@@happynessmbojoka8505 m niko saudia nimekula dawa nime sugua dawa lakini nimeuliza nikaambiwa ni kawaida ya mtu alie na kisukari lazi awe na maumivu ya sio isha
Wote mjue kwamba hawa madktri wanapatikna muhimbili awa azam wanafata tu kutngneza kipindi chao kwaiyo km unawataka uende muhimbili sio kutoa shida zako kweny komenti....
Mimi ninatatizo la mgongo kiuno pia hadi mbavu inapelekea ila nnamda hata myaka 5 na nilipima mwaka jana vipimo pamoja na axrey lakini hawakuona tatizo
Doctor mi nimejifungua mwez 8 nilikanda maj ya moto mgongo ulikuwa unauma had kufunga tumbo nikwa nashindwa now bado unauma tuu now unawaka moto kabisa nifanyeje
Doctor Ruta ,yupo vzr sn,
Dr.habari ya kazi ahsante kwa ushauri mimi nasumbimbuliwa na mgongo ni muda sasa natumia dawa lakini bado naomba ushauli
Asante doctor
Maashaallaah asante dokta
Ahsante sana and bless you dr..
Naumwa sana mgongo chini ya shingo nimeenda hospital nimepigwa x,ray nimeambia misuri imekaza nimepewa dawa nimetumia lkn bado, naomba munisahidie nifanye nini nimeanza mazoezi sasaivi
Asante sana kaka kwaushauri
Thx
Naomba namba ya doctor
dokta mm naumws na kiuno sana upande wa nyuma hapo chini niko na mwaka sasa sijui nikazi nyingi ama vp
Aisha Jamal VIP Aisha umepata matibabu
@@happynessmbojoka8505 m niko saudia nimekula dawa nime sugua dawa lakini nimeuliza nikaambiwa ni kawaida ya mtu alie na kisukari lazi awe na maumivu ya sio isha
Docter maumivu yamgongo yananifanya nivimbe miguu
mimi ninatatizo hilo lakin nimetumia dawa hizi,free joint,neuroton,tizigesic tizanidine hata sijapona
Dawa ya mgongo plz doctovr
Wote mjue kwamba hawa madktri wanapatikna muhimbili awa azam wanafata tu kutngneza kipindi chao kwaiyo km unawataka uende muhimbili sio kutoa shida zako kweny komenti....
Ahsante
Is true kabisa
Dokta asante kwa somo
Katuni zaclara
Mimi ninatatizo la mgongo kiuno pia hadi mbavu inapelekea ila nnamda hata myaka 5 na nilipima mwaka jana vipimo pamoja na axrey lakini hawakuona tatizo
Mziki wa nini na nyie..afu uko very high voice
Naomba namba zenu za simu
Shinda yangu n ya kwamba naskia tumbo chini ya kitovu ikiwa n uchungu ,pia mgongo ikona u chungu na midomo inakauka ,,,,shinda n nn
Nataka jibu daktari
Asante kwa somo bt mm naumwa mgongo kiuno na pia paja la kushoto Hua linauma ndani kwa mfupa
Duh Kumbe Tuko Weng
Asnte kwa somo dktr
Hata mimi mpaka kichwa chaniuma kila siku
Mgongo unaniuma saana
@@filleliliane2090 yn mm unaniuma mpaka kichwa kinaniuma
Mbona me kiuno kinauma baada ya damu kukata
Doctor mi nimejifungua mwez 8 nilikanda maj ya moto mgongo ulikuwa unauma had kufunga tumbo nikwa nashindwa now bado unauma tuu now unawaka moto kabisa nifanyeje
Kama mimi
Mimi kabisa
Mm ni mjamzito lkn mgongo waniuma sanaa
Tena kwa vidole vya mikono nasikia ganzi
Please naomba nambar yako ya WhatsApp 🙏
Nipe namba ya sm nataka tuongee
Nitafute whatssap +255628317970 nitakusaidie
Mm niumwa na mugongo na migu kuwaka moto shida ni nn please help me
Nasikia maumivu kwa kiuno ninapokaa au kutembea, shida ni nini?
Naomba dawa ya maumivu ya mgongo
Dawa ya maumivu ya mgongo
Nina mimba n ninaxhinda y mngogo
mm nikikaa kwa kiti nusu ya mgongo kurudi mpka kwnye kiuno huanza kuwaka moto tatzo n nn
Mi mgongo mbaka kiunoni maumivu makali tazizo nn
Mimi kazizangu ni ngumu lakin nikiinama tu kidogo kiuno kinaniuma sasa
@@kareemyassin9322 duuuuu upo Kama mimi daaaaa
Namba ndo muhim
dokta mgongo wangu unawaka moto.iyo ni dalili ya nn
Nitafute whatssap +255628317970 nitakusaidie
@@edendehazard5416 nasumbuliwa san na uti wa mgongo
Mi naumwa sana kiuno naomba namba yako
doctor je vidonda vyatumbo vinachangia kumwakwamgongo
Nitafute whatssap +255628317970 nitakusaidie
Ahsante
Piga simu nikusaidie
Mi.inimugongo wacini