NIMEPENDA KUA UNAJIELEWA JAPO UNAFANYA UNAO WANAWAKE LKN UNAJIFICHA NDIO HESHIMA KWA KUMJARI MWANAMKE WAKO SIO KM SALEH ANAPATA MWANAMKE AKIWA MBALI YEYE NDIO NAFASI YAKE YA KUJIACHIA STAREHE AZISHI TULIA NA MKEO ALLAH ATAKUONGOZA
Mtangazaji huyu vipi, kama amekuja kumkejeli na kumlia vitu vyake, hadi akiondoka kamaliza kula vyote, sijui kaja na njaa Hana swali la maana Unapokwenda nyumba ya mtu uwe na adabu, sio umuache hana chakula Fata kilichokuleta
Nimependa sana huwa nashangaa eti kungwi unaonyesha chumba chako kwenye Midia mpk unapojisaidia mnashindwa na huyu mwanaume jmn
Nimeludia kumalizia interview yangu mpendwa mie shabiki yako sana salehe kwenye hiki kipindi chako huyu kaka kweli kafundwa aswaaa uwezi ukaonyesha seem ya kulala uwezi onesha unyago uwooo
Mmmmh Mbona kuna kichaka nyiee🙌🙌🙌🙌🙌hamuwezi kufyeka hilo chaka hapo nje?????????
Yaani huyo dada alivosema “ kukumisi” nmeshangaaa😢😢😅😅 alafu hata hajawahi kumuona
😂😂😂😂
Mashaallah mzuri mwenyewe cku zote ukiwa busy na maisha yako utaambiwa unaringa unajickia
Nlijua lazima atauliza kula anavyopenda kula
MTANGAZAJI HUJUI KUTANGAZA KABISAA.. yaani unakera hadi interview naiona inaboaaa
Majungu ayo
Huyu naye kivulande, eti anasema umenisurprise na waliambiana tutakuja😂😂😂😂😂
Kuna siku Saleh utapewa sumu😂😂 Mega S/O to u brother Saleh unafanya kazi kubwa kaka
Kwa alama hizo ulitakiwa kua shekh kivurunde
Mashaallah! Kaka very handsome, humble🎉
Mtangazaji yuko vizuri
Saleh ukitaka kumuweza mweke mavyakula ata kukuzungusha atapunguza😂😂😂😂
NIMEPENDA KUA UNAJIELEWA JAPO UNAFANYA UNAO WANAWAKE LKN UNAJIFICHA NDIO HESHIMA KWA KUMJARI MWANAMKE WAKO SIO KM SALEH ANAPATA MWANAMKE AKIWA MBALI YEYE NDIO NAFASI YAKE YA KUJIACHIA STAREHE AZISHI TULIA NA MKEO ALLAH ATAKUONGOZA
Ila sulesh wee mbea bhana staki
Jamani wewe salehe unapenda kula wewe kijana ila pambanaa😂
Tuwache kivurande sio wote wanaojieshimu sasa hv kupo km bongo tuu ngoma drow😂😂
Saleh kulakula😂😂😂😂
Ila swalehe upendezi bwana ukivaa hereni
Nakupenda kivurande
Wap Jamila mafishi ...wajina uyo Jamila wa maskati
Sasa maisha gani ya hivi??? Yaani mtu anaishi mbali na mwenzie tena nchi za mbali
Salehe m
Noma MPa gengeni
Kumbe kivurande kaka angu nikajua mtani wangu mdigo kumbe mbondei mwenzangu
Tujuane wabondei
Saleh thanks for the show, ask him about his scar on the face is it a birth mark ? Why can't he remove it?
Ila saleheeee kwakula ujambo ndugu yangu
Salehe na kivulanda mwafanana
😂😂
Huyu salehe sijui salehe chefuuuuuu.. yaanii ni kama anamdharau mwenzie sijui. Yaani not professional kabisaaaaa, hajatulia
Very true, he is not professional wala hajasomea, kaanza kujaribu tu, kuangalia wengine, kuiba ideas na kubuni..wala hajafanya lolote la journalism
😅😅😅saleh kulakula tu
😂😂😂😂Kuna chakula 😂😂😂ila Saleh 😂😂😂
Saree yeye ni msungo ndomana hajuwi maana ya msungo 😂
Mashallah Pambana mdogo wangu salehe naona juhudi zako
huyu mwanaume kupika anajua ataoa kweli 😢
Mtangazaji huyu vipi, kama amekuja kumkejeli na kumlia vitu vyake, hadi akiondoka kamaliza kula vyote, sijui kaja na njaa
Hana swali la maana
Unapokwenda nyumba ya mtu uwe na adabu, sio umuache hana chakula
Fata kilichokuleta
Salehe mrohooo😅😅😅iuwiiiiiiii kibokoo
Wastara ndo kamuharibu hahahaha
Basi ya zunguni raha sio kama yatazania
Salee anakitendea haki iki kipindi maan nicheke2😂
Hajazaliwa mwezi wa 5 kweli
Bii mwanahela alikuwa wa moto
Salehe unamaliza ubuyu wa mwenzio
Salehe ukienda mahali uko radhi udokoe hata nyama jikon kuliko kutoka bila kula😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😅
❤🎉
Mimi no shabiki wako kbsa
Salehe
Kivurande kwa hio wanawake wa Tanzania hawajiheshimu au
S upange chumba kimoja ujenge
Saleh mbeA
JAMANI KAMA MTATUELEWA TUNAOMBA HUU MZIKI MUUONDOE KWENYE MAHOJIANO MAANA TUNASIKIA FUJO TU
Usimkaribishe huyu mtangazaji mroho, mtovu wa adabu, anakula kama hajawahi kuviona
😅😅😅😅
Kiburande maana yake mluga yetu ya kirundi kiburandero ni mkosefu wa adabu najina mengine ni atari
Kivurande.sio kiburande
Sasa huyu ni mtz bhn wee 😂😂😂
Natamani siku moja niende Tanga
Karibu
Saleee 😂mbea wewe
Huyu naye kivulande, eti anasema umenisurprise na waliambiana tutakuja😂😂😂😂😂