NGUVU YA MSALABA WA KRISTO MAISHANI || PR. DAVID MBAGA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2024
- Mkutano maalumu wa kukomboa familia yako, mafundisho makuu yanaletwa na mchungaji David Mbaga. Utakutana na masomo ya afya na malezi, pamoja na masomo yenye kukutia moyo katika changamoto unazozipitia wewe kama mwanafamilia. Karibu sana.
#pizzoonlinetv #family #familyvlog #familylove #atape #ATAPERetreat2024 #mbeya #greencity #ibadahonline #sdasermon #sdachurch #sda
Ubarikiwe sanaa Pastor kwa mafundisho ya ukweli
Amina
Ubarikiwe pastor kwa kutufunulia haya ambayo yanatufanya turudi nyuma
Barikiwa sana 🙏
Nabarikiwa sana
Mungu atusaidie tufike Mbinguni tukae nae
Amina, na iwe hivyo
Kwakweli mtumishi tangia nianze kusikiliza mahubili Yako nabarikiwa sana tena sana, Mungu akulinde na akutumie apendavyo yeye.
Hallelujah ubarikiwe sana Mwana wa Mungu
Ubarikiwe pastor kwa kutufunulia haya
Amina
Hii kula au kulala Kwa mchawi inategemea na ukiroho wa mtu binafsi baba. Napenda kukusikiliza sana
Endelea kubarikiwa
Amen
Barikiwa sana
Mchungaji ubarikiwe , ila naomba unisaidie tofauti kati ya viumbe walio tupwa pamoja na shetani (pepo wa chafu na majini) na hao viumbe wengine wa sayari ambazo dhambi aikuingia.
Amen pasta
Barikiwa sana
Asnte yesu kwaupatanisho
Amina🙏🙏🙏
Nilikuwa naangalia haya mahubiri gafla simu ikapigwa na ndugu zangu ambao sio wema sana kule kijijini kwetu kumbe moja wao anaumwa nikamwambia utapona yani nina kama mwaka moja sijawai ongea nae lakin leo amepiga simu uku nasikiliza mahubiri haya
Huu ni muujiza
AMEN AMEN
Nilikuwa nalitafuta sana hili somo hili ubarikiwe sana
Amina, barikiwa sana
Mtumishi naipate no yako ya simu nataka kuongea na wewe
Hakika nilitazama somo hili nikafunguliwa vifungo vilivyonitesa kwa muda mrefu.
Hata sasa kwenye kazi yangu ninaufurahia ushindi wa Yesu.
Amina, ubarikiwe sana
40:57 40:59 41:01 41:02
Oh yeah 👍
Nauliza ni wapi naweza pata nabari ya simu ya pastor mbaga
Bofya hapa au ingia TH-cam tafuta account yenye jina la Mahubiri Tv utaiona juu kabisa kwenye ukurasa huo
❤❤❤❤❤🤝👆
Wow🤝🤝
Ufanikwe sana Pastor endelea kutupatia neno
Amina ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Aminaaa
Hallelujah
kumbe guhama duka kwasababu yaucawi ni ujinga?
Bila shaka,, inabidi uache mara Moja huo uoga🤗
Barikiwa sana Pastor
Haleluya
Hubiri hili Lina jenga tena saana mubarikiwe
Amina, barikiwa pia
Hakika, tubarikiwe sote
Mungu akutunze, Mh. Mmbaga
Amina, barikiwa pia
Amina nabii wetu ubarikiwe sana