REV. DR. ELIONA KIMARO: USIKU ULE/ THAT NIGHT/ IBADA YA ALHAMISI KUU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 มี.ค. 2024
- KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH: IBADA YA ALHAMISI KUU NA KUSHIRIKI MEZA YA BWANA 28/ 03/ 2024
HII NI KWARESMA: SIKU YA 38
MADA:
NIDHAMU NI HATIMA
DISCIPLINE IS DESTINY
UJUMBE WA LEO:USIKU ULE/THAT NIGHT
NENO KUU
7 Bwana wa majeshi asema hivi,
Zitafakarini njia zenu.
Hagai 1 : 7
Mathayo 26 : 26 - 29
26 Nao walipokuwa wakila Yesu alitwaa mkate, akabariki, akaumega, akawapa wanafunzi wake, akasema, Twaeni, mle; huu ndio mwili wangu
27 Akakitwaa kikombe, akashukuru, akawapa, akisema, Nyweni nyote katika hiki;
28 kwa maana hii ndiyo damu yangu ya agano, imwagikayo kwa ajili ya wengi kwa ondoleo la dhambi.
29 Lakini nawaambieni, Sitakunywa kabisa tangu sasa uzao huu wa mzabibu, hata siku ile nitakapokunywa mpya pamoja nanyi katika ufalme wa Baba yangu.
Mhubiri: Rev. Dr. Eliona Kimaro
Kwa maombi na ushauri :
Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053
Utu wangu ubakie,ndoto yangu ibakie,maono yangu yabakie,amina
That night,ndoto na maono yangu yaliwekwa wazi,mungu nibariki sana niyatunze maono yangu,
Mungu akutunze mchungaji kimaro
Mungu asindii kukubariki sana 🙏🙏
Baba ubarikiwe sana
Asante Yesu Kristo! Kuna siku ya Mungu kwangu! Asante Mchungaji Dr. Kimaro!!!
Kuna siku ya mungu mimi ni shahidiii sanaaaa nishudia sana ubarikiwe kimari
Naitwa Violet wa Babati 40+ maubili yako yananibariki sana ni muhongozo katika maisha yangu. I'm a real catholic .
Siku ya Mungu kwwnye maisha yangu
Nangoja siku ya Mungu
Najua Dunia inashck kwa kuambiwa alisema
Twaeni Mle..ee Mungu nisaidie saana niishi kwa kuwapa na wengine nilicho nacho
Nilikumiss sana Mchungaji.Wacha tuendelee kulipokea Neno.Ubarikiwe sana
Mbarikiwe sana na nakusubiri yako mtumishi barikiwa sana sana
Mungu azidi kukutumia, nabarikiwa sana na mahubiri yako.
Amen ✋✋✋
That night Alleluia nimebarikiwa
Najiunganisha n madhabahu hii niwe na Nidhamu
That night 🎉
Amen Amen Amen
Nabarikiwa sana na mafundisho Yako nikiwa Nairobi mtumishi.
Umeninibariki sana baba