Huyu tajiri sura yake si ngeni kwangu nimemuona akiwa chini kweli mungu akiamua kumpaisha mtu anaweza kama itapendeza njoo upande wa migodi huku north mara kuna frusa za uchimbaji
Yan ni hivii ukiwa sio Malaya unafanikiwa basii wnye uwezo waache kuekeza kwnye ngono waekeze kwnye Mambo muhm la sivyokila siku utaona wabaya watu Amin kwamba
He jamani kuna wengine wanaishi mbinguni au duniani.sasa mbn bado kijana sana afu unazungumzia zamani zamani.jamani kuna wwngine duniani kwel wameishi hata wakipita historia inasoma eee hadi rahaaaaa
Mashaallah Allah akibariki zaidi na zaidi
Kenya tuko ndani ya nyumba. Hongera Hamidu kwa kazi nzuri. Nafurahi tu jinsi Zama anavyochukua notes.
Namsubir Bakharesa 🙏🙏🙏 Mpare damu umepambana vyakutosha hongera sana
Very inspired kaka, may ALLAH bless u
MashaAllah Mungu ambakir zaidi kwa juhudi zake he's the best 👌
Mashaallah azidi kukuinua hamna kisichowezekana na mimi nitapambana nshaallah
Very Inspiring... May ALLAH continue to Bless You Bro.. Asante Zamaradi...
Huyu tajiri sura yake si ngeni kwangu nimemuona akiwa chini kweli mungu akiamua kumpaisha mtu anaweza kama itapendeza njoo upande wa migodi huku north mara kuna frusa za uchimbaji
One of a my favourite interested interview. More Blessing Upon You.
Mashaallah Tabaraka Rahman, kweli hakuna linaloshindika!
Dada zamaradi naomba msaada uniconnect Na huyu brother nimtengenezee app nina idea nzuri . Mwambie Mimi ni mdogo Wake kutoka kilomeni
Bora mtafute mwenyewe uliza kwa watu na Google na mungu atakusaidia
Yan ni hivii ukiwa sio Malaya unafanikiwa basii wnye uwezo waache kuekeza kwnye ngono waekeze kwnye Mambo muhm la sivyokila siku utaona wabaya watu Amin kwamba
Mashaallah amepambana vyakutosha
Mtu wa dini na roho safi what a good stories and inspired .
Napenda historia ya maisha yako kwa kua nami nimehangaika sana
Hongera sana kwa kufanya mambo makubwa
Mm naangaika pa kulala wengine wana nyumba zote izo ila mungu ampe ekima ya kutumia izo mali izur
Ameen
@@khadijahali4837 Amiin Ila usikate tamaa Allah anawapenda wasiokata tamaa na kuwa na matumaini kuwa Kuna siku atawapatia
Samahani hii ya jonas
@@hadijamandanje6189 😊😊
@@hadijamandanje6189 amin
Nimejifunza kitu kikubwa sana kuwa kila kitu ni vyema kukifanya kwa siri
Mashallah
Yesu wangu akutunze
Hongera sana baba
Masha Allah
Tusikate tamaa lkn ni ngumu jmn
Brooo. uko vzr sanaaa
ila kusema kweli zamaradi wewe mzuri sana
Very inspiring
Aisee mungu. Akisema yes hakuna wakusema no naukimya unamaana
👏👏👏
HUYU MPARE ANAYO AKILI SIO HABA..AFU ANA USIRI ,UKIWA MSIRI RAHA SANAA
He jamani kuna wengine wanaishi mbinguni au duniani.sasa mbn bado kijana sana afu unazungumzia zamani zamani.jamani kuna wwngine duniani kwel wameishi hata wakipita historia inasoma eee hadi rahaaaaa
Hongera
Hongera sana
namimi munguu anisaidiee tuuu
Hamidu amefanana na MUZAMMIRU YASIN kiungo wa simba
Uyu jamaa mwamba sn aise🙌
Naitaji namba jaman
Inahamasisha kuendelea kumsikiliza
Da Zamaradi nambie kipenzi, Hamidu kasema mifuko ya sim sikuelewa mifukk ya sim ndionini?
Labda utakuwa haujaikuta. Simu za zamani zilikuwa na mifuko yake ya kuwekea. Ingia Google utaiona.
Siku hizi kuna makava. Ila zamani tulikuwa tunaita mifuko. Ilikuwa mininge ukivalisha simu unachomeka kwenye mkanda kiunoni.
😋💯🤔
daaa!!!. aka kadada ni kazr
🎉
Mimi nilitumia sm zake nyingi zilikuwa fake.
Tukusaidiaje sasa?
Mashallah,, Ila tusaidie izo bei z nymba weeh
Hamidu nikopeshe nymba ntalipa kila mwezi
Hauna say jealous Kuma we leave my family alone
Hongera