Ahsante sana and bless you dr..
Dr.habari ya kazi ahsante kwa ushauri mimi nasumbimbuliwa na mgongo ni muda sasa natumia dawa lakini bado naomba ushauli
Maashaallaah asante dokta
mimi ninatatizo hilo lakin nimetumia dawa hizi,free joint,neuroton,tizigesic tizanidine hata sijapona
Asante doctor
Asante sana kaka kwaushauri
Naomba namba ya doctor
Thx
Wote mjue kwamba hawa madktri wanapatikna muhimbili awa azam wanafata tu kutngneza kipindi chao kwaiyo km unawataka uende muhimbili sio kutoa shida zako kweny komenti....
Docter maumivu yamgongo yananifanya nivimbe miguu
dokta mm naumws na kiuno sana upande wa nyuma hapo chini niko na mwaka sasa sijui nikazi nyingi ama vp
@@happynessmbojoka8505 m niko saudia nimekula dawa nime sugua dawa lakini nimeuliza nikaambiwa ni kawaida ya mtu alie na kisukari lazi awe na maumivu ya sio isha
Mimi ninatatizo la mgongo kiuno pia hadi mbavu inapelekea ila nnamda hata myaka 5 na nilipima mwaka jana vipimo pamoja na axrey lakini hawakuona tatizo
Mm niumwa na mugongo na migu kuwaka moto shida ni nn please help me
Nasikia maumivu kwa kiuno ninapokaa au kutembea, shida ni nini?
Dawa ya mgongo plz doctovr
Naomba namba zenu za simu
Mziki wa nini na nyie..afu uko very high voice
Doctor mi nimejifungua mwez 8 nilikanda maj ya moto mgongo ulikuwa unauma had kufunga tumbo nikwa nashindwa now bado unauma tuu now unawaka moto kabisa nifanyeje
Tena kwa vidole vya mikono nasikia ganzi
Mbona me kiuno kinauma baada ya damu kukata
Dawa ya maumivu ya mgongo
Mm ni mjamzito lkn mgongo waniuma sanaa
Please naomba nambar yako ya WhatsApp 🙏
Naomba dawa ya maumivu ya mgongo
Shinda yangu n ya kwamba naskia tumbo chini ya kitovu ikiwa n uchungu ,pia mgongo ikona u chungu na midomo inakauka ,,,,shinda n nn
Nina mimba n ninaxhinda y mngogo
mm nikikaa kwa kiti nusu ya mgongo kurudi mpka kwnye kiuno huanza kuwaka moto tatzo n nn
Mimi kazizangu ni ngumu lakin nikiinama tu kidogo kiuno kinaniuma sasa
Asante kwa somo bt mm naumwa mgongo kiuno na pia paja la kushoto Hua linauma ndani kwa mfupa
Naumwa sana mgongo chini ya shingo nimeenda hospital nimepigwa x,ray nimeambia misuri imekaza nimepewa dawa nimetumia lkn bado, naomba munisahidie nifanye nini nimeanza mazoezi sasaivi