UMEME WA HAJA NDOGO (MKOJO) / UNAWASHA TAA NA KUCHAJI SIMU | MSWAHILI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ส.ค. 2024
  • UMEME WA HAJA NDOGO (MKOJO) / UNAWASHA TAA NA KUCHAJI SIMU | MSWAHILI
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 39

  • @afterx3172
    @afterx3172 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana kipaji kiendelezwe nakuombea mafanikio mwanangu big up

  • @mkutamajuto1549
    @mkutamajuto1549 ปีที่แล้ว +2

    Geneous

  • @fedrickaloyce9660
    @fedrickaloyce9660 ปีที่แล้ว +1

    Jamaa muongeaji sana

  • @panchovalentino3576
    @panchovalentino3576 ปีที่แล้ว +1

    Noumaaa saàna 💯🔥 umetisha saàna

  • @ilungasalle
    @ilungasalle ปีที่แล้ว +1

    Ila maneno mengi mno dogo

  • @bravokingtz9073
    @bravokingtz9073 ปีที่แล้ว +1

    ubunifu sio siasa kijana maneno mengii uhalisia ziro

  • @barakamwamasage-hy2jo
    @barakamwamasage-hy2jo ปีที่แล้ว +5

    Tunashukuru kwakipindiki hiki nimpongeze kijana mwenzangu kwaubunifu wake Ila tupo vijana wengi tunafanya ubunifu wenye tija kwa Taifa lakini hatuonekani

  • @bravokingtz9073
    @bravokingtz9073 ปีที่แล้ว +1

    uongo mwingi ktk ubunifu wko tokalini kisakiti kizalishe umeme kwenye hilo bomba umeweka betrindogo za redio kama tulivo wekaga zamani chooni tukapata umeme

    • @RashidRiziki
      @RashidRiziki หลายเดือนก่อน

      Tushushe tumefika uongo mwingii

  • @ericksonmuhulo1570
    @ericksonmuhulo1570 ปีที่แล้ว +1

    Jamaaa, mkweli sana Kasema kasoro refrigerator tu

  • @dullahtechtz3422
    @dullahtechtz3422 ปีที่แล้ว +2

    Nlijua AC kumbe DC kazi rahis kwa mafundi wenzio

    • @barakamwamasage-hy2jo
      @barakamwamasage-hy2jo ปีที่แล้ว

      Anaitaji kujifunza amejitaidi Sana kuficha ukweli ok acha tusimwalibie ni time yake

  • @emmosilver6039
    @emmosilver6039 3 หลายเดือนก่อน

    Anahitajika kusoma ili ajue kanuni ili ielewele.

  • @EAGTSAYUNIKARATUMJINI-kz7xl
    @EAGTSAYUNIKARATUMJINI-kz7xl 10 วันที่ผ่านมา

    Ni kweli amegundua,ila bd hajui majina ya compnets na maelezo bd hayajitoshelezi.

  • @josephbabirandeda7554
    @josephbabirandeda7554 ปีที่แล้ว +1

    Wow hii nzuri

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 ปีที่แล้ว

    Unatumia misumari migumu sana kupitiaha umeme

  • @lailafakhihaji
    @lailafakhihaji ปีที่แล้ว +1

    Hongera kijana usiwajali wanaokubeza

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 ปีที่แล้ว

    Electrolysis hiyo, mkojo ni electrolyte .....ila ameenda beyond, gud job 🤝

  • @mansoormannix1753
    @mansoormannix1753 ปีที่แล้ว

    Waafrika wana taaluma lakini hawapati ufadhilii kutoka kwa serikali zetu. Laiti serikali zetu zingeweka maanani kutunza taaluma hizi ili kuinua uchumi na kuendeleza hali za maisha ya wenyeji. Lakini serikali zetu zinakosa nia za kuendeleza nchi ila tu kujifaidi wenyewe.

  • @barakamwamasage-hy2jo
    @barakamwamasage-hy2jo ปีที่แล้ว

    Daah

  • @kesterkanyala7718
    @kesterkanyala7718 ปีที่แล้ว

    PONGEZI....SANA .NA ANGALIA SANA ,WALE WENYE WIVU ,WASIKUKATISHE NDOTO YAKO....

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 ปีที่แล้ว

    Nmh mbona mbona

  • @rashidkachaa3666
    @rashidkachaa3666 ปีที่แล้ว

    Cha Abu utacjia amekamatwa na kuhojiwa bdara ya kuendelezwa na kupewa nguvu na selikali

  • @nasibuahmedy2438
    @nasibuahmedy2438 ปีที่แล้ว +1

    #MSWAHILI Hii angekuwepo mswahili halisi Zembwela hapo kwenye MIC

  • @BongoPlatformTv
    @BongoPlatformTv ปีที่แล้ว

    Aise naona ingemua mm ntaanzisha huduma ya haja ndogo Tena barabarani ili nupaye lita kwa wingi afuu aanzishe kugawa umeme. 😀😀😀😀

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 ปีที่แล้ว +3

    Harafu anaongea sana huyu jamaa na maneno mengi pointless anaboa wasikilizaji

    • @jumbeojaso5767
      @jumbeojaso5767 ปีที่แล้ว

      Huna unachojua zaidi ya lawama, hebu tuonyeshe haraka hicho unachojua au ukichobuni wewe., Kwani huyu kijana kaja na kitu adimu na wenye mahitaji huko kusiko umeme wanahitaji maelezo fasaha.

    • @shamsayahaya3888
      @shamsayahaya3888 ปีที่แล้ว

      Haaaaaa ni zaidi ya mswaili misifa😛😛😣

    • @masseyally3151
      @masseyally3151 ปีที่แล้ว

      Hanaongea sana haereweki

    • @masseyally3151
      @masseyally3151 ปีที่แล้ว

      Dipent volt,ndio nini

  • @Luundu
    @Luundu ปีที่แล้ว

    Nahisha kumwanga mikojo yangu tena😂😂😂😂

  • @travelwithme14
    @travelwithme14 ปีที่แล้ว

    🎉

  • @EAGTSAYUNIKARATUMJINI-kz7xl
    @EAGTSAYUNIKARATUMJINI-kz7xl 10 วันที่ผ่านมา

    Hapo ni practicaly,no theoreticaly.

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 ปีที่แล้ว

    Nchi zingine huyu Mara moja hupelekwa veta na kifaa chake kuboreshwa Kwa jina lake na kuuzwa Kwa bei nafuu

  • @zeddybaby7269
    @zeddybaby7269 ปีที่แล้ว

    Mkojo huo haunuki jamani

    • @jumbeojaso5767
      @jumbeojaso5767 ปีที่แล้ว +2

      So what kama unanuka? Kwani wewe ukikojoa huwa unahisije! Yaani akili kubwa inawaza mambo makubwa, ndogo inawaza harufu ya mkojo.

  • @mweusiasili8345
    @mweusiasili8345 ปีที่แล้ว

    Viongoz tunaomba mumuengezè nguvu huyu dogo maana ni lulu kwetu

  • @lastkinglastking3326
    @lastkinglastking3326 ปีที่แล้ว

    Duh jama anakipaji lakini mimi najiuliza kama mkojo unatowa umeme wakuchaji sim kama angekuwa anatumia mavi sindio angewashia mtaa mzima😄