Magufuli - Kama kuna kiongozi yeyote maagizo yangu yanamkwamisha aache kazi, atoa kauli ya mwisho
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ธ.ค. 2016
- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli ameonya kuwa kama kuna kiongozi yeyote ambaye hayupo tayari kutekeleza maagizo yake aachie ngazi mara moja na siyo kuendelea kufanya kazi kinyume na maagizo yake.
Kauli hiyo ya Rais Magufuli ni kufuatia baadhi ya Wakuu wa mikoa, Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri kuendelea kuwasumbua wafanya biashara wadogo kwa kuwahamisha maeneo yao wanayofanyia bishara na kuwalekezea maeneo ambayo hayajaandaliwa kwa ajili yao.
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com
#Dar24 #Dar24Media
Duuuh!! Aisee huyu rais wetu alikuwa mtu aisee!! Cjuw kwako mwenzangu!!!
ubarikiwe sana mh' wetu mie nakukubali sana 99%
sema ukweli toka moyo.
naimani mungu yuko pamoja na wewe mh'
Rais wetu tunakuombea kwa Allah akupe Afya njema na Allah akuzidishie huruma kwa wanyonge. Hatuna cha kusema kwa namna unavyotafutia ufumbuzi katika changamoto zinazowahusu wanyonge. Tumekuona Rais kwa mifano jinsi unavyoishi katika kauli na ahadi zako. Kwa kweli tunakuelekezea dua zetu uendelee kututumikia.
Kama kuna kura zakupga ili mtu arudshwe duniani Tanzania ingesimama naingepiga kura hizzo urudi. wewe zaidi nazaidi Mungu akulinde na adhabu zote zakabuini.
Sichoki kusikiliza NASAHA zako! Na hua zinanipa ujasiri mkubwa sana
Kweli kabisa Prince,,hata Mimi kila Mara sichoki kumsikiliza Hayati JPM...
Me pia napenda sana
Asante sana Raisi wangu Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu na akulinde mimi binafsi nakuombea dua la ulinzi kwa ajili yako.mapolisi mzee wanafanya sisi vijana tunaishi kwa shida Hasa kesi za kubambikiwa hasa za biashara ya unga vijana tunakupenda sana ila ilo la kesi la unga kweli tunaumia
Huyu mtu alikuwa very intelligent dah !! Kweli wema hwaishi muda mrefu
This was the true leadership you forever be in our hearts,we loved you Magufuli but God loved you most,,may your soul rest in peace🇹🇿🇰🇪
Kwaukweli Magufuli yuko mbinguni.
Mungu akuweke mahali pema peponi" ww ulitangulia sisi tuko nyuma..nani anamkubali marehemu gonga like nkuoni 2021
Ndio utajua ukitaka kujua tabia ya mtu mpaka apate cheo ama pesa mama samia hapa alikua mnyenyekevu kumbe ni nyoka mkubwa
Da! Yaani huyu jamaa anaongea kutoka ndani ya moyo yani, sio siasa. Jambo hili lizingatiwe milele Tanzania, I’m listening while I’m crying. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa.
Nakukumbuka daima Baba pumzika kwa amani
Umenena kweli mheshimiwa Ndiomaana ulipokuja Tunduma ukiwa waziri wa ujenzi baada Yakushuka kwenyegari nakutembea kwa miguu nilikwambia live kuwa wewe ndie raisi wetu ujaye baada ya kikwete kwa kazi nzuri ukiwa waziri WA ujenzi.penda Sana MAGUFULI mm
Mungu akuludishe baba
baba alikuwa akiongea unatingisha kichwa kuwa u mkalimu kwa wanyonge kumbe ulikuwa shetani wa kuwanyanyasa masikini mungu anakuona we we ulie dikteta was masikini
MUNGU anakuona bro
duuu hakika Leo raisi amezungumza ukweli jamani, congratulations to you ma president
Amen ubarikiwe sana DR MAGUFULI
Tulikuelewa sana mkuu,
I will always remember you sir your soul rest in peace
mungu aiweke roho yako mahali pema 👍👍
Aiseee nadhan soon atatokea mwingine kama wew wale ambao walikusema kwa ubaya nadhan sasa wanakukumbuka pumzika kwa aman
Wa kwanza mume wangu alikua hampendi ila leo anasema yule alikua jembe
Kweli tutakukumbuka kwa mengi mazuri!
Asante sana Rais wangu kwa Uwongozi wako wa haki, Mungu azidi Kukupa uzima Uwendelee Kutuongoza. Lakini pia Mweshimiwa nikuombe jambo moja?
Sitachoka kukulilia hayati Magufuli uliongea ya maana sana baba 😭😭😭😭😭😭😭😫😭😭. Ila tunamwachia Mungu kwa yaliyopo sasa.
Uyu mama alikua mnafiki kwa magu leo kasema awalipi kodi awomachinga sawa mama mungu anakuona
Leadership is a gift from God 🙏 and he is the one to take it too,,,,,RIP MR.PRESIDENT 🇰🇪🇹🇿🇰🇪🇹🇿
Mungu,akupe uzima ,Baba ,,,ili tufike pale unapotaka kutufikisha,
Duh! Kweli mauti imevikwa taji dhidi ya maombi yetu kwako
Daah! Uyu alikua mwamba kwelikweli
R.I.P Sir,You will always be remembered,You have been playing the best always😭
Mwenyezi mungu ailaze roho ya huyu mzee mahari pema peponi
Mungu tunakuomba utulindie huyu rais wetu,anayosema ni kweli kabisa ukikumbuka enzi zile maganzo wachimbaji waliteswa sana na mashamba ni yao. Eti eneo la muwekezaji hii viongozi wabaya ndiyo wanafanya watu waichukie ccm.
Mungu akupe raha ya milele jpm upumzike kwa aman hakika ungetukomboa sana baba basi tu ni siri kubwa mno iliopo kwenye kifo chako
Sitochoka kutizama hutuba zako mana nakuelewaga vizur sana malengo uliokua nayo enzi za uhai wako mwenyez mungu akulehem na akupunguzie azabu za kabuli
Ni Rais tuliopewa na mungu kuwa sauti ya wanyonge.mungu akuzdishie amiri jeshi wetu
Mungu asimamie nawe baba yetu yaani kweli Mungu ametuckiza kilio chetu Mungu akupe uimara zaid rais wa Mimi mnyonge love u sana Mr msukuma uko vzur mmno
Safi sana.....!!!!
You will be remembered for years and years to come. Death is so cruel R.I.P JPM
Sitakusahau Rais wewe upo sahihi asilimia 100%
Safi sana maelekezo ya msingi sana haya mh Rais
Dh Rais wetuu pumzika kwa aman Mungu akupokee vyema😢😰
Nakuelewa balaaah 😍😍😍😍😍😍😀😀😀😀
Baba lait ungejua hao waliokuzunguka hapo ni majini usingeongea nao.maana yute uliyo ongea hapo wenzako wapepindua pindua hovyo hovyo.
Pumzika kwa amani mzee wetu MAGUFULI..nafika Mahala namwaga Machozi kwa ajili yako Pumzika salama MAGUFULI
I support your
Utu, ubinadamu Kama Upo 😂😂😂😂😂 makini Sanaaaaaa
Kifo chako kime pelekea sis tuteseke 😭😭😭
Mama alivyokuw anasikiliza vizuri na kusaport utafikiri anaelewa, kumbe ndo kawa wakwanza kumgeuka na kunyanyasa raia wake😢😢
R.i.p magufuli hakika ulikuwa raisi wa wote😭😭
Bi mkubwa mnafiki sana
Huyu mama mdangaji
mungu akulinde baba.
Mama kwann hufati hizi nyayo za hayati jpm
😢😢😢😢😢😢ipo siku mungu atatupa kama weww
Inshallah
R.I.p my president ❤️❤️❤️❤️❤️
Hayatiii Rip president wetu mungu akulaze pema peponi
Raisi mungu akulinde sikuzote umeonge mpaka nime sikia uchungu moyoni mwanga nauzuni ndani yangu
Daaah utazan mama hakuwa yeye
Allah amjalie kauli thabiti na amrehemu amsamehe madhambi ya Siri na dhahiri kiumbe chake amjalie Pepo yake tukufu
Uyu mama anajifanya anachangia mada kumbe mnafiki mkubwa 😭😭😢
Mungu awape nini watanzania Mungu kawapendelea Rais
Mwenye
Hekima Tunataman awe Rais wa kenya
Kaka David maginga...#
Mwenyezi mungu akutangulie rais wangu magufuli👂👈
Hivi viongozi mlio baki kwanini hamjifunzi toka kwa magufuli wetu?
Asantee sana mhe. Rais ww ndiye Rais halali tuliyekutafuta kwa mda mrefu uongoze Taifa letu, Mungu akulinde daima,!!!
Inauma Ila bas tu
Good. President
Asiekuelewa jua KUNA alivyo...
Siamin km kwel haupo na cc baba mzazi daaaah.......,,
Baba.Mungu akukumbuke,daima,
tutakukumbuka milele watanzania
umefanya kazi muda mfupi 2 tukakupeda sana ila MUNGU kakupeda zaidi
Hili jembe arolitoa uhai mungu atashugulika nae ,Kama ni mungu basi tunashukulu kwake mungu ila ila Kama nihujuma za watu wachache kwa faida zao hiiiiiiii
R.I.P
Tunakukumbuka, najua najua hatutaweza kumpata wa kufanana nawe JPM. Asante kwa Maisha Yako
Aiseee mm naumia Sana Ila kazi ya mungu haina makosa
Mnayaskia hayo
baba mimi uwanakukubari sana lakini nikwambie baba vijijini tunateseka sana kama kijiji mabuye kiko wilaya ya missenyi mkoa wa kagera mtendaji anatunyanyasa sana pamoja na diwani mpka tunakosa maendeleo baba fatiria hili hutapa jibu ahsante baba mpendamaendeleo
watanzania mungu atupe nini? jamani hii ni neema mungu mbariki baba wa wanyonge rais wetu Joseph john pombe magufuri
nimekuelewa sana unkle komaa nao hata ukiwa unabadili wakuu wa mikoa kila baada ya mwaka mmoja watakuelewa tuu nadhani makonda alishakusoma toka mwanzo na baadhi ya wakuu wa mikoa lakini wengine bado sana mkuu
songea pia ongelea Mzee kimya sana
mama samia safi sana 👍👍
Labda kwako ndiyo dole nyamafu wee
Yaani mi sichokagi kumsikiliza mzee wetu Dah, pole kwa kw Tanzania
Hakika tulikuhitaji kwa miaka mingi zaidi.! Mungu akulaze mahali pema peponi
Huyu mama hivi huwa haangalii hizi video
Mungu akupe ekima tuna shukuru umekuja kurudisha jina ya ichietu ilikua tayari inapotea usijali maneno piga kasi weni chaguo lamungu saluti sanah
gud
Daaaa mwamba
great,,
Duh yani uncle Magu nitakukumbuka daima jamani mioyo bado inauma!!R.I.P
R.I.P shujaaa wetuu chuma hakuna kama ww mungu akupunzishe katika pepo la milele rest in peace baba🙏🙏🙏
Rip jpm always we should remember you rest in piece
kweli kabisa
Kpenz tumekumiss sana jaman
Kazi Mhh!! Mhh!! Kama unaelewa unayoambiwa, kumbe hamna kitu.
Aseeee mzee wetu nilikuenda sana ulale salama
R. I. P mwamba hakika tutakukumbuka
MUNGU wangu sifai kukuuliza maswali, Ila kifo cha MAGUFULI watanzania wanyoge imetuumiza tu Sana, 😭 😭😭😭😭😭😭 kwa uyu RAISI wetu MAGUFULI alitujali Sana watanzania bila ya kutubagua,kero zetu aliyasikiliza vyema,tulimwona Kama roho yako MUNGU ikokwake kutuurumia sisi Waafrica,Mpumzishe kwa Amani Raisi wetu kipenzi chetu MAGUFULI 😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏 sitachoka kuziangalia video zako baba JPM
adui akija upande wako mungu amtawaye kwa njia saba uwe salama mikononi mwabwana mungu wako
Sawa baba pumzika kwa aman
Du!! Rip anko
Kizuri hakidumu jamani
Mama kasha kugeuka kwa Sasa pumzika kwa amani JPM
tunaomba mweshimiwa mkurugenzi wa igunga umtimue anatukataza kupaki magari igunga
Daar mzee sasa Mama kaanza kuwatimua machingaa
Mungu mpe pepo yenye heli rais wetu uko aloko
mungu uliye hai tazama mtumishi wako uliye mchangua wewe mikononi mwako atakuwa salama
Ww ndio baba uliotuacha mungu akulaze mahar salam akuondolee hadhabu ya kaburini
A man with no speechless yan kila neno Jiwe@ huwezi futika kwenye vichwa vya Minority people kwa sabbu ww ulikuwa ni Rais wa watu wasiokuwa na sauti kwenye nchi hii, yenye utajiri wa kutupa na umasikini wa kunuka
Naimani Mungu ni kwema kwa kuipendelea nchi yetu Tanzania kwa kutupa Rais mwenye dhamira ya dhat. Uwezo na nia
hiki kichwa huwa nakikubali sana mungu akupe maisha marefu.
Ulikuwa mtu sahihi baba ila mungu amekupenda zaidi
😰😰😰