Mashaallah Allah sw awape Imani thabit juu ya Imani yenu hiyo ,nakuombeni kwa Allah SW awape mapenzi ya kweli juu ya nchi ya Zanzibar na awape mapenzi juu ya kuitumikia nchi yetu kwa mapenzi ya dhati kabisa na kujiepusha na rushwa au ufisadi na kupora Mali ya umma Amin Nakutakieni kheri pia Allah sw azifanye kauli zenu ziwe za kweli na ziwe za haki
M.mungu atufanyie wepesi na kusimamia kwa uwezo wake kila ndoto inayotarajiwa Inshallah .Ikimarika Zanzibar wameimarika wazanzibari pia. M.mungu ibaraki zanzibar na watu wake pia🤲🏻
Acha kuwapongeza serikali ya SMZ, hawajengi wao hili jengo linajengwa na muwekezaji binafsi. Yawezekana hao SMZ wakamfanyia ukritimba na kutaka rushwa kubwa wakamkimbiza asijenge kamwe
Nijambo jema mungu awabaliki lkn pia msisahau kujenga daraja walau la bagamoyo Zanzibar .ilikuboresha utalii na maendeleo ya Zanzibar kiuchumi kwani mawasiliano ni muhimu..kwangu daraja ni muhimu sana kuliko hata hilo ghorofa refu.. kwasasa.
KwaNi ujenZi wA MajeNgo nDio uTauNuA uchuMi wA waNanchi ? MBonA ninYi seLikaLi yA zaNziBaL munaWaiBiA saNA wanaNchi weNu. MBonA waNanChi wA ZanZibAL ni maLoFA weNgi . Ni NinYi Tu nDio MunaoShiBA . WeZi waKubWa
Angalieni Mambo ya ajali nyie hamna hata Zima moto na I hili jengo karibu liguse ndege mbavu zangu niachieni😂 na mmoja kandika vibanda umaskin ulioko wala wao kwa wao nyoooni MTU mlo mmoja hatimizi eti wana Jenga mnara wao njugu ha you akiweza abedi karume peke take nyie visa via zee comedy tupisheni uko mnashindwa Zima moto munataka outta watalii sadaka 😂
Mashaallah
Allah sw awape Imani thabit juu ya Imani yenu hiyo ,nakuombeni kwa Allah SW awape mapenzi ya kweli juu ya nchi ya Zanzibar na awape mapenzi juu ya kuitumikia nchi yetu kwa mapenzi ya dhati kabisa na kujiepusha na rushwa au ufisadi na kupora Mali ya umma
Amin
Nakutakieni kheri pia Allah sw azifanye kauli zenu ziwe za kweli na ziwe za haki
M.mungu atufanyie wepesi na kusimamia kwa uwezo wake kila ndoto inayotarajiwa Inshallah .Ikimarika Zanzibar wameimarika wazanzibari pia. M.mungu ibaraki zanzibar na watu wake pia🤲🏻
Mashaa Allah Allah atubarik
Hongera serekali yangu ya SMZ 👏❤
Acha kuwapongeza serikali ya SMZ, hawajengi wao hili jengo linajengwa na muwekezaji binafsi. Yawezekana hao SMZ wakamfanyia ukritimba na kutaka rushwa kubwa wakamkimbiza asijenge kamwe
Mungu aibariki zanzibar yetu
Fantastic, Tuzidi kuimarisha Zanzibar. Hongera kabisa.
Insha Allah
Nijambo jema mungu awabaliki lkn pia msisahau kujenga daraja walau la bagamoyo Zanzibar .ilikuboresha utalii na maendeleo ya Zanzibar kiuchumi kwani mawasiliano ni muhimu..kwangu daraja ni muhimu sana kuliko hata hilo ghorofa refu.. kwasasa.
Mimi nataka kujuwa litaaza lini kujengwa na litamaliza lini ?
Dahh hatari sasa hiii
Iwe kwel tu isije pita miaka mitano ikawa hatuoni kitu mana viongoz wetu ni wababaishaji sana
Nice good job znzb
Ilo gengo lijengwe dare ssalam
Mjenge na dodoma
Uchumi wa buluuu dar itakuwa Raha Sana
Daaah tulijua kua hii miaka 3 na miezi 9 lazima zanziba lazima itaongezewa baadhi ya vitu vya kigeni Africa na tulio sema hayo hapo make mhhhh
hamna lolote hpo jamaangu vingi vimeshasemwa kama hivo ila ni homa tu
Kwà hiyo akili yenu ipo kwenye utalii tu
verry nice
jamani na sie pemba je
Usiseme kisiwa sema nch ya zanzibar acha ujinga
Kabisa akuna kituu uko
Pesa tutozwe kodi kubwa ilizijenge Zanzibar cndiyo
Mnajenga nchi nyingi mnaacha kujenga Dar es Salaam
Mmmh Sasa kwa biashara ganii
Acha wivu subiria uwone kwanza
@@ibrahimchole3951 😄😄😄
Safi Sana Tena Sana
Mambo kama haya ndo tunataka itabadilisha manzari ya Zanzibar itakua ya kimataifa majengo kama hayo ndo yajengwe
Tushawazea nyinyi
Viva Zanzibar
Heburekebishen huduma zaveti kwanz
Kazi endelee
hakuna jambo hapo , Ile bandari ilijengwa ? Mji mkongwe ulijengwa kikwazo nini.? ndugu zetu wa damu na hii itapita hivyo hivyo .
Kabisa akuna kitoo
ilikuaje sasa tukawa tunaambiwa znz ni kisiwa cha kujenga si zaidi ya gorofa 7 tu
Safi sana 🙏🙏🙌🙌
KwaNi ujenZi wA MajeNgo nDio uTauNuA uchuMi wA waNanchi ?
MBonA ninYi seLikaLi yA zaNziBaL munaWaiBiA saNA wanaNchi weNu.
MBonA waNanChi wA ZanZibAL ni maLoFA weNgi . Ni NinYi Tu nDio MunaoShiBA .
WeZi waKubWa
Allah ibarik znz yet
Zanzibar yawa dubai
Wooooow
Belt ajabu vipi
Wow n wakwanzaaaaa hahahahaha
Tupo tunasubri maendeleo na ile bandari ya mpiga duru vip
Izo pesa zawapi Zina Jenga gorofa jamani
Hamuna lolote acheni kupumbaza watu nyie. Hilo jengo linaweza kujengwa lakini litachukua miaka 50 kukamilika Unakumbuka uwanja wa ndege terminal 3.
hahah wajenzi sio serikali ya mapinduzi
Ndugu una ongea ata hujui wanao Jenga ni nani
@@imash04tv20 ndugu mambo ya wazee yna kujaje apa
@@mudighurayra sorry
@@imash04tv20 👍
Tutaona
Vipi barabara na vibanda
👍
Mwanangu
Safi
Sisi tunatak bandar hatutaki kiband
Angalieni Mambo ya ajali nyie hamna hata Zima moto na I hili jengo karibu liguse ndege mbavu zangu niachieni😂 na mmoja kandika vibanda umaskin ulioko wala wao kwa wao nyoooni MTU mlo mmoja hatimizi eti wana Jenga mnara wao njugu ha you akiweza abedi karume peke take nyie visa via zee comedy tupisheni uko mnashindwa Zima moto munataka outta watalii sadaka 😂
Ndio priority ya wananchi au serkali?
😪😭
Sisi Kenya tunaendelea kujenga yenye ghorofa ,204
Kenya ipi iyo
🤣🤣🤣🤣
Why Zanzibar not Dar?
Why not
MUSIWAFANYE NAKUONA WATU MAHANISI NYINYI..MLISEMA MANGAPI MADOGO ZAID NAHAMKUFANYA HATA K1..
MKIWA HAMNA LAKUSEMA BORA MUKAYEKIMYATU..AAH!
Kweli ndio hata saruji imeshuk bei asaiv ipo 25000 kweli tumekua kiuchumi
Bandar hatujazion muje mujenge jengo hiloo hizoo ni ndoto
Muekezaji uyo kaka ndio anae Jenga
👎👎👎🏼👐👏
Huu mradi utafanyika when if and only if .....
beta ~ to zero only PCM/PCB holders at form six understand
Miaka 800 ijayo😂😂😂
Uyo muekezaji sio mzanzibar