Mashaallah Dr sule naandika nikiwa nabubujikwa na machozi kwa namna nnavyofatilia crip zako,nawahurumia sana waliofungwa kwa fikra, Mashaallah Allah akuhifadhi leo hata kesho kiama, kwakweli natembea kifu mbele na najivunia kua muislam na Mashaallah kupitia crip zako Dr watu wanasilim kwa tunavyowasikilizisha na kufanyia reference kwenye biblia, hasa kile kisa cha mikono ya waandishi, ikaifanya torati ionekane kua uongo, dah eti yakobo anamlazimisha Mungu ambariki asipombariki hatomwachia na binadam unawezaje kumkaba Mungu, kua mbayuwayu akili za kuambiwa changanya na zako, Mashaallah Dr
Karibu katika Uislamu ili upate kujuwa Kwa kina kweli ya mambo ambayo yamefichwa na Imani nyingine Kwa makusudi maalum. Uislamu ndo dini pekee inayofundisha ukweli wa mambo pa si na hiyana(dhulima) yoyote.🙏🙏🙏☝️🕌♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Wasabato ndio dini ya kwanza ameanzisha Mungu na kuhusu mjadala shehe mazinge alishindwa na wasabato na wewe sidhani kama uko vizuri kumzidi shehe mazinge Kutoka 20 8 Ikumbuke siku ya Sabato uitakase. 9 Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote; 10 lakini siku ya saba ni Sabato ya Bwana, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yo yote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako.
Mm nimkristo naitwa Daniel ila nakubarisana mafundisho Yakonakufuatiliasanaunafundisha mwanadamu anatakiwa aweje mbele za mwenyezi mungu nambele zabinadamu wenzie pia hunamafundisho ya ubaguzi was kidini
Haja haribu chochote nilazima aitikie panapo stahili kuitikia Jina la mtume Lazima lishimdikizwe na neno fulani Jina Allah hivo hivo hata nama nabii pia
@@snsonlinetv8432 ushahidi utaupa kaka : ukisoma kitabu cha nabii Musa : mwanza 10: 6-20 kina eleza vizuri habari : nuhu akamzaa hamu na hamu akamza misri na misri akamzaa wanaftu nakadhalika:
Kama kweli wajua historia just tell me niwapi kuliandikwa wafilisti walitokana na uzao wa Esau : wewe wategemia wasomi ila hali wemwenye huna habari yoyote : mtegemea nundu........
mngejua historia yesu msingemumfanya mungu mtulie tu wenye kujua historia wawaelezee. Yani Hapo mlipo mnasena Israel ni taifa teule la mungu hata hamjui mnachosema. waovu watupu eti kwa kigezo cha kuwa wa Israel wawe taifa la mungu kweli? 🤣🤣🤣. tulia usimuliwe na kama mbishi toa video zako na wewe utusimulie tuje kukukosoa hapa
Mimi Uislam Siukatai, Swali ni kwamba wewe kama mwislam, unauishi Uislam wako?.vivyo hivyo upande wa wakristo.ukristo mnauishi?Mungu anataka tupendane.tuwe na matendo mema.tuache udini tukatende mema.Shekhe endelea kubabadua injiri, nakuombea maisha marefu.
Angalia unavyoporoja. Eti hesau na mtoto wa ismail ndio kizazi cha wapalestine. Umesema ibrahim as alinunua ardhi kwa wapalestine 😮😮😮😮 lipi ni lipi sasa?
Hii historia nimeifatilia leo kuanzia part 1 part 2 mpaka hii part 3 aissssseeee Allah akufanyie wepesi kwa kweli.
Mm ndio namaliza part 3
Dr sule nakupenda kwaajili ya Allah
Hat mim nakupenda wewe😁
Mwamba dr sule,shekh mwenye upeo mkubwa sna
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@@zvpOnlineTv historia bado asome vizuri inampiga chenga
Nakupenda kwa ajili ya m/ mungu Allah Akbar napenda San darsa zko
Mashaallah Dr.Sule
Tafadhali hugo jamaa ambae kuzungumza nyumba ya kupata satisfy aharibu mawaidha
Inshaallah tutamjuza apunguze
😂😂😂😂😂
Mashaallah, shukrani sana 🙏.. Ila huyo anaeitikia anakera sana! Angekaa kimya tu bwana
kuitikia ina paswa lkn si Kwa sauti ikakera watu
Kabisa
Umeonaee
@@vijubalanchii5193 yah, anazingua sana
Iwapo ungejua thawabu huyo mwenye kukukera anapata hungesema hivyoo subhannallah
Mwenyez Mungu akulinde Dr sule. Tunakupenda kw ajili ya Allah. Allah akuzidishie kheri nyingi, uendelee kutuelimisha walimwengu
Allah akulipe docter Sule tumekuja fata mada baada yakuskia hio vita ili tujue nini sababu.🇧🇮
Nakutunuku Profesa, very deep and analytical narration of Palestine vs. Israel conflict.
Mashaallah doct sule mungu akulipe kila la kher
Mashaallah Dr,Sule Allah akupe kheir kwa kutuelimisha shekh
Mashaallah Dr sule naandika nikiwa nabubujikwa na machozi kwa namna nnavyofatilia crip zako,nawahurumia sana waliofungwa kwa fikra, Mashaallah Allah akuhifadhi leo hata kesho kiama, kwakweli natembea kifu mbele na najivunia kua muislam na Mashaallah kupitia crip zako Dr watu wanasilim kwa tunavyowasikilizisha na kufanyia reference kwenye biblia, hasa kile kisa cha mikono ya waandishi, ikaifanya torati ionekane kua uongo, dah eti yakobo anamlazimisha Mungu ambariki asipombariki hatomwachia na binadam unawezaje kumkaba Mungu, kua mbayuwayu akili za kuambiwa changanya na zako, Mashaallah Dr
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Nipe link ya hii Crip ndgu yangu
Mbona ya 4 sijaiona
Ìpo tafuta uraipata
Leo nimeelew sheikh
Great speaker in 21 century
Tupemadini shehe tufunguke
ALLAH akulipe kheri duniani na akhera zaidi
Manshaallah ❤️ from MALAWI 🇲🇼 🏠 Burundi
Shekhe una elimu kubwa barikiwa
Shukran jazla sheikh Alhaj DOCTOR SULE
MashaAllah MashaAllah ❤❤❤❤❤
Thanks for your information.Im a Christian I didn't have this knowledge
Karibu katika Uislamu ili upate kujuwa Kwa kina kweli ya mambo ambayo yamefichwa na Imani nyingine Kwa makusudi maalum. Uislamu ndo dini pekee inayofundisha ukweli wa mambo pa si na hiyana(dhulima) yoyote.🙏🙏🙏☝️🕌♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Unakubali upotoahaji huo
mashallah ALLAH akupe kila lilio la kheri Allahamdulillah kuwa muisilam
Hakika wewe niwakujivunia mungu akufanyie wepesi
Sule mungu akubariki zaidi
Mashalla
Alla akulipe kiralakheri Dr sule.
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Kuna jamaa tangu eps 2 sauti yke yasikika!Anatatiza masikio yetu sana!!Maneno yke MashaAllah lakin apunguze sauti
jamaa anaharibu concentration ya msikilizaji
Hhh😂😂😂😂😂
Eeeeee🙄🙄🙄
Amenikeraaa
Mwenyez mungu akaendelee kukubariki kwa elimu yako.
Jazaak ALLAHU khayr shekh ALLAH akuhifadhi
Muongo wayahud Dr
MashaAllah sheikh shukran sana
Tuambie kweli sule na mola akulipe kila la kheri kwa juhudi ya kufikisha elimu kwa umma
Jazaka allahu kheiri sule
MashaAllah
MashaAllah ❤
MashaAllah Allah akuhifadhi
Mashaallah...!!!
Mmepata la kusema lile taifa ni la mungu acha maneno mengih
Masha Allah
Wasabato ndio dini ya kwanza ameanzisha Mungu na kuhusu mjadala shehe mazinge alishindwa na wasabato na wewe sidhani kama uko vizuri kumzidi shehe mazinge
Kutoka 20
8 Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.
9 Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote;
10 lakini siku ya saba ni Sabato ya Bwana, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yo yote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako.
Shukran maana nilikuwa naisubiri Kwa hamu
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Lile jumba linaitwa Dome of the Rock
Mashallah
Mashallah dr.
Mashaallah tabarika allah allah awasaidie amiin
Shukran Dr sule
Jazak Allahu feek sheikh wetu dr sule
Mashaalah ubarikiwe.
Mashallah Allah
asante mpaka tunasahau kimefikia wap
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Shekh we dokta mashaalah
From 🇧🇮mashaallah
Mashaallah
Ameen 🤲🏽
Powa Sana kabisa
The Head master Dr sule
Muongo Dr wayahud awaabudu ndama wanamwabudu Mungu mmoja
Lile sanamu la ndama mayahudi walilolitengeneza wakaliabudia pindi Mussa alipoenda kuchukua amri kumi za Mungu liikuwa nani?!
Unajua sana shk,
Hivi Huyu dr sule( Huyu u doctor wake ni degree ao la) mwenye kujua anambie
Degree ya mambo ya afya. Na aliishawahi kufanyia kazi hospitali ya Serikali.
Alhamdulillah
Alhamdulillah Amiiin.
Maaashaaallah, lakani Shekh usiwe unaonyesha ivo vidole viwili🤟
vina nn
Asalaam alaykum sheikh wangu mashaalah Allah akupe Kila lenye kher na afya njema
mashaaallah
mashaalwa
Hapo ndi tutajua Mungu wa kweli ni yupi, kati ya Mungu wa israel na palestina...
Tabora imejaa historia nyingi
.Maashaallaah
Kuna sehemu upo kweli na kuna sehemu haupo sahihi Musa haabudu ndama hapo umekosea
Hakusema mussa ana abudu ndama sikiliza vizur
Mm nimkristo naitwa Daniel ila nakubarisana mafundisho Yakonakufuatiliasanaunafundisha mwanadamu anatakiwa aweje mbele za mwenyezi mungu nambele zabinadamu wenzie pia hunamafundisho ya ubaguzi was kidini
Mdahalo ujqa uwepo dr sule tunakuomba
Inshaallah
❤
Shekhe sule muogope molawako lejesha amali zawatu ulizo kula kwanja isikua ya haki
Siyo kweli kwamba waliuza. Ardhi wanaporwa kwa mabavu ili wakose sifa ya kuwepo Gaza na Ukingo wa Magharibi.
Kaka huyo anayetikia kila mara anaharibu Sana mawaidha kiukweli jitahidi Mara nyingi isijitokeze
Inshaallah
Haja haribu chochote nilazima aitikie panapo stahili kuitikia Jina la mtume Lazima lishimdikizwe na neno fulani Jina Allah hivo hivo hata nama nabii pia
Kweli
Ndio
Mpigwe sanatu
dokata uyo alokaa mstar wa mbele unamkosha sana
MA SHA ALLAH
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Uyo jamaa anazinguwa sana kama mshamba dokta ongya nae uyooo
dr uje usimulie historia ya waisrael
Inshaallah shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Wapelestina hawatokani na Esau :wapelestina wametokana na kizazi cha hamu mwana wa nuhu ; someni historia vizuri;;
tupe ushahidi
@@snsonlinetv8432 ushahidi utaupa kaka : ukisoma kitabu cha nabii Musa : mwanza 10: 6-20 kina eleza vizuri habari : nuhu akamzaa hamu na hamu akamza misri na misri akamzaa wanaftu nakadhalika:
mmmh, nyie wakristo historia hamjui alaf ndio utujuze kuhusu historia ya mitume kweli 😅😅
Kama kweli wajua historia just tell me niwapi kuliandikwa wafilisti walitokana na uzao wa Esau : wewe wategemia wasomi ila hali wemwenye huna habari yoyote : mtegemea nundu........
mngejua historia yesu msingemumfanya mungu mtulie tu wenye kujua historia wawaelezee. Yani Hapo mlipo mnasena Israel ni taifa teule la mungu hata hamjui mnachosema. waovu watupu eti kwa kigezo cha kuwa wa Israel wawe taifa la mungu kweli? 🤣🤣🤣. tulia usimuliwe na kama mbishi toa video zako na wewe utusimulie tuje kukukosoa hapa
True
Nilikuwa nasubr kwa hamu sna
Kumbe sisi nindgu bwana basitu maandiko ya Mwenyezi lazma yapite Allah atuongoze
Mijitu mingine imejaa uchonganisha mungu Hawa watu wachonganishi waafe wafee Tena wapotee
Kufa ww😂
👏👏👏👏👏
Uko vzuri hilo taifa ni ndugu umepatia ni ndugu na wanagomvania ardhi kweli ila waisrael wana ahadi
Msikiti wa alaqsa utabomolewa hakuna wa kuzuia Hilo.Biblia ndiyo uhalisia wa yote
Ongelea na mgogoro wa ngorongoro sheh waarabu wanafukuza wamasai
Video Ina sauti ya mtu mmoja anakere.
Umeonaaa eeeh😅
Huyu mzee anatia kisauti chake kazingua
eeeee ebana Alla akupe mayisha marefu
Do Leo umechemka
Mimi Uislam Siukatai, Swali ni kwamba wewe kama mwislam, unauishi Uislam wako?.vivyo hivyo upande wa wakristo.ukristo mnauishi?Mungu anataka tupendane.tuwe na matendo mema.tuache udini tukatende mema.Shekhe endelea kubabadua injiri, nakuombea maisha marefu.
Maneno hayaaà
Masha"Allah
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Unajua Hadi unakera father
Umeanza vizuri then ukaanza tofauti ya udini.
Kwa kuongea ukweli
Wapi sasa unataka adanganye
Na aqsa muda si mref itabomolewa ndio ntajua mungu wa wayahudi ni jeuri nsio macho yatawatoka vizuri
Angalia unavyoporoja. Eti hesau na mtoto wa ismail ndio kizazi cha wapalestine. Umesema ibrahim as alinunua ardhi kwa wapalestine 😮😮😮😮 lipi ni lipi sasa?
Anajichanganya taifa la palestine walitwa wa kaanani kabla ya Ibrahim
Wayahudi wanaongoza Dunia kutokana na Maneno ya Mwenyezi Mungu kwa Yakoub ama Yakobo kuwa atambariki yeye na kizazi chake milele,
Sio mayahudi hao
Huyo jamaa wa Alayhi salaam hakosi
Hahaaaaaaa