KWA NINI UNAPASWA KUIOMBEA ARUSHA 2025 || Asema Nabii EdmoundMystic

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
  • FOLLOW US BY CLICKING THESE LINKS BELOW:
    INSTAGRAM:
    / edmound_mys. .
    TH-cam:
    / edmoundmuye. .
    AUDIO PODCASTS:
    player.fm/seri....
    FACEBOOK ACCOUNT
    web.facebook.c....
    church.heavenl...

ความคิดเห็น • 27

  • @caritasmushi8896
    @caritasmushi8896 หลายเดือนก่อน +1

    Tanzania 🇹🇿 Mungu akulinde
    Nakupenda nakuombea uhai, ulinzi,ustawi kila maeneo, amani na upendo kwa watu wake. Mungu akuepushe na mabaya ya aina zozote kwa jina kuu la Yeu Kristo Amen

  • @margaretgilbertdantes1167
    @margaretgilbertdantes1167 4 หลายเดือนก่อน +6

    Amen Amen Lord show mercy to our Tanzania 🇹🇿 show mercy to Arusha show mercy to Mwanza Damu ya Yesu ikafunike Tanzania kafunike Arusha na Mwanza tunakataa kumwagika kwa Damu za wananchi na viongozi wake kwa jina la Yesu Kristo Amen Amen

  • @siamollel6051
    @siamollel6051 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu ilinde Arusha na Mwanza,Tuepushe na vurugu zawanasiasa waovu

  • @caritasmushi8896
    @caritasmushi8896 หลายเดือนก่อน

    Oh Lord let Arusha and Mwanza be covered and be protected by the supreme blood ofJesus by your mercy in the mighty name of Jesus. NO deaths will occur in Arusha in Jesus mighty name.

  • @christopherjoyce1903
    @christopherjoyce1903 2 หลายเดือนก่อน

    Tanzania Bwana akakulinde na kukuatamia na mikoa yako yotee milele!Amen

  • @ninayamat8213
    @ninayamat8213 2 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢uuuuwwiiii pastor unatuogopesha Mungu atusaidie nchi ya Tanzania na jiji la arusha atuepushe na mabalaa yote in Jesus name

  • @OzonMwangosi
    @OzonMwangosi 2 หลายเดือนก่อน

    Ee mungu simama mwenyewe juu ya tanzania,

  • @AgnesMmila
    @AgnesMmila 4 หลายเดือนก่อน

    Ooo my God damu ya Yesu ipite ikaharibu kila mpango wa adui ambao ameupanga hauta fanikiwa katk jina la Yesu

  • @rithaurassa
    @rithaurassa หลายเดือนก่อน

    Aaameeni

  • @nancykamungu9970
    @nancykamungu9970 4 หลายเดือนก่อน +2

    God bless my motherland, Tanzania.

    • @ProphetMystic
      @ProphetMystic  4 หลายเดือนก่อน

      Ameeen! Ubarikiwe mwanangu

  • @kikotse-tung
    @kikotse-tung 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu attulinde watanzania kwa jina lake

  • @Graceyusuphh
    @Graceyusuphh 4 หลายเดือนก่อน

    Simama mwenyewe Yesu🙏🏻

  • @JOSHUAMWAKALAGO
    @JOSHUAMWAKALAGO 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu akusaidie katika hili.

  • @elishamafulu106
    @elishamafulu106 4 หลายเดือนก่อน +1

    AMEN AMEN AMEN AMEN

  • @VictorJohn-fu7ch
    @VictorJohn-fu7ch 4 หลายเดือนก่อน

    We will pray sir thanks ❤❤❤

  • @JosephLeonardMatemba
    @JosephLeonardMatemba 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu ingilia kati

  • @manaseliberatus1347
    @manaseliberatus1347 4 หลายเดือนก่อน +4

    MIPANGO YA KUZIMU JUU YA TANZANIA TUMAIFUNGA YOTE KWA JINA LA YESU

  • @annabyekwaso-wt7oi
    @annabyekwaso-wt7oi 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mwanza malaika wa amani muende kila kona mlete amani na malaika wa vita pigana juu mwanza,wamwagaji wa damu wataka madaraka wote na kuzimu mnyamaze kimya kwa mwanza na Tanzania nzima ktk jina la YESU.Tanzania nakutamkia amani amani amani amani amani amani amani,katika jina la YESU.

  • @martinemakongo
    @martinemakongo 4 หลายเดือนก่อน +3

    Bwana alete amani ndan ya nchi yetu ya Tanzania

  • @elishamafulu106
    @elishamafulu106 4 หลายเดือนก่อน +1

    From mwanza

  • @jesusismyeverything1630
    @jesusismyeverything1630 4 หลายเดือนก่อน

    Ameen Ameen Daddy

  • @Laizerdrummer
    @Laizerdrummer 2 หลายเดือนก่อน

    Hakuna haja ya kuogopa wapo waliopewa jukumu la kuisimamia nchi yetu ni watu wa mungu uwezo wao haufanani na kitu chochote ni zaidi ya imani ndio maana tanzania iko na amani hakuna vita vilivyo kua vikubwa zaidi ya miaka mingi sana hamuoni kama ni kitu cha ajabu......lakini wote tuna majukum ya kuombea taifa letu

  • @roseswai5961
    @roseswai5961 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu irehemu nchi yangu Tanzania..

  • @Chukwueze14
    @Chukwueze14 4 หลายเดือนก่อน

    Let's pray

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 2 หลายเดือนก่อน

    God forbid!!!!!

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn 4 หลายเดือนก่อน

    Shida mtu kungangania madaraka ukweli tz haijawahi kuwa na viongozi wa kinganganizi ccm tunawaomba weekend kiongazi wenye kukubalika bila hongo. Watu wamewekewa Maishal magumu ili wakope ili wanaichi wa chini hawa mikopo itumike kupiga kampenii. Watumishi wa Mungu elimisheni wt mikopo itawliza banda ya uchaguzi huuuu! USA Lama haupo