MEDICOUNTER EPS 10: MAUMIVU YA KICHWA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 157

  • @issasamson8909
    @issasamson8909 ปีที่แล้ว +3

    Daktari mm Nina kizunguzungu kikali Sana kichwa kinaishiwa nguvu kabisa na kinayumba chenyewe mishipa inakaza,macho yanauma sioni vzr

    • @happyadam8301
      @happyadam8301 ปีที่แล้ว

      Ww ni mim kinakua kizito mpk macho yanauma

    • @neemanelson6057
      @neemanelson6057 4 หลายเดือนก่อน

      Ni Mimi kabisa

    • @GodfreyMwamaso
      @GodfreyMwamaso 3 หลายเดือนก่อน

      Tuko wengi

  • @NahimanaMariamu
    @NahimanaMariamu 2 หลายเดือนก่อน

    Doctor mmi kichwa chagu kinafujoo ziii naomba ushauri nifanyenini nimeshounana namadactar nimeshopita kweny skm mpakasasa awajaonauganwa❤❤

  • @elizabethprosper6031
    @elizabethprosper6031 4 หลายเดือนก่อน

    My perfect doctor❤
    Mungu akupe maisha marefu😊

  • @MajaaliwaFaki
    @MajaaliwaFaki 2 หลายเดือนก่อน

    dakatar mm kichwa kinawaka moto sana utosini na kisogoni kinawaka moto sana kila siku

  • @philemonrichard8082
    @philemonrichard8082 2 ปีที่แล้ว +10

    Doctor mm kichwaa kinauma hii niwiki ya pili na mwili huchoka sana nakuwa najoto jingi hasa wakati was usiku

  • @atarasilahyera1929
    @atarasilahyera1929 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mimi kinauma kichwa upande mmoja ni Nini hicho

  • @MillanHashimuMadenge-nu1ok
    @MillanHashimuMadenge-nu1ok 2 หลายเดือนก่อน

    Kinaniuma nikiinama nikinyanyuka yani maumivu makali yana pwitwa kinagonga sana arafu maumivu yanakata apo apo mbaka niiname ninyake au nijilaze ninyanyuke aisee mbaka saivi nikiinama nanyanyuka kwa step kama roboti mana kikitingishika tu kinauna balaa . pia huwa natokwa dam puani nikipigwa ata kofi tu au ata nkijigonga kichwan au nikitembea juani

  • @shomaryzonga4902
    @shomaryzonga4902 3 ปีที่แล้ว +3

    Nashida docta naomba namba nikueleze

  • @mchambuzi9089
    @mchambuzi9089 4 ปีที่แล้ว +1

    Towen huo wimbo unatuketea keroooooooooo. Kma tuko Club

  • @ummusalim5088
    @ummusalim5088 3 ปีที่แล้ว +2

    Toenii miziki inakeraa

  • @abdikarimmohammed205
    @abdikarimmohammed205 3 ปีที่แล้ว +2

    Daktari tafathali mm naumwa sana na kichwa almost 7 years mpka sai nimezoe dawa na kama sijakula inaniuma sana utaweza nisaidia aje tafathal niko nairobi

    • @jeniferemmanuel4251
      @jeniferemmanuel4251 2 ปีที่แล้ว

      Pole sana ata kuva best Friend angu Ana ttzo hili nahittaj kumsaidia

  • @ndeshfosekaaya
    @ndeshfosekaaya ปีที่แล้ว

    Docta mimi niko arusha naumwa sana mishipa ya kichwa piresha hilipanda kichwani

  • @NasibuFikiri-de5bu
    @NasibuFikiri-de5bu ปีที่แล้ว

    Nammm kichwa kinauma pand zot

  • @saphiagimmy2050
    @saphiagimmy2050 2 ปีที่แล้ว +2

    Mimi naitaji msaada wako doctor kichwa kinaniuma kwenye utosi hadi kwenye USO kama nikifanya mazoezi kinaniuma kama mawenge

  • @cgko3929
    @cgko3929 4 ปีที่แล้ว +4

    dakitari naunwa sana na kichwa pande moja shida ninini

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 ปีที่แล้ว +1

      We kam mm kuzunguk jicho la kulia kwa ndan mmmh ad ninywe vasograin sa sijui shid ni jicho

    • @ImeldaHanzuruni
      @ImeldaHanzuruni 10 หลายเดือนก่อน

      @@faidhamyovela179kama mm umetumia nn ukapona yaani sina raha ikifika asubuhi

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 10 หลายเดือนก่อน

      @@ImeldaHanzuruni kipanda uso iko ila ukimywa vasograin kinaachia mm kinarudig baad ya miez au mwezi hiv

  • @neemaeppah2992
    @neemaeppah2992 3 ปีที่แล้ว +3

    Jamani aliyepona na tatizo la kichwa aje atusaidie na sisi

  • @zainaomar1545
    @zainaomar1545 4 หลายเดือนก่อน +1

    mm daktari kichwa kina uma wiki ya pili hii kichwa kina ni bana kisha nasikia kiko kikavu nakisikia ubongoni alafu nasikia kumwa na macho maumivu nayasikia kwa macho na upande wa utosi na upande mbili na kizungu zungu

  • @MaryPhysoo
    @MaryPhysoo 3 หลายเดือนก่อน

    Samahan doctor naomba no yako unisaidie nina miaka 7 naumwa kichwa nimebaki kumeza dawa za maumivu bila tiba
    15:56

  • @mariammuya5177
    @mariammuya5177 ปีที่แล้ว

    Naomba no ya doctor 11:07

  • @dainesdaudi5683
    @dainesdaudi5683 3 ปีที่แล้ว +1

    Jaman msaada wenu kichwa kinaniuma sana nimesha angaika sana

    • @provianmandago5443
      @provianmandago5443 2 ปีที่แล้ว

      Naomba kujua maumivu ya kichwa yanayoambatana na homa

  • @lilianjoshua477
    @lilianjoshua477 3 ปีที่แล้ว +5

    Me kichwa kinaniuma kama vichomi vinavyochoma kwenye meno na masikio Sana kila mara lkn hasa nikipata stress

  • @aminalakhan7171
    @aminalakhan7171 หลายเดือนก่อน

    Nina shida na dr wa kichwa

  • @lovederyare6756
    @lovederyare6756 5 ปีที่แล้ว +3

    Kichwa kinauma sana sana upande wa kulia mbele na nyuma

  • @fadhilahzuberi4116
    @fadhilahzuberi4116 ปีที่แล้ว +2

    Tatizo mnaogea tu hamtoi namba hiyo ndio shida yenu

    • @dorahmushi-we6ts
      @dorahmushi-we6ts ปีที่แล้ว

      Na ukiuliza maswali Dr hajibu! Dr tunaomba itusaidie Kwa kutujibu maswali yetu...jamani kichwa kinauma vibayaaaa

  • @khadijasalum132
    @khadijasalum132 4 ปีที่แล้ว +3

    Dokta nimekuelewa Sana shukran

  • @josephkalambi7178
    @josephkalambi7178 16 วันที่ผ่านมา

    Naumwa kichwa kisogoni na utosini yaani kisogoni kama nimepigwa nakitu kizito na utosini kama machines sindano

  • @bamburisundayschoolchurchb4861
    @bamburisundayschoolchurchb4861 4 ปีที่แล้ว +2

    Doctor Mimi yangu imefura kwa komo gafla, baada ya kupaka dai kwa nywele

  • @zuhuramike1399
    @zuhuramike1399 3 ปีที่แล้ว +1

    Naomba no yenyu

  • @NadiaJuma-en8sr
    @NadiaJuma-en8sr ปีที่แล้ว

    Mimi nimichale yamjicho laupande umoja

  • @mtatatvshow1044
    @mtatatvshow1044 4 ปีที่แล้ว +2

    Dokta mimi naumwa nakichwa kwenye kisogo sijui tatizo nini

  • @samweldiamond502
    @samweldiamond502 4 ปีที่แล้ว +5

    Docta namba zako nimuhim kwetu cc wagonjwa

  • @MamaRujahna-qc6em
    @MamaRujahna-qc6em ปีที่แล้ว

    Doctor naumwa Sana kichwa na miaka 20 tu nikienda hospital wananipima uti na wingi wa damu lakini tatizo bado haliishi

  • @MarthaVicent-j4c
    @MarthaVicent-j4c 2 หลายเดือนก่อน

    Dokta unapatikana wapi ?
    Nahitaji kutibiwa maana nina tatizo hilo la kuumwa na kichwa mara kwa mara

  • @KimtaiLimo
    @KimtaiLimo 5 หลายเดือนก่อน

    Daktari nimehisi maumivu ya kichwa huu ni mwaka wa tatu naomba usaidizi tafadhali

    • @KhadijaKhadija-p3k9y
      @KhadijaKhadija-p3k9y 4 หลายเดือนก่อน

      Dah nikajua Niko peke yangu !!! Kumbe tuko wengi!!!

  • @husnamushi1163
    @husnamushi1163 5 ปีที่แล้ว +10

    Mimi kichwa kinanitesa mno doctor mpka nakosa amani yaani mnoooo mpk nais kuchangnyikiwa

    • @mercyhealthcare5695
      @mercyhealthcare5695 3 ปีที่แล้ว

      Nikusaidie +255 625 780 510

    • @raidenmaverick8191
      @raidenmaverick8191 3 ปีที่แล้ว

      I realize I am quite off topic but does anybody know of a good place to stream new series online?

    • @cadetate3023
      @cadetate3023 3 ปีที่แล้ว +1

      @Raiden Maverick try flixzone. Just search on google for it :)

    • @jaxxonleighton4105
      @jaxxonleighton4105 3 ปีที่แล้ว

      @Cade Tate Yea, I've been watching on Flixzone for years myself :D

    • @raidenmaverick8191
      @raidenmaverick8191 3 ปีที่แล้ว

      @Cade Tate Thanks, I went there and it seems like they got a lot of movies there :D Appreciate it!

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso2424 3 ปีที่แล้ว +2

    Dr please naomba namba yako mimi kichwa kinanisumbua sana Ni mwaka wa nne naomba unisaidie please

  • @zainaomar1545
    @zainaomar1545 4 หลายเดือนก่อน

    mpaka mishipa yaniuma kwenye komo pande mbili za ubongo maumivu makali kwa kichwa

  • @jacquilinenoah949
    @jacquilinenoah949 2 ปีที่แล้ว

    JAMAN NAOMBEN NAMBA YA HUYU DOCTOR PLZ😭😭😭😭😭

  • @HappnassMasatu
    @HappnassMasatu 10 หลายเดือนก่อน

    Namba zako doctar plz

  • @lovederyare6756
    @lovederyare6756 5 ปีที่แล้ว +4

    Dct me nna swali niliandikiwa dozi ya power safe cndano 7 ila baada ya kuanza kuchoma hizo cndano mpk na amaliza kichwa kinauma tu sas hv nna siku ya 3 toka nimalize cndano lakin bado kinauma tu

    • @Swafia-Abdallah8
      @Swafia-Abdallah8 3 ปีที่แล้ว +2

      Doctor mimi Niko na Shida ya kuumwa na kichwa upande wa kushoto,at the centre

  • @michaelmshani3665
    @michaelmshani3665 4 ปีที่แล้ว +2

    Doctor kweli unayo ongea kwamba madaktari wengi awafati historia ya mgonjwa

  • @zainaomar1545
    @zainaomar1545 4 หลายเดือนก่อน

    muko wapi daktari sehemu gani mm naishi mombasa

  • @songorajackson6757
    @songorajackson6757 5 ปีที่แล้ว +2

    Dr mi kichwa mi nina shida ya kichwa no zangu

  • @priva7421
    @priva7421 2 ปีที่แล้ว +1

    Samahan doctor Mimi mishipa ya kichwa unaniuma shida itakua ni Nini?

  • @latifakalunde3565
    @latifakalunde3565 4 ปีที่แล้ว +3

    Kichwa kinanisumbua sana kama.kinawaka moto jaman sijui shida nini ,hakipoi na kuna muda Kama nawaka moto

  • @aishaaboubakar7147
    @aishaaboubakar7147 7 ปีที่แล้ว +2

    me dokt kinaniuma kichwa sana nahic km mishipa inanibana sana kichwa kizima hd shingo yote ht kuongea najickia shida sana. sa sijui utanishaur vp.

    • @sweetheartschannel7120
      @sweetheartschannel7120 7 ปีที่แล้ว

      Nazani aisha tatzo lako ni kama langu vipi hadi saiv umefanikiwa kama umefanikiwa nielekeze namm mana nimemaliza tiba zote sijafanikiwa bado

    • @sweetheartschannel7120
      @sweetheartschannel7120 7 ปีที่แล้ว

      Aisha Aboubakar

    • @sweetheartschannel7120
      @sweetheartschannel7120 7 ปีที่แล้ว

      Aisha Aboubakar namba yangu hii hapo kama unatumia WhatsApp nitafte +255779804000

    • @emmanuelkigola7955
      @emmanuelkigola7955 6 ปีที่แล้ว

      Aisha Aboubakar mambo vipi hata mm nasumbuliwa na kichwa sjui.tatzo nn

    • @emmanuelkigola7955
      @emmanuelkigola7955 6 ปีที่แล้ว

      sweethearts channel ww kina mda gani toka kianze kuuma

  • @rosenjau3576
    @rosenjau3576 6 ปีที่แล้ว +6

    dokta me kichwa kinawaka noto utosini na saa nyingine nasikia ganzi kichwa kizima shida ni ni dokta naitaj msaada

    • @tanzaniangirl1980
      @tanzaniangirl1980 6 ปีที่แล้ว +2

      Tatizo lako ndo tatizo nililo nalo

    • @gracekikonda7628
      @gracekikonda7628 6 ปีที่แล้ว +1

      DOKTA.mwanangu.anasumburiwa.na.kichwaa.marakwamara
      .akirudi.shure.macho.anasema.yanauma.na.kichwa.naomba.ushauri.wenu

    • @gracekikonda7628
      @gracekikonda7628 6 ปีที่แล้ว +2

      DOKTA.naomba.msaada.wa.namba

    • @dahappy5879
      @dahappy5879 5 ปีที่แล้ว +3

      Mi naumwa Kama wewe vip umepata matibabu na mm unisaidie

    • @loveneselia3070
      @loveneselia3070 4 ปีที่แล้ว

      Ata mm jaman tena adi mishipa

  • @NuuruKassim
    @NuuruKassim 9 หลายเดือนก่อน

    Doctor habari mm Nina shida na mttz y kichwa MN kinanikaza sana mbele ya uso mpka nyuma lkn juu kinauma lkn maumvu yk kwa mbli ss ttz nn

  • @fatumahamis4257
    @fatumahamis4257 4 ปีที่แล้ว +2

    Hujambo daktari,Mie nimeumwa na kichwa SASA week2 tafadhali nielekeze doctor.

  • @zainaomar1545
    @zainaomar1545 4 หลายเดือนก่อน

    na mishipa yashingo kuniuma

  • @MwandiweSalum
    @MwandiweSalum 11 หลายเดือนก่อน

    Samahan doctor naomba namba yako nnashida sana naomba unisaidie

  • @khadijayussufsaid134
    @khadijayussufsaid134 4 ปีที่แล้ว

    Mi nakaa naumw n kichw upand mmj c maumiv makal bali upand huu huu nahc km kun kitu kinanikandamiza nahc km kit

  • @najmagoa4727
    @najmagoa4727 4 ปีที่แล้ว +2

    Dokta tupe namba yako

  • @RahmaRahma-ie6ey
    @RahmaRahma-ie6ey 2 ปีที่แล้ว

    Sahani Dokta pole na kazii samahani naomba unitumie namba yako kwanjia ya Wasap Mimi sipo Tanzania ilinikueleze vizuri

  • @gladnessterry2465
    @gladnessterry2465 2 ปีที่แล้ว

    Doctor huo wimbo jamn toeni hatusikii

  • @MariamOmari-mj3te
    @MariamOmari-mj3te ปีที่แล้ว

    Tunaomba namba yako naumwa nakichwa sana

  • @theclamassewe3629
    @theclamassewe3629 4 ปีที่แล้ว +1

    Daktari namba yako tafadhali tuandikie tupate hata maelekezo kidogo tafadhali

  • @akhtarrashid7793
    @akhtarrashid7793 5 ปีที่แล้ว +1

    Doctor mie naumwa na kichwa hii week nshachumwa sindano mbili za maumivu lakin bado kinauma

  • @Reemttt-j7o
    @Reemttt-j7o 2 ปีที่แล้ว

    Doctor naomba number yako mmangu ana tatizo la kichwa tafadhali xana ajiwezi kwa ssa wallahi nisaidie

  • @aminashabani4586
    @aminashabani4586 ปีที่แล้ว +1

    Doc,mbona nahisi ndani ya kichwa changu kuna tembea wadudu upande wa kulia ,baada ya hapo kichwa changu kinauma cana ,shida ni Nini doctor nisaidie

    • @SamiraNifashasssc-vn9bx
      @SamiraNifashasssc-vn9bx ปีที่แล้ว

      Ilotatizo linasumbuwa kabisa atamimi niivio naisi kama wa dudu wanatembea

  • @magrethmichael2426
    @magrethmichael2426 ปีที่แล้ว

    Mnapatikana wapi

  • @innocentmugunda3369
    @innocentmugunda3369 4 ปีที่แล้ว

    Jana nimeamka kichwa kinauma sana upande wa kulia na iliambatana na maumivu upande huo huo tatizo n nn

  • @theclamassewe3629
    @theclamassewe3629 4 ปีที่แล้ว +1

    Dokta baba angu alipata stroke miaka minne nyuma, alitibiwa akawa anaendelea vizuri kabisa hadi akawa anaweza kutembea mwenyewe lkn saivi anasumbuliwa sana na kichwa mfululizo yaani akipoi kila akipimwa tatizo alionekani anapewa dawa za maumivu tuu lkn hazisaidii, tunashindwa kufika muhimbili sababu ya hali uchumi, kapimwa hadi site scanner lkn hamna kitu....

    • @mercyhealthcare5695
      @mercyhealthcare5695 3 ปีที่แล้ว

      Nikusaidie +255 625 780 510

    • @yusrat1141
      @yusrat1141 2 ปีที่แล้ว

      Yani me Sina lakuongea nateseka sana nakichwa DOCTAR tusaidie

  • @zuenasaimon2224
    @zuenasaimon2224 4 ปีที่แล้ว +1

    Docter mi kichwa kinaniuma upande wa nyuma, macho mpaka kifua kinaniuma naomba unisaidie

  • @emanuelmacha9827
    @emanuelmacha9827 4 ปีที่แล้ว +2

    Doctor ninatatizo lakuumwa kichwa upande mmoja wakushoto je kunatatizo gani au nitumie dawa gani

    • @najmagoa4727
      @najmagoa4727 4 ปีที่แล้ว

      Mambo broo alikupa no zake dokta

    • @najmagoa4727
      @najmagoa4727 4 ปีที่แล้ว

      Mambo broo alikupa no zake dokta

  • @rosyotieno7271
    @rosyotieno7271 3 ปีที่แล้ว

    Dr naomba namba

  • @najmagoa4727
    @najmagoa4727 4 ปีที่แล้ว +1

    Mm dokta niko na meno yauma wiki mbili sasa na kichwa nacho pia nakisikia kizito nimemeza dawa lakini wapi

  • @ndeshfosekaaya
    @ndeshfosekaaya ปีที่แล้ว

    Nifanyeje?nipone

  • @malkhamwinyi4246
    @malkhamwinyi4246 3 ปีที่แล้ว +1

    Doctor mi mjamzito miez mitatu ila naumwa sana kichwa vp apo

  • @hemedsabuni3869
    @hemedsabuni3869 5 ปีที่แล้ว +1

    Dr.naomba namba yako kichwa change kinasumbua

  • @safiam5285
    @safiam5285 3 ปีที่แล้ว

    Mziki haina haja inakera

  • @tabudominick9219
    @tabudominick9219 6 ปีที่แล้ว +4

    dokta mie sikio linauma saana

  • @kidotjames922
    @kidotjames922 7 ปีที่แล้ว +3

    Doctor mimi kichwa kina niuma sana Hali hii imetokea wakati napika chakula nikaanza kujiskia kizungu zangu mpaka sasa najiskia hivyo chini ya kitovu Pana kuwa kama panawaka moto

  • @thomasshija1135
    @thomasshija1135 3 ปีที่แล้ว

    gharama yenu ya vipimo

  • @z.nalnabhani7194
    @z.nalnabhani7194 4 ปีที่แล้ว

    Doctor husomi comment

  • @susanayiean4954
    @susanayiean4954 5 ปีที่แล้ว

    Dr t afadhali naomba number Yako niko na Shida ya kichwa

  • @ludoviclimo4153
    @ludoviclimo4153 3 ปีที่แล้ว

    Mimi nasikia nachomwa namisumari kichwani ninini?

    • @JuriethShaban
      @JuriethShaban หลายเดือนก่อน

      Dada umeshapono

  • @rabinzsinoya8160
    @rabinzsinoya8160 5 ปีที่แล้ว +1

    Doctor mimi ninamatatizo ya kichwa naomba tuwasiliane kwa number hii araka iwezekanavyo, 0788 03 79 79

  • @daatydagharo7700
    @daatydagharo7700 5 ปีที่แล้ว +2

    Jamn ninapata maumivu ya ndani ya kichwa tena kuna wakati kama nasikia maumivu haya yana move yaani kama vile mafuta yakimwagika yanavyotambaa kwenye sementi. Dr naomba nisaidie hii ni mini na tuba take ni nn?

  • @saidbonge3033
    @saidbonge3033 6 ปีที่แล้ว +1

    doctor naomba namba yako

    • @godfreyedgar4112
      @godfreyedgar4112 5 ปีที่แล้ว +1

      Dr . Nakuomba nipigie kwenye namba0785-440-125
      Nina shida

  • @anithatheobardy5693
    @anithatheobardy5693 6 ปีที่แล้ว

    Docta nicheki chenye no 0677968632 plz

  • @frankkibuga6514
    @frankkibuga6514 6 ปีที่แล้ว

    docta nichek 0686556909

  • @atarasilahyera1929
    @atarasilahyera1929 8 หลายเดือนก่อน

    Mimi kinauma kichwa upande mmoja ni Nini hicho