Jengo la pili kwa urefu Afrika Domino Tower limeishia wap maana tuliambiwa linajengwa Zanzibar ila mwaka wa 3 sasa ila hamna liwalo eeh jaman nyie kuna Mungu tu mujue CCM haina jipya ifanye iondoke Zanzibar maana wameigeuza Zanzibar kuwa ni mlango wa duka
Mmh atokua hai ataona in sha Allah
Safi sana jengeni tu zanzibar ibadilike
Jengo la pili kwa urefu Afrika Domino Tower limeishia wap maana tuliambiwa linajengwa Zanzibar ila mwaka wa 3 sasa ila hamna liwalo eeh jaman nyie kuna Mungu tu mujue
CCM haina jipya ifanye iondoke Zanzibar maana wameigeuza Zanzibar kuwa ni mlango wa duka
Hii ni sekta binafsi na wala siyo CCM. Walaumu hao ambao walitoa ahadi na siyo CCM!
Sioo kweli
Domino tower tumeishia kuona renders tu, tena mnatuletea hadithi ingine
Kila cku maneno mengi hamjengi
Mmmhhh jengo gani hili halina hata sura
Mh kam makontena bhn hamna kitu apo
Bei za apartment ipo juu mno
Hiyo ni hoteli ya mwinyi
Semeni kweli
Hawana nia yakuleta maendeleo CCM zanzibar
Sasa burji ndo nn??
😂😂😂 hilo Mbona kwa Bongo ni fupi sana
Bongo za Zanzibar nchi ile ile .. Acha ushamba
Tofauti
Acheni kutudanganya bhana😂😂😂
Kitu gani sasa wanakudanganya hapo wewe useless stupid person
@@abedomar5183 😂😂😂 thanks mr useful smart minded person.
Kwan kipi kisichowezekana shangazi? Kisa ni Tanzania??
Hujui kuwa serkali ina danganya? Ile domino tower ya 221Mita iliishia wapi?@@abedomar5183
Mud