SIRI NZITO MUNGU WA MWAMPOSA AFICHULIWA KAFARA ZAKE EV PASCHAL CASSIAN

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
  • #0766998994 #call0688199370 #

ความคิดเห็น • 495

  • @KaramaahazyOkero
    @KaramaahazyOkero วันที่ผ่านมา

    Mtumishi MUNGU akibariki sana kutimiza kusudi ra Mun gu ni gharama kubwa sana Mungu akutie nguvu

  • @user-qv6fe2qt5r
    @user-qv6fe2qt5r หลายเดือนก่อน +5

    Ila binadam mnatumia nguvu nyingi kumchafua mwamposa na mungu alivo wa ajabu mwamposa anazidi kung'ara na Hana mda wakumuongelea mtu zaidi ya kuhubili neno la mungu 🙏🙏🙏🙏

  • @esteralen3396
    @esteralen3396 หลายเดือนก่อน +3

    LABDA ungehubiti Neno La Mungu kuliko kumtumia Nguvu nyingi kuhubiri watu. Yesu amekutuma kufanya hivyo kweli?? Pole sana

    • @ElizabethMakwaia
      @ElizabethMakwaia หลายเดือนก่อน

      Ndivyo Yesu anachotaka. Kumuelewa mtumishi huyu ni neema ya Mungu. Usipoelewa unapungukiwa neema yake. Ukiona humwelewi shika imani yako hulazimishwi.

    • @JohnMashamba
      @JohnMashamba 17 วันที่ผ่านมา

      Kumjua Mungu si kutuma Nguvu,hata wewe ni mmojawapo unatafuta ulaji tu Amerika si Mbinguni,na niambie Maandiko yaliandikwa na nani.

  • @user-de6oo8uh6p
    @user-de6oo8uh6p หลายเดือนก่อน +4

    We ufie mbali unaetualibia apostal wetu mungu anakuona

  • @angelyolam9528
    @angelyolam9528 หลายเดือนก่อน +1

    Ila umetuchosha sana kasian yaani tumekuchoka mno, hubili injili achana na mwamposa, tumekuchoka sana, Kaz Yako kuharibu watu wa mungu,

  • @MoksMokah
    @MoksMokah 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ev.Paschal we are together, I'm Emmanuel from Mombasa Kenya.🙏🙏🇰🇪🇰🇪

  • @marianthoniaoswald6034
    @marianthoniaoswald6034 หลายเดือนก่อน +3

    Acheni kuupiga mwili wa kristo vita wote mnaburi yesu, mambo keki katika amri za Mungu haijaandikwa kula keki ni dhambi

    • @AyubuLwambo-l4c
      @AyubuLwambo-l4c หลายเดือนก่อน

      Sawaaa yesu atapokuja atazihukumu Siri za wanadamu nani aweza kujisitri kwa macho ya mungu?

  • @genevievesunday
    @genevievesunday หลายเดือนก่อน

    Mungu hafananishwi na chochote Asante Kwa ujumbe mzr Mungu akubariki sana pokea maua 🎉🎉kwa utukufu wa Mungu.

  • @user-ut8pq2uj7v
    @user-ut8pq2uj7v 2 หลายเดือนก่อน +7

    Asante yesu Kwa kunipa Neema yakujua maandiko nifunike Kwa dam yako takatifu na family Yang yote ili tuje kwako tusiufatishe namna ya ulimwengu uendavyo❤

  • @JajiZakayo-fw9mk
    @JajiZakayo-fw9mk 2 หลายเดือนก่อน +6

    Mtumishi mwema ni mzee wetu Mwakasege mwenye busara ya Mungu hajawahi kugusa huduma ya mtu mwingine na kama una ujasiri wa kupinga mbona ujawagusa waislamu na hali unajua ndio wapinga Kiristo kumbe wewe ni muoga wa kufa unajua wakiristo ni wapole na wanyenyekevu wa moyo shambulia waislamu kama kweli una ujasiri wa kimungu

    • @eligiuselias4469
      @eligiuselias4469 2 หลายเดือนก่อน

      Aliye lwambia wapinga Kristo ni waislamu tui?.
      Je Kristo alipingwa au kukataliwa na waislamu?

    • @Pendopasilika
      @Pendopasilika 2 หลายเดือนก่อน

      Mpinga kristo anaweza akawa mkristo au mwislam husomi biblia? We unafikili waislam wote hawaendi mbinguni wapi watakao kwenda nikama vile wakristo wapo ambao hawatakwenda na wengine wataenda waislam na ni taifa ambalo MUNGU alimbalikia Ishumail mtoto wa Ibrahim Alie zaliwa na msichana wa kazi kwa hiyo mpinga kristo niyule anaepinga mafundisho ya YESU na kufuata mafundisho ya shetani

    • @user-kr9xx8br4o
      @user-kr9xx8br4o 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@PendopasilikaMBINGUNI HATUONDI KWA DINI BALI KWA NENO LA KRISTO.
      MARKO 16::16
      AAMINIE NA KUBATIZWA ATAOKAKA, ASIYE AMINI ATAHUKUMIWA.
      YOHANA:3:5
      YESU AKAJIBU, AMIN,AMIN, NAKUAMBIA MTU ASIPOZALIWA KWA MAJI NA KWA ROHO HAWEZI KUUINGIA UFALME WA MUNGU.
      WALA SIYO SINI HIYO, BALI NI WOKOVU. UNAPASWA KUOKOKA.

    • @Pendopasilika
      @Pendopasilika 2 หลายเดือนก่อน

      @@user-kr9xx8br4o Ni kweli tunakwenda kwa njia ya wokovu ambalo ni neno la kristo lakini je? Na kwenye hizo keki mie naona hiyo ni miujiza ya kipepo MUNGU akubariki

    • @user-kr9xx8br4o
      @user-kr9xx8br4o 2 หลายเดือนก่อน

      @@Pendopasilika IBADA YA KUMUABUDU YESU KRISTO HUFANYIKA SAWASAWA NA NENO LA KRISTO. AMBALO LINATUAMBIA KUTUMIA JINA LAKE PEKEE.
      YOHANA 14:13-14
      YOHANA 16: 23
      YOHANA ; 16:26
      (Soma)
      YAZIDIYO HAPO, YANATOKA KWA SHETANI.
      2WAKORINTHO 11;14
      (Soma)
      Neno linasema; Mwisho wao utakuwa sawasawa na kazi yao.

  • @SophiaUronu-fw9gv
    @SophiaUronu-fw9gv หลายเดือนก่อน +3

    Mungu kamfundisha mwamposa kunyamaza kimya. Asije kuwa kama mataifa.

  • @emmymgotta8830
    @emmymgotta8830 2 หลายเดือนก่อน +12

    MR. C. MBONA UNATUMIA NGUVU NYINGI SANA KUMPINGA MWAMPOSA? AISEE UTAINGIA MBINGUNI UMECHOKA SANA.

    • @DEBORAHMASANJA-yz3go
      @DEBORAHMASANJA-yz3go หลายเดือนก่อน

      Je wewe sawa

    • @kelvinkelvin2469
      @kelvinkelvin2469 หลายเดือนก่อน

      ❤❤❤❤❤❤❤

    • @nataliedayana9824
      @nataliedayana9824 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 mbingun uyu akanyag ngooo badala haubir neno kakazan kukosoa yeye kama nai ndo mahn anakipand uso sabbu ya wivu 😂

    • @kelvinkelvin2469
      @kelvinkelvin2469 หลายเดือนก่อน

      @@nataliedayana9824 of corse

    • @dassustephen731
      @dassustephen731 หลายเดือนก่อน

      Mjinga Sana Huyo Hana akili Anaowapa ahubiri neno la Mungu na siyo kuahambulia Mwamposa.Kama Mwamposa anawapotosha watu basi Mungu ndo atamuhukumu na siyo wapiga kelele kama wewe.Idiot

  • @ElizaMoses-g7p
    @ElizaMoses-g7p หลายเดือนก่อน

    Ameen barikiwa Sana baba Mungu akuinue, sema tupone.

  • @user-nl3rt7gv5s
    @user-nl3rt7gv5s หลายเดือนก่อน

    Nazidi kusikiliza hili somo natamka baraka kwako "mch.Pascal casian", "naweka ulinzi kwako kwa jina la yesu"ukapate kumea na kuchanua kwa jina la yesu, naifungua mbingu kwa jina la yesu popote ulipo mvua ya baraka ikapate kukunyeshea, Mungu abariki kazi za mikono yako na kuziongoza hatua za miguu yako katika jina la yesu Ameeeen

  • @user-xn3vq1gq3p
    @user-xn3vq1gq3p 2 หลายเดือนก่อน +6

    Mnatupoteza tunaowasikiliza na kutufundisha neno la Mungu.Kila mtumishi afundishe alichoinuliwa na Mungu.Msibadilike kuwa Wana siasa wanaoomba kura.

    • @PauloArogo
      @PauloArogo หลายเดือนก่อน

      Barikiwa mwinjilist paschal

  • @RiyamAbed
    @RiyamAbed หลายเดือนก่อน

    Imani yako ndo itakayo kuponya acha kukifikiria mwmpos yeye anafundisha neno ra mungu kazi yako nik🎉ua naiman na kire unacho fundisha make mungu anacho kiangaria niimani yako amin

    • @TumainiMamuya
      @TumainiMamuya หลายเดือนก่อน

      Kwel broo fundisha neno la mungu achanana na mambo ya kuwaongelea watu mwenzio ameinuliwa waza na wewe mungu akuinue kama mwaposa huna kabisa maneno mengne watu wanashida na kiu tafuta vtu utakuwa juu tuu kama mwenzio acha wenge

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA 2 หลายเดือนก่อน +6

    Nakushauri ACHA KUWAZUNGUMZIA WATUMISHI WENGINE, FANYA KAZI ALIYOKUPA YESU Walete watu kwa Yesu kwa KUWAFUNDISHA WATU WOTE WAMJUE YESU NA KUDUMU NDANI YA YESU KRISTO WA NAZARETI.

    • @LydiaOnesmo
      @LydiaOnesmo 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kwakweli kabisa yaani Mimi ananikela saana Yuko busy to kuchafua watumishi,

    • @LydiaOnesmo
      @LydiaOnesmo 2 หลายเดือนก่อน

      Kwakweli kabisa yaani Mimi ananikela saana Yuko busy kuwasema vibaya to unajua Mtu Mara nyingi aliyeshindwa hutaka kufanya na wengine washindwe to

    • @Kamkono
      @Kamkono 2 หลายเดือนก่อน +1

      Ni kweli kila siku anatufundisha Mungu wa MWAMPOSA, atufundishe Mungu wake. Mimi binafsi siamini kama ndicho alichotumwa na YESU.

    • @LydiaOnesmo
      @LydiaOnesmo 2 หลายเดือนก่อน +1

      @@Kamkono nakwambia wewe Acha to Ndo hivyo atuoneshe Mungu wake kafanya Nini Juu yake na kupitia Yeye na Kwa wengine Huku anapopasema kila siku shuhuda ni nyingi saana

    • @Pendopasilika
      @Pendopasilika 2 หลายเดือนก่อน

      Kweli sikio la kufa halisikii dawa

  • @lygasauka751
    @lygasauka751 หลายเดือนก่อน +4

    Ukisoma Isaya 32:15, inasema kila mti ni Misitu, peleka Injili achana na kupinga pinga watu, Mzee. Utachoka Sana, kwa kufanya kazinambayo sio ya Mungu. Agizo kuu ni Injili, Amri kuu ni Upendo bro, Ukimpenda Mungu utafanya kazi yake achana na Mambo ya kina Mwamposa.

  • @pastorsthenksrojaskapunga6843
    @pastorsthenksrojaskapunga6843 2 หลายเดือนก่อน +3

    Zaburi 30:3
    [3]Umeniinua nafsi yangu,
    Ee BWANA, kutoka kuzimu.
    Umenihuisha na kunitoa
    Miongoni mwao washukao shimoni.
    O LORD, thou hast brought up my soul from the grave: thou hast kept me alive, that I should not go down to the pit.

    • @user-jl5un4wf3u
      @user-jl5un4wf3u 2 หลายเดือนก่อน

      Hakuna binadamu.awezaye kukuombea ili Mungu afute maovuyako isipokuwa wewemwenyewe kujiombea kabula yakifo chako. ndiyo maana hataka bulayakifo chaYesualijiombea yeye mwenyewekabula yakifochake kwakuwa yeye duniani hakuwanataji la uunguali alibebeshwa madhaifu ya binadamu ili kujumuikanao.

  • @LoveVoice-q7g
    @LoveVoice-q7g หลายเดือนก่อน

    Je wew umejuaje haya congratulations kwa mwaposa maisha marefu

  • @EdiltrudesMbonde
    @EdiltrudesMbonde หลายเดือนก่อน +1

    Paschal Fanya na wewe tunachotaka ni kufunguliwa,au wewe ndio unafungaga watu? Tatizo mlilonalo watumishi wa Leo mna WIVU na huduma za wenzenu,
    Watu wanataka uponyaji,watu wanataka kufunguliwa vifungo mbalimbali.
    Nakumbuka YESU akiwaambia wale Mitume waliokuta watu wa mataifa wanatoa pepo kwa jina lake,"Kama wanatoa pepo kwa jina langu,hao ni wa kwetu"
    Sasa wewe unaumia nini?? Acha WIVU na mtafute MUNGU na uwe na nguvu zake usaidie watu.
    Sisi tunafunguliwa bila kwenda kwa MWAMPOSA,mwacheni afanye KAZI ya MUNGU msimkatishe Tamas ni dhambi.
    MUNGU akusaidie Paschal 🙏🙏

  • @EdithaAyoub
    @EdithaAyoub หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde cku zote mtumishi waambie ukweli wajinasue

  • @EliaEmmanul
    @EliaEmmanul 2 หลายเดือนก่อน +7

    Mtumishi Mimi na kutia moyo endelea vivyo hivyo Mungu akutie nguvu

  • @djfoxfoxthedj65
    @djfoxfoxthedj65 หลายเดือนก่อน +2

    Kila siku maji ya upako hakuna upako isipokuwa neno lenyewe wazee tusali kwa imani akuna maji wala kitambaa waku tuwe makini shinda zisitufanye tukae mbali na mungu wetu🙋‍♂️

    • @MaryShole-j7t
      @MaryShole-j7t หลายเดือนก่อน

      Naomba namba za sim

  • @gospeltv2415
    @gospeltv2415 2 หลายเดือนก่อน +11

    Mtumishi mhubiri yesu yakina mwamposa waachie wao

    • @corrolesscps
      @corrolesscps 2 หลายเดือนก่อน +1

      YESU Kristo ni yule yule Jana na leo na kesho, na Neno la MUNGU wa Mbinguni MUNGU YEHOVA wa Ibrahim, Isaka na Yakobo. Ndie anaehubiriwa na Mwamposa , na MUNGU ni pendo, aliupenda ulimwengu akamtoa Mwanawe Pekeee kila amwaminie ataokoka

    • @user-kr9xx8br4o
      @user-kr9xx8br4o 2 หลายเดือนก่อน +1

      @@corrolesscps BWANA YESU AMETUAMURU KUTUMIA JINA LAKE PEKEE (MARKO 16;17)
      HIVYO YAZIDIYO HAPO NI YA SHETANI.

    • @LydiaOnesmo
      @LydiaOnesmo 2 หลายเดือนก่อน +1

      @@gospeltv2415 kabisa yaani Yuko busy na kina mwamposa badala atangaze Jina la Yesu Tanzania nzima imjue

  • @renatus5687
    @renatus5687 2 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe nae c li ombaomba tu unafikitu tu wakusema wengine kila siku si ufanye yako au unajikuta mungu wa duniani Fanya kazi uombaomba tu

  • @JacklineMroso-gy6ej
    @JacklineMroso-gy6ej หลายเดือนก่อน

    Fanya kazi ya Mungu mtumishi ukweli unauma sana wenye kupona watapona wajehanamu watakwenda kwa ugumu wa mioyo Yao!

  • @naangelamcharo8922
    @naangelamcharo8922 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe ubiri kutufundisha acha kukandia wenzako fanya kazi ya Mungu tupe neno c maneno ya kukandia wenzako

  • @SereneIcyComet-gd5we
    @SereneIcyComet-gd5we 25 วันที่ผ่านมา +1

    Huu mchungaji hafaai Hana lolote maana anaonyesha kuwa neno la mungu limegeuka kiwanja cha wanasiasa. Labda nataka niulize kitu Sasa yeye mbona anahitaji manabii wote wafungiwe makanisa yeye ataweza kutusaidia matatizo yetu au anataka tuwarudie waganga wa kienyeji???

  • @user-wr1jp9fm3b
    @user-wr1jp9fm3b 25 วันที่ผ่านมา

    sawa hao wanamwabudu shetaniii Mungu mwanamke

  • @MoksMokah
    @MoksMokah 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ndugu Mwamposa we are together I'm Emmanuel from Mombasa Kenya.🇰🇪🇰🇪🙏

  • @nuruosward8161
    @nuruosward8161 หลายเดือนก่อน +2

    Mnatafuta umaarufu kupitia Mwamposa pole sanaaa Neema aliyopewa na Mungu ni kubwa sanaaaa Iman anayofundisha ni kumuamini Mungu tuu nyie badala mufundishe neno la Mungu mnashinda kukosoa watumishi Wa Mungu

  • @YuenPonsiano
    @YuenPonsiano 2 หลายเดือนก่อน +1

    Usiogope mungu akulinde

  • @evodiajohn7991
    @evodiajohn7991 2 หลายเดือนก่อน +1

    Muhubir Yesu achaaa kuwasema watumishi wa Mungu.

  • @samsonphilipo7153
    @samsonphilipo7153 2 หลายเดือนก่อน +4

    Hata ukiwazungumzia unapoteaa muda kwasababu MAANDIKO yalikwisha tabiri manabiii wa uongo au watumishi wa uongo watakuwepo so huwezi kulizuia ,wewe unachotakiwa wafundishe watu kweli ya NENO la Mungu ,wamjue Mungu only that,Yesu NDIE atakayehukumu siku ya mwisho

    • @salimucvales7495
      @salimucvales7495 2 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe lijinga pumbu ndo walewale

    • @remigiusrwechungula7047
      @remigiusrwechungula7047 2 หลายเดือนก่อน +2

      Fact, afundishe kweli yake, asitumie muda wake wote kuwa ATTACK hawa watu.

    • @ConfusedChicken-ze9fz
      @ConfusedChicken-ze9fz 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kama Mwamposa atumiwi na Mungu na miujiza inayotendeka kwenye ya arise and shine ni feki basi nyie mliowatumishi wa kweli fanyeni basi hiyo miujiza ya kweli tuone na kama hamwezi

    • @ConfusedChicken-ze9fz
      @ConfusedChicken-ze9fz 2 หลายเดือนก่อน +1

      Nilichogundua watumishi wengi wanaoshambulia wenzao wana Roho ya kifarisayo misishangai kuona watu kama hawa mm nashangaa sana badala ya kuhubiri injili wanahubiri mambo ya watu oh yule hivi oh yule vile is that a gospel? Biblia inasema kwenye matendo ya Filipino alishuka Samaria napale Samaria palikuwa na mtu mmoja mashuuri jina lake aliitwa Elima mchawi aliwashangaza watu wengi kwa uchawi wake lakini siku moja mtumishi wa Mungu alipokuja Mungu akamtumia Filipino kwa miujiza mikubwa sana watu walifunguliwa sana hata yule .mchawi akaonekana si kitu kwahiyo na hawa watumishi wanaoshambulia wanatakiwa kuudhiirissa za Mungu kama na kama hawawezi basi wakae kimya wasitabishe watu wakati wao hawawezi kuwasaidia

    • @nataliedayana9824
      @nataliedayana9824 หลายเดือนก่อน

      Uyu nae ni muongo mahn anasimang watumish wa mungu na kuukum wakt yeye ni mwanadam 😂😂

  • @PefHana-yt9wf
    @PefHana-yt9wf หลายเดือนก่อน

    Chizi huyu mchungaji feki. Fanya kazi yako au tangulia mirembe

    • @PhennyBunde
      @PhennyBunde หลายเดือนก่อน

      UKWELI UNAUMA EEEEE

  • @janethesron1111
    @janethesron1111 2 หลายเดือนก่อน +3

    Pole acha kuteseka na karama ya mwenzako

    • @FestoJemsi-lr8pw
      @FestoJemsi-lr8pw หลายเดือนก่อน

      @@janethesron1111 kichwachako kigumu sana kuelewa janethesron soma biblia kila sku loho mtakatifu atakushukia uelewe mengi ya silini 🙏✋

  • @FestoYohana-ll4wk
    @FestoYohana-ll4wk 2 หลายเดือนก่อน +7

    ww siyo mtumishi wa mungu una majungu usihukumu atakae hukumu mungu peke yake

    • @SilviaDaud
      @SilviaDaud 28 วันที่ผ่านมา

      Hakili2 ndoumekosa ww

  • @reginambise3531
    @reginambise3531 หลายเดือนก่อน

    Wewe hubiri neno la Mungu tu achana na habari za kusema watu na makanisa! Anayehukumu ni Mungu peke yake! Usijichanganye broo(Zingatia: acha kuongelea habari z watumishi wa Mungu na makanisa...wewe hubiri neno la Mungu tuu)

  • @samsonphilipo7153
    @samsonphilipo7153 2 หลายเดือนก่อน +2

    Madhabahu ni kwaajili ya kumzungumzia Yesu kristo pekee yake na sio kumzungumzia mtumish yeyote,watumishi wa Mungu wapo na WA shetani wapo USIPOTEZE MUDA kuwajadili watu kwenye madhabahu Bali tumia madhabahu kujadili mambo yahusuyo ufalme wa Mungu

    • @FestoJemsi-lr8pw
      @FestoJemsi-lr8pw 2 หลายเดือนก่อน

      Muurize humuelewi usiogope mfwate what'sapp yupo hapo kwaajili Yako

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA 2 หลายเดือนก่อน

      ANAGOMBANA NA MUNGU

    • @ElizabethMubanga-mn1np
      @ElizabethMubanga-mn1np 2 หลายเดือนก่อน

      You too you are not fair

    • @samsonphilipo7153
      @samsonphilipo7153 2 หลายเดือนก่อน

      @@ElizabethMubanga-mn1np ni USHAURI tu nimetoa sijamzungumzia mtumish wa Mungu yeyote vibaya

    • @helbalchota9417
      @helbalchota9417 2 หลายเดือนก่อน

      Hata ninyi hamjuw asipotaja watu watajuwaje kuwa wamepotea Iv huwa mnasoma biblia gan?maana huwezi kusoma au kutumia biblia bila kutaja watu?

  • @AnnaGhama
    @AnnaGhama หลายเดือนก่อน

    Wewe unawivu nawatumishi wa mungu Anya kazi ulioitiwa acha mungu ahukumu mwenyewe

    • @user-do7pj7xg5u
      @user-do7pj7xg5u หลายเดือนก่อน

      Iyo ndiyo kazi ambayo MUNGU alikuitia??? Au kiki na wivu wa kishetani?

  • @wakywenaky3674
    @wakywenaky3674 2 หลายเดือนก่อน +3

    Tangu umeanza kuwasema wenzio vibaya sijaona hata mmoja amekujibu ,wala hakuna aliyeanguka ,kaka fanya yako mwenye mamlaka ya kuhukumu ni MUNGU,huo muda unaopoteza kujisifa na kuwaponda wenzio ungewekeza sana kuombea watu wamjue huyo MUNGU wako

    • @MoksMokah
      @MoksMokah 2 หลายเดือนก่อน

      You are right

    • @JasminMneney
      @JasminMneney 2 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa ndugu yangu​@@MoksMokah

  • @marymwaya9685
    @marymwaya9685 หลายเดือนก่อน

    Muhubiri au mtumishi wangu unakosoa maneno is ya Mungu Mtumishi Mtumishi gani

  • @EliasMoyo-g3p
    @EliasMoyo-g3p 19 วันที่ผ่านมา

    Tunajua wengine amutakubali kuambiwa ukweli akuna neno la mungu itakayo itaji pesa mtu yeyote ana nena neno la mungu ni zadaka tu sio pesa na zadaka aina kiwango ni chocho kitu Ulicho nacho sio ivyo walivyo manabii wa uwongo apana

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l หลายเดือนก่อน

    We kama una Mungu tuonyeshe zaidi maana watu wana shida.
    Tunataka upako aliouacha yesu

  • @samelychesham3309
    @samelychesham3309 หลายเดือนก่อน

    Nikweli kabisa maaandiko yanasema jima latest linatosha hakuna kuambatanisha na kitu chochote ila jina la yesu latosha ila watu wengi hasa akina mama wanafuata miujiza

  • @AlexJohn-j9j
    @AlexJohn-j9j 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tufundishe basi mungu wako,acha kufuatiria Imani za watu,

  • @njelenjetv
    @njelenjetv 2 หลายเดือนก่อน +2

    Yaani mpaka umtaje mwamposa ndio Kiki yako pole sana

    • @johnmalembo6464
      @johnmalembo6464 2 หลายเดือนก่อน

      Anafunua uovu unaotendwa na mtu.... Mwaposa ni mtu....

    • @user-kr9xx8br4o
      @user-kr9xx8br4o 2 หลายเดือนก่อน

      UCHAWI NI KITU KIBAYA

  • @elishampoki8751
    @elishampoki8751 2 หลายเดือนก่อน +2

    Injili ya fitina ni injili ya kusemana. Vibaya watumishi,
    Tunawaomba mutuhubilie neno la Mungu ili roho Zetu zikamuone Mungu, acheni kusemana vibaya mnawachanganya watu waongo ni lazima wawepo na wa kweli nilazima wawepo Hapo ndipo utumishi unanoga walio wa Mungu watakwenda kwenye ukweli waliowashetani watakwenda kwenye uongo ,
    Ukiacha kuhubili injili ya Yesu ,ukanza kuwasema watumishi unaowaona waongo hapo unamsaidia shetani kufanya kazi

  • @MahraKhan-gd7pb
    @MahraKhan-gd7pb 2 หลายเดือนก่อน +2

    Watu wametekwa ufahamu watu wanahitaji ikomboz wa fikra YESU atusaidie kujua neno lake na kupata maarifa ya neno lake

  • @SophiaMeizon-kq3bp
    @SophiaMeizon-kq3bp 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu awape hekma watumish wake waihubr kwel ya Mungu na sio kufata Oman potofu, swez mzungumzia mwamposa sabu sjamfahamu kiundan zaid, ila wateule kuwen macho hz ni Siku za mwisho shika sana ulcho nacho asje mtu kukunyang'anya

  • @athanasmkopi
    @athanasmkopi หลายเดือนก่อน

    Mungu akusaidie sana, hujui unakokwenda

  • @JastineValentine
    @JastineValentine 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ubarikiwe na bwana

  • @AishaThabit-yr4mn
    @AishaThabit-yr4mn หลายเดือนก่อน +1

    Fanya yako usiwaongelee wenzako mungu anakuona

    • @PhennyBunde
      @PhennyBunde หลายเดือนก่อน

      UENDA MUNGU NDO KAMTUMA ILI WATU WAFUNGUKE MACHO NA KUJUA UKWELI

  • @EliasMoyo-g3p
    @EliasMoyo-g3p 19 วันที่ผ่านมา

    Ila nyie munae waabudi binadamu kuliko mungu endeleeni kuwaabudu muacheni mungu alie hai na kutenda

  • @AzizaAthumani-g1o
    @AzizaAthumani-g1o หลายเดือนก่อน

    Huu muda unaoutumia kumsema mtumishi wa mungu mwamposa ungetumia nguvu iyoiyo kuchunga kondoo wako

  • @GermanaPaul
    @GermanaPaul หลายเดือนก่อน

    Pole Sana,kila mtu anaamini panapomsaidia

  • @leonardsamson2845
    @leonardsamson2845 หลายเดือนก่อน

    Kwanza uliopoweka tu clip ya Mwamposa inataja jina la Yesu wewe hakuna mahali umemtukuza Yesu umejaa kujihesabia haki. Alafu ujue Mungu siyo wa madhehebu

  • @user-de6oo8uh6p
    @user-de6oo8uh6p หลายเดือนก่อน +1

    Mwamposa hamtamuweza Bora mkae kimya

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 2 หลายเดือนก่อน +3

    Shetani hana nguvu kufanya miujiza zinazotendeka katika kanisa la Mwamposa.

    • @DEBORAHMASANJA-yz3go
      @DEBORAHMASANJA-yz3go หลายเดือนก่อน

      Pole sana tena Sana umedandia imani kwa mbele eeeh Mungu akuhurumie sana

  • @ceciliamunisi
    @ceciliamunisi หลายเดือนก่อน +1

    .yani huyu jamaa kachanganyikiwa kweli kweli, injili u sio biashara mzee mzee, wee fata yako mwache Apostle mpakwa mafuta afanye yake 9:35

  • @shadrackjuliuskaboya5239
    @shadrackjuliuskaboya5239 2 หลายเดือนก่อน +4

    Kaka wew kinacho kuuuma nini ya kina mwamposa waachie wenyewe wewe Muhubiri tuu kristo na maisha mengine mbinguni niushauri wangu tuuu*

    • @user-kr9xx8br4o
      @user-kr9xx8br4o หลายเดือนก่อน

      @@shadrackjuliuskaboya5239
      2TIMOTHEO:4:2
      2 lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
      2 Timotheo 4:2
      BASI, TUNAWEZA MSAIDIA PASCAL KAMA KUNA MAHALI AMEENDA NJE YA NENO HILO.

    • @PhennyBunde
      @PhennyBunde หลายเดือนก่อน

      LAZIMA ASEME UKWELI ILI WATU WAJUE KULIKO KUNYAMAZA ILHALI KUNA WATU ANGEWAOKOA KWA KUSEMA UKWELI

  • @rascocircle2928
    @rascocircle2928 หลายเดือนก่อน

    Wew kila mtumishi wa Mungu ni wa uongo em tuambie watumishi wa ukweli walipo!?

  • @AnnaMarthias
    @AnnaMarthias 24 วันที่ผ่านมา

    wewe uhukumiyo ni mungu acha unafiki unaya yamani sana ya mwaposa hunajeuri

  • @JoanathaNovath
    @JoanathaNovath หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤ iko kweri kabsaa waambie waache hyo tbia

  • @SilviaDaud
    @SilviaDaud 28 วันที่ผ่านมา

    Kasias baba uko sawa sema shida watu hatusom maandiko jaman tusome maandiko anayosema kasian nikwer. Kasomen ufunuo

    • @joelinatlae6499
      @joelinatlae6499 25 วันที่ผ่านมา +1

      Ni ukweli wa mungu huooooo

  • @IfandaHamisi-ju2lz
    @IfandaHamisi-ju2lz หลายเดือนก่อน

    Imeandikwa wengi wataiacha kweli na kufuata mafundisho ya kishetani, Cassian hamsemi mtu bali anaonya hata Yesu aliwakemea watu na kuwaonya

  • @AsifiweJosia
    @AsifiweJosia หลายเดือนก่อน

    Imani yako ndiitakayo kuponya na mpenda San mwamuposa

  • @MuhetaValerius
    @MuhetaValerius 28 วันที่ผ่านมา

    Miaka kumi na sita sina mtoto kwa mwamposa nimepokea utaniambia nini? Unatumia mda mwingi kuhubiri watu badala ya neno la mungu, imani yangu siyo yako

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z 2 หลายเดือนก่อน +4

    Wewe mwenyewe tutakuamini vipi

  • @JamesMassawe-km7fn
    @JamesMassawe-km7fn หลายเดือนก่อน +1

    Jamani mbona wachungaji na manabii hawatumii muda mwingi kubuni mbinu za kuleta ukombozi na uponyaji na amani wanajitahidi kukosoa wenzao ? Nakuwapinga wenzao tafuteni amani watu wapone mtapata baraka

  • @IfandaHamisi-ju2lz
    @IfandaHamisi-ju2lz หลายเดือนก่อน

    Mungu ni mwingi wa rehema

  • @user-hv7hi6tk9e
    @user-hv7hi6tk9e 2 หลายเดือนก่อน +1

    kama kweli Mungu tunayemwabudu yupo hai na aishi
    tumwachie yeye atoe hukumu ya haki
    huwezi kuhukumu maana hata ww mwenyewe unatumika.kuwachafua viongozi wenzako
    huewezi kuhubiria watu habari za kanisa lingine
    Mwache.Mungu mwenyewe apitishe Mundu kuvuna ngano na magugu
    ww una jicho lipi la kufichua uovu wa wenzako?

  • @evodiajohn7991
    @evodiajohn7991 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akuongoze MTU wa Mungu

  • @emanuellyatuu731
    @emanuellyatuu731 หลายเดือนก่อน

    Jamani acheni ujinga wa kutukanana kwani hamsomi maandiko ? Zitafakarini hizoroho kama zimetokana na Mungu au laa

  • @theresiamateru6426
    @theresiamateru6426 2 หลายเดือนก่อน

    Watu hawana Imani na Mungu sasa hivi Wana imani kwa hawa manabii wa uongo wanaojitokeza kila siku

  • @gracenelsonmutalemwa
    @gracenelsonmutalemwa 2 หลายเดือนก่อน +1

    Anae hukumu siku zote ni Mungu pekee usimuhukumu mwanadamu mwenzioo.

  • @GustaveAbedi-td9yv
    @GustaveAbedi-td9yv 2 หลายเดือนก่อน +3

    Soyez bénis au nom de Jésus Christ de Nazareth 🇨🇩🇨🇩

  • @cosmasevodius5047
    @cosmasevodius5047 หลายเดือนก่อน

    Acha kulialia kama una Mungu wa kweli Fanya kama eliya tuone😂😂😂

  • @JacksonMfinanga-bd4zb
    @JacksonMfinanga-bd4zb หลายเดือนก่อน

    We ndugu tuonyeshe munguwako wakwer yukowap bado ujasema yani mpakausiku tungamengine klwa buludoza tuachekidogo sawa ata awe namungu wamabomu atubanduki ng,oooo

  • @MeshackMlyanginu
    @MeshackMlyanginu 2 หลายเดือนก่อน +1

    Cassian unaongeaga kwel kabisa lakini usiwahukumu hao wengine ucje ukahukumiwa Ila ukweli Xana kuhusu mafundisho yako

  • @StellaJoseph-m1q
    @StellaJoseph-m1q หลายเดือนก่อน

    Mungu ambariki sana mtumishi wa mungu ( mwamposa) amjarie umri mrefu

  • @ephraimmwidunda7136
    @ephraimmwidunda7136 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mhubirini MUNGU, na Mwanae
    Mpendwa Yesu Kristo. Achana na kuhubiri mapungufu ya wenzio. Mbona wengi wenu m asema ' Mungu ameniambia.. ' Nani alikuona au kusikia ukiongea na MUNGU? 😅

  • @HappinesNashon
    @HappinesNashon หลายเดือนก่อน

    Hubiri habari ya mungu ,usihubiri habari zakuponda watumishi was mungu,kikubwa usihukumu usije ukahukumiwa, mwamposa mbn huwa amhubiri mtu,,,anatangaza habari njema tu ya ujumbe wamungu

  • @jeniphermyingajeniphermyin8029
    @jeniphermyingajeniphermyin8029 หลายเดือนก่อน

    HUBIRI neno watu wasaidike kwann unahubiri watu lkn,waache Kama wako nje ya MUNGU WAKWELI Mwenye hukumu ni MUNGU,ndiyo maana alisema katika neno lake kuwa ,anawajua WALIO wake,Sasa Kama anawajua WALIO wake KWAMAANA yaaliowaita BAC HATA wasio wake kihuduma waliojiita wenyewe anawajua,kwani siunajua MUNGU amesema katika neno lake kuwa,Wana wa MUNGU nidhahiri KADHALIKA WANA wa ibilisi nidhahiri,Sasa kwann NAFASI ya KUMWACHA MUNGU afanye kwann unaichukua wewe mtumishi.Minakukubali Sana lkn Sasa unaacha kuhubiri neno unahubiri watu,sawa Biblia inasema waambie watu makosa Yao,hao unaowasema niheri umwachie MUNGU mtoa hukumu yahaki.

  • @MjumbeAgano
    @MjumbeAgano หลายเดือนก่อน

    Kila nabii wa sasa ni mwongo bila kujifunza kwa mjumbe wa agano duniani hakuna mbingu,

  • @EliasMoyo-g3p
    @EliasMoyo-g3p 19 วันที่ผ่านมา

    Uyo ndie mungu wenu wakumuabudi na ndio maan ata matatizo yanazidi kua makubwa maan watu tumekua tunamuabudu binadamu wakati mungu yupo ata Kama aonekani lakini mungu yupo hai wecheni kumudhaliti mungu nyie watu mulie potokwa maana kweli munamuaibishamungu kwani uyo munae sema anauwezo wa kukuombea kwani yeye alitoka juu mbingini? Au kaxaliwa kama ww Kwan ww ajui kumuomba mungu kumuambia mungu shida zako na aitatuwe ila pia ujue kama ww ni mutenda dhambi yalio pitiliza sio rahizi mungu akupokelee maombi yako itachukua mudana sana adi utakapo badilika na ndio maan wengine wamekua wakiabudi binadamu kama hao sababu badi hao sio wanamutumia mungu wanatumia uchawi na uwongo kwayo nyie nendeni uko mukaendeleze mabaya yenu

  • @AishaThabit-yr4mn
    @AishaThabit-yr4mn หลายเดือนก่อน

    Usimuhukum mwenzako arafu mbona mnaemuongelea Hana muda na majungu yenu yaaani mnavyo msema bibaya ndo anazidi kushine

  • @HamphleyLucas
    @HamphleyLucas 5 วันที่ผ่านมา

    Wew hupaswi kutenda hayo kaka angu Unaonaje hiyo nguv yote kubwa ungeingia mtaan kushuhudia watu?

  • @norahfrank
    @norahfrank หลายเดือนก่อน

    Sijui kwann Wakristo tunapigana vita kiasi hiki Ee Mungu

  • @orsolinaleonsminja6436
    @orsolinaleonsminja6436 หลายเดือนก่อน

    Mimi ni Mkatoliki na Nina amini Sana mafundisho yanayofindisha kabisa Katoliki la Roma, hakuna WA kutoa huko. Imani yako ndiyo inayokuponya.

  • @PonsSalimu
    @PonsSalimu 9 วันที่ผ่านมา

    Amen

  • @nicholausmlonde7435
    @nicholausmlonde7435 หลายเดือนก่อน +1

    Acheni awaambie ukweli makasiliko yann sema baba wapate kuponaaàaaa

  • @FestoYohana-ll4wk
    @FestoYohana-ll4wk 2 หลายเดือนก่อน +3

    kiukweli unachukiza unauhakika gn kuwa mwamposa hamtumikii mungu acha zak tumechoka mahubili yako yakukachifu wenzio huduma yak yenyewe haieleweki

    • @PhennyBunde
      @PhennyBunde หลายเดือนก่อน

      UKWELI UNAUMA @FESTO YOHANA MWAMPOSA MIUJIZA YAKE HAYANA UKWELI IFIKE HATUA MSIKILIZE NENO SORRY FOR CORRECTION

  • @athanasmkopi
    @athanasmkopi หลายเดือนก่อน

    Simama kwa nafasi yako muhubiri Mungu , sio kumhubiri watu kajipange upya

  • @veronicankhwazi7954
    @veronicankhwazi7954 หลายเดือนก่อน

    Hyu alieingia freemason akanusurika leo anamsema mwenzake😅

  • @HamphleyLucas
    @HamphleyLucas 5 วันที่ผ่านมา

    Kaka unapotea sio Mungu aliekutuma unene hayo

  • @NeemaDaniel-l1o
    @NeemaDaniel-l1o หลายเดือนก่อน

    Kama wewe ni mtumishi was mungu mbona unamchafua mtumishi mwenzio na ndio arikua kipao mbele kukusaidia sisi tutakwenda kwa mwamposa atutaacha Kama anashetan atujui tunachojua tunapona

  • @IsakaMgeje
    @IsakaMgeje 11 วันที่ผ่านมา

    Sio utani Mim nilishaoneshwa zaid ya mara 2 namuona Mwamposa kavaa wigi na Dera yuko mbele anahubiri . Wafuasi wake Amwezi kuelewa coz msharogwa akili zenu . Amwezi zinduka ila one day. Njoo nikupe siri za mafanikio bila ya Huo upuzi wa mwampsa

  • @SelemanZakalia
    @SelemanZakalia 2 หลายเดือนก่อน +3

    Cassan paza sauti nakuyakemea mungu atakulinda

    • @obinasimbeye1750
      @obinasimbeye1750 2 หลายเดือนก่อน +1

      Sio kazi yake hiyo ya kung'oa magugu ni kazi ya Mungu