Allah akuongozee ndo dua gan hyo na umesoma dini ww Mtumee kafanyiwa mangap hajawah hata cku moja kukubal adhabu iwashukiee makafir sembusee ww unaombea dua waislam wenzako !!!!! Jitafakari akhy
Shekhe,upo sahihi ni kweli hawa majadida kina mafuta na genge lake wamemdhulumu xana shekhe barahyani allah amuhifadhi,shekhe kapambania sunna sana tz wakati huo wanaompiga vita kina mafuta na wenzie walikuwa wapiga madufu na wengine wamezaliwa juzi tuu,maskini hawajui mchango wa sunna hapa tz ni barahyani amesaidia sana kupambana na watu wa bidaa amepigwa xana mawe yule shekhe Allah, atamlipa siku ya kiama kwawale walomdhulumu hakika allah awapendi madhalimu, wengi hawajui katika hii comment zao humu ni majadida na watu wa bidaa ndo wanaotukana.
Uko vzuri bachu lkn achana na kujibizana na watu wa bid3ah.. sio kua hawajui…wanajua haki ila wanaangalia matumbo yao…fabya daawa yako kwajili ya Mungu na sio vzuri kumuombea mwenzio dua mbaya …Allah atuongoze sote
@@AdamDaudy nakusudia binadamu yeyote anaezusha mambo katika dini ima kumsingizia Allah au kumsingizia mtume? Umeelewa au bachu atoe vdeo ndio muelewe?
Ametoka Kwa Salafi ameingia Kwa masufi kibaya Zaidi Ni Shekh mzima anatoa laana Na Dua Kwa pamoja ndani ya msikiti Na kulazimisha kuitika Ameen si Dhani kama mtume s.a.w aliwahi fanya hili kumuombea maovu muislamu mwenzako.
Shekh mm nakubaliana nawewe kuwa sio sahihi kuwasema vibaya bila heshima wale wote wasiofanya yasawa katika Sunnah ya Mtume SAW. Allah akulipe heri inshallah
Aibuu mawaidha ya dini kueleza mipasho na kuombeana dua mbaya, huko ndo kutangaza uislam, tuna tofauti gani baina yetu na mashia wanaotetea madhihebu yao kuwa ndo uislam, binafsi sisi tusiokua na elimu hatuoni fakhri kwa malumbano yenu mme poteza dira mnaacha kufata misingi ya dini mnakimbilia kujinasibu kwa ubora nani zaidi aibu gani hii
Unajua Allah amekupe elimu maashallah na nimesikiliza baadhi ya darsa zako nikazielewa sana jinsi unavyo kataza maaswi lakini nikazisikiliza nyingine nikakuta na wewe unaingia mule mule nikichukia sana japo sijakudharau.nikakupa udhuru labda ujana huoo huenda ukikua utaacha
Yana kuna mambo unayakataza yakuwasema watu kabla ya kuwafuata.alafu na wewe unayafanya tena ukawaita wanafiqi.mimi nasaha zangu kwako badilika waachie wenyewe walumbane wanao lumbana wee bainisha haqii kataza maasi achana na kuwataja watu majina.mana ibilisi ni mshenzi sanaa
@@kassimabdallah7297 ahh endelea kufahamu unavyofahamu mimi simo humo, sikuwezi, sina la kukuelekeza ni juu yako kuamini unaloona ni sawa kwako, hakuna atakaebeba dhambi za mwenzake kila mmoja atakua na lwake,
Kijana mche Allaah kiukwel hata wew ni miongoni mwa wanaomsema vbaya shekhe rabii kwaiy unataka Allaah aondoshe nguvu zako wew za kiume au vp? اتق الله
Masufi ndio Waliokukosoa kuwa kiarabu hujui Na wakaweka maneno ambayo umeyatamka vibaya sana kiswarfa Na wakaonyesha kuwa elimu ya lugha katika milango ya sarufi uko mtupu kabisaa Kama masufi wamekosea mbona huwakanushi na kutuonyesha kuwa umepatia na hukukosea Kisha upnyeshe huko kupatia kwao Ewe ghabiyyun
@Muhammad bachu unajuwa manhaj lakini wew kweli vp utamrad mubtadiii afy utaje kazur yake kwel hjsoma manen ya wana vyuon afu shekh rabiii kwel umfananishe na mdai riba et na yeye atajiwe mazur yake Wallah huko ni kuwafanyia hiyana waislam
Wewe kijana nikikuzingatia nakuzingatia Kama vile uliwahi kuumwa uchizi maqnq unaropoka tu hujielewi Sasa Nini unacho kiongea eti kwasababu sheikh rabii Allah amrehemu alikuchapeni mahizibi mnamchukia kwanini nyinyi mahizibi barahiyani mpo kwaajili ya kufurahishana fuateni mahaji sahihi na unatakiwa ukitaka kufata manhaji sahihi ya salafy lazima usaidiane na masalafy Kama masalafy wanao tambulika kuwa Ni masalafy Sio mahizibi wakianswari
Hii ndio maneno ya wahenga kumba ukijichamba saaana mwisho utatoka na kinyesi ndio nyingi kujifanya mwajua saana mwisho mwajikama wenyewe kwa wenyewe sisi masudi tumetuliiiia na mimaulidi yetu na ndio kwaaanza yanazidi kushamiri
Kweli Muhammad. Nacho leo umejikanyaga .Kuna siku niliikuskiaa unamsema vibyaa shekh rabiii..kwamba ana kisuu cha kukata watu .akijiskiaa kumtoaa mtu kweny sunnah anakata .na kumtoa .tena leo unasema hivo mbona unajikanyaga shekh ???
Tanga watu wake.tunapenda sn dini kuliko. Mikoa.yote Tanzania Alhamdulillaah watu watanga allha atujalie ikhilaswii. Ila shkheee Mohammad nacho. Hizo Radi zakisalaf Ziacheni shikamaneni kutetea Sunna nasiyo kutetea Taasisi zenu
Jamani mpokeeni Hazrat Mirza Ghulam Ahmad (a.s),Mwanzilishi mtukufu wa Jumuiya ya waislamu wa Ahmadiyya.huyu ndiye Imamu Mahdi na Hakimu Kwa zama hizi ,mtu anayekufa bila kujiunga na Imamu huyu amekufa kifo Cha kijinga .
Tatizo lako upo Tofauti Sana na Almarhum baba yako Allah Amraham, Baba yako Alipata umaarufu kwasababu ya Dawah, ila wewe Unataka umaarufu kupitia kusema watu tuuuu na kiki
Ametoa ushahid kwaiyo ww uko tayar wanachuoni wasemwe vbaya au na ww ni ktk wanaowasema wanachuoni vibaya mm binafsi kwa hili naunga mkono mfa Muhammad bin Abdulwahab anasemwa vinaya sana na watu wa bidaa Hadi wanaofuata SUNNA wanaitwa mawahabi au ww hujui
Kama ni uongo hajachukua hizo pesa na hajadai riba alkuwa aseme mwenyewe, maana kaambiwa aseme kama uongo utatolewa ushahidi. Lakini mbona kanyamaza kimya?? Kwanini hajatoka kujitakasa na yaliyosemwa???
Yaan ww bachu allah akuongongoze
We Muhamad Bacho ukapimwe Akili....
Akhiy.umeharibu ddawa yako kwakujiingiza kwenye ddawa za mipashoo una felii
HUYU MISIKINI
MUHAMMAD NASSOR BACHU
HAJIELEWI!!
kosa lipi sheikh..
Huyu jamaa Allah amuongoze
We tubia we. Kwakuwafurahidha kina barahiyani ndio uite MSIKIT kijisikiti..
سبحانالله!
Allah akuongozee ndo dua gan hyo na umesoma dini ww
Mtumee kafanyiwa mangap hajawah hata cku moja kukubal adhabu iwashukiee makafir sembusee ww unaombea dua waislam wenzako !!!!! Jitafakari akhy
Wewe Muhammad Bachu ni Mwanafunzi wa MSABAHA Unapita mule mule...
Wew jahil mwengne
Hawana tofauti
Wee muhamad bachu humjui vizuri sheikh Rabii acha ujinga
Shekhe,upo sahihi ni kweli hawa majadida kina mafuta na genge lake wamemdhulumu xana shekhe barahyani allah amuhifadhi,shekhe kapambania sunna sana tz wakati huo wanaompiga vita kina mafuta na wenzie walikuwa wapiga madufu na wengine wamezaliwa juzi tuu,maskini hawajui mchango wa sunna hapa tz ni barahyani amesaidia sana kupambana na watu wa bidaa amepigwa xana mawe yule shekhe Allah, atamlipa siku ya kiama kwawale walomdhulumu hakika allah awapendi madhalimu, wengi hawajui katika hii comment zao humu ni majadida na watu wa bidaa ndo wanaotukana.
Jazzakallahu khayran sheikh wangu
Uko vzuri bachu lkn achana na kujibizana na watu wa bid3ah.. sio kua hawajui…wanajua haki ila wanaangalia matumbo yao…fabya daawa yako kwajili ya Mungu na sio vzuri kumuombea mwenzio dua mbaya …Allah atuongoze sote
Unaposema watu wa bidaa unakusudia nini?
@@AdamDaudy nakusudia binadamu yeyote anaezusha mambo katika dini ima kumsingizia Allah au kumsingizia mtume? Umeelewa au bachu atoe vdeo ndio muelewe?
Hivi unaakili au matamanio ndio yamekutawala
Hapa umeteleza Allah akusameheme
Anakataa dua ya pamoja halafu anawambia waumini waitikie dua
Ametoka Kwa Salafi ameingia Kwa masufi kibaya Zaidi Ni Shekh mzima anatoa laana Na Dua Kwa pamoja ndani ya msikiti Na kulazimisha kuitika Ameen si Dhani kama mtume s.a.w aliwahi fanya hili kumuombea maovu muislamu mwenzako.
Shekh mm nakubaliana nawewe kuwa sio sahihi kuwasema vibaya bila heshima wale wote wasiofanya yasawa katika Sunnah ya Mtume SAW.
Allah akulipe heri inshallah
Ustadh wangu wenyewe hao ndo pia wamwita majina mabaya...
kwani huwaoni au huwasikii... sema wote waache kudharauliana.
Aibuu mawaidha ya dini kueleza mipasho na kuombeana dua mbaya, huko ndo kutangaza uislam, tuna tofauti gani baina yetu na mashia wanaotetea madhihebu yao kuwa ndo uislam, binafsi sisi tusiokua na elimu hatuoni fakhri kwa malumbano yenu mme poteza dira mnaacha kufata misingi ya dini mnakimbilia kujinasibu kwa ubora nani zaidi aibu gani hii
Wewe ungekuwa na kheri nyingi
Ungekaa darasani ukasoma na kusomesha huku ulikoingia sikoo.hiyo sio ddawa ya mbora wa viumbe
@@kassimabdallah7297 sikuelewi ndugu yangu mbona mchango wako wa mawazo hauko fasaha wewe unayaonaje hayo nisawa wanavyo fanya?
Unajua Allah amekupe elimu maashallah na nimesikiliza baadhi ya darsa zako nikazielewa sana jinsi unavyo kataza maaswi lakini nikazisikiliza nyingine nikakuta na wewe unaingia mule mule nikichukia sana japo sijakudharau.nikakupa udhuru labda ujana huoo huenda ukikua utaacha
Yana kuna mambo unayakataza yakuwasema watu kabla ya kuwafuata.alafu na wewe unayafanya tena ukawaita wanafiqi.mimi nasaha zangu kwako badilika waachie wenyewe walumbane wanao lumbana wee bainisha haqii kataza maasi achana na kuwataja watu majina.mana ibilisi ni mshenzi sanaa
@@kassimabdallah7297 ahh endelea kufahamu unavyofahamu mimi simo humo, sikuwezi, sina la kukuelekeza ni juu yako kuamini unaloona ni sawa kwako, hakuna atakaebeba dhambi za mwenzake kila mmoja atakua na lwake,
Ww mvuta bangetuu
Tabia yakutukana sio mzr
Subhaanallah
uislam unaenda pabaya sijui tunaacha kizaz cha aina gani kiyama hicho
Kijana mche Allaah kiukwel hata wew ni miongoni mwa wanaomsema vbaya shekhe rabii kwaiy unataka Allaah aondoshe nguvu zako wew za kiume au vp?
اتق الله
Masufi ndio
Waliokukosoa kuwa kiarabu hujui
Na wakaweka maneno ambayo umeyatamka vibaya sana kiswarfa
Na wakaonyesha kuwa elimu ya lugha katika milango ya sarufi uko mtupu kabisaa
Kama masufi wamekosea mbona huwakanushi na kutuonyesha kuwa umepatia na hukukosea
Kisha upnyeshe huko kupatia kwao
Ewe ghabiyyun
Makosa ni ya hao watu waliyokaa hapo kumsikiliza huyu ambae anatafuta balaa hapa duniani
Ufahamu mdogo tu huyu shekhe...
@Muhammad bachu unajuwa manhaj lakini wew kweli vp utamrad mubtadiii afy utaje kazur yake kwel hjsoma manen ya wana vyuon afu shekh rabiii kwel umfananishe na mdai riba et na yeye atajiwe mazur yake Wallah huko ni kuwafanyia hiyana waislam
Huyu Ni mpuuzi wa kiwango Cha lami
Kijana una jazba kasome tena
Wewe Muhammad Bachu una akili lakini barahiyan ni salafi
Mana unayokataza ndio unayo yafanyaa sasa nashindwa kukuelewa
Anayo yakataza ndio anayo yyafanya
Barahiani muombaji riba Hahahaha duuuh
Wapambane kwanza na mwanafunzi wako albani Kisha ndio waje kwako aalim ambae hakuna kama ww porojo jingi
Wewe kijana nikikuzingatia nakuzingatia Kama vile uliwahi kuumwa uchizi maqnq unaropoka tu hujielewi Sasa Nini unacho kiongea eti kwasababu sheikh rabii Allah amrehemu alikuchapeni mahizibi mnamchukia kwanini nyinyi mahizibi barahiyani mpo kwaajili ya kufurahishana fuateni mahaji sahihi na unatakiwa ukitaka kufata manhaji sahihi ya salafy lazima usaidiane na masalafy Kama masalafy wanao tambulika kuwa Ni masalafy Sio mahizibi wakianswari
Masha Allah
Maa shaa Allah. Allah akulipe kila la kheri .
We kibabu huna hekma, mbn mchechezi badala ya kuwaelekeza watu unawaombea maangamizi
Mhjamani diniyetu uhuu
Hapo ndipo ulipo fikia uislam wetu
mbona mipasho mingi kama mwanamke
ShoGa huyu
@@mpondamedia2416 Shoga babaako
Hii ndio maneno ya wahenga kumba ukijichamba saaana mwisho utatoka na kinyesi ndio nyingi kujifanya mwajua saana mwisho mwajikama wenyewe kwa wenyewe sisi masudi tumetuliiiia na mimaulidi yetu na ndio kwaaanza yanazidi kushamiri
Na maulidi yenu kweli sio ktk dini
Bayana chungu kwelikweli duh!
Hahahahahahaha.
Hana cha bayana huyu mtafuta sifa
Barahiyani huyu dhwaalimu arudishe milioni 200 za watu
Kaiba wapi
Kapewa kwaajili ya ujezi wa msikiti hajazifikisha
Kweli Muhammad. Nacho leo umejikanyaga .Kuna siku niliikuskiaa unamsema vibyaa shekh rabiii..kwamba ana kisuu cha kukata watu .akijiskiaa kumtoaa mtu kweny sunnah anakata .na kumtoa .tena leo unasema hivo mbona unajikanyaga shekh ???
Heee!!
Muandamane..
Sasa na wewe pia ni shekhe duuh hii elimu haina wenyewe
ww ni mjinga nenda ukasome kweli nakunasihi
Asome choni ww unsoma wapi jahil
Akasome kweli
We babu, kisa umepata nafasi ya kupewa meza na spika.. unafanya vurugu kweli kweli.. babu..
Kila mtu mwenye akili timam,, hawezi kuwa wahabi,,kwa staili hiii,, ya Vijembe
Wahabi ni mtu wa SUNNA Kama hutaki SUNNA tutaonana kaburi MUNGU akuongoze ww na mm
Mpuuz ww kwa dua yk
Tanga watu wake.tunapenda sn dini kuliko. Mikoa.yote Tanzania Alhamdulillaah watu watanga allha atujalie ikhilaswii.
Ila shkheee Mohammad nacho. Hizo Radi zakisalaf Ziacheni shikamaneni kutetea Sunna nasiyo kutetea Taasisi zenu
Jamani mpokeeni Hazrat Mirza Ghulam Ahmad (a.s),Mwanzilishi mtukufu wa Jumuiya ya waislamu wa Ahmadiyya.huyu ndiye Imamu Mahdi na Hakimu Kwa zama hizi ,mtu anayekufa bila kujiunga na Imamu huyu amekufa kifo Cha kijinga .
Unaakili ww ujielewi
Nnashida na no zako
سبحان الله تضع صورة الشيخ عبدالله لأ جل الطعن
أطال الله بقائك على منهج أهل السنة وحسن الخاتمة عند الموت
Jamani haya malumbano yetu sisi waislamu kwa waislamu mpaka lini?
Mpaka sisi tuijue vizur kalima tawheed
Masufi ni waovu kwa imani yako na wanachuoni wengi wanawakubali wacha mdomo mchafu mdomo wako hauna twahara katika kulinganisha waislamu wahabi
Wahabi ni mwanachuoni si unaona unavumsema vibaya halafu msiambiwe iv kweli
Untabia zakishoga
Sasa unaiba pesa za waislam Kisha tukusifie kwa sunna
Ss si munasema duwa haram nyinyi ss amin ya nn
Tatizo lako upo Tofauti Sana
na Almarhum baba yako Allah Amraham, Baba yako Alipata umaarufu kwasababu ya Dawah, ila wewe Unataka umaarufu kupitia kusema watu tuuuu na kiki
Ametoa ushahid kwaiyo ww uko tayar wanachuoni wasemwe vbaya au na ww ni ktk wanaowasema wanachuoni vibaya mm binafsi kwa hili naunga mkono mfa Muhammad bin Abdulwahab anasemwa vinaya sana na watu wa bidaa Hadi wanaofuata SUNNA wanaitwa mawahabi au ww hujui
@@medimisi6930 laa abdan sipo tayari wana wachuoni wasemwe, ila mgogoro upo hapa, nani mwana wachuoni sasa hapo?
Weye ni mgonjwa
@@abuahmad1206 nawewe mwehu muhuni chizi mukhaffaf
Wew msenge rui
MPOTOFU.. TU WEW..
Tuelimishe ww basi mjuaji
ww ni mubtadic na pia ni boyi wa barahiani
Kwanini umichagua ALLAH awavunjie nguvu za kiume ?!!!
Swali zuri sana?
Na ataanzwa yeye kwsababu yeye ndio aliemtwaani
Hahahaha huyu
Wewe kwisha wewe
Kama ni uongo hajachukua hizo pesa na hajadai riba alkuwa aseme mwenyewe, maana kaambiwa aseme kama uongo utatolewa ushahidi. Lakini mbona kanyamaza kimya??
Kwanini hajatoka kujitakasa na yaliyosemwa???
Hili zombi la kihizb ukiwa umesoma huhangaiki
Samahani al -akhiy tumia lugha nzuri utaeleweka ..
Mada imekushinda wewe mpuuzi wewe
Ushawataja wangapi wewe mpuuzi
Na wewe unayewakosoa wakina barzanji na mashekhe wengine uombewe dua gani
Hiki kipande kifupi,ipo ndefu yake itafute kwasababu amelizungumzia jambo ili ulilosema
Maulid ni bid'aa & barzanji inamakosa mengi
@@jumamahmoud9271 tuma link basi tuone
@@suleymansalim5732 nitazituma mbili musikie kwa sauti zenu kua sheikh muhamed yupo sahihi kabisa tena maneno yake yanaendana na maulamaa.
Mm huyu sheikh simuelewi mn si salafi ila barzanji Hana faida kwa wanaotafuta elmu
Kasima mafuta na genge lako
Mbona kinyaaa
😄😄😄eti ndio dini hii😄😄😄hakuna dini hapa ni upuuz mtupu huu
Kuwakufurisha watu ambao walikuwa ni maulamaa
We Muhamad Bacho ukapimwe Akili....
Kabisa