Ujumbe Wa Kinabii Juu Ya Uchaguzi Wa Tanzania 2025 | With Prophet Musa Meizon

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 19 ก.พ. 2024
  • Sikiliza Alichokisema Mtu Wa Mungu Juu ya Taifa La Tanzania

ความคิดเห็น • 21

  • @user-nz9eb4ud6y
    @user-nz9eb4ud6y 2 หลายเดือนก่อน +4

    Usanii huo hakuna jema kutoka kijani wizi mtupu na mungu ninaye mtumikia hahusiki na wizi yaani JESUS

  • @JoyceKisenga-mq8tt
    @JoyceKisenga-mq8tt 19 วันที่ผ่านมา

    Namuona Philipo Mpango na Majaliwa

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 16 วันที่ผ่านมา

    Mungu pitisha ire ndege ya iran na marawi itupungizie mzigo

  • @Forester__
    @Forester__ 5 หลายเดือนก่อน +4

    Panapo" Majaliwa" muda wa uchaguzi ukifika Kusudi la Mungu lisimame

    • @andrewmmassy5204
      @andrewmmassy5204 5 หลายเดือนก่อน +3

      Panapo "MAJALIWA" mwaka 2025 nikiwa salama nitatengeneza mfumo ambao utaweza kuwatetea "MAKONDAKTA" wote nchini Tanzania waweze kupata haki zao za msingi na kazi Yao ionekane ni ya thamani machoni pa watu na malipo mazuri. Je ni mfumo gani huo.
      ->Wampokee Bwana yesu kuwa tegemeo lao katika maisha Yao hakika atawaeshimisha.

    • @SamwelJoseph-yk3cw
      @SamwelJoseph-yk3cw 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@andrewmmassy5204ubarikiwe na BWANA.

  • @JaphetSamoraNkiko
    @JaphetSamoraNkiko 2 หลายเดือนก่อน

    Good

  • @muharamijuma1569
    @muharamijuma1569 18 วันที่ผ่านมา

    TAPERI WEWE ÀCHA KUPOTOSHA WATU TAFÙTA KÀŹÌ

  • @SudiSefu
    @SudiSefu หลายเดือนก่อน

    Twambie ninani

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi naona ni makonda au polepole au gwajiboy

  • @rachelkihaka9204
    @rachelkihaka9204 2 หลายเดือนก่อน

    Kwa sasa uchaguzi upo mbele yetu manabii wameibuka wengi sana kila nabii anaongea lake jamani Mungu tunaomba utusaidie sana

    • @ProphetMusaMeizon
      @ProphetMusaMeizon  2 หลายเดือนก่อน +3

      Lengo la manabii kuongea ni ili WAKRISTO muombe! Haya sio mambo ya ushabiki, ni kujuzwa kama wapi tunatakiwa kuomba zaidi kama kanisa. Usiishie katika ushabiki kuangalia manabii wengi, amini mmoja OMBA Mungu aje Raisi sahihi. Hilo ndio la Msingi na ndio sababu ya Unabii.

    • @JaphetSamoraNkiko
      @JaphetSamoraNkiko 2 หลายเดือนก่อน +1

      Good

    • @mcgeemwamba9303
      @mcgeemwamba9303 หลายเดือนก่อน

      Nimekuelewa na nimetafakari pasina uyanga na usimba.. .. UKO SAHIHI

    • @reginaldmapunda6702
      @reginaldmapunda6702 20 วันที่ผ่านมา

      @@ProphetMusaMeizon Unabii ulisha tolewa siku nyingi na manabii na unabii ulisha kamilika kama maandiko yanavyosema; sasa huu unabii wa kila uchaguzi ukikaribia au unaotabiri vifo vya vio goxi wa serikali na wanasiasa ni unabii wa kisiasa na Mungu au Yesu hakuja kwa ajili ya viongozi wa serikali bali kwa binadamu wote na ulimwengu wote kwa wenye nacho na kwa wasio nacho. Lakini manabii wetu kila kukicha ni vifo vya viongozi wa serikali kama vile huyu Mungu ni wa Tanzania tu. Kwa wenye uelewa hawawezi kutofautisha unabii wao na uganga wa kienyeji hata uponyaji unaoendelea kila siku kwa baadhi ya viongoxi wa dini haeana tofauti na wapiga ramli na waganga wetu wa kienyeji. Naheshimu saana imani yangu lakini baadhi ya viongoxi wetu wa kikristu mnatutis mashaka na huduma mnaxotoa na hata nyie kwa nyie mnapingana sana tena hadharani na bila aibu. Yaani leo hii madhehebu ya wakristo ni mengi mno ingawa Yesu ni mmola lakini utafikiri Kuna Yesu wa kijani, mwingine ni mwekundu au mweusi au bluu au njano au wa samawati, huzurungi nk. Kumbe ni biblia moja na Yesu mmoja.

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 24 วันที่ผ่านมา

    Nchi ina manabii wengi kuliko waumini. Nabii anachekacheka kama hajatumwa na Mungu vile. Halafu hii kiingerereza ni kwa ajili ya nani?

    • @reginaldmapunda6702
      @reginaldmapunda6702 24 วันที่ผ่านมา +3

      @@ProphetMusaMeizon Ninajua kiingereza kuliko unavyo dhani lakini tumekuwa wajinga sana yaani tunajifunza kwa kiingereza lakini tunaishi kwa Kiswahili. Mswahili ni mswahili tu hata akakijua kijerumani. Hata wangoni wanaweza kujifunza na wakaongea kimasai vizuri lakini hawatakuwa wamasai milele. Kujua kiingereza sio kuwa mwingereza. Tunajiaibisha sana na wala kiingereza sio elimu bali ni lugha tu kama kisukuma ila malimbukeni wanafikiri kiingereza ni usomi. Upuuzi mtupu.

    • @petermulugu8234
      @petermulugu8234 20 วันที่ผ่านมา

      Ni kweli ukiwa umebeba ujumbe wa Mungu huwezi kuchekacheka! Wakubali au wakatae Mungu si waitani!!!!!

  • @fredrickkaaya6287
    @fredrickkaaya6287 12 วันที่ผ่านมา

    Pesa ulizopewa kutangaza unabii wa kijinga zitakutokea puani. Mtu mwenyewe alishasema nafasi yake ya uaskofu ni kubwa kuliko urais itakuwaje ale matapishi yake mwenyewe? Usizue taharuki kwenye Taifa letu unatakiwa upuuzwe na Kila mtu mwenye akili timamu.