Ustadh ALLAH akuzidishie ujasiri, kuwashinda madhalim. Imefika wakati saivi kuvumilia uongo unaozushwa kwenye dini usivumiliwe tena, manaake yanazidi mno, saivi huwa wanafanya mpaka keki ya birthday ya mtume. Subhanallah
Balaa zito, kwasababu ALLAH haachi kitu kila mtu ataulizwa kwa anacho kifanya, imefika wakati hii dini Wengine wanafananiza na ushabik wa siasa au mpira, hawapo serious
Umefanya vzr kusema: sijaona kijana kama Mouhammad bachu, Hukusema... Hakuna kijana kama Muhammad bachu. Wewe tu ndio Hujaona, Asikulaumu Mtu, sababu Hayo ni macho Yako Akhy.
RABBANA Akulipa Kila Lenye khery na Akuepushe Na Mabaya Sheikh Mohammad Bachu Ichi ndicho Tulikuwa Twakisubili Kwa hamu Tusikie Kauli Yako Sheikh wetu Wabilahi Tawfiq
Niko Bujumbura sheikh Mohamed nashukuru sana kwa kazi kubwa kwa kuwagusa hao washenzi Alla akulinde Alla akupe mwisho wa kuingia firdaus pembeni ya rasuluna
Sawa sawa kabisa, Mjadala unao endelea ni wa Maulid. Wasichanganye mapungufu ya Masheikh na Maulamaa wa Ahlilsunna. Abuu Taimia kasema hivi, kaandika hivi, tuleteeni miongoni mwa Mtu wa Tarika aliepewa Ijaza ili Mwendokasi uendelee.
Bachu iko siku yako inshaAllah. Mm sikutukani wala sikukosoi kama nyinyi munavyotukana watu kwenye comments. One day Yes inshaAllah 🙏. Shaikh Jaafar al Barazanji atakujibu. Hakuna lisilo na mwisho ndugu Bachuu.
Wanababaika je hao bado bin Nassor ana waita kwa heshma kama ivi al akhiii sheikh ndugu yangu fulani au fulani tizama wao mtoto wa bachu muuza pweza bwege na mjina mabaya tuuu bado hajibu hovyo Hakika Allah atasimama nawe mpaka kieleweke wataweka wapi viburi vyao kwani wakiita sheikh au muhamad wataharibu nini eeh kweli aibu kubwa kwao wanababaika tuu hao
Asalam alaykum Sheikh Muhamad Bachoo. Tunashukuru kutokea Mtu kama wewe ulijotoa kwa ajili ya Allah kutetea haki. Kupinga batili. Allah akutie nguvu Akupe ushindi Tupo nyuma yako
Watu wa twarika ni waoga mnono yao ni maneno na viji neno tuu kupitia kwa mitandao ya kijamii,ukweli wa mambo ni hawana mada na sera hawa ni wale wale itawakuta makubwa kuliko ya tanga trust me hii ya mambrui itakua mwisho wao na maulidi ndani ya kanda hii ya afrika mashariki. Habari nilizo nazo ni kwamba mpaka muda huu sabass alkubra yuko taaban mno haja pona maumivu ya kichapo cha Tanga, hata wafadhili wake ikiwemo shehe wake yusuf diwani wame mtupilia mbali sembuse hawa wa Kenya. Mwenyezi Mungu amlinde Sheikh wetu Muhammad Nassor Bachu yeye na familia yake. Ameen thuma Ameen.
Naomba Allah azidi kukuhifadhi na kila shari, akuzidishie ilm, hikma na imaan na taqwa zaidi. Na Allah atupe masheikh wengi na wanachuoni wa kutetea haki bila ya kuendeshwa na tamaa za nafsi zao
Allah Allah assalaamu aleikum warahmatulllah wabarakatuh, alhamdulillah rabbit alaamina, hapa imekaa vizuri sana, haya Mashegh wa Mombasa kazi kwenu tunaomba muwe waadilifu kwa kujibu kwa wakati ,ili sisi Waislamu tupate kujifunza
Sheikh letu sis tunakuombea sana Allah akuzidishie ujasiri kupambana na hawa watu manake balaa limeingia tumevamiwa na mashia kupitia maulidi yao na hawaoni
Ila siku hizi nakuona kama unaanza kubadilika unaongea kwa adabu unaanza kuwa na heshma ndugu yangu binafsi nakupenda kwa ajili ya Allah ila mawaidha yako mengi ulikua hutumii adabu katika kufikisha al hamdu li llahi unaanza kubadilika maa shaa llah allah atuongoze njia iliyoonyooka
Umetumwa nini pale mtu atakapo vuka mipaka kwa jambo la Allah basi atakosolewa hata akiwa na umri gani au ni shekh gani atapewa ukweli hap ndo mnasema hana adabu
Shida ya masufi/twariiqa ni kwamba wanataka kutetea upotovu na hio ni kitu ngumu sana kufanya sababu unapiga vita Allah na hakuna anaye jipima na Allah subhanuhu wataala
@@ahmedbadi5822 kasema huyo sharifu wenu achague nani wa kujadiliana nae aje sharif mwenyewe au achukue katika hao vijana wake akiwemo huyo said wako,sio tena baadae museme hamumtambui kama mulivyokmkataa cobra wenu .sabas cobra
Nyie masufi mara hii ni.mwaka wa kusafisha shirkiii zenu na mabidaaaa yenu Sasa tunakwambieni mnavotaka tunataka Na hata kenya mie nipo znz nitakwenda Katu siwez kumwacha mkono kijana huyu mwenye hirsii na uchungu wa kutetea dini ya allah Ya allah mlinde huyu kijana
Safi sana sheikh wangu! Hili ndilo nililolingojea baada ya kuona kujitapatapa ku matv mbali mbali sasa waje tukawaone vile watakavyotetea batwili eti wanampenda mtume
Co kunyooka ni miaka mingapi mnapiga kelele kupinga mauleed na kila miaka ikienda mbele yanazidi kuengezeka duniani!! Ni wakati wenu muelewe kua mtumi Swallaa llaahu alayhi wasallaam amesema yakwamba ummati wake hawakusanyiki katika upotevu,,,,,,,,
Mtoto WA sheikh Bachu anasema kweli kwenye barzanji Kuna uongo mimi mwenyewe namuunga mkono na nilikua nafanya maulidi kabla ya munaqasha uliopita lakini ametuonesha haqi basi tukubari kuifiata ,,masheikhe msifanye kama dini ni League za Mpira tuikubali haqi ikitudhihirikia
Utadh bachu, nakuomba kwanz uwaulize hao watu wa twarika huyo ustadh said no miongoni mwao watu wa twarika au sio? Km sili wasije kumkataa baadae baada ya kushindwa
Mtume s.a.w hakujikweza katika maisha yake, lakini kwa Nini waislamu wa Sasa hivi wanajikweza na kujigamba? Muhammad Bachu msome sana Mtume Muhammad. Mjadala wa maulidi muliofanya Tanga Bado haijawa sababu ya kujigamba na kujifutuwa, kwani ipo kazi kubwa ya kupambana na kuwasaidia wanaabudu Ngombe, wanaabudu Mapango, wengine wanasema Nabii Isa ni Mungu na wanamuabudu, hawa ndio wanaotaka kusaidiwa. Vyenginevyo waislamu kwa waislamu tunatakiwa mambo ya dini yajadilwe kwa heshima na adabu kwa kutoka Ushahidi wa hadithi na Quran na sio kuonyesha misimamo ya mashekhe. Muhammad Bachu kuwa makini, Hadhi ya Mtume haija haribiwa Bali ni mitazamo ya waislamu na Kila mmoja kusimama na kutukuza mitazamo ya Mashekhe wao.
Nakushauri sheikh wangu huyu kijana wa mabrui nijahili atakutatiza akili bure ,tena hiyo mada ya barzanji imeisha ukweli umejulikana hakuna re match walete mada nyengine
Shekh Cholo TH-cam inalipa vizuri basi hebu twambie umesoma wapi kwa shekh gani chuo gani sio unakaa kwenye kioo unaropokwa tuu wote hawajasoma ww pekeyako umesoma kila mtu hajasoma mche mwenyezi mungu Ust cholo tende za saudia zinakuzalilisha
Mimi Omni langu kwa watu wa Twarika. Mwacheni Bachu atangaze shirki ya Barzanji Duniani na nyinyi watu wa Twarika endeleeni kuyasoma Maulidi!! Someni Maulidi kwa nguvu zoote na yeye mwacheni atangaze Shirki iliyomo kwenye Barzanji kisha safari hii akitie moto khaswaa Kitabu Cha Barzanji
Twamuelewa vizuri tu Muhammad bin Nassor bachu, ila hebu na apambane na kundi lililopo kwa Zanzibar, Taaliim Organization kama kweli ni msomi, mbona wanalikimbia hili kundi na kulifanya kama kwamba halipo!!,,,,,,,
Ustadh ALLAH akuzidishie ujasiri, kuwashinda madhalim. Imefika wakati saivi kuvumilia uongo unaozushwa kwenye dini usivumiliwe tena, manaake yanazidi mno, saivi huwa wanafanya mpaka keki ya birthday ya mtume.
Subhanallah
Aliekuwa shehe mkuu wa Dar es Salaam alifanya Keki kwa Kumbukumbu Zangu
Subhanallah.. imefika kwa keki
@@zanzibarspice8686Na video nnayo
Balaa zito, kwasababu ALLAH haachi kitu kila mtu ataulizwa kwa anacho kifanya, imefika wakati hii dini Wengine wanafananiza na ushabik wa siasa au mpira, hawapo serious
Achen ujing uyo muhamed kakos ladhi za mashekh zake
Sheikh Muhammad Bachu. watu wengi wamekuelewa sana.mungu akulipe kila la heri. na ninaamini Mungu atatupa ushindi juu ya kuibainisha khaki.
Umemuelewa kwamba nyie ni mawahabi au unaitikia tu😭😢
Wata ujinga kwani shekh Barazanji ninani kwani akiletewa wahyi sibimaadamu tu kama banaadamu
@@abuhassan9552 Humjui Barzanji kaulize kwanza,acha kuropoka
❤ good
@@JamalAbdallah-m1o barazanjii nikitabu kimeja ushrkina mwengi
Sikwambii Kenya …east africa sjaona kijana Kama bachu…Allah akupe umri uzidi kufaidisha ummati Muhammad
@@mansourkombo587 Hebu lala ww Acha kero
Umeona kijana. Ashatia kichwa kichwa huyoo shekh said atakula za kichwa tu na yy. Haki ipo juu kila siku
@@salumtakao9828 Acha nayy aje tupate faida zaidi
Umefanya vzr kusema: sijaona kijana kama Mouhammad bachu, Hukusema... Hakuna kijana kama Muhammad bachu.
Wewe tu ndio Hujaona, Asikulaumu Mtu, sababu Hayo ni macho Yako Akhy.
@@hajigahimbare579 kwa mwenye akili ndie atakae elewa…Uko vzuri
@MuhammadNassorBachu nakupenda kwa ajili ya ALLAH., wape elimu kadri ulivyojaaliwa
RABBANA Akulipa Kila Lenye khery na Akuepushe Na Mabaya Sheikh Mohammad Bachu
Ichi ndicho Tulikuwa Twakisubili Kwa hamu Tusikie Kauli Yako Sheikh wetu Wabilahi Tawfiq
Amiin
Niko Bujumbura sheikh Mohamed nashukuru sana kwa kazi kubwa kwa kuwagusa hao washenzi Alla akulinde Alla akupe mwisho wa kuingia firdaus pembeni ya rasuluna
Amiin
Amiin
Sheikh Muhammad hawa watu wanauchungu sana nawe, siajabu watamani uondoke duniani na dua mbaya hukuombea ila nasi twakuombea umri mrefu ulomwema.
Nasisi wa Islam wa Rwanda tunamushukuru Shaykh Muhammad Bachu tunamuombea kila la kairi na maisha bora mpaka mwisho wa maisha yake
Wallahi msiba mkubwa sana Allah tuongoze yaa rabb Allah yupo pamoja nawe shekh mohammad bachu na atakulinda daima yeye ndio kila kitu
Akhi muhmmad bachu allah akuhifadhi haki inajulikana hawa ni majahili
Masha Allah mafupi na yakuekeweka kwa mwenye Akili Allah akulinde na mahasid na madhwalim haki lazma usemwe Allah atuongoze
استاذ محمد بارك الله فيك
الله يثبك على الحق وين ماتكون
Jazaka allahu kheri shk Muhammad bachuu , allah akuhifadhiii
MUHAMMAD BACHU ALLAAH AKULIPE KHERI MWALIMU WETU,
UMETOA DARSA TUMEKUELEWA VIZURI, ALLAAH AENDELEE KUKUPA TAWFIIQ NA KUENDELEA KUIFUNDISHA HAQQI KWA WAJA WA ALLAAH!!.
Amiin
Sawa sawa kabisa, Mjadala unao endelea ni wa Maulid. Wasichanganye mapungufu ya Masheikh na Maulamaa wa Ahlilsunna. Abuu Taimia kasema hivi, kaandika hivi, tuleteeni miongoni mwa Mtu wa Tarika aliepewa Ijaza ili Mwendokasi uendelee.
Bachu iko siku yako inshaAllah. Mm sikutukani wala sikukosoi kama nyinyi munavyotukana watu kwenye comments. One day Yes inshaAllah 🙏. Shaikh Jaafar al Barazanji atakujibu. Hakuna lisilo na mwisho ndugu Bachuu.
ALLAH azidi kukupa nguvu na akupe ikhilas kwakaz kubwa unayo fanya...kwan kila wanavyojitokeza ndivyo watu wanapata kubadilika kuachana na bidaah
Amiin
Watu wa twarika mna jazba sana hebu ondoweni jazba SS sote tunapenda mtume Muhammad saw
Sisi Tunampenda mtu kisunnah na sio kibidaa hao wanamzulia mtume wetu
Wanababaika je hao bado bin Nassor ana waita kwa heshma kama ivi al akhiii sheikh ndugu yangu fulani au fulani tizama wao mtoto wa bachu muuza pweza bwege na mjina mabaya tuuu bado hajibu hovyo
Hakika Allah atasimama nawe mpaka kieleweke wataweka wapi viburi vyao kwani wakiita sheikh au muhamad wataharibu nini eeh kweli aibu kubwa kwao wanababaika tuu hao
Allaah akuhifadh na kila Shari Akhiy Muhammad
Shekh Muhammad Bachu Allah akuhifadhi amen
Ostadh muhamed bachu allaah akusaidiye na akupe ufa swaha zaidi na akuja aliye haya ni katika hsanati zako ❤
Mashallaah Muhammad bachu
Allah akuifadhi shehewetu Muhhamadi Bachu. Kwani hawa imewauma ulivyo wasomesha kule Tanga😂
Allah akuhifadh sheikh bacho
Asalam alaykum Sheikh Muhamad Bachoo.
Tunashukuru kutokea Mtu kama wewe ulijotoa kwa ajili ya Allah kutetea haki.
Kupinga batili.
Allah akutie nguvu
Akupe ushindi
Tupo nyuma yako
Yaan shekh Muhammad bachu maneno yako yapo kwenye mstari
Akhi muhamaad allah yupo pamoja na ww haki sikuzote iko kwa allah tabaaraka wataala waache watu wabidaa allah ameziba maskio yao na amepofua macho yao
Watu wa twarika ni waoga mnono yao ni maneno na viji neno tuu kupitia kwa mitandao ya kijamii,ukweli wa mambo ni hawana mada na sera hawa ni wale wale itawakuta makubwa kuliko ya tanga trust me hii ya mambrui itakua mwisho wao na maulidi ndani ya kanda hii ya afrika mashariki.
Habari nilizo nazo ni kwamba mpaka muda huu sabass alkubra yuko taaban mno haja pona maumivu ya kichapo cha Tanga, hata wafadhili wake ikiwemo shehe wake yusuf diwani wame mtupilia mbali sembuse hawa wa Kenya.
Mwenyezi Mungu amlinde Sheikh wetu Muhammad Nassor Bachu yeye na familia yake.
Ameen thuma Ameen.
Hlf ww wahabi hujitambui, maulidi Sasa yanasomwa mpk Makka na Madina
Amin
@@JamalAbdallah-m1okwahio? Kama yanasomwa huko ndio na sisi sote tusome au?
@@Ahmad.ali1-r9o Si ndio kigezo chenu, ht mwezi mnasikilizia huko, nyie chawa tu ya mawahabi wakubwa
@@Ahmad.ali1-r9owanao mpenda mtume s a w watasoma musio mpenda musisome kaeni ba uhasidi wenu
Naomba Allah azidi kukuhifadhi na kila shari, akuzidishie ilm, hikma na imaan na taqwa zaidi. Na Allah atupe masheikh wengi na wanachuoni wa kutetea haki bila ya kuendeshwa na tamaa za nafsi zao
Wamekuelea shekhe alihamdulillah nafurah Sana❤
Bachu Allah akulipe kila la kher yani hapo umewaweza sana ngedere wanaotafuta kutrend usiwape nafasi kabisa sisi tunamtaka Kigogo wao
Maa shaa Allah sheikh. Nakupenda sheikh Muhammad bachu
Ndugu Nakuona sana ktk comment tupo pamoja Akhy
@@zanzibarspice8686shukran akhy
Allah Allah assalaamu aleikum warahmatulllah wabarakatuh, alhamdulillah rabbit alaamina, hapa imekaa vizuri sana, haya Mashegh wa Mombasa kazi kwenu tunaomba muwe waadilifu kwa kujibu kwa wakati ,ili sisi Waislamu tupate kujifunza
ماشاء الله، جزاك الله خيرا أستاذنا ومعلمنا
Twaendela na maulidi
Allah akuongoze na akuhifadhi pia......amiin
Sheikh letu sis tunakuombea sana Allah akuzidishie ujasiri kupambana na hawa watu manake balaa limeingia tumevamiwa na mashia kupitia maulidi yao na hawaoni
Ila siku hizi nakuona kama unaanza kubadilika unaongea kwa adabu unaanza kuwa na heshma ndugu yangu binafsi nakupenda kwa ajili ya Allah ila mawaidha yako mengi ulikua hutumii adabu katika kufikisha al hamdu li llahi unaanza kubadilika maa shaa llah allah atuongoze njia iliyoonyooka
اللهم امين
Umetumwa nini pale mtu atakapo vuka mipaka kwa jambo la Allah basi atakosolewa hata akiwa na umri gani au ni shekh gani atapewa ukweli hap ndo mnasema hana adabu
Hata yy na binaadam anakosea ila cha muhimu kinachoongelewa ni haki bc huna budi kufata au kuwacha kma ni batwil
Wewe kaongopee watu tu kuhusu ndoto. Upate pesa kaa kimyaa
kumbe unanifatilia ee jazaaka llahu khayra
Maa shaa Allah umewagusa ndipo.,watulete wariqa full by blood ndio akiamgushwa no more excuses
Mashaallah, sheikh wetu, unafanya kazi nzito,Allah akulinde popote pale ulipo, Ameen!
Shida ya masufi/twariiqa ni kwamba wanataka kutetea upotovu na hio ni kitu ngumu sana kufanya sababu unapiga vita Allah na hakuna anaye jipima na Allah subhanuhu wataala
Nakupenda kw ajili ya allah ...ustaadhu ..allah awe akulinde kutokana na maadui zako
Allah akuhifadhi sheikh Muhammad Nassor bachu.
Allahu Akkbar
Allah Ya Hadeek ya Sheikh .❤
MAA shaa Allah kwa Mara yakwanza namshuhudia bachu anaongea kwa kujishisha na hekma sannah.
Mwambaaa Mohd bachu tuko pamoja saana tuna wasubiri saana kina sharifu washindwe na waregeeeee mwaka huu wapotoshaji hao ndo tuna wamaliza
Cha kushangaza hajamjibu said nukta hata robo
@@ahmedbadi5822
Akubali niqaash mambo ya shareef aachane nayo kazi yake ni kutangaza dini siyo kujulikana
@@ahmedbadi5822 kasema huyo sharifu wenu achague nani wa kujadiliana nae aje sharif mwenyewe au achukue katika hao vijana wake akiwemo huyo said wako,sio tena baadae museme hamumtambui kama mulivyokmkataa cobra wenu .sabas cobra
بارك الله فيك
Sheikh Muhammad Mungu akulinde na kila Shari na ukuzidishie elmu na busara uzidi kuwaelimisha HAO watu wa bidhaah
Mashaclah Allah Akulinde❤
MASHAALLAH
Allah akulipe kheri
Shk Mohammad bachu Allah akuhifadhi na hawa watu wa shubuhaati
Shekh bachu tupo pamojaa Allah akuhifadh
Kuna shubha kaileta shekh mziwanda INGEKUWA vizuri ungefanya bayana shekh pale ulipo mkosoa baba yako na unavyomkosoa barazanji baarakallahu fiika
BarakaAllahu umeneno maneno mazuri
Nyie masufi mara hii ni.mwaka wa kusafisha shirkiii zenu na mabidaaaa yenu
Sasa tunakwambieni mnavotaka tunataka
Na hata kenya mie nipo znz nitakwenda
Katu siwez kumwacha mkono kijana huyu mwenye hirsii na uchungu wa kutetea dini ya allah
Ya allah mlinde huyu kijana
Safi sana sheikh wangu! Hili ndilo nililolingojea baada ya kuona kujitapatapa ku matv mbali mbali sasa waje tukawaone vile watakavyotetea batwili eti wanampenda mtume
Mashallah... watanyooka tu.mwaka huu😊
Co kunyooka ni miaka mingapi mnapiga kelele kupinga mauleed na kila miaka ikienda mbele yanazidi kuengezeka duniani!!
Ni wakati wenu muelewe kua mtumi Swallaa llaahu alayhi wasallaam amesema yakwamba ummati wake hawakusanyiki katika upotevu,,,,,,,,
HAMUNA LOLOTE MANENO MENGI TU KAMA KASUKU SISI NA MAULID NA MAULIDI NA SISI FANYA MUNAQASHA MPKA UCHOKE ILA UJUWE HATUWACHI MAULIDI ❤❤❤❤❤
Kakojoe ulale
Assalam alaikum sheikh wakumbushe hoja 19 wazijibu wa ache malawama
Mtoto WA sheikh Bachu anasema kweli kwenye barzanji Kuna uongo mimi mwenyewe namuunga mkono na nilikua nafanya maulidi kabla ya munaqasha uliopita lakini ametuonesha haqi basi tukubari kuifiata ,,masheikhe msifanye kama dini ni League za Mpira tuikubali haqi ikitudhihirikia
Utadh bachu, nakuomba kwanz uwaulize hao watu wa twarika huyo ustadh said no miongoni mwao watu wa twarika au sio? Km sili wasije kumkataa baadae baada ya kushindwa
Mashallah, namsikiatu upepo akibwabwaja mbona tanga hakuja aulize maswali watu watwarika yao nimatusitu Alihamdulillah Allah atawalipatu inshaallah
Muhamad bachu wakomeshe wazushi wa maulidi
ALLAH AKUHIFADHI na kila Shari Sheikh wetu tunakupenda kwa ajili ya ALLAH
Mtume s.a.w hakujikweza katika maisha yake, lakini kwa Nini waislamu wa Sasa hivi wanajikweza na kujigamba?
Muhammad Bachu msome sana Mtume Muhammad.
Mjadala wa maulidi muliofanya Tanga Bado haijawa sababu ya kujigamba na kujifutuwa, kwani ipo kazi kubwa ya kupambana na kuwasaidia wanaabudu Ngombe, wanaabudu Mapango, wengine wanasema Nabii Isa ni Mungu na wanamuabudu, hawa ndio wanaotaka kusaidiwa.
Vyenginevyo waislamu kwa waislamu tunatakiwa mambo ya dini yajadilwe kwa heshima na adabu kwa kutoka Ushahidi wa hadithi na Quran na sio kuonyesha misimamo ya mashekhe.
Muhammad Bachu kuwa makini,
Hadhi ya Mtume haija haribiwa Bali ni mitazamo ya waislamu na Kila mmoja kusimama na kutukuza mitazamo ya Mashekhe wao.
Ya Raab tuongoze waja wako tujue ukweli na kuepukana na batwiil....Ya Raab tuongoze katika njia ilionyooka..amin
Baaraka llahu fik MashaAllah,umetulia sn,unajiamini bab'kubwa
Usikimbie mjadala wa Mambrui. Naona umenyamaza sana bila kujibu lolote.
Mashallah Allah akuhifadhi atupe wepesi ktk kupambana na wazushi
اللهم وفقه على الصواب آمين
Aamin
Allah hafidh hapo sawa sheikh bachu
Asalaam alaykum shekhe achana na watu wa majazi endeleza kazi ya Allaah
Nakushauri sheikh wangu huyu kijana wa mabrui nijahili atakutatiza akili bure ,tena hiyo mada ya barzanji imeisha ukweli umejulikana hakuna re match walete mada nyengine
Maashaallah maashaallah maashaallah Allah akuhifadh
mashaallah
Shekh Cholo TH-cam inalipa vizuri basi hebu twambie umesoma wapi kwa shekh gani chuo gani sio unakaa kwenye kioo unaropokwa tuu wote hawajasoma ww pekeyako umesoma kila mtu hajasoma mche mwenyezi mungu Ust cholo tende za saudia zinakuzalilisha
Mashaallah sheik muhammad bachu Allah akuhifadhi inshallah na akujaalie kila unalolifanya liwe katika mizani yako inshallah Amiin
Mimi Omni langu kwa watu wa Twarika. Mwacheni Bachu atangaze shirki ya Barzanji Duniani na nyinyi watu wa Twarika endeleeni kuyasoma Maulidi!! Someni Maulidi kwa nguvu zoote na yeye mwacheni atangaze Shirki iliyomo kwenye Barzanji kisha safari hii akitie moto khaswaa Kitabu Cha Barzanji
Assalaam alaikum sheikh,Allah akulinde na akupe afya uzidi kueneza sunnah
Allah akulipe kher shekh bachu pambana kuutokomeza ushirikina inshallah
ujumbe umewafikia sheikh
Kalaam alhikma sheikh bachu. Maana hawa matwarika hawaogopi kusema uongo
Masha Allah ,mungu Akulinde shekh wetu
For the first time you declare your self being wahabi.
Wewe mtoto utajua hujui unajaribu kulideki bahari njoo mombasa usomeshwe ndugu na ujue hamutawahii kutushinda nakwambia ivo uhabi umezuka tu😂
😂😂WALIMKATAA VIBAYA SANA .NYIE DIWANI APEWE MAUA YAKE MAANA ALIMTOA SADAKA MWENZIE MBELE YAKE 😂
Wew Mohamed bachu umekos ladh za mashekh zak kajifunz adabu
Twamuelewa vizuri tu Muhammad bin Nassor bachu, ila hebu na apambane na kundi lililopo kwa Zanzibar, Taaliim Organization kama kweli ni msomi, mbona wanalikimbia hili kundi na kulifanya kama kwamba halipo!!,,,,,,,
MashaAllah Hakika Allah kakup elim yeny manufaa
Jazakalaah khaira .........Almajaz katosheka bado kilemba cha Alhatimy kitalowa
Huyo Shehe Said Mbona Kama Ameshashindwa Kabla Hata Ya Munaqasha😅😅😅😅
Allah akuhifadhi
Mimi pia nimeanza kukuelewa ila jitaid utumie busara ktk mazunhumzo haki wengi tumeelewa
Allah akuhifadhi yakhy bachu na akupe thabaat ktk kuitetea sunna y bwana mtume swalallahu alyhi wasallam
Sheikh wenye akili timamu tumekuelewa shukran wa jazaka llah kheyr
Yes yes yes yes fanya vitu vyako waelimike bi idhnillah
Fanya adabu ww ikiwa babako alishindwa we nani
Mashallah sheikh langu
Masha Allah maneno mazuuri na ya hikma kwa wanao fahamu
Haya nafasi ipo io hatutaki ngonjera kidume asogee.mukikaa kimya maana yake mumeshindwa na sheikh muhamed bachu
Dunia Imeishaaa, Qiyama kipo karibu