ความคิดเห็น •

  • @mwajumampwemwende3481
    @mwajumampwemwende3481 2 ปีที่แล้ว +4

    Naumwa sana mgongo chini ya shingo nimeenda hospital nimepigwa x,ray nimeambia misuri imekaza nimepewa dawa nimetumia lkn bado, naomba munisahidie nifanye nini nimeanza mazoezi sasaivi

  • @zahramunir8596
    @zahramunir8596 4 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante sana and bless you dr..

  • @user-dg6js1px4l
    @user-dg6js1px4l 5 หลายเดือนก่อน

    Dr.habari ya kazi ahsante kwa ushauri mimi nasumbimbuliwa na mgongo ni muda sasa natumia dawa lakini bado naomba ushauli

  • @haseanatnsanya2079
    @haseanatnsanya2079 3 ปีที่แล้ว +2

    Maashaallaah asante dokta

  • @shelakatigomlemya6008
    @shelakatigomlemya6008 2 ปีที่แล้ว +1

    mimi ninatatizo hilo lakin nimetumia dawa hizi,free joint,neuroton,tizigesic tizanidine hata sijapona

  • @mariamsajiloo3080
    @mariamsajiloo3080 2 ปีที่แล้ว

    Asante doctor

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana kaka kwaushauri

  • @susanateonasfrancisco3882
    @susanateonasfrancisco3882 2 ปีที่แล้ว +2

    Naomba namba ya doctor

  • @saddamrashidmohmmedsaddamr7378
    @saddamrashidmohmmedsaddamr7378 2 ปีที่แล้ว

    Thx

  • @mohamednahid2772
    @mohamednahid2772 4 ปีที่แล้ว +7

    Wote mjue kwamba hawa madktri wanapatikna muhimbili awa azam wanafata tu kutngneza kipindi chao kwaiyo km unawataka uende muhimbili sio kutoa shida zako kweny komenti....

  • @shelakatigomlemya6008
    @shelakatigomlemya6008 2 ปีที่แล้ว +1

    Docter maumivu yamgongo yananifanya nivimbe miguu

  • @brigitamash2007
    @brigitamash2007 5 ปีที่แล้ว +4

    dokta mm naumws na kiuno sana upande wa nyuma hapo chini niko na mwaka sasa sijui nikazi nyingi ama vp

    • @happynessmbojoka8505
      @happynessmbojoka8505 5 ปีที่แล้ว

      Aisha Jamal VIP Aisha umepata matibabu

    • @brigitamash2007
      @brigitamash2007 5 ปีที่แล้ว

      @@happynessmbojoka8505 m niko saudia nimekula dawa nime sugua dawa lakini nimeuliza nikaambiwa ni kawaida ya mtu alie na kisukari lazi awe na maumivu ya sio isha

  • @michaeljanuary3736
    @michaeljanuary3736 ปีที่แล้ว

    Mimi ninatatizo la mgongo kiuno pia hadi mbavu inapelekea ila nnamda hata myaka 5 na nilipima mwaka jana vipimo pamoja na axrey lakini hawakuona tatizo

  • @juliaapondi7813
    @juliaapondi7813 2 ปีที่แล้ว +1

    Mm niumwa na mugongo na migu kuwaka moto shida ni nn please help me

  • @juliusmakori58
    @juliusmakori58 2 ปีที่แล้ว

    Nasikia maumivu kwa kiuno ninapokaa au kutembea, shida ni nini?

  • @user-xd3ou1ml5f
    @user-xd3ou1ml5f 10 หลายเดือนก่อน

    Dawa ya mgongo plz doctovr

  • @mdogojalasi4356
    @mdogojalasi4356 2 ปีที่แล้ว

    Naomba namba zenu za simu

  • @hellengunda5666
    @hellengunda5666 ปีที่แล้ว

    Mziki wa nini na nyie..afu uko very high voice

  • @vestinadominick8374
    @vestinadominick8374 3 ปีที่แล้ว +1

    Doctor mi nimejifungua mwez 8 nilikanda maj ya moto mgongo ulikuwa unauma had kufunga tumbo nikwa nashindwa now bado unauma tuu now unawaka moto kabisa nifanyeje

  • @moshirashid8272
    @moshirashid8272 5 ปีที่แล้ว +2

    Dokta asante kwa somo

  • @juliusmakori58
    @juliusmakori58 2 ปีที่แล้ว

    Tena kwa vidole vya mikono nasikia ganzi

  • @obedseleman3909
    @obedseleman3909 4 ปีที่แล้ว +1

    Nipe namba ya sm nataka tuongee

    • @edendehazard5416
      @edendehazard5416 3 ปีที่แล้ว

      Nitafute whatssap +255628317970 nitakusaidie

  • @harrierhmabala1876
    @harrierhmabala1876 ปีที่แล้ว

    Mbona me kiuno kinauma baada ya damu kukata

  • @cliffshoo9294
    @cliffshoo9294 ปีที่แล้ว

    Dawa ya maumivu ya mgongo

  • @lorenjames9870
    @lorenjames9870 6 ปีที่แล้ว +4

    Mm ni mjamzito lkn mgongo waniuma sanaa

  • @juliaapondi7813
    @juliaapondi7813 2 ปีที่แล้ว +2

    Please naomba nambar yako ya WhatsApp 🙏

  • @cliffshoo9294
    @cliffshoo9294 ปีที่แล้ว

    Naomba dawa ya maumivu ya mgongo

  • @christinekatungwa4823
    @christinekatungwa4823 ปีที่แล้ว

    Shinda yangu n ya kwamba naskia tumbo chini ya kitovu ikiwa n uchungu ,pia mgongo ikona u chungu na midomo inakauka ,,,,shinda n nn

  • @husnabbygal5213
    @husnabbygal5213 5 ปีที่แล้ว +1

    dokta mgongo wangu unawaka moto.iyo ni dalili ya nn

    • @edendehazard5416
      @edendehazard5416 3 ปีที่แล้ว

      Nitafute whatssap +255628317970 nitakusaidie

    • @adnaanomar2379
      @adnaanomar2379 2 ปีที่แล้ว

      @@edendehazard5416 nasumbuliwa san na uti wa mgongo

  • @agnesmaitha5895
    @agnesmaitha5895 3 ปีที่แล้ว +1

    Nina mimba n ninaxhinda y mngogo

  • @subregmsa4537
    @subregmsa4537 6 ปีที่แล้ว +2

    mm nikikaa kwa kiti nusu ya mgongo kurudi mpka kwnye kiuno huanza kuwaka moto tatzo n nn

    • @kareemyassin9322
      @kareemyassin9322 6 ปีที่แล้ว

      Mi mgongo mbaka kiunoni maumivu makali tazizo nn

    • @malilagoodruck5021
      @malilagoodruck5021 5 ปีที่แล้ว

      Mimi kazizangu ni ngumu lakin nikiinama tu kidogo kiuno kinaniuma sasa

    • @adammsigwa8450
      @adammsigwa8450 5 ปีที่แล้ว +1

      @@kareemyassin9322 duuuuu upo Kama mimi daaaaa

    • @josephpaulo5642
      @josephpaulo5642 5 ปีที่แล้ว

      Namba ndo muhim

  • @ummhaneen1928
    @ummhaneen1928 5 ปีที่แล้ว +4

    Asante kwa somo bt mm naumwa mgongo kiuno na pia paja la kushoto Hua linauma ndani kwa mfupa

    • @OmanOman-hr6cb
      @OmanOman-hr6cb 4 ปีที่แล้ว

      Duh Kumbe Tuko Weng

    • @amocadam5262
      @amocadam5262 4 ปีที่แล้ว +1

      Asnte kwa somo dktr

    • @neemaeppah2992
      @neemaeppah2992 4 ปีที่แล้ว +1

      Hata mimi mpaka kichwa chaniuma kila siku

    • @filleliliane2090
      @filleliliane2090 3 ปีที่แล้ว +1

      Mgongo unaniuma saana

    • @fainessjeremiah4491
      @fainessjeremiah4491 3 ปีที่แล้ว +1

      @@filleliliane2090 yn mm unaniuma mpaka kichwa kinaniuma

  • @felistabedi3511
    @felistabedi3511 5 ปีที่แล้ว +2

    Mi naumwa sana kiuno naomba namba yako