Part1_ALIYEKUFA MIAKA7 ILIYOPITA NA KUFANYWA MSUKULE KIGOMA ARUDISHWA KWA NGUVU YA MAOMBI KUTOKA DAR
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp....
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Huyu mama ukimsikiliza unajifunza Imani,Hakukimbilia kwa Nabii wala mtume alimkimbilia Mungu,Alimuamini Mungu anayemtumikia sio Watumishi wa Mungu, huyo binti alikuwa na maagano ya kimizimu ndio maana vita ilikuwa kubwa
Kweli . Mkristo Jenga Imani yako kwa Mungu.
Eee Mungu wa Mbinguni unae ishi nipe Imani Kama ya huyu mtumishi wako.
* tunashinda na zaidi ya kushinda katika yeye atutiaye nguvu* wachawi na waganga na mapepo na majini nawalipua katika jina la YESU
Mtumishi Mungu akukumbuke katika ufalme wake.watumishi kama wewe Mungu anajivunia sana.
Madam Mungu atakulipa kwa upendo wako juu ya huyo binti katika Jina la Yesu amen.
Hongera sana mtumishi unaujasiri wa ajabu ... Mungu anataka wtu km hawa jeshi kubwa
Mungu akubariki sana mama muinjilisti . Asante kaka Jactan kwa ushuhuda huu wa kubariki
Amen
Hamjambo jeshi la Bwana, Nasema hongera sana kwa mwanajeshi huyu wa kike, kwa ujasiri, Zaidi juweni kwamba vita vina hendelea, Kila siku ni vita, ila kikubwa ni kwamba Tuko zaidi ya washindaji, ktk yeye awezae yote yaani Bwana wetu yesu kristo. Jeshi la Bwana tukaze boot. Shetani alisha shindwa. Bwana asifiwe
Amen amen
Amina
Ushuhuda unainua kiroho nimebarikiwa Sana ubarikiwe mtumishi
Asante kwautukufu wake Yesu kristu unastahili kupewa sifa nautukufu
Mtumishi wa Mungu ubarikiwe kwa kuomba na kufunga kwa ajili ya nafsi hizi
Ubarikiwe sana mama Mwinjilist kwa kujitoa dhidi ya huyo bint.
Duuuh!!!! Yani natamani sana na mimi nimrudishe baba yangu kifo chake si cha kawaida
💃💃 Askari wa YESU😘.. Aksanti kwa shuuda.. Na kuleta maandiko ya vita kati ya biblia.. BWANA YESU asifiwe... Aksanti Mutumishi jacktan...
eeeh Yesu wewe ni halisi
Baba wewe ni halisi
Hakike Yesu ni halis
Asante Yesu kwa yote
STRONG WOMAN OF GOD YESU NI BWANA.
MUNGU azidi kukutumia nakukutia nguvu Mama ubarikiwe Sana kwa ushuhuda.
Hongera sana mtumishi na mungu akubariki
Barikiweni Kwa neema hiyo
umenifanya nitambuwe vita nilivyo navyo kumbe ni kwasababu nimearibu mambo ya wachawi MUNGU nipe nguvu nishinde vita ivyo asante mama mutumishi
Haleluuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuya
Matendo makuu ya Mungu ubarikiwe mama mtumishi
MUNGU akuinuwe mama nakulinde wewe nafamilia yako naakupe nguvu katika jina la YESU
Amen&Amen, our Lord JESUS CHRIST is still alive &really fights for us day in day out
Hongera mama kwa ujasiri Mungu akubariki
Mungu akupe Huduma zaidi usaidie wengi ,
Mungu akulinde mtumishi
Kwa ushuhuda huu tunasababu gani ya kutomtumikia Yesu?
Ninayo sababu ya kumtukuza bwana maisha mwangu
Yesu yu hai. Mtumishi naomba namba ya huyo mama mtumishi.
+255622974195
Ubarikiwe Sana.Yesu akuwatie nguvu saidi
Mama wewe ni Mtu uliyeokoka sio wale wakristo wa Jumapili,Aisee mmebakia wachache sana wenye Ujasiri katika Roho na Mnaoishi kitakatifu,inajulikana dhahabu Safi baada ya kupita katika moto
Ubarikiwe mtumishi nimejifunza sana
Mungu atukuzwe sana kwa kazi kubwa alizotenda juu ya mtumishi wake pamoja na binti huyo
Hongera mama. Wewe nondo wa Yesu. Bwana Mungu wa Israel azidi kukubariki
:mtaiyambia milima ngoka ikajitupe baharin nayo itatii hakika mwenye haki atajiponya kwaimani yake bila mafuta ya upako mama amewezaa
Ubarikiwe sana mama shujaa kwa kazi yake Bwana wetu Yesu Kristo.
Utukufu kwa BWANA YESU dada nimejufunza nguvu ya maombi ndani ya NENO.
Hongera mama mchungaji kwa ujasiri mkubwa, ubarikiwe na Bwana Yesu
Mungu akubariki sana mama mwijirisiti na aendelee kukutia nguvu na huyo binti pia🙏🙏🙏🙏🙏
So this world full craz evil things YESU tupe mwisho mwema.
Mungu atume Malaika wa vita zaidi.. Wakuwalinda hadi mwisho wa vita...
Mama we ni mtumishi mkubwa wa mungu
Be blessed
Hongera sanaaaa tuvae ujasiri huo sote
Mungu awalinde wote wanaojitaidi kusaidia Wengne kupona hasa sisi tulio ufalme wa Mungu YESU KRISTO AZIDI KUTENDA KILA MTU AMKILI YEYE YAKUWA NI BWANA
HALLELUYAAAAAAAAAAA.
Mungu ni mwema ubarikiwe mamangu 🙏🙏
Asifiwe Bwana Yesu Mkuu wa vita
Mungu anzidisha roho mtakatifu amen
Tz imejaa uchawi mbona Kenya hatuna mambo hizi za watu kufa na kuchukuliwa misukule
Shetani huwa hasumbuki na wakristo jina bali wenye moto, Kenya yamkini hawamsumbui sana Ibilisi ndiyo sababu huoni matukio mengi. Wakenya wengi wanaishi ki magharibi zaidi ambao tayari ni mateka wa shetani licha ya utajiri wao.
Muombe Mungu Roho mtakatifu akupe macho ya rohoni utafunuliwa mengi ya ya rohoni
Kwa hushuhuda Mungu akubariki mama
Kwan mtu akifufuka anakua na umuri ule ama inakuaje❤
Hakika hakuna kinacho mshinda Mungu,
Hakika mapepo na Mungu laxima pepo wanakufa
Mungu mbariki sana huyu mama
Mungu akibariki mama.
Mapambo ni hatari wanawake sikieni kama mna masikio ya kusikia.
Wanawake ni Jeshi kubwa
Mungu azidi kukutumia mamy
Ushuhuda mkali.wakati ujao naomba muwe mukipeana nafasi ya Sala ya toba watu waokoke mwishoni mwa video.
Meambie huyo mama aje huko dar umuombee
Haleluyaaaaaaaaaaaaah Yesu ni Bwana
Asante Yesu hongera mama
Nahisi Ushuhuda huu ukiwa mzito kweli. 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
mama watu Mia hai pole sana mama yangu
God bless Promover Tv and Jactan for your dedicated efforts to bring us inspiring testimonies.
Amen
Wewe ni shujaaa wa IMANI
Ubalikiwe San mam kwa kazi nzurii
Amina
Amen ubarikiwe sana mtumishi wa BWANA unapatikana vipi
MUNGU ni mkuu Amen
Hongera mama kwa bidii katika maombi
Nimechelewa lakini naomba umwite huyo mama ili kumwimarisha katika bwana yesu ubarikiwe mtumishi
Mm mambo ya misukule/msukule niliishikia na hii channel sikuwahi sikia kitu kaa hicho kwetu kenya aki kumbe iko nikufahamu hatufahamu but huwa napenda kufuatilia sana hizi stori sijui Mungu yuaniadaa kwa nini but na hinsi kuna sababu...
👍👍👍🇰🇪 Wakenya Tupo !!
Naomba namba yako mama uni saidie kimaombi
Amen
Dar! Hongera, mungu yupo
Mu gu.akupe.maisha.marefu.na.mtumainie.mungu.amekutoa.mbali
jaman na Mama yangu kumbe angerudi jaman ningejua mapema
Hongera mama ubarikiwe
Jeremiah 30 21 leader is Kenyan Gikuyu more information in Jeremiah 30 9 king called by his name like Cyrus in Isaiah
Kweli huyu mama ni mtumishi wa mungu..
Ameeen utukuzwe bwana wa majeshi
Mungu akubariki mtumishi
Ushuuda wa Ajabu
Mbona huyo mtumishi ameweka wigi na wigi ni chukizo mbele za Mungu
Mungu anatenda amina
Jacktani msafiri ,tumezimiss shuhuda za mbinguni na kuzimu,
Oh sawa zinakuja tunaandaa
Kwakweli ndugu zetu wame wekwa kuwa misukule
Naombeni namba ya huyu mama please
Jactani kumbe uko dar naomba nikuone tafazali
Ndio nipo Dar, tafadhali tuwasiliane tu
Amina yesu kristo n bwana
Dollar 300 ni laki saba kasoro. Sasa haifikii hiyo uliyoitaja milioni sita.. au labda ulikosea badala ya laki sita ukasema milioni sita
We ndio umekosea.Siyo 300 ni 3,000
M😊
Jamani ushuhuda wa mama ya huyo Binti utaletwa hewani lini
Hivi karibuni, endelea kufuatilia
Nataka kujiunga na what sap
Karibu
Tunaomba mtoe link ya kujiunga whatsap
Link yetu
chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1lDtufLd2LPIP
Jacktan naweza kupata number za mtumishi Tafadhali
Namba ya mtumishi ili iweje?
@@ngwanafabian9668 sababu ya maombi ndugu nina matatizo
Namba zake ni +255622974195
@@PromovertvTz ASANTE sana tena sana kwa number mungu akubariki sana Kwani nina matatizo ndugu na naitaji msahada wa maombi
@@nicrosal4231 Amen Upone kwa jina la Yesu
Amena
Number ya huyu pastor ni hipi?
Hakika Mungu ni mkuu mno
Huyu mama abarikiwe
Mungu akubariki mtumishi nisaidie namba ya huyo mama
Ipo kwenye part 2 .link👇 th-cam.com/video/-iYacVkm4nE/w-d-xo.html
Bibi alikua anaimba kwaya kuu
Naomba number ya mama mtumishi uyu please
Ipo kwenye part 2 .link👇 th-cam.com/video/-iYacVkm4nE/w-d-xo.html
Bonge la ushuhuda
Jaktan naomba namba ya huyo mama
+255622974195
@@PromovertvTz asante sana kaka
Naomba nambari ya mama mwingilisti.
Ipo kwenye part 2_ link th-cam.com/video/-iYacVkm4nE/w-d-xo.html