Fahamu matibabu ya ugonjwa wa 'nyama za pua': (MEDI COUNTER - AZAM TV)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 13 ต.ค. 2024
- Katika kipindi hiki, ukwanza utaifahamu kwa kina pua ya binadamu ikoje, imeundwaje na ina nini. Utafahamu chanzo, dalili na matibabu ya tatizo la ugonjwa wa nyama za pua.
Ni kipindi cha Medi Counter kinachoruka kupitia Azam TWO kila Jumatatu saa 1 usiku.
Hapa utakutana na Dkt. Emmanuel Ole Lengine ambaye ni daktari bingwa magonjwa ya masikio, na pua
Doctor habari Mimi mwanangu anasumbuliwa na Hilo tatizo/ushauri..naomba kuweza kupata Tiba yake,umri wake Ni miaka 5
asante dokter mwanangu anahilo tatizo pua moja anamiaka3 je hiyo dawa ya supamaket itamsaidia
Doctor maelezo mengi sana tena ya kitaalam zaid toa ushauri au dawa maana unakula MB ambazo ni gharama pengine hata msaada usiwepo
Tatizo uyo doctor maneno mengi sana
Hospitali ekenywa magomeni muembe chai
mimi ninae kaka yangu anatatizo pua yake haipati harufu yoyote hapati harufu ya chakula wa harufu ya kinyesi
Docta naomba namba yako
Nitumie namba zako na mwanangu anatatizo kazaliwa nalo pua zake zimeziba ana pumulia mdomoni
kwan doctor anaweza kwenda kununuwa dawa au MTU lazima ande sipitali?
Kipnd kizur
Naomba mtutaftie dr ataezungunzia pia mafundofindo la watoto na athar zake na tiba zake
Namba zenu
Dr mimi nimuanga wa hilo tatizo
Naomba namba zako doctar mjukuu wangu anateseka natatizo hilo
Nahitaji no za doctor
Hllw ninaomba namba za doctor ninasumbuliwa sana nahizo nyama jmn
Naombeni namba ya Doctor me muhanga wa hili tatizo
Jamani Mimi ndio natesek nahuo ugonjwa Mimi mpaka nahisi akili yangu inamafua natakakua mwehu mmh
Vp na unabanwa na mafua?
Naombeni namba za doct
Naomba namba nataka kuja ufanya matibabu ya pua
Naomba namba yako doctor hapa nilipo naumwa hata pumzi cna
Jamani dokta namba zasim tafhali mimi ninavijinyama pia kichwa kinaniuma sana mafua yananibana sana
Tunaomba.namba
Unapatikana wapi.dogt
Dr hospital ipo wapi
Garama za kutoa nyama puani
Jamani matibabu shingap mi nateseka sana
Naomba kujua gharama za matibabu ya nyama za pua
Doctor anapatikana wap Nina hilo tatzo
Uk wp
Ningeomba namba zenu kwa maelezo zaidi
Habar doctor mimi mtoto wangu Akilala usiku Anakoroma sasa cjui tatizo nini 8:37
Yan mm ndo ktu chanitesa kuhus mtt wang
Ninyama za pua ata wangu ivo akapimwa akakutwa nazo
Naomba namba yako doctor
Jaman mm mwanangu anamiez nane,afu pua moja inahizo nyama zapua ntafanyaje
Duh mpeleke hospital ..pole sana. Watakuambia tu wamtoe maan bado mdg mno
Mm pia doctor Nina shida hiyo sihisi harufu yoyote na nitatozo la mda mrfeu naweza kupona na pia chanzo ni sikio Hadi Leo sija pona
Mmmmh
Hospital ipo wapi na inaitwaje
Jamani hawa watu hawasemi hospitali wala hawatoi namba ukiwapata nijulishe
Je tatizo hili linaweza kurudi tena hata baada ya mgonjwa kufanyiwa oparesheni mara mbili?
tunaomba jina la hospital na mawasiliano na daktari
Mashallah hi spitali na madokta wake huduma zao nzuri sana sema ni bei lakini ndio matibabu .
😢bei gani?.@@suleimanmuhammed1347
Naomba namba Mimi ni mhanga
mi si daktari kwa taaluma ila hili tatizo ninadawa yake, tuwasiliane naweza kukusaidia ila iwe ushapata vipimo ikabainika tatizo ni hilo
Ndio
Ulifanikiwa
@@Vincentmbuya naomba hiyo dawa ya sinners Vicent mimi na watoto wangu wote tuna hii kitu.
@@Vincentmbuya naiomba no yako
Iyo hospital ipo wap kiukwel ilo tatizo linanisumbua
Malan Gunda me pia nina hilo tatizo nashindwa kupumua vzuri
Ipo magomeni
@@fakijuma7735 hospital gan!?
Mwanangu ana mwezi na nusu ngoja nimshughulikie
Ekenywa Hospital iko wapi
Ipo magomeni
Dar magomeni
Dokta tunaomba namba
Magomeni muembe chai
Nitumie.namba
Doctor dawa ni kama zipi
Naomba namba ya doctor nina mwanangu anaugonjwa huo
naomba mawasiliano nipate tiba
Nenda wapo magomeni
@@kentjosse786 dawa za asili zipo na tatizo halijirudi ka upasuaji, karibu. note mi si daktari kwa taaluma ila dawa zipo, karibu
@@Vincentmbuya nipe namba yako please
Naomba namba zenu
Doctor naomba msaada wa dawa nitumie nn nina nyama za pua zinanisumbua mpaka masikio yanaziba
Tumia mlonge utaniambia baada ya mwez ukienda kupima hamna kitu
Shamim Mchome unatumiaje huo mlonge? Msaada tafadhali
@@shamimmchome9245 unatumia vipi
Shamim Mchome jamani natumiaje mlonge mpenz
naomba naomba yako doctor
Hospitali unapatikana wap jibuni
Malan Gunda magomeni kwa shekh yahya ukifika hapo uliza utaelekezwa
Malan Gunda magomeni
Ok
Namba zunu mmesahau kututajia