JENGO REFU ZAIDI LA BURJI KUJENGWA ZANZIBAR, LITAKUA NA UBUNIFU WA KIPEKEE DUNIANI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 23

  • @omyguy2002
    @omyguy2002 ปีที่แล้ว

    Mmh atokua hai ataona in sha Allah

  • @AnkallyPandu-c1e
    @AnkallyPandu-c1e ปีที่แล้ว

    Safi sana jengeni tu zanzibar ibadilike

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go ปีที่แล้ว +6

    Jengo la pili kwa urefu Afrika Domino Tower limeishia wap maana tuliambiwa linajengwa Zanzibar ila mwaka wa 3 sasa ila hamna liwalo eeh jaman nyie kuna Mungu tu mujue
    CCM haina jipya ifanye iondoke Zanzibar maana wameigeuza Zanzibar kuwa ni mlango wa duka

    • @kambamazig02024
      @kambamazig02024 4 หลายเดือนก่อน +1

      Hii ni sekta binafsi na wala siyo CCM. Walaumu hao ambao walitoa ahadi na siyo CCM!

  • @jumasaleiman
    @jumasaleiman ปีที่แล้ว

    Sioo kweli

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 ปีที่แล้ว +1

    Domino tower tumeishia kuona renders tu, tena mnatuletea hadithi ingine

  • @jumashedafa
    @jumashedafa ปีที่แล้ว +1

    Kila cku maneno mengi hamjengi

  • @maase2023
    @maase2023 ปีที่แล้ว

    Mmmhhh jengo gani hili halina hata sura

  • @Barackswai
    @Barackswai 5 วันที่ผ่านมา

    Mh kam makontena bhn hamna kitu apo

  • @zolongOne
    @zolongOne ปีที่แล้ว

    Bei za apartment ipo juu mno

  • @hafidhyakoub8369
    @hafidhyakoub8369 ปีที่แล้ว

    Hiyo ni hoteli ya mwinyi

  • @hafidhyakoub8369
    @hafidhyakoub8369 ปีที่แล้ว

    Semeni kweli

  • @MWIGAADAM-r3e
    @MWIGAADAM-r3e ปีที่แล้ว

    Hawana nia yakuleta maendeleo CCM zanzibar

  • @AfroSportsUncensored
    @AfroSportsUncensored ปีที่แล้ว

    Sasa burji ndo nn??

  • @richardbegga6679
    @richardbegga6679 ปีที่แล้ว

    😂😂😂 hilo Mbona kwa Bongo ni fupi sana

  • @PROGRESS-PULSE
    @PROGRESS-PULSE ปีที่แล้ว

    Acheni kutudanganya bhana😂😂😂

    • @abedomar5183
      @abedomar5183 ปีที่แล้ว +2

      Kitu gani sasa wanakudanganya hapo wewe useless stupid person

    • @PROGRESS-PULSE
      @PROGRESS-PULSE ปีที่แล้ว +1

      @@abedomar5183 😂😂😂 thanks mr useful smart minded person.

    • @MamodelPark
      @MamodelPark ปีที่แล้ว

      Kwan kipi kisichowezekana shangazi? Kisa ni Tanzania??

    • @BadoMartense
      @BadoMartense 10 หลายเดือนก่อน +1

      Hujui kuwa serkali ina danganya? Ile domino tower ya 221Mita iliishia wapi?​@@abedomar5183

  • @FatmaSalum-tr9qk
    @FatmaSalum-tr9qk ปีที่แล้ว

    Mud