SEHEMU YA PILI YA BILIONEA HAMIDU ANAEMILIKI NYUMBA ZAIDI YA 120 ALIYEANZA KWA KUPIKA MAANDAZI.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 55

  • @HidayaBomani
    @HidayaBomani 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah Allah akibariki zaidi na zaidi

  • @josephomuto3240
    @josephomuto3240 2 ปีที่แล้ว +5

    Kenya tuko ndani ya nyumba. Hongera Hamidu kwa kazi nzuri. Nafurahi tu jinsi Zama anavyochukua notes.

  • @kitonekantasha1687
    @kitonekantasha1687 2 ปีที่แล้ว +6

    Namsubir Bakharesa 🙏🙏🙏 Mpare damu umepambana vyakutosha hongera sana

  • @maindachausa3912
    @maindachausa3912 2 ปีที่แล้ว +8

    Very inspired kaka, may ALLAH bless u

  • @amraabdallah9446
    @amraabdallah9446 2 ปีที่แล้ว +3

    MashaAllah Mungu ambakir zaidi kwa juhudi zake he's the best 👌

  • @shamsumikidadi1765
    @shamsumikidadi1765 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah azidi kukuinua hamna kisichowezekana na mimi nitapambana nshaallah

  • @sheshem5453
    @sheshem5453 2 ปีที่แล้ว +3

    Very Inspiring... May ALLAH continue to Bless You Bro.. Asante Zamaradi...

  • @wangwemseti7592
    @wangwemseti7592 2 ปีที่แล้ว +4

    Huyu tajiri sura yake si ngeni kwangu nimemuona akiwa chini kweli mungu akiamua kumpaisha mtu anaweza kama itapendeza njoo upande wa migodi huku north mara kuna frusa za uchimbaji

  • @jumannekatalambula4302
    @jumannekatalambula4302 หลายเดือนก่อน

    One of a my favourite interested interview. More Blessing Upon You.

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 2 ปีที่แล้ว +6

    Mashaallah Tabaraka Rahman, kweli hakuna linaloshindika!

  • @ghoststpatrick9878
    @ghoststpatrick9878 2 ปีที่แล้ว +7

    Dada zamaradi naomba msaada uniconnect Na huyu brother nimtengenezee app nina idea nzuri . Mwambie Mimi ni mdogo Wake kutoka kilomeni

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 2 ปีที่แล้ว

      Bora mtafute mwenyewe uliza kwa watu na Google na mungu atakusaidia

  • @sashoright8213
    @sashoright8213 2 ปีที่แล้ว +3

    Yan ni hivii ukiwa sio Malaya unafanikiwa basii wnye uwezo waache kuekeza kwnye ngono waekeze kwnye Mambo muhm la sivyokila siku utaona wabaya watu Amin kwamba

  • @hajeralqaidi2115
    @hajeralqaidi2115 2 ปีที่แล้ว +4

    Mashaallah amepambana vyakutosha

  • @nasseaman3720
    @nasseaman3720 2 ปีที่แล้ว +2

    Mtu wa dini na roho safi what a good stories and inspired .

  • @sikitujuma4866
    @sikitujuma4866 2 ปีที่แล้ว +3

    Napenda historia ya maisha yako kwa kua nami nimehangaika sana

  • @emmanuelmasanja6040
    @emmanuelmasanja6040 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana kwa kufanya mambo makubwa

  • @anisajonas5241
    @anisajonas5241 2 ปีที่แล้ว +5

    Mm naangaika pa kulala wengine wana nyumba zote izo ila mungu ampe ekima ya kutumia izo mali izur

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 2 ปีที่แล้ว

      Ameen

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 2 ปีที่แล้ว +3

      @@khadijahali4837 Amiin Ila usikate tamaa Allah anawapenda wasiokata tamaa na kuwa na matumaini kuwa Kuna siku atawapatia

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 2 ปีที่แล้ว

      Samahani hii ya jonas

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 2 ปีที่แล้ว

      @@hadijamandanje6189 😊😊

    • @anisajonas5241
      @anisajonas5241 2 ปีที่แล้ว

      @@hadijamandanje6189 amin

  • @mustaphalushoto3262
    @mustaphalushoto3262 2 ปีที่แล้ว +3

    Nimejifunza kitu kikubwa sana kuwa kila kitu ni vyema kukifanya kwa siri

  • @sharifakhamis230
    @sharifakhamis230 2 ปีที่แล้ว +4

    Mashallah

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 2 หลายเดือนก่อน

    Yesu wangu akutunze

  • @selemanisaidi3457
    @selemanisaidi3457 2 ปีที่แล้ว +3

    Hongera sana baba

  • @shifaaal-baity4503
    @shifaaal-baity4503 2 ปีที่แล้ว +3

    Masha Allah

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 2 ปีที่แล้ว +5

    Tusikate tamaa lkn ni ngumu jmn

  • @richardsaidi2448
    @richardsaidi2448 2 ปีที่แล้ว +2

    Brooo. uko vzr sanaaa

  • @kareisindilo2776
    @kareisindilo2776 2 ปีที่แล้ว +4

    ila kusema kweli zamaradi wewe mzuri sana

  • @doricelugundiza4849
    @doricelugundiza4849 2 ปีที่แล้ว +1

    Very inspiring

  • @mwanaishamande8880
    @mwanaishamande8880 2 ปีที่แล้ว

    Aisee mungu. Akisema yes hakuna wakusema no naukimya unamaana

  • @a.856
    @a.856 2 ปีที่แล้ว +3

    👏👏👏

  • @lastgospel706
    @lastgospel706 2 ปีที่แล้ว +2

    HUYU MPARE ANAYO AKILI SIO HABA..AFU ANA USIRI ,UKIWA MSIRI RAHA SANAA

  • @jacquelinemwakasala9563
    @jacquelinemwakasala9563 2 ปีที่แล้ว +1

    He jamani kuna wengine wanaishi mbinguni au duniani.sasa mbn bado kijana sana afu unazungumzia zamani zamani.jamani kuna wwngine duniani kwel wameishi hata wakipita historia inasoma eee hadi rahaaaaa

  • @linahcaro4780
    @linahcaro4780 2 ปีที่แล้ว

    Hongera

  • @linahcaro4780
    @linahcaro4780 2 ปีที่แล้ว

    Hongera sana

  • @richardsaidi2448
    @richardsaidi2448 2 ปีที่แล้ว

    namimi munguu anisaidiee tuuu

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada 2 ปีที่แล้ว

    Hamidu amefanana na MUZAMMIRU YASIN kiungo wa simba

  • @jumalihumbo8937
    @jumalihumbo8937 ปีที่แล้ว

    Uyu jamaa mwamba sn aise🙌

  • @shakirahamisijuma
    @shakirahamisijuma ปีที่แล้ว

    Naitaji namba jaman

  • @mwanaishamande8880
    @mwanaishamande8880 2 ปีที่แล้ว

    Inahamasisha kuendelea kumsikiliza

  • @asiaa6573
    @asiaa6573 2 ปีที่แล้ว +1

    Da Zamaradi nambie kipenzi, Hamidu kasema mifuko ya sim sikuelewa mifukk ya sim ndionini?

    • @isaacmwaipopo
      @isaacmwaipopo 2 ปีที่แล้ว

      Labda utakuwa haujaikuta. Simu za zamani zilikuwa na mifuko yake ya kuwekea. Ingia Google utaiona.

    • @isaacmwaipopo
      @isaacmwaipopo 2 ปีที่แล้ว

      Siku hizi kuna makava. Ila zamani tulikuwa tunaita mifuko. Ilikuwa mininge ukivalisha simu unachomeka kwenye mkanda kiunoni.

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 ปีที่แล้ว

    😋💯🤔

  • @richardsaidi2448
    @richardsaidi2448 2 ปีที่แล้ว

    daaa!!!. aka kadada ni kazr

  • @kingndinyo9764
    @kingndinyo9764 ปีที่แล้ว

    🎉

  • @ngambikomsu64
    @ngambikomsu64 2 ปีที่แล้ว +1

    Mimi nilitumia sm zake nyingi zilikuwa fake.

    • @isaacmwaipopo
      @isaacmwaipopo 2 ปีที่แล้ว

      Tukusaidiaje sasa?

    • @muhammehusna3384
      @muhammehusna3384 2 ปีที่แล้ว

      Mashallah,, Ila tusaidie izo bei z nymba weeh

    • @muhammehusna3384
      @muhammehusna3384 2 ปีที่แล้ว

      Hamidu nikopeshe nymba ntalipa kila mwezi

    • @yasinijuma6646
      @yasinijuma6646 2 ปีที่แล้ว

      Hauna say jealous Kuma we leave my family alone

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 2 ปีที่แล้ว

    Hongera