MTANZANIA ALIESHINDA MILIONI 340 MAREKANI "SINA GARI, BADO NITATEMBEA KWA MGUU"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- Tanzania ilimfahamu baada ya kurudi Tanzania na kuweka wazi kwamba baada ya kusoma Marekani hakutaka kubaki huko na alikataa kazi yenye Mshahara wa zaidi ya MILIONI 425 ili arudi Tanzania, Benjamin Fernandes ndio huyohuyo leo hii ameshinda MILIONI 340 lakini hataki kununua gari na kwamba bado ataendelea kutembea kwa mguu
Anachokisema Benjamin kuhusu watu kupewa nafasi kutokana na uwezo wao bila kujali umri wala elimu yao ni swala la kuzingatiwa sana. Mimi ni mtanzania kutoka Mbeya ninaye ishi Ulaya, hapa Ulaya nafanya kazi mbili. Project management consultant na pia ni mwalimu wa waalimu wa high school lakini sina degree wala cheti cha ualimu, wanachojali hapa ni uwezo ulionao. Huko Tanzania nisingeweza kuruhusiwa hata kufundisha shule ya msingi Mapambano. Ukitaka kazi hapa Ulaya hata uwe na degree utapewa jaribio la kupima ufahamu na uwezo wako wa kufikiri na ndiyo maana wenzetu wamepiga hatua. Tanzania na nchi nyingi za Afrika kuna wasomi wengi wana ufikiri mdogo kwa kuwa walisoma ili wapate kazi nzuri na si vinginevyo
Hongera sna kaka Good idea Mungu akusaidie ufike mbali nimejifunza kitu
Safi sana brother
Hongera brother nichek dicksonexavery@gmail.com
Kaka umenena, yani upo sahihi kabisa. Nataka nijuwe hiyo ulaya ni nchi gani ?
Mm nipo north America, yamenikuta kama yaliyokukuta wewe mpaka sshivi sina Degree, lkn wameachishwa kazi watu wa Masters nami nikabaķ. Namshukuru mwenyezimungu kwa neema zake.
But kutokuwa nayo hata Degree napata changamoto kubwa saana. Mpaka nafikiria kurudi shule ili nikapate hizo karatasi wanazozitolea nafasi. Naomba unisaidie ushauri wako.
Tujitahidi saana kumshukuru mungu kwa neema nyingi alizotujaalia.
Aisee nimependa andishi lako hadi nimesisimka mimi ni pastor hapa Tanzania
Kama unamkubali benjamini gonga like! za kutosha!!...
I admire this Guy. He inspires me alot
stupidest comment EVER, STOP THIS!!!!!
acha. usenge wewe likes zinakupeleka wapi
@@mjunimjuni9982 hmmh
Nakukubali sanaimi nipo south africa naitaji hiyo nala ifike Africa yote
Hongeren Sana Millad Ayo na Benjamin mnatuwakilisha vyema
Mwenyezi Mungu awatie nguvu nasi tunakuja nyuma yenu.
Benjamin umetumwa na mungu kuja kuleta heshima tanzania,mi nitazidi kukuombea ktk kazi za mikono yako
Amen
Kaka Benjamin Fernandes, huwa nafurahi na pia najifunza sana kutoka kwako, HONGERA SANA kwa kazi nzuri katika App ya NALA na hongera pia kwa uzalendo juu ya nchi yako. Natamani sana kuendelea kujifunza kupitia wewe kijana mwenzangu... God bless you so much brother...
Nimeipenda sana NALA lakn kwa sasa sipo Tanzania hivyo huduma hii nashindwa kuipata, naomba kama inawezekana maboresho yaendelee kufanyika kwenye App ili kuweza kufanya miamala ya Mpesa/Tigopesa n.k hata kwa walio nje ya Tanzania..
Once Again.. Big Up brother... #Mimi naamini Watanzania tunaweza kufanya mambo makubwa sana, Benji umetufungua macho mkuu
Vichwa kama hivi sio vya kuviacha viende serikali iamke jamani mtu anafundisha vyuo vikuu vya ulaya na bado ana mapenzi na nchi yake, Hongera sana Benjamin nimekupenda bure
kama unamuelewa benjamin brother gonga like za kutosha
Japo ulivyovitaja vya kuhusu technology cvijui lkn nmependa unavyoongea na moyo wako juu ya Tanzania yetu Mungu akubariki brother
Now I can realise that why did you refuse the salary of 420 milion per month,,,! The power of identity is working inside you!, you real inspiring me.
Thank yo bro...am in form 6 right now natumaini siku moja ntakuja kufanya kazi pa1 na ww
Ulivokataa milioni400 watu walikuona mjinga sna kila baada mafanikio saivi wanakupa hongera tz tupende kuheshim maamuzi ya watu benja u inspire me since day1
vijana tujifunzeni kwa kijana huyu ,unajua Tangu nimeanza kumfuatilia nimejifunza vitu vingi sana kwake ........hongera sana BENJAMINI
Ukiwa na Yesu umepata kila kitu!
Yesu na kujituma kwa juhudi
Blessed sana
Daha umenifindisha kitu Benjamin 👍😘najifunza vitu vingi Sana kutoka kwako
Hongera Sana bro tunahitaj vijana km huyu mzalendo mungu akubariki Sana Benjamin
hongela sana blo
Hongera yako mwenzako hatimaye mi nime SHINDA NJAAA#NAIPENDA TANZANIA YANGU.....
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nakukubari Benjamin God bless you
Safi kaka ubarikiwe wewe hero pls Rais Muugalia huyu kijana anapenda nchi yake pia anawssaidia vijana wote pls pls tanzania kwanza tanzania ya viwanda yeye gatafuti kiki yeye ni mchapakazi ubarikiwe sana Mungu hakupe uwepesi fanya zaidi na zaidi
Asnt kaka benja , kuna kitu nimejifunxa sana tena umejaaliwa hakili na maono ya mbali sana , unamambo adim sana hongera kaka mungu akuweke miaka mingi uendelee kutufunua kiakili.
Bro!! Very inspiring...truely
Asante saana kaka kuwakilisha Tanzania yetu mungu akujaarie umri mlefu
Explore ni tatizo jingine katika nchi yetu, tunafundishwa kwa ajili ya kujibu maswali ya mitihani na sio kufundishwa kwenda na dunia inavyoenda...
Ndiyo hivyo etiii.. alafu mi mtu Hiyo Hiyo iliyokufundisha baadae inakuja inasem Mitoto ya sikuizi hamna Kitu wakati walikufundisha kujibu mitihani tu ukimaliza Huna kingine..
Tunafundishwa kuipigia makofi CHAMA tawala
Congrats bro Benja.. NALA iko vzur,nimeikubali baada ya kuipakua.
Hongera sana kaka ferndas ubarikiwe saaana ndoto yangu sikumoja nifanye kazi AyoTV
Kuwa na Imani tu broo ipo siku sms zako zitakuja zimguse mmiliki wa Ayo tv,, na ndoto zako atakuja azitimize millard ayo kuwa na imani and never give up on your Dream 💪
shukrani sana broo mimi naaminitu iposiku NITAKUWA NINAVYOOTA KUWA NA KUKARIBISHA PIA KWENYE PAGE YANGU YA IG NAPOST BAADHI YA KAZI ZANGU KULEKWA MAWAZO MAPYA NA USHAURI NA KUKARIBISA @LA_MBEGU0416 instagram
@@MOtownTV. kitambo sana me nimeshakua follow kweny page yko I_am_Peterson_sha_Ezra
Nimeguswa sana na hii interview kuna mengi nimejifunza
shukren sana kakama kwa spot yako #tutatoboa2
Hongera Benjamin na Milad kwa interview nzuri kabisa.
Benjamin na millard nawapenda sana, in Jesus Christ everything is possible
I hope that one day Millard Ayo.com will be more of influential and developmental information like this one. Well done Feranandes and Millard Ayo
Huyu kaka anajitahidi sana kuongea kiswahili msimlaumu
Hongera sana mkurugenzi wa Nala, kwakweli tumeona matokeo mazuri yote ni kwa neema za Mungu kwakweli nimemwona mungu live kwenye maisha yako pia nabarikiwa sana na wewe na malengo yako ya kufungua bank ninakuombee yatimie nitafurahi kwani jamii tutapona damu ya yesu ikufunike.
Hongera!
Benjamin akili kubwa sana! Thumps up
U gud brother big up benjamin n keep up
Ur an inspiration to many Beny ....God bless you
FAMILY MATTERS......AMINI KWAMBA👍
Huyu jamaa nilimuona hapa Seattle Washington USA 🇺🇸
GENIUS
Nimekupata sana Bwana Benjamin.......
Ahukran sana MiradAyo kwa kutuletea kijana mwenzetu kwenye Kipindi chako
Pamoja na Kukaa Mbele Kwa Muda Mrefu Ila Anajitahidi kuongea Kiswahili Bila Kuchanganya na Kingereza Ila Ingekuwa Mbongo Hapooo Uwiiiiii Ungekomaaa Hapo Ayo..
SANA AISEE...HUYU JAMAA NI MFANO MKUBWA SANA WA KUIGWA.
NINACHO KISHANGAA NI JINSI HUYU JAMAA ALIVYO MZALENDO KWA NCHI YAKE: MFANO WA KUIGWA.
BUT I DOUGHT IF HE GETS EQUAL AMOUNT OF RESPECT HE IS GETTING FROM BIG COUNTRIES AROUND THE WORLD THAN RESPECT HE GETS IN TANZANIA.
SIJUI TZ GOVERNMENT INAMSAPORT AU HATA KUJARIBU KUMTUMIA KU INSPIRE VIJANA ILI TUWE NA WAKINA BENJAMIN WENGI ZAIDI KWA MANUFAA YA INCHI.
YAANI INGEKUWA NI DIAMOND AU ALLY KIBA AME WIN HIZO AWARDS NAFIKIRI VIJANA WOTE WA TZ MPK WALE WALIOKO NEWALA WANGEJUA LKN HEBU ULIZA KM KUNA VIJANA HATA 20 WALIO NA ACCOUNT ZA INSTAGRAM WANAJUA KUHUSU AWARDS ALIOSHINDA HUYU...JAMAA. YAANI MAGAZETI YOTE YA UDAKU NA YENYE MAANA YANGEANDIKA KUHUSU YEYE.
I M SO SURPRISED.
I WISH THIS GUY COULD BE MY BEST FRIEND.
IM PROUD TO BE TANZANIAN BECAUSE OF YOU MA MEN. CONGRATULATIONS.
@@alleyd.alleyd Kweli Kabisa Sisi Fanya ujinga ndio unakuwa Maarufu na Kujulikana ila Fanya Vya Maana Hutajulikana na Wala hutafuatiliwa kibaya ni Hata ukitaka Kufanya Mapinduzi Flani kuna Watu watakuvuta.Ila huyu Jamaa ni Mzalendo Mno Sijui Kama Serikali Yetu ina mwonaje inamtumiaje..Ila ndio Wanasemaga Nabii Hakubaliki Kwao.
@@africanhappyadventure6951 kabisa yaani ingekua ni ujingaujinga wtz wote tungejua lkn maswala mazuri kama haya hawayaoni du!
Hyo siyo ishu. LA muhimu ujumbe ufike
Duh,umenichekesha sana kijana sie wabongo hatujambo.😂😂😂
Ukiachana na innovation Benjamin is so positivity man
Ubarikiwe sana.Unafanya vizuri Benjamin
Hongera saana
hongera benjamin
Always you put smile on my face God bless you abundantly
Simple & positive
Bwana Yesu asifiwe kwa hilo.
Warren Buffett ma man, he's my idol asee, I had a whole speech about him 👌👍
Hakiiii, this is Husband material....
Wanaume wote, take notes!
Utajiri wa bilgate ulianzia kwenye software. Mtu anaeinvest upande huu, mafanikio yake yapo karibu sana maana anamgusa karibu kila mtu.
Hongera sana Benjamin ulianza mdogomdogo!
Congratulations ni meona matokeo tunazidi kujivunia Tuna Kijana mtaalamu hakika kujifunza ni mtaji unanibariki sana naunazidi kunitia moyo wa kusongambele I like it , is by Grace be Blessing Nala
Anaongea kiswahili vizuri mpaka nimependaaa kweli nyumbani ni nyumbani
Jamaa yuko sawa bado kazi ipo kwenye ofisi za serikal. Badala ya kutoa support mtu anakuzungushaweeee mpka unakata tamaa.
Unyama sana brother
kaka mi nakufuatilia sana na ninajifunza vitu vingi sana kutoka kwako mungu akubariki sana, kweli kabisa huku tz kama huna vyeti we si chochote,wanahitaji vyeti sio uwezo,wana majina yao ya vyeti wanaita PhD,Mara vcd sijui DVD balaa kama huna hivo hata uwe na uwezo wa kuhamisha milima mzee utapambana na hali yako,ila umenipa nguvu mpya sana hongera umenivisha vazi jipya
Hongera Benjamini Mungu akuongoze najua unayo malengo mazuri.
Nakukubali Sana.Vijana tunakua na mawazo mazuri yamaendeleo ndia tunakosa mueleke. Vikwazo ni vingi hairuhusiwi kwa mantiki gani. ipo kimazoea ila dunia ipo kiteknolojia wapi sasa tutafikia?.... Ni vyema kukubali Changamoto kuzipitia ili lengo ladhati kulifikia.Dunia Kaka imekuskia👌
Hyu ni next billionear kwa idea hii
yan nampenda sana uyu kk jaman anaakili mpk zinamwagika
daaah mzee Benjamin umenena faith ndo utajiri wetu tu....
Huyu jamaa kasoma mbele elimu anayo skills anayo alkn hatujawah mskia na skendo yeyote wal kuskia couple yake. Ila mwenye akil fupi angetafuta kinyago aanze kuzurura nacho mitandaoni. My friend piga kaz kwanza cku zote maji hufuata mkondo
@Felix wilvin huyo ni mtoto wa Pastor Fernandes mwenye ATN Tv.. mbezi jogoo, kalelewaa kimaadili ya kidini si rahisi a behavior vibaya, namjua toka babake akianzishaa kanisa.
magreth 79 Aaah! Kumbe Asante kwakiniabarisha lkn ndo kijana anatakiwa ajitambue hivyo siyo lazima tuh watoto wa mapastor
hahahahahahahahahahahahahahahahahaha..eti angetafuta kinyago
Umenichekesha
Hahahahaaha,, Kinyago aisee.
You're inspiring me🙊😄🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍
Ni kweli sheria za tanzania ni ngumu sana zinawafanya watu wengi hasa vijana kukata tamaa na kushindwa kabisa kua wajasiliamali na ndiomaana ichumi wa nchi haukui Serikali iliangalie hilo
Hongera brooo
Saf sana Benjamin uko vizur sana unapaswa kuwa mfano kwa vijan Millard uko pwa sana kutufikishia mtu muhim kwa vijan nimejifunza kitu kikubwa sana
Elimu yetu siyo ya kuvumbua ni utumwa na bado tutakua watumwa kwasababu yakutojiamini
Hivi waziri wa science and technology anamfaham huyu jamaa Na anashirikiana naye Kwa namna gani?
Chanua kihara pointi sana mdau
safi sana
hongera kwa kuwa mzalendo
milard unaenda vizuri vipindi kama cha benjamin,hakika vinaashiria hapa kazi kwelikweli
Dthe best
jamaa nimekukubali sana uko vizuri ningependa kujifunza mambo mengi mazuri kutoka kwako ispokuwa ubahili tu. Naomba niwe loan officer wako ukizindua e- bank
Mashallah my brother mungu akuzidisia elimu ameen thuma ameen
Hongera Kijana utawasaidia vijana wengi
hongera kaka millard
Mtaji was buku 2 kujifunza programming brother were ni genius,
Mwanzo nilivyo sikia kuhusu Nala nilijua una i promote tu, founders ni watu wengine tena wenye degrees + PhD's kwenye maswala ya programming na technology, kumbe ni wew mwenyewe kwa kuwashirikisha hao programmers.
Big up sana ..millad ayo kamera zako zipo vizuri sana
Your so creative brother,appreciate
Ongera sanaaa
Nala app
Inspired me alot
Katika Mafanikio Kuna Kuanguka Pia
So Usikate Tamaa
Pambana..
Good creative in your life
Brother umeona mbali sana
Nzuri sana ,brother ulicho kifanya ,kabla ya kuinvest ulinvestigate kwanza asnte sana nimejifunza kitu
Hatar sana natamani sana kufanya kazi naee kanifanya nipate moyo wa kazi Mimi isack mandiga
Kichwa adimu , keep up Benjamini
Mimemuelewa sana huyu bro. Please bro Millard niunganishe nae nahitaji kujifunza zaidi na zaidi hususani masuala ya APPLICATION maana naona amenigusa kabisa kwenye nukta yangu NAOMBA BASI NAFASI 1 japo ya Dakika 1 TU hakika nitajihisi shujaa na sitaifanyia makosa maana mtu nilie kuwa namhitaji nahisi ndio huyu. Kama una wasi wasi na hili basi hata wewe unaweza ukawa msaada kwangu.
Namba yangu 0715 382 238 JUMA B SADICK
natanguliza shukran zangu za dhati nikiamini utanitafuta bro, kazi njema
Nicest ❤❤
Great# Programmers we got doors...its jst creativity and commitment 2 push up..!!
#PlanningAvisitToTalaTZ
! Tala ==#Nala
Simple and clear
I like this show Millard
Hongera sana Benja,Nakuelewa sana,Keep it up bro
Millard ayo mwambie huyo ,Benjamin, anikopeshe pesa nianzishe mradi wa kufuga kuku broiler
😂😂😂 umetisha ndugu
Safi sana,,, ila naomba uwe mpole kidogo, nimesikia baadae ataanza kukopesha,, inakuja.
Kabeti
This guy is clever
Daah jamaa namkubali Sana
Hiyo application nimeipakua sasahv na ntakua naitumia inshallah
Ni mfano mzuri sana hasa kwetu sisi vijana wenye nia na tamaa ya kufanikiwa.
Kaka Sisi huku Hatuangalii kuwa mtu anapenda kujifunza Tunaangalia Midigrii na Mijipi A tuu hata kama Kichwani hamna Kitu..Kaazi kweli kweli Ndio.utagundua Tofauti ya Civilized na Uncivilized Country il mdogo mdogo tutafika yapo kwa kuchelewaa.
Sisi Ma Rules na Maregulation Kibao Tena Mengi yasio Na Maana kiukweli Japo tukisema utaonekana mpinzani ila ndio ukweli unashindwa namna gani ya kushawishi wawekezaji waje..Kuna jaama Yeye Kawekeza Hapa ila kwa Jinsi anavyopata shida na Hao TRA na Watu wengine Rafiki Zake huwa wakitaka kuja Tz anawambia hata msije nendeni nchi za jirani hii kwa kweli ni Mbaya Sana
hongera Benjamin
Millard una interviews nzuri sanaaa tatizo ni matangazo bro too much. Hata kama ni monetized
Huyu jamaa ni m Tanzania lakini ni ngozi jeupe lazima wawe na maono makubwa m Tanzania hawezi kuhaso namna hii tena hawezi kusema vizuri ili asitokee mtu mwingine asimuige ubarikiwe sana🎉😅
Inspiring
Kwakweli rais Magufuli mpe nafasi huyu kijana uonane nae. Atawakilisha idea nzuri sana kwa ajili ya kupeleka mpele malengo yako. His is a smart guy.
He's very unique...