Ubunifu hapa ni wa source of motion zaidi kuliko ubunifu wa kufua umeme. Alternator ya gari inafua umeme ila ni mpaka izungushwe. Kwahiyo kitendawili kinakuwa itazungushwaje, na maji au upepo au engine ya diesel/ petrol? Hapo ndo penye gharama. Kwahiyo kama mzee amebuni mpangilio wa sumaku ambao unatoa renewable mechanical energy huo ndo ubunifu. Hongera zake
Hawa kina "Msuya" ndio wanatakiwa kipindi hiki. Anaesema rahisi sana eti, unagoogle tu simpendi. Ni sawa na kusema elimu au habari fulani haina impact eti kwa kuwa unaelewa inawezapatikana katika kitabu fulani. Tabia ya watanzania kudharauliana haifai kwa sasa. Unaambiwa huyu ana muda wa miaka minane anafanya eneo hilo halafu mtu unasema kitu rahisi! Acha hizo, mtie nguvu mtanzania mwenzio anapofanya kitu chema na chenye tija kwa jamii na nchi kwa ujumla. Hongera sana uongozi wa wizara kuonyesha kujali na kumsapoti Msuya.
Jamaa anatumia concept ya Simple harmonic motion of magnets, ambapo ukidisplace sumaku ya katikati on one side and release it, It executes SHM, but according to the fundamental laws of energy, this oscillation decreases with time, should eventually stops after some times due to damping forces. Kwahiyo kama hiyo ndio concept basi hiyo generator itaweza kuzalisha umeme kwa muda tu, haiwezi run infinitly. Muda wankustop unategemea ukubwa wa friction and air resistance forces. So huyu mzee angeeleza ameitumia kwa muda gani na changamoto ya hiyo system ni ipi
“Maarifa na Ujuzi”, amefanyaje hapo? Sote tunajiuliza. Waliojaza nadharia kichwani wanatoka nje wakijiita 'wabobevu', magwiji wa kusimulia matunda ya maarifa (yani teknolojia). Wameshikwa na wivu, hawawezi tafsiri kwa haki ubunifu wa mteknolojia huyu. Sayansi ni maarifa, na maarifa yaliyotafsiriwa kimatendo ili kuundo chombo cha kumwondolea kero mwanadamu na kuongeza tija katika maisha huitwa teknolojia. Kuna njia kadha wa kadha za kutafsiri maarifa na hakuna njia ambayo haina mapungufu, ila ni suala la zama; kwamba katika zama husika mapungufu tajwa ni kitu cha kuzingatia au lah! Na mapungufu hayo ni 'mwanya' kwa mtu mwingine, na ndio maana tafiti zipo. Tafiti zipo ili kupima mawazo yaliyopo, kuingiza mapya inapobidi, n.k, ili kuwa faa watu wa jamii ile katika zama zao. Watu wa mishahara wwmejawa 'inda' , uchambuzi wao unaathiriwa na inda kama ambavyo chembe chanya isivyo weza kupita kwenye uga sumaku pasi kuyumbishwa. Hongera mzee, 'mnadharia na mtendaji' mpaka wa elewane lazima wote wawe na sura mbili zote (sifa zote), yani wawili katika mmoja.
Huu ni upuuzi anaousema, na haujaanza leo na hauta isha leo, kabla ya newton watu wengi walipambana kutengeneza nishati, na matokeo yao yalikuwa ni yaleyale yaani walitwanga maji kwenye kinu, ndio newton alikuja kutegua kitenda wili hiki, katika utafiti wake akagundua ya kuwa neshati ni kitu asilia huwezi kukitengeneza na wala huwezi kukiteketeza bali unaweza tu kuihamisha kutoka mfumo mmoja na kwenda mfumo mwingine, mfano radio inabadili umeme kuwa sauti na mike inabadili mawimbi ya sauti (hii ni nishati iliyo katika mfumo wa sauti) na kuwa umeme, injini ya gari inabadili nishati iliyoko kwenye mafuta na kuwa kinetic [mwendo] nishati. Na kama huamini hili mtafute mzee huyo akuuzie huo upuuzi naita upuuzi kwa sababu hakuna kitu kama hicho ukinunua utakuwa umetupa pesa yako. Mnasema tumekariri notes lkn huo ndo ukweli, hata mimi kipindi sijaielewa vizuri hii nadharia ya nishati nilishajaribu kutengeneza mashine ya namna hyo. Huyo mzee atawapiga hela mpaka mchakae
Mzee kweni Engineer amejieleza vizuri sana Huyo mvumbuzi endeleeni kumtunza atafika mbali na mumuwezeshe hata kama hatafaulu kwahicho alichokifanya Sasa mpatieni nyenzo na suport ya pesa ili ajiendeleze anaweza fanya mambo mazuri zaidi
Fanyeni haraka msaidieni patent Kabla wajanja hawaja reverse engineering, hii idea sio ngeni ila voltage ni ndogo ila huyu bwana ana configuration ambyo ni unique hapo ndo ndo pa ku patent
Wa Africa kwa ujumla Nina imani kuwa tunaweza kufanya au kuvumbua vitu Vingi Sana vyenye tija kwenye bara letu Kama viongozi wetu watakuwa tayari kuwekeza kwa wavumbuzi na wabunifu Wa maswala mbalimbali africa
Uwezo anao Japo anasema hajasoma Lakini ukimsikiliza vzr utagundua ni mtaalam na ana uelewa wa kiwango cha juu na ndio maana hata hiyo timu ya wataalam wameunga mkono na kumsaidia
Kwa manufaa ya taifa, hii teknolojia isingewekwa hadharani hadi imefanyiwa utafiti, majaribio na uzalishaji mkubwa. Baadae ingekuwa ni faida kwa mvumbuzi na kulinda haki yake ulimwenguni kote kama muanzilishi.
Hicho kitu kinaitwa: free energy source using permanent magnets, ni kwa namna gani amepanga hizo magnets hiyo inatakiwa iwe siri yake au apewe patent na kama ikibidi auze hiyo patent kwa faida ya ubunifu wake, anatakiwa awe muangalifu sana asije kutoa siri za ndani kabisa za huo ubunifu wake kabla hajapewa patent.
Haja_disobey... The law of conservation of energy states that energy can neither be created nor destroyed - only converted from one form of energy to another. Jamaa kafanya kugeuza energy iliyopo kwenye sumaku kutengeneza umeme.
Haya kama ninyi viongozi Si wapiga Dil Huyo Mzee yu wapi leo? Nilijua tu mtampotezea ilai mtengeneze madhingira ya upigaji kuendelea... We sumaku tu kuwasha umeme haitumii mafuta wala nini,,, hapo mkiangalia pa kupigia hela hakuna duh hamuwezi kumpa nafasi Ni nipo!
Mkiitwa wafrika masokwe mnabisha. Sasa mna subir nn kumuwezesha, tafiti ziendelee kisha matokeo yaingie kwenye mitaala ya elimu yetu?au ndio kwa sababu haipo kwenye vtabu vya watu weupe? Achen huo utumwa wa fikra.mnapaswa kuishin kwa utash wa kibinaadam.
Huyu anayejiita fundi umeme mtambo wa umeme ni tapeli wa kutupwa. Hizo mashine nimefika kwake nimeziona ni geresha tu. Ukifanya kumpa kazi atakutaka ulipie gharama zote. Ukishalipia umeliwa.
Wa tz shida yao ndo hiyo mzee nae anadirik kusema et hakijawah kufanywa na yeyote duniani, hiyo kitu nguvu zake ni ndogo itaishia kuwasha taa tu na vi flat tv redio, coz nguv itakayozalishwa hapo ni ya kuboost na transformer capacitor na diode Kiasi kwamb ukiwasha au ukitumia 24hrs vinaheat sana, seach you tube mtu anayeitwa muamar yildz alitengeneza yake ikaishia kutumika Kama fen
@@pjelectrcian8391 asee you are right hapo hamna kitu effeciance ndogo mno swali la kujiuliza ni kwanini asiutumie huo mpaka asubirie wa tanesco ukatike
kuwa mbunifu nijambo moja lakini kuwa mgunduzi ni jambo lingine kabisa huyu mzee hata kwa bongo sio yeye tu aliyewahi kufanya icho kitu kuna huyu mzee na yeye hajivuni kanakwamba ni mgunduzi th-cam.com/video/zXdv_4bDSsI/w-d-xo.html
Siri bado hajatoa mkuu bado kuna ma capacitor na ma diode jinsi yanavyoungwa hapo ndio patamu Tanesco wanapenda mitambo iliyokwisha fanyiwa kazi wakapachike tu ndilo tatizo linalotukumba
Awezweshe. Selekali nsaidieni anaweza. Mungu n mwema
Ubunifu hapa ni wa source of motion zaidi kuliko ubunifu wa kufua umeme. Alternator ya gari inafua umeme ila ni mpaka izungushwe. Kwahiyo kitendawili kinakuwa itazungushwaje, na maji au upepo au engine ya diesel/ petrol? Hapo ndo penye gharama. Kwahiyo kama mzee amebuni mpangilio wa sumaku ambao unatoa renewable mechanical energy huo ndo ubunifu. Hongera zake
Hamna kitu ka hicho, ni upuuzi tu
Hawa kina "Msuya" ndio wanatakiwa kipindi hiki. Anaesema rahisi sana eti, unagoogle tu simpendi. Ni sawa na kusema elimu au habari fulani haina impact eti kwa kuwa unaelewa inawezapatikana katika kitabu fulani.
Tabia ya watanzania kudharauliana haifai kwa sasa. Unaambiwa huyu ana muda wa miaka minane anafanya eneo hilo halafu mtu unasema kitu rahisi!
Acha hizo, mtie nguvu mtanzania mwenzio anapofanya kitu chema na chenye tija kwa jamii na nchi kwa ujumla.
Hongera sana uongozi wa wizara kuonyesha kujali na kumsapoti Msuya.
Umeongea kweli
Huyu Msuya ni muongo na tapeli mkubwa mimi keshanitapeli na ana kesi kibao za kuwatapeli watu hana hiyo nishati ni muongo kaeni nae mbali
Huu ni utapeli wa kiwango cha juu sana, mtu anayeelewa nini maana ya nishati hawezi pambana na huu upuuzi
Mnangoja nin wazeee muwezesheni mzee msuya awe chachu ktk ukuwaji wa nishati mbadala watanzania tumeteseka sana 🤝 hao wavaa makoti janja janja tu
Jamaa anatumia concept ya Simple harmonic motion of magnets, ambapo ukidisplace sumaku ya katikati on one side and release it, It executes SHM, but according to the fundamental laws of energy, this oscillation decreases with time, should eventually stops after some times due to damping forces. Kwahiyo kama hiyo ndio concept basi hiyo generator itaweza kuzalisha umeme kwa muda tu, haiwezi run infinitly. Muda wankustop unategemea ukubwa wa friction and air resistance forces. So huyu mzee angeeleza ameitumia kwa muda gani na changamoto ya hiyo system ni ipi
“Maarifa na Ujuzi”, amefanyaje hapo? Sote tunajiuliza. Waliojaza nadharia kichwani wanatoka nje wakijiita 'wabobevu', magwiji wa kusimulia matunda ya maarifa (yani teknolojia). Wameshikwa na wivu, hawawezi tafsiri kwa haki ubunifu wa mteknolojia huyu.
Sayansi ni maarifa, na maarifa yaliyotafsiriwa kimatendo ili kuundo chombo cha kumwondolea kero mwanadamu na kuongeza tija katika maisha huitwa teknolojia. Kuna njia kadha wa kadha za kutafsiri maarifa na hakuna njia ambayo haina mapungufu, ila ni suala la zama; kwamba katika zama husika mapungufu tajwa ni kitu cha kuzingatia au lah! Na mapungufu hayo ni 'mwanya' kwa mtu mwingine, na ndio maana tafiti zipo. Tafiti zipo ili kupima mawazo yaliyopo, kuingiza mapya inapobidi, n.k, ili kuwa faa watu wa jamii ile katika zama zao.
Watu wa mishahara wwmejawa 'inda' , uchambuzi wao unaathiriwa na inda kama ambavyo chembe chanya isivyo weza kupita kwenye uga sumaku pasi kuyumbishwa.
Hongera mzee, 'mnadharia na mtendaji' mpaka wa elewane lazima wote wawe na sura mbili zote (sifa zote), yani wawili katika mmoja.
Huu ni upuuzi anaousema, na haujaanza leo na hauta isha leo, kabla ya newton watu wengi walipambana kutengeneza nishati, na matokeo yao yalikuwa ni yaleyale yaani walitwanga maji kwenye kinu, ndio newton alikuja kutegua kitenda wili hiki, katika utafiti wake akagundua ya kuwa neshati ni kitu asilia huwezi kukitengeneza na wala huwezi kukiteketeza bali unaweza tu kuihamisha kutoka mfumo mmoja na kwenda mfumo mwingine, mfano radio inabadili umeme kuwa sauti na mike inabadili mawimbi ya sauti (hii ni nishati iliyo katika mfumo wa sauti) na kuwa umeme, injini ya gari inabadili nishati iliyoko kwenye mafuta na kuwa kinetic [mwendo] nishati. Na kama huamini hili mtafute mzee huyo akuuzie huo upuuzi naita upuuzi kwa sababu hakuna kitu kama hicho ukinunua utakuwa umetupa pesa yako. Mnasema tumekariri notes lkn huo ndo ukweli, hata mimi kipindi sijaielewa vizuri hii nadharia ya nishati nilishajaribu kutengeneza mashine ya namna hyo. Huyo mzee atawapiga hela mpaka mchakae
Mzee kweni Engineer amejieleza vizuri sana Huyo mvumbuzi endeleeni kumtunza atafika mbali na mumuwezeshe hata kama hatafaulu kwahicho alichokifanya Sasa mpatieni nyenzo na suport ya pesa ili ajiendeleze anaweza fanya mambo mazuri zaidi
Safi sana,tafuteni hizi hazina mziendeleze,Yani angekuwa China hapo soon wangekuja na mapinduzi makubwa
Mola amzidishie!
Fanyeni haraka msaidieni patent Kabla wajanja hawaja reverse engineering, hii idea sio ngeni ila voltage ni ndogo ila huyu bwana ana configuration ambyo ni unique hapo ndo ndo pa ku patent
Hamna kitu ni mwizi huyo mzee katapeli watu wengi sana
@@wilfredkuyonza2151 habari
Wa Africa kwa ujumla Nina imani kuwa tunaweza kufanya au kuvumbua vitu Vingi Sana vyenye tija kwenye bara letu Kama viongozi wetu watakuwa tayari kuwekeza kwa wavumbuzi na wabunifu Wa maswala mbalimbali africa
Umeme wa kimyakimya safi sana
Uwezo anao
Japo anasema hajasoma
Lakini ukimsikiliza vzr utagundua ni mtaalam na ana uelewa wa kiwango cha juu na ndio maana hata hiyo timu ya wataalam wameunga mkono na kumsaidia
Naomba mawasiliano yake nimeipenda hiyo
Kwa manufaa ya taifa, hii teknolojia isingewekwa hadharani hadi imefanyiwa utafiti, majaribio na uzalishaji mkubwa. Baadae ingekuwa ni faida kwa mvumbuzi na kulinda haki yake ulimwenguni kote kama muanzilishi.
Iyo ni elimu nyingine sio mpaka upate cheti baba tunza sana kwenye vitabu itawasaidia wengi watakao itaji kujua
Hicho kitu kinaitwa: free energy source using permanent magnets, ni kwa namna gani amepanga hizo magnets hiyo inatakiwa iwe siri yake au apewe patent na kama ikibidi auze hiyo patent kwa faida ya ubunifu wake, anatakiwa awe muangalifu sana asije kutoa siri za ndani kabisa za huo ubunifu wake kabla hajapewa patent.
Ingelikua ni mzungu angetangazwa kama mwana sayansi wa karne ya 21. Ila bongo! Hakunaga
Kabisa
Tupeni namba zake bas
@@alexcosmas430 namba ya huyu Mzee mlizipata nipe na mimi
Mm nimeukubali ubunifu wake wakati keshafanya majabibio unafanya kazi
Mm naamini panahitaji maboresho tu hapo
Huyu mzee angepeleka tekinolojia yake kwenye nchi. Nyingiine angeelleweka
Tunaahitaji kumpa support mzee huyu ....naomba number yake .......Bravo from kenya
Vp ume pata namba yake
Kwani uyu mbunifu hna sim
Naombeni namba za simu za huyu aliyevumbua umeme wa sumaku.
Je ninaweza pata namba za simu za mzee Msuya
Hongerasn mzee..ila nyie mlofika msije mkampindua hyo mzee maana tunawajuweni mwisho hata kumtambua hamtamtambuatn..wala kunufaika na ujuziwake..
Dah, naona Kama laws of energy conservation is disobeyed
Haja_disobey... The law of conservation of energy states that energy can neither be created nor destroyed - only converted from one form of energy to another. Jamaa kafanya kugeuza energy iliyopo kwenye sumaku kutengeneza umeme.
@@storyfied_channel energy iliyopo kwenye sumaku inaitwaje😳😳
@@stonikyando6124 rudi kwenye roja kaguse tism
@@stonikyando6124 magnetic energy
Jamaa tism imelala kabisa sio poa
Haya kama ninyi viongozi Si wapiga Dil Huyo Mzee yu wapi leo? Nilijua tu mtampotezea ilai mtengeneze madhingira ya upigaji kuendelea... We sumaku tu kuwasha umeme haitumii mafuta wala nini,,, hapo mkiangalia pa kupigia hela hakuna duh hamuwezi kumpa nafasi Ni nipo!
Habari! Ni Kwa namna gani ninaweza kupata namba za huyu mbunifu Mzee msuya?
Naibu waziri uliingizwa chaka. Rogers Msuya ni tapeli hatari.
Mimi nakuitaji naomba nambazako au ntakupataje
Yani mtu wa tanesco hujui Magnet inazalisha umeme, ni aibu hii kwaio mechanism ya dynamoo
Kwan huy mzee anaishi wapi
jastas kiprop nigetaka iyo umeme
Mkiitwa wafrika masokwe mnabisha. Sasa mna subir nn kumuwezesha, tafiti ziendelee kisha matokeo yaingie kwenye mitaala ya elimu yetu?au ndio kwa sababu haipo kwenye vtabu vya watu weupe? Achen huo utumwa wa fikra.mnapaswa kuishin kwa utash wa kibinaadam.
Miaka mingapi mbona mzee wa siku njingi mpaka leo ajatoka huyu mzee anatakiwa kuw biliionea
Apewe sapoti
Niko kwa gza
Mwenye no yke namuomba plss
Naombeni mnipatie namba yake ya simu niweze kuwasiliana nae, mwenye mawasiliano yake bwana msuya
WANAMCHORA TU, TATIZO MPAKA WASHINIKIZWE NDIO WAFANYE
Nampataje huyu mzee serekali inachukulia poa lkn huyu anahitajika kumove mbele zaid
Naomba namba za sim za huyu mzee ama mawasiliano yake tafadhali
Nahitaji kwa ajili ya taa nje na banda za kuku
Nahisi watachukua Technology yake mwisho watamwambia hujasoma we kaa home
Anahitaji awe na mwanasheria kumlindia haki miliki zake za ubunifu
Naomba mawasiliano yake
Iyo yasumaku rahisi Sana nisumaku mota
Serikali yetu isimame naye kuhakikisha anafakisha ndoto zake. Impe support
Tupeni namba zake za simu tumtafute
Sasa wewe unaitwa majuto halafu unataka namba za jamaa ili umfanye naye ajute daima?
@@nrwawanndeny7394 Acha utani
Naomba namba yake
Hello naomba msaada wa namba ya huyu jamaaa
Mawasiliano tunapataje
Kwani yupp mkoa gan huyo mzee?
Tatizo bongo roho mbaya tuu,subirieni kama watamtangaza nakumpitisha ili serikali iingize pato kutoka nje ya nchi.
Hiki ndo kipaji kikubwa mpeni nafasi ili kipaji kienderee
Naomba namba yake jamani anae mjua
Kama kweli huyo mtaalamu was tanesko ana shangaa basi tuna shida kubwa sana
Yani magnet kutengeneza umeme anashangaa??? Tuna shida sana
Magnetic levitation principle
Tupeni namba zake tafadhali
Number yake
Yasiwe maneno matupu alafu mwishie tu kuvujisha ubunifu wa mtu
Huyu anayejiita fundi umeme mtambo wa umeme ni tapeli wa kutupwa. Hizo mashine nimefika kwake nimeziona ni geresha tu. Ukifanya kumpa kazi atakutaka ulipie gharama zote. Ukishalipia umeliwa.
Nipe namba yake
@J-Seven habar boss kama ulifanikiwa kupat no yake naiyomba pls
Viongozi wa Tanzania tantalila nyingi kuliko vitendo ni nategemea nipate hiyo mashine asee maana huku kijijini ni shida
Kuna viongozi hapo watalipuuza hilo maana wamezoea vya mzungu
Kawe mzimuni, niwapi,???
Nipeni nabma zake
Ninatumaini serekali ikiwekeza kwa watalam kamahawa tutagundu vingi
Hamujambo?
Number zake please,
Hongera sana kabisa
Ukipata nipatie na mimi
Serkali ifanye upesi kumsapoti huyu ndg kabla wajanja hawajaiteka teknologia na uvumbuz huu
Huyu mzee angekuwa Ulaya angekua Billionaire
Eti uyu mzee yukwap
Not mirecal it just magnet power
Edition with electronic
Can you do something like that?
Naomba namba ya huyu mr msuya
Naomba namba yake
kishafanyika sana india tumetumia sana iyo
Acha uongo bhna
Wa tz shida yao ndo hiyo mzee nae anadirik kusema et hakijawah kufanywa na yeyote duniani, hiyo kitu nguvu zake ni ndogo itaishia kuwasha taa tu na vi flat tv redio, coz nguv itakayozalishwa hapo ni ya kuboost na transformer capacitor na diode Kiasi kwamb ukiwasha au ukitumia 24hrs vinaheat sana, seach you tube mtu anayeitwa muamar yildz alitengeneza yake ikaishia kutumika Kama fen
Mbwembwe
@@pjelectrcian8391 asee you are right hapo hamna kitu effeciance ndogo mno swali la kujiuliza ni kwanini asiutumie huo mpaka asubirie wa tanesco ukatike
Tunaomba namba yake
Magnetic reaction hakuna mpya apo ni theory za phisikiatua
tengeneza na ww
Hii technologia ni hatari kwa biashara ya mafuta, atazimwa haraka kama mshumaa
Kwan saiv umeme unazalishwa kwa mafuta?
Huyu jamaa ni kichwa
Wapi ulipo hata tuje tujifunze
Ikowezekana awafundishe wengine
Kuna wajinga watamvunja moyo mzee pambana tu. Mungu akusaidie ufikie Marengo
Jamani mbona raisi sana nenda Google utaona tu
Kivip bro unawez kupata elim hii kupitia google???
kuwa mbunifu nijambo moja lakini kuwa mgunduzi ni jambo lingine kabisa huyu mzee hata kwa bongo sio yeye tu aliyewahi kufanya icho kitu kuna huyu mzee na yeye hajivuni kanakwamba ni mgunduzi th-cam.com/video/zXdv_4bDSsI/w-d-xo.html
Anatoa siri kabula hajatiana mikataba
Siri bado hajatoa mkuu bado kuna ma capacitor na ma diode jinsi yanavyoungwa hapo ndio patamu Tanesco wanapenda mitambo iliyokwisha fanyiwa kazi wakapachike tu ndilo tatizo linalotukumba