du yani umenipatia sana jinsi ulivoeleza yote mm najisikia wakati mwengine linauma sana huezi hata kutia mkono na ninatoka uchafu wiki nzima harafu ndoo unakata unakaa siku tena unaanza kutoka mpka mwezi
Doctor mm nilishikwa na homa kali mpaka masikio yakaziba yakawa yanatoka maji nlitibiwa homa likapoa na maskio yakaacha kutoa maji.lkini kwa sasa sikio langu moja naliskia ni kama kuna kitu chapumua .
Asante doctor kwa maelekezo yako unaweza kunitajia dawa ambazo naweza kuzitumia katika matibabu ya sikio linalotoa usaha
😢😢 doctor mm sikio rangu halisiki vizur alafu linanuka kama panya aliye ova msaaad
Iyseee mwanangu anatoa usaha unaotoa harufu kali mno hadi asie juwa atahis kitu kimekufa ndani
Ulitumia daw gani Jaman mm dada angu anatatizo hilo
Mmi saa hii nasubuliwa na sikio linatoa ushaa
Mungu aturehemu
Mimi mwanangu mwaka wa3nimeangaika sindano bado linatoa usaha
Dkta mimi nina hilo tatizo tangu nikiwa mdogo
Namba zasimu je
DWa shingapi? Nipo iringa napataje?
Jamani Sasa Mimi Nina Hilo tatizo tangu nikiwa mdogo msaada jamani dah 😭😭😭
Tupo wengi mm toka nikiwa mdogo mpaka leo hii
Sasa mm naitaji dawa nita pataje
Mmhh sikio langu linaniwa na kutoa majimaji, na ninahisi limetoboka. Nazipataje dawa?
Dokta mm cna ngoma ya sikio unanisaidiajee
Lakini unaskia pengine
Duuh
Ninahitaji kujua kwa Dodoma huduma hizi zinapatikana Hosp gani na MTU ambaye ameacha kusikia anauwezekano was kusikia tens?
Msaada jamani nilitoboa sikio kwaajil ya kuvaa heleni lakin nipotoboa pametokakuvimbe naomben msaad bib nifanye ili kuondoa huu uvimbe
Habari dokta mimi limeuma siku mbili yatatu nikaanza kutoa maji ya mchuzi wa kunde lakini naumiv yapo yanatulia hadi nimeze dawa ya kutuliza maumivu
Sikio langu naskia sauti kama kitu kinapumua ndani napata shida sana ila haliumi kabisaaaaa
Shida uliyo nayo nikama yangu
Msijali hizo ni infection tu mkipata dawa nzuri mwapona ss wengine tuligongwa mingumi ua sikio twaishi tu mungu atasaidia
Facial paralysis huo ugonjwa unaitwa hivo mungu walai atunusuru
Ni vifaa gani vinavyo tumika katika kusafisha skio?
Swali lako raisi tembelea ENT hospital utashafishwa vizuri tu kazi ipo uko ndani Kama mm niligongwa ngumi sijui nianze wapi
Pamba
Dkta unapatikana wapi mwanangu anatatizo
naombeni mzungumzie pia bawasiri(hemorrhoids)
du yani umenipatia sana jinsi ulivoeleza yote mm najisikia wakati mwengine linauma sana huezi hata kutia mkono na ninatoka uchafu wiki nzima harafu ndoo unakata unakaa siku tena unaanza kutoka mpka mwezi
sikio langu limeingia mdudu namsikia anavyotembea kwa ndani nifanyeje?
Mimi tangu mdogo hadi leo masikio yanatoa usaha naninaumri mkubwa mno je nitapina kweli
Mm sikiyo linanium ata sijuw nifanye nn
Fanya exercise physical therapy sikio infection ua halina kazi ngumu sikio lenye kazi Ni la inner ear
Mnapatikana wapi
shingapi kutibiwa na mnapatikana wapi
Pesa ndio changamoto tunabidi tusubiri miujiza ya muumbaji
Tunataka mtaje dawa
CT scan iko ghali ila itabidi uchange polepole afya muhimu
Me naumwa sikio linatoka usaa toka kiwa mtoto
Mi pia nna tatiz ilo ad nimekat tamaa
Me mwenyewe Nina Hilo tatizo yaan
Doctor mm nilishikwa na homa kali mpaka masikio yakaziba yakawa yanatoka maji nlitibiwa homa likapoa na maskio yakaacha kutoa maji.lkini kwa sasa sikio langu moja naliskia ni kama kuna kitu chapumua .
Dr.kila nikipiga simu ambayo wameionyesha hapo wanasema walikosea kuweka hapo naomba nisaidie namba sahihi ili niweze kuongea nawe
Mm ninaye vipimo vinagarimu bei gani