Eh yesu wewe usiye shindwa na cho chote nami nina kuja kwako, kwa ushuuda huu nami nitendeye mahali popote alipo chukuliwa Mme wangu awa toroke kwa jina layesu christo amen
Jacktan, ungeuliza 1)Alikua akivaa nguo gani 2) Je akipatikana alikua na mavazi 3)Alikua na uwezo wa kuingia nyumba bila kufungua mlango au alijua akiingia kipepo 4) Je, alikua akiweza waguza watu walio hai wakaskia kushikwashikwa, na kuwasemesha kwa saiti je 5) Samahani kwa hili swali, walikua wakienda msalani? 6) Usiku mtu akienda shamba la wachawi wataona majembe ikilima?
Kuna maswali mengine hayaelewi kwa lugha ya kiswahili. Ingebidi huyo dada angekuwa anatofasili kutoka kwako na kwake. Coz kuna maswali anajibu tofauti na swali.
What happened to these girl and her mother happened Usukumani in the Mwanza region when I was growing up many years ago. The abducted people, misukule, are called miitunga, in Kisukuma.
Yaani ndio maana Mimi nikianza kuwakemea huwa sibakizi hata kidogo maana ni watu wabaya Sana tena Sana na tena watu wengi tunafikiri watu wamekufa kumbe wengi wako hai
@@marygregory7566 walizika kitu kingine ambacho Shetani kupitia wachawi kakifanya kuonekana kama yeye, ila hakikuwa ni yeye. Yeye alichukuliwa kiuchawi hadi huko kwa wachawi alipokuwa. Mtu kama huyo anaitwa msukule. Hakufa.
Nami naitaji maombi mdogo wangu alipata ajali tukaona kweli kafa ameumia vibaya Sana tukaomboleza akazikwa baada ya week moja kuisha ameanzaa kujitokeza kuwa hajafa yupo shimoni anatumikishwa jamani bado tunamulilia Mungu apate kurudi salama
Barikiwa jacktan kwa kutuletea mwendelezo wa huu ushuhuda,kweli YESU Ni mwamba
Eh yesu wewe usiye shindwa na cho chote nami nina kuja kwako, kwa ushuuda huu nami nitendeye mahali popote alipo chukuliwa Mme wangu awa toroke kwa jina layesu christo amen
Hkika Mungu ni Muweza wa yote du Umetenda Mungu tende na kwa wegine waiochukuliwa kam Hyu Mama warud kwa Jina la Yesuuuuuuuu.
Amina nimefurahi sana Mungu asifiwe ❤❤❤❤❤
Ole wao wazichukuao roho za watu wangu wakingali hai.
Dah! Mungu anaweza Kwakweli!! Atatenda kwangu pia Amen!!!
Apendeza sana Huyu dada,na pia mamake apendeza pia
Mungu ni mwema ewe Yesu Kristo mwana wa Mungu endelea kututendea miujiza
Kuangalia ushuhuda huu wote tangu sehemu ya kwanza mpaka ya mwisho bonyezalink hii th-cam.com/play/PLXTmPgeqbJ0kuioELwLThGLNS6GT3VPv_.html
Naomba namba ya simu ya love iyo iliyotajwa apatikani siku hizi naomba ntafutieee
MUNGU ni muweza 🙏kama hujaokoka uko hatarini sana dunia hii haina huruma,
Yesu Ni bwana kweli
Eee Mungu wangu usiyeshindwa na lolote ninaamini hata kwangu utatenda hata kwangu, Mume wangu anarud katika jina la yesu amen
Jacktan, ungeuliza
1)Alikua akivaa nguo gani
2) Je akipatikana alikua na mavazi
3)Alikua na uwezo wa kuingia nyumba bila kufungua mlango au alijua akiingia kipepo
4) Je, alikua akiweza waguza watu walio hai wakaskia kushikwashikwa, na kuwasemesha kwa saiti je
5) Samahani kwa hili swali, walikua wakienda msalani?
6) Usiku mtu akienda shamba la wachawi wataona majembe ikilima?
Nime jifunza kuwa mtu akiwa bira Yesu ana chezewa nawachawi kweli.Inje ya Yesu Ckristo hakuna uzima kweli duniani.
Kuna maswali mengine hayaelewi kwa lugha ya kiswahili.
Ingebidi huyo dada angekuwa anatofasili kutoka kwako na kwake.
Coz kuna maswali anajibu tofauti na swali.
Mwacheni Mungu aitwe Mungu maana yeye ndivyo alivyo.
"Asante sana watu mishi wa mungu kwa ushuhuda huu mkubwa wa bwana yesu kristo mungu awabariki na apeleke utiisho mbele yenu kwenye kira safari
Nashukuru kwa ushuhuda wa love umenitia moyo barikiwa
Mungu ni mwema Sana tena sana
Kama Yesu anaweza kutenda haya je kweli corona ina nguvu kumshinda?
Bwana yesu asifiwe sana kwa rafiki ushuhuda wa huyu mama
Asate sana kaka kwa kazi ambao mukonaifanya
Nami Nina ushuhuda ningelitamani ku sema niko USA
Amen,nitafte +255784074462
Mungu ni mwema kwa kweli
Da,Tumwachie Mungu
Huuuh! Nimempenda Sana Love. God bless you. Sweet voice.
Amen amen ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu hakika Mungu wetu ni mwema sana
Kwake Yesu yote yanawezekana asante Yesu
Ni Jambo la kheli heshima kwake mungu mungu wetu yu hai ...ila anaetafsili alikuwa haongei aliyokuwa anayasema mama
Mungu ni waajabu
Jameni mtoto wangu alikua gafla tu kwa mda akanza kuoneka kwa doto
Thank you for this testimony. Thank you mom
Love ana sauti nzuriiii sanaa
Uhimidiwe Yesu !
Amina Yesu yuko juu ya yote, Mungu akubariki jacktan
Mungu niwaajabu
Glory to Gos Bwana Yesu asifiwe.
Mungu nimwema siku zote tumtumaini Yeye peke yake
What happened to these girl and her mother happened Usukumani in the Mwanza region when I was growing up many years ago. The abducted people, misukule, are called miitunga, in Kisukuma.
Kwakweli Mungu ni mkuu
Kweli mungu mkubwa sana na hacha mungu ahitwe mungu Kwani anaweza na hamna ambacho akiwezekani kwa kwa mungu
Mungu aliyeziumba Mbingu na nchi ni Mungu M kubwa na siyo mungu
Mungu anaweza yote
uwomuendelezo tulikuwa tunawusubili kwa hamu kubwa
Mungu asifiwe! Wapi pacha mwingine tafadhali
Kwa YESU yote yawezekana, shetani na wachawi wameshindwa
Je wataalam tunaoalazimishwa tuwategemee je waweza kufanya haya? Yesu yuko juu ya corona.
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Hakika Yesu ni commando
Ameeeeeen Yesu ni mshindi
Ubarikiwe jactan
Mungu ni mkuu wa yote kwake yote yawezekana
Wachawi wabaya sana Asante Yesu
Yaani ndio maana Mimi nikianza kuwakemea huwa sibakizi hata kidogo maana ni watu wabaya Sana tena Sana na tena watu wengi tunafikiri watu wamekufa kumbe wengi wako hai
Lakini pia huyu mama anahitaji maombi aweze kufunguka zaidi
Bwana yesu asifiwe
Kweli walio wake atowai kuwaacha jina LA yesu lina nguvu nyingi sana sifa kwake
Mungu ni mwema, Dada yetu aende shule na ujuzi alionao utamsaidia pia
Yesu ni Bwana
Wahubiri wengi ni sarakasi tu wakati kazi ya Mungu ni mingi hivyo? Mungu atusaidie.
Tuna jifunza kabisa inje ya Yesu Christo akuna uzima apa duniani •Mtu kama hana Yesu wachawi wana chezeyaga maisha yake kweli •
Hii story imekaaje mbona yule babu alisema aliolewa akakaa ndani ya ndoa miaka miwili hakupata mtoto huyu katoka wapi?mbona hamueleweki?
Ungetupeleka tukaone lile kaburi lake pia,
Kaka msafiri kama ujaoa huyo love anakufaaa
😂
🤣🤣🤣
Jamani Kigoma kijiji gan???
-Petro alimfufua dorcas
-Paulo alimfufua Eutiko
-Elisha alimfufua mtoto
-Elia nae alifufua mtoto
-Yesu alimfufua Lazaro
-Yesu alimfufua binti Yairo
-Kwenye lango la naini Yesu alimfufua kijana.
-Yesu mwenyewe pia alifufuka....
Soma Mathayo 10:8
Huyu mama hakufuliwa. Yeye hakufa. Get the difference.
Kweli kabisa! Kazi nzuri mno Jactan
@@kennethogonda2947 alizikwa au hakuzikwa..kitendo cha kutolewa kuzimu na kurudishwa duniani ndo kufufuliwa
@@kennethogonda2947 naomba namba yako ya watsapp nikujibu kwa audio
@@marygregory7566 walizika kitu kingine ambacho Shetani kupitia wachawi kakifanya kuonekana kama yeye, ila hakikuwa ni yeye. Yeye alichukuliwa kiuchawi hadi huko kwa wachawi alipokuwa. Mtu kama huyo anaitwa msukule. Hakufa.
Nami naitaji maombi mdogo wangu alipata ajali tukaona kweli kafa ameumia vibaya Sana tukaomboleza akazikwa baada ya week moja kuisha ameanzaa kujitokeza kuwa hajafa yupo shimoni anatumikishwa jamani bado tunamulilia Mungu apate kurudi salama
Fungeni na kuomba Yesu hashindwi
Sijasema mchungaji penina kutoka Kenya ningependa nije kufanya maombi Katja hiyo Kijiji Cha kina love
Pia anatakiwa kufunguliwa kabisa
Mbona huyo mzee anatuchanganya anasema yeye ndio kaenda maombini
Kumbe hata kanumba na sajukki wanaweza kurudi
mimi ni mkenya, msikhure ni nini?
Mkatupe namber
Kupugaza maneno mengi nenda moja kwa moja kwenye point unabowa kuelezea sana
Love nipatie number ya simu please..