ELON MUSK apata mtoto wa 12! Hii ndio sababu kwanini anao wengi! Mmoja alijigeuza kuwa mwanamke

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 63

  • @user-nk3dp9cv9c
    @user-nk3dp9cv9c 20 วันที่ผ่านมา +15

    Anastahik pongex ni mfano mzur kwa wenginee, kuzaa n jambo zur Mana hatujui yupi anaekusaidia 🎉 nampongeza kwa kwelii

    • @asiliyetuonlinetv5063
      @asiliyetuonlinetv5063 15 วันที่ผ่านมา

      Point ni kumpongeza 🎉🎉 tu ila kusema ya kwamba hujui ni yupi atakae kusaidia Mimi binafsi huwa siungi mkono kabisa hiyo hoja,jamani kuzaa sio bahati mbaya hivyo mtoto yeyote tu atakuwa msaada kwako endapo umemjengea mazingira wezeshi na sio kusubiri eti apate Mara bahati achukuliwe na litajiri au limama limpende limrithishe Mali hizo ni stori tu za bongo movies.,hivyo jua ukizaa wengi uwe na uwezo wa kuwapa mahitaji yote. I mean basic needs.

    • @joozeycraft2361
      @joozeycraft2361 4 วันที่ผ่านมา +1

      Usiwahi zaa mtoto kwa kutegemea akusaidie badaye,zaa umpe malezi ajisaidie mwenyewe.

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 20 วันที่ผ่านมา +11

    Tumeacha kutumia wakunga wetu ambao walifanya mama na bibi zetu kujifungua watoto wengi bila tatizo lakini baada ya kuondoa wakunga upasuaji umezidi hii Inamaana gani KWAMBA tumepata MAENDELEO au tumerudiahwa nyuma Kwa maksudi na watu wenye Nia ovu na AFRIKA YETU,tutafakari Kwa kina ili kunusuru mataifa yetu.

    • @user-uo8xw9kr4b
      @user-uo8xw9kr4b 20 วันที่ผ่านมา +2

      Wazungu hiyo nibiashara wanauza vifaa tiba vyoa ss wenyew hatujielew twafata mkumbo tu.

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 20 วันที่ผ่านมา +1

      Yeah it's so sad bro.

    • @JamaliAbdallah-mv6hp
      @JamaliAbdallah-mv6hp 18 วันที่ผ่านมา +1

      Umenena vema

  • @user-rw3dn7hs1g
    @user-rw3dn7hs1g 20 วันที่ผ่านมา +10

    napendasana kuwafatilia kilasiku

  • @SaraphinaKidoti-qe7gi
    @SaraphinaKidoti-qe7gi 20 วันที่ผ่านมา +12

    Ata mm nikiwa na hela ntazaa watoto weengi sn

    • @alphadreammedia
      @alphadreammedia 20 วันที่ผ่านมา +2

      Weeeee Mungu unampangia kumbe Hadi upate pesa ndipo uzae kama kweli unataka hivyo usimpangia MUNGU Hadi upate pesa.

    • @jumamussantuiche
      @jumamussantuiche 15 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@alphadreammediasio mpaka pesa.zaa kwa ajili ya kujaza ulimwengu.

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 20 วันที่ผ่านมา +8

    Vijan naomba tuzae watoto wengi kama China na India maana Uchumi unahitaji watu. Hasara ya kuzaa watoto wachache yanakuwa majinga hayapambani yanajua yataachiwa Mirathi ila wakiwa wengi wanapeana challenge

    • @mpjozzegalvanize4926
      @mpjozzegalvanize4926 20 วันที่ผ่านมา +1

      Kweli kabisa mkuu

    • @hajimlaponi1900
      @hajimlaponi1900 20 วันที่ผ่านมา

      Shida sio,,,,, kuzaaa shida,,,,, kuwalea broo

    • @waziriwafedha
      @waziriwafedha 6 วันที่ผ่านมา

      The more the population the higher the probability of having geniuses in your country. The genius become leaders and change the economy

  • @Mwachuomo
    @Mwachuomo 20 วันที่ผ่านมา +11

    Pamoja ally masubi

  • @husseinothman1257
    @husseinothman1257 20 วันที่ผ่านมา +2

    Kwa nia yake nzuri na hii dunia, Allah anamjaalia hao pacha.

  • @asambakanyalusambya249
    @asambakanyalusambya249 20 วันที่ผ่านมา +4

    Watu wazaane tu kwa wingi

  • @12345678938129
    @12345678938129 20 วันที่ผ่านมา +3

    Elon Musk na Nick Canon wameenda sare. Nick Cannon ana 12 naye pia

  • @joozeycraft2361
    @joozeycraft2361 4 วันที่ผ่านมา

    Ndio,tunafaa kuzaa kimpango hasa africa,kwasababu maisha imekuwa ghali,masomo bora ni gharama pia ikizingatiwa wengi wetu hatukuw na fursa ya elimu ya juu kisa karo,sembuse uwazae 20....jaribu utatusimulia baadae.

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 20 วันที่ผ่านมา +5

    Kwa kweli kutokana na technogia si jambo la kawaida lazima kuna Masada wa madawa yanayofanya hivyo.. Mfano dar pale ubungo plaza kuna herbal clinic ambayo wana dawa hizo za kupata mapacha

    • @aishakhamis2996
      @aishakhamis2996 20 วันที่ผ่านมา

      Please my friend nimfahamishe vizur nataka niende nipate awo mapacha...

    • @mtzhalisi2232
      @mtzhalisi2232 20 วันที่ผ่านมา

      @@aishakhamis2996 M TZ halisi

    • @user-uo8xw9kr4b
      @user-uo8xw9kr4b 20 วันที่ผ่านมา

      Mm nna mama angu mdogo yuko kijijin huko hajui lolote kazaa pacha mimba 5 zote.

    • @mtzhalisi2232
      @mtzhalisi2232 20 วันที่ผ่านมา

      @@user-uo8xw9kr4b inawezekana kabisa Hilo.. Ila huyu boss kuzaa nawanawake tofauti lakini wanatoka mapacha hapo wasiwasi unaanza

  • @beingothman
    @beingothman 20 วันที่ผ่านมา +2

    Kashauga umasikini huyo girlfriend wake

  • @yama_virginhairthequeen1065
    @yama_virginhairthequeen1065 6 วันที่ผ่านมา

    Mwenye pesa zake afyatue tuuuu🎉🎉🎉 pesa ya generation wealth ipo😂😂😂 Sasa ww Jin change kuzaa 😮😮😮

  • @user-lk9rh5xp4u
    @user-lk9rh5xp4u 20 วันที่ผ่านมา

    Wanaumeee

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 20 วันที่ผ่านมา

    👍✌️👊.

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 20 วันที่ผ่านมา +1

    Mimi adi mayai yawe viza ndio basi mungu akiamua kukupa mapacha anakupa tu mapacha kuna mwanamke uganda amezaa mapacha mara 6 mbona hamsgangai nyooo adi anaomba masaada asaidiwe chakula😂😂😂😂

  • @francomwacha2262
    @francomwacha2262 20 วันที่ผ่านมา +3

    Nawafuatilieni sana sns mm ni sehem ya hii family.. ali natamani utuweke wazi kuhusu majibu juu ya huyo mwamba kuzaa malacha mfululizo ametumia njia gani?

    • @khamsjabdullah691
      @khamsjabdullah691 20 วันที่ผ่านมา

      Ni sahihi tupate majibu ya ali masubi ndio tulinganishe na yetu

  • @Manyara-Jr
    @Manyara-Jr 20 วันที่ผ่านมา +1

    TAJIRI NA MALI ZAKE MASIKINI NA WATOTO WAKE.. MHH KUNA MAHALI WAHENGA WALITELEZA

    • @saadabakar7750
      @saadabakar7750 20 วันที่ผ่านมา

      Yeye kabarikiwa vyote ,MashaAllah

  • @benoseaone
    @benoseaone 20 วันที่ผ่านมา +1

    Ninahitaji nipate watoto 22

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 20 วันที่ผ่านมา

    Hiyo ni kawaida tu na kujaaliwa kupata pacha ata uowe mke gani. Me nipo na sster wangu ameolewa na mme wa mwanzo amepata mapacha na ameolewa na mme wa pili amepata mapacha tena yupo Tz watto wte wako chuo saiv

  • @jumashedafa
    @jumashedafa 20 วันที่ผ่านมา +2

    Genetics ukirud nyuma ktk familia yao au huend ata kwa baadh ya hao wanawake wana vinasaba vya mapacha

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 20 วันที่ผ่านมา

      Naa pills improvisation.

    • @jumashedafa
      @jumashedafa 20 วันที่ผ่านมา

      @@thefactbook...1607 hili cjawah kujua kama linafanyika

  • @nellymtambo8432
    @nellymtambo8432 19 วันที่ผ่านมา

    Elon Musk 👌❤️😘

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 20 วันที่ผ่านมา +7

    Kuzaliana ndio mpango mzima hata watoto 20 poa tu

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 20 วันที่ผ่านมา +1

      Kabsa yni raha tu❤

    • @DafiMohamed-dz8xk
      @DafiMohamed-dz8xk 20 วันที่ผ่านมา

      @@azizayassin3623 ndio maana mungu ndio anataka hivyo

  • @sayokahwege2520
    @sayokahwege2520 20 วันที่ผ่านมา

    Hali ya kawaida kabisa

  • @AmaniKizinga-ew9mk
    @AmaniKizinga-ew9mk 20 วันที่ผ่านมา

    Kwanini mmoja awe mwanamke,, Jesus is coming soon.

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 19 วันที่ผ่านมา

    Nikiwa na hela hivi nazaa na dar nzima😎

  • @user-eg1ts2fu9z
    @user-eg1ts2fu9z 19 วันที่ผ่านมา

    sitaki kuamini ni hali ya kawada

  • @MrAslan47
    @MrAslan47 20 วันที่ผ่านมา

    planning family 👪 kwazungu none respect ila f**n dram wanatuletey sis damn

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 20 วันที่ผ่านมา +8

    Mama yangu ametuzaa 10 na yuko freshi kabisa

    • @saadabakar7750
      @saadabakar7750 20 วันที่ผ่านมา +1

      MashaAllah

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 20 วันที่ผ่านมา

      Mungu azidi kumpa Afya na umri mrefu❤❤❤ Ameen

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 14 วันที่ผ่านมา

      Halafu na wote hamna pesa? Zaa kutokana na kipato chako, kama pesa unazo zaa hata 100 ila kama msakatonge, kadiria tu ili uweze kuwatunza.

  • @salehkhalfan7345
    @salehkhalfan7345 20 วันที่ผ่านมา +3

    Watt wa 12 halaf wanawaambia wenzao waoane jinsia 1

    • @user-uo8xw9kr4b
      @user-uo8xw9kr4b 20 วันที่ผ่านมา

      Ndio mjitafakar

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 20 วันที่ผ่านมา

      Huyo msouth Afrika sio mzungu og

    • @salimali-rf9er
      @salimali-rf9er 20 วันที่ผ่านมา

      ​@@atutweve4160msouth africa na ni myahudi

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 20 วันที่ผ่านมา

      Elon anavinasaba vya Africa si mzungu

  • @amemasudi5735
    @amemasudi5735 19 วันที่ผ่านมา +1

    Ss hao wazungu wanaosema tuache kuzaa sana mbona huyu hawamwambii wajinga sna hawa

    • @fredducaunt
      @fredducaunt 12 วันที่ผ่านมา

      😂😂wajinga wao au nyie mtakaokubali 😂😂

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 20 วันที่ผ่านมา +1

    Hao ni watoto wa maabara kaka