MCH. HANANJA ATOA SOMO KUHUSU SABATO YA JUMAMOSI AUNGANA NA USTADHI DANIEL KUMPA SOMO MCH. NDACHA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ค. 2024
  • MAMBO YA SABATO NA JUDAISM HAPA MCHUNGAJI RICHARD HANANJA AMETUELEZA KWA KIREFU UMUHIMU WA SABATO NA JINSI ILIVYO NGUMU AFRICA KUWA MSABATO

ความคิดเห็น • 350

  • @josykogei7647
    @josykogei7647 7 วันที่ผ่านมา +6

    Ukweli anasema bwana wetu YESU NDIYE BWANA wa sabato

  • @fredlyimo1263
    @fredlyimo1263 วันที่ผ่านมา

    Tunawahitaji sana wazee km hawa Mungu atujaalie neema hyo ishi sana na hekima nyingi mzee ananja.

  • @KOLASCLASSICDESIGNS
    @KOLASCLASSICDESIGNS 6 วันที่ผ่านมา +5

    JAMANI AMRI ZIPO 10 WATU WAMEKAMATA SABATO TU KUJIFARIJI ILA WANAZINI WAO, WANATAMANI WAKE ZA WATU WAO ILA SABATO AAAAAAH

    • @user-wg6pg9bg8v
      @user-wg6pg9bg8v 5 วันที่ผ่านมา

      Asa Kama Kuna mtu kazini japo anatunza sabato ndo wengine tuache amri ya Mungu kisa wanaoshika wanazini?

  • @ackimackim1880
    @ackimackim1880 3 วันที่ผ่านมา +2

    UBARIKIWE HANANJA,KWA ELIMU YA JUU,VICHWA MBOVU HAWEZI KUELEWA. Marko2:28.

  • @Ayyub_Semtawa
    @Ayyub_Semtawa 8 วันที่ผ่านมา +11

    Naamini majibu yako ndio akili yako ya mwisho kufikiria
    Ukiulizwa swali jibu kwa kujenga hoja yenye ushahidi wa maandiko

  • @VascoKasambala
    @VascoKasambala 5 วันที่ผ่านมา +3

    WASABATO WANAONGOZA KUA NA ROHO MBAYA TANZANIA FANYENI UTAFTI WAO WAMESHIKA SKU TU SIO MENNGINE WANAIJUA AMRI MOJA TU

  • @yugemasanza1008
    @yugemasanza1008 8 วันที่ผ่านมา +5

    Mzee Hananja umegusa pabaya.
    Tafuta masomo mengine.
    Achana na somo la Sabato

    • @fredlyimo1263
      @fredlyimo1263 วันที่ผ่านมา

      Acha mtazamo wa kidini

    • @fredlyimo1263
      @fredlyimo1263 วันที่ผ่านมา

      Mzee yuko sahihi mnaondena kwa udini ndy mnaletaga sana matatizo

  • @sabatomafwele1495
    @sabatomafwele1495 5 วันที่ผ่านมา +3

    Yes mwenyewe alipumzika siku ya Sabato, mitume hata baada ya ufufuo waliendelea kutunza Sabato wewe Nani alikuruhusu kubadili. Mathayo 5:17 Yesu alisema alitabadilishwa

    • @sospeterlaurent4428
      @sospeterlaurent4428 3 วันที่ผ่านมา

      Hujaelewa wapi mbona kasema ushahidi wa maandiko

  • @AbdallahMpwatile
    @AbdallahMpwatile 3 วันที่ผ่านมา +1

    Nakuelewa sana mzee rich billionaire

  • @mkoyitz2448
    @mkoyitz2448 8 วันที่ผ่านมา +4

    Umekwama pole acha kujitetea usijifanye kumsahihisha Mungu

    • @prochesernest5439
      @prochesernest5439 8 วันที่ผ่านมา +1

      Siku zote ni sawa Warumi 14:5 jibu Hilo hapo usitoke povu Kwa dhehebu lako kwenye ukristo hakuna sabato siku zote ni ibada

    • @aquinomsigwa6998
      @aquinomsigwa6998 7 วันที่ผ่านมา

      Acha dhambi

    • @aquinomsigwa6998
      @aquinomsigwa6998 7 วันที่ผ่านมา

      Iabudu siku

    • @prochesernest5439
      @prochesernest5439 6 วันที่ผ่านมา

      @@aquinomsigwa6998 hachana na kuabudu siku mfate Yesu uspotee ndiomaana mlimtuumu Bwana Yesu heti amevunja sabato kwaiyo tukisema katika ukristo hakuna wasabato tupo sawa tokeni huko Kwa wapinga kristo

    • @judithminja770
      @judithminja770 6 วันที่ผ่านมา

      @@prochesernest5439 kuabudu siku tuu kuacha dhambi Aaaah

  • @panduafricangiant4902
    @panduafricangiant4902 3 วันที่ผ่านมา +1

    Watu wanazingatia siku lakini ndani yao hawana wokovu ni kubishana tu

  • @Jonathankaghese
    @Jonathankaghese 9 วันที่ผ่านมา

    Mungu awabariki

  • @ivanbusumbiro6429
    @ivanbusumbiro6429 2 วันที่ผ่านมา +1

    Mchungaji unasema tunatakiwa tujue jambo moja tu,la kutubu dhambi . kwani dhambi ni nini? Najua dhambi ni uasi wa sheria 10 za Mungu kwenye sheria hizo IPO na sabato .kwanini useme kuiba ni dhambi.

  • @MeshackMisungwi-w8q
    @MeshackMisungwi-w8q 5 วันที่ผ่านมา

    Pole sana mzee somo gumu kwako

  • @JanethAnton-fx1mk
    @JanethAnton-fx1mk 9 วันที่ผ่านมา +17

    Naomba muweke mdahalo na mwalimu Ndacha sio unajificha kwa kichaka

    • @zaidiissa3714
      @zaidiissa3714 9 วันที่ผ่านมา +2

      Huyo ndacha mwenyewe chizi Yani wakristo wote wamechanganyikiwa waisilamu wanaabudu kilasiku acheni kudanyanyana mbona mnaipenda uwongo sana kwani hamtuoni tukianda msikitini kilasiku yanikilakitu kweni niubishitu kitu mnakiona pia lakini bado tumtabusha yesu anasema yeye nimwana wa a damu nyinyi mnasema hapana wewe nimwana wa mungu kazi mnayo

    • @user-mw3oq4vz6k
      @user-mw3oq4vz6k 9 วันที่ผ่านมา +2

      Ndacha ndio unae mwamin sana kwamba yeye ndio anajua kula k2 acha izo ww

    • @petromachanga5538
      @petromachanga5538 8 วันที่ผ่านมา +2

      Ndasha chiZi

    • @Wamisangi
      @Wamisangi 8 วันที่ผ่านมา +1

      Ndacha anaijua kuran kwa msaada wa majini wema.

    • @user-wi8og3sv4j
      @user-wi8og3sv4j 8 วันที่ผ่านมา

      @@zaidiissa3714 kasome vizuri bibilia

  • @lwezaurawilliam4498
    @lwezaurawilliam4498 7 วันที่ผ่านมา +1

    Swala la sabato kwenye Agano jipya ni tofauti na Agano la kale,baada ya Yesu kufufuka,mwanadamu hawezi kumpendaza Mungu kwa kufuata siku,Kila wakati ni ibada
    WAKOLOSAI 2:18
    YOHANA 2:21-22
    YEREMIA 31:31-34.
    WAEBRANIA 10.

    • @pascopaul909
      @pascopaul909 3 วันที่ผ่านมา

      nimekuelewa vizuri na umenisaidia sana natamani na wengine Yesu awafumbue akiri za wapate kuyaelewa na maandiko

  • @user-jc1do5gf3w
    @user-jc1do5gf3w 9 วันที่ผ่านมา

    Amina

  • @RichardMachuki
    @RichardMachuki 4 วันที่ผ่านมา +1

    Je, mnayoyasunguza mwayatoa katika maandiko gani? Sabato imeanzia juma la kwanza ya uumbaji. Ni amri aliyoitoa Maulana. Je, tutafuata maelezo yenu au ya Mungu. Mungu alitoa kielelezo tufuate.

  • @PaulRuben-eu5nh
    @PaulRuben-eu5nh 8 วันที่ผ่านมา +2

    Ubarkiwe mchungaji sana Mungu anasikia kila siku ya mungu

  • @memorataedson7895
    @memorataedson7895 7 วันที่ผ่านมา +1

    pastor asante kwa hekima ya kuelezea mambo magumu kwa namna inayoeleweka zaidi

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro6533 8 วันที่ผ่านมา +3

    Wewe potosha wenye hawajui maandiko

    • @denismugisha2
      @denismugisha2 5 วันที่ผ่านมา

      Haya twambie wewe unayesoma na kujua neno, mitume walisali sabato ipi na wapi baada ya BWANA kufufuka na kupaa mbinguni

  • @user-ov6nq2wp6w
    @user-ov6nq2wp6w วันที่ผ่านมา

    Kabra ya kujua neno LA mungu jifunze kujua tabia za mungu la sivo tutanishana bule alisema usifanye sanamu lakin ktk sanduku la agano Kuna Sanam na nyoka wa Shaba aliagiza tule Kila mnyama mwanzo sula ya Tisa lakin badae akakaza. Kilajambo na wakat tujue kwanza tabia ya mungu.

  • @Abudulungazah-zf8ii
    @Abudulungazah-zf8ii 2 วันที่ผ่านมา +1

    Watu wangu watapotea kw kukosa maarifa

  • @njiasalamatv4794
    @njiasalamatv4794 5 วันที่ผ่านมา +1

    WE PASTOR WEWE ACHA UONGO UJUE FATA MAANDIKO SIYO UTASHI WAKO PLEASE....

  • @laickwilinerd5375
    @laickwilinerd5375 5 วันที่ผ่านมา +1

    Akili yako ndoimeishia hapo omba uongezewe maalifa na mungu

  • @PaulRuben-eu5nh
    @PaulRuben-eu5nh 8 วันที่ผ่านมา +1

    Amina sana

    • @PaulChambala
      @PaulChambala 7 วันที่ผ่านมา

      We nae acha uxhabiki

  • @Abudulungazah-zf8ii
    @Abudulungazah-zf8ii 2 วันที่ผ่านมา +1

    Kutatokea makrisot wa uwugo

  • @user-tr2mf3hp5s
    @user-tr2mf3hp5s 3 วันที่ผ่านมา

    Nakubali Sana mzee wng

  • @KelvinOmbeniMathew
    @KelvinOmbeniMathew 2 วันที่ผ่านมา

    Pole mchungaji kwa kupotosha, k2 kama hukijui acha kujiaibisha sabato inaanzia mwanzo hadi ufunuo we utajificha chaka la wap ,ufunuo 14,12

    • @ibrahimwigina
      @ibrahimwigina วันที่ผ่านมา

      @@KelvinOmbeniMathew Kaka, usidokoe dokoe baadhi ya vifungu na kuvisimamia hivyo tu. Hakikisha unasoma Biblia yoyote, soma pia na WAKOLOSAI 2:16

    • @ibrahimwigina
      @ibrahimwigina วันที่ผ่านมา

      Ndugu soma Biblia yote.
      WAKOLOSAI 2:16

  • @AlfaMwahasanga-j1q
    @AlfaMwahasanga-j1q 5 วันที่ผ่านมา +1

    Lakini wengi wa watumishi leo wanashughuka na kuwatia moyo watu hata kama wanaendelea na dhambi

  • @leoncebenjamin8107
    @leoncebenjamin8107 2 วันที่ผ่านมา

    Upo sahihi hananja

  • @JoshuaSalimu
    @JoshuaSalimu 9 วันที่ผ่านมา +3

    Shida huna andiko

  • @kambaragemuya8167
    @kambaragemuya8167 8 วันที่ผ่านมา +1

    Ukifuata maandiko, hakuna aliyekuwepo wkt dunia uumbaji, wala kalenda hazikuwepo, kwa hiyo majina ya siku yametungwa hivi karibuni na siku za mwaka zimekuwa established juzijuzi, hivyo siku yoyote inaweza kuwa siku ya saba, huko nyuma kulikuwa hakuna week wala mwezi, ilikuwa majira tu!

  • @rickiefisher1085
    @rickiefisher1085 2 วันที่ผ่านมา

    kama unaamin dini zililetwa unapataje Imani kwenye Mungu na dhambi

  • @AneckAdronico-p2k
    @AneckAdronico-p2k 6 วันที่ผ่านมา +1

    Somo zuri mch.

  • @erastuskajuna812
    @erastuskajuna812 3 วันที่ผ่านมา

    Neno la Mungu linasema kuwa kile mtakachobadilisha duniani kitabadilishwa na mbinguni.

  • @GeorgeMjema
    @GeorgeMjema 2 วันที่ผ่านมา

    Huyu tunamjua kwa comedian zake.

  • @williamgabrielmassawe3654
    @williamgabrielmassawe3654 9 วันที่ผ่านมา +1

    Mchungaji Hananja ni Mgodi unaoishi

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 8 วันที่ผ่านมา +2

    Mch NDACHA ,tatizo la hao wahubiri feki ni shule -- Halafu wapo kwa ajili ya kutafuta kubishana --- " Hatuna muda wa kubishana " unaelewa anachosema Mch Hananja,kipokee kitakusaidia,hukielewi,kiache,endelea na msimamo wako --- Mungu ndiyo mhukumu wa haki.

    • @chillogeorge1383
      @chillogeorge1383 8 วันที่ผ่านมา +1

      Ndugu, sabato ni jumamosi. Hilo halina ubishi, achana na akina hananja na watumishi wote walio tayari kuusujudia utawala wa kirumi. Na ndio utakuta sikuhizi hakuna nabii wala mchungaji anaewekwa gerezani na kuuwawa kama akina Paul na Sila. Ni kwasababu wamekubali kuongea uongo ili kuufurahisha utawala wa kirumi uliokuja kubadli siku ya sabato kutoka jumamosi kwenda jumapili.
      Siku ni muhimu mno, na ndio sababu Mungu ameagiza watu waikumbuke hio siku na waitakase. Kwanini? Kwa sababu Mungu alijua utatokea utawala utakaowaondoa watu kwenye sabato ya kweli.

    • @georgesamweli9852
      @georgesamweli9852 7 วันที่ผ่านมา +2

      Mungu atakuhukumu kwa neno lake lililoandikwa yaani Biblia na wala siyo mawazo ya watu.

    • @solomonmugao4733
      @solomonmugao4733 5 วันที่ผ่านมา

      Nmchungaji unapenda kutumia maandiko. Lakini umekataa Leo maandiko kabisa. Wasomee mathayi 24 sura nne kuteremka. Tena timotheo Wa pili 4 mstari Wa Kwanza hadi Tano. Lakini Leo umekataa Mada kabisa

    • @ahz6907
      @ahz6907 4 วันที่ผ่านมา

      ​@@chillogeorge1383hawa wa zama hizi sio manabii....nabii wa mwisho alikuwa muhammad kwa waislam...na yesu kwa wakristo.

  • @williyamShelukindo-vu5we
    @williyamShelukindo-vu5we วันที่ผ่านมา

    Kutoka 12:15-16 Jumamos na Jumapili sawa

  • @user-px7qw3hs2h
    @user-px7qw3hs2h 4 วันที่ผ่านมา

    Ni kweli kuhusu UTATU umejibu sawa kabisa Mungu ni mmoja ila kazi zake ndizo zinazomtambulisha katka huo utatu maana mara nyingi Mungu anjitambulisha katika wingi si Bible pekee bali hata Quran

  • @GasparKyambala
    @GasparKyambala 2 วันที่ผ่านมา

    Nimekuelewa sana ila kwa maelezo yoko

  • @DavidMujimba
    @DavidMujimba 8 วันที่ผ่านมา

    uko sawa mchungaji

  • @joseaugust2805
    @joseaugust2805 9 วันที่ผ่านมา

    Hesabu 15:32-36
    Mathayo 12:1-21
    Wagalatia 2:1-21
    Kwasababu ukimpa ndacha maandiko ya Yesu mwenyewe alieponya siku ya sabato atakujibu kwa andiko kuwa Yesu ndo bwana wa sabato ndo maana anamamlaka hayo , na atakuuliza wewe ni Yesu ?, Sasa hayo maandiko hapo juu ukisoma inagisia wanafunzi wa yesu ,. Na yesu alipokuwa ana paa akasema mkawafanye wote kuwa wanafunzi wangu ,.
    Kwahiyo wafuasi wa Yesu ni wanafunzi wa yesu ,
    Wanaotaka maandiko , sijawahi sikia mchungaji ndacha akagusa yaha maandiko , anajua tuu akiyagusa kwa namna moja au nyingine , anajua mtu akijenga hoja kwa kwa haya maandiko mchungaji mdacha hana cha kujibia haya maandiko labda hayakatae kuwa hayapo kwenye biblia

  • @PaulChambala
    @PaulChambala 7 วันที่ผ่านมา

    Mchungaji kumbuka kua ile ni amri af tumia mandiko na si kwamtazamo wako mchungaji af mchungaji kumbuka silaha ya mkristo ni mandiko na Mungu tunamjua kupitia mandiko

  • @jacobnghwani1891
    @jacobnghwani1891 วันที่ผ่านมา

    Umesaidia wengi sana hasa uliposema wanadamu kitu hasa tunatakiwa ni tumwamini zaidi siyo kumdodosa, wasabato punguzeni ubishi hakuna aliewahi kufa akarudi

  • @johnwoshi3459
    @johnwoshi3459 9 วันที่ผ่านมา +1

    Waislamu wanaabudu majini na Allah ni Giza sisi ni Nuru ijumaa ni yao sisi haitihusu

    • @user-wi8og3sv4j
      @user-wi8og3sv4j 8 วันที่ผ่านมา

      Ni giza kwa lugha gani?

    • @ashrafnuru6402
      @ashrafnuru6402 8 วันที่ผ่านมา

      Kafiri ni kafiri tu ndo maaana anaenda chooni na makaratasi,

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 7 วันที่ผ่านมา

      Hata ukitawaza kwa dawa na kupiga perfume kinyeo chako..bado kitazikwa ardhini.. dini ni imani,usafi wa roho yako ndo muhimu ​@@ashrafnuru6402

  • @GodfreyMwendawila-ff7on
    @GodfreyMwendawila-ff7on 5 วันที่ผ่านมา

    Nakuelewa sana

  • @boscoShama
    @boscoShama 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Acha siasa kwenye bibilia kwahiyo tuachane na sabato

  • @msemakweli243
    @msemakweli243 9 วันที่ผ่านมา +1

    Sasa hapo inabidi ujiulize wakati yesu yupo hai amri na sheria alizitii nyinyi shangwe baada ya kufufuka aingii akilini

  • @BenardPaul-t4x
    @BenardPaul-t4x 7 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu akubali mch hananja

  • @mwoso
    @mwoso 7 วันที่ผ่านมา

    Kwa hivyo yesu anabaki kua mwana na mungu anabaki kua baba yake. Hatuwezi kuwachanganya kua mungu mmoja. Wenye utatu watupe maelezo mazuri ili tuelewe. Tunacho jua ni yesu alikua na uungu wa baba yake lakini sio kwa nafsi. Aliridhi uungu wa baba yake na akampa mamlaka hapa duniani. Lakini anabaki tu kua mwana wa mungu.

  • @user13375
    @user13375 9 วันที่ผ่านมา

    😮

  • @georgesamweli9852
    @georgesamweli9852 7 วันที่ผ่านมา

    Tofauti kati ya watu wa Mungu na wasio watu wa Mungu inabainishwa na kutii neno la Mungu au kutotii neno la Mungu. Na kutotii neno la Mungu ndio dhambi yenyewe.

  • @JohnMashamba
    @JohnMashamba 4 วันที่ผ่านมา

    Huyo anachenga za mwili,na anaelimu ya Dunia na huyo Mungu wake tumbo.

  • @BenardMarco-q4s
    @BenardMarco-q4s 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hakika kuutetea uongo ni ngumu sana.

  • @emmanuelpeter6742
    @emmanuelpeter6742 7 วันที่ผ่านมา

    Yesu ni mwana wa Mungu, Yesu anachanzo na ndio Mzaliwa wa kwanza

    • @emmanuelpeter6742
      @emmanuelpeter6742 7 วันที่ผ่านมา

      Imeandikwa usimukumu mtu Kwa Siku chakula, mwandamo wa mwezi Wala Sabato

  • @AlexMungathia
    @AlexMungathia 4 วันที่ผ่านมา

    Tuewe na imani moja na ubatinzo mmoja ili tuwe na mwili wa yesu

  • @JonasMathias-s6m
    @JonasMathias-s6m 8 วันที่ผ่านมา

    Ubalikiwe mtumishi

  • @JanethAnton-fx1mk
    @JanethAnton-fx1mk 9 วันที่ผ่านมา +2

    Mzee Bibilia haitaki kila mtu afute akilizake bali tufuate maandiko fanya mjadala nda ndacha sasa kama ni mapokei inakuwaje wote tunafuta Bibilia na iwe na maapokeo tofauti apo ujua lazima kuna wengine wanatumia maandiko vibaya

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh 9 วันที่ผ่านมา

      kbs kbs umenena

    • @venancenkoronko9250
      @venancenkoronko9250 8 วันที่ผ่านมา

      Na utajuej kama unafuata kilicho sahihi?

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh 8 วันที่ผ่านมา

      @@venancenkoronko9250 mm najuwa maana mm na amini biblia pekee yake

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 8 วันที่ผ่านมา

    Mchungaji hananja kwa mengine uko sahihi na ndio imani yetu sisi waisilamu na hio iko sawa kabisa

  • @user-rk6wu2gw1n
    @user-rk6wu2gw1n 9 วันที่ผ่านมา +1

    This one is a believer of sun worship(shetani)....

  • @JohariLozano
    @JohariLozano 8 วันที่ผ่านมา +1

    Amekubari kuwa amri ya 4 ni halali kusari jumamosi ubarikiwe hananja Mambo ya kurusha jiwe yameandikwa kitabu gani acha porojo pastor Amri ziko 10 sio 9 hananja .

    • @Wamisangi
      @Wamisangi 8 วันที่ผ่านมา

      Porojo ni kufuata dini ilioasisiwa juu ya msingi wa uongo wa siku ya mwisho ya,dunia. Shetani ni Baba wauongo wote.
      1Wakorintho 15:14
      Kutoka 12:16:Unabii wa Siku ya kwanza ya juma.
      Mathayo 18:18. Jinsi unabii wa siku ya kwanza ya juma ulivyofunguliwa katika Agano Jipya. Wasaidie na wenzako kuwaeleza haya msiangamizwe na Helen White kwa kukosa maarifa Hosea 4:6a.

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 7 วันที่ผ่านมา

      SIKU ZOTE NI SAWA MBELE ZA MUNGU KILA MMOJA AJULIKANE KWA MUNGU ANAYEMWABUDU.

  • @kjb_user0077
    @kjb_user0077 2 วันที่ผ่านมา

    Duh kumbe kuabudu siku ya jumapili nikwa mtazamo wa watu tu?!

  • @meshacknyandongo577
    @meshacknyandongo577 2 วันที่ผ่านมา

    Jambo la kufurahisha ni kwamba mada imekua ngumu kwa mzee mpaka jasho linamtoka tu anafuta tu majasho

  • @machindafadhili3186
    @machindafadhili3186 8 วันที่ผ่านมา +2

    KWAIYO UMEAMUA KUVUNJA AMRI YA MUNGU? KWA NINI MSIVUNJE AMRI YA 5 YA WAESHIMU BABA NA MAMA ILI SIKU ZAKO ZIPATE KUONGEZEKA.
    HACHENI UPOTOSHAJI MZEE

    • @sospeterlaurent4428
      @sospeterlaurent4428 3 วันที่ผ่านมา

      Hakuna amli iliyovunjwa ilabiblia imegawanyika ko jitaidi kumuelewa mzee

  • @rahma6189
    @rahma6189 7 วันที่ผ่านมา +1

    Asante kwakutufungua Mungu akubariki

  • @MbendaHalfan
    @MbendaHalfan 7 วันที่ผ่านมา

    Wakristo wanaabudu masanamu,waislam wanamwabu mwenyezi Mungu mmoja tu na wanamwabudu kila siku siyo siku moja tu,lazima uelewe we katili uliosema waislam wanaabudu majini pumbavuuuu

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui 2 วันที่ผ่านมา

    Yaani mpaka muelewe, someni biblia sana lakini mjue mbingini tutaendakwa matendo yetu.

  • @ramahzedon6688
    @ramahzedon6688 3 วันที่ผ่านมา

    Kanisa Katolic wanasema Sunday is mark of our authority je Kuna uhusiano gani kati ya siku ya jumapil na ukatoriki?

  • @user-vh4hy8ee9y
    @user-vh4hy8ee9y วันที่ผ่านมา

    Huyu mze anatumia ujanjaujanja wa maneno tu, anaikataaje sabato wakati sabato iko kati ya amri kumi za Mungu?

  • @ahz6907
    @ahz6907 4 วันที่ผ่านมา

    Mtangazaji nakurekebisha: katika uislam hakuna siku maalum yakuabudu.tunaabudu sku zote.
    Ijumaa ni siku ya waislam kukusanyika pamoja na kukumbushwa au kufahamishwa mambo mbalimbali ya dini na jamii.

  • @isaacwafula7792
    @isaacwafula7792 8 วันที่ผ่านมา

    siku sio siku tu Bali kunasiku imebarikiwa kuliko zote na ni jumanozi uwezi jiwekea siku kwani ni yako mungu aeshimiwe na Sheria zifuatwe ,huyu mchungaji tunamtaka Kwa mdhalo 19-16yesu anasema ukitaka kuenda binguni lazima ushike amri,na yakobo 2,10 ukivunja Moja umezivunja zote

  • @DaimonMwapelele
    @DaimonMwapelele 7 วันที่ผ่านมา

    Hapana umekosea mwanadam hatakiwi kufuata yakwake bali mwanadam afuate alichosema mungu kama mwanadam anafuata cha kwake smpotea na ibade yake ni bure mathayo 15:8_9

  • @meshacknyandongo577
    @meshacknyandongo577 2 วันที่ผ่านมา

    Mzee unatudanganya Yesu alivyozsliwa dunia haikua na lugha moja lugha zilivurugwa toka pale kwenye ujenzi wa mnara wa babeli
    Wewe una stori nyingi tu zingine za kufikiria tu sisi hatuna mtazamo wetu ila tuna mtazamo wa biblia hatutumii akili zetu

  • @MaryBuzingo
    @MaryBuzingo 8 วันที่ผ่านมา +1

    Mzee umechemka,hiyo amri inasema mungu alistarehe,aliibariki,Sasa mbona unapingana naye,Rudi kwenye maandikoa.

    • @josykogei7647
      @josykogei7647 7 วันที่ผ่านมา

      Usimpinge hananja maandiko Inatuambia yesu NDIYE BWANA wa sabato Sasa kila siku ni siku ya MUNGU

    • @josykogei7647
      @josykogei7647 7 วันที่ผ่านมา

      Anasema ROHO ni Moja ila utendaji ni tofauti amen amen

    • @m.m.tvmbebamaono
      @m.m.tvmbebamaono 7 วันที่ผ่านมา

      Wasabato wamechemka .

    • @m.m.tvmbebamaono
      @m.m.tvmbebamaono 7 วันที่ผ่านมา

      ​@@josykogei7647wasabato wote ni vichwa maji ,

  • @SuleimanSamwel-bg6dz
    @SuleimanSamwel-bg6dz 5 วันที่ผ่านมา

    Endelea kuwa mchekeshaji biblia waachie wengine,

  • @mpjozzegalvanize4926
    @mpjozzegalvanize4926 8 วันที่ผ่านมา

    Kwa mara ya kwanza naona mzee wetu anapanic 😂, mzee umenikata leo😢

  • @elishampoki8751
    @elishampoki8751 9 วันที่ผ่านมา

    Wasabato wanaikosea sana siku ya sabato waliambiwa na Mungu wapumzike baada ya kufanya kazi siku sita wasabato hawapumziki ila wanakwenda kusali kwenye nyumba za ibada , hapo upumziki umeabudu ,

    • @msemakweli243
      @msemakweli243 9 วันที่ผ่านมา

      Kwenda kusali ni kufanya kazi?

    • @DannyJoseph-dr1ep
      @DannyJoseph-dr1ep 9 วันที่ผ่านมา

      Mzee unasoma maandiko nusu nusu , sabato ni siku ya kusanyiko takatifu ndio siku ya kufanya ibaada na sio kazi

    • @PaulChambala
      @PaulChambala 7 วันที่ผ่านมา

      Miongon mwawatu hawaelewi niwewe ipo iv Mungu alixema tupumzike kwakaz zetu lakin kwakaz ya Mungu tunapiga

    • @DannyJoseph-dr1ep
      @DannyJoseph-dr1ep 7 วันที่ผ่านมา

      @@PaulChambala . Mzee tofautisha kati ya kaz zako na kaz ya Mungu ,siku zote huwez kukusanyika kwa ajl ya ibada ,sasa swal kwako ni siku ipi n ya ibada na sio kaz ?

  • @isayalemberua9195
    @isayalemberua9195 7 วันที่ผ่านมา

    kwa kweli unajibu sawasawa

  • @joseaugust2805
    @joseaugust2805 9 วันที่ผ่านมา

    Alafu ukisoma mathayo 5 yote , utagundua Yesu kuna baadhi ya amri alikuwa anaziondoa kistyle yake ,
    Sasa kama torati imesema jino kwa jino , yeye Yesu anakuja kutuambia mtu akikupiga shavu ili mgeusie na shavu lingine akupige maana yake nini kama sio kuondoa hiyo amri ya jino kwa jino ki style ,
    Ndo maana. Ukisoma agano la kale lote na jipya lote , utagundua MUNGU kuna namna aliwachukulia watu wa kale wa agano la kale na kuna namna pia aliwachukulia watu wa agano jipya ,.
    Ila ukibaki na kukariri maandiko bila kielewa ndo unashikilia nira ngumu ya kale ,. Ndo maana Yesu alisema nira yake ni laini

  • @isaiahkimathi4004
    @isaiahkimathi4004 8 วันที่ผ่านมา

    Toa ushahindi wa bibilia mch acha pangang'a

  • @Life10061
    @Life10061 6 วันที่ผ่านมา

    BABA USIWE NA KUKUMBUSHIA KILA WAKATI KUHUSU MTOTO WAKO KUAWA ,BASI TU SAMEHE RUHUSU MUNGU MPE NAFASI YAKE MUNGU ,WEWE SIYO KESI YAKO TENA HIYO ..UKIMUACHIA MUNGU INAKUWA KESI YA MUNGU NA WALIO UA MTOTO WAKO

  • @mwamrasahamaro8473
    @mwamrasahamaro8473 8 วันที่ผ่านมา +1

    Katika watu ambao ninaamini wanapotea kabisa ni wasabato ni wabishi na hapa nashangaa zaidi kumbe nap wanatukana km wale wa mudi, na kumbe hata biblia hawasomi, eti wanaomba andiko lisemalo usiende mbali zaidi ya kurusha jiwe, Yani wanakataa hakuna neno Hilo, eti wanahifadhi sabato, na wanaenda mbinguni eti, enyi wasabato jueni hakuna mbingu ya wajinga,wabishi, to Biblia inasema hakuna atakaye hesabiwa haki kwa matendo ya Sheria.

  • @VenanceMgema-xu6bq
    @VenanceMgema-xu6bq 8 วันที่ผ่านมา

    Unatakiwa usaidiwe kidogo tu Kuna mahali hujui mtumishi.

  • @danielndusilo4723
    @danielndusilo4723 8 วันที่ผ่านมา

    Dah waongo wanatia huruma kweli

  • @paulmutuajustus5277
    @paulmutuajustus5277 8 วันที่ผ่านมา

    Umepoteza wengi baz.

  • @JosephMpangala-wd5mp
    @JosephMpangala-wd5mp 2 วันที่ผ่านมา

    Hivi alieagiza amri ya kukumbuka siku ya Sabato ninani?
    Na amri kumi zipo kwaajili ya nani?

  • @marinemodest1798
    @marinemodest1798 วันที่ผ่านมา

    Kabisa ibada ni wakati wote na sio jumamosi wala jumapili tuu

    • @user-wg6pg9bg8v
      @user-wg6pg9bg8v 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@marinemodest1798 Na amri ya Mungu hajazungumzia ibada ila amesema kuhusu pumziko lakini kuhusu ibada nakubaliana na wewe kuwa ni siku na saa yoyote ila Pumziko lililoagizwa na Mungu ni siku ya sabato(jumamosi)

  • @prmaotolalumbetv799
    @prmaotolalumbetv799 4 วันที่ผ่านมา

    Naomba mdahalo na mzee huyu waandishi ili mtende haki muiteni na msabato ana kwa ana na hananja ili nitumie biblia tuu kuitetea sabato

  • @jofreymlowoka7972
    @jofreymlowoka7972 5 วันที่ผ่านมา

    Ananja mswahili sana anajibu kiserah sana

  • @user-wm9hr7fx9l
    @user-wm9hr7fx9l 6 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂 unajificha kwenye shina la karanga wakirsto ndio huwa wanapotezwa na wachungaji acha kupotosha

  • @denismugisha2
    @denismugisha2 5 วันที่ผ่านมา

    Constantine alitangaza jumapili wakati huo mitume wa Yesu walishaanza kuumega makate siku ya kwanza ya juma huku wakisakamwa na wayaudi wazee wa sabato, kwa hiyo ukisema costantino unakosea

  • @EdsonDaud-rg5jk
    @EdsonDaud-rg5jk 9 วันที่ผ่านมา +2

    Wewe acha uongo mungu sio kigeu geu kusema uikumbuke siku ya sabatho

  • @kitulohenry2393
    @kitulohenry2393 5 วันที่ผ่านมา

    Mchungaji Leo ndo nmeona umepuyangaaa

  • @Kanisalasaa11
    @Kanisalasaa11 9 วันที่ผ่านมา

    mzee acha uongo

  • @AlfaMwahasanga-j1q
    @AlfaMwahasanga-j1q 5 วันที่ผ่านมา

    Kumbe Imebaki kuwa shangwe siku hizi duu!

  • @onkobawesley3477
    @onkobawesley3477 8 วันที่ผ่านมา

    Mwalimu bibilia si gazette unatafsili jinzi upendavyo

  • @MageniDaniel-jl5nh
    @MageniDaniel-jl5nh 8 วันที่ผ่านมา

    Et siku bora kwako ni ipi siku ya ushindi swali ni maelekezo ya Mungu??

  • @georgesamweli9852
    @georgesamweli9852 7 วันที่ผ่านมา +3

    Hoja ni Ukweli uko kwenye neno la Mungu au kwa akili na mawazo ya watu? Watu wa Mungu wanafuata neno la Mungu na wala siyo maneno ya Hananja.