MITIMINGI # 239 UKIONA DALILI HII - USIKURUPUKE KUINGIA KWENYE NDOA (FOCUS)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2025
  • Kijana anaweza kuwa na Hazina lkn ukipata THE WRONG CHOISE, Zile ndoto, maono, mawazo uliyokuwa nayo yataisha/hayatafika kule ulikotarajia.
    Je' Ni nani unaamua kumpa maisha yako? Tambua dalili sahihi za kubaini mke au mume wa kukufaa katika maisha yako.
    Mch na Mwl. Dr MITIMINGI p. Counseling Psychologist +255 713 18 39 39

ความคิดเห็น • 56

  • @lovekyungai2658
    @lovekyungai2658 4 ปีที่แล้ว +8

    Nitakukumbuka daima

  • @fredricksamwel9576
    @fredricksamwel9576 2 ปีที่แล้ว +1

    Thanks so much my teacher,tutor,Coach, your teaching helped me alot .R.I.P Father Mitimingi

  • @reginacharles1913
    @reginacharles1913 4 ปีที่แล้ว +1

    Amina Maana hili somo no kwaajili yangu

  • @joshuaandrew386
    @joshuaandrew386 4 ปีที่แล้ว +1

    Umetutoka ila jumbe zako zitaishi daima tutakukumbuka Sana Kuna wakt nashindwa kuamini kwamba hauko nasi Kama bado upo vile miongoni mwetu 😭

  • @epifaniamzumbwe962
    @epifaniamzumbwe962 6 ปีที่แล้ว +8

    barikiwa baba mungu akupe maisha marefu

  • @celinefabian333
    @celinefabian333 5 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe baba

  • @shilwankuji9403
    @shilwankuji9403 6 ปีที่แล้ว +4

    Barikiwa mafunzo yako yanaishi na yataishi daima

  • @hopelutenta2379
    @hopelutenta2379 5 ปีที่แล้ว +1

    asante sana kwa ujumbe
    lakini vipindi vinafupishwa sana hatupati mafundisho mazima tumabaki hewani bila kupata utamu wa fundisho
    asanteDR. HOPE

  • @janethelisha6347
    @janethelisha6347 6 ปีที่แล้ว +3

    Nakukubali mtumishi. Ubarikiwe

  • @agnesmusangaqueeny1524
    @agnesmusangaqueeny1524 5 ปีที่แล้ว +3

    Achibaa achibaaa😂😂😂 Ubarikiwe Pastor

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 3 ปีที่แล้ว

    Unaua vibe

  • @datyrichy3357
    @datyrichy3357 6 ปีที่แล้ว +2

    Nimependa sana mahubir yako mchungaji barikiwa sana mungu akutie nguvu

  • @stafordlazaro1613
    @stafordlazaro1613 5 ปีที่แล้ว

    Ahsante sana Mtumishi nakukubali sana kwa mahubili yako, ahsante kwa ushauri wako hakika yatanisaidia sana katika maisha yajayo ya mke na mme

  • @wizzysnapper9990
    @wizzysnapper9990 5 ปีที่แล้ว +2

    Yaan mm sijui nisemej najifuza kila iitwapo leo ni mambo meng nilikuwa siyajui kabisa asant mg akubalik san

  • @evodiamtenga8053
    @evodiamtenga8053 6 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubarik mchungaj

  • @janegeogre3234
    @janegeogre3234 2 ปีที่แล้ว

    So sad to see sunrise die!!!!...R.I.P. Legend!

  • @jumannesadiki768
    @jumannesadiki768 7 ปีที่แล้ว +4

    I AM highly attracted to your lessons.

  • @frankmagesa2998
    @frankmagesa2998 4 ปีที่แล้ว

    Tutakumbuka daima

  • @faithmuthoni5941
    @faithmuthoni5941 6 ปีที่แล้ว +4

    Your very right keep doing the good job mchungaji.......so that they dont have to go through horrible divorce....that affect children ones life and family too...

    • @officialslim.
      @officialslim. 5 ปีที่แล้ว

      I reckon your statement, you must have lots of experience....keep it up.💖

  • @itongwamtebwa9149
    @itongwamtebwa9149 7 ปีที่แล้ว +5

    Unajuwa kufundisha mchunfaji

  • @paulineabel7417
    @paulineabel7417 6 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki sana Mchungaji

  • @juliethkiiza2791
    @juliethkiiza2791 6 ปีที่แล้ว +1

    Hakika mchungaj maneno yako ni mazuriii mnooo yaan mmooo

  • @eliamkayange4014
    @eliamkayange4014 6 ปีที่แล้ว +11

    So happy! & fun preaching

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 4 ปีที่แล้ว +1

      Vijana wa kiume jitambueni sio mnafuga midevu mnakula kwa baba huo ni uzembe sana umri ukifika ingia mitaani ujitegemee

  • @yohanamkwama8883
    @yohanamkwama8883 6 ปีที่แล้ว +4

    good

  • @linahfrank52
    @linahfrank52 6 ปีที่แล้ว +1

    asante mchungaji tunajifunza

  • @maduhucodejb3214
    @maduhucodejb3214 6 ปีที่แล้ว

    Excellent

  • @sulemanmadahatv1691
    @sulemanmadahatv1691 7 ปีที่แล้ว +9

    Ubarikiwe baba Mchungaji,ila napendekeza kuhusu vitabu uviweke kwa soft copy tuweze kununua online

  • @mwajumabulugu4115
    @mwajumabulugu4115 7 ปีที่แล้ว +3

    ni kweli kabisa

  • @frankmosha5854
    @frankmosha5854 7 ปีที่แล้ว +2

    nice

  • @mariammariam2475
    @mariammariam2475 6 ปีที่แล้ว +7

    Yani mchungaji tufundishe tupone

  • @roseallen7198
    @roseallen7198 3 ปีที่แล้ว

    yaani nifaraja mno

  • @aroonmuchunguzi3442
    @aroonmuchunguzi3442 4 ปีที่แล้ว

    Daa

  • @lovenessfrankeliaseliad2328
    @lovenessfrankeliaseliad2328 4 ปีที่แล้ว

    Dah

  • @dianajepkorir3821
    @dianajepkorir3821 7 ปีที่แล้ว +2

    ni ukweli kuna wanawake wakishika mimba wanasumpua sana waume zao na hao kama awaelewi pasi ndio watajua

  • @gloriaeugeni4703
    @gloriaeugeni4703 7 ปีที่แล้ว +1

    kweli kabisa

  • @alicesamson6316
    @alicesamson6316 4 ปีที่แล้ว +1

    R.i.p

  • @majaliwamwandembo2048
    @majaliwamwandembo2048 7 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @beatriceninga466
    @beatriceninga466 7 ปีที่แล้ว +1

    kweli kabisa semina unafanyia wapi?

  • @barakalugano3020
    @barakalugano3020 7 ปีที่แล้ว +1

    nc

  • @asintaisaya5488
    @asintaisaya5488 7 ปีที่แล้ว +6

    wewe ni mchungaji mwema

  • @jmkenda8556
    @jmkenda8556 7 ปีที่แล้ว +3

    hivi walioingia baada ya hayo ulishafundusha watafanyaje sasa

    • @sugirajoseph7449
      @sugirajoseph7449 4 ปีที่แล้ว

      Unfortunately we can't adjust or influence the past. However you can choose to be happy with the choice you made wrongly because after all you must take responsibility of your actions. Change your attitude, change your life.

    • @michaelsamson9663
      @michaelsamson9663 4 ปีที่แล้ว

      Aaaaa utajut

  • @albetiuspastory1561
    @albetiuspastory1561 7 ปีที่แล้ว +1

    Somo,halijaisha,

  • @utakatifuukamilifu1265
    @utakatifuukamilifu1265 6 ปีที่แล้ว +1

    Pastor unaongea na mimi kabisa mimi mpk sasa Hiv nimeachana naekwasbb kila nikimshaur atoke Ataki Ana miaka 25

  • @sugirajoseph7449
    @sugirajoseph7449 4 ปีที่แล้ว

    Sorry but the advice was wrong (misleading). You don't need a woman to begin a ministry, you only need Jesus Christ. When we bring in today's slogan, *follow your heart* he'd have followed the leadership of the holy spirit in his heart.

  • @maduhucodejb3214
    @maduhucodejb3214 6 ปีที่แล้ว +1

    Excellent

  • @joshuasimonny1891
    @joshuasimonny1891 5 ปีที่แล้ว

    Nice

  • @maureenmuhonja722
    @maureenmuhonja722 7 ปีที่แล้ว +4

    Amen

    • @myepolina
      @myepolina 6 ปีที่แล้ว

      uko sawa kaka mafundisho yako ysafi kabisa