REV. DR. ELIONA KIMARO: KAZI NA MAZINGIRA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 เม.ย. 2024
- KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH: IBADA YA JUMAPILI: KUSIFU, KUABUDU NA FUNGU LA KUMI
07/ 04/ 2024
UJUMBE WA LEO: KAZI NA MAZINGIRA
MWANZO 3 : 23
23 kwa hiyo Bwana Mungu akamtoa katika bustani ya Edeni, ailime ardhi ambayo katika hiyo alitwaliwa.
Mhubiri: Rev. Dr. Eliona Kimaro
Kwa maombi na ushauri :
Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053
Ubarikiwe baba kazi Yako ni njema
Ameeeen.....powerful preachinggg🎉
Kwakweli baba
Asante Sana mchungaji mungu azidi kukubariki afya na uzima tele Ameen 🙏 🙏
Very educative
Kazi unayo ifanya hapo mazabahuni mungu azidi kukubariki uzidi kutufundisha 🙏🙏
🙏🙏🙏🙏🙏
Mchg umesema kweli tupu, dah Mungu atuponye kwa jina la yesu.
Hakika ujumbe huu ni ujumbe hai katika nchi na Dunia Kwa ujumla.Eeh Mungu sauti hii iwe na matunda !