SIKILIZA HISTORIA YA HAMIDU: BILIONEA ANAEMILIKI NYUMBA ZAIDI YA 120 ALIEANZA KWA KUPIKA MAANDAZI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2021
  • HUYU NI MTANZANIA WA KAWAIDA AMBAE PLAN YAKE NI KUWA NA NYUMBA 2000/ UTAPATA NAFASI YA KUONA NYUMBA HIZO ZILIZO KATIKA AINA TOFAUTI
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 140

  • @abdulrahmanhassan9254
    @abdulrahmanhassan9254 2 ปีที่แล้ว +5

    Mashaallaa, mwenyezi mungu akupe ubri na afya njema ili umalize hizo nyumba 1500 na uwongeze nyingine
    in shaa Allah

  • @danielkamili7093
    @danielkamili7093 2 ปีที่แล้ว +12

    Najisikia vizur sana kuona waliofanikiwa wanapoelezea walipo toka iyo inatupa amasa zaid ya kupambana bila kukata tamaa

  • @khamisshee5131
    @khamisshee5131 2 ปีที่แล้ว +9

    Allahu Akbar nimependa sana Wazazi wa Hamidu wakiwalazimisha Masomo ya Madrasaa BIG UP kwa Wazaaazi MASHAALLAH
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪
    aka bachuchu mombasa 001
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @jazzymkalitv5535
    @jazzymkalitv5535 2 ปีที่แล้ว +3

    Mashaallah! Hongera zake bwana Hamidu. Yaani Nyumba zipo ktk mpangilio mzuri kupita maelezo. Yaani kama Ulaya vile. Hizi Nyumba zilivyo jengwa, kama za Ulaya tu. Hongera sana kaka. Mungu azidi kukusimamia utimize ndoto yako. 🙏🏽❤️

  • @raheemaal-hady9328
    @raheemaal-hady9328 2 ปีที่แล้ว +4

    Da Zama, Allaah akujaalie kheri...
    Hongera sana bwana Hamidu, Mungu akuzidishie kheri. What an Inspiration!

  • @tahirnephessalum3678
    @tahirnephessalum3678 2 ปีที่แล้ว +7

    Asante Sana zamaradi, Asante ndugu Hamidu maisha yako Yana mengi ya kujifunza kwetu siye vijana...tunaomba part two haraka iwezekanavyo

  • @thumnathumna5946
    @thumnathumna5946 2 ปีที่แล้ว +4

    Masha Allah.namuomba Mungu anijahlie nipate pesa nijenge aina hii ya nyumba za kisasa. 🤲🤲🤲

  • @ahmadbadawi9664
    @ahmadbadawi9664 2 ปีที่แล้ว +3

    Alama ya sijda usoni maa shaa Allah,Allah akujaalie uendelee kuijenga na akhera yako.

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 2 ปีที่แล้ว +13

    Mashaallah Tabaraka Rahman,

  • @fatumatandika5849
    @fatumatandika5849 2 ปีที่แล้ว +2

    Maash Allah jazakallah kheir
    Kwa kweli imekusaidia sana elimu ya akhera yaani madras ndio kila kitu Mungu awabariki wazazi wako .

  • @ummunuzhat9519
    @ummunuzhat9519 2 ปีที่แล้ว +6

    MwenyeziMungu akitaka kukupa hakuletei salamu, alhamdulillah

    • @fadhilinyengo7853
      @fadhilinyengo7853 2 ปีที่แล้ว

      Mwenyezi mungu alishapanga kila mtu na chake tangu atujazaliwa ila Sisi wenyewe tunavikataa tukishaingia duniani kutokana na maisha tunayojichagulia

  • @ummunuzhat9519
    @ummunuzhat9519 2 ปีที่แล้ว +8

    MashaAllah tabarakaAllah kaka Mungu akuzidishie na cc mungu atupe uwezo tuje tununue

  • @innocentkimisha4993
    @innocentkimisha4993 2 ปีที่แล้ว +13

    Nice interview dada Zama.
    Kindly consider kuendelea kupunguza mwangwi studio. Bado kuna echo kwenye videos.
    Blessings

  • @babafemie4576
    @babafemie4576 2 ปีที่แล้ว +2

    nzuri sana na bei ni nzuri sana hii ndio maana ya uwekezaji sasa..

  • @HalimaHalima-id2cb
    @HalimaHalima-id2cb 2 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah hongera sana hamidu mashallah

  • @kambikashama4619
    @kambikashama4619 2 ปีที่แล้ว +12

    Mambo Ya Ulaya hayooo Mpaka Bongo Wajekuzoeaa Ila Father Katishaa Sasa Kwa Sisi Turiopata Baati Ya Kusafiri Nchi za Watuu ndo Maisha Yanatakiwa hvyo.!

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 2 ปีที่แล้ว +2

    Hongera sana ndugu.Ubarikiwe

  • @aybkham5795
    @aybkham5795 2 ปีที่แล้ว +2

    MAA Shaa Allah , umewweza Sana big up , Barack llah

  • @sashoright8213
    @sashoright8213 2 ปีที่แล้ว

    Mungu akujalie na wngne wafate nyayo zako muwe wengi bongo❤️ nmependa alivyowazia kujenga fance nusu kwasabb ya hewa na ndomana nyumba nying za bongo jotoo Sana tofaut na nchi za wnztu

  • @kyaro5945
    @kyaro5945 2 ปีที่แล้ว +2

    Amidu you are legend love

  • @sumisumi8181
    @sumisumi8181 2 ปีที่แล้ว +4

    Interview zuri mno ila Da zama in shaa Allah msauri anndike kitabu wala mpe wazo hilo in shaa Allah nilifwatilia tangu anapo hanza nyumba zile 6 kutoka North Dakota USA

  • @aminamfinanga8165
    @aminamfinanga8165 2 ปีที่แล้ว +5

    Wakati w Mungu n sahihi Sana mpaka machoz ymenitoka,kweli mwanadam anaweza akaona kitu n batili ila Mungu akasema hapana , Hongera Sana Hamidu nipo nyuma yko napenda Sana nyumba tena ktk mazingira y biashara kujenga n kupangisha,Mimi pia n jiran yako w kisangara.

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 2 ปีที่แล้ว +4

    Masha Allah..Allah akuhifadhi

  • @halimamohammed6410
    @halimamohammed6410 2 ปีที่แล้ว +3

    Boss wng Hamidu
    Allah akufungulie zaid ya hapo .inshaallah

  • @rukiamwinyihija7849
    @rukiamwinyihija7849 2 ปีที่แล้ว +7

    MashaAllahh,mungu aendelee kumbariki ,nasi pia tubarikiwe.Amiin

  • @ummuqaasim5227
    @ummuqaasim5227 2 ปีที่แล้ว +4

    Waoooooh maashaallah maashaallah maashaallah

  • @DorisM255
    @DorisM255 2 ปีที่แล้ว +8

    Kuna kitu kikubwa nimejifunza kutoka kwa Hamidu 📌🙏

  • @fatumahengo6849
    @fatumahengo6849 2 ปีที่แล้ว +4

    Dah maisha haya ukipambana unaweza

  • @lucasnyerere4295
    @lucasnyerere4295 2 ปีที่แล้ว +2

    Very inspiring n educative..Big up kwenu

  • @aishaomary4498
    @aishaomary4498 2 ปีที่แล้ว +4

    Mashaallah tabarakallah we ni mwaume broo

  • @clementinakalinga8088
    @clementinakalinga8088 2 ปีที่แล้ว

    Hongera bosi wangu,tunakukumbuka sana kwa upendo ulotupa,bila kusahau nauli na cm ulizotupatia za bure ni mabosi wachache wenye moyo huo

  • @isaacmwaipopo
    @isaacmwaipopo 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu mwema. Tujitume na kufanya kazi sana.

  • @imanmohamed7632
    @imanmohamed7632 2 ปีที่แล้ว +2

    MashaAllah TabarakkahAllah

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 2 ปีที่แล้ว +2

    Nyumba nzuri mazingira mazuri yanavutia na bei yake pia nzuri

  • @kitonekantasha1687
    @kitonekantasha1687 2 ปีที่แล้ว +1

    Sijapenda zama mpaka sasa ivi kweli hutaki kuaachia part 2🙏🙌💛

  • @tausilifestyle795
    @tausilifestyle795 2 ปีที่แล้ว +3

    Masha Allah 😍😍

  • @DorisM255
    @DorisM255 2 ปีที่แล้ว +6

    Waiting for part 2 😁

  • @queenwesthilson6009
    @queenwesthilson6009 2 ปีที่แล้ว +3

    Wouw nimefurah utadhani ni mim Allah azid kumfanyia wepesi nimejifunza kitu

  • @yahayaali7970
    @yahayaali7970 2 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah

  • @shifaaal-baity4503
    @shifaaal-baity4503 2 ปีที่แล้ว

    Masha Allah...Hamidu mungu akubariki

  • @mariambeautysonghuseni9549
    @mariambeautysonghuseni9549 2 ปีที่แล้ว +1

    big up hamidu you have struggled alot

  • @nayomi6498
    @nayomi6498 2 ปีที่แล้ว +3

    Waiting for part two

  • @user-jz8sj5us1h
    @user-jz8sj5us1h 2 ปีที่แล้ว +2

    Masha Allah

  • @mselimsuya6952
    @mselimsuya6952 5 หลายเดือนก่อน

    Great

  • @aselina5862
    @aselina5862 2 ปีที่แล้ว +3

    Timu gulf nyumba hizooo changamkeni🤗

  • @prettyh7509
    @prettyh7509 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah 💕tujengeeni na za mil 30 jamani wengine kipato kidogo

  • @DorisM255
    @DorisM255 2 ปีที่แล้ว +3

    Nyumbani nzuriii jamani 🔥🔥

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 ปีที่แล้ว +4

    Awesome 🙄nime jifunza no kukataa tamaaa

  • @selemanimsofe7321
    @selemanimsofe7321 2 ปีที่แล้ว +1

    Wapare tuko vzr hongera faza

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada 2 ปีที่แล้ว

    Story amizing

  • @hiroshiomondi1
    @hiroshiomondi1 2 ปีที่แล้ว +12

    hello, kwanza pongezi kwa kazi nzuri. pili, (niruhusu niongee kwa kingereza) i am a 3D artist and i would like to help in making 3D houses of Hamidu city so that it can be very easy for people to have very nice view of them. i will make them exactly the way they are, the way you will decide either single houses with all the things inside or even the whole city. Asanteni sana kwa kusoma. This applies to all people here, you can even tell me to design your dream house or home. thanks

    • @koletajeanne8824
      @koletajeanne8824 2 ปีที่แล้ว

      Hi cam decide my house 4 bedroom bath 2/1

    • @hiroshiomondi1
      @hiroshiomondi1 2 ปีที่แล้ว

      @@koletajeanne8824 yes

    • @TheNdaki
      @TheNdaki 2 ปีที่แล้ว

      Share your email plse.

    • @jazzymkalitv5535
      @jazzymkalitv5535 2 ปีที่แล้ว +2

      You should put your contact information in here, just in case someone wants to contact you. Including myself! 🙏🏽❤️

    • @sashoright8213
      @sashoright8213 2 ปีที่แล้ว

      Hongeraa Sanaa Mungu akujalie zaid na usikate tamaa

  • @jubilatemanase9050
    @jubilatemanase9050 2 ปีที่แล้ว +3

    Huyo Mkuu wa kituo atakuwa na heri ktk dunia na akhera

  • @carrenbenson2111
    @carrenbenson2111 2 ปีที่แล้ว

    Kaka hamidu hongera Sana ndugu yangu magreth w mvungi

  • @kondoatown8765
    @kondoatown8765 2 ปีที่แล้ว +3

    Kesho ndo naanza rasmi kupika maandazi ,
    Sambusa bado Sana ntachelewa aisee !!

  • @selemanimsofe7321
    @selemanimsofe7321 2 ปีที่แล้ว +2

    Hapo uliposema mtu anajenga fensi mpaka unazuia nyumba haionekani

  • @kituhilel.j9747
    @kituhilel.j9747 2 ปีที่แล้ว +1

    Bigup bro

  • @itNeza
    @itNeza 2 ปีที่แล้ว +2

    Wow Hamidu Pongezi nyingi Sana. ❤️

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale4047 2 ปีที่แล้ว +1

    Hata mimi nataka hivyo yaani nataka sana kuwa na re estate yangu na naamini nitafanikiwa tu

  • @tastedigital
    @tastedigital 2 ปีที่แล้ว +1

    Hiyo part two iko wapi??

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 ปีที่แล้ว +1

    Tunataka part 2 please

  • @mannabu9333
    @mannabu9333 2 ปีที่แล้ว +2

    Daah kulipa kidogo kidogo unaweza au?

  • @emmanueljoseph3815
    @emmanueljoseph3815 2 ปีที่แล้ว +2

    Nimejifunza kitu ktk history yako bro akuna kitu rahisi ishu ni mapambano

  • @chichi-gp4ss
    @chichi-gp4ss 2 ปีที่แล้ว +1

    💡💡💡💡💡💡

  • @nasmamambi9082
    @nasmamambi9082 ปีที่แล้ว

    💕❤❤❤

  • @rukiachamani1101
    @rukiachamani1101 2 ปีที่แล้ว +1

    Tunaomba utufungulie njia, Sis ni majirani wako. Zama naomba ufikishe kilio chetu.

  • @mochepa9191
    @mochepa9191 2 ปีที่แล้ว +1

    Tunaomba amalizie historia yake

  • @nicholassimon3054
    @nicholassimon3054 4 หลายเดือนก่อน

    natamani vile vile umtafute mtu anaitwa venny, yupo dodoma nae ana project kama hizi za hamidu, nadhani nae ana interesting stories to tell

  • @raymondmaotela8992
    @raymondmaotela8992 3 หลายเดือนก่อน

    Naomba contact kuusu kununua nyumba

  • @selemanimsofe7321
    @selemanimsofe7321 2 ปีที่แล้ว +1

    walio ishia darasa la 7 wengi waliojituma walifanikiwa sana ndio wameajiri wasomi

  • @josephomuto3240
    @josephomuto3240 2 ปีที่แล้ว

    Sio Tanzania pekee. Tunatazama ZamaradiTV tukiwa Kenya pia.

  • @mariambeautysonghuseni9549
    @mariambeautysonghuseni9549 2 ปีที่แล้ว

    l also need ahouse

  • @bahatihassan5413
    @bahatihassan5413 2 ปีที่แล้ว

    Party two

  • @mariambeautysonghuseni9549
    @mariambeautysonghuseni9549 2 ปีที่แล้ว

    l want one house

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo 2 ปีที่แล้ว +2

    siku moja ntakua na hojiwa hivi alaf ex wangu atakua anaangalia na kujuta nafasi aliyo poteza

    • @mmn7480
      @mmn7480 2 ปีที่แล้ว +4

      Ata mm maana apa saiv nagenge na duka la vyakura nais zama ataniita nifanye intvew

    • @ghoststpatrick9878
      @ghoststpatrick9878 2 ปีที่แล้ว +2

      😂😂😂

    • @sashoright8213
      @sashoright8213 2 ปีที่แล้ว

      🤦😂😂😂😂😂

    • @sashoright8213
      @sashoright8213 2 ปีที่แล้ว

      @@mmn7480 😂😂😂😂😂

    • @sashoright8213
      @sashoright8213 2 ปีที่แล้ว

      Tunawasubilia jaman loh mmeniacha hoi

  • @zaydamchere2771
    @zaydamchere2771 2 ปีที่แล้ว +1

    Tunaomba na dodoma jamn

  • @ummuqaasim5227
    @ummuqaasim5227 2 ปีที่แล้ว

    Tuna omba sehemu ya pili dada Zama maana nimenoga imenoga mpaka imenoga tena

  • @robertringi6434
    @robertringi6434 2 ปีที่แล้ว

    story ilinoga daaa imenikata stim

  • @priscillaamossen8249
    @priscillaamossen8249 2 ปีที่แล้ว

    Zipo wapi hizi.?

    • @RioIpo
      @RioIpo 2 ปีที่แล้ว

      Kigamboni

  • @tahirnephessalum3678
    @tahirnephessalum3678 2 ปีที่แล้ว +1

    Zama unazingua siku ya tatu hakuna part two?

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 ปีที่แล้ว +4

    😂😂😂😂💦 Ila watu wana masihara jamani Nyumba milion mia 20 😳😳🙄🙄 MUNGU WANGU ILA ZURI SANA MMOJA AJITOKEZE TUCHANGE TUKANUMUWE BASI
    Hapo ndo itabidi nikae Omani miaka mingapi sijui 😂💦😂🤔dah maisha aya

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 2 ปีที่แล้ว +1

      Tuchange tuu

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 2 ปีที่แล้ว +1

      Kukaa miaka 20

    • @semenimohamed8156
      @semenimohamed8156 2 ปีที่แล้ว +1

      Sasa hio ya kuchsnga si Bora ujenge yako mwenyew

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 2 ปีที่แล้ว

      @@semenimohamed8156 kwhy tukijenga zetu wenyw itakuwa Hamidu city

    • @jamesshao538
      @jamesshao538 2 ปีที่แล้ว

      Ucjali upo sehemu.gani Oman ,mm nipo Oman pia

  • @mariambeautysonghuseni9549
    @mariambeautysonghuseni9549 2 ปีที่แล้ว

    zamarad namba simu

  • @kivurugepub8105
    @kivurugepub8105 2 ปีที่แล้ว +1

    Hio part two vip?
    What the logic of holding it

    • @JOHNJOHN-pu7wb
      @JOHNJOHN-pu7wb 2 ปีที่แล้ว +1

      Swali zur

    • @mmakiluly
      @mmakiluly 2 ปีที่แล้ว +1

      Sasa si uachie hio part two jamani. Yani sisi tunafatilia kazi zako ila wewe hutujali unakua mbinafsi. Zama hatuendi hivyo

  • @sylviemugeni1887
    @sylviemugeni1887 2 ปีที่แล้ว

    zama Naomba maelezo kwa izi myumba

  • @abdallahgroupltd
    @abdallahgroupltd 2 ปีที่แล้ว

    Habari za asubuhi nyumba Hamidu city bado zipo?

  • @nayomi6498
    @nayomi6498 2 ปีที่แล้ว +2

    Firstttttt💃

  • @tausimaulid312
    @tausimaulid312 2 ปีที่แล้ว

    nilikuwa nasubili kwa ham i

  • @mwanaidimuhindi6671
    @mwanaidimuhindi6671 2 ปีที่แล้ว

    Ilikua naisubiri hii

  • @allandavid752
    @allandavid752 4 หลายเดือนก่อน

    Anaulizwa swali anasema alijenga watanzania wamuelewe akajenga moja akaona hawatamuelewa...akajenga nyingine...kwahiyo alijenga kwa sababu ya watu?? Aeleze kibunda cha kuanzia😅😅😅😅

    • @rosemarysulle9288
      @rosemarysulle9288 17 วันที่ผ่านมา

      Yaan hasemi hela katoa wp ila jmn

  • @pundetv6144
    @pundetv6144 2 ปีที่แล้ว

    Iendelee

  • @halimahamis1608
    @halimahamis1608 2 ปีที่แล้ว +3

    Hizi nyumba zinauzwa au ni kupangisha tu?

  • @sylviemugeni1887
    @sylviemugeni1887 2 ปีที่แล้ว

    Inawezekana kwamutu wa inje? kama watu wanaidhi ulaya?

  • @eipro_
    @eipro_ 2 ปีที่แล้ว

    Tutafuteni pesa

  • @robertmutai2001
    @robertmutai2001 2 ปีที่แล้ว

    mbona wakati unafanya introduction unaanza kwa kuwasalimia watanzania pekee ilhali tuko hata na sisi wakenya mashabiki zako wa kitambo hata wakati ulikua cluods.

  • @hassanaloobaidan25
    @hassanaloobaidan25 2 ปีที่แล้ว +1

    Muendelezo

  • @ernestfelix8596
    @ernestfelix8596 2 ปีที่แล้ว

    Mwanaume uyu

  • @solangekubota9487
    @solangekubota9487 2 ปีที่แล้ว +2

    Ni ngapi kwa dollars?

  • @dutchsafari7562
    @dutchsafari7562 2 ปีที่แล้ว +3

    Hii biashara nyumba imetajirisha matajiri wengi Sana nchi za wenzetu Yani unajenga Kwa gharama ndogo Ila kadiri muda na miaka inavyo enda thamani ya nyumba inazidi kupanda kwasababu maisha yanabadilika na gharama za ujenzi na viwanja zinaongezeka so Jamaa atakuja kuuza Kwa faida maradufu na kuwa billionaire Kwa miaka ya mbeleni kuliko alivyo Sasa Yani hii nikama crypto vile🙌🙌😁

    • @vickydan2869
      @vickydan2869 2 ปีที่แล้ว

      C mpaka sasa anauza hapangishi

  • @sebmalunde5945
    @sebmalunde5945 2 ปีที่แล้ว

    Nimewahi fika pale Mikwambe. Sikumwelewa vizuri. Ila Jamaa kweli kadhamiria

  • @user-it5wz6je5y
    @user-it5wz6je5y 2 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah