Shekhe. Kumladhi! Maana NIMEANDIKA na kutafsiri jina lako TOFAUTI! Naam, Shekhe Othman. Niombee Mema katika safari yangu ya hapa Duniani. Nami nakuombea katika kazi hiyo NZURI na muhimu saaana katika kutukumbusha wajibu wetu kwa Muumba wetu🙏🙏🙏
Mashallha shekhe Othman mungu akupe aweni lnshallha uzidi kutupa mawaiza yenye raza ya sauti mzuri maana uwe nikisiliza mawaiza yako najiona napata na furaha ya moyo kwaza uchoshi mashallha kusiliza
Allhamdulillh Allah awape umri.mrefu mashekhe wetu wote mnaolingania daw othuman Allah akulipe unatoa daw Kwa hekma bila ya ukali mpak mamuma anakuwa na mwang kweny moyo walahi
Mashaalla anajua dini kweli mimi kutoka yamen naishi madina munwara kwa hiyo mungu haiwezekani. Kwa NA mtoto NA yesu sio mungu wala sio mtoto wa mungu maana maria ni binadamu kama sisi ltakuaje mtoto wa marriya awe mtoto wa mungu NA mungu hana haja kwa NA mtoto yeye mungu anaumba watu wala hazai kabisa
السلام عليكم ورحمة لله وبركاته Natamani mashekh wazanzibar watengeneze darsa za tafsiri Qur'an sura kwa sura na Aeleze maana ya maneno yafahamike Kama wanavyofanya nchi nyengine za kiislaam tele Bil-asaf tunavyuo vya Qur'an vingi kuliko school zaserikali lakini Qur'an inasomeshwa kwa kuratili tu hata watoto wanaohifadhi ukiwaauliza maana ya walichokihifadhi hawakijui Nihasara kuhifadhi kitu usichokijuua maana yake na inapelekea kutokufanyia kazi ulichokihifadhi na kukisahau mara tu unapokiiacha kukipitia Ndio maana pia wanahifadhi halafu wakiwa wakubwa utawasikia *ilikuwa nimehifadhi juzuu kadha lakini nishazisahau* Hili linatakiwa lishughulikiwe ili tuelimike kwa haki ya kukifanyia kazi na isiwe hoja siku ya Malipo السلام الله عليكم
Allah akuhifadh shehe. Nataman kujua kama una darsa za kufundisha kinamama hapa dar. Allah anijaalie niwe miongoni mwa wanafunzi wako. Allah kakuruzuku ilmu kubwa.Wasaidie akinamama wa kiislam kwa kuwaelimisha ili kizazi cha hiki kiweze kunusurika na kiwe bora kwa kumtii allah.
E / M niweke bhal na Ibils laana kum na ikitokea nikipotea bhx naomba nikukumbuke inshallah
MashaaAllah....Wallahi nimejifunza mengi Sana kupitia kwako Ustadhi.Mwenyezi Mungu Akuzidishie
Shekhe. Kumladhi! Maana NIMEANDIKA na kutafsiri jina lako TOFAUTI!
Naam, Shekhe Othman. Niombee Mema katika safari yangu ya hapa Duniani. Nami nakuombea katika kazi hiyo NZURI na muhimu saaana katika kutukumbusha wajibu wetu kwa Muumba wetu🙏🙏🙏
Mashaallh mungu akujaalie kila l kher inshaallah kw kutup elim mungu akubarki inshaallah
Inshallah Mwenyezi Mungu akupe mwisho mwema na mimi pia tuwe peponi pamoja na mtume Mohammad(s.a.w).Aminiiii
Issa Ngullo amin
Ameen
Ameen yarab
m
Na mm mwenye kuskiliza tuweote peponi insha allah
Jazzakallah kheyran sheikh Othman
Sheikh Othman, tunakupenda na tunakuhishimu kwa kusikiliza Mawaidha yako. Mungu akuhifadhi akupe siha na afya. Tufate mawaidha ya Kiislamu. AMIN
AMIIN
M nahtaj unioe nipate kufundishwa mambo ya din jamn
ameen
Huo namuelewa sana Ustadhi twashukuru kwa dawaaa zinatubadilisha na kua wacha mungu
MashaAllah nimesoma kitu kikubwa ajabu leo
Jazaka Allah khaira shekh othman maalimu Allah AKUJAALIE umri Mrefu
mashaAllah one of my favorite sheikh
Mashaallah aleyk Sheikh Othman maalim Allah kakupa sauti na umejua kuitumia mahala sahihi Allah atupe ilham sote muslim
Maashallah akujaalie kila la khery sheikh
shekhe maalimu othuman Allah akupe kheri nyingi
Alhamdulillahi leo nimejua vp hizo sijida 2 zilivo wekwa ALLAH akupe umri uzidi kutuelimisha🤲🤲
Marshallah mwenyezi mungu akulipe kwa kazi nzuri inshallah
Tujuane wano angalia 2020 Allahmduhli 🙏
Tupo 🔥🔥🔥🙌🙌🙌
Tupo Alhamdulillah
Qeen maya
Nipo
Queen Maya ili iweje,na itasaidia nn?!
MashaAllah Allah atujaalie tuwe ni wenye kuwaidhika
Allah s.w atupe mwisho mwema lnshaAllah
mashaallah shekh othman Maalim Mungu akulinde na kila kabaya
Mashallah Allah akuzidishie elimu yenyee manufaa amin
Mashallha shekhe Othman mungu akupe aweni lnshallha uzidi kutupa mawaiza yenye raza ya sauti mzuri maana uwe nikisiliza mawaiza yako najiona napata na furaha ya moyo kwaza uchoshi mashallha kusiliza
Mungu akuongoze shekh Othman maalim
Allah akuzidishie ilmu nayapenda mawaidha ysko sana
Jazaka Allah khaira shekh othman maalimu
Ma Sha Allah,nakupenda kwa ajili ya Allah!
assalaam, Allah amjaalie ulamaa huyu elimu yenye manufaa kwa jamii Duniani na Akhera ,Allahumma Aamin
Waalley kum sallam,Allahuma ameen.
Wallah hua sijutii bando langu sheikh, niangaliapo mawaidha yako najihisi nipo kabisa karibu na masahab
m.a
@@ahmedhusseinhussein8145 maalum mm taka uniekewazi nilimsikia shehe anasema mtuikwahaelewani nanduguzake hana Ramadhani je hii inaukweli
Allhamdulillh Allah awape umri.mrefu mashekhe wetu wote mnaolingania daw othuman Allah akulipe unatoa daw Kwa hekma bila ya ukali mpak mamuma anakuwa na mwang kweny moyo walahi
Alhamdulilah mashallah mawaidha yakusisimua Mungu akupe mashaisha marefu amin
Jazzakallahu khery shekhe othman Maalim,ALLAH akupe umri mrefu na akupe mwisho mwema Inshallah.
Saumu Hassan jazzakallahu khery shekhe othman
Mashaallah
Mambo.vipi
Mashaallah mungu akupe mwisho mwema
Shukran wajazzak Allah kheir Allah akuhifadhi akupe umri na afya njema
Manshaallah cheikh, shukran shukran
Mungu akubatiye Rehma Yake
Thank u I have liked this.
Mashallah
Masha Allah shekhe Allah akuzidishie kila kheri akuepushe na kila la Shari AMEEN Akupe umri mrefu AMEEEEEEEN
I like all the best
Shekhe othuman Allah akuhifadh
Amina
Shekhe Asuman. Ukarikiwe zaidi kwa Umahiri wa usomaji na Tafsiri ya NENO la Mwenyezi MUNGU. Emmanuel
Qqq
Mashaa Allah, Allah amjalie Sheikh hafia Bora nasisi pia Aamin
MASHAALLAH ALLAH AKUZIDISHIE KAKAETU UTHUMAN MAALIM NA AKUJAALIE MWISHO MWEMA AMIIN
Maaaashaallah Allah akulipe badala
Amin
Jazakallahu khaira
Mwenyezi Mungu akupe maisha malefu
Mashaallah Jazakallahu kheyri, Mungu Azidi kukuweka shekhe Othman Maalim
Allahuma nijalie pepo yako niwe bwanamtume na shekhe osumani maalim
Aĺlah atukinge na amali ya kivri na wenye kibri Allah awaonolee
Amiyn
Hakika makumbusho yako ni Bora kwetu sisi ...Mola akujaalie kila lenye kheri la akhera na dunia
mashallah napenda Sana mawaidha yake Sana nimekuwa shabiki tangu redio rahma ianzishwe msa ndipo nilianza kuupata mawaidha yake
Naam mipya
Mashaalla anajua dini kweli mimi kutoka yamen naishi madina munwara kwa hiyo mungu haiwezekani. Kwa NA mtoto NA yesu sio mungu wala sio mtoto wa mungu maana maria ni binadamu kama sisi ltakuaje mtoto wa marriya awe mtoto wa mungu NA mungu hana haja kwa NA mtoto yeye mungu anaumba watu wala hazai kabisa
Masha Allah mungu akujalie afya njema amiin
Maashaallah shukraaan saan shekh nakupenda saaan
Mashallha
Cheikh Othmane malim una soma kur'ani kwa utarTibu , mungu akupe umri mlefu , n'a mwisho mwema.
Mungu akupe mema
Jazzakallah fikum
Sheikh Othman Ndugu yangu Allah kakujaalia Zumari la dhahabu unavyosoma Quraan 7:14 MashaAllah
TabaarakALLAH min Kulli ni3am
Masha Allah shekhe Allah akulipe na atujaalie wasikilizaji tuwaizike
Shukurani sheikhe othumani mwenyezi Mungu akujalie Janna tukufu siku ya khisabu inn'shaalla
Daah uyu shehge mungu amoinde
Shukran shekh, kiukweli si mda mrefu mimi mwenye nilijiuliza, kwani hizi jijida mbili zilikujakujaje ktk kusali
Maa shaa Allah tabarakallah baraka llahu fik sheikh othman
sheikh Allah akupe umri mrefu wenye manufaa
Allahuaqbaru🙏🏽
Mashallah shekh mm napenda sana mawaidha yako Inshallah kila khery namungu akuongezee umri mrefu wenye faida Akhera na duniani Inshallah 👏
Allah akupe Afya njema ili uendelee kutulingania InshaAllah @Sheikh Othman Maalim
Abubakary AEL sheh othmani mungu kukupa!!
Mashaalaa mungu akupe afya njema
mashallah shukrani 🙏
mashallah
H
mashallah mola akubarik
Mashallsh
May Allah bless you shekhe
Shekhe wetu ,Mola akuzidishie uwezo wa dawa na umri mrefu insha Allah
ALLAH akujaalie kheir inshaaLLAH
Inshaallah
Aamin
My all time favorite Allah ya Izaq❤️💯🙏🏽
Nzuri mashaalah
Mashaa Allah
mashallah sheikh nkukubali %%%%%%%%%%%%% mungu akubariki
Nakupenda Kwa ajili ya Allah
Shukran wajazaka llahu Heri inshallah amiin yarabi
Jazakallah khair
Karibu tena Bujumbura Sheikh
Maasha Allah akuiy kaaariiiimm
M mungu akupe umri mrefu zaid
السلام عليكم ورحمة لله وبركاته
Natamani mashekh wazanzibar watengeneze darsa za tafsiri Qur'an sura kwa sura na Aeleze maana ya maneno yafahamike
Kama wanavyofanya nchi nyengine za kiislaam tele
Bil-asaf tunavyuo vya Qur'an vingi kuliko school zaserikali lakini Qur'an inasomeshwa kwa kuratili tu hata watoto wanaohifadhi ukiwaauliza maana ya walichokihifadhi hawakijui
Nihasara kuhifadhi kitu usichokijuua maana yake na inapelekea kutokufanyia kazi ulichokihifadhi na kukisahau mara tu unapokiiacha kukipitia
Ndio maana pia wanahifadhi halafu wakiwa wakubwa utawasikia *ilikuwa nimehifadhi juzuu kadha lakini nishazisahau*
Hili linatakiwa lishughulikiwe ili tuelimike kwa haki ya kukifanyia kazi na isiwe hoja siku ya Malipo
السلام الله عليكم
Masha Allah
Yaarabi Allah
jazak Allah khair nimependa sheikh
Mash Allah
Maa Shaa Allaah
Jazakallahu kheyri ya maalim othman
Shukrani shekhe othman
mashaa allah
ما شاء الله لا قوة إلا بالله❤❤❤❤
My favorite sheikh
mashaalah.
Jazaka Allahu kheira
masha allahu shekhe kutupa muonguzo Allah akupe kauli thabiti
😭😭😭😭😭😭😭😭😭 ya Allah bless us with your deen
Allah akuhifadh shehe. Nataman kujua kama una darsa za kufundisha kinamama hapa dar. Allah anijaalie niwe miongoni mwa wanafunzi wako. Allah kakuruzuku ilmu kubwa.Wasaidie akinamama wa kiislam kwa kuwaelimisha ili kizazi cha hiki kiweze kunusurika na kiwe bora kwa kumtii allah.
God Bless you. Mashaallah
Mashallah
Eeee Allha tujalie tuyapate vema haya mazingatio
Nampenda sana shekh Othuman Allah akuoe ukupe umri mrefu InshaAllah
🇧🇮🇧🇮🇧🇮Allah akubariki
JazaakAllah shiekh.
Mashaallah
Mashallah sijawai kuchoka kukuskiza shekh wanguu...siku moja nataman nikuone inshallah
mashaallah
Mwenyezimungu akufanyie wepesi shekh
mungu akubariki sana shee OTHMANI MAALIM
MASHAALAH
Allah Atujalie kheri insha'Allah
Sheikh wangu love you from Canada 🇨🇦
Mashallah mungu akupe uzima uzidi kututowa kwenyeshimo la moto tupate kher kwa allah
My Aalim Dr Othman Maalim 😢
mashallaah allaah akuweke shekhe wetu kuakutuelimisha mashalah