Mashaallah! Hongera zake bwana Hamidu. Yaani Nyumba zipo ktk mpangilio mzuri kupita maelezo. Yaani kama Ulaya vile. Hizi Nyumba zilivyo jengwa, kama za Ulaya tu. Hongera sana kaka. Mungu azidi kukusimamia utimize ndoto yako. 🙏🏽❤️
Mungu akujalie na wngne wafate nyayo zako muwe wengi bongo❤️ nmependa alivyowazia kujenga fance nusu kwasabb ya hewa na ndomana nyumba nying za bongo jotoo Sana tofaut na nchi za wnztu
Interview zuri mno ila Da zama in shaa Allah msauri anndike kitabu wala mpe wazo hilo in shaa Allah nilifwatilia tangu anapo hanza nyumba zile 6 kutoka North Dakota USA
Wakati w Mungu n sahihi Sana mpaka machoz ymenitoka,kweli mwanadam anaweza akaona kitu n batili ila Mungu akasema hapana , Hongera Sana Hamidu nipo nyuma yko napenda Sana nyumba tena ktk mazingira y biashara kujenga n kupangisha,Mimi pia n jiran yako w kisangara.
hello, kwanza pongezi kwa kazi nzuri. pili, (niruhusu niongee kwa kingereza) i am a 3D artist and i would like to help in making 3D houses of Hamidu city so that it can be very easy for people to have very nice view of them. i will make them exactly the way they are, the way you will decide either single houses with all the things inside or even the whole city. Asanteni sana kwa kusoma. This applies to all people here, you can even tell me to design your dream house or home. thanks
😂😂😂😂💦 Ila watu wana masihara jamani Nyumba milion mia 20 😳😳🙄🙄 MUNGU WANGU ILA ZURI SANA MMOJA AJITOKEZE TUCHANGE TUKANUMUWE BASI Hapo ndo itabidi nikae Omani miaka mingapi sijui 😂💦😂🤔dah maisha aya
Anaulizwa swali anasema alijenga watanzania wamuelewe akajenga moja akaona hawatamuelewa...akajenga nyingine...kwahiyo alijenga kwa sababu ya watu?? Aeleze kibunda cha kuanzia😅😅😅😅
mbona wakati unafanya introduction unaanza kwa kuwasalimia watanzania pekee ilhali tuko hata na sisi wakenya mashabiki zako wa kitambo hata wakati ulikua cluods.
Hii biashara nyumba imetajirisha matajiri wengi Sana nchi za wenzetu Yani unajenga Kwa gharama ndogo Ila kadiri muda na miaka inavyo enda thamani ya nyumba inazidi kupanda kwasababu maisha yanabadilika na gharama za ujenzi na viwanja zinaongezeka so Jamaa atakuja kuuza Kwa faida maradufu na kuwa billionaire Kwa miaka ya mbeleni kuliko alivyo Sasa Yani hii nikama crypto vile🙌🙌😁
Mashaallaa, mwenyezi mungu akupe ubri na afya njema ili umalize hizo nyumba 1500 na uwongeze nyingine
in shaa Allah
Najisikia vizur sana kuona waliofanikiwa wanapoelezea walipo toka iyo inatupa amasa zaid ya kupambana bila kukata tamaa
Allahu Akbar nimependa sana Wazazi wa Hamidu wakiwalazimisha Masomo ya Madrasaa BIG UP kwa Wazaaazi MASHAALLAH
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
aka bachuchu mombasa 001
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mashaallah! Hongera zake bwana Hamidu. Yaani Nyumba zipo ktk mpangilio mzuri kupita maelezo. Yaani kama Ulaya vile. Hizi Nyumba zilivyo jengwa, kama za Ulaya tu. Hongera sana kaka. Mungu azidi kukusimamia utimize ndoto yako. 🙏🏽❤️
Da Zama, Allaah akujaalie kheri...
Hongera sana bwana Hamidu, Mungu akuzidishie kheri. What an Inspiration!
Asante Sana zamaradi, Asante ndugu Hamidu maisha yako Yana mengi ya kujifunza kwetu siye vijana...tunaomba part two haraka iwezekanavyo
Masha Allah.namuomba Mungu anijahlie nipate pesa nijenge aina hii ya nyumba za kisasa. 🤲🤲🤲
Alama ya sijda usoni maa shaa Allah,Allah akujaalie uendelee kuijenga na akhera yako.
Mashaallah Tabaraka Rahman,
Maash Allah jazakallah kheir
Kwa kweli imekusaidia sana elimu ya akhera yaani madras ndio kila kitu Mungu awabariki wazazi wako .
MwenyeziMungu akitaka kukupa hakuletei salamu, alhamdulillah
Mwenyezi mungu alishapanga kila mtu na chake tangu atujazaliwa ila Sisi wenyewe tunavikataa tukishaingia duniani kutokana na maisha tunayojichagulia
MashaAllah tabarakaAllah kaka Mungu akuzidishie na cc mungu atupe uwezo tuje tununue
Insha Allah
inshaaAllah 👏
Nice interview dada Zama.
Kindly consider kuendelea kupunguza mwangwi studio. Bado kuna echo kwenye videos.
Blessings
nzuri sana na bei ni nzuri sana hii ndio maana ya uwekezaji sasa..
Mashallah hongera sana hamidu mashallah
Mambo Ya Ulaya hayooo Mpaka Bongo Wajekuzoeaa Ila Father Katishaa Sasa Kwa Sisi Turiopata Baati Ya Kusafiri Nchi za Watuu ndo Maisha Yanatakiwa hvyo.!
Hongera sana ndugu.Ubarikiwe
MAA Shaa Allah , umewweza Sana big up , Barack llah
Mungu akujalie na wngne wafate nyayo zako muwe wengi bongo❤️ nmependa alivyowazia kujenga fance nusu kwasabb ya hewa na ndomana nyumba nying za bongo jotoo Sana tofaut na nchi za wnztu
Amidu you are legend love
Interview zuri mno ila Da zama in shaa Allah msauri anndike kitabu wala mpe wazo hilo in shaa Allah nilifwatilia tangu anapo hanza nyumba zile 6 kutoka North Dakota USA
Wakati w Mungu n sahihi Sana mpaka machoz ymenitoka,kweli mwanadam anaweza akaona kitu n batili ila Mungu akasema hapana , Hongera Sana Hamidu nipo nyuma yko napenda Sana nyumba tena ktk mazingira y biashara kujenga n kupangisha,Mimi pia n jiran yako w kisangara.
Masha Allah..Allah akuhifadhi
Boss wng Hamidu
Allah akufungulie zaid ya hapo .inshaallah
Ameen ameen kwa uwezo wa Allah
MashaAllahh,mungu aendelee kumbariki ,nasi pia tubarikiwe.Amiin
Waoooooh maashaallah maashaallah maashaallah
Kuna kitu kikubwa nimejifunza kutoka kwa Hamidu 📌🙏
Dah maisha haya ukipambana unaweza
Very inspiring n educative..Big up kwenu
Mashaallah tabarakallah we ni mwaume broo
Mashaallah sana2 Allah amzdishie inshaallah kher
Hongera bosi wangu,tunakukumbuka sana kwa upendo ulotupa,bila kusahau nauli na cm ulizotupatia za bure ni mabosi wachache wenye moyo huo
Mungu mwema. Tujitume na kufanya kazi sana.
MashaAllah TabarakkahAllah
Nyumba nzuri mazingira mazuri yanavutia na bei yake pia nzuri
Sijapenda zama mpaka sasa ivi kweli hutaki kuaachia part 2🙏🙌💛
Masha Allah 😍😍
Waiting for part 2 😁
Wouw nimefurah utadhani ni mim Allah azid kumfanyia wepesi nimejifunza kitu
Mashaallah
Masha Allah...Hamidu mungu akubariki
big up hamidu you have struggled alot
Waiting for part two
Masha Allah
Great
Timu gulf nyumba hizooo changamkeni🤗
Mashallah 💕tujengeeni na za mil 30 jamani wengine kipato kidogo
Kabsaaa
Nyumbani nzuriii jamani 🔥🔥
Awesome 🙄nime jifunza no kukataa tamaaa
Yeah kwenye life bidi na Allah ndio kila k2 kwetu cc binadamu
Wapare tuko vzr hongera faza
Story amizing
hello, kwanza pongezi kwa kazi nzuri. pili, (niruhusu niongee kwa kingereza) i am a 3D artist and i would like to help in making 3D houses of Hamidu city so that it can be very easy for people to have very nice view of them. i will make them exactly the way they are, the way you will decide either single houses with all the things inside or even the whole city. Asanteni sana kwa kusoma. This applies to all people here, you can even tell me to design your dream house or home. thanks
Hi cam decide my house 4 bedroom bath 2/1
@@koletajeanne8824 yes
Share your email plse.
You should put your contact information in here, just in case someone wants to contact you. Including myself! 🙏🏽❤️
Hongeraa Sanaa Mungu akujalie zaid na usikate tamaa
Huyo Mkuu wa kituo atakuwa na heri ktk dunia na akhera
Kaka hamidu hongera Sana ndugu yangu magreth w mvungi
Kesho ndo naanza rasmi kupika maandazi ,
Sambusa bado Sana ntachelewa aisee !!
Mungu akubarikie
Ujaaliwe kwakwel biashara yyte ya msosi ni nzur
Hapo uliposema mtu anajenga fensi mpaka unazuia nyumba haionekani
Bigup bro
Wow Hamidu Pongezi nyingi Sana. ❤️
Hata mimi nataka hivyo yaani nataka sana kuwa na re estate yangu na naamini nitafanikiwa tu
Hiyo part two iko wapi??
Tunataka part 2 please
Daah kulipa kidogo kidogo unaweza au?
Nimejifunza kitu ktk history yako bro akuna kitu rahisi ishu ni mapambano
💡💡💡💡💡💡
💕❤❤❤
Tunaomba utufungulie njia, Sis ni majirani wako. Zama naomba ufikishe kilio chetu.
Tunaomba amalizie historia yake
natamani vile vile umtafute mtu anaitwa venny, yupo dodoma nae ana project kama hizi za hamidu, nadhani nae ana interesting stories to tell
Naomba contact kuusu kununua nyumba
walio ishia darasa la 7 wengi waliojituma walifanikiwa sana ndio wameajiri wasomi
Ndo mipango ya mola hiyo
Sio Tanzania pekee. Tunatazama ZamaradiTV tukiwa Kenya pia.
l also need ahouse
Party two
l want one house
siku moja ntakua na hojiwa hivi alaf ex wangu atakua anaangalia na kujuta nafasi aliyo poteza
Ata mm maana apa saiv nagenge na duka la vyakura nais zama ataniita nifanye intvew
😂😂😂
🤦😂😂😂😂😂
@@mmn7480 😂😂😂😂😂
Tunawasubilia jaman loh mmeniacha hoi
Tunaomba na dodoma jamn
Tuna omba sehemu ya pili dada Zama maana nimenoga imenoga mpaka imenoga tena
story ilinoga daaa imenikata stim
Zipo wapi hizi.?
Kigamboni
Zama unazingua siku ya tatu hakuna part two?
😂😂😂😂💦 Ila watu wana masihara jamani Nyumba milion mia 20 😳😳🙄🙄 MUNGU WANGU ILA ZURI SANA MMOJA AJITOKEZE TUCHANGE TUKANUMUWE BASI
Hapo ndo itabidi nikae Omani miaka mingapi sijui 😂💦😂🤔dah maisha aya
Tuchange tuu
Kukaa miaka 20
Sasa hio ya kuchsnga si Bora ujenge yako mwenyew
@@semenimohamed8156 kwhy tukijenga zetu wenyw itakuwa Hamidu city
Ucjali upo sehemu.gani Oman ,mm nipo Oman pia
zamarad namba simu
Hio part two vip?
What the logic of holding it
Swali zur
Sasa si uachie hio part two jamani. Yani sisi tunafatilia kazi zako ila wewe hutujali unakua mbinafsi. Zama hatuendi hivyo
zama Naomba maelezo kwa izi myumba
Habari za asubuhi nyumba Hamidu city bado zipo?
Firstttttt💃
nilikuwa nasubili kwa ham i
Ilikua naisubiri hii
Anaulizwa swali anasema alijenga watanzania wamuelewe akajenga moja akaona hawatamuelewa...akajenga nyingine...kwahiyo alijenga kwa sababu ya watu?? Aeleze kibunda cha kuanzia😅😅😅😅
Yaan hasemi hela katoa wp ila jmn
Iendelee
Hizi nyumba zinauzwa au ni kupangisha tu?
Zinauzwa
Zinauzwa
Zinauzwa pia
Inawezekana kwamutu wa inje? kama watu wanaidhi ulaya?
Tutafuteni pesa
mbona wakati unafanya introduction unaanza kwa kuwasalimia watanzania pekee ilhali tuko hata na sisi wakenya mashabiki zako wa kitambo hata wakati ulikua cluods.
Muendelezo
Mwanaume uyu
Ni ngapi kwa dollars?
Ni karibu dollar elfu 65
@@jamesshao538 asante ndugu
Hii biashara nyumba imetajirisha matajiri wengi Sana nchi za wenzetu Yani unajenga Kwa gharama ndogo Ila kadiri muda na miaka inavyo enda thamani ya nyumba inazidi kupanda kwasababu maisha yanabadilika na gharama za ujenzi na viwanja zinaongezeka so Jamaa atakuja kuuza Kwa faida maradufu na kuwa billionaire Kwa miaka ya mbeleni kuliko alivyo Sasa Yani hii nikama crypto vile🙌🙌😁
C mpaka sasa anauza hapangishi
Nimewahi fika pale Mikwambe. Sikumwelewa vizuri. Ila Jamaa kweli kadhamiria
Mashaallah