MITIMINGI # 216 MKE, UKIFANYA HAYA - MWANAUME KUCHEPUKA ITAKUWA NI KITUO CHA POLISI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024
  • Je, Ushawahi jiuliza kwa nini wanaume wengi! Wanachepuka? Kwa nini wanaume wengine huchelewa kurudi nyumbani usiku? TAFITI Za saikolojia zinaonesha kwamba - Mwanaume hapendi/Huchukizwa na mwanamke mwenye kelele nyingi.
    Mch na Mwl. Dr. MITIMINGI p. Counseling Psychologist +255 713 18 39 39

ความคิดเห็น • 114

  • @mussamisinzo4934
    @mussamisinzo4934 ปีที่แล้ว +2

    Dah nimeumia sana kumbe huyu mchungaji kasha fariki! Inaumiza sana!

  • @asmajaphary5097
    @asmajaphary5097 5 ปีที่แล้ว +2

    aiseee iyo mada imenigusa sana maana me huwa mkali sana siwezi kukaa kimya but now najitahidi sana kuwa mpole nafatilia sana mada zako na matunda yake nayaona asante sana

  • @GraceMlenga
    @GraceMlenga 2 หลายเดือนก่อน

    Asante mtumishi

  • @yeminanyiraguriro1006
    @yeminanyiraguriro1006 4 ปีที่แล้ว +5

    I miss you rest in peace 😭😭😭😭😭

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 5 ปีที่แล้ว

    Mwl &Mch.Peter Mitimingi Mungu akuzidishie huduma na baraka, nabarikiwa na mafundisho yako.

  • @evelenev2877
    @evelenev2877 3 ปีที่แล้ว +3

    Lala salama Daddy tumeyakosa mahubiri yakujenga familia....Rip😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @olivasimkonda8131
    @olivasimkonda8131 6 ปีที่แล้ว +12

    asante kwa mafundisho mazuri pastor,Mungu akubariki

  • @martinnzau1226
    @martinnzau1226 4 ปีที่แล้ว +1

    Kwa kweli Kazi ya Mungu haina makosa lakini angemwacha huyu baba amalize alicho anzisha. Ni baba,mwalimu,nabii.... Tulimpenda sana huku kenya

  • @everlinemsodah2326
    @everlinemsodah2326 5 ปีที่แล้ว +1

    Mafunzo mazuri sana.
    Mungu akubariki mtumishi.

  • @nerrymapogo3401
    @nerrymapogo3401 5 ปีที่แล้ว +2

    Asante kwa mafundisho mazuri mungu akubariki

  • @oscasanga8997
    @oscasanga8997 6 ปีที่แล้ว +5

    najikuta nimeponya ndoa yangu mungu akubariki na nimepona kabisa

  • @user-or9vh1pz3r
    @user-or9vh1pz3r 11 หลายเดือนก่อน

    Baba waooo,siku nying sijakusikiliza baada ya TV yangu kupoteza chanel yk,asante bb yetu ,nitaemdelea kukufatilia

    • @angelabaraka7896
      @angelabaraka7896 9 หลายเดือนก่อน

      Ameshafariki huyu baba, tuendelee kumuombea

  • @rudymsigwa5600
    @rudymsigwa5600 3 ปีที่แล้ว

    Barikiwa mtumishi. Mungu akulaze mahala pema peponi

  • @esangasanga4897
    @esangasanga4897 6 ปีที่แล้ว +3

    mtumishi uko vzr kazi kwa kondoo kufuata maagizo ya bwana waa

  • @catherineally9548
    @catherineally9548 5 ปีที่แล้ว +2

    Nabarikiwa

  • @maryjackson8754
    @maryjackson8754 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante sn kwa somo nzur baba

  • @mishimichael3620
    @mishimichael3620 6 ปีที่แล้ว +2

    Honger mtumishi kwa maneno yako mzr

  • @getrudetenga1969
    @getrudetenga1969 6 ปีที่แล้ว +4

    Nimebarikiwa sana!

  • @berthasirilo6003
    @berthasirilo6003 5 ปีที่แล้ว

    Mwl peter miti mingi Mungu akubariki sana najifunza mengi

  • @annaignatio9233
    @annaignatio9233 5 ปีที่แล้ว +2

    Barikiwa sanaa Mtumishi umenifundisha kitu kikubwa sanaa

  • @maryandrew7868
    @maryandrew7868 5 ปีที่แล้ว +3

    nimependa mafundisho yako sir

  • @benyymgedzi6489
    @benyymgedzi6489 ปีที่แล้ว

    Mchungaji kweli tunapata tabu sana juu ya hawa wake zetu

  • @raymondtv2859
    @raymondtv2859 5 ปีที่แล้ว +2

    Barikiwa sana mtumishi

  • @mariammalimamafele7324
    @mariammalimamafele7324 5 ปีที่แล้ว

    kuna wanaume mchungaji hata km amekukosea ukamuacha na badaa ukamwambia bado anafokafoka tu ula somo ni nzuri asante

  • @ablinermhenzi5830
    @ablinermhenzi5830 5 ปีที่แล้ว +1

    Umeeleweka mtumishi

  • @fauzngailo1646
    @fauzngailo1646 5 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa mafundisho mazuri yanatengeneza ndoa zetu

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 5 ปีที่แล้ว

    Amina, naomben mniunge kwenye group hili napenda kuwa mnyenyekevu ktk Ndoa Mungu anisaidie

  • @elseyjelimo
    @elseyjelimo 5 ปีที่แล้ว

    Mafundisho mazuri haya... Amina

  • @olivermamuya4308
    @olivermamuya4308 6 ปีที่แล้ว +8

    Amen pastor ..nabarikiwa sana...mungu akutunze ili tujifunze mengi kutoka kwako

  • @kapelalugiko9739
    @kapelalugiko9739 5 ปีที่แล้ว

    Amen nimejifunza mpka nimupata mwanaume ananipenda balaa

  • @belinafinias9611
    @belinafinias9611 4 ปีที่แล้ว

    Asante mchungaji ubarikiwe sana

  • @fettyfetty6091
    @fettyfetty6091 5 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki

  • @andreajeremia436
    @andreajeremia436 6 ปีที่แล้ว +1

    safi sana,mtumishi ubarikiwe sana

  • @ezramassawe639
    @ezramassawe639 5 ปีที่แล้ว

    sawa kabisa kwa mafundisho mazuti

  • @Punda284
    @Punda284 6 ปีที่แล้ว +2

    Ni kweli sana Mchungaji,hapa furaha nyinhi imeondokea.kukiko sehenu zote.

  • @tehamarobema9403
    @tehamarobema9403 5 ปีที่แล้ว +2

    Ahsante kwa ushauri mzuri

  • @lovenessibrahimu6730
    @lovenessibrahimu6730 3 ปีที่แล้ว

    Ahsante

  • @rehemambwambo3925
    @rehemambwambo3925 5 ปีที่แล้ว +1

    asante nimeelewa nktajitahidi kuboresha ndoa yangu

  • @ujuzilumiere7883
    @ujuzilumiere7883 5 ปีที่แล้ว +5

    Una wapa fursa sana wanaume tafazali sote ni vinadamu

    • @gwamakamwakyambiki4061
      @gwamakamwakyambiki4061 5 ปีที่แล้ว

      Biblia ndiyo inaongea hujafatalia hapo?

    • @ujuzilumiere7883
      @ujuzilumiere7883 5 ปีที่แล้ว

      Ukipata mke umepata kituchema. Hayo mafasiriyo nimila za kiafrika pekeyake ambazo zina weka wanawake chini sana zaidi.

    • @albertchuma4313
      @albertchuma4313 5 ปีที่แล้ว

      @@ujuzilumiere7883 iyo ni kichen party ya mwanamke ndio mana kaegemea upande wa kumfundisha mwanamke wajibu wake kwa mumewe ndio mana hujasikia huo mstari wako wa biblia ameutaja kwasababu hauna maana hapo huyo anaemfundisha sio mlengwa! Pia Huwa anafundisha wajibu w mwanaume kwa mkewe labda hayo ndio mafundisho utakayo yafurahia wew

    • @ujuzilumiere7883
      @ujuzilumiere7883 5 ปีที่แล้ว

      @@albertchuma4313 una juwa tume elewa biblia vibaya sana na ndiyo maana tuna ichanga na mila zetu sababu maandiko ya sema kama mke ni msaidizi pekeyake kwa nani mtu anaweza kuya kuku saidia kisha wewe uka muachia kazi zako zote? Mke ni musaidizi pekeyake inaomba tu elewe hiyo Sio mufanyakazi wa ndani na maandiko haija ongea hata mustari Moya ya kwamba mume hawezi fanya kazi zanyumbani ukipata hiyo mustari ambao una sema hiyo unitumie nita furahi kuusoma.

  • @KigabiAzizi
    @KigabiAzizi 5 ปีที่แล้ว +2

    Amen

  • @kibondoboy1
    @kibondoboy1 4 ปีที่แล้ว

    Ubarikiweee saana

  • @miraclebullah9
    @miraclebullah9 6 ปีที่แล้ว +6

    Maneno ma zuri pastor am blessed with your preaching

  • @hawaabubakar2619
    @hawaabubakar2619 6 ปีที่แล้ว +3

    Maneno mazuri pastor mwanamke mjinga abomowa nyumba yake ila mwanamke mwerevu yuwamwti mme wake ajenga nyumba yake hongera xana

    • @julithakazaro8489
      @julithakazaro8489 6 ปีที่แล้ว

      Amen ayo maneno ni silaha tosha ya ndoa barikiwa mchungaji

  • @laurentsamilah5001
    @laurentsamilah5001 4 ปีที่แล้ว

    mc u dr mitimingi ulikuw mwalim bora kbc RIP

  • @peterdimpozimatangajo9839
    @peterdimpozimatangajo9839 5 ปีที่แล้ว +2

    Kweli mchungaji unanikuna ubarikwe

  • @dianajepkorir3821
    @dianajepkorir3821 6 ปีที่แล้ว +1

    mungu akubariki

  • @esthermathenge4446
    @esthermathenge4446 4 ปีที่แล้ว

    Rip papa, u hv left a legacy

  • @heriethsingano6257
    @heriethsingano6257 6 ปีที่แล้ว +2

    ubarikiwe sana pastor, mafundosho yako ni mazuru sana karb Tanga

    • @kwizeraelly9261
      @kwizeraelly9261 6 ปีที่แล้ว

      Hakuna anayependa kufokewa mwingine akiwa na mke mpole sana pia ni shida tabia zingine not hulka tuu

    • @michaelelectronics56
      @michaelelectronics56 6 ปีที่แล้ว

      amen

  • @user-vx6fx8lv6i
    @user-vx6fx8lv6i 5 หลายเดือนก่อน

    🙏🙏🙏

  • @josej9888
    @josej9888 5 ปีที่แล้ว +2

    Kila somo nizuri MUNGU azidi kukulinda mchungaji.

  • @philipopeter6282
    @philipopeter6282 5 ปีที่แล้ว +2

    congrats

  • @sosternsimfukwe5893
    @sosternsimfukwe5893 หลายเดือนก่อน

    Wewenitumishiwaukweli

  • @mathayowilson1525
    @mathayowilson1525 3 ปีที่แล้ว +1

    You made it...😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @skyliteproentertainment6592
    @skyliteproentertainment6592 6 ปีที่แล้ว +1

    Jambo mtumishi wa Mungu ,kwakweli huduma hiy ni kubwa na ninzuri saana .ila kamaitakupendaza ,mafundisho ya wa mama utafute njia iwa fikie wamama peke yao .kama ni mafundisho ya wababa ifikie wababa peke yao .kwa sababu kuelewa kwa watu ni tofuauti bila Roho wa Mungu ,wababa wame pata sababu kubwa ya shutumu wa mama .na wa mama wamepata sababu kubwa ya kushutumu wa baba .mafundisho haya ina jenga 60/100 na ina bomowa 40/100.zaidi wale wasio jazwa Roho wa Mungu na wengine wamebarikiwa .kama Mungu anaweza kukufunulia njia ya kupeleka kila ujumbe kwa watu husika ni vizuri zaidi.mimi binafsi nimebarikiwa .samahani kama nina weza kuwa ni mezungmza makosa.ni pendelea tu huduma hiy ifikishe watu wote katika ufalme wa mbingu

  • @isayajesca8928
    @isayajesca8928 6 ปีที่แล้ว +2

    GUDD

  • @petermatonya6890
    @petermatonya6890 4 ปีที่แล้ว +1

    Wasichana acheni ubabe mtachelewa kuolewa

  • @Marry-js3kz
    @Marry-js3kz 6 หลายเดือนก่อน

    Duuuh mahbl yak mung akbalk San m nakuag na hasra kwakwel mung ansaidie nabadlika

  • @peterdimpozimatangajo9839
    @peterdimpozimatangajo9839 5 ปีที่แล้ว

    Kweli mchungaji

  • @franksamson9168
    @franksamson9168 5 ปีที่แล้ว +1

    Nimependa mahubili uanasema kweli

  • @nikitumarthinne8909
    @nikitumarthinne8909 6 ปีที่แล้ว +2

    Samahani Mchungaji,mimi nimeelewa hivi:HUYO utakuwa ni unabii ; Maana tumejifunza kwamba mwanamke pengine inamaana ya kuwa ni KANISA la Bwana kwahiyo wakusujudia ni MUNGU PEKE YAKE.

    • @georgebulege6801
      @georgebulege6801 6 ปีที่แล้ว

      natamani kuwa karibu na wewe ili nijifunze zaidi,barikiwa sana mtumishi....

  • @isayamabena8384
    @isayamabena8384 6 ปีที่แล้ว +1

    hatar sana

  • @benjaminmike9778
    @benjaminmike9778 6 ปีที่แล้ว +1

    Waambie

  • @jackhansfilms15
    @jackhansfilms15 2 ปีที่แล้ว

    R.i.p

  • @daddypmalima2919
    @daddypmalima2919 6 ปีที่แล้ว +2

    umenigusa mm 👨

  • @phinaletty8287
    @phinaletty8287 6 ปีที่แล้ว +1

    nabarikiwa sana na maneno ya mtumishi

  • @moviezakutafsiriwakiswahil671
    @moviezakutafsiriwakiswahil671 5 ปีที่แล้ว

    Asant

  • @yusraussi2890
    @yusraussi2890 9 หลายเดือนก่อน

    Ji

  • @rehemamaganga8303
    @rehemamaganga8303 6 ปีที่แล้ว +1

    asante sana nimejifunza mno

  • @princessjaneth2419
    @princessjaneth2419 6 ปีที่แล้ว +2

    Nac

  • @BM_Smart2-6
    @BM_Smart2-6 5 ปีที่แล้ว +2

    Soma lina akili

  • @rhinaregina5806
    @rhinaregina5806 6 ปีที่แล้ว +2

    Sasa mbona kuna wanaume wanafukafuka bila sababu, je kama huo mwenaume mke wake afuyije? Sija ulio lakini napenda kujuwa ilo tu please and thank you very much

  • @rizzagadetoonshoki9197
    @rizzagadetoonshoki9197 6 ปีที่แล้ว +4

    sema baba wengi tupone

  • @priscawilla9885
    @priscawilla9885 4 ปีที่แล้ว +1

    vedmant

  • @IsackJoram-pj3pb
    @IsackJoram-pj3pb ปีที่แล้ว

    X

  • @fortnataangelo4805
    @fortnataangelo4805 5 ปีที่แล้ว +2

    Mfalmeee, nae ananiona kama malkia?

  • @IsackJoram-pj3pb
    @IsackJoram-pj3pb ปีที่แล้ว

    Kingu

  • @akilimedia
    @akilimedia 6 ปีที่แล้ว +1

    Kwa wadau wa elimu ya th-cam.com/video/ir5I-uLd6hI/w-d-xo.html subscribe sasa.

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 4 ปีที่แล้ว

    tumekosa jembe aise

  • @neemajelemiah766
    @neemajelemiah766 6 ปีที่แล้ว +4

    napenda sana unafundisha kwa mifano, Mungu akubariki

  • @vesitinalevocatus4886
    @vesitinalevocatus4886 6 ปีที่แล้ว +2

    barikiwa sana mtumishi

  • @esangasanga4897
    @esangasanga4897 6 ปีที่แล้ว +2

    mtumishi uko vzr kazi kwa kondoo kufuata maagizo ya bwana waa

    • @atozchuo6678
      @atozchuo6678 5 ปีที่แล้ว

      Mbona wengine mwaume ukinyamaza ndo anakua mkali???

  • @fibioko8916
    @fibioko8916 6 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @IsackJoram-pj3pb
    @IsackJoram-pj3pb ปีที่แล้ว

    X

  • @neemajelemiah766
    @neemajelemiah766 6 ปีที่แล้ว +3

    napenda sana unafundisha kwa mifano, Mungu akubariki

  • @happyshayo356
    @happyshayo356 6 ปีที่แล้ว +5

    barikiwa sana mtumishi

  • @esangasanga4897
    @esangasanga4897 6 ปีที่แล้ว +2

    mtumishi uko vzr kazi kwa kondoo kufuata maagizo ya bwana waa