Nyumba 1500 zinazojengwa Kigamboni na Milionea Mtanzania aliyeishia la 7
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
- Hamidu ni Mtanzania ambaye elimu yake ni darasa la saba tu lakini ukubwa wa mafanikio yake umedhihirisha kuwa akili ya maisha inaweza kukupa ushindi ukizingatia inavyotakiwa, ameshaanza ujenzi wa nyumba zake 1500 Kigamboni Dar es salaam.
MAWASILIANO YA HAMIDU CITY: +255 22 21 23 075 MOBILE: 0672 918883, 0756 980000 & 0659 500 100. sales@hcgctz.com INSTAGRAM: @Hamiducity
Nili bahatika kukaa na huyu jamaa alipo kuja Mwanza. Alini inspire sana.
Hongera Sana kamanda 🙏🙏 baraka hiyo Ni kubwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Umetusaidia ufahamu la 7 wenzio Utajiri sio Elimu.
Mungu akuzidishie ujuzi mkuu....big inspiration
mungu akupe nguvu mtanzania mwenzetu ila punguza kabei kidogo basi😀
Mwamgunda Samson ameen ameen
Kwani we una sh ngap?
@@ahz6907 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mungu wetu sote wallahy Hamidu nipo nyuma yako
Mkola Mrua naam
azh zha yassin ipo siku tu
Hata mm nipo nyuma yake mungu ni mkubwa tuamini hilo jamani
Nomrango
Asante sana kwa maelezo unae tupatia Mimi Ni myarwanda nataka ku nunua nyumba hiyo Tanzania kwa kuripa kidogo kidogo Sasa naomba maelezo zaidi ili nijue xakufanya
nimependa-sana-kaka-hamidu-mungu-anisaidie-nifate-nyayo-zako
Faysal Mahmud Didar duuuuuu
Set a dream believe in your dream work on your dream then live your dream, no limits in life 💪💪
Mungu amzidishie na hongera sana kwake
Ni watanzania wachache sana wenye kuthubutu,wengi wao hata wakipata chans km hiyo wanaishia kugombania wake hata za watu ili mradi tu wajue ana pesa,hongera sana kaka.
hongera sana kwa mtanzania mwenzangu
Mwenyeezimungu azidi kukubariki Baraka za Roho na mwili Hamid all the best mbarikiwa
Hongera sana kaka Hamidu mungu aendelee kukubariki na kukupa Afya njema
Hii ndiyo tofauti ya wasomi wa bongo na darasa la saba
Wasomi huamin katika madaftari yao na vyeti lakin hawa wengine huamin katika nguvu zao maana hawana elimu na hapa ndio wanawazidi waliosoma
Mzee ameni inspire
Hamidu hemedi Mvungi mkoa Kilimanjaro Wilaya ya mwanga Kijiji Cha Lembeni Kijiji kwetu kabisa nafurahia kuona hili wapare hoyeee Kuna mwamba mwingine anaitwa Vigu Daaah Ila Mungu kampenda zaidi naye aliifanya Lembeni ijulikane Sanaa tupo nyuma yenu hakuna kukata tamaaa mpk mwisho
Mtani wangu Mpare Shikamoo...Faida yakula ugali na picha ya Samaki. Wapare Shiakamoo
Kaka najiona mbulula na mavyeti yangu jamani.
Marahaba mtani. Thamaki thi kindu, kindu ni mshombe.
mtani tulia ufuate nyayo
Rose Hillary usipagawe mie ndugu yake najua yaliyo nyuma ya mradi mzima.
@@blackpanther4825 ohoooooo kama nimekuelewaaaaaa😥
Mungu amzidishie. ameniinspire sana. ntafuata nyayo zake kujindeleza.
Swahili 101 ameen
Hongera sana sana Mungu amekubariki, hakikisha kizazi chako kinaendeleza uliyoanzisha
Eti aliyeishia la 7!
maisha ya mafanikio hayana vigezo hivyo vya hizo elimu zenu za kikoloni.ambazo mnaandaliwa muwe watumwa wa watu.
mfano:wengi mkihitimu huwa Hamna la kufanya punde mnapokosa kuingia katika huo mfumo(wa kitumikia hao masters wenu)
Wapo wengi tuu wa aina hii.
Maa Shaa Allah.
Mwenyezi Mungu akupe ulinzi wake na akulinde na macho ya watu.
Amiin yarabal alamin
Mwenyezi Mungu akuzidishie wepesi,yaani kaka Hamidu umedhubutu,kweli akili ni nywele
Kaka Ayo Unatupa nguvu sana ya kupambana katika maisha ya Kila siku
Hangera sana na mungu akutie nguvu uweze kusaidia na wengine.
Waa hongera sana mimi pia nambana ila bado.Haminu nisaidie nimalize yangu ni moja tu
hongera kaka lakini hizo nyumba,site sizani kama zitauzika kwa maisha ya kibongobongo ungeanza na few hubdreds uwone uoeoo
Hata mm napigania Kaka anguu ni we kama ww tupo pamoja hongeraa sanaaaa mungu akuzidishieee pamoja nawengnee aminiii 🤲🤲🤲🙏🙏🙏🤝🤝🌹🌹🌹🌹❤️❤️😎❤️😘😎❤️❤️❤️❤️
hongera sana
i really like his idea
MashaaalH
@hakika shemeji yangu amethubutu darasa la saba lawakati wa nyuma ni kama form 6 kwa sasa nataka nikwambie kufanya hivii ulivyofanya zaidi ya chuo kikuu. big up mlamuwa.havaache sana.
Mansha Allah. hakika hakuna linalo shaindikana jamani hongera kaka
mungu ni wetu sote hongera sana nd mungu akuzidishie
The sound track is legit. I love the years of the sum action movie
Nakutakia kila la kheri Mungu azidi kukuinua zaid ya hapo. Hongera sana.
mungu akitaka kukupa hakuandikii baruwa
mashaalah Mungu akubariki ndugu kwa ubunifu wako
mashaallah kila kitu kinawezekana waweza soma hadi kidato cha sita lakini ukatoka patupu alie soma mpaka lasaba akatoka kimaisha zaidi mungu akupe zaidi ya apo kaka angu.
Ukiwa na nidhamu na malengo na mpango wa kuyafikia hakuna kitakachokwamisha mafanikio.
Mungu humpa amtakae napia hutoa kwa wakty ukifyka
Sisi tulikuja baada ya Kuona Zamarad kapost like 🤣🤣🙈🙈
hongera, sana hiyo ndio njia mojawapo ya kuleta mabadiliko katika nchi,
wazo lake zuri lkn bei hainiingii akilini
Abdallah Ibwe haaahaaahaa
Bei hahahaha wa Arusha huyo lzm bei hiyo.
.
Na muda si mrefu utasikia zimeisha,kuna watu pesa kwao si tatizo tatizo lao ni kupata kitu kizuri tu.🤣🤣🤣🤣
Dah! Kaka uko vzr nilidhani utajiri ni vyeti kumbe ni akili tyu hongera saaana
So inspiring
Safi Sana Kaka Mimi Sina hata uwezo WA kukunuwa hata basikeri
Mungu akuraisishie kwenye mradi wako
Asante sana kaka amidu ,kila kitu kujituma
mashaaaaalah unanipa mzuka kwel Na mm nifanye business
nilikuwa nakunywa beer nimemwaga naelekea shamba kutafuta
anicet njovu 😂😂😂
anicet njovu hahahaha we jamaa umetisha,nmecheka mpka mbavu zmeuma
anicet njovu 😂😂😂mbavu zang
haha
kha😂😂😂
Wa Tz walio wengi waoga kufanya kazi zao au biashala zao Wana aminijuu yakuajiliwa nakulipwa mwisho wamwezi nawengine Hawana elim Wana nyonywa nama boss awashtuki wanazidi kupoteza muda wao
Wa Tanzania ndio hapa tunafeli. Those houses could be better. Kuna dada Anaiwa Leah Wambui yeye yuko Kenya amejenga Nyumba 200 lkn zinavutia zaidi ukimwambia mtu 300 hata km hana anaridhia kwa muonekano. Mungu akuongoze zaidi, lkn watu wengi zitawashinda kwa sababu inabidi mtu akope bank ambayo inachaji riba. Mtu ataishia kulipia hiyo Nyumba kwa bei kubwa sana kuliko thamani halisi. Hongera nonetheless
Apo tunakuombea Mungu akupe mawazo zaidi
Very inspiring footage to succsess
real estate ni biashara nzuri sana... lakini one factor ya ku have in mind ni economic progression ya walengwa... with the current "credit crunch" in Tanzania.... real estate market is one of the worst hit sectors in the economy!
Albin Eric one day when I was young nlimsikiaaa baba akisema nataka nianzishe biashara ya nyumba lakn ndugu hatukumsapoti lakn now my father is one of the famous person ambaye ana nyumba nyingi mjiniii
hongera bro Allah azid kukuongoza .
🙌🙌🙌 hongera saaaana na mungu akubalikiiiiiiiii
Mmmh vifaa vya cm tu utajiri huuu mbona inakuja inakataa 😅😅
So rahisi kwa kweli
dah!hayo ndiyo matamanio yangu hongera zake kafanya kitu kikubwa,sisi vijana inatusa tuige mfano wake
Yessss...hongera sana Uncle😘😘😘😘
Hongela Boss Hamidu
Inshaallah nitamtafuta
Wazo zuri Sana,lakini milioni 330,watanzania wangapi watamudu,nadhani angejikita k Nyumba angalau za milioni 100 kushuka chini,angepanua solo zaidi
Sasa milioni 100 si ndio garama za kuijenga nyumba,,au hutak apate faida
duuh mungu akubaliki kaka
Zamani nilikuwa naamini kusoma ndio kupata kumbe sivyo sasa ndio haya, nilivyokuja kujitambuwa nikaikataa hi imani ama kweli kusoma si kupata 😪
Lakini elimu pia ina umuhimu wake ila ni namna gani unaitumia kutoka kimaisha ndio mziki sass
kaka umenivutia na nimejifunza kutoka kwako hongera sana kaka angu
Ur the best hamidu
Dah bei sasa mh Ongera kwakweli unanifungua akili kila la kheri
nmejifunza ki2...akili yangu utajili wangu
Hongera sana hamidu
Hapo kwenye mtanzania wakwanza kuigiza biashara ya vifaa vya simu umechemka ndugu walianza wengi labda kwa moshi na kigamboni ila nakuombea mungu ufanikiwe
Unabisha na huna source ya taarifa zako
MashaAllah TabarakkahAllah
Hongera sana
MashaAllah, hongera sana Brothar, umepiga hatua Allah akusimamie.
Hiii nzuri sanaa
Duuh kaka ana juhudi sijawahi kuona. nimezipenda sana jamani sio siri
Hizi ndio mambo nazopendaga yaan jinsi gan mtz mwenzangu. Tuweze kujikwamua kiamaisha,,, all in all life isn't fair kabisa, nyumba m300 si mchezo nawasubir biko wanitumie xmx ya ushindi 🙅🙅🙅
mungu akitaka kukupa kila ukijaribu unafanikiwa ila akikuandikia no na kweli no hata ukeshe unafanya kaz ngumu
Hongera sana kaka Mungu ni mwema wewe ni mfano wa kuigwa
Iga ufe kila mtu kazaliwa na zali lake.
Mashallah nimeipeda
Hongera bro sana nimekupenda
Hongera Sana.
Hongera kwa kujituma kaka Hamidu
Mungu akuzidishie
Naomba hamidu unioe mke wa pili
7 years ago kama mshanunua sawa but ni expensive mbona
Million miatatu ipo juu sana
Hongera sana kk
Yaani sisemi ila Mungu ndio ajuaee naamini namim nitawez
Honger sijawah kuona
mashaallah allah akuzidishie
La 7 mnatisha mwanzako ni msukuma .
Mashallllah❤❤
Jamaa yupo vizuri aisee
uko juu sana kaka
Kuzaliwa kilimanjaro ni kuwa n degreee ya biashara
WOW classic inspiration
I’m from England but right now based in Canada. Ninapenda ni juwe if à non-Tanzanian yuko na right to buy a house cause I really like the country and my plans ni ku stay one day in Tanzania for a while and do some investments but sijuwe how to start. Thanks 😊
How did you know to write in Swahili some of u'r words! Anyways I can help you one thing,I'm not sure if u would get exactly answers from what you have been asked,so for that case it's better,go to the embassy of TANZANIA their in Canada,nd would help you everything u want,also if not embassy go to the consuls of TANZANIA while you there Canada.
@@quanthug9517 thank u so much my brother for the advice And pardon my swahili u know with google translate we can make it easy but sometimes it doesn't translate as well but when u do something with love no matter the mistake u make the important is to make it
by the way swahili is a beautiful language
Are u a tanzanian?
@@micmac7035 ndio hakika Mimi ni mtanzania 255.
big up Hamidu we ni noumaaaa
Huyu ana pesa jamn haa Mungu akupe maisha marefu na wape wakaribu yako elimu wafikoe mafanikio uliyofikia
Samaki sikindu kindu ni mshombe wapare mpooooooo shikamooo kaka
Kweli nimpambanaji
Lakini nahitaji nipate nyumba kwenye mradi wake
kwenye kufanikiwa kuna siri nyingi.
Umeona eeeeeh, ulikuwa napata wa ngapi shuleni
kabisa sio lahisi kama wengi wanavyofikiri
Hongera saaana Kaka