Mungu atupe Ufahamu wenye Maslah kwa Umma wa Kiislamu na sio kujifakharisha Kitaaluma ili kuonekana Sheikh fulani anajua sana. Qibri hasa katika Uislam ni DHAMBI iliyotiliwa Mkazo kwamba Haifai kwa Muslamu yoyote kuwa na QIBRI kwa hilo ni VAZI la ALLAH (sw). Masheikh zetu rudini kwa ALLAH na muache kujifakharisha Kielimu kwa walikuwepo MAIMAM wakuu lakini hawakufanya mnayoyafanya nyinyi sasaivi. Allah awaongoze nyinyi na sisi kwa ujumla.
WALLAHI NIME AMINI MAULID SIO KITU KIBAYA KAMA NI KWELI SHEHE WETU BACHO ANGEJIBU ILI TUSONGE MBELE ILLA KASHINDWA KUJIBU NITASOMA MAULIDI TOKA LEO INSHAALLAH NA MIMI PIA NAKUPENDA MTUME WA MUNGU NA NITAMSIFU INSHAALLAH
Pole sana Allah akuhifadhi. Mteyeaji wa maulidi mwenyewe kakubali riwaya hiyo ni mbovu maneno hayo ni machafu hayafai hata kutumiwa. Na wewe unakusudia kumshirikisha Allah.......!!!!
Kashindwa wapi. Acha kua mnafiki. We kama unakusudia kumshirikisha Allah Kazi kwako. ila Dunia nzima hakuna mwenye uwezo wa kutetea maulidi na kama hamna wa kuweza tetea uongo na ushirikina huo na wewe unakusudia maisha yako yote kuyaweka katika kumzushia mtume na kumshirikisha Allah ukifa katika itikadi hiyo ya kishirikina usimlaumu mtu bali moto ndo stahiki yako. Ushahidi huu hapa. { إِنَّ ٱللَّهَ لَا یَغۡفِرُ أَن یُشۡرَكَ بِهِۦ وَیَغۡفِرُ مَا دُونَ ذَ ٰلِكَ لِمَن یَشَاۤءُۚ وَمَن یُشۡرِكۡ بِٱللَّهِ فَقَدِ ٱفۡتَرَىٰۤ إِثۡمًا عَظِیمًا } [Surah An-Nisāʾ: 48] Huna msamaha mbele ya Allah katika ushirikina. Na uzushi kumzushia mtume. Mtume amesema Katika mafuhumu ya hadithi kua. Ujiandalie makazi motoni. Nasaha zangu. Tengua nia yako ya kumzushia mtume na kumsifu kwa uongo na kumshirikisha Allah. Yote hayo yapatikana katika maulidi
Km unampenda sana si bora ukamswalia na kufuata maamrisho yake ni bora zaidi kuliko kufanya kitu chenye khitilafu wengine wanasema kinafaa na wengine hakufai. Akhera usije kujikuta ni mzushi. Au ww unapata faida gani kusoma maulid ambayo faida hio ukikaa peke ako au nawatu ukamswalia Mtume kwa kusoma “duruud Sharif/Ibrahim” utakikosa???
Mtume wetu s.a.w amesema hii umma Yake itagawanyika katika vikundi 73 na kundi 1 Tu ndio itaingia peponi, maswahaba wakamuuliza ni lipi Hilo kundi 1 la kuingia peponi, Mtume s.a.w akawajibu ni wale ambao wako juu ya Yale ambao leo hii Mimi Niko juu Yake pamoja na maswahaba zangu. Mtume wetu s.a.w hajafanya maulidi na maswahaba pia hawajafanya maulidi sasa wewe msoma maulidi uko katika kundi lipi Kati ya hizo kundi 73 . Jambo la msingi hapa ni kutambua Hilo kundi 1 la kuingia peponi alafu ujiangalie wewe kama unalingana na hilo kundi. Assalamu Aleikum.
Ni dhahiri Bachu hajapata bado wakujadili naye hii mada.... Hii ilikua nafasi ya dhahabu ya Saidi kuokoa maulid kwa kuitetea na kutangaza na kudhihirisha UKWELI wake lakini masaa karibu matatu, Bachu amekuwa akifundisha peke yake mbele yao wakiwa kimya kabisa. Alhamdulillah... Ukweli umedhihirika
Saidi elimu anayo yenye baraka kwa Allah ndiomana ametulia.bachu elimu yenye baraka hana aharibu muda kwakubwabwanya jibu aliliona lakusema sijui lakini hasemi kwakua amezoea uongo mnasihini aende mamburui akasomeshwe bure hatalipa chochote
Wallhy kusoma raha sana bachu kapata funzo kubwa sana hatosahau maisha yake yote hichi kidonda mpk kufa kwake hii ni aibu ya miaka ndo mana hata speed yake imepungua hatumuoni tena skuhizi akituma clip zake yuko kmyaaa kma sio yy
shekhe wa twarika anakuambia hata mashekhe wake hatowasikiliza. sasa kuna nini hapo ww ushakubali kua hadithi ni mbovu sasa upewe ushahidi gn na mada imesha isha kua shairi hilo ni UONGO. walitaka tu kuharibu ila dunia imeelewa kua ktk mAulid kuna uwongo. sasa atakaesoma ni yeye tu. ila haki imefika.
Kueli watu wamepumbazua na awa masufi,nikuambieni masufi ni watu hatar sana Ila nyinyi wafuasi wa kisufi amujui na amulioni Ilo ,awa jama wameweka taratibu zao kwamba mtu akifiwa analazimishua awapikie chakula bala ya wao kumsaidiya aliefiwa,sasa awa masufi ni tatizo kubua sana katika jamii yetu ya kiisilam
Muhammed bachu yupo sahihi kabisa.mtume akusherehekea siku yake ya kuzaliwa wala maswahaba awakusherehekea.maulid itabaki kuwa uzushi nanidhambi kusherehekea kitu ambacho mtume muhammad swalallahu alayi wasalam akuruhusu kifanyike.ACHENI KUSHEREHEKEA MAULID,ACHENI KUFATA MKUMBO.SHEIKH SAID MUOGOPE ALLAH, KWENYE QURAN AMNA SEHEMU ALLAH AZZA WA JALLA AMERUHUSU MAULID...
Huna hoja mana hujaweza kutetea hoja yako ya kusema kwa wanya munadanganya watu na hupotosha watu ila mungu anawaona nakama ni utashi wenu huo mujue akhera mutalipa
Heheheheehe sasa bachu kma kidume alikua aseme tu cjui kisha uone wanyama walitamka au laa lkn hataki kujibu swali la kwnza tutaenda vp la pili wakati la kwanza bado hehehehehe bachu ametia aibu fedheha alikua hataki kusema hajui ameona bora aseme hajawah kuona lkn kusema hajui ameshindwa sasa hapo nani kakimbia hoja tumeona bachu ni zero
Kwani mnafikiri watu wa maulid haujuw ukweli wallah wanajuwa saana tu Masikitiko ni kwa watu wadogo wa dogo masikin wasiyo kitu wana wadanganya wana Fata mkumbo Wallah kwa mwenye burasa bila ujinga wake ameona ukweli uko wapi mimi nimejifunza kitu kwakweli Mtu kitabu chenu na mnakiamini Una ulizwa swali na ww unauliza swali 😢 Ingebidi utunufaishe ukiteteye hadi tuamini ukweli wake.hakika kuelewa ni kwawenye akili
Huyo said amewekwa hapo kumtetea sharif abdulkadir ame karirishwa kuwa hoja yoyote ikitolewa asema hivo na asiachilie msikani...kwasababu ya kuepuka aibu ya kushindwa kujibu.... BACHU ameshajibu kuwa hicho kitu hakuna sasa yeye ndio alikuwa asema hayo maneno ni kweli wanyama walitamka kiarabu ama ni urongo....hii inaonesha dhahir kuwa watu watwarika wataka kutia watu motoni......maulid sisomi tena after huu mjadala
Kutoka msumbiji nasikitshwa sna na walinganizi wengi wapotevu kutoka TZ na Kenya kumtiya makosani mtume wa Allah kwa kitendo chao cha kuitakidi maulid kuwa ni ibada! Kwasababu iyo inaonesha kuwa mtume amefanya khiana katka da'wa yake na hali ya kuwa mwenyewe anasema katka hadiith kwamba akuna khery yeyote ispokuwa mimi nimeifikisha kwenu!
Iblis amewaghuri na maulidi zenu pia sisi tulikua huko ila ukweli ukidhihiri muislam huna budi ukubali tumcheni Allah. Leo amekataa kuyasahihisha yaliyomo kwenye kitabu cha barzanji lakini kwa Allah kesho mutamjibu hao wanyama waliozungumza mumweleze yeye.Muhammad Bachu mutampasua kifua bure suummun bukmun ghumyun
Haya anshindwa waambieni masheikh zenu sasa watutengezee mada ya kuzungumzia yaliyoandikwa ndani ya kitabu cha barzanji.haina haja ya debate.yeye sheikh Bhachu kila leo aizungumza barzanji.mbona sijaona hata clip moja ya masheikh wa kisufi kuzungumzia hicho kitabu.mimi kama si sheikh Bhachu nsingejua barzanji ameandika nini tulikuwa twaimba tu mungu atusamehe.sasa ni wajib kwa wanaoitumia hiyo barzanji kuifundisha akhy
Jamma wa tarika said yeye hajali kwamba kitabu cha barzanji ndani munauwongo yeye anataka tu barzanji asiitwe murongo au muongo 😂😂😂😂😂sasa kitabu kime jaa uongo shirki kibao he doesn't mind what his people are reading is inauthentic he doesn't mind at all 😂😂😂😂😂people are going astray from the right path he doesn't mind 😂😂he wants people to not call jaffer barzanji a liar, kumekucha!!!!waafuasi wake wacha waende mtoni kwakufanya shirki lakini BARZANJI asiitwe MUONGO 😂😂😂yeye KASHINDWA kabisaaaaa kuitete kila kitabu cha BARZANJI Dahhhhh what loss,halafu anarukaruka eti kashinda,hoja hata moja haijajibiwa ,na yule jamma alova miwani anapokea simu za watu wakati mjadala unaendelea mwambie ashikilie hapo hapo😂😂😂😂😂halafu saidi anazugumza kalegeza mikono ,WEEEEEWE,😂😂😂😂😂Eti kashinda😂😂😂😂
Jamani wakenya wabishi sana wanajifanya wana i'lmu kumbe c chochote nampongeza sana bachu Allah akulinde tokea mwanzo wakenya walikua wanakutafuta kwa baya lkn Allah atakulinda na cc tunaamini kua maulid ni bid' wala usitahayari tuko pamoja na nnnñ
Allah amewajaalia macho lakini awaoni,awsikii,awatafakari enyi watu wa maulidi hatta kama mungekusanyika dunia mzima ili muweze kuitetea maulid amuezi kamwe kwasababu amuna burhaani yeyote ile ibada gani mtume aijuwi makhalifa awaijuwi maimamu wanne awaijuwi?
USTADH SAIDI SIBANDUKI AMETUONYESHA SARAKASI TUPU LEO HANA HUJA WALA DALILI HATA MOJA KUTETEA MAULID... AMEAZIRIKA SANA KAMA ALIVYO AZIRIKA MAJAZ AL KUBRA ... HUYO YAKE ILIKUWA KIBOKO KIMOJA TU AKAAMUA ASIBANDUKE ASKILIZIE TU UCHUNGU WA KILE KIBOKO KIMOJA.. MAJAI AL KUBRA ALIJITAHIDI AKAVUMILIA VIBOKO 19
Sasa jaman mbona hatulati taaluma nzuri za kiielmu hapa, tunataka faida za kielmu kwan mnaangalia mtu au jambo lake alozungumza mbona hatujaelewana😊. Halafu naona mnavutia tu upande flani lakin hamna ithbati. Naona bora mngeeka mada makhsus ili tuwaelewe. Salaam
Maulidi yasomwe kwa wingi kumbe huyu bachu hajaona andiko lolote wala hajawahi kuskia andiko popote linalomfanya yeye aseme maulidi hayafai na niuongo, kumbe alikaatu kwaakili yake mwenyewe akaona awatukane mashekhe na awatukane waislam woote wayasomao maulidi sasa nikwambiet kua masuala ya dini hukumu kupitia kur'an hadithi na hata rai za wanazuoni usitowet yakot kichwani......
Maulidi yanasomwa na watu wajinga tuuuu sio watu walio na elimu na ujinga sio tusi maana hua hamkawii kupayuka ushahidi Quraani Suratul huud aya ya 45 hadi 47. Mjadala mpaka umeisha watu wa maulidi wameshindwa kutetea kua wanyama walizungumza na wengine wakapeana bishara kua mimba imetungwa huo ni uongo. Lakini imeshindikana kutetea kua ni ukweli. Mashia wameanzisha maulidi na nyinyi mnasema dini. Au ndo walewale mashia ndo mnao comment huku.
Kitbu hicho kip sawa ila mahala pale pakusema minyama .bahar walijua. Hapo sio ukweli ni makosa hapo pekee ila kwa maulidi iko sawa iwapo mtume hakufanya .. sote tuko kufanya ibada hapa sioni mwenye kushinda ila Allah ndiye mushindi. Nasema hyvi sheikh bachu anaeza kusema hyvo kumbe ni makosa . Alaf sheikh omar pia anaeza kua ni wa makosa sote tufanye kile tunacho ona kina thawab .na wanaona. Ile ni mbaya muache. Sote tupatane pale kwa Allah ila maulidi iko sawa kwangu nafanya na sipigi kelele na mtu Allah knows best of it...
Said kataka aonyeshwe hukumu ya wanazuoni kuwa anayenukuu hadeeth munkari ni muongo. Bachu kajibu kwa kutoa nukta ifuatayo: Wanazuoni wanahukumu MTU iwapo huyo mtu ni mpokeaji wa hadeeth. Hivyo mtu anaposimulia ama kunukuu hadeeth munkari (ambayo Said amekubali kuwa ni kweli hadeeth Munkar), wanazuoni wanatoa hukumu kwa kile kilichosimuliwa ama kunukuliwa. Hiyo ni COMMON-SENSE kwani wanasema akili ndogo hujadili mtu/watu, akili kubwa hujadili wazi/hoja. Sasa unajiuliza kipi kigumu kuelewa hapa? Ama ndiyo kweli huko Mombasa common-sense is not common anymore?
@@salimkhatri8064 BACHU KASEMA KUWA " HADITHI MUNKAR MAANA YAKE NI UONGO". ALIPOAMBIWA ATHIBITISHE MADAI YAKE KWA WATAALAMU WA HADITHI, NDIO BACHU AKAJIKOJOLEA NA KUJIULIZA SUALA JENGINE NA AKAJIJIBU ILA HAKUJIBU SUALI ALILO ULIZWA. NAJUA UNA MAPENZI NA BACHU NA UWAHABIYA, LAKINI HAMKUMJIBU SHEKH SAID SUALI ALILO ULIZA.
Mtume wetu s.a.w amesema hii umma Yake itagawanyika katika vikundi 73, na zote zitaingia motoni isipokua kundi 1 Tu ndio itaingia peponi, maswahaba wakamuuliza ni lipi Hilo kundi 1 la kuingia peponi Mtume s.a.w akawajibu ni wale ambao wako juu ya Yale ambayo Leo hii Mimi Niko juu Yake pamoja na maswahaba zangu. Maulidi mtume hajafanya maswahaba hawajafanya sasa wewe msoma maulidi uko katika kundi lipi Kati hizo 73. Jambo la msingi hapa ni kutambua Hilo kundi 1 la peponi ambao wako juu ya Sunna za mtume wetu s.a.w alafu ujiangalie wewe kama unalingana na hili kundi la peponi. Assalamu Aleikum.
Kuna ayah katika surah nnamli,mwenyizi m'ngu anasema (litakapotimia neno juu Yao tutawatolea mnyama wa ardhini kusemesha watu) sasa atazungumza na watu lugha gani?
Wacheni unafik sikilizeni hoja na mucomment ukweli kama kweli mumeelewa hoja sio kuzidi kupotosha umma,Sheikh Said ni kama mwanafunzi Kwa Bacchu aseme Tu Alikua anahamu yakukutana nae lakini kihoja bado mchanga Sana.
WENYE ELIMU PEKE YAO NDIO WAMEELEWA KWANINI LIMEULIZWA SWALI ILO,BACHU AKABAKI KAMA NDEGE ALIEFUNGWA MABAWA ASHINDWE KURUKA.KRIPU ZAKO TUNAZO ULIZOMWAMBIA MARHUM SAID NABARZANJ,MSHIRIKINA NA MUONGO,,,JIBU SWALI AMA SEMA SIJUI,NALO NI JIBU PIA.
Angesema hajui tu angeoa....jibu lingekuja ama laa lakini bachu hakutaka kukubali hilo....angesema.....SIJUI KISHA ANGEONA JIBU...bachu amefili mana mambo yako wazi tu wallah
Hamkosagi maneno tuuu. Hapa mnatafuta jinsi ya kujitetea ili kuendeleza uovu wenu wa maulidi ulio Anzishwa na Mashia waovu. Endeleeni na Kufru na ushirikina wenu msipotubia kinawasubiri kibano siku ya mwisho wasio kua na haya kumshirikisha Allah na kuwaunga mkono MASHIA kwaajili ya wali tuuu maskini. Yaaani wali tuuu. Njaaa hizi mmmmmmm.
Uongo kwa Mtume, Mwenyezi Mungu amfikishie rehema na amani الكذب على النبي صلى الله عليه وسلم ، منكر عظيم ، وإثم كبير ، وذلك لقوله صلى الله عليه وسلم : " إن كذبا علي ليس ككذب على أحد من كذب علي متعمدا فليتبوأ مقعده من النار" رواه البخاري (1229) ، ورواه مسلم في مقدمة صحيحه (3) دون قوله : " إن كذبا علي ليس ككذب على أحد " . وقوله صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ : " لا تكذبوا علي فإنه من كذب علي فليلج النار " رواه البخاري (106). وقوله صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ : " من حدث عني بحديث يُرى أنه كذب فهو أحد الكاذبِِينَ" رواه مسلم (1). وقد ذهب جماعة من أهل العلم إلى كفر من تعمد الكذب عليه صلى الله عليه وسلم
SIO SUALA ULILOULIZWA WEWE MUWAHABI. HUO NI UJANJA WENU WA KUWAPOTEZA WATU. HUJAAMBIWA UTAJE UONGO WA WATU WANAOMZULIA MTUME SAW. SUALI MLILOULIZWA MAWAHABI. JEE ITTIFAQI GANI YA MUSTALAHU LHADITHI IMESEMA MTU AKITUMIA HADITHI MUNKAR HUWA NI MUONGO AU KITABU HUA UONGO?. JIBUNI KWAZA SUALI. Kisha mtaleta hadithi nyengine tuchambue nayo.
Hapo kinachokufanyika wanaopost midaalo hii wote wapo upande wa kuiunga mkono Barazenji na ndo maana wanaopost video kwa kukerza mjishike wanyama waliongea vipi? Ni uzushi tu katika dini
Acheni UONGO. Mwanzo wa mdahalo Bachu aliweka sawa maudhui na kusema kuwa wako pale siyo kujadili mtu bali kujadili jambo. Shekhe wenu alikuwa anatumiwa vikaratasi na wasikilizaji (kinyume na kanuni za nidhamu ya wasikilizaji). Kwenye video inaonekana kabisa anayetakiwa kuwa mhakiki akiongea na wasikilizaji wengine halafu wanamuambia Said kwa ishara ang'ang'anie asikubali kujibu maswali ya Bachu. Bachu kaeleza waziwazi kuwa Jaffar Barzanji siyo mpokeaji wa hadeeth bali ni msimuliaji wa hadeeth. Nakuna hukumu ya wanazuoni kwa mtu ambaye siyo mpokeaji wa hadeeth bali hukumu inatolewa kwa maneno yaliyonukuliwa ama jambo lililosimuliwa. Baada ya shekhe wenu kuendelea kusisitiza kuwa hatoendelea mbele mpaka aonyeshwe hukumu ya wanazuoni kwa msimuliaji, Bachu akasema basi "tufunge kikao tukapate lunch". Sasa kwa sababu hamna maarifa ya Logic and Critical Thinking na badala yake maarifa yenu ni kwenye utunzi wa mashairi mnaona UTOTO aliyoufanya shekhe wenu ni umahiri. Shekhe wenu alitandaza vitabu si chini ya ishirini na bookmarks si chini ya 3 kwa kila kitabu LAKINI kashindwa kusoma lolote kutoka kwenye vitabu alivyoleta. Sasa unauliza vile vitabu vyote vilivyotandazwa mezani vilikuwa kuleta mbwembe tu? Mlikuwa na fursa nzuri ya kuthibitisha kuwa yanayodaiwa kuwa UONGO na Bachu ni UKWELI lakini mmeshindwa. Mnakumbushwa, makaburini mtaingia mmoja mmoja. Hakutakuwa na mashabiki wala ushabiki. Na kwa Allah pia utasimama peke yako. Sasa rejea Quran 6:70 halafu angalia adhabu anazowaahidi wale waliogeuza dini kuwa no mchezo na starehe ya kushabikia. Muogope Allah. "Waachilie mbali walio ifanya dini yao ni mchezo na pumbao, na uhai wa dunia ukawaghuri. Nawe kumbusha kwayo, isije nafsi ikaangamizwa kwa sababu ya iliyo yachuma, nayo haina mlinzi wala mwombezi ila Mwenyezi Mungu. Na ingatoa kila fidia haitokubaliwa. Hao ndio walio angamizwa kwa sababu ya yale waliyo yachuma. Wao watapata kinywaji cha maji ya moto kabisa, na adhabu chungu." Qur'an 6:70
ACHA KUPOROJA, MADA ILIKUWA SIO MWANZO WA MJADALA BACHU KASEMA NINI, MADA ILIKUWA UONGO NDANI YA BARZANJI. NA BACHU ALISEMA SHEKH JAAFAR NI MUONGO NDIO MAANA TUKAMUITA MAMBRUI KWA MADA HIO. SASA KAMA YEYE ANATAKA MADA NYENGINE KWANZA AIMALIZE HII MADA ALIOITIWA. ACHENI KUGEUZA MADA. NA KWANINI MNAOGOPA MADA.
Akasome nini sasa. Mpaka mjadala unaisha mteteaji katetea chochote hata kimoja zaidi ya kukubali kua hadithi ni haifai kutumika katika kumsifia mtume kwasababu hadithi ni chafu chafu kabisa. Katetea nini sasa Huyo mtu wa Maulidi zaidi ya kushindwa kuleta hoja hata moja. Ndo walewale kina Sabbas.
Hamjatosheka tu kusema uongo juu ya Maulidi sasa mwasema uongo kumhusu M.Bachu. Acheni urongo sio desturi katika uisilamu! Lol! Nyinyi ni wafalme wa urongo
Ukisoma kichwa Cha habari tu inatosha kuelewa hii Channel inaupande inaosimamia, Uislam ni dini Moja ni vema mijadala ikawa wazi ili tujifunze, hii kazi ya ku-edit na kushabikia upande flani haina afya ya kuufanya umma kujifunza
Asalamalaykum wanyama wa kuthibitisha chui lkni mnyama kama nyoka ambae alimsubiri Mtume wetu kipenzi chetu wakati waliingia katika lile pango na khalifa Abubakar na yy alikuwa anaziba zile tundu ile pasitokee. mnyamaa wa kuuwauma na huyo chatu alimuuma saýidna Abubakar r.a sasa bachu atakakubali hii riwaya
Asalam alekum warahmatullah wabarakatu wale watu wa zamani waliangamizwa kwa kufata mababu kwa mababu megine jiangalie na nabii suleiman ndio alikua akisikia lugha ya wanyama huo wakati mtume alipo zaliwa nani mwengine alikua akisikia luga ya wanyama shekh said ameshindwa kutetea maulid
basi usimfate Imam yyte shekhe na hao maswahaba pia usiwafate kwasbb na wao huingia hko hko kwenye mababu kama watu wazamani dini inataka ushahidi kutoka kwa Quran, hadith , sunnah na kauli za wanachuoni juu ya jambo hisik na ndicho alichulizw shekh wko
Kama wewe umeona sema hapa kwenye comment tuone ukweli wako upi. Ama na wewe ndo wale wale watu wa maulidi zilizo anzishwa na MASHIA. SHIA WAANZISHE KITU IWE DINI. SUBUTU. Labda kam si dini ya ALLAH.
Huk ni kuporomok kwa dini masheikh kwa masheikh wanazozan na wana elimu zao sas sis tulokuw hatun elimu itakuwaj...? Kwa sas ikhtilafu haziondok mpk mwish wa dunia kilobak kila mtu afany lile alolisom. Samhanin masheikh lakn kubishan bor iwe bas
Ukisema kilichoandikwa ni uongo si inamana na alieandika ni muongo?? Au itakuwa kilichoandikwa ndo uongo ila muandishi mkweli?? Lakini pia ukumbuke alishamuita Shekhe Barzanje kuwa muongo Sasa kwanini Leo hataki kukiri kuwa Shekhe Barzanje muongo??
Mwanzo tunataka kurekebisha alivomkufurusha Sheykh Ja’afar Barzanji. Kama ataka kujadili kitabu basi atoe video kurekebisha vile alivomkufurisha mwanzo. Na atoe Quran’an an Hadithi za kurekebisha maneno yake nwanzo.
Sasa kama wewe (said) umekubaliana na bachu kuwa hadith ni Munkar kwanini mwaisoma kila mwaka, na wewe Shaikh wa thwarika wajuwa kuwa hadith ni Munkar na umekuja kuiteteya Munkar? Na hiyo ni Moja tuu kwa zile hadith ziliomo ndani ya kitabu cha barzanji hadith Munkar.
@@alijabu6226 Na ndiyo yeye bachu akamuliza ulama gani kasema kutimia hadith Munkar si urongo, mada ilikuwa si kuulizana ulama gani alisema kuwa kutumia hadith Munkar huwa ni urongo bali mada ilikuwa jee hadith zinazo patikana ndani ya barzanji kama ya wanyama walizungumza za thibithi? Jee niukweli wanyama walizungumza? Hiyo ndiyo jambo said alitete atupe dalili.
@@AllySekondo-zf2kr MIE NAJIULIZA, HIVI HAWA MAWAHABI HUWA WATU WANAPOSKILIZA MIJADALA HUWA WAO WANAPAKULIWA HATA MPAKA HADITHI IKITAJWA HUWA HAWAISIKIII? 🙆♂️🙆♂️🙆♂️.
BACHU ANGEJIBU SUALI UNGEUJUA UKWELI, NA SISI TUMEJUA UKWELI PALE BACHU TU ALIPOSHINDWA KUTOA HUKMU YA HADITHI MUNKAR NA TUKAJUA BACHU KUMBE PURURU NYINGI HANA AJUALO ILA MAKELELE MENGI.
Mungu atupe Ufahamu wenye Maslah kwa Umma wa Kiislamu na sio kujifakharisha Kitaaluma ili kuonekana Sheikh fulani anajua sana. Qibri hasa katika Uislam ni DHAMBI iliyotiliwa Mkazo kwamba Haifai kwa Muslamu yoyote kuwa na QIBRI kwa hilo ni VAZI la ALLAH (sw). Masheikh zetu rudini kwa ALLAH na muache kujifakharisha Kielimu kwa walikuwepo MAIMAM wakuu lakini hawakufanya mnayoyafanya nyinyi sasaivi. Allah awaongoze nyinyi na sisi kwa ujumla.
WALLAHI NIME AMINI MAULID SIO KITU KIBAYA KAMA NI KWELI SHEHE WETU BACHO ANGEJIBU ILI TUSONGE MBELE ILLA KASHINDWA KUJIBU NITASOMA MAULIDI TOKA LEO INSHAALLAH NA MIMI PIA NAKUPENDA MTUME WA MUNGU NA NITAMSIFU INSHAALLAH
Pole sana Allah akuhifadhi.
Mteyeaji wa maulidi mwenyewe kakubali riwaya hiyo ni mbovu maneno hayo ni machafu hayafai hata kutumiwa.
Na wewe unakusudia kumshirikisha Allah.......!!!!
Kashindwa wapi.
Acha kua mnafiki.
We kama unakusudia kumshirikisha Allah Kazi kwako.
ila Dunia nzima hakuna mwenye uwezo wa kutetea maulidi na kama hamna wa kuweza tetea uongo na ushirikina huo na wewe unakusudia maisha yako yote kuyaweka katika kumzushia mtume na kumshirikisha Allah ukifa katika itikadi hiyo ya kishirikina usimlaumu mtu bali moto ndo stahiki yako.
Ushahidi huu hapa.
{ إِنَّ ٱللَّهَ لَا یَغۡفِرُ أَن یُشۡرَكَ بِهِۦ وَیَغۡفِرُ مَا دُونَ ذَ ٰلِكَ لِمَن یَشَاۤءُۚ وَمَن یُشۡرِكۡ بِٱللَّهِ فَقَدِ ٱفۡتَرَىٰۤ إِثۡمًا عَظِیمًا }
[Surah An-Nisāʾ: 48]
Huna msamaha mbele ya Allah katika ushirikina.
Na uzushi kumzushia mtume.
Mtume amesema Katika mafuhumu ya hadithi kua.
Ujiandalie makazi motoni.
Nasaha zangu.
Tengua nia yako ya kumzushia mtume na kumsifu kwa uongo na kumshirikisha Allah.
Yote hayo yapatikana katika maulidi
Ikiwa kumswifu mtume ni kumshirikish mungu bas acha tumshirikishe
wew ulikuwa taari mtu wa twarika acha unafik
Km unampenda sana si bora ukamswalia na kufuata maamrisho yake ni bora zaidi kuliko kufanya kitu chenye khitilafu wengine wanasema kinafaa na wengine hakufai. Akhera usije kujikuta ni mzushi. Au ww unapata faida gani kusoma maulid ambayo faida hio ukikaa peke ako au nawatu ukamswalia Mtume kwa kusoma “duruud Sharif/Ibrahim” utakikosa???
Mtume wetu s.a.w amesema hii umma Yake itagawanyika katika vikundi 73 na kundi 1 Tu ndio itaingia peponi, maswahaba wakamuuliza ni lipi Hilo kundi 1 la kuingia peponi, Mtume s.a.w akawajibu ni wale ambao wako juu ya Yale ambao leo hii Mimi Niko juu Yake pamoja na maswahaba zangu. Mtume wetu s.a.w hajafanya maulidi na maswahaba pia hawajafanya maulidi sasa wewe msoma maulidi uko katika kundi lipi Kati ya hizo kundi 73 . Jambo la msingi hapa ni kutambua Hilo kundi 1 la kuingia peponi alafu ujiangalie wewe kama unalingana na hilo kundi. Assalamu Aleikum.
Ni dhahiri Bachu hajapata bado wakujadili naye hii mada.... Hii ilikua nafasi ya dhahabu ya Saidi kuokoa maulid kwa kuitetea na kutangaza na kudhihirisha UKWELI wake lakini masaa karibu matatu, Bachu amekuwa akifundisha peke yake mbele yao wakiwa kimya kabisa. Alhamdulillah... Ukweli umedhihirika
Saidi elimu anayo yenye baraka kwa Allah ndiomana ametulia.bachu elimu yenye baraka hana aharibu muda kwakubwabwanya jibu aliliona lakusema sijui lakini hasemi kwakua amezoea uongo mnasihini aende mamburui akasomeshwe bure hatalipa chochote
Shekh SAID nakuomba mtukue bachu mpeleke CHUONI kwahisani yako
Unaropoka sana.
Akamfundishe ushirikina wenu huo wa maulidi.
Ama nini.
Amfundishe ibada za kishia.
Ibada za watu wa itikadi za kuabudu makaburi😂😂😂😂😂😂😂
Barzanji katumia hadithi za urongo na yy ni mrongo
No need kutoa ushahidi Tena na ww ushajua urongo upon katika maulidi
Wallhy kusoma raha sana bachu kapata funzo kubwa sana hatosahau maisha yake yote hichi kidonda mpk kufa kwake hii ni aibu ya miaka ndo mana hata speed yake imepungua hatumuoni tena skuhizi akituma clip zake yuko kmyaaa kma sio yy
shekhe wa twarika anakuambia hata mashekhe wake hatowasikiliza. sasa kuna nini hapo ww ushakubali kua hadithi ni mbovu sasa upewe ushahidi gn na mada imesha isha kua shairi hilo ni UONGO. walitaka tu kuharibu ila dunia imeelewa kua ktk mAulid kuna uwongo. sasa atakaesoma ni yeye tu. ila haki imefika.
Kueli watu wamepumbazua na awa masufi,nikuambieni masufi ni watu hatar sana Ila nyinyi wafuasi wa kisufi amujui na amulioni Ilo ,awa jama wameweka taratibu zao kwamba mtu akifiwa analazimishua awapikie chakula bala ya wao kumsaidiya aliefiwa,sasa awa masufi ni tatizo kubua sana katika jamii yetu ya kiisilam
Muhammed bachu yupo sahihi kabisa.mtume akusherehekea siku yake ya kuzaliwa wala maswahaba awakusherehekea.maulid itabaki kuwa uzushi nanidhambi kusherehekea kitu ambacho mtume muhammad swalallahu alayi wasalam akuruhusu kifanyike.ACHENI KUSHEREHEKEA MAULID,ACHENI KUFATA MKUMBO.SHEIKH SAID MUOGOPE ALLAH, KWENYE QURAN AMNA SEHEMU ALLAH AZZA WA JALLA AMERUHUSU MAULID...
Dah huyu ustadhi mwengine kumbe pasua mm kichwamaji nimemfahamu bachu
Watu wa bidaa washapigwa miuli hata siku moja hawajubali ukwelii japo kua wanaelewa
Huna hoja mana hujaweza kutetea hoja yako ya kusema kwa wanya munadanganya watu na hupotosha watu ila mungu anawaona nakama ni utashi wenu huo mujue akhera mutalipa
USTADH SAIDI SIBANDUKI KAONA KIBOKO KIMOJA KIMEMUHARISHA AKAAMUA ASIBANDUKE KWAMANA KESHA AZIRIKA MAPEMA ANGEJARIBU KUBANDUKA ANGEHARA AKACHAFUA MAZINGIRA YA TWARIKA LEO KIMENUKA HATARUDIA TENA KUMCHEZEA BINGWA SHEKH BACHO
Ebu skia point 😂😂😂😂 acha ushabiki soma 😂😂😂😂😂
Heheheheehe sasa bachu kma kidume alikua aseme tu cjui kisha uone wanyama walitamka au laa lkn hataki kujibu swali la kwnza tutaenda vp la pili wakati la kwanza bado hehehehehe bachu ametia aibu fedheha alikua hataki kusema hajui ameona bora aseme hajawah kuona lkn kusema hajui ameshindwa sasa hapo nani kakimbia hoja tumeona bachu ni zero
Quran na Sunna ndy sahihi. Waislamu tunatetea maneno ya watu badala kutetea maneno ya mtume Muhammad s.a.w
Ilipokua bachu yuatusi na kuwavunjia hishMa ilikua hamusemi kama nimekosa Leo kaata mzidi wake kafinywa ndo mnajitetea,?waswahi wasema mcheza pweke hatolewi makosa. Leo kapata Simba 3rd eleven kajikojolea kitini?
Nyie mnapenda kufuata shubha! Swali liloulizwa halina mashiko ndio majibu aliompa bachu kama majaz ameng'ang'ania majahazi majahazi! Badala ya kusonga mbele
Muogopeni Allah .. mtaenda kuulizwa kwa uzushi wenu maulidi hayafai hilo lielewekeee...
Haifai kwani wakisoma huwa wanatukana ?
Tupe dalili
Kwan kumtaja mtume vibaya?
@@HabibuHemed-hy5qr mimba ya mtume SAW ilipoingia wanyama walizungumza,je niyaukweli? Nani alokua akitafsiri hao wanyama kwenye kitabu cha barzanji?
@@AliIbrahim-lv5cq kwani kumtaja mtume vibaya ?
Bachu nakua nakufatilia sana lakini leo umebanwa hufurukuti hamna kitu leo
Kwani mnafikiri watu wa maulid haujuw ukweli wallah wanajuwa saana tu
Masikitiko ni kwa watu wadogo wa dogo masikin wasiyo kitu wana wadanganya wana Fata mkumbo
Wallah kwa mwenye burasa bila ujinga wake ameona ukweli uko wapi mimi nimejifunza kitu kwakweli
Mtu kitabu chenu na mnakiamini
Una ulizwa swali na ww unauliza swali 😢
Ingebidi utunufaishe ukiteteye hadi tuamini ukweli wake.hakika kuelewa ni kwawenye akili
Huyo said amewekwa hapo kumtetea sharif abdulkadir ame karirishwa kuwa hoja yoyote ikitolewa asema hivo na asiachilie msikani...kwasababu ya kuepuka aibu ya kushindwa kujibu.... BACHU ameshajibu kuwa hicho kitu hakuna sasa yeye ndio alikuwa asema hayo maneno ni kweli wanyama walitamka kiarabu ama ni urongo....hii inaonesha dhahir kuwa watu watwarika wataka kutia watu motoni......maulid sisomi tena after huu mjadala
Kutoka msumbiji nasikitshwa sna na walinganizi wengi wapotevu kutoka TZ na Kenya kumtiya makosani mtume wa Allah kwa kitendo chao cha kuitakidi maulid kuwa ni ibada! Kwasababu iyo inaonesha kuwa mtume amefanya khiana katka da'wa yake na hali ya kuwa mwenyewe anasema katka hadiith kwamba akuna khery yeyote ispokuwa mimi nimeifikisha kwenu!
Iblis amewaghuri na maulidi zenu pia sisi tulikua huko ila ukweli ukidhihiri muislam huna budi ukubali tumcheni Allah. Leo amekataa kuyasahihisha yaliyomo kwenye kitabu cha barzanji lakini kwa Allah kesho mutamjibu hao wanyama waliozungumza mumweleze yeye.Muhammad Bachu mutampasua kifua bure suummun bukmun ghumyun
Bachu ameshindwa kujibu swali na ameshindwa kuthibitisha kwa wanazuoni said ametoa na dalili ukweli usemwe na ww muogope mungu
Haya anshindwa waambieni masheikh zenu sasa watutengezee mada ya kuzungumzia yaliyoandikwa ndani ya kitabu cha barzanji.haina haja ya debate.yeye sheikh Bhachu kila leo aizungumza barzanji.mbona sijaona hata clip moja ya masheikh wa kisufi kuzungumzia hicho kitabu.mimi kama si sheikh Bhachu nsingejua barzanji ameandika nini tulikuwa twaimba tu mungu atusamehe.sasa ni wajib kwa wanaoitumia hiyo barzanji kuifundisha akhy
Bachu allah azid kukusimamia
Bachu mkaidi kama ndacha ata ukambana kazi ipite ufanye kazi kweli
Mimi bado ni mwanafunzi wa Bachu tunasoga mbele
Usimuache mkono Mpe moyo
Mbona aukuthibitisha usahihi wake ewe kijana said?
Bacho muhammad allah akuhifazi kwakilahatuwa ukosahihi mahulidi aramu
Sheikh Said atuelimishe basi dalili gani ama ni mtu gani alishuhudia wanyama wakitamka
Alaaaa,kaka utakufuru sasa,nkama utauliza pia nani ameshuhudia Kama maiti anaadhibiwa kaburini heri unyamaze
Jamma wa tarika said yeye hajali kwamba kitabu cha barzanji ndani munauwongo yeye anataka tu barzanji asiitwe murongo au muongo 😂😂😂😂😂sasa kitabu kime jaa uongo shirki kibao he doesn't mind what his people are reading is inauthentic he doesn't mind at all 😂😂😂😂😂people are going astray from the right path he doesn't mind 😂😂he wants people to not call jaffer barzanji a liar, kumekucha!!!!waafuasi wake wacha waende mtoni kwakufanya shirki lakini BARZANJI asiitwe MUONGO 😂😂😂yeye KASHINDWA kabisaaaaa kuitete kila kitabu cha BARZANJI Dahhhhh what loss,halafu anarukaruka eti kashinda,hoja hata moja haijajibiwa ,na yule jamma alova miwani anapokea simu za watu wakati mjadala unaendelea mwambie ashikilie hapo hapo😂😂😂😂😂halafu saidi anazugumza kalegeza mikono ,WEEEEEWE,😂😂😂😂😂Eti kashinda😂😂😂😂
Jamani wakenya wabishi sana wanajifanya wana i'lmu kumbe c chochote nampongeza sana bachu Allah akulinde tokea mwanzo wakenya walikua wanakutafuta kwa baya lkn Allah atakulinda na cc tunaamini kua maulid ni bid' wala usitahayari tuko pamoja na nnnñ
Mtihani sana kama kauli ina mattzo ni kauli ambayo imeekwa katika udhaifu kwann mnaisoma
Allah amewajaalia macho lakini awaoni,awsikii,awatafakari enyi watu wa maulidi hatta kama mungekusanyika dunia mzima ili muweze kuitetea maulid amuezi kamwe kwasababu amuna burhaani yeyote ile ibada gani mtume aijuwi makhalifa awaijuwi maimamu wanne awaijuwi?
Kwanza swali limejibiwa sema watu wa bidaa hawataki jibu kwasababu hawataki kushindwa
Hpa ni usaniii tu huyu shekh said......kawa km wale mapadri ba mazing3
HIZI CHANNEL ZA WAANDIKAJI WA TITLE ZA KUHAMASHISHA KUTAKA WATU WAANGALIE VIDEO ZAO HAWANA ELIMU YEYOTE MATOKEO YAKE WANABADILI MANENO WANAFIKI HAWA.
Wacha kugeuza na mcheni Allah mulitaka amxungumze mtu asiye kwepo!?
Tukiachia hili kuna mambo mengi pia ya kujadili kuhusu viiip tutawaleta watu kwenye ya Dini ya ALLAH SUBHANA WATAALA??
USTADH SAIDI SIBANDUKI AMETUONYESHA SARAKASI TUPU LEO HANA HUJA WALA DALILI HATA MOJA KUTETEA MAULID... AMEAZIRIKA SANA KAMA ALIVYO AZIRIKA MAJAZ AL KUBRA ... HUYO YAKE ILIKUWA KIBOKO KIMOJA TU AKAAMUA ASIBANDUKE ASKILIZIE TU UCHUNGU WA KILE KIBOKO KIMOJA.. MAJAI AL KUBRA ALIJITAHIDI AKAVUMILIA VIBOKO 19
Sheikh said aliukwepa mjadala,,,mjadala ni kuhusu kitabu Cha sheikh barzanji hayo mengine sheikh said Kama wazushi wengine amezua kuukwepa mjadala.
Masikio yako yalikuwa yanasikia wapi kaka?! Bacho ndiye aliyeulizwa mwanzo badala ya kujibu akakwepa akauliza swali, hivi utaratibu wa mjadala unapoulizwa swali nawe urudishe swali?! au swali urudishe jibu?!
Sasa jaman mbona hatulati taaluma nzuri za kiielmu hapa, tunataka faida za kielmu kwan mnaangalia mtu au jambo lake alozungumza mbona hatujaelewana😊. Halafu naona mnavutia tu upande flani lakin hamna ithbati. Naona bora mngeeka mada makhsus ili tuwaelewe. Salaam
Bachu alikua sahihi sana
Shida sio bachu kua na elim shida ni kwamba masheikh wenu wa bidaa barazanj bidaa tupu
wewe unaijua bidaaa
@@Ramadhaniabdallahmohammedi bid'aa si ni haya ya maulidi 😂😂
Na ni kweli hawakuendelea
Maulidi yasomwe kwa wingi kumbe huyu bachu hajaona andiko lolote wala hajawahi kuskia andiko popote linalomfanya yeye aseme maulidi hayafai na niuongo, kumbe alikaatu kwaakili yake mwenyewe akaona awatukane mashekhe na awatukane waislam woote wayasomao maulidi sasa nikwambiet kua masuala ya dini hukumu kupitia kur'an hadithi na hata rai za wanazuoni usitowet yakot kichwani......
Maulidi yanasomwa na watu wajinga tuuuu sio watu walio na elimu na ujinga sio tusi maana hua hamkawii kupayuka ushahidi Quraani Suratul huud aya ya 45 hadi 47.
Mjadala mpaka umeisha watu wa maulidi wameshindwa kutetea kua wanyama walizungumza na wengine wakapeana bishara kua mimba imetungwa huo ni uongo.
Lakini imeshindikana kutetea kua ni ukweli.
Mashia wameanzisha maulidi na nyinyi mnasema dini.
Au ndo walewale mashia ndo mnao comment huku.
Maulidi imeanzishwa na Mashia.
Haiwezi kua dini.
Wallah bachu ana elim kwanza hoja zake hata mtu asipokua na elim Hawa watu wa bidaa hawana elim ndo maana hawajamuelewa
Bachu akasome
Thibitisha kuwa wanyama walizungumza?
😢 kama maulidi ni jambo la dini maswahaba wangelifanya
Na kama kigawanyo cha Tauhid mwanzo wangegawanya Maswahaba na Mashindano ya Quran pia wangelifanya Maswahaba
@@abubakaromar6101Ahsante😅
Hata usalafi wangelijiita MASWAHABA kwanza
Assalaam Alaykum Warahmatullaah... Sheikh Bachu anasema kulingana na yeye yaani anamaanisha yeye na nafsi yake ndo anapinga.
Kitbu hicho kip sawa ila mahala pale pakusema minyama .bahar walijua. Hapo sio ukweli ni makosa hapo pekee ila kwa maulidi iko sawa iwapo mtume hakufanya .. sote tuko kufanya ibada hapa sioni mwenye kushinda ila Allah ndiye mushindi.
Nasema hyvi sheikh bachu anaeza kusema hyvo kumbe ni makosa . Alaf sheikh omar pia anaeza kua ni wa makosa sote tufanye kile tunacho ona kina thawab .na wanaona. Ile ni mbaya muache. Sote tupatane pale kwa Allah ila maulidi iko sawa kwangu nafanya na sipigi kelele na mtu Allah knows best of it...
Said kataka aonyeshwe hukumu ya wanazuoni kuwa anayenukuu hadeeth munkari ni muongo. Bachu kajibu kwa kutoa nukta ifuatayo:
Wanazuoni wanahukumu MTU iwapo huyo mtu ni mpokeaji wa hadeeth. Hivyo mtu anaposimulia ama kunukuu hadeeth munkari (ambayo Said amekubali kuwa ni kweli hadeeth Munkar), wanazuoni wanatoa hukumu kwa kile kilichosimuliwa ama kunukuliwa. Hiyo ni COMMON-SENSE kwani wanasema akili ndogo hujadili mtu/watu, akili kubwa hujadili wazi/hoja. Sasa unajiuliza kipi kigumu kuelewa hapa? Ama ndiyo kweli huko Mombasa common-sense is not common anymore?
@@salimkhatri8064 BACHU KASEMA KUWA " HADITHI MUNKAR MAANA YAKE NI UONGO". ALIPOAMBIWA ATHIBITISHE MADAI YAKE KWA WATAALAMU WA HADITHI, NDIO BACHU AKAJIKOJOLEA NA KUJIULIZA SUALA JENGINE NA AKAJIJIBU ILA HAKUJIBU SUALI ALILO ULIZWA. NAJUA UNA MAPENZI NA BACHU NA UWAHABIYA, LAKINI HAMKUMJIBU SHEKH SAID SUALI ALILO ULIZA.
unatetea maneno..asa si utetee jaman..mnachosha kweli🚶♂️🚶♂️🚶♂️
Hamu yetu tulikuwa tunataka kujuwa yaliomo ndani ya barazanji . sio mtu hamjatutendea haki .
Mtume wetu s.a.w amesema hii umma Yake itagawanyika katika vikundi 73, na zote zitaingia motoni isipokua kundi 1 Tu ndio itaingia peponi, maswahaba wakamuuliza ni lipi Hilo kundi 1 la kuingia peponi Mtume s.a.w akawajibu ni wale ambao wako juu ya Yale ambayo Leo hii Mimi Niko juu Yake pamoja na maswahaba zangu. Maulidi mtume hajafanya maswahaba hawajafanya sasa wewe msoma maulidi uko katika kundi lipi Kati hizo 73. Jambo la msingi hapa ni kutambua Hilo kundi 1 la peponi ambao wako juu ya Sunna za mtume wetu s.a.w alafu ujiangalie wewe kama unalingana na hili kundi la peponi. Assalamu Aleikum.
Kuna ayah katika surah nnamli,mwenyizi m'ngu anasema (litakapotimia neno juu Yao tutawatolea mnyama wa ardhini kusemesha watu) sasa atazungumza na watu lugha gani?
Nadhani ht huyo anaetetea maulid hujamfahamu.
@@khamisali5978 na anaopinga mauli hatujui nini tatizo lake?
Jamaa kutamka kwa wanyama si ajabu kwani hmjui kua chungu alitamka wakati wa nabii Sulaiman
Ungefatilia ukajua kinachozngmzwa ndo ukatoa mawazo lkn umechanganya vitu viwili tofauti hapo,ungefatila tena ukafahamu ,dalili ulotaja na dalili alotaja huyo Sheikh ndo utaelewa.
Shekh mbona Bado husemi unachoulizwa na Bachu?
Jawabu ilikuwa bachu ajibu cz aliitowa hadithi ni yy
First 11
Wacheni unafik sikilizeni hoja na mucomment ukweli kama kweli mumeelewa hoja sio kuzidi kupotosha umma,Sheikh Said ni kama mwanafunzi Kwa Bacchu aseme Tu Alikua anahamu yakukutana nae lakini kihoja bado mchanga Sana.
Angekojoa basi😂😂😂😂😂 amekojoa waahabi wenuuuu😂😂😂
@@rashidswalehmwanjama3404 hii ndio elimu muliyonayo watu wakufata mpunga,midomo michafu.
WENYE ELIMU PEKE YAO NDIO WAMEELEWA KWANINI LIMEULIZWA SWALI ILO,BACHU AKABAKI KAMA NDEGE ALIEFUNGWA MABAWA ASHINDWE KURUKA.KRIPU ZAKO TUNAZO ULIZOMWAMBIA MARHUM SAID NABARZANJ,MSHIRIKINA NA MUONGO,,,JIBU SWALI AMA SEMA SIJUI,NALO NI JIBU PIA.
Tunasubiri majibu NI MWANACHUONI GANI?
SWALI HALINA MAJIBU,,,KUMBE MIWAHABI INASOMA VITABU KAMA MAGAZETI
Waumini barzanji si Quran kuwa na makosa inawezekana ila yanaweza kurekebishika maulidi ya kasomwa kama kawaida
Nmefurahika snaa bhachu kusema hawajadili msimulizi,na clips zake zote alikuwa akisema barzanji no mwingo
Angesema hajui tu angeoa....jibu lingekuja ama laa lakini bachu hakutaka kukubali hilo....angesema.....SIJUI KISHA ANGEONA JIBU...bachu amefili mana mambo yako wazi tu wallah
Hamkosagi maneno tuuu.
Hapa mnatafuta jinsi ya kujitetea ili kuendeleza uovu wenu wa maulidi ulio Anzishwa na Mashia waovu.
Endeleeni na Kufru na ushirikina wenu msipotubia kinawasubiri kibano siku ya mwisho wasio kua na haya kumshirikisha Allah na kuwaunga mkono MASHIA kwaajili ya wali tuuu maskini.
Yaaani wali tuuu.
Njaaa hizi mmmmmmm.
Bachu alikuwa ajuwa jibu alitakali said litamtia matatani so ndio akakimbia kujibu
Uongo kwa Mtume, Mwenyezi Mungu amfikishie rehema na amani
الكذب على النبي صلى الله عليه وسلم ، منكر عظيم ، وإثم كبير ، وذلك لقوله صلى الله عليه وسلم : " إن كذبا علي ليس ككذب على أحد من كذب علي متعمدا فليتبوأ مقعده من النار" رواه البخاري (1229) ، ورواه مسلم في مقدمة صحيحه (3) دون قوله : " إن كذبا علي ليس ككذب على أحد " .
وقوله صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ : " لا تكذبوا علي فإنه من كذب علي فليلج النار " رواه البخاري (106).
وقوله صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ : " من حدث عني بحديث يُرى أنه كذب فهو أحد الكاذبِِينَ" رواه مسلم (1).
وقد ذهب جماعة من أهل العلم إلى كفر من تعمد الكذب عليه صلى الله عليه وسلم
SIO SUALA ULILOULIZWA WEWE MUWAHABI. HUO NI UJANJA WENU WA KUWAPOTEZA WATU. HUJAAMBIWA UTAJE UONGO WA WATU WANAOMZULIA MTUME SAW. SUALI MLILOULIZWA MAWAHABI. JEE ITTIFAQI GANI YA MUSTALAHU LHADITHI IMESEMA MTU AKITUMIA HADITHI MUNKAR HUWA NI MUONGO AU KITABU HUA UONGO?. JIBUNI KWAZA SUALI. Kisha mtaleta hadithi nyengine tuchambue nayo.
Tunawapenda kwa sababu. Nyote ni Wailamu .
Watoaji maoni wee ndio umetoa comment safi na ni kweli hawa wote ni walimu sasa tusiwakashifu wanatufundisha
Mwenye akiri kubwa anaelewa anachokisema Bachu ila mbulula wanachanganywa na ujanjaujanja wa walamauridi
Mtoto wa bachu jibu swali
Swali gani
Tumefahamu vya kutosha kuwa maulidi yafaa inshallah tusomeni Kwa wingi
Leo mpatikana
Sheikh bachu upo sahihi sana Allah akuhifadhi
semaa SIJUI!!!
Hapo kinachokufanyika wanaopost midaalo hii wote wapo upande wa kuiunga mkono Barazenji na ndo maana wanaopost video kwa kukerza mjishike wanyama waliongea vipi? Ni uzushi tu katika dini
Acheni UONGO. Mwanzo wa mdahalo Bachu aliweka sawa maudhui na kusema kuwa wako pale siyo kujadili mtu bali kujadili jambo. Shekhe wenu alikuwa anatumiwa vikaratasi na wasikilizaji (kinyume na kanuni za nidhamu ya wasikilizaji). Kwenye video inaonekana kabisa anayetakiwa kuwa mhakiki akiongea na wasikilizaji wengine halafu wanamuambia Said kwa ishara ang'ang'anie asikubali kujibu maswali ya Bachu.
Bachu kaeleza waziwazi kuwa Jaffar Barzanji siyo mpokeaji wa hadeeth bali ni msimuliaji wa hadeeth. Nakuna hukumu ya wanazuoni kwa mtu ambaye siyo mpokeaji wa hadeeth bali hukumu inatolewa kwa maneno yaliyonukuliwa ama jambo lililosimuliwa. Baada ya shekhe wenu kuendelea kusisitiza kuwa hatoendelea mbele mpaka aonyeshwe hukumu ya wanazuoni kwa msimuliaji, Bachu akasema basi "tufunge kikao tukapate lunch".
Sasa kwa sababu hamna maarifa ya Logic and Critical Thinking na badala yake maarifa yenu ni kwenye utunzi wa mashairi mnaona UTOTO aliyoufanya shekhe wenu ni umahiri.
Shekhe wenu alitandaza vitabu si chini ya ishirini na bookmarks si chini ya 3 kwa kila kitabu LAKINI kashindwa kusoma lolote kutoka kwenye vitabu alivyoleta. Sasa unauliza vile vitabu vyote vilivyotandazwa mezani vilikuwa kuleta mbwembe tu?
Mlikuwa na fursa nzuri ya kuthibitisha kuwa yanayodaiwa kuwa UONGO na Bachu ni UKWELI lakini mmeshindwa.
Mnakumbushwa, makaburini mtaingia mmoja mmoja. Hakutakuwa na mashabiki wala ushabiki. Na kwa Allah pia utasimama peke yako. Sasa rejea Quran 6:70 halafu angalia adhabu anazowaahidi wale waliogeuza dini kuwa no mchezo na starehe ya kushabikia. Muogope Allah.
"Waachilie mbali walio ifanya dini yao ni mchezo na pumbao, na uhai wa dunia ukawaghuri. Nawe kumbusha kwayo, isije nafsi ikaangamizwa kwa sababu ya iliyo yachuma, nayo haina mlinzi wala mwombezi ila Mwenyezi Mungu. Na ingatoa kila fidia haitokubaliwa. Hao ndio walio angamizwa kwa sababu ya yale waliyo yachuma. Wao watapata kinywaji cha maji ya moto kabisa, na adhabu chungu."
Qur'an 6:70
ACHA KUPOROJA, MADA ILIKUWA SIO MWANZO WA MJADALA BACHU KASEMA NINI, MADA ILIKUWA UONGO NDANI YA BARZANJI. NA BACHU ALISEMA SHEKH JAAFAR NI MUONGO NDIO MAANA TUKAMUITA MAMBRUI KWA MADA HIO. SASA KAMA YEYE ANATAKA MADA NYENGINE KWANZA AIMALIZE HII MADA ALIOITIWA. ACHENI KUGEUZA MADA. NA KWANINI MNAOGOPA MADA.
Bacho hapo kaongea point ambayo kama hujasoma huwezi kufahamu. Jamanai tukasome kwanza ndipo tutafahamu ukweli wa haya mambo waAllahu Yaalam.
Jibu suali Basi Mambo yaendelee
Bachuuuu akasome aaaache porojoooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Akasome nini sasa.
Mpaka mjadala unaisha mteteaji katetea chochote hata kimoja zaidi ya kukubali kua hadithi ni haifai kutumika katika kumsifia mtume kwasababu hadithi ni chafu chafu kabisa.
Katetea nini sasa Huyo mtu wa Maulidi zaidi ya kushindwa kuleta hoja hata moja.
Ndo walewale kina Sabbas.
Kwanza hapo mfunzeni kuongea kimombasa asitumie nguvu 😂😂😂😂 kibri acha bin bachu😂😂😂😂
Wah,nlikuwa wahabi lakini kwakuwa bhachu nlimpenda kumbe kashindwa na huyu kijana mdogo.wallah ctakosa kusoma maulidi tokea leo.
Alhamdulillaah na mungu akujaalie usiache kusoma maulid mpaka kiyama
Tkbiiiiirrrr asnte sana 😄😄😄😄😄
Basi we ulikua mnafki
@@yassinm69😂
Nyinyi mwajua kukufurisha tuu bila ya dalili. Kusoma muhim sana.😊
Dah lau kama ungelikuwa kafiri wewe ungelipoteza watu zaidi 😂
Hamjatosheka tu kusema uongo juu ya Maulidi sasa mwasema uongo kumhusu M.Bachu. Acheni urongo sio desturi katika uisilamu! Lol! Nyinyi ni wafalme wa urongo
TATIZO NI AKILI NDOGO HADITHI MUNKARI MANENO YA UONGO MMESHINDWA KUYATETEA AAARUN ALAYKUM
Bachu kakojolea kiti au jashooo
Hahah
Yale maji mingi alikua akinywa 😂😂😂
Ukisoma kichwa Cha habari tu inatosha kuelewa hii Channel inaupande inaosimamia, Uislam ni dini Moja ni vema mijadala ikawa wazi ili tujifunze, hii kazi ya ku-edit na kushabikia upande flani haina afya ya kuufanya umma kujifunza
Hata wao Katika channel zao Hali ni hiyo.
Sio tatizo Hilo.
Huyu kweli muimba tarabu atauzungumzaji wakewaonesha mtu was mipasho
Asalamalaykum wanyama wa kuthibitisha chui lkni mnyama kama nyoka ambae alimsubiri Mtume wetu kipenzi chetu wakati waliingia katika lile pango na khalifa Abubakar na yy alikuwa anaziba zile tundu ile pasitokee. mnyamaa wa kuuwauma na huyo chatu alimuuma saýidna Abubakar r.a sasa bachu atakakubali hii riwaya
Asalam alekum warahmatullah wabarakatu wale watu wa zamani waliangamizwa kwa kufata mababu kwa mababu megine jiangalie na nabii suleiman ndio alikua akisikia lugha ya wanyama huo wakati mtume alipo zaliwa nani mwengine alikua akisikia luga ya wanyama shekh said ameshindwa kutetea maulid
basi usimfate Imam yyte shekhe na hao maswahaba pia usiwafate kwasbb na wao huingia hko hko kwenye mababu kama watu wazamani dini inataka ushahidi kutoka kwa Quran, hadith , sunnah na kauli za wanachuoni juu ya jambo hisik na ndicho alichulizw shekh wko
Kwaio tusifate MABABU zetu waislamu na maswahaba na tuvumbue dini mpya?
Maulidi halali tusomeni kwa wingi maighwa
Mimi niko na Bachu
@@osmanabdifattah4947pole Mpe moyo kipigo si Cha nchi hii kachezea
Eti Mimi Nimesoma. Eti Mimi Nimesoma Sijaona. Wewe Ninani. Wewe Umesema.
Kama wewe umeona sema hapa kwenye comment tuone ukweli wako upi.
Ama na wewe ndo wale wale watu wa maulidi zilizo anzishwa na MASHIA.
SHIA WAANZISHE KITU IWE DINI.
SUBUTU.
Labda kam si dini ya ALLAH.
@@giltaemi4017 Kwani Nimjomba Wangu Au Mjomba. Ukae Kwa Kwakutulia.
Maulidi yafaa bwana Toka zamani tukiyasoma mababu na mababu,
Dini sio mila ila uislamu ni sharia
Hilo ndilo tatizo lenu wat wa bidaa acheni ujinga faten ya dini
Kwan kila walichokifanya mababu wetu wapo sahihi??
@@omarmohammed5157 wapo sahihi ndio wakiwa waislamu, la kama walikuwa makafiri basi hawawi sahihi. Sasa jiulize babu zako kundi gani?
Huk ni kuporomok kwa dini masheikh kwa masheikh wanazozan na wana elimu zao sas sis tulokuw hatun elimu itakuwaj...?
Kwa sas ikhtilafu haziondok mpk mwish wa dunia kilobak kila mtu afany lile alolisom. Samhanin masheikh lakn kubishan bor iwe bas
Bachu wasikubabaishe hao hawana jipya
Bachuuu kumbe humo
Kwanini hamtaki kujadili yalio andikwa mnataka kumjadili mtu ?
Ukisema kilichoandikwa ni uongo si inamana na alieandika ni muongo??
Au itakuwa kilichoandikwa ndo uongo ila muandishi mkweli??
Lakini pia ukumbuke alishamuita Shekhe Barzanje kuwa muongo Sasa kwanini Leo hataki kukiri kuwa Shekhe Barzanje muongo??
@@user-oc8uo9rl3u mutu anazumgumza oungo kweli tutamuita muongo, lkni leo tumeshuhudia watu wa mowlidi hawana lolote
Mwanzo tunataka kurekebisha alivomkufurusha Sheykh Ja’afar Barzanji.
Kama ataka kujadili kitabu basi atoe video kurekebisha vile alivomkufurisha mwanzo. Na atoe Quran’an an Hadithi za kurekebisha maneno yake nwanzo.
@@cjchannel2572mambo ni matatu bachu ajibu swali au aseme sijui au maulidi yaendelee kusomwa
@@cjchannel2572mwenye Yuko nacho ndio ametoroka hivyoo na alivyoo jikojolea km namuonaaaa vileeeee bachuu beach boy😂😂😂😂😂
Wenzenu wanachukua bandarini ninyi mnabishana kuhusu maulidi
bachu debe tupu
Sasa kama wewe (said) umekubaliana na bachu kuwa hadith ni Munkar kwanini mwaisoma kila mwaka, na wewe Shaikh wa thwarika wajuwa kuwa hadith ni Munkar na umekuja kuiteteya Munkar? Na hiyo ni Moja tuu kwa zile hadith ziliomo ndani ya kitabu cha barzanji hadith Munkar.
Yeye kaulizw shekh bachu ni mwanachuon gan alisema ukitumia hadith munkar unakua muongooo c angejib tukaendeleaa
@@alijabu6226
Na ndiyo yeye bachu akamuliza ulama gani kasema kutimia hadith Munkar si urongo, mada ilikuwa si kuulizana ulama gani alisema kuwa kutumia hadith Munkar huwa ni urongo bali mada ilikuwa jee hadith zinazo patikana ndani ya barzanji kama ya wanyama walizungumza za thibithi? Jee niukweli wanyama walizungumza? Hiyo ndiyo jambo said alitete atupe dalili.
Bachu kasome tena
Mwanzo mwisho M.bacho ni msanii 🤣🤣🤣🤣
Nawauliza watu wa Bid-aa wapi mmetoa hadithi ya Rasoul (s.a.w) kuwa Wanyama walisema?
Toa hadith kwamba wanyama hawakusema
Ww kazi yko ni kutembelea kila channel kusema wapi wanyama walitamka n je ww toa wapi hawakutamka acha ujaahil
Sheikh said kiboko ya bachu
sio kweli. angalia body language yake.
She bachu achana nao hao watakusumbua kichwa kwa sababu washaelewa
Kweli wameelewa swali Moja tu chaliiiiiiii said anaejua munaqash
Bado Muhammed Bachu NI mtoto sanaa kwenye Elimu. Hana Elimu ya kutoa FATUA.
BADO AKASOME FAHABI HUYU.
😃😃😃😃😃
Nawauliza watu wa Bid-aa wapi mmetoa hadithi ya Rasoul (s.a.w) kuwa Wanyama walisema?
LETENI NYINYI SASA HATA YA GAZETINI INAYOSEMA WANYAMA HAWAKUSEMA SIO KUPINGA KWA MIBICHWA YENU,,MAJAHILI MUBIN NYINYI.
Hadithi ya kutamka wanyama mbona imetolewa na imepokelewa n Alhaafidh Abuu Nuaimu
@@AllySekondo-zf2kr MIE NAJIULIZA, HIVI HAWA MAWAHABI HUWA WATU WANAPOSKILIZA MIJADALA HUWA WAO WANAPAKULIWA HATA MPAKA HADITHI IKITAJWA HUWA HAWAISIKIII? 🙆♂️🙆♂️🙆♂️.
Maulid kwenda mbele ee. Utasema mwisho utalala. Simbaaa shekh said 🎉🎉🎉🎉🎉
Kma sio uongo ushahidi wa maneno hyo ni yapi Ili uwe ni ukweli
BACHU ANGEJIBU SUALI UNGEUJUA UKWELI, NA SISI TUMEJUA UKWELI PALE BACHU TU ALIPOSHINDWA KUTOA HUKMU YA HADITHI MUNKAR NA TUKAJUA BACHU KUMBE PURURU NYINGI HANA AJUALO ILA MAKELELE MENGI.