Sasa hapo kwenye kutengeneza jeshi makomamdoo hapana tunaenda kwingine huko nikuombe usiongee hiyo kama niwalinzi waajili lakini usiseme hicho ulichosema. Alafu musimuongee magufuli hivyo ukisema mwenda zake huku linatafasiliwa tusi
Mwendazake sio tusi jamani Acha kumshambulia mbowe mwendazake ni marehumu ILO neno linatumiwa na WA Kenya Ivo Kwa Tz tumezoea kuitwa Hayati au marehemu
Mhe mbowe kua na walinzi wastani tu nchi inapokua na uongozi bora wa kutosumbuliwa wewe na Jenga Imani na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama Kwa wakati huu wa demokrasia makini Toka Kwa mama kama unavyomuamini mama .tunakupenda waaelimishe viongozi wengine siasa za ustaarabu Kwa nyakati mambo yalivyobadilika ahsante
Haya mama samia waajiri wote waliongia jeshini jkt mbowe atawabeba wote mkiwaacha jibu ndilo hilo analitoa hadharani vita hiyo viongozi wa dini waliomuombea kwako amekwisha wageuka
Hiii ni atari kwa usalama wa nchi hatuwezi kwenda ivi yaani siungi mkono kabisaa hili swala.serikali iliangalie hili swala kwa mapana na kwa mstakabali wa nchi 🙌🙌🙌🙌🙆🙆🙆🙆😀
@@margarethpolepole7438 alipo niacha hoi pale anasema hawa makomando nawatumia maana serikali inawafundisha matumizi ya siraha harafu wana wa fukuza KAZINI sasa sisi tutawatumia. Kwanini nasema ni atari kwanza mtu alikua mtumishi harafu afukuzwe kazi unadhani atakua na mapenzi na serikali yake apo?!
Mwenda zake ni neno linatumika zaidi Kenya likimaanisha marehemu japo halitukiwi kwa watu wenye nyadhifa katika jamii hata Kenya hiwezi ukalitumia kama mbadala wa Hayati. Hapa kwetu Mtu wa hadhi ya JPM linatumika Hayati ndo maana huwezi hata tumia neno Marehemu mfano kwa Nyerere etc. Hivyo heshima tuliyohiwekea ikabaki kuheshimiwa na kulinda matendo ma ya viongozi wetu.
Inategemea huyo mwenda zake aliishi vipi nawatu binadamu uwezi kuwaonawezako hawasitahili kuishi wakati wamezaliwa kama wewe anasitahili kuitwa mwenda zake
Kesha anza , huyu kwanini ametoka, mmeona , jeshi ni moja la tanzania nzima, kwanini awe na majeshi yake,, kama ni mabodigar sawa, lakini majeshi, jamani kuweni makini majeshi ya kujitemea ndo yanaleta fujo inch za jirani , tuyakuja kulia, mkiwachia wafanye wanavyotaka
mbowe baba wa democracia tz hata mama wa taifa mama maria nyerere anamjua mbowe ni baba wademocracia kama rais mstaafu wa congo joseph kabila kabange arie tengeneza katiba ya marithiano DRC na kukubali kun'gatuka nakura maisha kwa heshima mpaka afe bira maneno tatizo huku tz mama wa kambo kanogewa na utawala na kuiba mali kam jk wa angushamizoga kila miaka ajui ipo zamu yake yaja nae atakua mzoga tuu amina
siasa si maneno ya ovyo juu ya washindani wako bali sera za maana zenye maono ya kumaanisha kuijenga nchi na maendeleo ya wananchi... eee Mwenyezi Mungu Tukumbuke WaTz
BEBA KAMUSI YA KISWAHILI HALAFU SOMA MAANA YA NENO SIASA.SIASA NI MFUMO WA JAMII WA KIUCHUMI AU KIUTAMADUNI.PIA SIASA NI MAAMUZI YA BUSARA ILI KUFIKIA JAMBO FULANI .Siasa sio MANENO YA HOVYO JUU YA WASHINDANI WAKO.
Kwawale wasioelewa wametuma message mfano wa wapizani wenyewe...nikwamba Ako sahihi kutengeneza ulizi wake na pia wa viongozi wengine kutokana Wanao tekwa na kuwawa ni viongozi wa chadema na sio wa CCM... Nalengo sio kukabiliana na Dola...nikujilinda zidi ya watekaji..?
Muheshimiwa Mbowe najuwa kabisa wewe ni msomi na unao uwezo mzuri wa kuongoza ila kitu 1 nakiona kwako kwa sasa hutumii muda vizuri. Wananchi kwa kweli walio wengi wana mzigo mzito wa maisha mgongoni - mfumuko wa bei - tozo - kodi sumbufu - rushwa - mauwaji holela - ugumu wa kujitibia Ila kamanda sisi wanachama wako tunakusikiliza mwanzo hadi mwisho ila hamna sera hata moja ni kulalamika tu. Nadhani huyu muda ulikua mtaji mzuri wakuanza kunadi sera zako hayo ya makomando ni yako binafsi. Juzi ulikua hai ukasifiya police Leo tena umekuja na la makomando. Kitu hamjuwi wa tz walio wengi kwa sasa wako njia panda hawana la kufanya hamna mtu anafurahia Tozo ila 😷😷😷
Mbunge wako kazi yake nini? Kwanini humwambii mwakilishi wako halali badala yake unasumbuka na mtu asiyemwakilishi wako? Mkuu nenda hata kwa polisi, mkuu wa wilaya mkoa, watakusaidia mapema zaidi
Mbowe umenikera Sana, uliiposema mwendazake! Marehemu lazima astiriwe pls, kuanzia Leo sio shabiki yako Tena. Cz nilikua nakuona mtu wa maana sana, Ila kwa kauli yako hiii yaani ni bure kabisa wew
Kuna siku nilisema serikali ya ccm imekwenda kumnoa mbowe c kumkomesha wala kumdharirisha na kibaya zaidi tz ya leo c ile ya 84 watu wameelimika wanajuwa ukweli,
Akikamatwa kihalali na maafisa wa polisi wanaojitambulisha hakuna shida na kwa njia hiyo hawawezi kumuua wala kumdhuru maana wanakuwa washajulikana, makomandoo wanamsaidia kudeal na wasiojulikana na wale wanakamata watu kisirisiri ili wawadhuru bila kujulikana.. Hapo sasa ndo watakutana na makomandoo
Yaan mamae zako we unadhani Mungu akiamua kuna mlinzi hapo? Wananchi mkitaka kujua huyu mjinga anatafuta vita ndyo muone hicho anachokisema serikali kaeni mkao wa kula c amesema yy mwenyewe? Sasa nadhani umefika wakati wa kuwachunguza vizuri watu kama mbowe. Et komandoo Mungu akiamua unatembea ww hamna komandoo hapo ni mbwembwe tu.
Tukumbuke kuwa hakuna mtu hata kuwa mwenda zake Kila mtu ataitwa kwa muda wake wew fulai sana kuita mwenda zake kesho mim keshokutw ww mungu mpunzishe ralam rais magufuli
Sasa una lengo gani mpaka unakusanya makomandoo? Unajua mkubwa hua hatishiwi nyau? Kutafuta makomandoo wasio na zana za kikomando nisawa na mbwa asie na meno sawaaa?
Huyu jamaa hana akili aliposema neno mwenda zake t ndipo nimeamin hana hata sifa ya kuwa kiongozi ni mhuni t ambae serikali inamvumilia kwa kuogopa makelele ya watu ila ingemwacha asote t uko na huyu mama asipokua makin hawa wahuni watatufikisha pabaya. Mtu hata hajifunzi ety mwenyekt wa chama hata marehem unashindwa kmstr
Alafu hao makomandoo wanakazi gani.? Kama wanakuwepo na yeye anakamatwa hakuna haja yabkuwa na hao walinzi hawafai. Nenda kamkamate mkuu waheshi na walinzi wake wapo uone😉. Siasa hizi mbovu sana
😂😂😂 apo nimekupongeza sana kwa ilo , maana ni kwel serikali unachukuwa vijana wakujitolea kwenda jeshini wanapewa mafunzo afu haiwaajili badala yake inawatelekeza mtaa,, apo ukiwachuwa mbowe utakuwa umelamba madume..kwel kwel .😂
Anamaluweluwe ya magereza bado hajamtoka sawasawa maana hata nachokiongea hakieleweki sijui amekuwaje yan point zake ni kama za visas shauli yake atarudishwa
ni jambo la kawaida hilo mbona wanajeshi kibao hata nje wakimaliza majukumu majeshin huja mitaani kuanzisha huduma hizi za VIP Protection kwa wenzetu ulaya ni mambo ya kawaida tu
Mbowe hafai kuwa kiongozi hata wa Kijiji hajielewi..sawa na mnywaji wa bangi tu..hajielewi hata kidogo..juzii tu katoka korokoroni kwa huruma na kaongea mbele ya rais tufanye siasa za kistaarabu leo anaongeza utumbo..huyu jamaa keshafilisika kisiasa.
Tuko wote kwa mahandamano mr mwenyekit nikiwa pande za karagwe mkoa wa kagera
Sawa kbs safi sana jibu zuri sana kuna swali lingine?
Km sijaelewavle hayomatamshi yanamaanagani au yanafaidagani kwa wtz nataifakwaujumla?
Mhoji mwandishi aliyeuliza hilo swali
Sasa hapo kwenye kutengeneza jeshi makomamdoo hapana tunaenda kwingine huko nikuombe usiongee hiyo kama niwalinzi waajili lakini usiseme hicho ulichosema. Alafu musimuongee magufuli hivyo ukisema mwenda zake huku linatafasiliwa tusi
Ulizi nimuhimu
Hapo pa Makomandoo!! Yawezekana ndo tatizo lako kubwa!
Pole na kazi mzee mbowe manakazi yako ngumu kwelikweli bila moyo wa wito huwezi kufanya
Unajua kule jela sio pahala pazul wenda ameanza kuchanganyikiwa
Kwa hiyo we unapambana na dola sio?
Aise umenifurahisha wadogo lakini balaa
Hakika we ni GAIDI acha hao wapuuzi washan gilie
Aliye timamu anakuona ww ndiyo mpuuzi,mjinga mwendokasi,kwa kuwa kajibu swali aliloulizwa
Huyu n gaid t ety kupambana na Dola
Kabisaa
Charles huyo ni gaidi kabisa maneno yake tu yameshawaingia vizuri watanzania walikuwa wanamtukana igp siro sasa sikia anachosema
Halafu mlikataa kuwa sio Gaidi 😇😇😇
Nini maana ya Gaidi?
safari hii watakuunganisha na zumaridi
Umenichekesha... Mbowe ni Kiongozi BORA watu wachache ndo wanaomuelewa
Zumaridi no 2 kabisa
Wewe pia huishi milele Mbowe huna aibu ,hayo maneno yatakukost
Rose huyo hachukui dulu muda si mrefu safari imeshamuivia acha amtukane tu hayati magufuli
@@margarethpolepole7438 Hata wewe safari imeiva, hakuna mtu atabaki. Utakufa pia.
Na ww utakua mwenda zake tu nikajua unaakili kumbe ni tope tu
Gaidi... Itakuwa ni kweli!..
watanzania wengi hatuna uelewa gaidi angetolewa jela
No one like kwani serikali ilikuwa ni wajinga maneno yake si hayo mitandaoni yanatoa jibu
Yaani jasho hilo lote na matamshi hayo ili uchukue nchi kweli? kwa hali hiyo?
🤣🤣🤣
Charles musiba hana ubavu huo serikali siyo ya wajinga anajimaliza mwenyewe mitandaoni kuwa chama cha magaidi nani anataka vita kama vya Ukraine
@@margarethpolepole7438asiwe na walinzi afee sio mvaage viatu vya watu muoñe
Good person
Mmh haya bana
Kweliiii
Yes
Hawa wapuuzi et mwendazake ww umepoteza baba mkwe mdogo kwaiyo nao wendazao ht ww utaenda
Umekuwa mjinga mpaka kiswahili kinakushinda?!!
Mwendazake sio tusi jamani Acha kumshambulia mbowe mwendazake ni marehumu ILO neno linatumiwa na WA Kenya Ivo Kwa Tz tumezoea kuitwa Hayati au marehemu
Cha moto huyo GAIDI MBOWE atakiona.
Na yeye atakuwa mwenda zake, mpumbavu sana
Hana hekima. Kila mtu ataonja mauti. Inauma sana kumhusisha Jpm na mambo yake
We taila tu
Mhe mbowe kua na walinzi wastani tu nchi inapokua na uongozi bora wa kutosumbuliwa wewe na Jenga Imani na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama Kwa wakati huu wa demokrasia makini Toka Kwa mama kama unavyomuamini mama .tunakupenda waaelimishe viongozi wengine siasa za ustaarabu Kwa nyakati mambo yalivyobadilika ahsante
Haya mama samia waajiri wote waliongia jeshini jkt mbowe atawabeba wote mkiwaacha jibu ndilo hilo analitoa hadharani vita hiyo viongozi wa dini waliomuombea kwako amekwisha wageuka
Hizo ni akili zako hazioni mbali Kama bata
hacha kupotosha vitu wewe...Mbowe kasema kuwachukua kwa ajili ya ulinzi wao binafsi dhidi ya watu wasio julikana.
Asante kwa kuwaombea vijana wetu ajira kinamna
Mhuni tu uyu kashazeeka t n uchu wa madaraka tu unamsumbua hana kt anadhan yeye ataishi milele
Kwa kupata urais au kitu chochote aombe mungu sana musa amekwisha huyo amekuwa kama chizi
Umeanza tena kubweka
Maneno yahovyo
People's💪
Chama makini
Na ww utaenda tu huwezi kwepa,ww dhihaki tu.
Huyu n mhuni t
@@musason1680 kama mamaako
Siasa mh!
Muhuni
Hiii ni atari kwa usalama wa nchi hatuwezi kwenda ivi yaani siungi mkono kabisaa hili swala.serikali iliangalie hili swala kwa mapana na kwa mstakabali wa nchi 🙌🙌🙌🙌🙆🙆🙆🙆😀
Tena serikali mwiga imfuatilie kwa makini huyu ni gaidi kabisa
@@margarethpolepole7438 alipo niacha hoi pale anasema hawa makomando nawatumia maana serikali inawafundisha matumizi ya siraha harafu wana wa fukuza KAZINI sasa sisi tutawatumia. Kwanini nasema ni atari kwanza mtu alikua mtumishi harafu afukuzwe kazi unadhani atakua na mapenzi na serikali yake apo?!
Huyu kuna kitu sio bure mbona amekua na makali hivi aisee 🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Edger nandonde huyo jela imemtia uchizi na muda si mrefu atamfuata huyo mwendazake anaemtukana
Mbowe namba kwa kupendwa dunian.
Yahaya usimfurahie huyo anatumiwa kuleta vita na anapewa pesa wewe unaweza kuikabili vita angalia Ukraine
2 ago tena tupe update ya leo
Walipe ..wakulambe..wasaliti
Ameanza kuvulungwa ila ukae ukijua kua baba wakambo namama wakambo bora baba wakambo endelea kulopoka watanzania wapo watakuombea tena boya wewe
Hatari sana..... Hilo halikubariki kabisa.....
Peoples power
Yaani mmmh sisemi kitu napita tu
Huyu kaachiwa juzi kishaanza kiburi na uchochezi
Una takakupinduwa nchi
The livejoyz hana ubavu huo na wanamsikiliza tu kwani serikali ni wajinga atarudi aliko toka waliomuombea msamaha siwanamsikia hao viongozi wa dini
@@margarethpolepole7438 yaan wanamsikia maneno yake ovyoo kabisa
Kabisa
Yaani kweli jpm ....?
Mwenda zake ni neno linatumika zaidi Kenya likimaanisha marehemu japo halitukiwi kwa watu wenye nyadhifa katika jamii hata Kenya hiwezi ukalitumia kama mbadala wa Hayati. Hapa kwetu Mtu wa hadhi ya JPM linatumika Hayati ndo maana huwezi hata tumia neno Marehemu mfano kwa Nyerere etc. Hivyo heshima tuliyohiwekea ikabaki kuheshimiwa na kulinda matendo ma ya viongozi wetu.
Inategemea huyo mwenda zake aliishi vipi nawatu binadamu uwezi kuwaonawezako hawasitahili kuishi wakati wamezaliwa kama wewe anasitahili kuitwa mwenda zake
@@bahatimallya32 taahira wewe huwezi kumuita mkuu wa nchi mwendazake, endeleeni yajayo yanafurahisha.
Wafu hawajui neno lolote
Tatizo mmezoea kuheshimu mtu kinafiki,ndiyo maana tutabaki kuwa maskini.
Kesha anza , huyu kwanini ametoka, mmeona , jeshi ni moja la tanzania nzima, kwanini awe na majeshi yake,, kama ni mabodigar sawa, lakini majeshi, jamani kuweni makini majeshi ya kujitemea ndo yanaleta fujo inch za jirani , tuyakuja kulia, mkiwachia wafanye wanavyotaka
mbowe baba wa democracia tz hata mama wa taifa mama maria nyerere anamjua mbowe ni baba wademocracia kama rais mstaafu wa congo joseph kabila kabange arie tengeneza katiba ya marithiano DRC na kukubali kun'gatuka nakura maisha kwa heshima mpaka afe bira maneno tatizo huku tz mama wa kambo kanogewa na utawala na kuiba mali kam jk wa angushamizoga kila miaka ajui ipo zamu yake yaja nae atakua mzoga tuu amina
Tupo pamoja mweheshimiwa itakaa sawa
Safi
Unajua kusma vibaya marehemu magufufuli ni vibaya tambua hata wewe utaishi milele na jeuri hiyo unaitowa wap?
Kwa hiyo unaunda jeshi la kupindua serekali?
siasa si maneno ya ovyo juu ya washindani wako bali sera za maana zenye maono ya kumaanisha kuijenga nchi na maendeleo ya wananchi... eee Mwenyezi Mungu Tukumbuke WaTz
Kwani ww unasemaje?
@@kisangageorgethomasi2830 😂😂😂😂
BEBA KAMUSI YA KISWAHILI HALAFU SOMA MAANA YA NENO SIASA.SIASA NI MFUMO WA JAMII WA KIUCHUMI AU KIUTAMADUNI.PIA SIASA NI MAAMUZI YA BUSARA ILI KUFIKIA JAMBO FULANI .Siasa sio MANENO YA HOVYO JUU YA WASHINDANI WAKO.
Amechoka
Nimekuelewa kiongozi
Mshaambiwa yee ataendelea kupambana na Dola dadeki huyu angesota t uko
Kwawale wasioelewa wametuma message mfano wa wapizani wenyewe...nikwamba
Ako sahihi kutengeneza ulizi wake na pia wa viongozi wengine kutokana Wanao tekwa na kuwawa ni viongozi wa chadema na sio wa CCM...
Nalengo sio kukabiliana na Dola...nikujilinda zidi ya watekaji..?
Only God can protect you.
Tuwe makini watanzania,siasa inapoenda sio sawa, tushikamane tujenge nchi yetu, viongozi wawe makini na maneno wayasema,
Hakika
Hata uasi unatengenezwa hivihivi ni process unaweza sema ni watatu kesho wakawa 50 ww Bila kujua wakifika mia ndo unastuka kumbe ni hatar eee too late
Mbowe wewe ni kichaa sana eti mwenda zake!!!mpuuzi sana
Unataka amuite jina gani ? Unaelewa maana ya mwenda zake unataka amuite mungu au.
Rose huyo anasumbuliwa na laana na akirudishwa gerezani ndiyo imetoka acha abwabwanye tu
Ni mwendazake tu ndio jina linalomfaa... mbona haitwi Mkapa mwendazake.. ukiishi wa watu vibaya ndio matunda yake hayo.
Mwenda zake kama mwenda zake😂😂😂😂
Kweli itachukua wakati kwa wapinzani ukiwa na hamasa sana saa ingine yanakutoka maneno ya ajabu
Kwakweli nimeamini hamna siasa bali mnamapambano na serikari
Yani wanapambana na Hayati. Hii inaonyesha ni jinsi gani chuki zao ni za hybrid na sio za kawaida.
Haswa kaka na tukiendekeza siasa za namna hii tutalipoteza taifa letu zuri tulilo pewa na mwenyezi mungu R.I.P Baba John Pombe Magufuli
Muheshimiwa Mbowe najuwa kabisa wewe ni msomi na unao uwezo mzuri wa kuongoza ila kitu 1 nakiona kwako kwa sasa hutumii muda vizuri.
Wananchi kwa kweli walio wengi wana mzigo mzito wa maisha mgongoni
- mfumuko wa bei
- tozo
- kodi sumbufu
- rushwa
- mauwaji holela
- ugumu wa kujitibia
Ila kamanda sisi wanachama wako tunakusikiliza mwanzo hadi mwisho ila hamna sera hata moja ni kulalamika tu.
Nadhani huyu muda ulikua mtaji mzuri wakuanza kunadi sera zako hayo ya makomando ni yako binafsi.
Juzi ulikua hai ukasifiya police Leo tena umekuja na la makomando.
Kitu hamjuwi wa tz walio wengi kwa sasa wako njia panda hawana la kufanya hamna mtu anafurahia Tozo ila 😷😷😷
Kila Jambo na wakati wake, jamaa ndo ametoka gerezani. Hapo hapo aanze na Bei ya sukari 🤣🤣🤣
Mbunge wako kazi yake nini?
Kwanini humwambii mwakilishi wako halali badala yake unasumbuka na mtu asiyemwakilishi wako?
Mkuu nenda hata kwa polisi, mkuu wa wilaya mkoa, watakusaidia mapema zaidi
@Pius Mpilu
Mbunge Mimi ni Mbowe, kamanda wangu ni Mbowe sasa unaona sina uhalali wa kumuomba atusemeye?
Huna akili wewe
Mbowe umenikera Sana, uliiposema mwendazake! Marehemu lazima astiriwe pls, kuanzia Leo sio shabiki yako Tena. Cz nilikua nakuona mtu wa maana sana, Ila kwa kauli yako hiii yaani ni bure kabisa wew
Futa i coment yako
Wewe nenda tu tupowengi mnoo maana mwendezake alijiona Mungu mtu
Kwan bado upo
Acha kuongopea watu huwezi kuwa mpemzi wa mwendazake at the same time ukampenda Mbowe vitu viwili tofauti we chapa mwendo tu tena faster
Mbona hakuna ubaya wa hilo neno! Angalia kamusi ya kiswahili maana yake aliyeenda mbele za haki, kwa kiingereza departed.
Kuna siku nilisema serikali ya ccm imekwenda kumnoa mbowe c kumkomesha wala kumdharirisha na kibaya zaidi tz ya leo c ile ya 84 watu wameelimika wanajuwa ukweli,
Una maa Nisha Nini mwendazake acha pigo izo ile hotuba ya kanisani Nita ipuuza ukiende Lea kutumia neno ilo Kwa Alie kuwa kipenzi Cha watanzania
Kuwatumikisha tu watt wa wenzako
Jidanganyeeeeeeeee
Hyu jamaa msnge Sanaa
A Pergunta é isso , ou seja esse Senhor é ou não Corrupto........??
Mbona sasa ulikamata kama kuku na hao makomandoo walikuwa wapi mzee
Akikamatwa kihalali na maafisa wa polisi wanaojitambulisha hakuna shida na kwa njia hiyo hawawezi kumuua wala kumdhuru maana wanakuwa washajulikana, makomandoo wanamsaidia kudeal na wasiojulikana na wale wanakamata watu kisirisiri ili wawadhuru bila kujulikana.. Hapo sasa ndo watakutana na makomandoo
Yaan mamae zako we unadhani Mungu akiamua kuna mlinzi hapo? Wananchi mkitaka kujua huyu mjinga anatafuta vita ndyo muone hicho anachokisema serikali kaeni mkao wa kula c amesema yy mwenyewe? Sasa nadhani umefika wakati wa kuwachunguza vizuri watu kama mbowe. Et komandoo Mungu akiamua unatembea ww hamna komandoo hapo ni mbwembwe tu.
Chadema Genge la wahuni tu
Ila wahuni walioko makini aseee
Kumamako wewe mkundu
Kama ccm lilivyo genge la wajinga
Bora wahun kuliko kuwa zuzu.
Tena magaidi
Tukumbuke kuwa hakuna mtu hata kuwa mwenda zake Kila mtu ataitwa kwa muda wake wew fulai sana kuita mwenda zake kesho mim keshokutw ww mungu mpunzishe ralam rais magufuli
Kweli mkuu
Nini maana ya mwendazake????nisaidieni I'm from Burundi but living in south africa
Yusuf mwendazake ni kiumbe aliyefariki na kiswahili hiki kinatumika sana mombasa Kenya
Sasa una lengo gani mpaka unakusanya makomandoo? Unajua mkubwa hua hatishiwi nyau? Kutafuta makomandoo wasio na zana za kikomando nisawa na mbwa asie na meno sawaaa?
Manyanyasotu hayo waacheni nawezenu wapate iamani
Tanzania mbowe
Mimi napita tuu nisiongee vibaya kesho nikajikuta kuleeeee Ila mama wetu anatoshaaaaaa kazi iendelee
Red brigade 🤔
HAWANA KITU hawa wachumia tumbo,,wananunulika KIURAHISI,,hawa ndio wale walioambiwa na mwalimu, kuwa wana tabia za kimalaya malaya
Tena sana kambona lakini tuwe na tahadhari nao
Akina nani hao? Inaonekana akili yako ndogo hujui unamsema nani
Huyu baba jamani
Mwenda zake wewe mwendawazimu
Ushawaponza ao daah!
Huyu jamaa hana akili aliposema neno mwenda zake t ndipo nimeamin hana hata sifa ya kuwa kiongozi ni mhuni t ambae serikali inamvumilia kwa kuogopa makelele ya watu ila ingemwacha asote t uko na huyu mama asipokua makin hawa wahuni watatufikisha pabaya. Mtu hata hajifunzi ety mwenyekt wa chama hata marehem unashindwa kmstr
Alafu hao makomandoo wanakazi gani.? Kama wanakuwepo na yeye anakamatwa hakuna haja yabkuwa na hao walinzi hawafai. Nenda kamkamate mkuu waheshi na walinzi wake wapo uone😉. Siasa hizi mbovu sana
Mie mwenyewe alipoosema mwenda zake nimemuoa wajabu.
Mbowe akili yake finyu sana haoni aibu kauli za matishio ,huyo alitakiwa aendelee kukaa mahabusu, etc anajifanya kuriingaaa
@@patientlazaro6930 kabisa huyu n mpuuzi t
Hata huna akili ww
#NONSENSE
😂😂😂 apo nimekupongeza sana kwa ilo , maana ni kwel serikali unachukuwa vijana wakujitolea kwenda jeshini wanapewa mafunzo afu haiwaajili badala yake inawatelekeza mtaa,, apo ukiwachuwa mbowe utakuwa umelamba madume..kwel kwel .😂
Ama kweli mama anaupiga mwingi kama wengi wanavyosema 😀😀😀
Wera wera. Mbowe komando ni mihimu
Saf san
Sawa sawa
Wewe pia mwenda zako mtegemewa wali kuramba ww na makomandoo wako
Amiri Jeshi wa Red Brigade.. 🤪😝
We jichanganye tu utakuja kujuta tu
Kwa Nini serikali inaachia uundwaji wa jeshi kwa upinzani hao wataleta shida ya machafuko
Tupo tayar kuungana na ww mbowe
Mandamano yahaki nilazima
Katika nchi yoyote Ile Sahi kuwa na amiri jeshi wa kuu zaidi ya mmoja . Na majeshi zaidi ya moja Kila moja na amri zake. Mbowe unachemka.
Kachemka sana tu
Anamaluweluwe ya magereza bado hajamtoka sawasawa maana hata nachokiongea hakieleweki sijui amekuwaje yan point zake ni kama za visas shauli yake atarudishwa
ni jambo la kawaida hilo mbona wanajeshi kibao hata nje wakimaliza majukumu majeshin huja mitaani kuanzisha huduma hizi za VIP Protection kwa wenzetu ulaya ni mambo ya kawaida tu
Mbowe hafai kuwa kiongozi hata wa Kijiji hajielewi..sawa na mnywaji wa bangi tu..hajielewi hata kidogo..juzii tu katoka korokoroni kwa huruma na kaongea mbele ya rais tufanye siasa za kistaarabu leo anaongeza utumbo..huyu jamaa keshafilisika kisiasa.
Kheri yako ww tajiri mwenye mawazo mgando.
Kabisaa hata kijiji hawezi mchonganishi mkubwa