Jaman hivi kweli kama mimi nikisema maisha magumu natumia elf5au 3 kwa siku nikisema maisha magumu si namkufuru Mungu kabisa Jaman Mungu nisamehe ee baba sijui nitendalo Jaman ndugu zangu kama unaweza pata basic needs tuu hata kama siyo zote mshukru Mungu 😣😣😣😣😣😣😣
Am from Kenya but this guy Millard Ayo inspired me so much I wish all African people can help each other like this...live long Brother...am your real fun.
Dah! Machozi yamenitoka jamani Mungu akupe furaha Millard zaidi ya hiyo aliyo nayo Hassan!! Unaambiwa ukifurahisha nafsi ya mwengine mungu atafurahisha na yako zaidi 😍😢 Nitampigia Hassan na nitampa nitakachojaaliwa...
@@samwelmurro3498 Yani siwezi kuacha amenigusa sana huwezi amini jana usiku nilimpigia nafikiri alikuwa kashalala kutokana na tumepishana masaa kadhaa na simu ilikuwa imezimwa
@@tonydas6058 Dah yani acha tuu mwenyewe nimejiuliza hivi maisha niliyo nayo na kipato ninachopata na bado naona kama haitoshi kwa kweli ninakufuru mungu anisamehe.. . Na ndiyo maana tunaambiwa angalia wa chini yako!
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki nchi yangu, Mungu mbalikiki kila mtu anayetafuta riziki zake kwa halali, tutie nguvu ya Allah, tufungulie njia za baraka na tuishi kwa kupendana. Ameen ya Arab
Milard yani mama yako atakuwa anajivunia sana kukupata mtoto kama wewe!'mungu akubariki sna kakangu yani natamani mpka nikuone! Mungu akupe maisha marefu my brother
Dha kwa kweli ni imani kubwa bro big up mola akuzidishie zaidi ,kwani ni mfano mwema sana mbele ya ulimwengu na ni mfano wa kuigwa,mola yuko nawe kuokoa maisha ya vijana hawa pongezi subiri malipo kwa mola ,ikiwa wewe umepata kumbuka mwezio hajapata tungane tuangamizi ufukara ,maradhi na na kuwapa vijana motisha maisha mangumu haya ndugu
Duh nyumbani kwetu Ngarenaro, napamiss Sanaa. Hongera Sana Millard Ayo kurudisha fadhila kwa jamii, watanzania wengi hatugive back to the society ila leo umenifundisha mengi. May God bless you more and more Millard na kituo chako coz kinaleta matunda makubwa kea jamii
Leo nimeliwa elfu kumi na kweny kubet dah kumbe kuna wenzngu wanakul mlo mara moja ...kubet sitoacha ila nawaahidi haitozid 2000 na mpk ntaach nachezea pesa wenzngu awazipati 😭
Safi sanaaa bro umetugusa snaaa ila namini atapata hio TOYO na ww mungu atakubariki watu wataona ni kidogo snaaa ila kwake yeye nikama umeminunulia gorofa kariyako
This is nice millard..u are being creative and we need more of these short stories. Keep up the good work and we love & support you. Best youtube channel in east africa hands down.
Hiii ni zaidi ya upendo brother Millard ... Napajua hapo vizuri nawajua na baadhi ya washkaji hapo life la sokoni nalijua jamaa kutokua anja (kibaka) ni jambo la kumshukuru Mungu maana wengi wao huwa ni maanja . Its my dream to bless more guys wa Ngarenaro as you did to my brother hood.
Akufaae kwa dhiki ndie rafiki Hassan !! .M.mungu akunyanyue na wewe Salute kwako milad Ayo na Crouw yako mubarikiwe sana..... Hayo ndio yatakiwayo mitandaoni kuibua issues zenye kufundisha Au kuelimisha mema kwa watanzania......Mungu wabariki Watanzania na nchi Yao pia
pia nimeipenda makala hii ya nyota tatu iwe endelevu maeneo mbalimbali kwani inagusa maisha ya wa tu wasio tazamika na wanao onekana hawastahiili kwani kwamtazamo tu bwana hasani huenda hata jamii yake inamchukulia kama mhalifu huenda kwasababu ya mazingira anayoishi yane fanya aonekane hivyo makara ni nzuri kiukweri MAPENDEKEZO ANZISHA PLATFORM NA UIITE "ANGAZA GIZANI " ambayo maripota wako watakuwa waki zitafuta wariko niki maanisha wewe huwezi kuwafikia haraka ukizingatia shughuri nyingi unafanya dar imani yangu watanzania wanaweza kuwa msaada kwakire waricho jaliwa na watavyo sukumwa na hari ya muhusika na mapendekezo @Millard Ayo
Dahh nakupend sanaaa mildy ayoo yani unawapa waanyonge moyo dah hassan nimemuonea sanaa iman Mungu atamsamia 2 in shaa Allah na ww pia ayoo mungu akuongoze katika job yako kila la khery
Millard siku nyingine ukitaka kufanya mahojiano ya namna hii jitahidi kufanya uchunguzi kidogo juu ya muhusika. Hii itakusaidia kuwa na uhakika kwenye kile muhusika atakachokuwa anakizungumza. Kuna mambo kazungumza huyo bwana mdogo ukifikiria kwa makini yana walakini: 1. Kafanya struggle hiyo kwa miaka zaidi ya nane 8 (hakuwa wazi kama aliwahi kupanda ama kushuka) - leo anaishi kwenye kibanda cha kodi TZS10,000.00. 2. Kipato chake kwa mwezi ni TZS15,000.00. Hii maana yake ni kuwa anapata TZS500.00 kwa siku kwa kazi ya aidha kuuza samaki au kuparua samaki. Hivi kwa akili ya kawaida unashindwa vipi kujiongeza kufanya vibarua vyenye kipato kikubwa zaidi mfano kuosha magari, kufanya vibarua kwenye ujenzi (hapa unapata na ujuzi pia), nk. Huyu bwana mdogo msaada mkubwa anaotakiwa kupewa ni wa kisaikolojia. Kuna uwezekano mkubwa anatumia mihadarati especially bangi na mirungi. Labda pia ameshawahi kuwa kibaka ndio maana anaridhika na maisha ya kulala chini kwa miaka 8. Maisha ya kibongo usipokaza na kujiongeza utaishi kwenye handaki.
man huamini kwamba kuna watu wanakosa alternative? inawezekana hiyo elfu 15 ni baada ya matumizi ya kila siku..ukiskia wanasema % kubwa ya raia wanaishi chin ya dola 1 sio utani man
Cosmas mollel upo sawa na me nilicho changia vijana wa arusha awataki badilika mtu kama uyu sio mlemavu wa kushindwa kufanya shughuli za angalau kipato kikubwa tatizo ni madawa ata ukiangalia ghetto watu watatu kweli akuna ata godoro duh
Joel Samson.... una uhakika gan kama anatumia madawa? inamana kuwa na maisha magumu n ku2mia madawa kuwen na akili kama ww umepata usimdharau ambae hana
@@cleverwillson5341 usiangalie uruma yako kwa hasan angalia maisha anayoishi pasipo mapungufu yeyote mwilini bila familia inayo mtegemea yupo singo kwa miaka 8 siwezi acha kusema anatumia madawa. Uruma yenu ndy itamponza mpeni future ya kubadili kaz kwan zipo nying ndogondogo ambazo zinaweza mkomboa na kuacha kusubili misaada
Ipo njema sana ,kwako millard ayo, god bless you brother uzidi kuwakomboa vijana wengine katka maisha kma ayo na sisi kwa pamoja tunasema mungu akufungulie zaidi ya hapo ulipo fika....amiin,,kwa pamoja sisi sote tunakuunga mkono
Mungu Akupe kheri na afya wewe na famly yako akufu guliye zaidi na mahitaji yako kwani kwa maisha tulonayoo sasahivi mupatikana watu kama wewe ni afimu saana kila la kheri
mungu atampa ujasili wa kutafta napia kukaa na mtu vizur inaleta fraha sana kama angekuwa kibaka hakuna wakumsaidia naomba vijana tuwe na moyo wa kutoa au sio paka kutoa hata ushauri unatosha watu wengine wanafikili kutoa nifaida unaweza ukatoa pesa hata isifanye kaz 👏👏👏👏👏
Asante Mungu kwa maisha uliyonipa sintanun'gunika tena...Mpaka machozi yamenitoka...Millady Mungu akubariki sana. Kijana Hassani Mungu yupo pamoja nawe...yataisha
Umesaidia kumleta kwetu, nina wasiwasi na hiyo hela tutakayomtumia kama ataweza kui-manage....Jaribu kuratibu namna hiyo hela itakavyoweza kumsaidia kutimiza malelngo yake...Kumbuka kazungukwa na watu .
Millard you have started a very good project i feel pity for my brothers and sisters in Arusha that pass through this,,it's surely is a pity.May God bless you and use you to change this Arusha youth,,i am a kenyan but my roots are from arusha kikwe relatives from nambala and manyire this ngarenaro is actually some few kilometers.....Millard you have deeply thought doing this is really amazing.
Mungu yupo atatenda siku moja atabadili maisha asikate tamaa kwenye maisha kuna mambo mengi ya kukatisha Sana lakini ukijituma na kujiamini thanks bro Kwa kazi nzuri
Amani ni kitu cha muhimu sana,Hassan pamoja na changamoto zote hizo lakini yupo poa na marafiki zake.Nimependa Imani ya Hassani kua ipo siku atatoboa tu.May God bless you Millard hii kitu umefanya hapa ina thamani sana mbele za Mungu yaani kugusa maisha ya watu wahitaji,Umefanya jambo la maana sana sana keep it up.
saitoti saitoti Hawa watu hawasaidiki nimejaribu kupiga hiyo number kama nitaweza kumsaidia hata hapatikan tangu jana. Si bure anavuta madawa ya kulevya. Na Isitoshe anatakiwa aaachana na hayo makundi yake anatakiwa awe amejielewa
Acha ubora.ulaya mpaka Leo hii kuna watu wanalala mitaani hata magheto hawana. Wanaokota chupa wakauze wapate pesa.tatizo mnafikiri umasikini upo Tanzania tu.
hery kauli wewe umehadithiwa umeshwahi kufika ulaya, umehadithiwa tuu, umaskini unaozungumzia ambao uki huko ni 1/10,000 of the whole population, acha kujidanganya kwa kuamua Ku settle for less. Huko ni kujifariji kijinga. Nchi za Africa tuna umaskini na ndio bara maskini na lenye kusaidiwa kwa wingi kuliko mabara yote
Abby Sauko tunachoaangalia si watu kuwa na fedha balaa, je fedha hizo zina thamani? Ubora wa hela haupimwi kwa wingi ila kwa thamani, noti kubwa ya marekani ni dola 100 ambayo kwa Tanzania ni kama shs 2,280. Sasa unapokuwa unataka dola 1 na inakugharimu shs 2,280 pesa ina thamani hapo? Sasa una hela sawa let's say 1 billion alafu ukibadili kwa fedha za kigeni unapata dola 438, 596 tu na huku unakuwa umebeba kwenye canter 1 billion Tshs, alafu ukibadilisha unapata dola 438,596 ambazo zina fit kwenye briefcase. Hela itakuwa na thamani pale ambapo hutajaza magunia ya hela yenye thamani ya shs 1 billion na kupata fedha za kigeni cheche zinazoweza kubebwa kirahisi kwenye briefcase.
Proud for you milad ayo kiukweli nimekubali kwa kile unachokifanya kwa kuinua vijana wenzetu wenye shida na matatizo kama hawa umekua mfano wa kuigwa na mungu akubless.
Jaman hivi kweli kama mimi nikisema maisha magumu natumia elf5au 3 kwa siku nikisema maisha magumu si namkufuru Mungu kabisa Jaman
Mungu nisamehe ee baba sijui nitendalo
Jaman ndugu zangu kama unaweza pata basic needs tuu hata kama siyo zote mshukru Mungu 😣😣😣😣😣😣😣
Dodo Shavu siyo kufuru ndogo Ni kubwa Mungu atupe mioyo ya kuridhika jamani
kweli my
Kwakwel tunamkufuru
kwa hakika ni kama unatumia elfu3 au 5 kwa siku maisha sio magumu, najiona mi maskiiini akati natumia 3 had 4 pa day !!!!???? asante mungu
Kwakweli Mungu atusamehe ni mapungufu ya kibinadamu
Am from Kenya but this guy Millard Ayo inspired me so much I wish all African people can help each other like this...live long Brother...am your real fun.
For sure bro ,,, but selifishness ni mbaya sana aisee,,tuna spend mamilioni kwenye harusi ya siku moja ,upande mwingine wanalala njaa,,, inauma sana..
True
Kennedy N. Mwango actually
Nimelia jamani 😭😭 Hassan utakuja kufanikiwa na haya maisha uliyoishi yatakuwa historia usiachoke kupambana one day inshallah 🙏🏻
Millard Mungu anaona ulichokifanya wallahi nakuhakikishia hii ni akiba ya wema umeumeka kwa mungu
Noeli Mun y
Noeli Mun Millard hongera sana kwa hicho ulicho kifanya
sharapuu sana millard Ayooo kwa moyo uliwo nawo mungu aendelee kukupa moyo huwo huwo 👏👏👏👏👏👏👏👏
Aise ndugu yangu iwe project endelevu tunaweza kuchangia kidogo kuinua vijana wezetu big up kwako. All they kutoka Finland.
Umenena kweli
Said Songoro kweli Mimi naishi kwa shida ila huyu hapana acha nimshukuru Mungu
Millard Ayo, asee brother msaidie huyo dogo, walau kila aliyecomment hapa amchangie hata elfu tano tano tu walau apate mtaji aisee. Hadi chozi limenitoka. Dah
Said Songoro kweli mwana
Wazee msije mkakiuza noma sN
Dah! Machozi yamenitoka jamani
Mungu akupe furaha Millard zaidi ya hiyo aliyo nayo Hassan!! Unaambiwa ukifurahisha nafsi ya mwengine mungu atafurahisha na yako zaidi 😍😢
Nitampigia Hassan na nitampa nitakachojaaliwa...
Nimejikuta nalia tu aisee Mungu Anisamehe kwakweli maana hua nasema nna maisha magumu.
@@tonydas6058 Kweli aisee, tusikufuru
Usiache kufanya ulilo azimia, utabarikiwa dada
@@samwelmurro3498 Yani siwezi kuacha amenigusa sana huwezi amini jana usiku nilimpigia nafikiri alikuwa kashalala kutokana na tumepishana masaa kadhaa na simu ilikuwa imezimwa
@@tonydas6058 Dah yani acha tuu mwenyewe nimejiuliza hivi maisha niliyo nayo na kipato ninachopata na bado naona kama haitoshi kwa kweli ninakufuru mungu anisamehe.. . Na ndiyo maana tunaambiwa angalia wa chini yako!
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki nchi yangu, Mungu mbalikiki kila mtu anayetafuta riziki zake kwa halali, tutie nguvu ya Allah, tufungulie njia za baraka na tuishi kwa kupendana.
Ameen ya Arab
Morama 7jr j
Aamiin
Asante kama yote brother Millard,we ni mfano wa kuigwa
Wafrica wengi tunaishi maisha haya, hata Mimi nilipitia maisha, mangum,Vijana msikate tama mtavika tu.
Lovely
Inauma sana kwa sisi tuliopitia hivyo asikate tamaa Ya Allah uwii mpk chozi nahisi ni mm😢😭😭😭
kwel mary!, muhim kukaza..
kila mtu atasema kapitia maisha magumu ila yanapishana
Millard nakubal love yako kwa vijana wa nyumbani ase! May god bless u bro
dah kuna watu wanamaish ya shid Ila kwa hili nimelia dah
Yolanda Kimaro lia nikione sio ulie kwa maandishi.
Yolanda Kimaro kwa kwel
Dah jamani nimelia sana
Yolanda Kimaro hataukiwa na roho ngum vip apalazma machoz ya toke
Nimejikuta tu machozi ynanitoka. ...maisha kama haya alafu wanasiasa wananunuana na kuhamishana vyama😭😭😭😭😭
Dah kweli kutoa ni moyo sio utajir big up sana Millard mungu akujaze palipo pungua
Amen brother millardayo vijana wengi atujali tuliko tokea Mungu akubariki sana brother millardayo asante
Eemwenyezi mungu msaidie kijana mwenzangu muongonze mwepushe na vishawishi vibaya mpe moyo mwepesi na wakustamili shida na raha.
Inshaallah mwenyez mungu akufanyie wepec ufanikiwe zaid bro Millard ❤
MWENYEZI MUNGU akujaalie na amjaalie Hassan na wenzake awafungulie milango ya ridhiki Ameen ya Rab Ameen. IJUMAA KAREEM.
Mungu akubariki na kukuzidishia ma lovely bro Millard...umekua wa kipekee sana Milliard...
Y
Kaka unaroho nzur kama ulivyo
Daah life is not fair
Africa usipo stuka unaweza kuzikwa ukiwa hai
Big up Millard ayo Allah akubless
Brother mirad mungu akuzidishie zaidi ya ulicho kitoa
Jmn be blessed mirrad
MUNGU akubariki sana kaka yangu millard Ayo
Very Touching story, good narration..
Inaskitisha lakini haya ni maisha halisi ya vijana wengi sana
Mirrard ayo mungu akubariki abariki nakazi zako kwa msaada uwo
Kweli brother mirad wew ni kijana mwenzetu wa kuigwa
Milard asee mungu akubariki neema zake kwa wingi sna hakika umefany jambo kubwa sna la kuthamini maisha ya mtu anayestahili
Milard yani mama yako atakuwa anajivunia sana kukupata mtoto kama wewe!'mungu akubariki sna kakangu yani natamani mpka nikuone! Mungu akupe maisha marefu my brother
Dha kwa kweli ni imani kubwa bro big up mola akuzidishie zaidi ,kwani ni mfano mwema sana mbele ya ulimwengu na ni mfano wa kuigwa,mola yuko nawe kuokoa maisha ya vijana hawa pongezi subiri malipo kwa mola ,ikiwa wewe umepata kumbuka mwezio hajapata tungane tuangamizi ufukara ,maradhi na na kuwapa vijana motisha maisha mangumu haya ndugu
Allah akulipe kila la KHERI Millard hakika umejiwekea akiba Kwa mungu InshaAllah utakuja uikute
Duh nyumbani kwetu Ngarenaro, napamiss Sanaa. Hongera Sana Millard Ayo kurudisha fadhila kwa jamii, watanzania wengi hatugive back to the society ila leo umenifundisha mengi. May God bless you more and more Millard na kituo chako coz kinaleta matunda makubwa kea jamii
Mashallah Hassan na millad ayo Hongera Sana
Millard i realy respect you
Big up n Allah bless you
millard ayo bro umetisha big bless
i am touched thank you millard
Millard ayo mungu akubariki ulipo toa
Ongera sana bro.. kukumbuka na kurudisha fadhira mtaa.. ongera sana ayo
This world needs people like you MILLARD ❤ Hassan keep hustling Mungu atabariki kazi ya Mikono yako.
Anapata Elfu 15 kwa mwezi na bado anaishi Dah! Ni Mungu tu anatutunza. Millard Mungu Abariki kazi yako.
Leo nimeliwa elfu kumi na kweny kubet dah kumbe kuna wenzngu wanakul mlo mara moja ...kubet sitoacha ila nawaahidi haitozid 2000 na mpk ntaach nachezea pesa wenzngu awazipati 😭
Mungu akujalie broo kwa wema wako ALLAH akufanyie wepesi kwa kila hali milad ayo
Kubet hutoachaa 😅😅😂😂🙌🏾
Bro mungu akubariki sana akuogezee maisha marefu 🇹🇿🇹🇿
Maisha Magumu Mapato hayafanani Allah amsaidie amtimizie ndoto zake ln Shaa Allah. Millard Ubarikiwe sana kwa moyo huo msafi wa kujali.
Nimekukubali sana , Milard kwa documentary nzuri ya kujenga na moyo ulionao wa kusaidia.. all the best
mungu akuzidishie ya ulicho kitoa kaka🤲👏👏👏👏👏😞
Millady mfano mzuri sana ketu hili ni darasa kwetu sote
Alhamdulillah
Kheri ukiona mwenye shida msaidie kiasi uwezavyo
Shukran waliojitolea kuwasaidia.
Yaani milad Ayo we ni muungwana sana
M.mungu akufungulie na wewe maishani mwako.
Safi sanaaa bro umetugusa snaaa ila namini atapata hio TOYO na ww mungu atakubariki watu wataona ni kidogo snaaa ila kwake yeye nikama umeminunulia gorofa kariyako
God bless u Millard asante sana kwaniaba ya wana huruma 😭😭😭😭😭
Hadi nimelia jamani millard ayo mungu akubariki sana na akuongeze baraka nyingi kwa kazi yako
Brother Millard... MUNGU akuongezeee zaid ...Nimejifunza sana kwa ulicho kifanya kwa Kaka Hassan.
machalii ya R yako peace kinoma noma pamoja na ugum Wa maisha
Julia from Canada naomba mamba za Hassan jamani nimelia
Angalia video mpk mwisho utaon namba zake
Julita Bonganda zimewekwa apo kwenye video kwa chini ukiangalia mpaka mwisho utaziona.. ni 0744589910
@@francomwacha2262 asante
WAANZA NA CODE YA TANZANIA KWANZA
Awasome
This is nice millard..u are being creative and we need more of these short stories. Keep up the good work and we love & support you. Best youtube channel in east africa hands down.
brother Millard be blessed ...you've done a great job
Hongera sana,kW ulichofanyaMungu akubariki,wengine nivzr,kufanya hivyo,siyo kutembeza kamera tu kW maslahi yao tu,
HONGERA SANA MILLARD KWA KUMSAIDIA HASSAN,MUNGU AKUBARIKI SANA.
Hiii ni zaidi ya upendo brother Millard ... Napajua hapo vizuri nawajua na baadhi ya washkaji hapo life la sokoni nalijua jamaa kutokua anja (kibaka) ni jambo la kumshukuru Mungu maana wengi wao huwa ni maanja . Its my dream to bless more guys wa Ngarenaro as you did to my brother hood.
Akufaae kwa dhiki ndie rafiki Hassan !!
.M.mungu akunyanyue na wewe
Salute kwako milad Ayo na Crouw yako mubarikiwe sana.....
Hayo ndio yatakiwayo mitandaoni kuibua issues zenye kufundisha Au kuelimisha mema kwa watanzania......Mungu wabariki Watanzania na nchi Yao pia
God bless you MillardAyo
Dah Millard ayo kweli dunia ina mengi kweli siko sure kama mtu huyu akikutana na dau linalomtupa kwenye uhalifu aka kataa mmmh
pia nimeipenda makala hii ya nyota tatu iwe endelevu maeneo mbalimbali kwani inagusa maisha ya wa tu wasio tazamika na wanao onekana hawastahiili kwani kwamtazamo tu bwana hasani huenda hata jamii yake inamchukulia kama mhalifu huenda kwasababu ya mazingira anayoishi yane fanya aonekane hivyo makara ni nzuri kiukweri MAPENDEKEZO ANZISHA PLATFORM NA UIITE "ANGAZA GIZANI " ambayo maripota wako watakuwa waki zitafuta wariko niki maanisha wewe huwezi kuwafikia haraka ukizingatia shughuri nyingi unafanya dar imani yangu watanzania wanaweza kuwa msaada kwakire waricho jaliwa na watavyo sukumwa na hari ya muhusika na mapendekezo @Millard Ayo
😭😭Alhamdulillah
Sitokufuru tena asante milad ayo miskin vijana wawatu munguawajalie mema mchume kwa mikono mema INSHAALLAH
This is so much heart touching. Millard ulichofanya hapa ni akiba yako akhera plz never stp this. #Such a gentle man 💗
Dahh nakupend sanaaa mildy ayoo yani unawapa waanyonge moyo dah hassan nimemuonea sanaa iman Mungu atamsamia 2 in shaa Allah na ww pia ayoo mungu akuongoze katika job yako kila la khery
Wow!! millard so insparing kwel hii inafundisha this is how we supose 2 live with others be blessed!!
aiseee bonge moja la documentary
Kama kuna ambaye anamjua anipe mawasiliano yake nimsaidie au anielekeze anapokaa
Namba zimewekwa hapo juu chukua
jaman angalien video mpka mwisho jamani mwishowe mtapewa namba za matapeli za chungen sana hilo
mwerevu ni yule ambae asahau shida zilizompata, akaona umuhimu wa kusaidia wenzake,brother millard god bless u🙌🙌
Mpk nimelia yaani... Daaah asante mwenyezi mungu kwa hapa nilipo na ninachopata pia hongera my bro kwakumsaidia kijana mwenzetu..
Millard siku nyingine ukitaka kufanya mahojiano ya namna hii jitahidi kufanya uchunguzi kidogo juu ya muhusika. Hii itakusaidia kuwa na uhakika kwenye kile muhusika atakachokuwa anakizungumza. Kuna mambo kazungumza huyo bwana mdogo ukifikiria kwa makini yana walakini:
1. Kafanya struggle hiyo kwa miaka zaidi ya nane 8 (hakuwa wazi kama aliwahi kupanda ama kushuka) - leo anaishi kwenye kibanda cha kodi TZS10,000.00.
2. Kipato chake kwa mwezi ni TZS15,000.00. Hii maana yake ni kuwa anapata TZS500.00 kwa siku kwa kazi ya aidha kuuza samaki au kuparua samaki. Hivi kwa akili ya kawaida unashindwa vipi kujiongeza kufanya vibarua vyenye kipato kikubwa zaidi mfano kuosha magari, kufanya vibarua kwenye ujenzi (hapa unapata na ujuzi pia), nk.
Huyu bwana mdogo msaada mkubwa anaotakiwa kupewa ni wa kisaikolojia. Kuna uwezekano mkubwa anatumia mihadarati especially bangi na mirungi. Labda pia ameshawahi kuwa kibaka ndio maana anaridhika na maisha ya kulala chini kwa miaka 8.
Maisha ya kibongo usipokaza na kujiongeza utaishi kwenye handaki.
man huamini kwamba kuna watu wanakosa alternative? inawezekana hiyo elfu 15 ni baada ya matumizi ya kila siku..ukiskia wanasema % kubwa ya raia wanaishi chin ya dola 1 sio utani man
Msaidie leo,atakushukuru sku akipenda....usimchambue saaana
Cosmas mollel upo sawa na me nilicho changia vijana wa arusha awataki badilika mtu kama uyu sio mlemavu wa kushindwa kufanya shughuli za angalau kipato kikubwa tatizo ni madawa ata ukiangalia ghetto watu watatu kweli akuna ata godoro duh
Joel Samson.... una uhakika gan kama anatumia madawa? inamana kuwa na maisha magumu n ku2mia madawa kuwen na akili kama ww umepata usimdharau ambae hana
@@cleverwillson5341 usiangalie uruma yako kwa hasan angalia maisha anayoishi pasipo mapungufu yeyote mwilini bila familia inayo mtegemea yupo singo kwa miaka 8 siwezi acha kusema anatumia madawa. Uruma yenu ndy itamponza mpeni future ya kubadili kaz kwan zipo nying ndogondogo ambazo zinaweza mkomboa na kuacha kusubili misaada
Daaaah ubalikiwe kaka millad mungu atalipa pia Hassan asikati tamaa ya maisha mungu you pamoja NAE 🙏🙏🙏🙏
Dah bro I am a christian but you practice the real religion Mungu anakuandikia yote hayo safisana una tu inspire watu wengi sana asee UBARIKIWE
Ipo njema sana ,kwako millard ayo, god bless you brother uzidi kuwakomboa vijana wengine katka maisha kma ayo na sisi kwa pamoja tunasema mungu akufungulie zaidi ya hapo ulipo fika....amiin,,kwa pamoja sisi sote tunakuunga mkono
Dah haya maisha jmn yanaumiza sana aiseee
Mambo vp!??
Hongera Sana milad hayo mungu akupe nguvu zaidi ya kusaidia na wengine Wawoo
Things like this make me 😭😭
Millard ur soooo sweet aki, be blessed always kwa huo moyo. Allah atakuzidishia zaidi ya hapo.
Mungu akubariki sana sana Milard Ayo kwa msaada uliowapa hawa vijana. Mungu akuzidishie
Inaliza jamani pole sana Hassan Allah atakufanyia wepesi. Maisha ni magumu sana lkn yamezidi kwa wenzetu jamani
Nikiwa usa columbus ohio namba namba za asani na zako millard ayo zangu izo hapo +16149028587
Misa Shila Silambien God bless ya
I me Imetolewa hapo 0744589910
Namba mbona Imetolewa +255744589910
Mungu Akupe kheri na afya wewe na famly yako akufu guliye zaidi na mahitaji yako kwani kwa maisha tulonayoo sasahivi mupatikana watu kama wewe ni afimu saana kila la kheri
Mungu wangu maisha maisha mangumu 🙏🙏🙏
Millard thanks. A lot keep that spirit always and always
Nimejikuta nalia tu kwa maisha kama haya ni rahis sana kijana kuingia kwenye makundi mabaya.milad mungu akubariki na kizaz chako
Huko chooni Kama una tumbo la kuharisha utafika kweli
Kutenda wema ni hakiba na pia kutoa ni moyo mirad ayo mungu akubaliki kwa utoaji wako
mungu atampa ujasili wa kutafta napia kukaa na mtu vizur inaleta fraha sana kama angekuwa kibaka hakuna wakumsaidia naomba vijana tuwe na moyo wa kutoa au sio paka kutoa hata ushauri unatosha watu wengine wanafikili kutoa nifaida unaweza ukatoa pesa hata isifanye kaz 👏👏👏👏👏
Mimi ningeshauri ungetafuta namba yako ukachangiwa ukamnunulia
Asante Mungu kwa maisha uliyonipa sintanun'gunika tena...Mpaka machozi yamenitoka...Millady Mungu akubariki sana. Kijana Hassani Mungu yupo pamoja nawe...yataisha
Dah! Mungu akubariki Millard! Mungu akubariki Hassan na wenzako!
Umesaidia kumleta kwetu, nina wasiwasi na hiyo hela tutakayomtumia kama ataweza kui-manage....Jaribu kuratibu namna hiyo hela itakavyoweza kumsaidia kutimiza malelngo yake...Kumbuka kazungukwa na watu .
perfect
mkeka wa nn tuko juujuu
Millard you have started a very good project i feel pity for my brothers and sisters in Arusha that pass through this,,it's surely is a pity.May God bless you and use you to change this Arusha youth,,i am a kenyan but my roots are from arusha kikwe relatives from nambala and manyire this ngarenaro is actually some few kilometers.....Millard you have deeply thought doing this is really amazing.
Mungu yupo atatenda siku moja atabadili maisha asikate tamaa kwenye maisha kuna mambo mengi ya kukatisha Sana lakini ukijituma na kujiamini thanks bro Kwa kazi nzuri
Millard Ayo ww ni mfano wa kuigwa kwa wale waliojaliwa kuwa nacho kuwakumbuka wasionacho!
Mungu anisaidie kufuata nyayo zako
duh ,ndio maisha halisi ya ngarenaro na matejoo
Da saf
utazani unatafsili muvi ya kivita
Hahahhahaaaaa
Me ni kijana pia nipo arusha pia huwa nasema Nina maisha magumu lakini nimeona maisha magumu Leo kusema kweli nimelia #Millard mungu akubariki
Congrats much Bro! God bless you; I really cried for this. #blessed! #blessed! #blessed! much.
😀😀😀😀aiseee chalii yangu kuwa makini sana wahuni sio watu kwa mlango huo godoro na hicho kitanda watabeba
Eti leo unadai daimond katok maisha magum
Umetisha mkali
Au nioongo
Amani ni kitu cha muhimu sana,Hassan pamoja na changamoto zote hizo lakini yupo poa na marafiki zake.Nimependa Imani ya Hassani kua ipo siku atatoboa tu.May God bless you Millard hii kitu umefanya hapa ina thamani sana mbele za Mungu yaani kugusa maisha ya watu wahitaji,Umefanya jambo la maana sana sana keep it up.
Bro god bless you I’m so proud of you thanks for helping him👏
Tutamchangia ila ahame hapo atafute chumba kingine apange
Ata hama vp na hela bado hajapata? Labda asubirie hio michango yetu tu ndio yatakayoweza kumvusha kwenye hali hio
Nafisa Mohamad Fanya basi tumchangie apate Mil 2.2
@@barbarasara4033 bodaboda hapana zinaua sana vijna.labda apate mtaji aanzishe biashara tofauti
saitoti saitoti Hawa watu hawasaidiki nimejaribu kupiga hiyo number kama nitaweza kumsaidia hata hapatikan tangu jana. Si bure anavuta madawa ya kulevya. Na Isitoshe anatakiwa aaachana na hayo makundi yake anatakiwa awe amejielewa
saitoti saitoti Hayo magroup ya kaz gan yana shawish mambo mabaya jaman hapatikan hata maybe hayupo serious
Alaf ndo tuna ambiwa hii nchi inaenda kwenye uchumi wa kati.
Acha ubora.ulaya mpaka Leo hii kuna watu wanalala mitaani hata magheto hawana. Wanaokota chupa wakauze wapate pesa.tatizo mnafikiri umasikini upo Tanzania tu.
hery kauli wewe umehadithiwa umeshwahi kufika ulaya, umehadithiwa tuu, umaskini unaozungumzia ambao uki huko ni 1/10,000 of the whole population, acha kujidanganya kwa kuamua Ku settle for less. Huko ni kujifariji kijinga. Nchi za Africa tuna umaskini na ndio bara maskini na lenye kusaidiwa kwa wingi kuliko mabara yote
Ww umefika?na umetembea nchi ngapi na ukakuta hakuna umaskini?nadhani ww ndio umehadithiwa.tatizo unakariri. Unadhani Ulaya ni mbinguni.
tofautsha uchumi wa mtu mmoja mmoja na wa nchi ukizngumzia kaul yako hyo Kuna watu wanapesa balaa
Abby Sauko tunachoaangalia si watu kuwa na fedha balaa, je fedha hizo zina thamani? Ubora wa hela haupimwi kwa wingi ila kwa thamani, noti kubwa ya marekani ni dola 100 ambayo kwa Tanzania ni kama shs 2,280. Sasa unapokuwa unataka dola 1 na inakugharimu shs 2,280 pesa ina thamani hapo? Sasa una hela sawa let's say 1 billion alafu ukibadili kwa fedha za kigeni unapata dola 438, 596 tu na huku unakuwa umebeba kwenye canter 1 billion Tshs, alafu ukibadilisha unapata dola 438,596 ambazo zina fit kwenye briefcase. Hela itakuwa na thamani pale ambapo hutajaza magunia ya hela yenye thamani ya shs 1 billion na kupata fedha za kigeni cheche zinazoweza kubebwa kirahisi kwenye briefcase.
milard umefanya kitu kimoja kita inspire watu sana God bless you broo
Proud for you milad ayo kiukweli nimekubali kwa kile unachokifanya kwa kuinua vijana wenzetu wenye shida na matatizo kama hawa umekua mfano wa kuigwa na mungu akubless.
asiuze tu
Duh umeongea maan tunawajua hadi nimecheka
Du hizo kilomita za kwenda toilet zinatisha mzee good sana milad ayo.
Mimi bado ninawasiwasi wenzake kumuibia hicho alichokipata jamani, ukiangalia iyo nyumba csalama kabsa
May God bless you bro Millardayo