Amina Mjumbe. Neno la Mungu ni kweli na amina. Nasi tuliomwamini tutaomba toba na msamaha,nakumuomba ili atuokoe na upanga wao na kuwageuzia waovu hawa upanga huu mpaka vita hi vi vya ibilisi waangamie wote kwa jina la Yesu Kristo, amen.
Tukatae hila zote za shetani tunakataa na tupo kinyume na mipango mouvu ya shetani.Mungu lilinde na kuliongoza taifa lako.Shughulika nao mungu wetu hao wabaya.
Hao watu kama ilivyokua kwa Hamani iwe kwao wenyewe kwa upanga wa Mikael yule malaika mkuu wakatiliwe mbali na asie penda haki ya Mungu ktk uchaguzi asipate haki popote Wala nuruni ama gizani na mabaya yampate na watu WASEME AMINA AMINA AMINA
Kwa mtazamo wa kawaida ya tabia ya kila mmoja wetu kutaka anachokitaka ndio kiwepo na hii speed ya 5g sishangai hata mwenye umri kama miaka 25-45 anataka taifa la Tanzania ingekuwa kama bara la ulaya
Hakuna cha unabii mnatumia hisia za kuangalia mivutano iliyopo kwenye jamii mnahisi itakwenda kutokeza umwagaji damu, mshindwe na mtokomee mbali na nabii zenu za kubuni
Sasa Ndgu wee kama una crashi kila kitu...basi tabirii www ili tujue hayo YATAKAYO tokea ...usitumie hisia na chuki za manabii feki uliowahi kukutana nao then ukazani Mungu hana manabii wake halisi, acha chuki , tambua Mungu pia ana watu wake MANABII halisi
We piga piga kelele lakini tambua Mungu ni halisi na ana watu anao watumia hapa DUNIANI nabii deo ni miongoni Kwa hao watumishi wa Mungu,vimba upasuke.
Mwisho wa kushushwa wahyi na Mwenyezi Mungu ulikuwa kwa Mtume Muhammad swalla Allaahu a'layhi wasallam!
Sina Shaka na unabii huu maana nabii deo ametabiri mengi nayo yametokea juu ya taifa hili,Eeee Mungu tuhurumie
Ninakataa kwa jina la Yesu kila umwagaji wowote wa damu. Mungu Wewe ulindaye tulinde watoto wako, na uilinde familia yangu kwa jina la Yesu !!🤲🙏
Rais wetu ajae in shaa Allaah ni huyu tulonae SSH!
Mungu alipiganie Taifa letu , nasi tuombe ili yasitokee mabaya na damu isimwagige Mungu ibariki TZ Amen
Yesu tusaidie
Mungu atusaidie watanzania tumludie mungu huo unabii ni kweli kabisa
Amina Mjumbe. Neno la Mungu ni kweli na amina. Nasi tuliomwamini tutaomba toba na msamaha,nakumuomba ili atuokoe na upanga wao na kuwageuzia waovu hawa upanga huu mpaka vita hi vi vya ibilisi waangamie wote kwa jina la Yesu Kristo, amen.
Amina Baba tunaomba kwaajili ya Taifa letu.Mungu ametuweka Tanzania kwa makusudi kabisa
Ameeeen
Gwajima ndo mtu wa huku huku na ndo atapenyeza neema
Tukatae hila zote za shetani tunakataa na tupo kinyume na mipango mouvu ya shetani.Mungu lilinde na kuliongoza taifa lako.Shughulika nao mungu wetu hao wabaya.
Hao watu kama ilivyokua kwa Hamani iwe kwao wenyewe kwa upanga wa Mikael yule malaika mkuu wakatiliwe mbali na asie penda haki ya Mungu ktk uchaguzi asipate haki popote Wala nuruni ama gizani na mabaya yampate na watu WASEME AMINA AMINA AMINA
Amina
Amen
Wameua Albino
Muogope Mungu Tanzania itakuwa salama Kwa jina LA yesu
Gwajimaa, Gwajimaa, Gwajima, Neema ya Kristo iwatete mkamilishe kile kimetabiriwa kuhusu hawa watumishi
Nyie mnao wakashifu watumishi wa Mungu Mungu awalehem
Mungu atuepushe na hayo taifa letu
Luhaga mpina
Wacheni damu imwagike. Iko kwenye maagano ya mungu mwanadamu. "Kutakuwapo na kilio na kusaga meno"
Rais wa Tanzania atatokea Arusha au Dodoma
Muhuuuuu hayo ni sahihiMungu atusaidie
Haitakuwa mungu yu pamoja nasi
God forbid that. Tanzania sio nchi ya umwagaji damu tunaukataa huu unabii kwa jina la Yesu Kristo!
Kwa mtazamo wa kawaida ya tabia ya kila mmoja wetu kutaka anachokitaka ndio kiwepo na hii speed ya 5g sishangai hata mwenye umri kama miaka 25-45 anataka taifa la Tanzania ingekuwa kama bara la ulaya
Acheni kuita ndoto zenu unabii
Nabii aanafanana na saimon
Manabii wawe watulivu
Saimoni yupi? Mkondya au ni huyu tapeli wa vanilla
Hakuna cha unabii mnatumia hisia za kuangalia mivutano iliyopo kwenye jamii mnahisi itakwenda kutokeza umwagaji damu, mshindwe na mtokomee mbali na nabii zenu za kubuni
Sasa Ndgu wee kama una crashi kila kitu...basi tabirii www ili tujue hayo YATAKAYO tokea ...usitumie hisia na chuki za manabii feki uliowahi kukutana nao then ukazani Mungu hana manabii wake halisi, acha chuki , tambua Mungu pia ana watu wake MANABII halisi
We piga piga kelele lakini tambua Mungu ni halisi na ana watu anao watumia hapa DUNIANI nabii deo ni miongoni Kwa hao watumishi wa Mungu,vimba upasuke.
Hawa ni wachawi hakuna manabii tanzania
Uchawi wake nn sasa?Huyu ni mtumishi wa Mungu
Usiwaite watu wa mungu wachawi gadhabu ya Mungu itakuwakia kama hujui kutembea na wingu la kinabii kaa kimya .
Kiukweri siwezi ombea nchi kila mtu ataubeba msalaba wake Ila Mimi ntajiombea Mimi na family yangu
Gwajima anahusika sana sana na Rais ajaye Tanzania
Amina