MEDICOUNTER: Una tatizo la USAHA MASIKIONI? Jibu hili hapa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 46

  • @RatiusRenatus-t4g
    @RatiusRenatus-t4g 3 หลายเดือนก่อน

    Asante doctor kwa maelekezo yako unaweza kunitajia dawa ambazo naweza kuzitumia katika matibabu ya sikio linalotoa usaha

  • @ShabaniPhilidaus
    @ShabaniPhilidaus 9 หลายเดือนก่อน +1

    😢😢 doctor mm sikio rangu halisiki vizur alafu linanuka kama panya aliye ova msaaad

  • @felisterelias3834
    @felisterelias3834 4 ปีที่แล้ว +2

    Iyseee mwanangu anatoa usaha unaotoa harufu kali mno hadi asie juwa atahis kitu kimekufa ndani

    • @ShabaniPhilidaus
      @ShabaniPhilidaus 9 หลายเดือนก่อน

      Ulitumia daw gani Jaman mm dada angu anatatizo hilo

  • @AnnahKamene-zm5lf
    @AnnahKamene-zm5lf 7 หลายเดือนก่อน

    Mmi saa hii nasubuliwa na sikio linatoa ushaa

  • @mozetanasio7554
    @mozetanasio7554 2 ปีที่แล้ว

    Mungu aturehemu

  • @RoseKamate-s5c
    @RoseKamate-s5c 7 หลายเดือนก่อน

    Mimi mwanangu mwaka wa3nimeangaika sindano bado linatoa usaha

  • @NasimiyuJosephine
    @NasimiyuJosephine 5 หลายเดือนก่อน

    Dkta mimi nina hilo tatizo tangu nikiwa mdogo

  • @arafaabubakari191
    @arafaabubakari191 5 ปีที่แล้ว +1

    Namba zasimu je

  • @agnethachongolo
    @agnethachongolo ปีที่แล้ว

    DWa shingapi? Nipo iringa napataje?

  • @MulokoziWillison-xi6jh
    @MulokoziWillison-xi6jh ปีที่แล้ว

    Jamani Sasa Mimi Nina Hilo tatizo tangu nikiwa mdogo msaada jamani dah 😭😭😭

    • @GetrudeCosta
      @GetrudeCosta 7 หลายเดือนก่อน

      Tupo wengi mm toka nikiwa mdogo mpaka leo hii

  • @markolikinjiyemollel
    @markolikinjiyemollel 2 ปีที่แล้ว

    Sasa mm naitaji dawa nita pataje

  • @johnchimwaga26
    @johnchimwaga26 ปีที่แล้ว

    Mmhh sikio langu linaniwa na kutoa majimaji, na ninahisi limetoboka. Nazipataje dawa?

  • @sahilsuleiman3591
    @sahilsuleiman3591 5 ปีที่แล้ว +3

    Dokta mm cna ngoma ya sikio unanisaidiajee

  • @flavianamulamula3949
    @flavianamulamula3949 2 ปีที่แล้ว

    Ninahitaji kujua kwa Dodoma huduma hizi zinapatikana Hosp gani na MTU ambaye ameacha kusikia anauwezekano was kusikia tens?

  • @sharifahamis1636
    @sharifahamis1636 3 ปีที่แล้ว

    Msaada jamani nilitoboa sikio kwaajil ya kuvaa heleni lakin nipotoboa pametokakuvimbe naomben msaad bib nifanye ili kuondoa huu uvimbe

  • @bitefuransis3756
    @bitefuransis3756 3 ปีที่แล้ว

    Habari dokta mimi limeuma siku mbili yatatu nikaanza kutoa maji ya mchuzi wa kunde lakini naumiv yapo yanatulia hadi nimeze dawa ya kutuliza maumivu

  • @ellahjonas4881
    @ellahjonas4881 4 ปีที่แล้ว

    Sikio langu naskia sauti kama kitu kinapumua ndani napata shida sana ila haliumi kabisaaaaa

    • @saudarashid3895
      @saudarashid3895 4 ปีที่แล้ว

      Shida uliyo nayo nikama yangu

    • @abduljuma2147
      @abduljuma2147 3 ปีที่แล้ว +1

      Msijali hizo ni infection tu mkipata dawa nzuri mwapona ss wengine tuligongwa mingumi ua sikio twaishi tu mungu atasaidia

  • @abduljuma2147
    @abduljuma2147 3 ปีที่แล้ว

    Facial paralysis huo ugonjwa unaitwa hivo mungu walai atunusuru

  • @fardahally8511
    @fardahally8511 4 ปีที่แล้ว

    Ni vifaa gani vinavyo tumika katika kusafisha skio?

    • @abduljuma2147
      @abduljuma2147 3 ปีที่แล้ว

      Swali lako raisi tembelea ENT hospital utashafishwa vizuri tu kazi ipo uko ndani Kama mm niligongwa ngumi sijui nianze wapi

    • @islamjamal7271
      @islamjamal7271 3 ปีที่แล้ว

      Pamba

  • @edinachami4318
    @edinachami4318 3 ปีที่แล้ว

    Dkta unapatikana wapi mwanangu anatatizo

  • @gwedembe1684
    @gwedembe1684 6 ปีที่แล้ว +1

    naombeni mzungumzie pia bawasiri(hemorrhoids)

  • @daudipaulomatanga6479
    @daudipaulomatanga6479 5 ปีที่แล้ว +1

    du yani umenipatia sana jinsi ulivoeleza yote mm najisikia wakati mwengine linauma sana huezi hata kutia mkono na ninatoka uchafu wiki nzima harafu ndoo unakata unakaa siku tena unaanza kutoka mpka mwezi

    • @geofreybundara2136
      @geofreybundara2136 5 ปีที่แล้ว

      sikio langu limeingia mdudu namsikia anavyotembea kwa ndani nifanyeje?

    • @divafetty713
      @divafetty713 4 ปีที่แล้ว

      Mimi tangu mdogo hadi leo masikio yanatoa usaha naninaumri mkubwa mno je nitapina kweli

  • @maryamfumu4710
    @maryamfumu4710 4 ปีที่แล้ว

    Mm sikiyo linanium ata sijuw nifanye nn

    • @abduljuma2147
      @abduljuma2147 3 ปีที่แล้ว

      Fanya exercise physical therapy sikio infection ua halina kazi ngumu sikio lenye kazi Ni la inner ear

    • @stellachimagai2048
      @stellachimagai2048 ปีที่แล้ว

      Mnapatikana wapi

  • @daudipaulomatanga6479
    @daudipaulomatanga6479 5 ปีที่แล้ว

    shingapi kutibiwa na mnapatikana wapi

    • @abduljuma2147
      @abduljuma2147 3 ปีที่แล้ว

      Pesa ndio changamoto tunabidi tusubiri miujiza ya muumbaji

  • @pascalmwesera6767
    @pascalmwesera6767 3 ปีที่แล้ว

    Tunataka mtaje dawa

  • @abduljuma2147
    @abduljuma2147 3 ปีที่แล้ว

    CT scan iko ghali ila itabidi uchange polepole afya muhimu

  • @bashirumohamed3704
    @bashirumohamed3704 3 ปีที่แล้ว

    Me naumwa sikio linatoka usaa toka kiwa mtoto

  • @saudarashid3895
    @saudarashid3895 4 ปีที่แล้ว

    Doctor mm nilishikwa na homa kali mpaka masikio yakaziba yakawa yanatoka maji nlitibiwa homa likapoa na maskio yakaacha kutoa maji.lkini kwa sasa sikio langu moja naliskia ni kama kuna kitu chapumua .

    • @joycelambwe9016
      @joycelambwe9016 3 ปีที่แล้ว

      Dr.kila nikipiga simu ambayo wameionyesha hapo wanasema walikosea kuweka hapo naomba nisaidie namba sahihi ili niweze kuongea nawe

  • @peterdamiano5854
    @peterdamiano5854 3 ปีที่แล้ว

    Mm ninaye vipimo vinagarimu bei gani