Point ni kumpongeza 🎉🎉 tu ila kusema ya kwamba hujui ni yupi atakae kusaidia Mimi binafsi huwa siungi mkono kabisa hiyo hoja,jamani kuzaa sio bahati mbaya hivyo mtoto yeyote tu atakuwa msaada kwako endapo umemjengea mazingira wezeshi na sio kusubiri eti apate Mara bahati achukuliwe na litajiri au limama limpende limrithishe Mali hizo ni stori tu za bongo movies.,hivyo jua ukizaa wengi uwe na uwezo wa kuwapa mahitaji yote. I mean basic needs.
Tumeacha kutumia wakunga wetu ambao walifanya mama na bibi zetu kujifungua watoto wengi bila tatizo lakini baada ya kuondoa wakunga upasuaji umezidi hii Inamaana gani KWAMBA tumepata MAENDELEO au tumerudiahwa nyuma Kwa maksudi na watu wenye Nia ovu na AFRIKA YETU,tutafakari Kwa kina ili kunusuru mataifa yetu.
Vijan naomba tuzae watoto wengi kama China na India maana Uchumi unahitaji watu. Hasara ya kuzaa watoto wachache yanakuwa majinga hayapambani yanajua yataachiwa Mirathi ila wakiwa wengi wanapeana challenge
Ndio,tunafaa kuzaa kimpango hasa africa,kwasababu maisha imekuwa ghali,masomo bora ni gharama pia ikizingatiwa wengi wetu hatukuw na fursa ya elimu ya juu kisa karo,sembuse uwazae 20....jaribu utatusimulia baadae.
Kwa kweli kutokana na technogia si jambo la kawaida lazima kuna Masada wa madawa yanayofanya hivyo.. Mfano dar pale ubungo plaza kuna herbal clinic ambayo wana dawa hizo za kupata mapacha
Mimi adi mayai yawe viza ndio basi mungu akiamua kukupa mapacha anakupa tu mapacha kuna mwanamke uganda amezaa mapacha mara 6 mbona hamsgangai nyooo adi anaomba masaada asaidiwe chakula😂😂😂😂
Nawafuatilieni sana sns mm ni sehem ya hii family.. ali natamani utuweke wazi kuhusu majibu juu ya huyo mwamba kuzaa malacha mfululizo ametumia njia gani?
Hiyo ni kawaida tu na kujaaliwa kupata pacha ata uowe mke gani. Me nipo na sster wangu ameolewa na mme wa mwanzo amepata mapacha na ameolewa na mme wa pili amepata mapacha tena yupo Tz watto wte wako chuo saiv
Anastahik pongex ni mfano mzur kwa wenginee, kuzaa n jambo zur Mana hatujui yupi anaekusaidia 🎉 nampongeza kwa kwelii
Point ni kumpongeza 🎉🎉 tu ila kusema ya kwamba hujui ni yupi atakae kusaidia Mimi binafsi huwa siungi mkono kabisa hiyo hoja,jamani kuzaa sio bahati mbaya hivyo mtoto yeyote tu atakuwa msaada kwako endapo umemjengea mazingira wezeshi na sio kusubiri eti apate Mara bahati achukuliwe na litajiri au limama limpende limrithishe Mali hizo ni stori tu za bongo movies.,hivyo jua ukizaa wengi uwe na uwezo wa kuwapa mahitaji yote. I mean basic needs.
Usiwahi zaa mtoto kwa kutegemea akusaidie badaye,zaa umpe malezi ajisaidie mwenyewe.
Tumeacha kutumia wakunga wetu ambao walifanya mama na bibi zetu kujifungua watoto wengi bila tatizo lakini baada ya kuondoa wakunga upasuaji umezidi hii Inamaana gani KWAMBA tumepata MAENDELEO au tumerudiahwa nyuma Kwa maksudi na watu wenye Nia ovu na AFRIKA YETU,tutafakari Kwa kina ili kunusuru mataifa yetu.
Wazungu hiyo nibiashara wanauza vifaa tiba vyoa ss wenyew hatujielew twafata mkumbo tu.
Yeah it's so sad bro.
Umenena vema
napendasana kuwafatilia kilasiku
Ata mm nikiwa na hela ntazaa watoto weengi sn
Weeeee Mungu unampangia kumbe Hadi upate pesa ndipo uzae kama kweli unataka hivyo usimpangia MUNGU Hadi upate pesa.
@@alphadreammediasio mpaka pesa.zaa kwa ajili ya kujaza ulimwengu.
Vijan naomba tuzae watoto wengi kama China na India maana Uchumi unahitaji watu. Hasara ya kuzaa watoto wachache yanakuwa majinga hayapambani yanajua yataachiwa Mirathi ila wakiwa wengi wanapeana challenge
Kweli kabisa mkuu
Shida sio,,,,, kuzaaa shida,,,,, kuwalea broo
The more the population the higher the probability of having geniuses in your country. The genius become leaders and change the economy
Pamoja ally masubi
Kwa nia yake nzuri na hii dunia, Allah anamjaalia hao pacha.
Watu wazaane tu kwa wingi
Elon Musk na Nick Canon wameenda sare. Nick Cannon ana 12 naye pia
Ndio,tunafaa kuzaa kimpango hasa africa,kwasababu maisha imekuwa ghali,masomo bora ni gharama pia ikizingatiwa wengi wetu hatukuw na fursa ya elimu ya juu kisa karo,sembuse uwazae 20....jaribu utatusimulia baadae.
Kwa kweli kutokana na technogia si jambo la kawaida lazima kuna Masada wa madawa yanayofanya hivyo.. Mfano dar pale ubungo plaza kuna herbal clinic ambayo wana dawa hizo za kupata mapacha
Please my friend nimfahamishe vizur nataka niende nipate awo mapacha...
@@aishakhamis2996 M TZ halisi
Mm nna mama angu mdogo yuko kijijin huko hajui lolote kazaa pacha mimba 5 zote.
@@user-uo8xw9kr4b inawezekana kabisa Hilo.. Ila huyu boss kuzaa nawanawake tofauti lakini wanatoka mapacha hapo wasiwasi unaanza
Kashauga umasikini huyo girlfriend wake
Mwenye pesa zake afyatue tuuuu🎉🎉🎉 pesa ya generation wealth ipo😂😂😂 Sasa ww Jin change kuzaa 😮😮😮
Wanaumeee
👍✌️👊.
Mimi adi mayai yawe viza ndio basi mungu akiamua kukupa mapacha anakupa tu mapacha kuna mwanamke uganda amezaa mapacha mara 6 mbona hamsgangai nyooo adi anaomba masaada asaidiwe chakula😂😂😂😂
Nawafuatilieni sana sns mm ni sehem ya hii family.. ali natamani utuweke wazi kuhusu majibu juu ya huyo mwamba kuzaa malacha mfululizo ametumia njia gani?
Ni sahihi tupate majibu ya ali masubi ndio tulinganishe na yetu
TAJIRI NA MALI ZAKE MASIKINI NA WATOTO WAKE.. MHH KUNA MAHALI WAHENGA WALITELEZA
Yeye kabarikiwa vyote ,MashaAllah
Ninahitaji nipate watoto 22
Hiyo ni kawaida tu na kujaaliwa kupata pacha ata uowe mke gani. Me nipo na sster wangu ameolewa na mme wa mwanzo amepata mapacha na ameolewa na mme wa pili amepata mapacha tena yupo Tz watto wte wako chuo saiv
Genetics ukirud nyuma ktk familia yao au huend ata kwa baadh ya hao wanawake wana vinasaba vya mapacha
Naa pills improvisation.
@@thefactbook...1607 hili cjawah kujua kama linafanyika
Elon Musk 👌❤️😘
Kuzaliana ndio mpango mzima hata watoto 20 poa tu
Kabsa yni raha tu❤
@@azizayassin3623 ndio maana mungu ndio anataka hivyo
Hali ya kawaida kabisa
Kwanini mmoja awe mwanamke,, Jesus is coming soon.
Nikiwa na hela hivi nazaa na dar nzima😎
sitaki kuamini ni hali ya kawada
planning family 👪 kwazungu none respect ila f**n dram wanatuletey sis damn
Mama yangu ametuzaa 10 na yuko freshi kabisa
MashaAllah
Mungu azidi kumpa Afya na umri mrefu❤❤❤ Ameen
Halafu na wote hamna pesa? Zaa kutokana na kipato chako, kama pesa unazo zaa hata 100 ila kama msakatonge, kadiria tu ili uweze kuwatunza.
Watt wa 12 halaf wanawaambia wenzao waoane jinsia 1
Ndio mjitafakar
Huyo msouth Afrika sio mzungu og
@@atutweve4160msouth africa na ni myahudi
Elon anavinasaba vya Africa si mzungu
Ss hao wazungu wanaosema tuache kuzaa sana mbona huyu hawamwambii wajinga sna hawa
😂😂wajinga wao au nyie mtakaokubali 😂😂
Hao ni watoto wa maabara kaka