BREAKING: JPM Awasweka Wenyeviti Ndani Hadharani!
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2018
- BREAKING: JPM Akizungumza Serengeti Muda Huu
Rais Dkt John Magufuli anaendelea na ziara yake ya kukagua na kuzindua miradi mbalimbali inayotekelezwa katika mikoa mbalimbali hapa nchini.
Leo Septemba 06, 2018 , Rais Magufuli ametembelea wilaya ya Serengeti na kusimama barabarani na kuzungumza na wananchi wa eneo hilo na kusikiliza kero zao.
Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe ww.th-cam.com/users/uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Suazi1
/ uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .
Yaan kama unamkubali rais magufuri acha ubishi acha majungu gonga like yako hapa
mheshimiwa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania nakupongeza sana kwa kazi yako nzuri, inatusisimua mno mkuu!
katika maisha yangu niliyoishi Duniani hapa sijapata kuona mfano wako. mwenyezi Mungu akupe ulinzi na akuzidishie maisha marefu Amina
Ndo maana nasema hili jembe lilikuwa wapi? Tz kama tangu awali viongozi wangekuwa wazalendo kama huyu basi ulaya wangekuja kuomba hapa na kwao wasingeona mtz anaomba lakini ndo hivo tena hatukuwa na viongozi wazalendo! yaani Tanzania kwanza.
Yan furaha mpaka choz linanitoka walipoitwa wanafunzi
Sanaaa
Rais wetu oyeeeeeeeee nasema tena oyeeeeeeeeeeee na tena oyeeeeeeeeeee
Shekila Shekila Abudulha 😀😀😀😀😀😀
Mimi sijakuunga mkono bure uwezo wangu wa kuangalia mbali nilikuona mapema na nikaamua kujiunga na ccm kitu ambacho sikuwai kufikiria kwani nilikuona ndio suluhisho la matatizo ya Watanzania. Sijutii kujiuzulu udiwani wangu na ninaamini kwasababu wananchi wangu Ndumet wananiamini wata nirirudisha niendelee kuwatumikia
Kiukweli mm sipendi ccm lkn mzee Magu namkubali sana
Kweli nimekubali raisi sasa tunae anae bisha abishe tu
Hongera sana Rais wetu, haki za watanzania zilipotea kwa viongozi wasio na upendo na nchi yao, Hongera sana JPM
Si vema kuna ofisi na serikali si hipo kazini kumhoji mtu kwenye kadamnasi si haki. Tupe katiba kama unapenda nchi hii .
weka ndani wezi hao wa mali za umma safi sana waziri wa mambo ya ndani piga kazi msaidieni Rais
Mh. Rais anafanya majukumu ambayo wateuzi wake wangepaswa kufanya mapema. Mnamchosha sana MZEE
Yaani mpaka namhurumia Mhe. Rais wetu. Yaani kama vile hana wasaidizi jamani.
Hizi shida zooooteeee zingeweza kabisa kumalizwa wakati wa utawala wa Mkapa na Kikwete. Hivi hizo tawala ziliifanyia nini Tanzaniaaa???? Achilia mbali zile ziara mbalimbali walizokuwa wanazifanya huko Ulaya na Marekani.
Sasa hizo safari zao za Ulaya na Marekani ni kweli walikuwa wanawawakilisha WaTanzania na hasa WaTanzania wanyongee!?????
Hongera mhe, Rais tulisema haya unayoyafanya kuwa utafanya sasa unazidi kudhihirisha tuyokuwa tunatarajia utayafanya wakati wa kampeni Mungu akulinde sisi watanzania tunakuombe sana tunaipenda Tanzania yetu iendelee zaid. Ahsante mkuu wa nchi napia hongera kwa mawaziri pia wanajitahid sana
mungu atakulipa kw yote mema unayo fanya katka nchi hii iliyo porwa Mali zake na mafisadi kwmuda mrfu.
Mzeee magu piga kazi na ccm wanamrto tupo nyuma yako tunakupenda na tunakukaribisha mrto wilayan tarme kemambo PGA kaz mzee magu
Duuuu watapata tabu sana hongera Uncle magu kwa kazi nzuri
Kitu nachokupa sauti hautaki kucheka na mtu anaekula hela za watanzania mungu akulindi na familia yako raisi wetu
Niliwahi kuiombea Tz tupate rais bora Co bora rais naona dua yangu ilifika'Sasa mambo yameiva ona sasa ona.. 😁😁😁😁
Yes
RAIS TUNAE JAMANI MUNGU ASANTE SANA BABA WA MBINGUNI KWA KUTUPA MTEULE TOKA KWAKO. HUYU NO RAIS WA WATANZANIA . HAKUNA MAZOEA HAPA NI KAZI TUUUU.BARIKIWA SANA RAIS MAGUFULI.
hahahhahahaha huuiiii aiseee mm ninacho kijua ukiajiriwa kwenye serekal ya maguful jarib kuuza na karanga au nyanya ili usiegee sana kwenye pesa zinazo tokana na serekali ya maguful utapata tabu saana
unawez kusikia rais anakuja ukasepa mk hii htli 😃😃😂😂
Allah sw akulipe hata sisi wakenya twakusifu
Anko magu nilikuwa siripend lakn ss hv nimelipenda bure
Paul Faustin
.
Paul Faustin ulikuwa chizi sasa umepona.JPM kama ukimchukia ujue unahitaji kumuona daktari wa akili sio bure
NI vibaya kutoa pesa barabarani lakini kwa shida hizi za nchi unalazimika kuwa hivyo. Viongozi walio mashinani ni tatizo. Binti anaonyesha wazi furaha yake.
Magu nomaaaaaaaaaa
Mzee baba mafisadi wakikuona tu kwenye media sikuhizi nasikia wanajikolea😁😁
Njoo mbeya mkuu, huku hali mbaya,
kwli tumepata raisi
kazi nzuri sana rais wetu magufuli. mwenye Mungu akutangulie katika kutekeleza majukumu yako ili watanzania wanyonge wapate nafuu dhidi ya wazembe na wahujumu uchumi.
Pesa zote hzo mshua kununua miwani tu. Safi sana Rais wangu
Tunaomba leo hiii Mkapa na Kikwete waliifanyia nini Tanzania ya wanyonge.
Mbona inavyoonekana walalahoi katika hizo Tawala walitaaabika sana????
HATARI SANA YAAN NINA PATA,RAHA SANA MZEE BABA ANAVYOWAKOKOTA
Pamoja sanaaa
Mhhmhmhmhmh pesa nyingi sana pesa izo
Hi nchi wiz haush jaman
Piga kazi Mr president wa wanyonge
Magufuli hoyeeeee
Ni kwl kbisa wenyeviti wamekuwa mungu watu hapo kijijini hata ajira mpaka utoe pesa ndo upate ajira kwenye kampuni.
safi sana mshimiwa raisi mungu akupe.nguvu pamoja na mheshimiwa kangi wahukumiwe
Chapa kazi Baba
nakubali kazi zako magu
Daaa!!!!huyo police huyo
Atadumu, kwa vile siyo kwa bidii na wepesi kama huo
Kwel jpm ni shida hongera sana tens sanaaaaaa mungu akutangulie urudi salama.
Big brother forever
gd
Ongera Rais wetu mungu hakutie nguvu katika majukumu yako
Aibu
Kazi kazi Muheshiwa nakupendaga sometimes
Hapa mimi nafurahi mpaka mumutima wanje. Urakoze mutama ibyo ngivyo tubhigomba twebwe. Imana ikuhezagire. Noneee Abhibhupinzani bhalimo mukashifa? Ntabhalimo ,none tugirante!! Yebhahali ibhyo nibhihendumwana ngo sokokuru numugabho!!
i love your language...😗 ulakoze chane chane
Nimekuelewa vzr sana. Kigoma 1
Cecilia Jimmy ulakoze chane
Kazi nzuri ,hila waruhusu na upinzani kuanza kampeni kama wao walivyoanza
Asante sana rais wangu.Nakupenda mpaka machozi.saidia wanyonge kama Yesu Kristo alivyofanya
C.C.M oyeeee!!Simba wa Tanzania JPM oyeeee
Duh n noma
YAAN UKITAWALA MIAKA HATA 50 mbele hakika hii nchi tutakua mbali sana
Good management Mr President
pongezi sana kwako mh Rais
Hongela sana rais wa nyonge kalibu na sisi kigoma
Safi Sana rais wetu Mungu akusaidie
Kula yangu Aijapotea Wanyooshe,watanyooka tu vyabure Akuna.
Unapiga kazi Mh. Rais
CCM oyeeeeee
huyu ndiyo rais kweli!!!! karibu mbeya
laisi anaakili uyu ameisha anza kufanya kampeni ya 2020 kijanja bila watu kujuwa ssiv ni mzee wa keshi anatembea na hela ttz liktokea anatowa kesh anapotowa ktk eneo hilo anakuwa ameisha hamasisha watu anakili sana mpaka zikianza kampeni yy amemaliza anasubili majibu yake
Kazikazii.
Hapa kazi tu.
Kaz nzur
karibu mh. rais JPM huku kwetu KILIMANJAROOOO.
Askari wameanza kumsogelea mwwnyekiti da
Njoo bukoba mh
Na wakome ndiyo hiyohiyo mijizi halafu utaisikia mwanangu awezi kusoma shule za kata kumbe mijizi asante rais JPM tutakukumbuka milele daima na na kitungwe kitabu chako cha uzalendo wa nchi hii ya tanzania na Afrika
Daaaaaa,,, haijawahi kutokea mahali popote Duniani, Mungu akulinde uendelee hivyo hivyo mpaka kieleweke, maaana hii nchi ilikua ya Watu mafisadi sana nakuomba uwanyooshe hao.
majuha wengi kuliko...
Yaaani unaaminisha Watu wongo sh**t
Urakoze kushima mwananje.
KURA YANGU YA NDIYO 2020 NTAKUPA JPM
Hili tatizo la kutoajiri wenyeji hata kwetu nyamongo mgodi umetoa ajira kwa wageni na kuwatosa waliompisha mwekezaji
Wengine wanyonge wanatumbuliwa haraka,lakini wengine hawatumbuliwi haraka.Ubaguzi wa kuangalia sura huo.
Watz tungekuwa tunafatilia haya tungekuwa na akili asante magu
Tena tungekuwa tunajua mengi zaidi ya haya..... Mungu amuweke raisi wetu
kazi serikalin ni lawama bora kushika jembe
hv hawa wakuu wa mikoa na wilaya wana kazi gan jaman!!
yani lais we nijembe
Mwendo wa Kuchomekea tu da,sasa hapa kilichbakia ni kuragana mwingine akaroge Mombasa mwingine sumbawanga hehehe
Hahaaaaaaaa jamani magu
Huyu ndo rais wangu pili Tanzania baada ya jk nyerere wengine walikuwa viongozi wa nchi tu
Piga kazi babaaaa
aaa siasa za kinanja tu hizo ila raisi yupo vizuri kasoro demokrasia tuu umemaliza
mtapata taabu sana
dadadeq uncle balaaa wakikusemelea umekwisha nyavu hadhari.
jmn pga kazi tutkula akitoka
raisi uko vizuri kula yangu 2020 nakupa
Anaingilia mamlaka ya wananchi mno sasa wao wamechaguliwa na nani?
Vzr sana mheshimiwa Rais washughulikiwe kwa kadiri ya matendo yao
mbona mkotena ya mkonda Husein?
Baba hata uku kwetu wapo
c mtuazime magufuli aje atusafishie kenya....kwani inanuka kwa ufisadi
jamani kampeni zimeanza ata mwaka 2020 bado mjihadhari!
Kwahiyo akae dar?
Rais bana eti umeonga mwanamke aaaaah ,piga kazi baba
Magu oyeeeeeeeeeeeeeee nasema tena Raisi oyeeeeee
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥oyeeeee
Wanyoooooshe jpm ichi ilikua haina raisi
hv wasaidizi wa rais mbn mnamchosha rais wetu jmn kz yenu hasa ni nn? maana kila jambo rais ndio aje achukue hatua
Watapata tabu sana
Mbona mikoa mingine haufiki?
Watakusikia watumishi
Atafika tu usihofu.
Atafika Lin?ww??
Tanzania kwata mchakamchaka tuu LOL. Makonda naye atumbuliwe!!!!
et umehonga mwanamke😃😃😃😃😃
Mi niko yy natimka 🤣🤣🤣