Binafs nimejikuta nimetoka.na machozi Sana nimekumbuka hatari rais magufur namuona mama anajikuta ana kaz kubwa ya kurudisha iman na upendo uke Ambao tulihis baada ya kifo chake tusingeyaona haya
Maashallah Nakukubali sana mama Ila mm naona mama utumie salamu ya Allah itampendeza Allah Amani ya Allah huwaenea walio waislam na wasio waislam. Mkubwa amkumbusha mdogo na mdogo amkubusha mkubwa Samahani mama yetu nakukumbusha tu na isijeeleweka namfundisha rais.
Wamachinga tunawapenda sana mnaturaisishia bidhaa kua raisi sana ila tufuate taratibu ili mambo yaende vzr ndugu zetu msije mkaraumu mkuu wa mkoa Amosi Makala ilo agizo kutoka kwa Raisi kama tunampenda kweli na tunamueshim sana tutii maagizo atakayokuja nayo mkuu wa mkoa Amosi Makala tusiwe na fujo kila la kheri wafanya biashara wadogo wadogo mungu awabariki sana🙏🙏
Ulisema wewe na JPM nikitu kimoja sasa Mimi nilikuwa nasubiri vitendotu. Hongera Mama endelea kutembea kufikia sehemu husika ili ujionee mwenyewe na ujue nijinsi gani utashugulikia.
hapangiwi kwa kuanzia popote pale ni sawa,mlisema asikae ofisini aje kwa wananchi,,ameanza kwenda kwa wananchi mnasema angeanza bot au bandarini "nonsense" bandarini alimuagiza wazir mkuu na ameshaenda na rais alishapata feedback
@@user-oq3dd5xj9m kwahiyo wewe kwa ujahili wako na ujinga uliotopea unafikiri rais hawezi kujua mapato yanayoingia kupitia bandari au sehemu yoyote mpaka aende huko,kwani akienda anauliza watendaji waliokabadhiwa dhamana hiyo au yeye mwenyewe anakaa kwenye system na kuanza kukokotoa mahesabu? tambua kuwa rais akitaka taarifa yoyote na kwa muda wowote hana sababu ya kwenda sehemu yoyote ili kupata anachohitaji,bali kitamfikia popote alipo ikiwa anahitaji ndio maana ya neno rais na amiri jeshi mkuu,vyombo vyote na wizara zote vipo chini yake anapata taarifa za nchi muda wote,
Mm niseme ukweli Mama umemfufua MAGUFULI kweli. Pamoja na changamoto za wafanya biashara wadogo bado naomba wasibugudhiwe Kama Baba yt hayati MAGUFULI.
Maandiko yanasema,jisaidie naye atakusaidia.Sasa ww hata lililo ndani ya uwezo wako unataka Mungu akusaidie.?Eti unataka kufaulu mtihani halafu husomi.Unategemea Mungu akusaidie.Duuuh.
Kwakuwa hujataka kuchukua tahadhari! Israel - taifa teule la Mungu limewachanja watu wake dhidi ya COVID-19. Saudi Arabia vile vile imechanja watu wake. Sijui kama kuna taifa teule lingine la Mungu.? Mama anaonyesha njia tu- huo ndio ukweli
Alikuwa powerful KWA tumbua tumbua zake hakupata heshima ya dhati zaidi ya woga amewatesa wananchi waliokosa amani na tabasamu ndani yanchi unamsifi butruhuru utu wa ulitoweika unamsifi ukiukaji wa katiba na kuwatesa watu wako wapi WATU WASIOJULIKANA?
@@issanjinjo38 kwani !!!, Wakati alipokuwa hai rais magufuli, huyu mama ambae ndie rais alikuwa wapi?. Tunavyojua yeye ndie alikuwa mshauri wake mkuu katika utekelezaji sera zao. Sasa unapomsifia na kumkandamiza hayati magufuli hapo bado sijakuelewa. Magufuli ni wazi kabisa alikuwa mzalendo na alikuwa akipenda maendeleo tena kwa vitendo. Tumpe mda tu huyu rais wetu wa sasa labda mambo yanaweza kuwa sawa.
Nduguzangu kumsifia mke ulomuacha au alokufa mbele ya ulienae sasa nikumdharau aliepo Usmsifie mbele yake baki nayo moyoni Kwahio nakuombeni dhibitini hisia zenu kujenga amani ya nchi Sababu tumpende aliepo Alokuwa hayupo mda wake umepita nadhani mnaonesha dharau kwa mamaetu sisi vipenzi vyake tupo tutamsemea na hapo tutaanza kutengeneza makundi
Hii ndio maana ya siasa wanazidi kutufanya wajinga,wizara ya fedha kuna aibu kubwa sana ya ubadhilifu wa fedha anafanya ziara za kushtukiza ili zi trend kutusahaulisha hoja za kimsingi,tunapiga kwata kwenye upepo hakuna tunapoenda watu wanalindana,kuna kazi za kufanya waziri wa TAMISEMI na sio rais ,taifa linapigwa
@@salimsaid7200 shida dicteta wao kawakaririsha ujinga mpaka wanaboa yani, ukiwasikiliza tm.chato wanamauzii! Wanamihahooo! kama wamelazimishwa kuvaa barakoa vile!
Mama umenyamaza watu wameshaanza kupiga kila kona. Mipakani madakitari wanaohusika na corona wapiga wanainchi wanawapamasharti magumu na garama kubwa ya kupima corona kumbe wanatengeneza mazingira ya kula lushwa mama amka watu wanakuona umelala na wanaona kama umedandia uraisi mama nyosha inchi watanzania huwa hawaishi kujalibu wakiona mmoja kapinda mgongo ndiyo mambo yananyoka
Mimi sina Rais Zaidi ya Mama Samia ndio Mungu ametupa,Mungu hana upendeleo humpa yeyote amtakaye..big up Mh.Rais
Wewe umenena vema
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Binafs nimejikuta nimetoka.na machozi Sana nimekumbuka hatari rais magufur namuona mama anajikuta ana kaz kubwa ya kurudisha iman na upendo uke Ambao tulihis baada ya kifo chake tusingeyaona haya
Allah akujalie heri rais wetu akupe na mguvu afia njema🌻🌻🌻🌻🌻🌻
Maashallah
Nakukubali sana mama
Ila mm naona mama utumie salamu ya Allah itampendeza Allah
Amani ya Allah huwaenea walio waislam na wasio waislam.
Mkubwa amkumbusha mdogo na mdogo amkubusha mkubwa
Samahani mama yetu nakukumbusha tu na isijeeleweka namfundisha rais.
Mim namkumbuka magufuli kila siku kwakweri hakuna wa kumfikia hata kidog pumzika kwa amani baba maan ungekwepo ungewatumbuwa wote
Hata kikwete hakuna wa kumfikia kila kiongoz na uongoz wk
Furaha yako n kuona watu wanapoteza kazi , very sad
Jitambue weyeee Acha kukalilishwa, yani nyinyi tm chato mna mihahoo, lazima mkubari hii Ni awamu ya sita halafu kila zama na mtume wake
ungekuwa wewe umetumbuliwa ungefanya nini.tupendaneni jameni
Jembe letu la chato jamoni linge kuwepo!!!
Wamachinga tunawapenda sana mnaturaisishia bidhaa kua raisi sana ila tufuate taratibu ili mambo yaende vzr ndugu zetu msije mkaraumu mkuu wa mkoa Amosi Makala ilo agizo kutoka kwa Raisi kama tunampenda kweli na tunamueshim sana tutii maagizo atakayokuja nayo mkuu wa mkoa Amosi Makala tusiwe na fujo kila la kheri wafanya biashara wadogo wadogo mungu awabariki sana🙏🙏
Njoo na huku Kilimanjaro "Moshi mjini" wajasiliamali wanajambo lao
Mama TANZANIA tunataka tujue makusanyo ya mwez mama
Angekuwepo angesolve papo hapo. Haina haja ya kukaa. Pumzika kwa Amani JEMEDARI WETU.
Live na kile unacho, Mungu anamipango yake, wakati wa mangu kapita! tukubali tu!
Sawa mama haya ndio mambo watanzania ndio wanataka.Nenda mama nenda wewe ndio tegemeo lao na letu
Ulisema wewe na JPM nikitu kimoja sasa Mimi nilikuwa nasubiri vitendotu. Hongera Mama endelea kutembea kufikia sehemu husika ili ujionee mwenyewe na ujue nijinsi gani utashugulikia.
Mashallah inapendeza sana kwenda kusikiliza kero za wananchi alhamdulillahi allah ametuzawadiya zawadi ya viongozi wazuri
Mama wakutengenezee kifungo tu hapo mbele ktk koti lako, linakusumbua nasisi hatutaki usumbuke....
Thanks for the good work madam president to the citizens
Mama hayo mabarakoa ya nini sasa???? Mnatutia uogaa wakati sisi hatuna uoga tena
huyo mama yuajua afanyalo, ukitaka pia wewe kavae
Dunia inataka corona....
Weye naniiiii ukatae hata ungekuwe weye ndo yeye ungefanya nini??
kwani umelasimishwa kuvaa.anavaa kwa maslahi yake.nani waja hiyo
Ameivaa ki makosa. Pua yote iko nje, sasa ya nini?
@@sankofaman4112 umeona ee.
Nice one..oh wow !..👍🇹🇿❤️🌴
Kazi iendelee... Big up Rais Samia... Mama Mama Mama!!! 😂😂😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mungu AKUONGOZE KTK jina la Yesu🙏
Mamaetu muislam
Usimuombee kwa yesu
Sisi waislam itakadi yetu yesu ni mtume
hongera sana mama kazi iendeleee
R.I.POWER MAGUFULI WETU TUTAKUKUMBUKA MIASHA.
Sisi tushasahau hizo shida
@@abdulkareemseif1892 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤝🤝🤝🤝🤲
Mama barakoa ya nni siuvui
kupigiwa makofi haiongezi uchumi.Nenda kule wanakopiga mabilioni achana na wananchi wa chini.
Angeenda kule bado ungelalamika haendi kwa wananchi wa chini!! tunachojua kuwa ni kazi ngumu kumridhisha mwanadamu!!
mama tumekusikia lakini nyie wa barabarani nahisi muandae maeneo mengine, mazingira yanatengenezwa siku zinahesabika zakuwepo maeneo hayo. RIP JPM.
Tunakupongeza Mama Samia, lakini bado uhitaji wa miundo Mbinu kwa wauzaji wadogo barabarani unahitajika sana kwani kwa sasa ni vurugu mechi tupu mama.
unazuga tu mama nchi inaliwa hii
nenda na wewe ukaliwe laaaan wewe
Tujlijua tuuu daa,, R.I.P jpm
Mungu akusimamie Mama kazi na inderee
Mama peke yake ndio anaweza kufua nguo za muhindi ilmradi wanae wapate kushiba, we loves mama.
Ww kelele hata kina baba WANAWEZA kugonga kokoto pesa yote wanaancha nyumbani anaenda kazini na nauli tu akipata balaa njiani imekua kwake
Naona wembe ni ule ule Mama Mungu akubariki
Fanya kwa nafasi yako mama Daima Magu alikuwa wa aina yake R.I.P magufuri
Wame vaa Barakoa zao Kama waganga wa Kienyeji. Waone kwanza
Usitushughulishe Bana
Kwendraaa
USHA SEMA ZAO TULIA UPIMWE MPASUKO.
Nice samia
Mama wewe ni mtu wa watu unatutembelea hata sisi Aksante Sana mama.
Mungu akulinde mama yetu
Mama yan utembee had mahosptln sio nje ya nchi tuu mama yetu pambana ivo ivo tunateseka
Saf Sana Mama nimeanza kukuelewa ALLAH akulinde 🙏🙏🙏🙏
I thought you'll go BOT or TPA... How much revenue's coming there?
hapangiwi kwa kuanzia popote pale ni sawa,mlisema asikae ofisini aje kwa wananchi,,ameanza kwenda kwa wananchi mnasema angeanza bot au bandarini "nonsense" bandarini alimuagiza wazir mkuu na ameshaenda na rais alishapata feedback
YOU are FOOLISH. She's the President; you can not dictate to her what and Where to go.
@@abdulkatalango2890 you don't get my point and you know absolutely nothing. I wish you could
@@user-oq3dd5xj9m kwahiyo wewe kwa ujahili wako na ujinga uliotopea unafikiri rais hawezi kujua mapato yanayoingia kupitia bandari au sehemu yoyote mpaka aende huko,kwani akienda anauliza watendaji waliokabadhiwa dhamana hiyo au yeye mwenyewe anakaa kwenye system na kuanza kukokotoa mahesabu? tambua kuwa rais akitaka taarifa yoyote na kwa muda wowote hana sababu ya kwenda sehemu yoyote ili kupata anachohitaji,bali kitamfikia popote alipo ikiwa anahitaji ndio maana ya neno rais na amiri jeshi mkuu,vyombo vyote na wizara zote vipo chini yake anapata taarifa za nchi muda wote,
@@abdulkatalango2890 yes cos she hasn't got a clue what's going on
Waliosema watanzania atukuelewi naona wameona Sasa kuwa sisi tumekuelewa
Kazi iendelee Mama yangu
Piga kazi mama
God bless Tanzania 🙏
Daaah watanzania jamani (r I p mag u)
Noma
Mungu.ndo.kila.kitu
I LOVE YOU MAMA MUNGU AKUBARIKI 💖
Mm niseme ukweli Mama umemfufua MAGUFULI kweli. Pamoja na changamoto za wafanya biashara wadogo bado naomba wasibugudhiwe Kama Baba yt hayati MAGUFULI.
Hizo balakoa jamaa hata akiongea huyo raisi. Kwanza najiuliza anajisikia yeye kava balakoa wananchi hawajavaa. Samia hana imani na mungu aliye muumba.
Maandiko yanasema,jisaidie naye atakusaidia.Sasa ww hata lililo ndani ya uwezo wako unataka Mungu akusaidie.?Eti unataka kufaulu mtihani halafu husomi.Unategemea Mungu akusaidie.Duuuh.
@@yakobokuzenza6837 Acha uongo wewe hayo mafundisho ya mashetani.
Hajiamini huyo anapelekwa pelekwa Kama upepeo
Huna akili wewe
HATA WEWE HUMWAMINI
hii nimeipenda enderea hivyohvyo mama
mabarakoa ya nini? nonsense
Hakika mama anaboa hatukuzoea balakoa
Ujinga huo!
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏
Akitoka hapa anaenda kufanya uteuzi na wakati miradi inakwama
Mbona hawaimizi watu wafanye kazi kwa bidii wanaangalia kufukuza watu tuu
UMESIKIA KUNA MTU KAFUKUZWA.
@@salimsaid7200 hapo lazima tu watu watafukuzwa kuna dalili zote
Hujasikia aliposema nawasalimu kwa salamu ya jamhuri,,watu wakaitikia kazi iendelee au ww unataka kazi gani
Barakoa Ni za Nini sasa
Unaposifia chakula cha jana maana yake ni kukidharau chaleo
Mungu anatutaka tuwaheshimu viongozi wetu
Huyu mbona anapita tu haulizi shida za wananchi wake??? Halaf hilo libarakoa lanini?
Unataka aulize mara ngapi huyo ni raisi
nenda ukaulize wewe
Usiwe mtu wa kufanya kwa matukio au kwa mtu mmoja mmoja
@@sarahnyambaka5885 😁
Ame changanyikiwa huyu mama. Ame ambiwa ajikoshe kihivyo Labda Wananchi Wapumbavu wata mshangiliaaa
Furaha imerudi
kweli gharama zingine serikali angalieni namna ya kumsaidia mwananchi
Watanzania asa mshangilia banacoa huyu atawauwa na corona
wewe ushawahi kufa
Utakufa wew bwege
Kwendraaaa
Eti amevaa balakoa mmmmmh huuu ni mtihani huu cjui tutauvuka lini daaaah mungu wetu tusaidie
nenda pia nawe uvae si mjinga yeye kuvaa barakoa yuajua afanyalo, ukitaka pia wewe kavae
amina
Jee Tanzania ni Kisiwa na inchi zote zingine ndio wasivae barakoa
Una wivu tu.Sioni hata unachokilalamikia hapo.
@@yakobokuzenza6837 Ama kweli kwenye msafala wa kenge na mijusi pia ipo mmmmmh
NANI KAMA MAMA??ALHAMNDULILAH.PROUD TO B MAMA.
Huyu mama kila siku barakoa anatutisha sana mi simuelewi
nenda pia uvae, yuajua afanyacho
Jamani toa ajira za waalim nyingi Kama ulivyotoa za idara ya afya ndipo tutajuwa wewe ni mchapa kazi
Kwakuwa hujataka kuchukua tahadhari! Israel - taifa teule la Mungu limewachanja watu wake dhidi ya COVID-19. Saudi Arabia vile vile imechanja watu wake. Sijui kama kuna taifa teule lingine la Mungu.? Mama anaonyesha njia tu- huo ndio ukweli
Barakoa tutavaa tu wacha ushamba
Kweli huyu Mama ni Magufuli kweeliii!!!
Tuseme ukweli tu rais magufuli alikuwa ni rais . He was very powerful man to his people.
Alikuwa powerful KWA tumbua tumbua zake hakupata heshima ya dhati zaidi ya woga amewatesa wananchi waliokosa amani na tabasamu ndani yanchi unamsifi butruhuru utu wa ulitoweika unamsifi ukiukaji wa katiba na kuwatesa watu wako wapi WATU WASIOJULIKANA?
@@issanjinjo38 kwani !!!, Wakati alipokuwa hai rais magufuli, huyu mama ambae ndie rais alikuwa wapi?. Tunavyojua yeye ndie alikuwa mshauri wake mkuu katika utekelezaji sera zao. Sasa unapomsifia na kumkandamiza hayati magufuli hapo bado sijakuelewa. Magufuli ni wazi kabisa alikuwa mzalendo na alikuwa akipenda maendeleo tena kwa vitendo. Tumpe mda tu huyu rais wetu wa sasa labda mambo yanaweza kuwa sawa.
Ameshitukiza na mabango yameandikwa saa ngapi?
Mbona kwa jiwe ilikua hvyo hvyo
Ww watu wapo faster
KWANI WEWE ULIKUWA UNAZIJUWA KABLA.
Duuuu kwenye barakoa hpo jmn ktiana hof tuuuu kwa kweli aya bhn mung tsaidie
Mungu amusimamie akupe nguvu na azidi kukupa hekma ya kutatua matatizo ya watanzania we love you mama Soo much stay blessed
Sikilizaga mama ukaziba uwo mdomo na iyo pua kunatutia woga na suwe wengine
Mama askie kilio cha wananchi
Ziara ya matumaini
Nduguzangu kumsifia mke ulomuacha au alokufa mbele ya ulienae sasa nikumdharau aliepo
Usmsifie mbele yake baki nayo moyoni
Kwahio nakuombeni dhibitini hisia zenu kujenga amani ya nchi
Sababu tumpende aliepo
Alokuwa hayupo mda wake umepita nadhani mnaonesha dharau kwa mamaetu sisi vipenzi vyake tupo tutamsemea na hapo tutaanza kutengeneza makundi
Jamaji tufanye maombi corona iondoke ikulu
Mtaani je?
TWAKUPENDA ZAIDI NA ZAIDI.
HUNA KIBURI MAMA YETU *** HUNA HASIRA MAMA YETU *** ...✍
Jiji lichukue uongozi au mnaonaje wananchi
Tz viongozi nabalakoa wananchi tumerithi kwa chuma hatuzijui balakoa
Fanya hapo kwa hapo sio mpaka mkakae kikao r.i.p Magu
Hii ndio maana ya siasa wanazidi kutufanya wajinga,wizara ya fedha kuna aibu kubwa sana ya ubadhilifu wa fedha anafanya ziara za kushtukiza ili zi trend kutusahaulisha hoja za kimsingi,tunapiga kwata kwenye upepo hakuna tunapoenda watu wanalindana,kuna kazi za kufanya waziri wa TAMISEMI na sio rais ,taifa linapigwa
HIZO HABARI ZA KUPIGWA PESA ULOZISIKIA TARIFA HIYO ULIPEWA NA JIRANI YAKO AU NA SERIKALI BASI USIPANGE KAZI TULIZA MSHONO.
Thanks
Yaani natamani aongee na uongozi wa bandari, tra, benki kuu, immigrartion, wizara ya utalii etc. Huku kunanyooka tu ni samaki wadogo sana hawa
Immigration haswaa balaa liko huko
Duh
Safi Raisi nyayo za JPM
Kweli mama wasaidie
Sasaivi hatuliii ili tusaidiwe Bali tuna fanya kazi kwa bidii ili tuonekane kupitia juhudi na sio vilio 🤣🤣🤣🤣🏃🏃🏃
FANYA KAZI UNALIA ILI IWEJE.
Nazani kwasasa umeanza kutufuta machozi kidogo kidogo tutafika haya ndio tuliyazoea kwa baba yetu jitahidi bandarini,tra,ufike
Mama tunamatumaini nawewe
Mabango yetu hajayaona mbona hatahagusii
Huyu Mama Mheshimiwa Raisi ni zaidi ya Marais wengi Africa#Kazimzuri . Asante sana.
Tena Sana mana anabusara hatumii nguvu
Mpumbavu mmoja tu
@@fransavinhonacmela827 Taja yeye usiogope
@@fransavinhonacmela827 MPUMBAVU MAMAKO MUUZA KUMA.
Hakuna kitu hapo jpm hoyeeee
Ongeza sauti... Labda maiti itaamka...
Jpm ameshakufa.Hata umsifie vipi hawezi kurudi
@@j.c.maxima816 😂😂😂😂😂😂
@@yakobokuzenza6837 LABDA MAGU AKIMPELEKEA CHAKULA CHA BURE MAMAKE.
Safi sana
Tume inatohusika na suala moto kariakoo lianze na viongozi walitumbuliwa
Asantee mama
Kuvaa ma barakoa ili mpate msadaa 🤭🤭🤭
BILA BARAKOWA TANZANIA NI NCHI YA KUPEWA MISADA NA MISADA YA CORONA IMELIWA WAKATI WA MAGU WENYEWE WANA ULIZA ZIMEFANYIWA NINI.
@@salimsaid7200 Waambie hao,hawajui kuwa mfalme alikuwa mnafiki mkubwa
@@salimsaid7200 shida dicteta wao kawakaririsha ujinga mpaka wanaboa yani, ukiwasikiliza tm.chato wanamauzii! Wanamihahooo! kama wamelazimishwa kuvaa barakoa vile!
Barakoa zimerudi
zimeanza...
Wapumbavu ndio wana vaa Barakoa ila!!! Wajinga hatuvai. Barakoa.
Kwani #Bibi Corona mshamba wa pemba
@@fransavinhonacmela827 CHOMA MIHOGO MASIKINI WEWE MAITI YA MUMEO IKO CHATO
@@fransavinhonacmela827 Wewe mshamba wa wapi? Mbona mmelewa na ubaguzi jamaani?
Ipo xiku nitaongea...
Mnamuita mama ndo kasha lipua sasa
She is a leader
Umeshaangalia Viungo vya Pilau vipo na ngogwe zipo.Huku Vipi Bandarini.Uhamiaji.airport na muhimbili nakusikilizia Bibi mrembuo...Machimboni je ?
KWANI YEYE MUNGU WA KIBANIYABI ANA MIKONO MINANE AFANYE MAMBO YOTE KWA PAMOJA.
Mama umenyamaza watu wameshaanza kupiga kila kona. Mipakani madakitari wanaohusika na corona wapiga wanainchi wanawapamasharti magumu na garama kubwa ya kupima corona kumbe wanatengeneza mazingira ya kula lushwa mama amka watu wanakuona umelala na wanaona kama umedandia uraisi mama nyosha inchi watanzania huwa hawaishi kujalibu wakiona mmoja kapinda mgongo ndiyo mambo yananyoka
Nice
Big up mama.
Hana hata mvuto huyo mama yenu
Wataka Nini sisi hatuna haja ya mvuto sisi tulitaka kiongozi nasio mtawara na kiongozi tumepata mama la mama
Basi kuwa raisi ww mwenye mvuto
@@yakobokuzenza6837 mkundu wako mweusi
@@mdimimdimi4282 mazezeta ndivyo mlivyo
@@pastornongoli4388 Acha ushoga wewe
Wewe mama barAkoa za nini?
Mawazo yako yamekaa kiutopolo
barakao ni za kuvaa
Kujikinga n muhimu sana
Anapelekwa pelekwa tu.
@@FatmaAli-oy7yu Achaaaaaaaa uongo
Kitu kikiwa hakitoki rohoni kinaonekana tu. Very cheap politics with less information
KWANI MPAKA AFOKE
Shida yako umezoea kufokewa
mm nimekuelewa. Mzee alikua akienda sehem tayari anajua kila kitu na afanye nn yaani anaondoka watu wakishangilia
Tatizo lako wewe umezowea kupelekwa pelekwa, kufokewa, kutukanwa, na ubabe ubabe wa kikoroni, badirika weyeeee dunia nayo inakwenda kasi,
@@pastornongoli4388 pastor ni jina lako au kweli ww ni mchungaji. Bac upastor ni ukoloni ni zao halisi la ukoloni
Nimeanza kukubali kidogo big mama
Mukitaka huyu ndo raisi mukinuna huyu ndo raisi na matusi muache mue na adabu kumtukana huyu ..aheshimiwe
HAO WANAO MTUKANA NI MLAYA NA WATOTO WA MALAYA HAWA TUSHUGULISHI.