    @zakiamohamed7611 6 หลายเดือนก่อน

    Dakta naomba unisaidie cna tatizo la mashikio ila nimtu wakusafiri safiri kwa ndege nnapokuwa safarini nnakuwa naumwa sana na mashikio jee nijikinge nanini kuhusu hizi kelele nnazozickia nakuumwa namashikio

  • @mwaraminyumba5978
    @mwaraminyumba5978 2 ปีที่แล้ว

    Uwe unatoa na namba yako basi waitaji tupo wengi

  • @goodluckgabriel2763
    @goodluckgabriel2763 2 ปีที่แล้ว

    Dk hupatikani kwa no hiyo tunakupataje

  • @sophiahalfani1870
    @sophiahalfani1870 ปีที่แล้ว

    Naomba namba ya cm nije

  • @shimafuad6868
    @shimafuad6868 3 ปีที่แล้ว +4

    Kwanini nembo ya Azam hua mnaiweka katikati? Inaziba iwekeni pembeni

    • @keanujayce356
      @keanujayce356 2 ปีที่แล้ว

      i know im asking the wrong place but does any of you know of a method to log back into an instagram account..?
      I was dumb lost the account password. I love any tricks you can give me.

    • @enterenter7798
      @enterenter7798 ปีที่แล้ว

      Sindio inawalipa jmn

  • @devaliant8868
    @devaliant8868 4 ปีที่แล้ว +1

    Lini mtaiachia Azam TV app iwe hewani

  • @user-bb5vo1jf3v
    @user-bb5vo1jf3v 7 หลายเดือนก่อน

    Dock samahan mm nipo mwanza nawapataje ninatatizo holo

  • @user-tz3zf2rb7x
    @user-tz3zf2rb7x 9 หลายเดือนก่อน

    Dah

  • @user-xo4qc2hk4j
    @user-xo4qc2hk4j 3 หลายเดือนก่อน

    Jamani unapatikana wapi nashikwa na kichaa ,ukowapi

  • @tatusungura7864
    @tatusungura7864 3 ปีที่แล้ว +3

    naomba namba ya dacter

  • @saumulyobe2158
    @saumulyobe2158 ปีที่แล้ว

    Mie nnasikia sikio moja na maumiv had kwenye kifuan

  • @angelpelkoneni2624
    @angelpelkoneni2624 2 ปีที่แล้ว

    Mimi ninateseka sana na hizo kengele za masikio naomba namba za dokta

  • @rosemkama6629
    @rosemkama6629 4 หลายเดือนก่อน

    Tunaomba number.

  • @zakiamohamed7611
    @zakiamohamed7611 6 หลายเดือนก่อน

    Au nivae kitu gani mashikioni ili hizi sauti niczickie mpaka niweze kufika nnakoenda

  • @jenifervahaye1069
    @jenifervahaye1069 8 หลายเดือนก่อน

    Daktar unapatikana wap tupe namba zako

  • @masterdiv8494
    @masterdiv8494 2 ปีที่แล้ว

    Jaman elekezeni nadawa wengine atuna uwezo wakuja uko..nateseka sana nallo tatzo

  • @user-qk2jg2qy6l
    @user-qk2jg2qy6l ปีที่แล้ว

    Mimi nimepata tatizo ilo kwaajili ya kupigwa kofi upande wa kushoto

  • @user-mi7vj3jh6w
    @user-mi7vj3jh6w 4 หลายเดือนก่อน

    Dokta ni saidie

  • @martinemagembe9029
    @martinemagembe9029 ปีที่แล้ว

    Kweli doctor mm nimeenda hospital sikio langu moja wameniambia ww unauchafu lakini nikaenda kulisafisha lakini hakuna suruhisho na mpaka Sasa sikio langu la kushoto halisikii kabisa nashindwa kuelewa n kwamba sikio langu halitaweza kutibika au n fanye Nini

  • @ShafiiDauda-mh9ju
    @ShafiiDauda-mh9ju 3 หลายเดือนก่อน

    Uanapatikana wapi doctor man na mm nina problem yng

  • @yakoubali4977
    @yakoubali4977 ปีที่แล้ว

    mm masikio yanauma kwa ndani kama nameza mate yanauma sana

  • @dayanamusa2568
    @dayanamusa2568 2 ปีที่แล้ว

    Mnaweka namba tunapiga inapita bila kupokelewa si bora mfute tu kipindi

  • @mussaibingo
    @mussaibingo ปีที่แล้ว

    mimi kunakuwa kama vitu vinatembea usoni na masikioni

  • @seifseif681
    @seifseif681 2 ปีที่แล้ว

    Halafu nasikiy zogo kama kweny sikio moja halafu nahisi mishipa haya ya shingo kama hayashiki vizuri yaani dokt kiufupi mm mwenyewe sijielewi naomb msaada wako

  • @yakoubali4977
    @yakoubali4977 ปีที่แล้ว

    Mbona doctor hunijb

  • @nyemonairo1442
    @nyemonairo1442 10 หลายเดือนก่อน

    Na Mimi Nina shida Ila ni sik moja tuuu nasikia Kam magari yanapita hivi inalia Kam dakika 1 hiv nawezaj kukupata doctor

    • @taturashidi5140
      @taturashidi5140 9 หลายเดือนก่อน

      Mimi pia hua nasikia sauti ya gari sikio la kushoto

  • @user-xo4qc2hk4j
    @user-xo4qc2hk4j 3 หลายเดือนก่อน

    Uko hospitali Gani,,??????? Nimeteseka zaidi ya miaka 20 nikenele zakiaina

    • @malfredification
      @malfredification 2 หลายเดือนก่อน

      Uwe unaangalia vizuri mwanzo wa hii video kuna jina la Dk,Pili yeye mwenyewe ukisikiliza ameshasema yupo hospital gani,Tatu uwe unajitahidi kusoma comments maana kuna wengine wanakuwa wametoa msaada wa maelezo, huyu Dk yupo Hospital ya Muhimbili ya Mloganzila floor ya kwanza omba kuonana na Dr Goodlove Mfuko,Hope nimekusaidia!

  • @batholomeokivamba6959
    @batholomeokivamba6959 29 วันที่ผ่านมา

    Niko Arusha

  • @ezekielmadindula2679
    @ezekielmadindula2679 2 ปีที่แล้ว +1

    Nina tatizo hilo

  • @yomenikabombwe4939
    @yomenikabombwe4939 2 ปีที่แล้ว

    Unasema mengi bila kusema matibabu dawa ok salm

  • @jovinkomba2908
    @jovinkomba2908 4 ปีที่แล้ว +2

    best otolaryngologist you are the best DR.Godlove peter mfuko

    • @sarahbaltazari6899
      @sarahbaltazari6899 3 ปีที่แล้ว

      Jamani napataje namba za dokta niko mkoani

    • @mesopallangyo3520
      @mesopallangyo3520 3 ปีที่แล้ว

      @@sarahbaltazari6899 ukipata namba ya Dr naiomba jamani Nina tatizo Tena la upande mmoja😌😌

  • @shamfumbo3581
    @shamfumbo3581 4 หลายเดือนก่อน

    Jekifaa hicho hakito muadhiili

    • @malfredification
      @malfredification 2 หลายเดือนก่อน

      Ndugu hiki sio kipindi live kuwa unategemea swali lako lijibiwe hapa,Majibu na maswali yako utayapata pindi umefika Kwa Dk muhusika!

  • @KarisaMapenzi
    @KarisaMapenzi 7 หลายเดือนก่อน

    Swali ni tunawapata vipi sasa

  • @KelvinSadick-lc4qs
    @KelvinSadick-lc4qs 11 หลายเดือนก่อน

    Nambako kka

  • @shadakihwili4197
    @shadakihwili4197 2 ปีที่แล้ว

    Naomba namba yako dokta ili nije uko loganzila

  • @thobiaspaul8247
    @thobiaspaul8247 3 ปีที่แล้ว +1

    Mimi nilipata ajali upande wa kushoto wa sikio na nikawa nasikia sikio likiwa linalia siiiiiiiiiiiiii no zangu 0762569429

  • @clintonnjiku3616
    @clintonnjiku3616 3 ปีที่แล้ว +2

    Mi sikio langu linapiga kengele Sanaa na nasikiaaa sauti za kukwaruzwaa imesababishwa na kupigwa kofii

    • @abduljuma2147
      @abduljuma2147 3 ปีที่แล้ว

      Ndugu yangu mm nimepigwa ngumi asa Sasa naskia Kama Kama Kuna milio ya engine yaani ovyo ovyo walai vita sitaki tena

    • @matildamushi4495
      @matildamushi4495 2 ปีที่แล้ว

      Je.kcmc yupo ?

    • @user-gt3us2kk2i
      @user-gt3us2kk2i 8 หลายเดือนก่อน

      Tumiya maji ya chuvi yakivukuto inasaidiya masikiyo yakupiga kelele

  • @addblessmsola5625
    @addblessmsola5625 3 ปีที่แล้ว +2

    Elekeza dawa sio lazma tuje tutumie hela nyingi

    • @elizabethjulius651
      @elizabethjulius651 3 ปีที่แล้ว

      Unatakiwa kupimwa ili upewe dawa kulingana na tatizo lako... Hakuna dawa moja kwa watu wote.

    • @abduljuma2147
      @abduljuma2147 3 ปีที่แล้ว +1

      Kabisaa mm nilipewa dawa bila kuchunguzwa najuta Kuna ma special doctors na ma nurses Sasa usiombe ukutane na nurse maana ujuzi wake mdogo Bora uone doctor akupime

  • @hanscanajoseph7981
    @hanscanajoseph7981 4 ปีที่แล้ว +4

    Kusikia kengele muhimu kwangu maana mm ni mwanafunz 😂😂😂

  • @user-fe2bg3cx8u
    @user-fe2bg3cx8u 4 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu dr ni kiboko wallah... sijawahi kukmuona lakini Ana akili kubwa sanaaaa ni msomi wa hadhi ya juu.. yani kanijibu maswali yangu yoyeeee niliyokuwa nayo kichwani mwangu

  • @edinambwambo4847
    @edinambwambo4847 2 ปีที่แล้ว

    Liliwahi kunikuta ili,hiyo siku nilitoka kwenye sherehe ambapo nilikaa karibu na spika za mziki.Nilipata tabu Yani masikio yalipiga kengele wiki mzima.Yani kama mmbu vile wanalia usiku Sasa kwangu ilikuwa mfulilizo.Sikwenda hospital iliisha yenyewe.🙏

  • @hellenbarnaba9069
    @hellenbarnaba9069 11 วันที่ผ่านมา

    Dkt. Mimi ninatatizo Hilo pia naomba namba yako Dokta. Unipe ushauri. ubarikiwe Sana.