SIRI NZITO MUNGU WA MWAMPOSA AFICHULIWA KAFARA ZAKE EV PASCHAL CASSIAN

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025
  • #0766998994 #call0688199370 #

ความคิดเห็น • 625

  • @MussaChauya
    @MussaChauya หลายเดือนก่อน +3

    God bless you pascal nakama nimtumishi wa mungu kwelikweli mungu wa mbinguni asikuache hapo ulipo akuinue kwa viwango

  • @KaramaahazyOkero
    @KaramaahazyOkero 5 หลายเดือนก่อน +9

    Mtumishi MUNGU akibariki sana kutimiza kusudi ra Mun gu ni gharama kubwa sana Mungu akutie nguvu

  • @benolduka
    @benolduka 3 หลายเดือนก่อน +9

    Cassian, nashukuru Kwa kukosoa mienendo mingine, Wala usiogope,wachane vizuri

    • @VeraEdward-v9d
      @VeraEdward-v9d 2 หลายเดือนก่อน

      Achana na mwamposa wewe hubiri

    • @VeraEdward-v9d
      @VeraEdward-v9d 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kama angekuwa mwongo mbona watu wanakula mandazi kwa Imani kama keki wanapona? Ebu mwangalie mungu usimwangalie mwamposa

  • @ombeniMassawe
    @ombeniMassawe หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akubariki mtumishi wa Mungu sana, endelea kuhubiri tuzidi kujua kwamba Yesu ndie anaye ponya na kurejesha, watu waombe Yesu ni mkuu kuliko vitu vyote

  • @JescaMwakipesile
    @JescaMwakipesile 6 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu atusaidie. Roho Mtakatifu atupe mafunuo ya kweli tuweze kupambanua kati ya Watumishi wa kweli na mbwa mwitu wakali. YESU anasema AAMINIYE NA KUBATIZWA ATAOKOKA. Je baada ya mafundisho yote watu hawa wanabatizwa? Ni agizo la MWENYE KANISA. Chagua hivi leo.

  • @daphrosehakizimana6554
    @daphrosehakizimana6554 3 หลายเดือนก่อน +2

    Asnt sana Mtumishi wa Yesu
    Walipuwe vizipu wamujue Mungu wa kweri.

  • @esteralen3396
    @esteralen3396 6 หลายเดือนก่อน +5

    LABDA ungehubiti Neno La Mungu kuliko kumtumia Nguvu nyingi kuhubiri watu. Yesu amekutuma kufanya hivyo kweli?? Pole sana

    • @ElizabethMakwaia
      @ElizabethMakwaia 6 หลายเดือนก่อน +1

      Ndivyo Yesu anachotaka. Kumuelewa mtumishi huyu ni neema ya Mungu. Usipoelewa unapungukiwa neema yake. Ukiona humwelewi shika imani yako hulazimishwi.

    • @JohnMashamba
      @JohnMashamba 5 หลายเดือนก่อน

      Kumjua Mungu si kutuma Nguvu,hata wewe ni mmojawapo unatafuta ulaji tu Amerika si Mbinguni,na niambie Maandiko yaliandikwa na nani.

    • @agapemindset1729
      @agapemindset1729 4 หลายเดือนก่อน

      Pole yake.kwa.kweli

    • @shadrickmbamba4521
      @shadrickmbamba4521 วันที่ผ่านมา

      Kwamawazo hayo Imani ulisha iacha mda Imani bila matendo imekufa

    • @shadrickmbamba4521
      @shadrickmbamba4521 วันที่ผ่านมา

      Yani mpaka hapo Imani haipo kwako tena unahitaji kutafakari kwa umakini kama unamwamini Mungu Omba Roho mtakatifu akufindishe hayo kwa mafunuo yake hutakaa na mitazamo ya akina mwamposa tena

  • @lygasauka751
    @lygasauka751 7 หลายเดือนก่อน +6

    Ukisoma Isaya 32:15, inasema kila mti ni Misitu, peleka Injili achana na kupinga pinga watu, Mzee. Utachoka Sana, kwa kufanya kazinambayo sio ya Mungu. Agizo kuu ni Injili, Amri kuu ni Upendo bro, Ukimpenda Mungu utafanya kazi yake achana na Mambo ya kina Mwamposa.

    • @VeronicaMwansembo
      @VeronicaMwansembo หลายเดือนก่อน

      Aaah ananikwaza mimi kila cku ameattack mtu

  • @JamesAndrew-i9w
    @JamesAndrew-i9w หลายเดือนก่อน +1

    Nakukubali casian waweke sawa

  • @lilianmnyone
    @lilianmnyone 12 วันที่ผ่านมา

    Sijakuelewa unahubiri au unkosoa watu kazi hiyo niya mungu mnatuchanga nya hubiri neno

  • @HusenMziku
    @HusenMziku 2 วันที่ผ่านมา

    Sema mtumishi iliwatu wawesalama

  • @LoveVoice-q7g
    @LoveVoice-q7g 6 หลายเดือนก่อน +1

    Je wew umejuaje haya congratulations kwa mwaposa maisha marefu

  • @mariyammariyam-y3u
    @mariyammariyam-y3u 7 หลายเดือนก่อน +11

    Asante yesu Kwa kunipa Neema yakujua maandiko nifunike Kwa dam yako takatifu na family Yang yote ili tuje kwako tusiufatishe namna ya ulimwengu uendavyo❤

  • @EliyaSimoni-w2m
    @EliyaSimoni-w2m 4 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu atuokoe

  • @reginambise3531
    @reginambise3531 6 หลายเดือนก่อน +3

    Wewe hubiri neno la Mungu tu achana na habari za kusema watu na makanisa! Anayehukumu ni Mungu peke yake! Usijichanganye broo(Zingatia: acha kuongelea habari z watumishi wa Mungu na makanisa...wewe hubiri neno la Mungu tuu)

  • @EdithaAyoub
    @EdithaAyoub 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akulinde cku zote mtumishi waambie ukweli wajinasue

  • @WemaOmary-z3t
    @WemaOmary-z3t 26 วันที่ผ่านมา

    Mimi naona nawewe pia unatatizo kama mwamposa anakosea nayeye dhihirisheni kazi za Mungu ziwe kubwa kuliko shuhuda za kwa mwamposa hili tujie Mungu anakutumia maan hata Yesu alidhibitishwa kwa kazi zake

  • @JajiZakayo-fw9mk
    @JajiZakayo-fw9mk 7 หลายเดือนก่อน +7

    Mtumishi mwema ni mzee wetu Mwakasege mwenye busara ya Mungu hajawahi kugusa huduma ya mtu mwingine na kama una ujasiri wa kupinga mbona ujawagusa waislamu na hali unajua ndio wapinga Kiristo kumbe wewe ni muoga wa kufa unajua wakiristo ni wapole na wanyenyekevu wa moyo shambulia waislamu kama kweli una ujasiri wa kimungu

    • @eligiuselias4469
      @eligiuselias4469 7 หลายเดือนก่อน

      Aliye lwambia wapinga Kristo ni waislamu tui?.
      Je Kristo alipingwa au kukataliwa na waislamu?

    • @Pendopasilika
      @Pendopasilika 7 หลายเดือนก่อน +2

      Mpinga kristo anaweza akawa mkristo au mwislam husomi biblia? We unafikili waislam wote hawaendi mbinguni wapi watakao kwenda nikama vile wakristo wapo ambao hawatakwenda na wengine wataenda waislam na ni taifa ambalo MUNGU alimbalikia Ishumail mtoto wa Ibrahim Alie zaliwa na msichana wa kazi kwa hiyo mpinga kristo niyule anaepinga mafundisho ya YESU na kufuata mafundisho ya shetani

    • @DeusdeditMichael
      @DeusdeditMichael 7 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@PendopasilikaMBINGUNI HATUONDI KWA DINI BALI KWA NENO LA KRISTO.
      MARKO 16::16
      AAMINIE NA KUBATIZWA ATAOKAKA, ASIYE AMINI ATAHUKUMIWA.
      YOHANA:3:5
      YESU AKAJIBU, AMIN,AMIN, NAKUAMBIA MTU ASIPOZALIWA KWA MAJI NA KWA ROHO HAWEZI KUUINGIA UFALME WA MUNGU.
      WALA SIYO SINI HIYO, BALI NI WOKOVU. UNAPASWA KUOKOKA.

    • @Pendopasilika
      @Pendopasilika 7 หลายเดือนก่อน

      @@DeusdeditMichael Ni kweli tunakwenda kwa njia ya wokovu ambalo ni neno la kristo lakini je? Na kwenye hizo keki mie naona hiyo ni miujiza ya kipepo MUNGU akubariki

    • @DeusdeditMichael
      @DeusdeditMichael 7 หลายเดือนก่อน

      @@Pendopasilika IBADA YA KUMUABUDU YESU KRISTO HUFANYIKA SAWASAWA NA NENO LA KRISTO. AMBALO LINATUAMBIA KUTUMIA JINA LAKE PEKEE.
      YOHANA 14:13-14
      YOHANA 16: 23
      YOHANA ; 16:26
      (Soma)
      YAZIDIYO HAPO, YANATOKA KWA SHETANI.
      2WAKORINTHO 11;14
      (Soma)
      Neno linasema; Mwisho wao utakuwa sawasawa na kazi yao.

  • @MellenaKansiime
    @MellenaKansiime 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki muchungaji Tena akupemaisha marefu unasemaukweli lakini watuweeengi wamepotea kabisa

  • @ChristerDanisha
    @ChristerDanisha 6 หลายเดือนก่อน +5

    We ufie mbali unaetualibia apostal wetu mungu anakuona

  • @ElizaMoses-g7p
    @ElizaMoses-g7p 6 หลายเดือนก่อน

    Ameen barikiwa Sana baba Mungu akuinue, sema tupone.

  • @orsolinaleonsminja6436
    @orsolinaleonsminja6436 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mimi ni Mkatoliki na Nina amini Sana mafundisho yanayofindisha kabisa Katoliki la Roma, hakuna WA kutoa huko. Imani yako ndiyo inayokuponya.

  • @RiyamAbed
    @RiyamAbed 7 หลายเดือนก่อน

    Imani yako ndo itakayo kuponya acha kukifikiria mwmpos yeye anafundisha neno ra mungu kazi yako nik🎉ua naiman na kire unacho fundisha make mungu anacho kiangaria niimani yako amin

    • @TumainiMamuya
      @TumainiMamuya 6 หลายเดือนก่อน

      Kwel broo fundisha neno la mungu achanana na mambo ya kuwaongelea watu mwenzio ameinuliwa waza na wewe mungu akuinue kama mwaposa huna kabisa maneno mengne watu wanashida na kiu tafuta vtu utakuwa juu tuu kama mwenzio acha wenge

  • @evodiajohn7991
    @evodiajohn7991 7 หลายเดือนก่อน +2

    Muhubir Yesu achaaa kuwasema watumishi wa Mungu.

  • @Rwelaanesius
    @Rwelaanesius หลายเดือนก่อน

    utaongea sana kwa mwamposa fanya yako yawengne ayakuhusu mbwa wew mtaje mwingine usimtaje mwamposa

  • @norahfrank
    @norahfrank 7 หลายเดือนก่อน +2

    Sijui kwann Wakristo tunapigana vita kiasi hiki Ee Mungu

  • @elizaedward1851
    @elizaedward1851 5 วันที่ผ่านมา

    Amina Mtumishi wa YESU KRISTO❤

  • @AGNESMDELUKA-tb2ru
    @AGNESMDELUKA-tb2ru หลายเดือนก่อน

    Huniambii kitu kuusu catholic ❤❤❤❤ rc

  • @athanasmkopi
    @athanasmkopi 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akusaidie sana, hujui unakokwenda

  • @JacklineMroso-gy6ej
    @JacklineMroso-gy6ej 6 หลายเดือนก่อน

    Fanya kazi ya Mungu mtumishi ukweli unauma sana wenye kupona watapona wajehanamu watakwenda kwa ugumu wa mioyo Yao!

  • @SophiaMeizon-kq3bp
    @SophiaMeizon-kq3bp 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu awape hekma watumish wake waihubr kwel ya Mungu na sio kufata Oman potofu, swez mzungumzia mwamposa sabu sjamfahamu kiundan zaid, ila wateule kuwen macho hz ni Siku za mwisho shika sana ulcho nacho asje mtu kukunyang'anya

  • @AsifiweJosia
    @AsifiweJosia 6 หลายเดือนก่อน +1

    Imani yako ndiitakayo kuponya na mpenda San mwamuposa

  • @TomasinaRobathoreste
    @TomasinaRobathoreste 2 หลายเดือนก่อน

    Fanya kazi yako acha kusema maneno mabaya kwa watumishi wengine

  • @bethmahela2182
    @bethmahela2182 7 หลายเดือนก่อน +1

    Sijawahi kumuona huyu pascal kasian,akihubiri naona aanawapinga watumishi wa mungu,mungu akusamehe tu

    • @rehemadaudi550
      @rehemadaudi550 6 หลายเดือนก่อน

      Sio huyu tu yupo na mwingine yeye hadi anatukana❤

    • @JoyceMbise-zr2xh
      @JoyceMbise-zr2xh 6 หลายเดือนก่อน

      Ndo wito alioitiwa

    • @rehemadaudi550
      @rehemadaudi550 6 หลายเดือนก่อน

      @@JoyceMbise-zr2xh hakunaga wito wa namna hiyo msitufanye km hatujui neno. kuna mahali amesema kwenye maandiko we ni nani unayekitoa kibanzi cha mwenzio. wakati kwako kuna boriti? wakemee dhambi za watu wote ili yule anayezitenda ahukumiwe abadirike, kutaja jina la mtu ni uchochezi

  • @MoksMokah
    @MoksMokah 7 หลายเดือนก่อน +2

    Ev.Paschal we are together, I'm Emmanuel from Mombasa Kenya.🙏🙏🇰🇪🇰🇪

  • @zeddmedics
    @zeddmedics 6 หลายเดือนก่อน

    Ila binadam mnatumia nguvu nyingi kumchafua mwamposa na mungu alivo wa ajabu mwamposa anazidi kung'ara na Hana mda wakumuongelea mtu zaidi ya kuhubili neno la mungu 🙏🙏🙏🙏

    • @GeraldElias-s7j
      @GeraldElias-s7j 2 หลายเดือนก่อน

      Mungu akusaidie hakuna mtumishi pale Lengo la Yesu kuja dunian nikuja kuhubiri injili ili watu watubu dhambi zao waokolewe waende mbingun nasio kuja kukanyaga mafuta na keki hayo ni mafundisho ya mashetani hizi ni nyakati za mwisho mpendwa Yesu ilituachia jina lake nasio mafuta wala keki wala maji yaupako

  • @janethesron1111
    @janethesron1111 7 หลายเดือนก่อน +4

    Pole acha kuteseka na karama ya mwenzako

    • @FestoJemsi-lr8pw
      @FestoJemsi-lr8pw 7 หลายเดือนก่อน

      @@janethesron1111 kichwachako kigumu sana kuelewa janethesron soma biblia kila sku loho mtakatifu atakushukia uelewe mengi ya silini 🙏✋

  • @BarakaKiyeyeu-b3b
    @BarakaKiyeyeu-b3b 2 วันที่ผ่านมา

    Tupopamoja mtumishi katika kumzihirisha
    Mungu
    Wa
    Kweli.

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA 7 หลายเดือนก่อน +6

    Nakushauri ACHA KUWAZUNGUMZIA WATUMISHI WENGINE, FANYA KAZI ALIYOKUPA YESU Walete watu kwa Yesu kwa KUWAFUNDISHA WATU WOTE WAMJUE YESU NA KUDUMU NDANI YA YESU KRISTO WA NAZARETI.

    • @LydiaOnesmo
      @LydiaOnesmo 7 หลายเดือนก่อน +1

      Kwakweli kabisa yaani Mimi ananikela saana Yuko busy to kuchafua watumishi,

    • @LydiaOnesmo
      @LydiaOnesmo 7 หลายเดือนก่อน

      Kwakweli kabisa yaani Mimi ananikela saana Yuko busy kuwasema vibaya to unajua Mtu Mara nyingi aliyeshindwa hutaka kufanya na wengine washindwe to

    • @Kamkono
      @Kamkono 7 หลายเดือนก่อน +1

      Ni kweli kila siku anatufundisha Mungu wa MWAMPOSA, atufundishe Mungu wake. Mimi binafsi siamini kama ndicho alichotumwa na YESU.

    • @LydiaOnesmo
      @LydiaOnesmo 7 หลายเดือนก่อน +1

      @@Kamkono nakwambia wewe Acha to Ndo hivyo atuoneshe Mungu wake kafanya Nini Juu yake na kupitia Yeye na Kwa wengine Huku anapopasema kila siku shuhuda ni nyingi saana

    • @Pendopasilika
      @Pendopasilika 7 หลายเดือนก่อน

      Kweli sikio la kufa halisikii dawa

  • @GermanaPaul
    @GermanaPaul 6 หลายเดือนก่อน +1

    Pole Sana,kila mtu anaamini panapomsaidia

    • @IbrahimShelimo
      @IbrahimShelimo หลายเดือนก่อน

      Safi San urichosem

  • @IbrahimShelimo
    @IbrahimShelimo หลายเดือนก่อน

    Tena mungu anakuona kwakwa budu myungu

  • @SophiaUronu-fw9gv
    @SophiaUronu-fw9gv 6 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu kamfundisha mwamposa kunyamaza kimya. Asije kuwa kama mataifa.

  • @AnnaGhama
    @AnnaGhama 6 หลายเดือนก่อน

    Wewe unawivu nawatumishi wa mungu Anya kazi ulioitiwa acha mungu ahukumu mwenyewe

    • @LilianSilas
      @LilianSilas 6 หลายเดือนก่อน

      Iyo ndiyo kazi ambayo MUNGU alikuitia??? Au kiki na wivu wa kishetani?

    • @GeraldElias-s7j
      @GeraldElias-s7j 2 หลายเดือนก่อน

      Kumbuka hata Yesu alipoingia hekaluni mbona hakusubili wafe ndo wakahukumiwe huwezi kuacha injili inahalibiwa then unasem ni wivu hakuna cha wivu wala nini hivi ndivyo injili inavyotakiwa kuwa

  • @HappinesNashon
    @HappinesNashon 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hubiri habari ya mungu ,usihubiri habari zakuponda watumishi was mungu,kikubwa usihukumu usije ukahukumiwa, mwamposa mbn huwa amhubiri mtu,,,anatangaza habari njema tu ya ujumbe wamungu

  • @OnesmoDenis
    @OnesmoDenis 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hivyo hubiri utukufu wa mungu siyo kuwasema watumishi

  • @marymwaya9685
    @marymwaya9685 6 หลายเดือนก่อน

    Muhubiri au mtumishi wangu unakosoa maneno is ya Mungu Mtumishi Mtumishi gani

  • @djfoxfoxthedj65
    @djfoxfoxthedj65 6 หลายเดือนก่อน +2

    Kila siku maji ya upako hakuna upako isipokuwa neno lenyewe wazee tusali kwa imani akuna maji wala kitambaa waku tuwe makini shinda zisitufanye tukae mbali na mungu wetu🙋‍♂️

    • @MaryShole-j7t
      @MaryShole-j7t 6 หลายเดือนก่อน

      Naomba namba za sim

  • @ingianaelidickson3038
    @ingianaelidickson3038 6 หลายเดือนก่อน +1

    Isaya 10:27 ........ Nayo nira itaharibiwa kwasabu ya kutiwa mafuta. IMANI BILA MATENDO IMEKUFA.

  • @naangelamcharo8922
    @naangelamcharo8922 6 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe ubiri kutufundisha acha kukandia wenzako fanya kazi ya Mungu tupe neno c maneno ya kukandia wenzako

  • @JoshuaMaganigani
    @JoshuaMaganigani 7 หลายเดือนก่อน +7

    Mnatupoteza tunaowasikiliza na kutufundisha neno la Mungu.Kila mtumishi afundishe alichoinuliwa na Mungu.Msibadilike kuwa Wana siasa wanaoomba kura.

    • @PauloArogo
      @PauloArogo 6 หลายเดือนก่อน

      Barikiwa mwinjilist paschal

    • @RoseAmilet
      @RoseAmilet 3 หลายเดือนก่อน

      Anakupoteza vip sasa

  • @markbundi9821
    @markbundi9821 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akuwekehe ukuta WA Moto wake hadui asikufikie

  • @MellenaKansiime
    @MellenaKansiime 2 หลายเดือนก่อน

    Usiogope mutumishi wa Mungu hata watu wakutukane wakuzarau wewe endeleya kusema ukweli.mtangaza Yesu

  • @IbrahimShelimo
    @IbrahimShelimo หลายเดือนก่อน

    Pole San ww kwakupoteza w2 Kama urivo wapotosha mamironi waw2 mungu wakwer anakuja utamujb nn ww

  • @EdiltrudesMbonde
    @EdiltrudesMbonde 6 หลายเดือนก่อน +2

    Paschal Fanya na wewe tunachotaka ni kufunguliwa,au wewe ndio unafungaga watu? Tatizo mlilonalo watumishi wa Leo mna WIVU na huduma za wenzenu,
    Watu wanataka uponyaji,watu wanataka kufunguliwa vifungo mbalimbali.
    Nakumbuka YESU akiwaambia wale Mitume waliokuta watu wa mataifa wanatoa pepo kwa jina lake,"Kama wanatoa pepo kwa jina langu,hao ni wa kwetu"
    Sasa wewe unaumia nini?? Acha WIVU na mtafute MUNGU na uwe na nguvu zake usaidie watu.
    Sisi tunafunguliwa bila kwenda kwa MWAMPOSA,mwacheni afanye KAZI ya MUNGU msimkatishe Tamas ni dhambi.
    MUNGU akusaidie Paschal 🙏🙏

  • @samsonphilipo7153
    @samsonphilipo7153 7 หลายเดือนก่อน +5

    Hata ukiwazungumzia unapoteaa muda kwasababu MAANDIKO yalikwisha tabiri manabiii wa uongo au watumishi wa uongo watakuwepo so huwezi kulizuia ,wewe unachotakiwa wafundishe watu kweli ya NENO la Mungu ,wamjue Mungu only that,Yesu NDIE atakayehukumu siku ya mwisho

    • @remigiusrwechungula7047
      @remigiusrwechungula7047 7 หลายเดือนก่อน +2

      Fact, afundishe kweli yake, asitumie muda wake wote kuwa ATTACK hawa watu.

    • @ConfusedChicken-ze9fz
      @ConfusedChicken-ze9fz 7 หลายเดือนก่อน +1

      Kama Mwamposa atumiwi na Mungu na miujiza inayotendeka kwenye ya arise and shine ni feki basi nyie mliowatumishi wa kweli fanyeni basi hiyo miujiza ya kweli tuone na kama hamwezi

    • @ConfusedChicken-ze9fz
      @ConfusedChicken-ze9fz 7 หลายเดือนก่อน +1

      Nilichogundua watumishi wengi wanaoshambulia wenzao wana Roho ya kifarisayo misishangai kuona watu kama hawa mm nashangaa sana badala ya kuhubiri injili wanahubiri mambo ya watu oh yule hivi oh yule vile is that a gospel? Biblia inasema kwenye matendo ya Filipino alishuka Samaria napale Samaria palikuwa na mtu mmoja mashuuri jina lake aliitwa Elima mchawi aliwashangaza watu wengi kwa uchawi wake lakini siku moja mtumishi wa Mungu alipokuja Mungu akamtumia Filipino kwa miujiza mikubwa sana watu walifunguliwa sana hata yule .mchawi akaonekana si kitu kwahiyo na hawa watumishi wanaoshambulia wanatakiwa kuudhiirissa za Mungu kama na kama hawawezi basi wakae kimya wasitabishe watu wakati wao hawawezi kuwasaidia

    • @nataliedayana9824
      @nataliedayana9824 6 หลายเดือนก่อน

      Uyu nae ni muongo mahn anasimang watumish wa mungu na kuukum wakt yeye ni mwanadam 😂😂

    • @nataliedayana9824
      @nataliedayana9824 6 หลายเดือนก่อน

      @@ConfusedChicken-ze9fzAna njaaaa 😂😂

  • @JoanathaNovath
    @JoanathaNovath 6 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤ iko kweri kabsaa waambie waache hyo tbia

  • @MellenaKansiime
    @MellenaKansiime 2 หลายเดือนก่อน

    Watumishiwengi wanapoteza watu Wa Mungu.saana

  • @GodfreyMoga-fo8ws
    @GodfreyMoga-fo8ws 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu azidi kusema nawewe

  • @MilliamChristopher
    @MilliamChristopher 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ungekuw una simama na neno huenda ungekuwa mbali, lakn kwa kuwa una kaz ya kufatilia maisha ya wtu utachelewa sn.mama mungu si mwanadam na huwapinga wenye kibur

  • @AzizaAthumani-g1o
    @AzizaAthumani-g1o 6 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe fundisha ulichotumwa na mungu

  • @matimfuko641
    @matimfuko641 2 หลายเดือนก่อน

    Ila Kuhusu kukosoa watumishi wa Mungu ni jukunu la Mungu mwenyewe na si la mwanadamu yeye ndiye aliwaita let God handle them.

  • @IfandaHamisi-ju2lz
    @IfandaHamisi-ju2lz 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu ni mwingi wa rehema

  • @RobsonMathew-eb3ec
    @RobsonMathew-eb3ec 6 หลายเดือนก่อน +1

    pastor paschal sijaluelewa kila mtumishi wamungu kwako unasema anakosea na hakuna mwanadamu aliye kamilika nadhani hata wewe unamapungufu mengi sana na ujakamilika

  • @marianthoniaoswald6034
    @marianthoniaoswald6034 6 หลายเดือนก่อน +5

    Acheni kuupiga mwili wa kristo vita wote mnaburi yesu, mambo keki katika amri za Mungu haijaandikwa kula keki ni dhambi

    • @AyubuLwambo-l4c
      @AyubuLwambo-l4c 6 หลายเดือนก่อน +2

      Sawaaa yesu atapokuja atazihukumu Siri za wanadamu nani aweza kujisitri kwa macho ya mungu?

  • @samsonphilipo7153
    @samsonphilipo7153 7 หลายเดือนก่อน +2

    Madhabahu ni kwaajili ya kumzungumzia Yesu kristo pekee yake na sio kumzungumzia mtumish yeyote,watumishi wa Mungu wapo na WA shetani wapo USIPOTEZE MUDA kuwajadili watu kwenye madhabahu Bali tumia madhabahu kujadili mambo yahusuyo ufalme wa Mungu

    • @FestoJemsi-lr8pw
      @FestoJemsi-lr8pw 7 หลายเดือนก่อน

      Muurize humuelewi usiogope mfwate what'sapp yupo hapo kwaajili Yako

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA 7 หลายเดือนก่อน

      ANAGOMBANA NA MUNGU

    • @ElizabethMubanga-mn1np
      @ElizabethMubanga-mn1np 7 หลายเดือนก่อน

      You too you are not fair

    • @samsonphilipo7153
      @samsonphilipo7153 7 หลายเดือนก่อน

      @@ElizabethMubanga-mn1np ni USHAURI tu nimetoa sijamzungumzia mtumish wa Mungu yeyote vibaya

    • @helbalchota9417
      @helbalchota9417 7 หลายเดือนก่อน

      Hata ninyi hamjuw asipotaja watu watajuwaje kuwa wamepotea Iv huwa mnasoma biblia gan?maana huwezi kusoma au kutumia biblia bila kutaja watu?

  • @msokametv
    @msokametv 7 หลายเดือนก่อน +2

    Yaani mpaka umtaje mwamposa ndio Kiki yako pole sana

    • @johnmalembo6464
      @johnmalembo6464 7 หลายเดือนก่อน

      Anafunua uovu unaotendwa na mtu.... Mwaposa ni mtu....

    • @DeusdeditMichael
      @DeusdeditMichael 7 หลายเดือนก่อน

      UCHAWI NI KITU KIBAYA

  • @angelyolam9528
    @angelyolam9528 6 หลายเดือนก่อน +3

    Ila umetuchosha sana kasian yaani tumekuchoka mno, hubili injili achana na mwamposa, tumekuchoka sana, Kaz Yako kuharibu watu wa mungu,

    • @mariawilson2698
      @mariawilson2698 2 หลายเดือนก่อน

      Si tunahitaji kusikia ukichoka usifunguee pita tu mpendwa

  • @AyasiaMnenuka
    @AyasiaMnenuka 3 หลายเดือนก่อน

    Siku za mwisho utajibia vizuri kama ndio Mungu amekutuma kuhubiri injili au kuwahukumu watumishi wenzako funguka unapoteza kondoo kwa kukosa maarifa

  • @ManaseNassary
    @ManaseNassary 4 หลายเดือนก่อน +1

    Fanya kazi achana na watu wa Mungu mnafiki wee mbona unaomba sadaka?

  • @renatus5687
    @renatus5687 7 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe nae c li ombaomba tu unafikitu tu wakusema wengine kila siku si ufanye yako au unajikuta mungu wa duniani Fanya kazi uombaomba tu

    • @GeraldElias-s7j
      @GeraldElias-s7j 2 หลายเดือนก่อน

      Kama wewe unaamini katika kukanyaga mafuta na keki huwezi kumuelewa hata siku moja

  • @pastorsthenksrojaskapunga6843
    @pastorsthenksrojaskapunga6843 7 หลายเดือนก่อน +3

    Zaburi 30:3
    [3]Umeniinua nafsi yangu,
    Ee BWANA, kutoka kuzimu.
    Umenihuisha na kunitoa
    Miongoni mwao washukao shimoni.
    O LORD, thou hast brought up my soul from the grave: thou hast kept me alive, that I should not go down to the pit.

    • @CharlesMisungwi-f8t
      @CharlesMisungwi-f8t 7 หลายเดือนก่อน

      Hakuna binadamu.awezaye kukuombea ili Mungu afute maovuyako isipokuwa wewemwenyewe kujiombea kabula yakifo chako. ndiyo maana hataka bulayakifo chaYesualijiombea yeye mwenyewekabula yakifochake kwakuwa yeye duniani hakuwanataji la uunguali alibebeshwa madhaifu ya binadamu ili kujumuikanao.

  • @MoksMokah
    @MoksMokah 7 หลายเดือนก่อน +2

    Ndugu Mwamposa we are together I'm Emmanuel from Mombasa Kenya.🇰🇪🇰🇪🙏

  • @evodiajohn7991
    @evodiajohn7991 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu akuongoze MTU wa Mungu

  • @theresiamateru6426
    @theresiamateru6426 7 หลายเดือนก่อน

    Watu hawana Imani na Mungu sasa hivi Wana imani kwa hawa manabii wa uongo wanaojitokeza kila siku

  • @boniphaceemmanuel6604
    @boniphaceemmanuel6604 6 หลายเดือนก่อน +1

    Muombe Mungu akupe upako na miujiza wewe na ukoo wako kwani kanisa lako linajaza kama unayemsema😂😂 TUMIA AKILI MUNGU NDO AYEUKUMU NA SIO WEWE ,

    • @GeraldElias-s7j
      @GeraldElias-s7j 2 หลายเดือนก่อน

      Hajahulum anakemea unazan bila injili yakweli kuhubiliwa nani angemjua kristo

  • @JastineValentine
    @JastineValentine 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ubarikiwe na bwana

  • @LuttaKamaleki
    @LuttaKamaleki 26 วันที่ผ่านมา

    Wewe mwenye MUNGU wa kweli mdhihirishe tumuone

  • @AlexJohn-j9j
    @AlexJohn-j9j 7 หลายเดือนก่อน +1

    Tufundishe basi mungu wako,acha kufuatiria Imani za watu,

  • @DoriceEdward-l6s
    @DoriceEdward-l6s 2 หลายเดือนก่อน

    Kweli kabisa mimi nimewahi kuoteshwa mara tatu kuhusu mwamposa huyo ni freemason sema kwa Macho ya nyama ni ngumu sana kujua

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 6 หลายเดือนก่อน

    We kama una Mungu tuonyeshe zaidi maana watu wana shida.
    Tunataka upako aliouacha yesu

    • @FestoMagawa-xz1kc
      @FestoMagawa-xz1kc 3 หลายเดือนก่อน

      Mungu akusamehe mana hujuwi unacho kisema

  • @angelemmanuel7143
    @angelemmanuel7143 หลายเดือนก่อน

    Tunamheshimu Bikira Maria kwa sababu
    Luka 1;28
    Akaingia nyumbani kwake akasema," Salamu uliyepewa neema, Bwana yu pamoja nawe
    Luka 1;42 akapaza sauti kwa nguvu akasema, " Umebarikiwa wewe katika wanaweka, naye mzao wa tumbo lako amebarikiwa.
    Tunaomba kwa maombezi ya Bikira Maria kwa mwanae na sio tunamuomba
    Maria kama Mungu yeye sio Mungu ila ni Mwombezi kwa kuwa amepata neema kwa Mungu na hakuna mtu kwe maandiko aliye pata neema kama yake

  • @AishaThabit-yr4mn
    @AishaThabit-yr4mn 6 หลายเดือนก่อน +1

    Fanya yako usiwaongelee wenzako mungu anakuona

    • @PhennyBunde
      @PhennyBunde 6 หลายเดือนก่อน

      UENDA MUNGU NDO KAMTUMA ILI WATU WAFUNGUKE MACHO NA KUJUA UKWELI

  • @gracenelsonmutalemwa
    @gracenelsonmutalemwa 7 หลายเดือนก่อน +1

    Anae hukumu siku zote ni Mungu pekee usimuhukumu mwanadamu mwenzioo.

  • @AmaniSanga-n9g
    @AmaniSanga-n9g 5 หลายเดือนก่อน

    sawa hao wanamwabudu shetaniii Mungu mwanamke

  • @YuenPonsiano
    @YuenPonsiano 7 หลายเดือนก่อน +1

    Usiogope mungu akulinde

  • @MellenaKansiime
    @MellenaKansiime 2 หลายเดือนก่อน

    Yesu ndiyenjia kweli tena uzima

  • @OliverTairo
    @OliverTairo 13 วันที่ผ่านมา

    Sawa mch madhabahu yako imependeza laking mbona nembo yake inatisha haifanani na Kristo Yesu

  • @EliaEmmanul
    @EliaEmmanul 7 หลายเดือนก่อน +7

    Mtumishi Mimi na kutia moyo endelea vivyo hivyo Mungu akutie nguvu

  • @LilianSilas
    @LilianSilas 6 หลายเดือนก่อน

    MUNGU akusameh Bure kaka mana uo mzigo ulio ubebe siku ya kiama mbingu utaisikia tu omba hekima sana

  • @MahraKhan-gd7pb
    @MahraKhan-gd7pb 7 หลายเดือนก่อน +2

    Watu wametekwa ufahamu watu wanahitaji ikomboz wa fikra YESU atusaidie kujua neno lake na kupata maarifa ya neno lake

  • @gospeltv2415
    @gospeltv2415 7 หลายเดือนก่อน +11

    Mtumishi mhubiri yesu yakina mwamposa waachie wao

    • @corrolesscps
      @corrolesscps 7 หลายเดือนก่อน +1

      YESU Kristo ni yule yule Jana na leo na kesho, na Neno la MUNGU wa Mbinguni MUNGU YEHOVA wa Ibrahim, Isaka na Yakobo. Ndie anaehubiriwa na Mwamposa , na MUNGU ni pendo, aliupenda ulimwengu akamtoa Mwanawe Pekeee kila amwaminie ataokoka

    • @DeusdeditMichael
      @DeusdeditMichael 7 หลายเดือนก่อน +1

      @@corrolesscps BWANA YESU AMETUAMURU KUTUMIA JINA LAKE PEKEE (MARKO 16;17)
      HIVYO YAZIDIYO HAPO NI YA SHETANI.

    • @LydiaOnesmo
      @LydiaOnesmo 7 หลายเดือนก่อน +1

      @@gospeltv2415 kabisa yaani Yuko busy na kina mwamposa badala atangaze Jina la Yesu Tanzania nzima imjue

  • @EstherManyama-z1w
    @EstherManyama-z1w 4 หลายเดือนก่อน

    Subiri watu ufalme wa mbinguni sio kuchafua watumishi shindwa na ulegee😅😅😅😅😅😅 6:55

  • @rascocircle2928
    @rascocircle2928 6 หลายเดือนก่อน +1

    Wew kila mtumishi wa Mungu ni wa uongo em tuambie watumishi wa ukweli walipo!?

    • @TadeyFrank-oy3gv
      @TadeyFrank-oy3gv 3 หลายเดือนก่อน +1

      Uyu mtumishi mngu amuinue sana kwakusema kweli

  • @wakywenaky3674
    @wakywenaky3674 7 หลายเดือนก่อน +3

    Tangu umeanza kuwasema wenzio vibaya sijaona hata mmoja amekujibu ,wala hakuna aliyeanguka ,kaka fanya yako mwenye mamlaka ya kuhukumu ni MUNGU,huo muda unaopoteza kujisifa na kuwaponda wenzio ungewekeza sana kuombea watu wamjue huyo MUNGU wako

    • @MoksMokah
      @MoksMokah 7 หลายเดือนก่อน

      You are right

    • @JasminMneney
      @JasminMneney 7 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa ndugu yangu​@@MoksMokah

  • @athanasmkopi
    @athanasmkopi 6 หลายเดือนก่อน

    Simama kwa nafasi yako muhubiri Mungu , sio kumhubiri watu kajipange upya

  • @nicholausmlonde7435
    @nicholausmlonde7435 6 หลายเดือนก่อน +2

    Acheni awaambie ukweli makasiliko yann sema baba wapate kuponaaàaaa

    • @BenMbughi
      @BenMbughi หลายเดือนก่อน

      Wapone Nani?hata we upone

  • @EliasMoyo-g3p
    @EliasMoyo-g3p 5 หลายเดือนก่อน

    Tunajua wengine amutakubali kuambiwa ukweli akuna neno la mungu itakayo itaji pesa mtu yeyote ana nena neno la mungu ni zadaka tu sio pesa na zadaka aina kiwango ni chocho kitu Ulicho nacho sio ivyo walivyo manabii wa uwongo apana

  • @JamesMassawe-km7fn
    @JamesMassawe-km7fn 6 หลายเดือนก่อน +2

    Jamani mbona wachungaji na manabii hawatumii muda mwingi kubuni mbinu za kuleta ukombozi na uponyaji na amani wanajitahidi kukosoa wenzao ? Nakuwapinga wenzao tafuteni amani watu wapone mtapata baraka

  • @EDINASIMON-c5t
    @EDINASIMON-c5t 7 หลายเดือนก่อน

    Wew utateseka sana,achana na kalama za watu utafika uendapo umechoka

  • @EvelyneKente
    @EvelyneKente 6 หลายเดือนก่อน

    Kunyamaza ni jibu kaka yangu mtume na nabii mwamposa chapa kazi hachana na hawa wanaobwabwaja juu yako vita ni vya bwana